Rais MAGUFULI Alivyowabana TANESCO, Nusura AWATUMBUE!

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 12. 06. 2019
  • Rais MAGUFULI Alivyowabana TANESCO, Nusura AWATUMBUE!
    Rais Dk John Magufuli amelitaka shirika la umeme nchini TANESCO kuwasaidia wabunifu na wazalishaji ili waweze kuzalisha umeme mwingi zaidi.
    Rais Magufuli ameyasema hayo leo alipokutana na John Mwafute pamoja na Gairos Ngairo ambao ni wakazi wa Mkoa wa Njombe wanaojishughulisha na uzalishaji umeme kwa njia ya maji na kusambaza kwa wakazi katika maeneo yao, Ikulu jijini Dar es salaam ambapo wazalishaji hao wamepewa jumla ya shilingi millioni 55 kwa ajili ya kuendeleza kazi zao, ambapo Rais amewachangia milioni tano,
    Aidha katika hatua nyingine Rais Magufuli ametoa maagizo wabunifu hao kupewa cheti cha kutambua mchango wao katika maendeleo ya Taifa, na kuongeza kuwa kwakuwa wao hawana elimu yoyote juu ya umeme CHETI hicho ndicho kitakuwa utambulisho wao.
    #IKULU
    Https://www.youtube.com/watch?v=N1X-f... Watch More Videos here: goo.gl/GvVdZw Watch More Videos here: goo.gl/ae33fL Website: www.globalpublishers.co.tz FaceBook: globalpublishers
    Instagram: globalpublishers Twitter: GlobalHabari Install Global App: ANDROID: goo.gl/QvT6RV Install Global App: iOS: goo.gl/2jDyho

Komentáře • 347

  • @pastorhermantv5420
    @pastorhermantv5420 Před 6 měsíci +68

    Wangapi tunaangalia 2024 tunatamani siku ziludi nyuma tuwe na raisi wetu MGFL leo umeme umekua dhahabu 😢😢😢😢😢

  • @blackkid7377
    @blackkid7377 Před 6 měsíci +20

    Nipo naangalia baada ya shida ya umeme kutokea 2024

  • @brianeliaki9436
    @brianeliaki9436 Před 5 lety +23

    Huyu ndie kiongozi tunae mhitaji Tanzania. Na atakae kuja ajipange tunataka awe zaidi ya huyu "Tudhamini Vyetu kwanza".🇹🇿 kama tupo pamoja gonga like!

  • @fakiikibakola1300
    @fakiikibakola1300 Před 5 měsíci +4

    KAMA UNAAMINI MAGUFULI ATALUDI NGONGA LIKE HPA

  • @josephelisha8413
    @josephelisha8413 Před 5 měsíci +7

    This man was something else... May his soul find eternal peace

  • @khamishaji9508
    @khamishaji9508 Před 5 měsíci +9

    Jamaa anatisha,, kweli hujui faida ya kitu mpaka kikutokee 😢😢

  • @khalidballeth5957
    @khalidballeth5957 Před 5 lety +26

    Huyu ni OUR HISTORY PRESIDENT KATIKA NCHI YETU,JAMANI SIJAWAHI KUPIGA KURA MAISHA YANGU,TO BE HONESTY KURA YANGU NA YA RAIS WANGU TU JPM,ni kuomba uzima tu INSHAALLAH tuombe uhai🙏🏻

  • @drgeofreykupaza7707
    @drgeofreykupaza7707 Před 4 lety +32

    Hapo umeanza kuzungumza
    Kama umesikia gonga like apa

  • @dicksonshekivuli3076
    @dicksonshekivuli3076 Před 5 lety +28

    Mh. Rais hongera sana kwa kuwaona wabunifu wetu wa ndani. Hao watu wapewe kibali mh. Rais wauze umeme na wapewe makadirio wachangie kodi serikalini. MUNGU AKUBARIKI SANA

    • @amirisingitu1631
      @amirisingitu1631 Před 5 lety +1

      Mh Rais wewe ni wamfano Duniani, Mwenyezi mungu akupe Afya njema ili ulitumikiye Taifa hili la Tanzania. Mh, Rais kwa uchapakazi ulionao wewe, miaka kumi ya kikatiba haitoshi , Mwenyezi mungu ametuchaguliya kiongozi sahihi, kwa maoni yangu, utuongoze miaka kumi na Tano, Inchi yetu itakuwa ya mfano wa kuigwa Duniani.

    • @saidysuleiman5360
      @saidysuleiman5360 Před 4 lety

      Raisi mwambie akujibu uyoo

  • @luganosimon4111
    @luganosimon4111 Před 5 lety +39

    Really if we go in this way really we are going to fly soon and reach to Canan, congraturations our beloved president

  • @nasseralhabsi1483
    @nasseralhabsi1483 Před 5 lety +20

    Mheshimiwa raisi, sisi wote tunakukubali.Kwa kweli ni hodari ktk. kila sekta, hudanganyiki. Tunakukubali ,hongera sana.

    • @kangongomusa9140
      @kangongomusa9140 Před 5 lety

      jembe LA tz imulike manyara kiteto Sunya utaona mapungufu makubwa sana tena sana

  • @jamesakhabuhaya6194
    @jamesakhabuhaya6194 Před 5 lety +15

    Asante hiyo point ya vyura,fuvu la mtu wa kale lipo karibu kuibiwa tanzania hii,hawamsaidii raisi

  • @husseinhussein4148
    @husseinhussein4148 Před 5 lety +21

    So proud of this president. God Bless 🇹🇿

    • @bedashauri8179
      @bedashauri8179 Před 5 lety

      Kunawakati mguu , useme utetee kazi

    • @mesutnyaryanga8932
      @mesutnyaryanga8932 Před rokem

      And you will never see these type of people - kwasababu hamna 10% - hapa.

  • @nwntz
    @nwntz Před 5 lety +14

    KAMA UMESIKIA MKURUGENZI AKIMWITA RAIS MH. WAZIRI GONGA

  • @neemakilomoni4258
    @neemakilomoni4258 Před 5 lety +27

    Yani mpaka namuonea imani huyo Baba wa Tanzania 🇹🇿 badilikeni jamani tu m support Rais wetu haya maendeleo ni ya kwetu sio yake acheni ubinafsi watu mko kwa matumbo yenu tu

  • @adamdaudi6191
    @adamdaudi6191 Před 5 lety +20

    Hili jamaa lina akili sana mpaka basi, a kind of genius president Tanzania ever had including Nyerere and Mkapa, big up JPM, karibia kila field anajua, engineering and Chemistry so far!.

  • @jayjay4313
    @jayjay4313 Před 5 lety +19

    Dah. Namkubali sana mkuu wa majeshi yetu. Hakuna keshe, mi ningejibu naenda sasa hivi mzee.

  • @crispinbisimwa7397
    @crispinbisimwa7397 Před 5 měsíci +2

    Want the full video.
    Rest in power Dr JPM 🎉 🙏
    Forever in our hearts 💕
    A true son of Africa.
    In our eyes, you will always be a hero ❤️

  • @TheMakala21
    @TheMakala21 Před 5 lety +15

    Najisikia kulia ninapoona Rais wangu anaumia kiasi hiki!!!
    Tubadilike jamani!!

  • @henryford1571
    @henryford1571 Před 2 lety +7

    We miss you JPM,Itatuchukua miaka mingi sana kupata kichwa kama hiki

  • @imanimasasa7042
    @imanimasasa7042 Před 5 lety +13

    I'm proud of you my president! This country needs you more! May God bless you.

  • @josephyyohana7943
    @josephyyohana7943 Před 5 lety +6

    Baba Nkulu Wiswe Magufuli Olame Welelo..Nakupongeza nakupenda raisi wangu!!Mungu NDIYE aliyekuleta Tanzani.Wabunifu tuko wengi tumsaidie baba.

  • @charlesmugisha6529
    @charlesmugisha6529 Před 2 lety +5

    Nashindwa niseme nini kumpoteza uyu baba mungu ndo anae jua.nitalia mpaka na Mimi nitakapo mfata uko aliko baba angu magufuri😭😭😭

  • @danielmgonja9906
    @danielmgonja9906 Před 5 lety +6

    kwel iv ndo kiongoz anatakiwa kuwa..,Dr.JPM I real appreciate this man.

  • @juvenalibrahim2929
    @juvenalibrahim2929 Před 5 lety +13

    Duuu kufanya kazi na Magufuli inabidi uwe na akili nyingi sana. Mungu ibariki Tanzania mungu ibariki Africa.

  • @ramahawai7056
    @ramahawai7056 Před 5 lety +2

    Raisi Mugufuli you are God sent. Mungu akulinde, akupe afya, na nguvu undelee na kazi njema unayofanya.

  • @abdullahnassor9433
    @abdullahnassor9433 Před 5 lety +7

    Magufuli has to be given more time to fix the country. Tanzanian should stand up and add more time for him

  • @mtatiromgeka7270
    @mtatiromgeka7270 Před 5 lety +10

    mungu wangu akuongezee hekima zaidi ktk haya

  • @kwisa4899
    @kwisa4899 Před 2 lety +4

    Who is watching this after this big mess of Tanesco & Dawasco Nov 2021

  • @bigowillythomaskayanda7763
    @bigowillythomaskayanda7763 Před 5 lety +46

    Just tell me, to defend your job, Kama umesikia hiyo gonga like hapa..

  • @petermasele5692
    @petermasele5692 Před 5 lety +34

    Rais miaka 10 hajanitosha Kwa maoni yang uendelee mpaka 2030 itakuwa powa Sana saluti kwako siyo Kwa ccm

  • @sabihimngetuka6971
    @sabihimngetuka6971 Před 5 lety +11

    Rais ww wazir ww hii noma

  • @enockcharles6835
    @enockcharles6835 Před 5 lety +4

    Kweli rais wetu Magufuli una utu ndani yako, Mwenyezi Mungu akujalie hekima, busara na uzalendo ambao unaendelea kuionyesha.
    Tunakuombea sana, we ni wetu

  • @hamisimkulupalile9461
    @hamisimkulupalile9461 Před 5 lety +9

    Our president Magufuli sina neno kwako, nakukubali haijawahi kutokea.

  • @Allyhujjat
    @Allyhujjat Před 5 měsíci +2

    Everlasting love and respect kwako uncle magufuli wewe kweli ni kocha mchezaji

  • @liliansamson4239
    @liliansamson4239 Před 5 lety +12

    Rais Wangu. Mungu akutunze, akupe Maisha Marefu. Unahitajika sana. Mambo ni mengi inasikitisha sana. Mungu akutie Nguvu una kazi Ngumu sana.

  • @kuchenavhe0028
    @kuchenavhe0028 Před 5 lety +13

    Tanesko wamejiumauma sana wanajifanya hawawajui hao wazee wkt wanawajua😂😂😂 Hao wazee wapo kitambo sana mitaa hiyo na habari zao zinafahamika sana

  • @peternyambo1439
    @peternyambo1439 Před 5 lety +7

    Aloooo MZEE BABA nakukubali , muda sio mrefu tutasonga mbele ka mishale, bravo Mr President JPM

    • @emmanuelyusufu6568
      @emmanuelyusufu6568 Před 5 lety

      Darasa la saba tupo apa niite mimi siku unipe kitengo chochote niongoze awo wasomi nakumbuka bibi zetu awakusoma kama hao lakin utendaji wa kazi ni zaid ata ya hao wasomi

    • @jamestitus7889
      @jamestitus7889 Před 3 lety

      Pamoja sana

  • @jacobcharles1604
    @jacobcharles1604 Před 3 lety +3

    Raisi wangu mm nakupenda sana Mungu akurinde skuzote na udumu miaka mingi ktk uongozi wako

  • @clementmwaitebele7687
    @clementmwaitebele7687 Před 5 lety +6

    Big up Mr President JPM yaani tulizoe maneno meeengi upigaji mwiingi lakini utendaji ulikuwa zero... Sasa Umeingia JPM maneno kidogo vitendo super.. Good.. I admire you so much...

    • @juliethhouseofdesigns147
      @juliethhouseofdesigns147 Před 4 lety

      Walijua kutuibia kwa maneno wakishasema habari za tathimini na research basi tunaishia apo na ndio inakuwa imeisha

  • @dullydully8863
    @dullydully8863 Před 5 lety +18

    Muheshimiwa Rais ww safi nakukubali sana 100% president ww geneus

  • @brianeliaki9436
    @brianeliaki9436 Před 5 lety +5

    Na Global Tv. Tunahitaji Feedback za hawa Genious wa Tanzania... Please!!!!

  • @johnbanzi884
    @johnbanzi884 Před 5 lety +2

    I cant see a president like you GOD bless

  • @husseinkihame9542
    @husseinkihame9542 Před 3 lety +3

    Magu baba tunakukumbuka naendelea kujifunza kupitia kumbukizi zako #25/04/2021

  • @maridadi8
    @maridadi8 Před 5 lety +21

    Tatizo la Africa. Tunathamini technologia ya nje

    • @juliethhouseofdesigns147
      @juliethhouseofdesigns147 Před 4 lety

      Uo ndio ukweli tunataka umoja wa mataifa pamoja na marekani waseme ndio tuone ni kweli au haki

  • @masachihorticultureunitcol711

    Njombe kuna maporomoko mengi. Kuna opportunity ya kuzalisha umeme kwa bei rahisi

  • @andrewluhamo6853
    @andrewluhamo6853 Před 5 lety +5

    pongezi kwako Mh Raisi asee kwakweli una uchungu na hii nchi

  • @bigowillythomaskayanda7763

    Aisee Global TV online,, fatilia hii kitu hadi mwisho jamanii, .!!

    • @waryobamahunyo4990
      @waryobamahunyo4990 Před 5 lety +1

      Aiseee Tanzania tumepata Rais, huyu ndio kiongozi bora kwangu.Viongozi wengine tujifunze kwa huyu.

  • @hamisidale2704
    @hamisidale2704 Před rokem +2

    Mungu akulinde mpaka tuonane, Watu wema maisha yao mafupi"Tungekuwa mbali Magufuli! Kama kulipita njama ya kuutoa uhai wako,Mungu atawaumbua mchana kweupe ' wameshaanza kuropoka hadharani"

  • @jayjay4313
    @jayjay4313 Před 5 lety +10

    Hahahaaa. Kuna mjeshi kajibu naondoka nao. Safi sana, hapa kazi tu. Lazima tufike tu hata kwa bakora. Hakuna wiki tatu hapa. La saba yulee, kapata uboss juu. 😆😆😆Nani mwingine anataka kuongea. 😆😆😆

    • @issacknnko7822
      @issacknnko7822 Před 3 lety +1

      Lovely president its only God can provide a person like u

  • @pilotmadata5791
    @pilotmadata5791 Před 6 měsíci +3

    Baba ni baba ...ila mama hapa kwa tanesco kapoa sana ..

  • @faridyassin2116
    @faridyassin2116 Před 3 lety +2

    Kusema kweli Tanzania 🇹🇿 imepoteza kiongozi, Africa tunahitaji kiongozi kama huyu, Mungu mrehemu msamehe makosa yake na amlaze mahali pema peponi Amen.

  • @othmanshahib1115
    @othmanshahib1115 Před 5 lety +4

    Mkawe vibaruwa wa hawa huyu mzee noma sana 😅😅

  • @julietsingerke3094
    @julietsingerke3094 Před 4 lety +8

    Mimi ni mkenya lakini nafwatilia sana Raisi bombe magufuli wa Tanzania. Ni Raisi wa kumwenzi sana,nampa heko kwa Kazi nzuri anayo fanya.

  • @mr.machange1377
    @mr.machange1377 Před 5 lety +10

    Mguu pande mguu sawa ni mwendo wa KIJESHI tu no kubembelezana

  • @paulowangoma4932
    @paulowangoma4932 Před 5 lety +13

    Viongozi hawamsaidii Rais, plain and simple.

  • @zawadiyusuf538
    @zawadiyusuf538 Před 4 lety +1

    Hongera sana raisi wetu kwa kuongoza nchi kwa ufasaha na kuomba utukumbuke huku tanga lushoto baba asante

  • @kelvinchidabwa2538
    @kelvinchidabwa2538 Před 3 lety +1

    HApo kazi TUUU MH Rais MAGUFUli utendaji bola

  • @jedidahbintidaudi8241
    @jedidahbintidaudi8241 Před 3 lety +2

    whose here after the pass on of our beloved President John Magufuli?

  • @alimakaba6170
    @alimakaba6170 Před 5 lety +5

    Limenishtua sana hilo tangazo nilijua ndo uchambuzi waDAMPO LEVO unakuja kwa kishindo. Dah.. Live longer than the long itself Mr. JPM 5

  • @eliasmalisti934
    @eliasmalisti934 Před 3 lety +2

    Mungu aendelee kutupa viongozi kama hawa... kiongozi mwenye uchungu na maendeleo ya nchi yake.

  • @sonnyr1899
    @sonnyr1899 Před 5 měsíci +2

    2024 bado tunakuona upo hai Baba

  • @jerrjamary2649
    @jerrjamary2649 Před rokem +2

    Jamani ongeeni daaaah watu wanaogopa uyu mtu alikua kichwa sana

  • @salimsoho5515
    @salimsoho5515 Před 3 lety +1

    Mungu akupe maisha marefu

  • @nasrathyusuph3964
    @nasrathyusuph3964 Před rokem +3

    I envy the angels in heaven coz they have gain a soul we have lost 😭😭😭😭😭

  • @paschaljohnmwaisumo6180
    @paschaljohnmwaisumo6180 Před 6 měsíci +1

    8:10 mungu turudishie john wetu japo nikama ninakukufuru ira tuurumie😢😢❤

  • @johnsonchonja4032
    @johnsonchonja4032 Před 5 měsíci +1

    Jamaa sayansi ilikuwa imelala kichwani

  • @jitujitume2927
    @jitujitume2927 Před 5 lety +2

    Namkubali sana Rais wangu mungu mkubwa

  • @sophyeliah954
    @sophyeliah954 Před 5 lety +10

    10:40 Heart touching

  • @pascalgodfrey686
    @pascalgodfrey686 Před 5 lety +5

    Dharau za hao wasomi ndio maana hatupush technology ya kwetu, Hapo Costech walitakiwa kubanwa pia Na watumbue

  • @omarjumanne4471
    @omarjumanne4471 Před 5 lety +8

    Hiyo ndo rais viongozi wengi mbubu hawajui tunataka nini?

  • @user-eh5ss4dw1c
    @user-eh5ss4dw1c Před 5 měsíci

    Akili nyingi mpaka zinamwagika,pumzika kwa amani baba Magufuli❤❤❤❤

  • @elizambilinyi2880
    @elizambilinyi2880 Před 4 lety +2

    Watu wanjombe Wana akili Sana. Pongezi kwa watu wanjombe🤸🤸👏👏

  • @kivakumshana9388
    @kivakumshana9388 Před 5 lety +6

    Kilichobaki ni kubadili tyu utaratibu JPM_5 agonge miaka kama 35 .,..niaminini wote jaman Tanzania itakuw kama ulaya

  • @omaryabdi2055
    @omaryabdi2055 Před 4 lety +2

    Huyu ndio mzalendo halisi wa Tanzania Rais J P M

  • @emmanuelmlowe-ew7gx
    @emmanuelmlowe-ew7gx Před 10 měsíci +3

    Tutampata lini mtu kama magufuli? Ana akili, anambinu, mbinifu, anaamuzi. Haogopi hata kama lingeonikana gum kiasi gani

  • @samirymwita7162
    @samirymwita7162 Před 10 měsíci +1

    Ndio rais

  • @nsengiyumvabienvenu8491
    @nsengiyumvabienvenu8491 Před 5 lety +1

    Mungu akubaliki Baba
    🙏🙏🙏

  • @stephanokanyika6321
    @stephanokanyika6321 Před 5 lety +2

    Big up sana

  • @francismkenda
    @francismkenda Před 5 lety +3

    Mheshimiwa rais yan wewe huna mpinzani mpka utakapoamua kustaafu.
    Mungu akulinde sana

  • @innocentjohn4040
    @innocentjohn4040 Před 2 lety +1

    I miss you my lovely president

  • @emmanuelsanareemmanuelsana9137

    Mungu utupe mwingine kama huyu ❤❤❤❤❤❤❤❤

  • @omarkanout8684
    @omarkanout8684 Před 5 lety +1

    Nakukubali rais wangu kwenye utendaji

  • @kastorkidumu6579
    @kastorkidumu6579 Před 5 lety +5

    wakabe tu vipaji vipo

  • @jofreysanga9520
    @jofreysanga9520 Před 5 lety +1

    Nakupongeza sana Raisi wangu na ninakupenda sana tangia umeingia madarakani hata mimi nimepiga hatua kubwa sana katika maisha yangu.. hakika Mungu azidi kukupa pumzi zaidi ili watanzania tuzidi kunufaika

  • @ibrahimjoseph2789
    @ibrahimjoseph2789 Před 3 lety +1

    Hii ndio kasi ya aliyekuwa rahisi wetu, hakika umetutoka na umetupigania sana wallah, MUNGU akulipe heri uko ulipo.

  • @SafeHaven_TV
    @SafeHaven_TV Před 5 lety

    Mhe Rais nakupenda mno kwa utendaji wa hali ya juu.Hongera sana my president.

  • @jacksonjackson2293
    @jacksonjackson2293 Před 5 lety +6

    Mzee pwagu sema ukweli usiogope

  • @omarjumanne4471
    @omarjumanne4471 Před 5 lety +8

    Viongozi wengi rais ni mbumbu wamesoma siyo wabunifu

  • @jeninunu9177
    @jeninunu9177 Před 5 lety

    Hongera sana Mheshimiwa Rais Magufuli kutuonyesha mapambano ya kila siku kuwafungua macho viongozi na raia

  • @rehemashaban6858
    @rehemashaban6858 Před 5 lety +1

    Baba asante sana wanatuzarau sana hao walio someshwa na pesa zetu, elimu inawapakiburi

  • @user-vv9wb9he2x
    @user-vv9wb9he2x Před 6 měsíci

    Magufuri is seriously Genius of Tanzania

  • @hamisjingu90
    @hamisjingu90 Před 5 lety

    Very really.. Is sure...!! God bless our president.... The work you are doing..is much better than actual...wAkat mwingne tunapaswA kuwa makini ...watendaji wanapaswa kuwa wabunifu

  • @nyangimarwa3448
    @nyangimarwa3448 Před 6 měsíci +1

    Dah pumzika kwa amani Baba Magufuri hakika sichoki kukusikiliza hakika

  • @georgemzoo4417
    @georgemzoo4417 Před 5 lety +3

    Pongezi Mh.Rais....

  • @amanisharutiely5535
    @amanisharutiely5535 Před 5 lety +1

    Jamani mimi nampenda sana Mh. Rais wangu kwakweli maamuzi yake hayahitaji kuunda tume au kusubiri siku kadhaa yeye akiuliza majibu hapo hapo safi sana Mh. Dk.Magufuri

  • @eliyawilliammagesamarwa8413

    Asante sana tata

  • @clementluvanda4364
    @clementluvanda4364 Před 4 lety +1

    Kweli kabisa saf rais

  • @senetornkwarz5714
    @senetornkwarz5714 Před 5 měsíci

    Mungu unisameh!!🥹Naomba mrudishe Magufuli pls👏🏾🙏🏾

  • @rahmazahor4333
    @rahmazahor4333 Před 3 lety +2

    Ha ha ha magufuli nani yuko hapa baada ya kupata 84% 2020