#LIVE

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 15. 03. 2020
  • Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. John Pombe Magufuli anakagua ujenzi wa daraja la Kiyegea Kilosa Mkoani Morogoro ambalo liliharibiwa na Mvua mwanzoni mwa mwezi machi mwaka huu pamoja na kuzungumza na Wananchi mbalimbali wa eneo hilo machi 16, 2020

Komentáře • 125

  • @mudathiriali1801
    @mudathiriali1801 Před 4 lety +21

    Since in my life I didn’t see a president walking throughout a mud place like this, let God bless Tanzania with this president in the name of God.

  • @michaelmzava6112
    @michaelmzava6112 Před 4 lety +16

    Wew Ndiye Raisi wangu MUNGU akulinde wakati wote.

  • @frediricknandonde1690
    @frediricknandonde1690 Před 4 lety +11

    Mungu akulinde sana mzee wangu huko vizuri sana sana

  • @stephenmgombele2654
    @stephenmgombele2654 Před 4 lety +9

    Super president tungepata wakina magufuli kama 50 serikalini bongo tungefika mbali sana chapu

  • @ambelecheyo5667
    @ambelecheyo5667 Před 4 lety +4

    Waziri badilika,Chief excutive badilika,katibu mkuu badilika...Salute kwako Rais.

  • @geja8708
    @geja8708 Před 4 lety +11

    Naombeni likes zenu tumpe nguvu Rais wetu jamaan!!

  • @jarsaduba2626
    @jarsaduba2626 Před 4 lety +8

    Jembe liko shambani, ushauri wangu kwa mawaziri wanaousika kwa kila wizara na engineer wote nchini wakae macho sana uwezi kutafuta jia ya mkato kwa Mh JPM.

  • @maxmkemia9504
    @maxmkemia9504 Před 4 lety +18

    "Endelea kueleza" 😂😂 tunakukubali sna mjomba! Hta kma kuna kasoro tunatambua kuwa naww ni binadamu hatukuchagua malaika .. lakini udhati wako juu ya Taifa letu tunauona haswaa!!

  • @maspro6294
    @maspro6294 Před 4 lety +6

    Wataanza wengi bado hawajamuelewa Rais JPM ni kiongozi mwenye uchungu na Inchi yake alafu Kuna mipumbavu mingi Sana hamsaidi kuipeleka inchi mbele JPM tumbua mpaka wakuelewe

  • @yesemakisudjonga7914
    @yesemakisudjonga7914 Před 4 lety +8

    Good

  • @maryogotiny5033
    @maryogotiny5033 Před 4 lety +7

    Kufanya kaz na huyu mzee ni kaz ngum kwl msichukulie pow uongiz huu ni shida

  • @ibrahimdenis6521
    @ibrahimdenis6521 Před 4 lety +3

    Nakupenda sna jpm mungu azd kukulinda

  • @rasheedmsigwa4612
    @rasheedmsigwa4612 Před 4 lety +5

    JPM 💪💪💪💪

  • @simbawateranga7020
    @simbawateranga7020 Před 4 lety +4

    Wanyooshe mzee wanyooke kbs

  • @mariuscyprian1235
    @mariuscyprian1235 Před 4 lety +5

    Huyu mzee baba kweli mzee wa kazi yeye katumwa kazi uko vizuri mzee baba JPM

  • @simbawateranga7020
    @simbawateranga7020 Před 4 lety +5

    NISAMEHENI MIMI KWA AJILI YA HAWA WAJINGA

  • @drsamsonkibona371
    @drsamsonkibona371 Před 4 lety +4

    MUNGU akulinde na kukuhifadhi ili uongeze bidii ya kuwasaidia wananchi ee Magufuli

  • @khamisrashidy1079
    @khamisrashidy1079 Před 4 lety +5

    Kitumbua kimetiwa mchanga anko magu njoo na shinyanga barabara kuelekea old shy ni mbovu

  • @mohamedlamimu
    @mohamedlamimu Před 4 lety +8

    Aiseh huyu jamaa kiboko!
    Mainjinia kazi kwenu! Huyu mzee si wa mchezo mchezo nadhani mnaona!
    Hapo kweli ni kazi tu!
    Duh!

    • @davidnyambuche352
      @davidnyambuche352 Před 4 lety

      Yaani mainjinia jasho linawatoka

    • @semeninyumayo2336
      @semeninyumayo2336 Před 4 měsíci

      Magumagumagu kweli we ni kiongozi kwelikweli tunajifunza mengi kupitia wewe wewe ni kiongozi wa kuzaliwa si kujifunza utakumbukwa daima pumzika baba kazi umeifanya kubwa sana

  • @sospeteranthony4650
    @sospeteranthony4650 Před 4 lety +3

    Hahaha " mnavuta matumbo tu, hamuwezi kufanya Kazi za watu" kiongozi lazima uonyeshe mamlaka, nakukubali sana mheshimiwa!!!

  • @bonifacekayungilo6878
    @bonifacekayungilo6878 Před 4 lety +3

    My President

  • @lucyzakaria4258
    @lucyzakaria4258 Před 4 lety +2

    hahahahahaaaa safi mzee watembeaze wapungue vitambi ivyo hapa kazi tu,,

  • @ev.wayudaalbinus3038
    @ev.wayudaalbinus3038 Před 4 lety +5

    Hahaha "nakufukuza huku unaniangalia"

  • @marthadachi6731
    @marthadachi6731 Před 4 lety +2

    Sijui wanakwama wapi kila siku mijitu isimamiwe na Rais awajitumii awajitumi mpka Mzee awatoe nishani aibu sana mzee anapiga kazi kama wazungu wallahi anawanyooshwa kwa kweli wananenepeana kama matembo kazi uzushi unabahati leo .

  • @ev.wayudaalbinus3038
    @ev.wayudaalbinus3038 Před 4 lety +4

    Including wewe 😘😘

  • @lexisavage1770
    @lexisavage1770 Před 4 lety +2

    asante sana baba yetu mpendwa Magufuli kwa upendo wako kwa Watanzania

  • @homeboybeyondtheborders4935

    Naona Waziri sauti inatetemeka

    • @uledimtumwa2406
      @uledimtumwa2406 Před 4 lety

      NGOSHA hadanganyiki,hayo maelezo hayamuingii kabisa na wao wamestuka.

  • @J4UPro
    @J4UPro Před 4 lety +5

    Hivi tunataka Rais gani watanzania!

  • @goddymassawe213
    @goddymassawe213 Před 4 lety

    Mzee magu nakupenda sana unafanyakaz nzuri sanaa mungu akuweke miaka 100...

  • @athumaniomari2833
    @athumaniomari2833 Před 4 lety +1

    Asante sana mwenyez MUNGU mkuu kwa muongozo wako mwema kwa raisi wetu

    • @petrojohn8250
      @petrojohn8250 Před 4 lety

      Kuna mtu alishanitukana kwasababu ya rais,ila namsamehe

  • @kingmagufuliforever3144
    @kingmagufuliforever3144 Před 9 měsíci +1

    Sichoki kusikilizs hutuba zako baba nainjoy sana najifariji sana nakupenda sana magu baba japo umeenda niko nawey milele

  • @ReachOut3004
    @ReachOut3004 Před 4 lety +3

    Pambana mzee tuko nyuma yako..ViVaMagufuli

  • @jelasnkoma4240
    @jelasnkoma4240 Před 4 lety +2

    unda katume kadogo"sio kakutumia pesa"

  • @marthadachi6731
    @marthadachi6731 Před 4 lety +2

    Leo leo ni leo dah aibu sana awaoni mifano kwa wengine mijitu ilizoea rushwa kazi awawezi kabisa mtanyooka mwaka huu mtaomba poo sana tu. Tumenyanyasika sana na Viongozi fake face .Sasa Huyu Ndio Raisi tunamtaka Tanzania tunakupenda sana baba Mungu akubariki sana 💪💪💪💪💪💪💪💪💪💪💪💪🙏🙏🙏🙏🙏🙏🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿

  • @Mike-fv5lv
    @Mike-fv5lv Před 4 lety

    Mungu akubariki mh Rais

  • @maryogotiny5033
    @maryogotiny5033 Před 4 lety +2

    Yan mtu kama anajua hawez kujiongeza kwa kufanya utatuzi wa matatizo bora kuacha kazi

  • @josephmpiluka6381
    @josephmpiluka6381 Před 4 lety +3

    Jaman Mjomba tumpe miaka mingapi

  • @user-io2yq6mu8f
    @user-io2yq6mu8f Před 8 měsíci

    Goodchannel

  • @denismsuya9335
    @denismsuya9335 Před 4 lety +3

    Wazir anang'aa macho ka mtto 🤣🤣🤣🤣🤣

  • @k2plusstudio858
    @k2plusstudio858 Před 4 lety +1

    Unachosema muheshimiwa ni kweri hawatembei kukaguwa barabara wanakaa ofisini tu hata wakifanya ukarabari wanatobowa barabara mashimo yanakaa wiki awajaziba wanasababisha ajali sio morogoro Tanzania nzima wasimamizi wa barabarani nie wazembe sana

  • @bartonntimba1223
    @bartonntimba1223 Před 4 lety +1

    Kilichotokea hapo ndo kinatokea daraja la jangwani mh rais,tope limeziba daraja mpk juu!

  • @ismailnyuki1429
    @ismailnyuki1429 Před 4 lety +1

    mr.President

  • @erickkabelege7992
    @erickkabelege7992 Před 4 lety +1

    Huyu Rais ni Rais wa kwel hana na mfano wa kuigwa

  • @marthadachi6731
    @marthadachi6731 Před 4 lety +1

    Aibu sana hivi hawa watu wakoje mpka mtu anakuja awajiandai kutoka makwao kama wanaenda kazini

  • @petersanagaya2916
    @petersanagaya2916 Před 4 lety +2

    Ila tuache utani huyu jamaa anafanya kazi hatari sana

  • @frediricknandonde1690
    @frediricknandonde1690 Před 4 lety +3

    Injinia anahema sana duuh

  • @dickaugustino2214
    @dickaugustino2214 Před 4 lety +1

    No retreat no salender!

  • @chidiomari.65
    @chidiomari.65 Před 4 lety +1

    💪🤝

  • @OmanOman-dn6dj
    @OmanOman-dn6dj Před 2 měsíci

    Tunamlilia Magufuli😢😢😢Makonda Ashike tu Nafasi yake😢

  • @dicksonaroka6961
    @dicksonaroka6961 Před 4 lety +2

    Waziri kwakwel leo ulikua na mungu wako tena shukuru jamaaa alikua anakula kichwa chako mchana kweupeeee 👏👏👏

  • @esterutewele7143
    @esterutewele7143 Před 4 lety +2

    yapit mpak mwisho wa dunia

  • @edisonpeter3894
    @edisonpeter3894 Před 4 lety +3

    Halafu utasikia kinafulani eti TUME HURUUUUU halafu tuchagua nani?

    • @sadockalfred6750
      @sadockalfred6750 Před 4 lety

      We nawe umeongea nini sasa kama sio ushuz kwan tume huru inamfanya magu asiendelee kuwa rais au?

    • @coffeemuya618
      @coffeemuya618 Před 4 lety

      Tume huru hatupi maendeleo tume yoyote tu tunataka maendeleo

  • @kongodamas7407
    @kongodamas7407 Před 9 měsíci +1

    2023 watching mpo😭😭

  • @khudhaimaasaa1425
    @khudhaimaasaa1425 Před 4 lety

    Saleh Saleh Saleh

  • @tophousecommunication570

    wapi ALI YAPI?

  • @josephmpiluka6381
    @josephmpiluka6381 Před 4 lety

    Jamaniee huku net wek sio zur

  • @JOHNWANJUGI
    @JOHNWANJUGI Před 11 měsíci

    🎉

  • @user-wu4qw9vb7e
    @user-wu4qw9vb7e Před 6 měsíci

    7:29

  • @ev.wayudaalbinus3038
    @ev.wayudaalbinus3038 Před 4 lety +1

    Daaah we Mzee nakukubali sana

  • @uledimtumwa2406
    @uledimtumwa2406 Před 4 lety

    Kiongozi huletwa na mungu sio tume huru sijui Katiba mpya. Watu wamepoteana.

  • @sebastianngimba6629
    @sebastianngimba6629 Před 4 lety

    Mbona mnapokezana mike,hamuogopi korona

  • @ayoubabdull1265
    @ayoubabdull1265 Před 4 lety +1

    Ha,ha,ha,Amissi mbotoni nimekuelew......Magu hasomek ...wakamuulize mzee wa kushika kitabu cha ilan atawaambia.

  • @emmanueljosephmabeyo2790

    naomba magari yaendelee kupita mpaka mwisho wa dunia duuuh huyu ndo mr president

  • @sebastianngimba6629
    @sebastianngimba6629 Před 4 lety +1

    Kiukweli huyu jamaa no MTU wa practical hataki kuambiwa,namtanyooka

    • @errydeo8865
      @errydeo8865 Před 4 lety

      Mdanganye mengine,sio ujenzi.kkkkkkk

  • @frediricknandonde1690
    @frediricknandonde1690 Před 4 lety

    Huyu bonge anaongea kimasihara sana bora ulivyomtumbua

  • @yusufuheri6524
    @yusufuheri6524 Před 4 měsíci +1

    Inauma asikwambie mtu

  • @georgedamas7097
    @georgedamas7097 Před 4 lety

    Uyu Mzee ni kiboko aise!
    Ni kama wale wazee wetu wa miaka ile unakuta mtoto wa MTU ukizengua anakupa noma, afu mzazi wako aje sasa,
    Nakupenda sana Mzee Baba.

    • @boazijambery5457
      @boazijambery5457 Před 4 lety

      Hahhaahhaah et wanavuta tyyu matumboooo duuh baba jpm Salutiiiiiii tenaa shikamooooooo babaaaa

    • @boazijambery5457
      @boazijambery5457 Před 4 lety

      Waziri utafikiri kafumaniwaaa machoo kodooo

  • @ramadhanisakalani8372
    @ramadhanisakalani8372 Před 4 lety +1

    Safii san kamwele bora hivyo

  • @fredyjohn8548
    @fredyjohn8548 Před 4 lety

    Hawa wazee wanamungu Leo hii mh

  • @fredyjohn8548
    @fredyjohn8548 Před 4 lety

    Duh Asante mzee Kweli ww baba

  • @bungesabaya8062
    @bungesabaya8062 Před 4 lety +2

    Yani...nyinyi mnamletea magufuli mchezo wakipuzi. HUYU ACHEZEWI MNA KAZI HAPO

  • @khudhaimaasaa1425
    @khudhaimaasaa1425 Před 4 lety

    Hahaha!!! Unanifurahisha inginia

  • @harunahamadi1523
    @harunahamadi1523 Před 4 lety +1

    Muooneeniii huruma rais jaman vitu vinginee sio lazima afanye yeye wazir ukipewa kazi kuwa makini na sekta yako usileteee masiharaa

  • @saidomar6806
    @saidomar6806 Před 4 lety

    Rais wetu Magufululi mwenye Utu Upendo na kuchapakaz mda wote usiku mchana anafanyakaz ili watu wake wasiishi kwa unyonge Mungu akuweke kw kaz njema unayoifanya. Wenu mtiifu Omar 0714662020

  • @ahmadmhando2525
    @ahmadmhando2525 Před 4 lety

    😄😄😄😄😄😄

  • @hamiskapatila8217
    @hamiskapatila8217 Před 4 lety

    Salehe saleh wew salehe 😂😂

    • @africanwordsworth4375
      @africanwordsworth4375 Před 4 lety +1

      Salehe ni nani anasimamia hii barabara 😅😅😅😅

    • @geey7893
      @geey7893 Před 4 měsíci

      Weee saleheeee Saleeheee😅😅😅😅​@@africanwordsworth4375

  • @samxongwambiye4217
    @samxongwambiye4217 Před 4 lety +1

    Uxiniuz sasaiv nikakumalizia wewe

  • @amissimbotoni6950
    @amissimbotoni6950 Před 4 lety +2

    Kwel wajinga daah magu ww

  • @pasquallungwa3517
    @pasquallungwa3517 Před 4 lety

    Waziri chupu chupu

  • @amissimbotoni6950
    @amissimbotoni6950 Před 4 lety +3

    Mfugale kawa mdogo sifa za maguful zilimlevya akajua kila cku Ijumaa

  • @williamhalinga3584
    @williamhalinga3584 Před 4 lety +1

    Huyu ndo rais wa tz akikuteua jipange

  • @liliansamson674
    @liliansamson674 Před 8 měsíci

    Baba umetuacha mapema mno bado tunakukumbuka wa Tanzania wako

  • @ShabanMusa-vz7ly
    @ShabanMusa-vz7ly Před rokem

    Makufuri kumtumbua mkuu tabora

  • @williamhalinga3584
    @williamhalinga3584 Před 4 lety +1

    Mheshimiwa umenipa fuzo kubwa sana

  • @mahamoudabas8555
    @mahamoudabas8555 Před 4 lety +1

    Tuachane na madaraja, Tuangalie hili la CORONAVIRUS, tufunge mipaka yote bila kungojea mpaka tuje KUFA mamia ya wa Tanzania. Watanzania walio wengi hatujiwezi kupambana na CORONAVIRUS na hata Serikali yetu haijiwezi ktk kupambana juu hivi virus, hawaja jiweza China na Italia mpaka wamepoteza maisha zaid ya watu elfu 5, tutajiweza sisi wa Tanzania na Tanzania yetu????

    • @errydeo8865
      @errydeo8865 Před 4 lety

      deluded,corona ikiisha utatumia pumbu au kuma kuvuka mto?? think ahead.

    • @mahamoudabas8555
      @mahamoudabas8555 Před 4 lety

      @@errydeo8865 kuma wewe kama makuma wengine, madaraja yamekua yakijengwa kila siku toka kipind cha mwinyi mpaka sasa awamu ya 5, mnatumia pesa zeru kwanjia ya kutudanganya kwa madaraja, wewe ni shoga

    • @errydeo8865
      @errydeo8865 Před 4 lety

      @@mahamoudabas8555 punguza kunyonya mboo mbwa wewe!!we unafikiri vitu vitasimama eti Korona,kajifungie ndani uone ka hujafia humo,msenge baridi...hao wagonjwa watapitishwa wapi kama madaraja hayajawekwa sawa???tumia ubongo,usitumie mkundu kuwaza..

    • @mahamoudabas8555
      @mahamoudabas8555 Před 4 lety

      Wewe ni mkundu kama mikundu mingine, ambayo imshanyonya mboo yangu! Njaa utakufa wewe na wenzio, sio mimi, mimi hata nikikaa ndan mwaka mzima njaa sitokufa. Hapa nilipo nipo ndan na familia yangu, toka tareh 20 mwez wa 3, mimi sio mwenzio wewe kuma, unijui sikujui kuma wewe. Hapa huwez kitu mkundu wewe! Nipo ndan yapata mwezi sasa kwa taarifa yako, watoto wangu wako salama, wanakila kitu cha kuchezea ndan na geti ni kubwa , mbwa wewe. Kama unashida na ela ya chakula nikupe mtu AKUFILE, kisha nikupe pesa ukanunue mchele na unga uweke ndan. Mimi nitamsukuma mavi mkeo kama uko na mke, ila wewe nitakupatia jamaa yangu akushugulike huo mkundu mchafu.

    • @errydeo8865
      @errydeo8865 Před 4 lety

      @@mahamoudabas8555 ndo unavyoonyesha upeo wako mdogo wa kufikiri,kwa kua unaweza kukaa ndani unafikiri wote wako hivyo..mtu utamjua uwezo kwa kufikiri kwa ayasemayo!!hunijui!unabwabwaja tu!!! ubongo umejaa shahawa tu,ukiongelea kitu,kifikirie kwa mapana,inaonekana,unaangalia karibu na mkundu wako!! try to think broadly..hata kujibu hoja ,either hujui usamalo,au you are just a retarded mofuckker,usiyejua kiendeleacho!! hujui hata umuhimu wa madaraja kukarabatiwa..kwa kua umesikia COVID-19,unaimba tu...grow up pussy..na ulivyo limbukeni,kakuuliza nani mambo ya familia yako!!!!msenge bardi...ningejua uko wapi,,wewe na mkeo ningewapa vifilo tu....faggot...igorance is a bad desease..tia akili kidogo mchambia juani...

  • @nicksonngwavi7584
    @nicksonngwavi7584 Před 4 lety

    Rais mm ninae nyoka nao mzee

  • @khudhaimaasaa1425
    @khudhaimaasaa1425 Před 4 lety +1

    Waziri chupu chupu duh

  • @jameswillson8685
    @jameswillson8685 Před 4 lety

    Wakomeshe mzee wanazalau wafanyakazi wako

  • @kgfes
    @kgfes Před 4 lety

    Ako fit huyu rais wenu. Wengine ni vitambi tu na kuhema