JAFO AMKASIRISHA MAGUFULI "NIMESHANGA SANA STAND KUITWA JINA LANGU, UMEJICHONGEA, SIFURAHII SANA"

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 8. 09. 2024

Komentáře • 181

  • @emmanuelbonifase1114
    @emmanuelbonifase1114 Před 3 lety +35

    Wanyonge Kwanzaa wanyonge oyeee msipomkubali JPM unayo kasolo

  • @jamesjames2368
    @jamesjames2368 Před 3 lety +36

    Jafo hajamkasilisha Magufuli kama ulivyoweka hapo juu. JPM anatoa mapendekezo yake. Msipende kupotosha kauli za watu! Na kuchonganisha.

    • @pamelatimoth635
      @pamelatimoth635 Před 3 lety +3

      Wanaboa sana na heading zao fake na zakushtua. Cjuw nani aliyewaroga, mpaka waongope ndowanaona raha

    • @machintangachibwena5922
      @machintangachibwena5922 Před 3 lety +2

      Bora ya kuangalia x kuliko kuangalia chanel mchwara kama hizi, huyu Milard Ayo nae sijui anakwama wapi siku hizi ana chemka chemka sana siku hizi

    • @chiefmahucha6847
      @chiefmahucha6847 Před 3 lety +2

      @@machintangachibwena5922 vijana wake wa kazi ndo wanaofanya huu ujinga..!

    • @machintangachibwena5922
      @machintangachibwena5922 Před 3 lety +2

      @@chiefmahucha6847 wana muharibia sana

    • @ipajam9
      @ipajam9 Před 3 lety +2

      Ni kweli hawa waandishi mara nyingi wanapotosha wananchi

  • @hamadatahir9307
    @hamadatahir9307 Před 3 lety +81

    Jamani kuna mtu anayemkubali Mzee Magufuliii?? Hebu gonga likes teleeeee kwa Rais wetu ambae ni jembe kweli kweeeli.

  • @mtakatifubony1829
    @mtakatifubony1829 Před 3 lety +18

    Huyu ndiye Rais Tuliyekuwa Tunamtaka, MUNGU Akutunzeee Magufuriii Tunakupendaaa

  • @siafuvideo2541
    @siafuvideo2541 Před 3 lety +11

    Najivunia sana kuwa Mtanzania Alhamdulilah 🙏

  • @angelanaftael7965
    @angelanaftael7965 Před 3 lety +8

    Mungu akulinde mh baba yetu wew ni jembe sana.Mungu akulinde mheshiwa

  • @athmanihaji7771
    @athmanihaji7771 Před 3 lety +14

    Mheshimiwa Dr.John Pombe Magufuli ni jicho,mkono,huruma ya Mungu iliyoshushwa kutoka mbinguni...wanaokubali wagonge like...pia tumuombee ikiwezekana kikatiba aendelee kuwa Rais Kwa miaka 30 Tanzania yetu iwe ulaya africa

  • @erickchitumbi1308
    @erickchitumbi1308 Před 3 lety +14

    Genius magufuli

  • @hermankifyasi8073
    @hermankifyasi8073 Před 3 lety +26

    Hongera sana Mheshimiwa Rais kwa kujali na kuheshimu wanyonge, Mungu akubariki sana,, 🙏🙏

  • @mtakatifubony1829
    @mtakatifubony1829 Před 3 lety +23

    Kama Unamkubaliii Magufuriii gonga Like yenye Akili hapa

  • @hassanmirambo564
    @hassanmirambo564 Před 3 lety +23

    Mmmmh mtani wangu Suleiman Jafo umelikoroga mwenyewe mjomba wangu hataki masihara,umetaja jina MAGUFULI mwenyewe WaFa

  • @sitellamatni6878
    @sitellamatni6878 Před 3 lety +9

    Mangufuli mbele kwambeleee 🙏 asante mkombozi wetu👏👏

  • @jabalimikechi7750
    @jabalimikechi7750 Před 3 lety +13

    Tanzania muna bahati kweli, if Tanzania was rich country like my country DRC , believe me Tanzania will be the greatest country in est and central of Africa ( the army of sheep lead by lion can defeat the army of lions lead by a sheep ) so great leader make things happen no matter what, God bless Africa 🙌🙌

    • @flipflop8409
      @flipflop8409 Před 3 lety

      Are you saying DRC is richer than TZ ? How?

    • @wardajoseph6909
      @wardajoseph6909 Před 3 lety

      Sana

    • @ellymaz2187
      @ellymaz2187 Před 3 lety

      @@flipflop8409 Resource wise, Congo is richer than any country in the world.

    • @bernardoleonard7331
      @bernardoleonard7331 Před 3 lety

      In term of resources I think kipindi anaumba dunia hakuweka tu resources Bali alimimina gold diamond copper Forests everything though Tanzania pia was privileged but siyo Kama Kongo.

    • @gefmwa-nyigo1596
      @gefmwa-nyigo1596 Před 3 lety

      I'm happy to be tzn

  • @mwanahamis5487
    @mwanahamis5487 Před 3 lety +4

    Mama ntilie oyeeeeeee nipe like zangu 😀😀😀magufuli oyeeeeeee

  • @jamesshao538
    @jamesshao538 Před 3 lety +6

    Best President in Africa ,we love you mr.magufuli

  • @moshacav1061
    @moshacav1061 Před 3 lety +8

    Ee BABA MUNGU tunakushukuru kumpata kiongozi bora anaewapenda na kuwajali watu wooote,

  • @amosyohana5351
    @amosyohana5351 Před 3 lety +16

    Rais wa wananchi

  • @mussajuma1736
    @mussajuma1736 Před 3 lety +10

    Kila anako toka mtu dara dara itafika mbezi !! Mbezi hoyeeeeee.

  • @fatumahassan8212
    @fatumahassan8212 Před 3 lety +8

    Mheshimiwa rais unaonyesha dhamani kubwa kwa watanzania..Allah akuongoze kwa kila hatuwa akulinde daima

    • @khatibumkwisu4071
      @khatibumkwisu4071 Před 3 lety

      Kweli mzeee tunakukubali

    • @khatibumkwisu4071
      @khatibumkwisu4071 Před 3 lety

      Lakini mazao hayana beyi masoko hakuna mahindi Michele tunaumia sana

    • @khatibumkwisu4071
      @khatibumkwisu4071 Před 3 lety

      Tazama na hili LA wakulima na wafanya biasha za mazao mwaka wapili huu hatuelewi

  • @barakalabani7399
    @barakalabani7399 Před 3 lety +5

    Magufuri ar the winner for every idea 👍

  • @mjinihakuna5550
    @mjinihakuna5550 Před 3 lety +15

    Hundio ukweli mtupu baba

  • @naivashaazori6233
    @naivashaazori6233 Před 3 lety +9

    Namkubali huyu mzee mpaka naunwa jamani asante mungu kwa kutupa Rais kama huyu tunakupenda sana

  • @solemba595
    @solemba595 Před 3 lety +15

    Waangalie tena Bei ya Vizimba, ni kubwa wanyonge wengi hawataweza

    • @damxon3013
      @damxon3013 Před 3 lety +2

      Shingp wanafanya

    • @solemba595
      @solemba595 Před 3 lety +2

      @@damxon3013 elfu 40 kwa mita Moja ya mraba(1X1),
      msikilize mkurugenzi: czcams.com/video/_6k16ftF6uw/video.html

    • @damxon3013
      @damxon3013 Před 3 lety

      @@solemba595 thanks

  • @hassinaalharthi5984
    @hassinaalharthi5984 Před 3 lety +2

    Asante saana baba pongezi nyingi yani natamani nikuone baba wa Taifa ubarikiwe uzidi kutetea haki Za wanyonge pongezi wananchi woote. Husemi uongo kweli tuupu

  • @ashooraashoora1180
    @ashooraashoora1180 Před 3 lety +1

    Mashaa'Allah Mashaa'Allah Mashaa'Allah ww ni Rais mzalendo ukiondoka utakua umeacha alama kubwa nahakuna wakuja kukuzid Allah akulipe Khery kutokana na nia yako ❤️

  • @wardajoseph6909
    @wardajoseph6909 Před 3 lety +2

    Mashaallah umeongea maneno ya hekima sana najifunza mengi juu ya rais wangu

  • @andulilemwakihabha2048
    @andulilemwakihabha2048 Před 3 lety +1

    Nakukubali Sana mkuu mtetezi wa wanyonge MUNGU akubariki Sana raisi wetu mpendwa John Pombe Joseph Magufuri HAPA KAZI TU

  • @geom4051
    @geom4051 Před 3 lety +5

    U should be King

  • @barobarotz2129
    @barobarotz2129 Před 3 lety +7

    Magufli baba lao

  • @emtiyarajwani5065
    @emtiyarajwani5065 Před 3 lety

    Your vision ni best of the best My Dear President Mungu ikubariki mbaka mwisho wa Duniya Tanzania oyee CCM oyee

  • @hadijarajabu7198
    @hadijarajabu7198 Před 3 lety

    Real I preciate you much and always be blessed president through the power of God , keep doing uishangaze dunia

  • @elizabethswai9670
    @elizabethswai9670 Před 3 lety +2

    Maombi mengi kwa rais na wanyonge wote

  • @hkifofficialtz2105
    @hkifofficialtz2105 Před 3 lety +8

    Magufuli oyeee

  • @charleserastusnsense1305

    mh rais mimi nakupenda sana tufaye kazi tu

  • @kelvinmselle8977
    @kelvinmselle8977 Před 3 lety +1

    Hongera sana Raisi wetu
    Hakuna kama wewe hakika

  • @japhetdaudmaneno8440
    @japhetdaudmaneno8440 Před 2 lety

    It was good speach,and still alive legacy of Magufuli's President 👍💪🇹🇿

  • @daudkhatib81
    @daudkhatib81 Před 3 lety

    Muheshimiwaa. Rais maguu. We. Huns mfaanoo mwingii WA. Hakuna. Kwanzaa wanyongee big. Up

  • @pamelatimoth635
    @pamelatimoth635 Před 3 lety +8

    Mabasi mabovu yasiingie humo sasa 😅

  • @margarethpolepole7438
    @margarethpolepole7438 Před 3 lety

    Hongera sana mwana wane kwa kuwajali wanyonge mungu akubariki sana

  • @halimakihame1744
    @halimakihame1744 Před 3 lety +2

    Magu.magu.magu.magu asanteeee

  • @devothajonathan747
    @devothajonathan747 Před 3 lety

    Mungu akupe ulinzi baba yetu na rais wetu kipenzi, watanzania wengi tunakuelewa na tunakuombea maisha marefu.

  • @aminaissah2693
    @aminaissah2693 Před 3 lety +6

    Uwendele two kuongoza

  • @elizalutiga6287
    @elizalutiga6287 Před 3 lety +4

    Kipenzi cha watu

  • @hawwahawwa9590
    @hawwahawwa9590 Před 3 lety

    Mashalllah Allah akupe umri mrefu baba Wa taifa letu nimependaa iyo hasira yako kuwekaa njia nanee🤣🤣🙏🙏

  • @mathewmshiu1424
    @mathewmshiu1424 Před 3 lety +2

    Safi sana mh

  • @samsonmagesa3959
    @samsonmagesa3959 Před 3 lety

    Mzee Baba Mitano tena tukikuongeza siyo Mbaya

  • @nicotitus2987
    @nicotitus2987 Před 3 lety

    Wewe ndo raisi bwana barikiwa sana mungu akulinde akupe afya njema

  • @happynesskasanda7275
    @happynesskasanda7275 Před 3 lety

    Yaani huyu baba mm wala sjui ni mtu wa aina gani naamin mungu ana makusudi yake kutuletea huyu baba binafis sina chama ila huyu baba nampenda Sana mwenyezi mungu amulinde ampe maisha malefu na afya njema

  • @mweyoms5548
    @mweyoms5548 Před 3 lety

    Baada ya Mwalimu Nyerere,huyu pia ni Rais wa Watanzania waliowengi ambao ni pangu pakavu.Hongera JPM

  • @samuelmasanja2276
    @samuelmasanja2276 Před 3 lety +2

    Safi

  • @williammussa5621
    @williammussa5621 Před 3 lety +12

    Piga kazi mwamba tunakuombea

    • @daudgerevas2610
      @daudgerevas2610 Před 3 lety

      Daud gervas JPM ukovzur ibadilishe Tanzania Kama ulaya

  • @daudkhatib81
    @daudkhatib81 Před 3 lety

    Hongeraaa. Dr. Maguu

  • @nuruelmada9570
    @nuruelmada9570 Před 3 lety

    Nakupenda sana Baba yaani Sanaa

  • @mohamedmatogoro4067
    @mohamedmatogoro4067 Před 3 lety +3

    Apo kwenye usafi ndio changamoto

    • @kambamazig02024
      @kambamazig02024 Před 3 lety

      Wakielimishwa wanaweza kupafanya kuwa pasafi, ali mradi tu nao wawajibike kufuata taratibu zitakazokuwa zimewekwa pale, na anayedharau na kuvunja sheria basi ataadhibiwa kulingana na sheria yenyewe. Watanzania lazima pia tubadili tamaduni na tuanze kuvienzi na kuvituma vitu vyetu.

  • @pamelatimoth635
    @pamelatimoth635 Před 3 lety +2

    Shida TRA kodi kubwa Baba kwa wafanyabiashara registered

  • @maishacenter-eastafricatv3976

    Naangalia hii video, natokwa na machozi, hivi kwanini Africa mashariki isiwe nchi moja tumpe huyu mzee atuongoze?

  • @yusuphsamweli1541
    @yusuphsamweli1541 Před 3 lety +1

    Good sana

  • @norbettz3244
    @norbettz3244 Před 3 lety

    Hongera anko magu jembe🕺🕺

  • @maribaisack8389
    @maribaisack8389 Před 3 lety

    Ila kazi nzuri baba!!!

  • @katemachanda7035
    @katemachanda7035 Před 3 lety +5

    Ipeni jina langu Kama vp...

  • @leilatsangali3945
    @leilatsangali3945 Před 3 lety

    Yani watanzania jeuri hii nani atatupa tena jamani.....nano atatukingia Kia wanyonge😭😭

  • @eng.lazarongoro
    @eng.lazarongoro Před měsícem

    hapa alikuwa strong lakini ilikuwaje akapotea ghafula

  • @reymasenya6450
    @reymasenya6450 Před 3 lety

    Nakukubali Sana Mungu Hakulinde

  • @rugijofrey3685
    @rugijofrey3685 Před 3 lety +4

    Haya Mhm Rais tumekuelewa

  • @Mimi-wf7mb
    @Mimi-wf7mb Před 3 lety

    We mwandishi acha uchochezi. Magu na Jafo ni watani. Mzaramo na msukuma

  • @seiphomary3435
    @seiphomary3435 Před 3 lety +2

    Dodoma ndan mbona hawapo rais faraja zako wakat mwengine hakuna

  • @simonnick1242
    @simonnick1242 Před 2 lety

    Ndiyo mjipange 2225 huyu bibi lazima tupige chini machinga na wanainchi wote matozo yy mwenye macho na masikio aone nakusikia

  • @zainabumbondei8635
    @zainabumbondei8635 Před 3 lety

    MUNGU akuweke Raisi wetu akuondolee mitihani akuepushie Maradhi hakika ww nimtetezi wawa nyonge ulikua wapi siku zote jamani

  • @flavialeonardissangu1311
    @flavialeonardissangu1311 Před 3 lety +4

    Ubungo ilikuwa karibu sana , ni ktkti ya jiji Sana ,

    • @jojosmedia5515
      @jojosmedia5515 Před 3 lety +1

      Ni kawaida jiji linapokuwa?

    • @siwonikewiliam5104
      @siwonikewiliam5104 Před 3 lety +1

      Jiji linapanuka mzee

    • @blandinamwarabu5025
      @blandinamwarabu5025 Před 3 lety +1

      Jiji linapanuka hakuna palipo mbali

    • @siwonikewiliam5104
      @siwonikewiliam5104 Před 3 lety +1

      Kabla ya ubungo kulikuwa na mnazi mmoja kariokoo na kisutu stendi ilipopelekwa ubungo watu walilalamika Sana mwisho wake Wakazoea

    • @henrylugongo632
      @henrylugongo632 Před 3 lety +1

      @@siwonikewiliam5104 usijekuta unaemwelimisha alikua halijui hilo

  • @babphonc5794
    @babphonc5794 Před 2 lety

    Yani alivyo visema ndo hivyo vinaonekana sasa,#JPM

  • @naftalimhemi1208
    @naftalimhemi1208 Před 3 lety

    Wanatupiga vita ili tukose kujitegemea tuendelee kuwa tegemezi kwao ili watunyonye zaidi.

  • @kaisarimbisso7579
    @kaisarimbisso7579 Před 3 lety

    Sawasawa mzee wetu, JPM

  • @andulilemwakihabha2048
    @andulilemwakihabha2048 Před 3 lety +1

    JPM baba laoooo

  • @mwanahamis5487
    @mwanahamis5487 Před 3 lety

    Point

  • @venancephilbert9397
    @venancephilbert9397 Před 3 lety

    Fuatilia wote waliopewa sehem za kibiashara humo utakuta ni wenyewe tu

  • @blandinamwarabu5025
    @blandinamwarabu5025 Před 3 lety

    Iwekwe vyoo vya kutosha na wawekwe watu wa kusafisha na wawepo kampuni au watu walioajiliwa maalumu kwa usafi. Na pia sehemu ya kutupa taja na zikusanywe kila siku ka si hivyo itakuwa balaa

  • @mtunguja1
    @mtunguja1 Před 3 lety +5

    Hongera sana Raisi, lakini kilichotokea hapa kinaitwa “Super Spreader”, ni kweli Korona ipo, mikusanyiko kama hii ni mambo yanayo sababisha maambukizi makubwa.

    • @junioryasin5306
      @junioryasin5306 Před 3 lety +1

      Kwan wamelazmishwa kwenda

    • @kulwaswetu7883
      @kulwaswetu7883 Před 3 lety +1

      Nawwkafie mbele aunazambinyingi mbonaunaogopakufasana? Kolonakolona hukowanakojifungiandani wamekwambiahawafi kwakolona?

    • @epifaniamaningu8771
      @epifaniamaningu8771 Před 3 lety

      Kwenda huko ww watanzania hatuna korona jifungie wew na familia yako pumbafuu kabsa

  • @valenakomba4453
    @valenakomba4453 Před 3 lety

    Tena uwaambie hao, hapo tayari wameshafanya Mtaji. Hata huyo Jafo anachake hapo

  • @ibrahimkitsakingkitsa2327

    🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩

  • @chingawadunia3621
    @chingawadunia3621 Před 3 lety

    Njoo dodom utusaidie baba yetu sisi tutakup miaka mingne tutakuombea San kw mung amina

  • @valenakomba4453
    @valenakomba4453 Před 3 lety

    Kweli Magufuli Umeweza!!!. Unasitahili SIFA. Kama kuna watu walie da shule, basi wewe ndo msomi.

  • @valenakomba4453
    @valenakomba4453 Před 3 lety

    Wakomeshe kwa Vitendo wazungu hao, Wajue.

  • @masakaupdate1488
    @masakaupdate1488 Před 3 lety

    ETI WAFAAA

  • @maribaisack8389
    @maribaisack8389 Před 3 lety

    Miradi ni mingi, uchumi bado ni mdogo so that mwananchi anazidi kuumia.......

  • @paulmbassa8203
    @paulmbassa8203 Před 3 lety

    Millard unazingua sasa

  • @lucaschisamalo2852
    @lucaschisamalo2852 Před 3 lety

    Mm napita

  • @nelsonlindi9655
    @nelsonlindi9655 Před 3 lety

    Nyie wamama wa ccm mna nn eti ccm ndio nn sasa au unazan ni mirad ya chama iyo

  • @kalingamazda
    @kalingamazda Před 3 lety

    Barakowa ziko wapi

  • @tellymapito632
    @tellymapito632 Před 3 lety +1

    M

  • @moureendelvin6289
    @moureendelvin6289 Před 3 lety

    Mh!!

  • @ilynpayne7491
    @ilynpayne7491 Před 3 lety

    Wana shangilia ccm

    • @josephatmakaranga7043
      @josephatmakaranga7043 Před 3 lety +2

      Kwa akili yako unataka washangilie na unajua kabisa serikali ni ya CCM na ilani inayotekelezwa ni ya CCM. Unataka washangilie chadema au act, acha kujitoa ufahamu

    • @chiefmahucha6847
      @chiefmahucha6847 Před 3 lety

      Miradi yote hiyo imo kwenye ilani za uchaguzi ya CCM za miaka 2015/2025

  • @ellyitete938
    @ellyitete938 Před 3 lety +1

    Akija mwingine je?

    • @asteriambwei3349
      @asteriambwei3349 Před 3 lety

      Ni sw unavyosema Ila ukishaondoka tuu hawafanyi km ulivyoagiza t r a na watendaji kazi wa stendi watasumbua Sana wakiisinginzia serikali

  • @japharliberatus2590
    @japharliberatus2590 Před 2 lety

    ,

  • @flavialeonardissangu1311
    @flavialeonardissangu1311 Před 3 lety +3

    Lakini mtuonea kunawatu wanatoka mbali mpka kufika Mbezi Ni mbali sana ,

    • @farhannjama3808
      @farhannjama3808 Před 3 lety

      Uko sahihi kabisa. Nashangaa huku TZ stendi zote nimewekwa nje ya mji sasa hao wanaoishi upande mwingine au kusini ya hapo DAR ndio watakao umia. Nimetembea ulaya karibia nchi zote stendi ya mabasi na treni ziko hapo hapo zaidi ya miaka 150, wao wanazipanua hapo hapo, hawahamishi,

    • @ahmadnassor7375
      @ahmadnassor7375 Před 3 lety +1

      Eneo la ubungo halikuwa maalum kwa stand ni eneo ambalo UDA ilikuwa yard yao . lakini pia tayar lilishakuwa eneo finyu sana kwa stand kuu ya mabasi TZ Ukilinganisha na hadhi ya jiji ya Dar es Salaam. Sio mbaya kinachohitajika hapa ni connections ya fider roads ili mbezi kufikike kwa urahisi.

    • @hamisasalum270
      @hamisasalum270 Před 3 lety

      Mkurugenzi wa ubungo nishida sana

    • @mbarakaiddi8209
      @mbarakaiddi8209 Před 3 lety +1

      Nadhani lamda wanataka kupanua mji zaidi maana kule watu wataenda kujenga nyumba magest na mambo mengi hayo ni mazowazo yangu

    • @salummtosa3885
      @salummtosa3885 Před 3 lety +1

      kama unatoka mbali pale kuna sehemu ya kulala mbure kabisa ile ni stendi ya kisasa na imezingatia jogorafia ya dar es salaam ndug kama abiria anatoka mbali anaenda stendi jioni anaka kwenya kiti kizuri akitaji kulala analala masikari wapo masaa 24

  • @mustaphasultan6688
    @mustaphasultan6688 Před 3 lety +1

    Mi nalia na jafo. Anajenga kwa wenzake anashndwa kujenga stand ya mana kule kisarawe kweli??