Video není dostupné.
Omlouváme se.

RAIS DKT. MAGUFULI AFANYA ZIARA YA KUSHTUKIZA KATIKA MARADI WA UJENZI WA MACHINJIO VINGUNGUTI

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 15. 09. 2019
  • RAIS DKT. MAGUFULI AFANYA ZIARA YA KUSHTUKIZA KATIKA MARADI WA UJENZI WA MACHINJIO YA VINGUNGUTI

Komentáře • 1,1K

  • @abedysteven4930
    @abedysteven4930 Před 2 lety +136

    Mliokuja hapa kuangalia umuhimu wa magufuli baada ya kummiss kwa Kaz nzur alizokuwa anazifanya naomba 2juane!!

    • @PantaleoBundala-tl2kd
      @PantaleoBundala-tl2kd Před 3 měsíci

      Yaani hotuba hii ni miaka minne lakini naisikiliza hadi naona raha utadhani nipo live. Namaliza bando wala sioni shida kwa mwamba huyu.

  • @Puxladen
    @Puxladen Před 4 lety +77

    piga like Kwa magufuli wakee

  • @frankjohnfrank6490
    @frankjohnfrank6490 Před 2 lety +11

    Mungu akutangurie mheshimiwa rais john pombe kwa kazi uliyoifanya mpaka ulipo ishia pongenz kwako raisi wa wanyonge

  • @Rhymesandtunes
    @Rhymesandtunes Před rokem +17

    What a president...Ndugu zetu waTanzania walipoteza a good leader

  • @shidabundala8984
    @shidabundala8984 Před 4 lety +18

    Watanzania tunabahati kubwa sana kupata rais mchapa kazi kama unampenda magufuri like hapa 🤝

  • @asaajuma9961
    @asaajuma9961 Před 3 lety +24

    Hii siku ya tukio nilikuepo r I p magufuli tutakukumbuka sana.

  • @aishajami6826
    @aishajami6826 Před 3 lety +24

    Bodyguards wa Magufuli walikua na kazi, all the time to be watchful! 👍

  • @emmanuelbrownofficialke.-n7942

    Hakika Tanzania walimpoteza kiongozi wa busara sana.

  • @hamidriday2352
    @hamidriday2352 Před 4 lety +36

    Watanzania muna bahati kubwa kumpata huyu kiongozi Rais Magufuli

  • @kingbobzllema7789
    @kingbobzllema7789 Před 4 lety +34

    the real definition of president

  • @safiasaleh4447
    @safiasaleh4447 Před 4 lety +18

    Mungu akupe maisha mazuri Rais wetu Magufuli na sisi Wazanzibar mwaka 2020 Mungu atujaalie tupate Rais Kama we we . Aaamin

  • @marieconnect6389
    @marieconnect6389 Před rokem +8

    Jembe letu, bulldozer,l letu tingatinga letu 💪. Tumemiss sana tindua tindua yako. Hukuwa na mchezo kwenye kazi. Ilikuwa 'hapa kazi tu' 💪
    tunakukumbuka JPM wetu❤

  • @borahmlamba5030
    @borahmlamba5030 Před 2 lety +11

    Ewe Mwenyezi Mungu mpe pumziko la amani 😭😭😭😭🇹🇿💔🙏🏽 Rais Magufuli 😭😭😭🇹🇿🙏🏽💔

  • @johnnjoroge8798
    @johnnjoroge8798 Před 4 lety +46

    Am a Kenyan but Tanzania you have a great president. I wish Kenya we had someone great in work and devoted like this .

    • @chikukisusi6933
      @chikukisusi6933 Před 3 lety

      Malitine

    • @faroukmutyaba5665
      @faroukmutyaba5665 Před 3 lety

      Sasa sie waganda tusemeje jamani raisi wetu mmmh kadumu sana paka leo hatujajua ataenda lini

    • @paulondiek1345
      @paulondiek1345 Před 3 lety

      Me too

    • @jojothepolyglot1866
      @jojothepolyglot1866 Před 2 lety +1

      Well, when you have time to vote you vote on tribal line mpaka lini? Kenya will never get such a leader. EVER! This year we have elections and people are voting emotions

    • @alexandermutune6131
      @alexandermutune6131 Před rokem

      Really?

  • @mweyoms5548
    @mweyoms5548 Před 2 lety +18

    So painful to lose this heroic leader.

  • @pasquallungwa3517
    @pasquallungwa3517 Před 4 lety +122

    Tujuane wote tunaoweza chana bati kwa mkono

  • @mosesmuthee5196
    @mosesmuthee5196 Před 4 lety +18

    am from Kenya and Tanzanians are the luckiest people on planet earth.mungu anbariki magufuli na atushukishie magufuliwe wetu.

  • @placidoponera
    @placidoponera Před 3 lety +22

    Pumzka Kwa Amani Rais wetu JOHN MAGUFULI 🇹🇿 kwel tutakumbuka daima milele

  • @khadijahusseinsalim6881
    @khadijahusseinsalim6881 Před 4 lety +14

    Am a Kenyan, I wish we cloud hve someone

  • @abuusufian6506
    @abuusufian6506 Před 4 lety +47

    Ukisikia baharia asiyetaka mchezo ndo huyo mzeeyaa 😁🤔😎😃

  • @michndekei3435
    @michndekei3435 Před 2 lety +46

    This guy was a true born Leader....may his soul continue Resting in peace 😭

  • @nicksonjohansen9546
    @nicksonjohansen9546 Před 4 lety +14

    Best President ever..
    Mungu aendelee kukutunza kwa afya njema na kukutumia kwa kazi yake njema..
    🙏🏿

  • @ruthogungo794
    @ruthogungo794 Před 4 lety +72

    This Man is atrue leader and he also loves God..a man of the people, fighting for the weak,,a president if his kind..he's so humble..God bless you

  • @robertbudodi
    @robertbudodi Před 4 lety +20

    Hapo neno hapa kazi tu nimelielewa

  • @hassanmchomvu703
    @hassanmchomvu703 Před 3 lety +22

    Rest in paradise Mr President tutakukumbuka daima baba yetu magufuli chumaa kimeanguka 😥

  • @mugangajethrom7624
    @mugangajethrom7624 Před 3 lety +32

    A true and real leader i have ever heard. Rest in peace mwishimua.

  • @m.zawadikenya4797
    @m.zawadikenya4797 Před 2 lety +7

    How I wish Kenya tumpate raisi kama magufuli 🙏🙏👌✌️🎯

  • @KasindiPapi
    @KasindiPapi Před 2 lety +73

    The man after my heart, I will always love you no matter what I will remember you day and night, I will always learn from you because you touched to what I wanted to do to my people. You were like Moses in the Bible, May the almighty God the father keep using you and put you in charge of all angels in heaven as you once spoke dear my King and my President JPM.

  • @ramadhanisalum8321
    @ramadhanisalum8321 Před 4 lety +68

    Kuna mambo ambayo sisi tuliozaliwa miaka ya 90 hatujawahi kuyaona wala kuyasoma..na ndo kwanza tunayaona katika uongozi..Keep it up Mr. President

  • @williamlimbya6505
    @williamlimbya6505 Před 2 lety +7

    Daaah Mungu akulaze mahali pema peponi.amen

  • @edwardkhan2629
    @edwardkhan2629 Před 2 lety +11

    Always rest in power, lovely president in Africa 😭😭😭😭

  • @saxannjo6173
    @saxannjo6173 Před 4 lety +69

    Kama na ww unaingalia hii SHOW YA KIBABE in June 2020,, gonga like

  • @marieconnect6389
    @marieconnect6389 Před rokem +11

    Mioyo yetu imekataa kukubali kuwa haupo na sisi tena leo hii. Ni ngumu kumeza lakini ndiyo hali halisi. continue to R.I.P mpendwa wetu

  • @sisdell1779
    @sisdell1779 Před 3 lety +9

    Kizuri hakidumu jamani pumzika baba😭

  • @agrippalalusha1521
    @agrippalalusha1521 Před 4 lety +14

    We need kind of president like him no corruption in the country God bless Mr president...

  • @jumaakida2709
    @jumaakida2709 Před 4 lety +31

    Utamzui vipi Jpm kwa kasi hii? Tuwe wakweli Magufuli ni wapekee Tanzania.

    • @mkovzrmuscat7110
      @mkovzrmuscat7110 Před 4 lety

      Mm ni mtanzania ni wakuingia na kutoka lakin magufuli rais kafanya kazi nzuri sana mwenyezi Mungu ampe miaka mingi duniani baba wa wanyonge

  • @alfredmacjohn5254
    @alfredmacjohn5254 Před 2 lety +14

    Huyu mtu alitufaa sana kwa mustakabali wa utaifa wetu na heshima yetu duniani.

  • @jaclecia3279
    @jaclecia3279 Před 3 lety +5

    Dah RIP our best president

  • @mussakiula7481
    @mussakiula7481 Před 4 lety +23

    Kama aliemuona mpokonya mike aweke like hapa😂

  • @hamidhaji6649
    @hamidhaji6649 Před 4 lety +7

    Raisi wetu ....ww ni raisi wa historia .tena unafaa kuigwa kutokana na uongozi wako mzuri ......mungu akubariki ...

  • @iddiali8057
    @iddiali8057 Před 4 lety +34

    Heshima sana!!! EXTRA ORDINARY MAN OF TANZANIA!!!

  • @symokhara
    @symokhara Před 4 lety +18

    Watching from 🇰🇪. Rais Kenyatta tafadhali kazi inafanyika vizuri Sana Tz... Wafisadi wakomeshe hapa kwetu.

  • @ocholamalachi1552
    @ocholamalachi1552 Před 4 lety +60

    i love Magufuli style of leadership, though am a Kenyan. Kazi tu

  • @ibrahimkambi9288
    @ibrahimkambi9288 Před 4 lety +13

    Wataelewa tu Mh.Rais umetisha mbayaaa

  • @mwinukafundibombanjombe
    @mwinukafundibombanjombe Před 4 lety +28

    The man himself .. Viva viva Magufuli

  • @gregorychogelo2013
    @gregorychogelo2013 Před 4 lety +10

    Rais wetu ana kazi ngumu sana! Waliopewa dhamana wengi hawajitambui, bado wanaenda kwa mazoea tu.

  • @gervasjustn2842
    @gervasjustn2842 Před 4 lety +58

    Kama umemuona Makonda huku akiwa mpole zaidi gonga like.

  • @abdullahal-mahruqi9610
    @abdullahal-mahruqi9610 Před rokem +5

    He was a man of honesty and loved fast progress. He was a strong spokesman for the weak. Exceptional type of leadership

  • @vaudagutu800
    @vaudagutu800 Před 3 lety +19

    Am from Kenya but l like president Magufuli he understands a common man,God bless him more

  • @adenihalisi4218
    @adenihalisi4218 Před 4 lety +33

    Kwa huu uongozi wa magufuli kweli nasema kuna watu wataota mvi kabla ya umri! Mtakomaa sisi wananchi tunafurahia!

  • @DottRoBroc
    @DottRoBroc Před 3 lety +35

    I am an italian man. I studied Magufuli, a politician I appreciated for his complaint against the effectiveness of tampons. He was a great and courageous president, an honest man who had reduced his salary (from $ 15,000 to $ 4,000) defended the interests of the people. I also appreciated his position on covid and against dangerous vaccines. In my opinion they killed him even though he officially died of heart problems. I agree about Magulification of Africa! So, absolute estimate for Magufuli who for me will remin alive for ever for his honesty

  • @mabruckjuma8711
    @mabruckjuma8711 Před 2 lety +10

    RIP LEGEND JOHN POMBE JOSEPH MGUFULI MR PRISEDENT

  • @jay9414
    @jay9414 Před 3 lety +8

    Wow wow this president was a down to earth roamer and hard working one.

  • @ericmbugua624
    @ericmbugua624 Před 3 lety +35

    Magufuli was a great leader whom most leaders should learn from his leadership skills..May God rest his soul in eternal peace 😭

  • @williamlimbya6505
    @williamlimbya6505 Před 2 lety +7

    😭😭😭😭😭 R.i.p magufuri mtetezi wa wanyonge

  • @khalfanibobewe4278
    @khalfanibobewe4278 Před 3 lety +3

    Huyu jamaa utampenda kama hujaingia kwenye anga zake ila ukijichanganya ukaingia kwenye anga zake utakubali shoo

  • @penzamatirio7812
    @penzamatirio7812 Před 3 lety +9

    i pray that magufulli will return to power forever

  • @nyangimarwa3448
    @nyangimarwa3448 Před 3 lety +5

    Pumzika kwa Amani Baba, Mzalendo wetu JPM Daima tutakukumbuka Milele na Milele tumekumiss sana JPM hakika hatutakusahau kwa mema uliyotutendea

    • @saramakungu2020
      @saramakungu2020 Před 2 lety

      Hakika tumemmc xana jpm wetu duh apumzike kwa aman.

  • @katemachanda7035
    @katemachanda7035 Před 3 lety +22

    I will always love you Mr. President.
    R.I.P!

  • @nessa4899
    @nessa4899 Před 4 lety +8

    Magufuli Mungu akutunze Akupe afya njema ulinzi wa mbinguni uwe pamoja nawe day and night. In Jesus might name.

  • @mubirurogers3162
    @mubirurogers3162 Před 2 lety +6

    I have seen one man like magufuli. He was the chief administrative officer (CAO) of kamuli District in Uganda. He is Andrew mawejje the current CAO of kakumiro District in West Uganda. He is an exceptional public servant and he was magufuli's size. Am sure currently, he is the best and most efficient public servant Uganda has. If I can be picked for president in Uganda I believe things can change in a fort night

  • @josephbarasa5076
    @josephbarasa5076 Před 3 lety +14

    Rest in peace JPM other leaders you borrow a leaf 🍂 from JPM .We shall miss you

    • @josephbarasa5076
      @josephbarasa5076 Před 3 lety

      Kwanzake Viongozi wa kenya , tunaitaji uongozi bora kama wa JPM

  • @jennipherray7001
    @jennipherray7001 Před 3 lety +7

    Mungu akupunguzie adhabu ya kaburi Ameeen 🙏😭

    • @wilsongeorge1353
      @wilsongeorge1353 Před 2 lety

      Umelala baba duuu naumia sna mwenyezi mungu akupunzishe Azabu za kabulini

  • @TPKLiah
    @TPKLiah Před 4 lety +19

    I love Tanzanian, and President John Pombe Magufuli...
    May God bless you
    From South Sudan ✌✌✌

  • @mathewsmigudi4172
    @mathewsmigudi4172 Před 3 lety +12

    may my tears reach the Lord

  • @Galgani333
    @Galgani333 Před 4 lety +4

    nakuelewa sana raisi.kazi njema unafanya.Mungu akubariki

  • @jumahedrick3949
    @jumahedrick3949 Před 2 lety +10

    This guy was a patriot. Rip

  • @cashmoney6850
    @cashmoney6850 Před 2 lety +2

    Kazi kazini

  • @ellyayieko357
    @ellyayieko357 Před 3 lety +6

    The President actually wanted the best for his country. Now l support him even if the Western powers said he didn't know Kizungu

    • @TheLordismyshepherd...
      @TheLordismyshepherd... Před 3 lety +2

      So what if he doesn't?
      I am always left speechless when I see an African mocking another Aftican for not knowing English. It isn't our native so why praising it so much? How about them learning our own's?
      It is sad how these colonizers still takes over the minds of our people!

  • @doreenandrew3063
    @doreenandrew3063 Před 4 lety +7

    🤣🤣🤣🤣 watu kutetemeka na kujiumauma nimecheka kweli..... Baba Magufuli hapa kazi tu...ubarikiwe sana Mungu akubariki mara mia zaidi 🙏🙏🔥🔥🔥🔥🔥🔥

  • @pacifiqueheri1767
    @pacifiqueheri1767 Před 4 lety +7

    Raïs mwenye hekima kabisa,j'aime le président Magufuli

  • @hamedal-shruiqi2123
    @hamedal-shruiqi2123 Před 4 lety +14

    Eeee Kenya yetu ichukue mfano kwahuyu raisi wa tz Kenya unyanyasaji2 mungu akubariki magufuli🙏

  • @dicksonsamwel134
    @dicksonsamwel134 Před 3 lety +6

    Lala kwa amani uncle magu tutakukumbuka daima 😭😭😪

  • @mouigniahmed263
    @mouigniahmed263 Před 4 lety +8

    Merci mon Président vous êtes le meilleur en Afrique Rais Magufuli asante sana MUNGU akubariki yakuhifadhi na wenye roho mbaa

  • @kpatrick8468
    @kpatrick8468 Před 4 lety +57

    Huyu Rais wa karne MUNGU AKUBARIKI SANA TENA SANA

  • @franknolelwa7495
    @franknolelwa7495 Před 4 lety +67

    kama kuna aliyesikia raisi akisema hamna ulichonishukru wew endelea tu 😂😂😂😂😂gonga like twende

  • @geofreyjerus9882
    @geofreyjerus9882 Před 4 lety +17

    🙌🙌Daaaah hii kali duuuh
    HAPA KAZI TU💪

  • @manyamamongo9361
    @manyamamongo9361 Před 4 lety +6

    Hapa kazi tuh, hata kwenye kazi zetu inatakiwa tuwe serious kama huyo RAIS, hakika tutafanikiwa

  • @thomaschengena6116
    @thomaschengena6116 Před 4 lety +21

    Mheshimiwa karibu na kwetu LIWALE TUNAKUKARIBISHA SANA

    • @freshtiff1265
      @freshtiff1265 Před 4 lety +2

      thomas chengena hahahahaha liwale nimefika huko.. aisee barabara ni mbovu Tanzania nzima .. bora ifakara niliona ikifanyiwa marekebisho ila liwale ni mbovu sana barabara ina visima sio mashimo tu 😂😂😂

    • @ashuramutwe3921
      @ashuramutwe3921 Před 4 lety

      Ni kweli bora uje kwetu LIWALE

    • @abdulazizi7279
      @abdulazizi7279 Před 4 lety

      Aje bhanaa daaah

    • @omarisalumu4798
      @omarisalumu4798 Před 4 lety

      thomas c
      hengena

  • @Addi_Teacha509
    @Addi_Teacha509 Před 4 lety +6

    As much i admire the president, as much i admire the military gentleman in the Green.. he is very serious

  • @margarethsolomon9823
    @margarethsolomon9823 Před 4 lety +20

    Leo Makonda ukae vizuri. Usije ukatumbuliwa.

  • @cosmasmpwage2576
    @cosmasmpwage2576 Před 3 lety +5

    😭😭😭😭 nasikia sauti ikisema mtangulize Mungu

    • @angelamarlow510
      @angelamarlow510 Před 3 lety +1

      Dah jmn bado nikama ndoto jemedari wetu hayupo tena

  • @nelsonakach6281
    @nelsonakach6281 Před 4 lety +6

    Very great man of development

  • @iddiali8057
    @iddiali8057 Před 4 lety +11

    Goals oriented PRESIDENT!

    • @marcellinbisimwa8908
      @marcellinbisimwa8908 Před 4 lety

      Mungu uliye umba mbingu na dunia tupe RDC raisi kama huu anaye jua itaji za RAHIYA

  • @willingtonejohn1929
    @willingtonejohn1929 Před 4 lety +45

    Waliokuwa wanasema nguvu ya soda bado wapo

  • @robertterry8909
    @robertterry8909 Před 4 lety +24

    kamua baba kamua jembe nchi iende

  • @sturbbornvideoz8547
    @sturbbornvideoz8547 Před 4 lety +9

    Dkt. Magu i wish we kenyans could have such leadership

  • @martingideon7177
    @martingideon7177 Před rokem +8

    I like this man may his soul rest in peace

  • @zubaidatawsila6617
    @zubaidatawsila6617 Před 4 lety +7

    What a nice president if I was living in Tanzania I could give u my vote for the next year

  • @thuvakonde2584
    @thuvakonde2584 Před 4 lety +10

    Rais Magufuli tano tena

  • @silentreuben6424
    @silentreuben6424 Před 4 lety +9

    True Leadership starts from the top. GOD BLESS PRESIDENT JOHN MAGUFULI. This is not just pan africanism at its best, but a kick in the butt to ALL who are entrusted by the people to lead them. Let us know who we vote for, by their works. Action speaks louder than words.

  • @christianmwakajila521
    @christianmwakajila521 Před 4 lety +8

    Kula yangu yako mzee baba.

  • @bbc5043
    @bbc5043 Před rokem +4

    Great African patriot we in Kenya love this great Tanzanian president just like we loved Nyerere

  • @ashurakaswa3796
    @ashurakaswa3796 Před 4 lety +4

    Mungu ampe afya imara na pumzi kwa kweli mi moyo wangu huko na furaha kila nikimuona maana napenda sana kufuata nyendo zake

  • @hellenmukasa4503
    @hellenmukasa4503 Před 4 lety +7

    Kweri this is a gift from God

  • @roserisasi5441
    @roserisasi5441 Před 4 lety +8

    Sina chakuongea kula Yangu chukuwa tu baba 2020

  • @geographyteacher.2961
    @geographyteacher.2961 Před 4 lety +13

    Safi sn mh rais kwa uamuz wa kusitisha ukusanyaji wa kodi kulingana na utengwaji wa fungu yani bajet kamilifu kwa ujenzi wao ikiwa ujenzi hauonekani, asee huu uamuz nimeupenda sn.

  • @mozeszengo7096
    @mozeszengo7096 Před 4 lety +5

    Asante Rais wetu,,u can

  • @jimjim4655
    @jimjim4655 Před 4 lety +6

    Am in love with u sir...mimi iko apa kutoka uganda

  • @godfridahmukosha9895
    @godfridahmukosha9895 Před 4 lety +23

    I wish there were English subtitles. He is obviously making good waves.