#LIVE
Vložit
- čas přidán 15. 03. 2020
- Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. John Pombe Magufuli anakagua ujenzi wa daraja la Kiyegea Kilosa Mkoani Morogoro ambalo liliharibiwa na Mvua mwanzoni mwa mwezi machi mwaka huu pamoja na kuzungumza na Wananchi mbalimbali wa eneo hilo machi 16, 2020
Since in my life I didn’t see a president walking throughout a mud place like this, let God bless Tanzania with this president in the name of God.
Amina
kweli
Amen
@@nijulishenijue1168❤I I ĺlppppp😊😊p😊❤
Wew Ndiye Raisi wangu MUNGU akulinde wakati wote.
Mungu akulinde sana mzee wangu huko vizuri sana sana
Super president tungepata wakina magufuli kama 50 serikalini bongo tungefika mbali sana chapu
Waziri badilika,Chief excutive badilika,katibu mkuu badilika...Salute kwako Rais.
Naombeni likes zenu tumpe nguvu Rais wetu jamaan!!
Tukupe likes ili kumpa rais nguvu?! Vituko
Jembe liko shambani, ushauri wangu kwa mawaziri wanaousika kwa kila wizara na engineer wote nchini wakae macho sana uwezi kutafuta jia ya mkato kwa Mh JPM.
"Endelea kueleza" 😂😂 tunakukubali sna mjomba! Hta kma kuna kasoro tunatambua kuwa naww ni binadamu hatukuchagua malaika .. lakini udhati wako juu ya Taifa letu tunauona haswaa!!
Ubarikiwe sana chuche kwa maneno yako..
Wataanza wengi bado hawajamuelewa Rais JPM ni kiongozi mwenye uchungu na Inchi yake alafu Kuna mipumbavu mingi Sana hamsaidi kuipeleka inchi mbele JPM tumbua mpaka wakuelewe
Good
Kufanya kaz na huyu mzee ni kaz ngum kwl msichukulie pow uongiz huu ni shida
Nakupenda sna jpm mungu azd kukulinda
JPM 💪💪💪💪
Wanyooshe mzee wanyooke kbs
Huyu mzee baba kweli mzee wa kazi yeye katumwa kazi uko vizuri mzee baba JPM
NISAMEHENI MIMI KWA AJILI YA HAWA WAJINGA
MUNGU akulinde na kukuhifadhi ili uongeze bidii ya kuwasaidia wananchi ee Magufuli
Kitumbua kimetiwa mchanga anko magu njoo na shinyanga barabara kuelekea old shy ni mbovu
Aiseh huyu jamaa kiboko!
Mainjinia kazi kwenu! Huyu mzee si wa mchezo mchezo nadhani mnaona!
Hapo kweli ni kazi tu!
Duh!
Yaani mainjinia jasho linawatoka
Magumagumagu kweli we ni kiongozi kwelikweli tunajifunza mengi kupitia wewe wewe ni kiongozi wa kuzaliwa si kujifunza utakumbukwa daima pumzika baba kazi umeifanya kubwa sana
Hahaha " mnavuta matumbo tu, hamuwezi kufanya Kazi za watu" kiongozi lazima uonyeshe mamlaka, nakukubali sana mheshimiwa!!!
My President
hahahahahaaaa safi mzee watembeaze wapungue vitambi ivyo hapa kazi tu,,
Hahaha "nakufukuza huku unaniangalia"
Sijui wanakwama wapi kila siku mijitu isimamiwe na Rais awajitumii awajitumi mpka Mzee awatoe nishani aibu sana mzee anapiga kazi kama wazungu wallahi anawanyooshwa kwa kweli wananenepeana kama matembo kazi uzushi unabahati leo .
Including wewe 😘😘
asante sana baba yetu mpendwa Magufuli kwa upendo wako kwa Watanzania
Naona Waziri sauti inatetemeka
NGOSHA hadanganyiki,hayo maelezo hayamuingii kabisa na wao wamestuka.
Hivi tunataka Rais gani watanzania!
Wa kwenda kwenye show za mliman kwa kuzindua albom za wasanii
Mbowe
Mzee magu nakupenda sana unafanyakaz nzuri sanaa mungu akuweke miaka 100...
Asante sana mwenyez MUNGU mkuu kwa muongozo wako mwema kwa raisi wetu
Kuna mtu alishanitukana kwasababu ya rais,ila namsamehe
Sichoki kusikilizs hutuba zako baba nainjoy sana najifariji sana nakupenda sana magu baba japo umeenda niko nawey milele
Pambana mzee tuko nyuma yako..ViVaMagufuli
unda katume kadogo"sio kakutumia pesa"
Leo leo ni leo dah aibu sana awaoni mifano kwa wengine mijitu ilizoea rushwa kazi awawezi kabisa mtanyooka mwaka huu mtaomba poo sana tu. Tumenyanyasika sana na Viongozi fake face .Sasa Huyu Ndio Raisi tunamtaka Tanzania tunakupenda sana baba Mungu akubariki sana 💪💪💪💪💪💪💪💪💪💪💪💪🙏🙏🙏🙏🙏🙏🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿
Mungu akubariki mh Rais
Yan mtu kama anajua hawez kujiongeza kwa kufanya utatuzi wa matatizo bora kuacha kazi
Jaman Mjomba tumpe miaka mingapi
30
Goodchannel
Wazir anang'aa macho ka mtto 🤣🤣🤣🤣🤣
Unachosema muheshimiwa ni kweri hawatembei kukaguwa barabara wanakaa ofisini tu hata wakifanya ukarabari wanatobowa barabara mashimo yanakaa wiki awajaziba wanasababisha ajali sio morogoro Tanzania nzima wasimamizi wa barabarani nie wazembe sana
Kilichotokea hapo ndo kinatokea daraja la jangwani mh rais,tope limeziba daraja mpk juu!
mr.President
Huyu Rais ni Rais wa kwel hana na mfano wa kuigwa
Aibu sana hivi hawa watu wakoje mpka mtu anakuja awajiandai kutoka makwao kama wanaenda kazini
Ila tuache utani huyu jamaa anafanya kazi hatari sana
Injinia anahema sana duuh
No retreat no salender!
💪🤝
Tunamlilia Magufuli😢😢😢Makonda Ashike tu Nafasi yake😢
Waziri kwakwel leo ulikua na mungu wako tena shukuru jamaaa alikua anakula kichwa chako mchana kweupeeee 👏👏👏
yapit mpak mwisho wa dunia
Halafu utasikia kinafulani eti TUME HURUUUUU halafu tuchagua nani?
We nawe umeongea nini sasa kama sio ushuz kwan tume huru inamfanya magu asiendelee kuwa rais au?
Tume huru hatupi maendeleo tume yoyote tu tunataka maendeleo
2023 watching mpo😭😭
Tupoo
Saleh Saleh Saleh
wapi ALI YAPI?
Jamaniee huku net wek sio zur
panda mnazi.kkkkk
🎉
7:29
Daaah we Mzee nakukubali sana
Kiongozi huletwa na mungu sio tume huru sijui Katiba mpya. Watu wamepoteana.
Mbona mnapokezana mike,hamuogopi korona
Ha,ha,ha,Amissi mbotoni nimekuelew......Magu hasomek ...wakamuulize mzee wa kushika kitabu cha ilan atawaambia.
naomba magari yaendelee kupita mpaka mwisho wa dunia duuuh huyu ndo mr president
Kiukweli huyu jamaa no MTU wa practical hataki kuambiwa,namtanyooka
Mdanganye mengine,sio ujenzi.kkkkkkk
Huyu bonge anaongea kimasihara sana bora ulivyomtumbua
Inauma asikwambie mtu
Uyu Mzee ni kiboko aise!
Ni kama wale wazee wetu wa miaka ile unakuta mtoto wa MTU ukizengua anakupa noma, afu mzazi wako aje sasa,
Nakupenda sana Mzee Baba.
Hahhaahhaah et wanavuta tyyu matumboooo duuh baba jpm Salutiiiiiii tenaa shikamooooooo babaaaa
Waziri utafikiri kafumaniwaaa machoo kodooo
Safii san kamwele bora hivyo
Hawa wazee wanamungu Leo hii mh
Duh Asante mzee Kweli ww baba
Yani...nyinyi mnamletea magufuli mchezo wakipuzi. HUYU ACHEZEWI MNA KAZI HAPO
Hahaha!!! Unanifurahisha inginia
Muooneeniii huruma rais jaman vitu vinginee sio lazima afanye yeye wazir ukipewa kazi kuwa makini na sekta yako usileteee masiharaa
Rais wetu Magufululi mwenye Utu Upendo na kuchapakaz mda wote usiku mchana anafanyakaz ili watu wake wasiishi kwa unyonge Mungu akuweke kw kaz njema unayoifanya. Wenu mtiifu Omar 0714662020
😄😄😄😄😄😄
Salehe saleh wew salehe 😂😂
Salehe ni nani anasimamia hii barabara 😅😅😅😅
Weee saleheeee Saleeheee😅😅😅😅@@africanwordsworth4375
Uxiniuz sasaiv nikakumalizia wewe
Kwel wajinga daah magu ww
Waziri chupu chupu
Mfugale kawa mdogo sifa za maguful zilimlevya akajua kila cku Ijumaa
Hahahaha umeonaee
Allah azidi kumpa hekima zaidi,amuepushe na kila Jambo baya,ampe afya njema zaidi ili aendelee kutetea wanyonge wa Taifa hili🙏
Kweli et
Huyu ndo rais wa tz akikuteua jipange
Baba umetuacha mapema mno bado tunakukumbuka wa Tanzania wako
Makufuri kumtumbua mkuu tabora
Mheshimiwa umenipa fuzo kubwa sana
Tuachane na madaraja, Tuangalie hili la CORONAVIRUS, tufunge mipaka yote bila kungojea mpaka tuje KUFA mamia ya wa Tanzania. Watanzania walio wengi hatujiwezi kupambana na CORONAVIRUS na hata Serikali yetu haijiwezi ktk kupambana juu hivi virus, hawaja jiweza China na Italia mpaka wamepoteza maisha zaid ya watu elfu 5, tutajiweza sisi wa Tanzania na Tanzania yetu????
deluded,corona ikiisha utatumia pumbu au kuma kuvuka mto?? think ahead.
@@errydeo8865 kuma wewe kama makuma wengine, madaraja yamekua yakijengwa kila siku toka kipind cha mwinyi mpaka sasa awamu ya 5, mnatumia pesa zeru kwanjia ya kutudanganya kwa madaraja, wewe ni shoga
@@mahamoudabas8555 punguza kunyonya mboo mbwa wewe!!we unafikiri vitu vitasimama eti Korona,kajifungie ndani uone ka hujafia humo,msenge baridi...hao wagonjwa watapitishwa wapi kama madaraja hayajawekwa sawa???tumia ubongo,usitumie mkundu kuwaza..
Wewe ni mkundu kama mikundu mingine, ambayo imshanyonya mboo yangu! Njaa utakufa wewe na wenzio, sio mimi, mimi hata nikikaa ndan mwaka mzima njaa sitokufa. Hapa nilipo nipo ndan na familia yangu, toka tareh 20 mwez wa 3, mimi sio mwenzio wewe kuma, unijui sikujui kuma wewe. Hapa huwez kitu mkundu wewe! Nipo ndan yapata mwezi sasa kwa taarifa yako, watoto wangu wako salama, wanakila kitu cha kuchezea ndan na geti ni kubwa , mbwa wewe. Kama unashida na ela ya chakula nikupe mtu AKUFILE, kisha nikupe pesa ukanunue mchele na unga uweke ndan. Mimi nitamsukuma mavi mkeo kama uko na mke, ila wewe nitakupatia jamaa yangu akushugulike huo mkundu mchafu.
@@mahamoudabas8555 ndo unavyoonyesha upeo wako mdogo wa kufikiri,kwa kua unaweza kukaa ndani unafikiri wote wako hivyo..mtu utamjua uwezo kwa kufikiri kwa ayasemayo!!hunijui!unabwabwaja tu!!! ubongo umejaa shahawa tu,ukiongelea kitu,kifikirie kwa mapana,inaonekana,unaangalia karibu na mkundu wako!! try to think broadly..hata kujibu hoja ,either hujui usamalo,au you are just a retarded mofuckker,usiyejua kiendeleacho!! hujui hata umuhimu wa madaraja kukarabatiwa..kwa kua umesikia COVID-19,unaimba tu...grow up pussy..na ulivyo limbukeni,kakuuliza nani mambo ya familia yako!!!!msenge bardi...ningejua uko wapi,,wewe na mkeo ningewapa vifilo tu....faggot...igorance is a bad desease..tia akili kidogo mchambia juani...
Rais mm ninae nyoka nao mzee
Waziri chupu chupu duh
kwaresma ilimuokoa..lol
Wakomeshe mzee wanazalau wafanyakazi wako
Ako fit huyu rais wenu. Wengine ni vitambi tu na kuhema