MAGUFULI AMKAANGA KIGOGO TAKUKURU "MNAJIPENDEKEZA KWANGU, MIMI MOYO USHAKUA SUGU"

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 21. 07. 2020

Komentáře • 197

  • @susananyasani6526
    @susananyasani6526 Před 3 lety +20

    Super Mheshimia Dkt Magufuli unamiliki kona zote Katika Nchi nzima pamoja na Rushwa ya kila siku hongera sana

  • @joharijumbe6543
    @joharijumbe6543 Před 3 lety +26

    Jamani katiba ingekuwa inaruhusu magufuli angekaa ata miaka 30 tunakupenda sana raisi

  • @benedictaustard3423
    @benedictaustard3423 Před 3 lety +18

    Huyu ndiye Mh.Raisi Magufuli.
    Unanifanya nitembee kifua wazi mzee wangu!.

  • @razakpaulo6407
    @razakpaulo6407 Před 3 lety +16

    Nampenda sana raisi wangu nakuombea miaka buku jero ukiwa raisi wa Tanzania

  • @rugijofrey3685
    @rugijofrey3685 Před 3 lety +22

    Kweli ofisi ni nzuri sana,naijua na inafaa mno, hii ni bahati kweli msema kweli mpenzi wa Mungu, Hongera Mh Rais

  • @aaaaaah290
    @aaaaaah290 Před 3 lety +28

    WENYE ROHO NDOGO TUNAISHIA KUTOA MACHOZI TUU,, SIO YA MAUMIVU, BALI NIYA FURAHA NA SHUKRANI KWA MUNGU ALIYE JUU YA FALME ZOTE. ILIMPENDEZA ATUPE JPM 🙏🏽🙏🏽

  • @janeyoj8228
    @janeyoj8228 Před 3 lety +25

    "Mjipendekeze Chato wakati nimeshaondoka kwenye uraisi"
    😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
    Safi JPM...
    Haya wale wakupinga, mpinge na hili

  • @aminamtikaonlinetv7305
    @aminamtikaonlinetv7305 Před 3 lety +39

    Aiseee watanzania tuna bahati sana,
    Hii ni bahati iliyoje,nakupenda Sana Mh rais mungu azidi kukubariki ktk utendaji wako wa kazi, yaani Kila nikisikiliza hotuba zako najihisi nimeshiba hata Kama Nina njaa.
    Mungu ibariki Tanzania,mungu mbariki Rais wetu JPM.

    • @clifordmsongole1134
      @clifordmsongole1134 Před 3 lety

      Amen

    • @calebcaleb3193
      @calebcaleb3193 Před 2 lety

      Ni Maombi yetu kwa mungu tupate mtu kama huyu

    • @calebcaleb3193
      @calebcaleb3193 Před 2 lety +1

      Kweli kizuri akidumu tulimpenda lakini mungu alimpenda zaid

    • @calebcaleb3193
      @calebcaleb3193 Před 2 lety

      Huyu ndiyo rais watu wanapanga dili za wizi yeye anapangua hapo hapo akuna cha kuhunda tume time ni wizi mwingine baba hapo ulipo lala mungu atume malaika wake usiku Na mchana tulikupenda sana lakini kwakua kazi ya mungu aina makosa yeye aliyetupa jpm kuna siku atatupa mwingine kama huyu tusichoke kumuomba kila kukicha

    • @user-cz9sk1yq7r
      @user-cz9sk1yq7r Před rokem

      kabisa😊😊

  • @masakaupdate1488
    @masakaupdate1488 Před 3 lety +13

    Rais anaongea point sanaa akwepeshii uyuu ndiee mwanamume sio mwanaume ni #MWANAMUME

  • @moshiomarymnyeda8907
    @moshiomarymnyeda8907 Před 3 lety +15

    MHANDISI + DOCTOR UTAMDANGANYA NINI HUYU MZEE JPM 😍😍😍

  • @lasteckmmary9741
    @lasteckmmary9741 Před 3 lety +17

    Huwa silijutii bando langu ninapokusikiliza rais wanguu, nakuombea kwa mungu uwe raisi wa tanzania, milele na milele mpk mwisho wa uhai wakoo

  • @elibaricksadock9562
    @elibaricksadock9562 Před 3 lety +11

    Binafs nataman uwe Rais hata miaaka 20

  • @joxevictus3720
    @joxevictus3720 Před 3 lety +17

    Haya sasa wale makenge wanao sema raisi anapendelea mkoa wake wako wapi wajifanye wanajikuna, au wajifanye wanaongea na sim waone fekelea mbali😊😊😊😊😊😊😊😊😊

  • @generaltanzania1810
    @generaltanzania1810 Před 3 lety +11

    Inatia Matumaini, Rais JPM Watanzania nina imani wote wanakupenda. Piga kazi Baba.

  • @joxevictus3720
    @joxevictus3720 Před 3 lety +11

    Wewe mzee wewe hapo nyuma ebu sema baba😁😁imekaje kaaje usiogope hakuna wa kukufukuza😊😊😊JPM oyoooooo🙏🙏🙏🙏🙏

  • @ferouzmasoud4741
    @ferouzmasoud4741 Před 3 lety +2

    Asante Sanaa Baba magufuri Mw/MUNGU akujalie maisha marefu Zaid 🙏 🙏

  • @cheupestefano5424
    @cheupestefano5424 Před 3 lety +15

    Mr.mwanri sir that man who was in charge at tabora please that man is a man to help you in your very difficult job of giving equal justice to your people

  • @bornifaceshombe4159
    @bornifaceshombe4159 Před 3 lety +7

    Safi,naona viongozi waliowengi hawajaelewa maono ya Raisi wangu.Mungu ibariki Tanzania.

  • @setholivier4862
    @setholivier4862 Před 3 lety +11

    Hapa ndo vizuri unamwambia mtu waziwazi, ili hata viongozi wanao jipendekeza wakitizama hii clip waache kujipendekeza

  • @angelshio2617
    @angelshio2617 Před 3 lety +15

    Tangia asubuhi ninakufuatilia baba uwe mkweli siku zote waache kujipendekeza

  • @mariamfritsi9761
    @mariamfritsi9761 Před 3 lety +10

    Ukweli na uwazi unasema ukweli mheshimiwa.

  • @ayoubabdull1265
    @ayoubabdull1265 Před 3 lety +16

    Huy Muheshimiw kiboko ya wote tumlinde tumuwekee ulinzi wa kama Kim jong yun ....kwa nguvu zote....nan alisubut hay nambien wadau awam 1,2,3,4,nani zaid ya Magu ....mpaka Takukuru nao chupi zinawaban...

  • @fredrickphilomena8613
    @fredrickphilomena8613 Před 3 lety +22

    Hila ukiambiwa unajipendekeza inauma hiyo 🤣🤣🤣🤣🤣🤣

    • @jumakapilima5674
      @jumakapilima5674 Před 3 lety

      Sana,,,ila kauli kama hiyo haipendezi sana !!!

    • @solemba595
      @solemba595 Před 3 lety +4

      Huo ndio ukweli Kuna Viongozi wanafanyakazi kwa kujiendekeza, Uzuri JPM amesha shtukia mchezo

    • @wazirmlogi7532
      @wazirmlogi7532 Před 3 lety +1

      Inauma sanaaaaa😂😂😂😂😂waache kujipendekeza

    • @timothmwakakusyu4563
      @timothmwakakusyu4563 Před 3 lety

      Ndo waache kujipendekeza

    • @user-un3df1sl2h
      @user-un3df1sl2h Před 3 lety

      Kuambiwa unajipendekeza inauma sana,mimi mwenyewe nikiambiwa najipendekeza ata kama nindugu yangu,nakaa nae mbali sana

  • @atuganilemsomba3028
    @atuganilemsomba3028 Před 3 lety +5

    Huyu mzee baba ananifurahisha sana anaonaga mbaaaaliiii eti dalili za rushwa duuh mwangaluka

  • @richardjoseph9642
    @richardjoseph9642 Před rokem +3

    Mungu akupunguzie azabu ya kabr kamanda

  • @said306nyatu9
    @said306nyatu9 Před 3 lety +9

    Kaaa bwana nisije nikasema izi nyota nimekupa za bure

  • @salimsalim8421
    @salimsalim8421 Před 3 lety +4

    Hongera, hakuna mchezo na pesa za wana nchi, lazima mtu akae sana tuu

  • @nasserrostom6340
    @nasserrostom6340 Před 3 lety +3

    Hongera rais makufuli tunaomba takukulu wafanyakazi wawe wanahamishwa uku mbarali toka nipo shule ya msingi hawajawahi kuamishwa utafiki wanakijiji hawana lolote wanakunywa pombe mda wote

  • @alimarezi7543
    @alimarezi7543 Před 3 lety +5

    Magufuli ukimaliza mhula wako njoo uku kwetu Kenya,tukupe urais,huyu wetu ni boya sana

  • @theeyechannel8601
    @theeyechannel8601 Před 3 lety +5

    Nisije ni kakuona nimekupa nyata za bure!! Kainyoshe nchi hiyo Mzee wanyike.

  • @yasinigao3589
    @yasinigao3589 Před 3 měsíci +1

    Sawa pambana na ufisandi Rais wetu

  • @emmanuelmohammed1294
    @emmanuelmohammed1294 Před 3 lety +5

    " Mimi moyo ulishakuwa sugu"...😂😂😂😂😂😂

  • @ednajeremiah8671
    @ednajeremiah8671 Před 3 lety +5

    Wakomeshe baba hapa kazi tu

    • @calebcaleb3193
      @calebcaleb3193 Před 2 lety

      Nivigumu kumpata kama jpm lakini kwa mungu yanawezekana

  • @ahmedomar3020
    @ahmedomar3020 Před 3 lety +2

    Mungu amuekee huyu mzee magufuli kwa kweli..oohhh ..magufuli oyeee

  • @justusmuendo7823
    @justusmuendo7823 Před rokem +3

    Very insightive,magufuli continue resting in peace

  • @malcomg1004
    @malcomg1004 Před 2 lety +1

    Hii ndo ilkua Serikali bna,RIP mr President JPM much love to you

  • @mamaahmad8615
    @mamaahmad8615 Před 3 lety +2

    Yaani nakupenda sana baba rais wetu tumbuwa tumbuwa hao warudishe hela watumbuwe

  • @markkayuni99
    @markkayuni99 Před 3 lety +4

    Mweshimiwa Rais kura yangu umepata sema hao wakujipendekeza kwa kukufuraisha wewe na wachinja kilakitu ndio ndio wa kina msukuma hao

  • @afredyohana356
    @afredyohana356 Před 3 lety +5

    Ndio shida ya kufanya kazi kwa mihemko hiyo itawakost

  • @petermatonya8078
    @petermatonya8078 Před 3 lety +2

    Mungu akupe maisha malefu lais wabgu

  • @MukandilwaProspere-th2xu

    Courage baba wetu Sisi watoto wa Congo tunakuliliya mungu akulaze Mali pema

  • @mbonijabut1405
    @mbonijabut1405 Před 3 lety +3

    Yani magufuri nakupigia kula Asubui mapema ww ndio mkombozi ila tuchunguzie wabunge walioshinda maendeleo uku kwetu bdo miaka 5 ajafanya kitu sasa kapita tena ivi kweli haki tizama n.a. hilo

    • @kambamazig02024
      @kambamazig02024 Před 3 lety +1

      wapi huko? Wa kulaumiwa ni hao waliompigia tena kura za maoni.

  • @gaspeldaniel1140
    @gaspeldaniel1140 Před rokem +1

    Tanzania ilikua na Rais kweli lakini Leo hii hatuna Rais tuna mafisadi

  • @lemameasi1723
    @lemameasi1723 Před 3 lety +3

    NI VIGUMU KUPATA RAIS ALIYEKO SERIOUS KAMA JPM HUKU AFRICA

  • @tanzaniakwanza9564
    @tanzaniakwanza9564 Před 3 lety +4

    Hii inaitwa makavu live 😃

  • @kambiibrahim415
    @kambiibrahim415 Před 3 lety +2

    Thank you so much Mr.President much love to you

  • @lightmashauri1725
    @lightmashauri1725 Před 3 lety +4

    Haaaaa baba hao wanakuvuruga kweli ....bado hawajakujua vizuri😀😀😀

  • @denicejoseph8632
    @denicejoseph8632 Před 3 lety +11

    Hotuba kam hiz n tam san yani zaidi ya sali n sukari

    • @saumsaid5717
      @saumsaid5717 Před 3 lety

      Yani we baba nakupenda mpaka naumwa

    • @tebogolucia6889
      @tebogolucia6889 Před 3 lety

      C.simba Johannesburg magufuli nakukubar sn mzee Wang

  • @patrickjohnlucas3827
    @patrickjohnlucas3827 Před 3 lety +6

    Kweli mweshimiwa

  • @justinaissa2278
    @justinaissa2278 Před 3 lety +3

    Mh uko sawa kabisa

  • @mshumbusideogratias9567
    @mshumbusideogratias9567 Před 3 lety +2

    Nmesikiliza Mara 10

  • @abdulaziz703
    @abdulaziz703 Před 3 lety +2

    Yes..
    Preach father preach.!!

  • @selemanimsofe7321
    @selemanimsofe7321 Před 3 lety +4

    unajua mtanivuruga hapa

  • @kalumbugideon4159
    @kalumbugideon4159 Před rokem +1

    Alikufa Kiongozi wa Tanzania 😭

  • @asrymohd6690
    @asrymohd6690 Před 3 lety +2

    Tumbua huyo na mkuuwao kwanini mnajipendekeza huyo ndo Rais tunaemuhitaji sio mliomtaka

  • @emmanuelmohammed1294
    @emmanuelmohammed1294 Před 3 lety +3

    Tumuongezee mda huyu Rais wetu ainyooshe nchi!

    • @pendomsulwa5806
      @pendomsulwa5806 Před 3 lety

      kula yangu haikupotea kabisaa MUNGU akuweke pia natamn utawale miaka yotee

  • @wahabingaheka637
    @wahabingaheka637 Před 3 lety +2

    Baba maliza wabaya wote

  • @sistertrashid2488
    @sistertrashid2488 Před 3 lety +2

    Safi sana Rais wangu

  • @abubakarsuleiman1588
    @abubakarsuleiman1588 Před 3 lety +2

    Ahsante MH rais

  • @musasabu6969
    @musasabu6969 Před 3 lety +3

    Wanajpendekeze had wanakela

  • @salmahillu
    @salmahillu Před měsícem

    Mungu aiweke robo magu peponi amina

  • @joxevictus3720
    @joxevictus3720 Před 3 lety +5

    Takukuru😂soma iyoooo😁😁😁😁

  • @allykingo3558
    @allykingo3558 Před 3 lety +4

    Wamejikologa lolote litalokea hapo lazima

  • @wahabingaheka637
    @wahabingaheka637 Před 3 lety +3

    Nchi iwe Safi hii wamezoea hao

  • @seifmohamedseif9467
    @seifmohamedseif9467 Před 3 lety +4

    Duh usitake nione nyota nilizo kupa za bure 🤣

  • @majaliwakavinga2752
    @majaliwakavinga2752 Před 3 lety +1

    Hongera sana Rais.

  • @ahmedomar3020
    @ahmedomar3020 Před 3 lety +1

    Safiiiii. Mzee magufulii oyeeee...

  • @ayoubabdull1265
    @ayoubabdull1265 Před 3 lety +2

    Alex Kihongola ....ntakutumia bandle ni dai kweny ukweli hutak kupinda pinda lazima tunyooshe maelezo kwa hali tunavyoina viongoz wetu wa Africa huwez linganisha na Magu ht robo ....pumbav...

  • @meshackkanyetisahani5584
    @meshackkanyetisahani5584 Před 2 lety +1

    Was a geneous person may god rest in peace our lovelly president

  • @yaletbweye5565
    @yaletbweye5565 Před 3 lety +2

    Uyu Mzee ni mfano wa Dunia

  • @matanobaya7660
    @matanobaya7660 Před 3 lety +1

    Kenya tungepata kiongozi Kama huyu.ningejivunia kuwa mkenya sana, NAVUMILIA TU!MILEVI MIIZI.

  • @mlashanikisinini6020
    @mlashanikisinini6020 Před 3 lety +2

    Safi sana mheshimiwa

  • @denicejoseph8632
    @denicejoseph8632 Před 3 lety +4

    Magu anajuwa adumu milele ewe mwenyezi mung jaliya ameni...😘😘

  • @jameschubiri9453
    @jameschubiri9453 Před 3 lety +2

    Huyu mzee kwanini hamtaki kumuelewa jamani

  • @ahmedomar3020
    @ahmedomar3020 Před 3 lety +1

    Jamaniii huyu mzee aendelee tu ..huyu ndio rais tunaemtaka

  • @daudirajabu6798
    @daudirajabu6798 Před 3 lety +1

    Safi sana mh Raisi

  • @fadhilharuna9804
    @fadhilharuna9804 Před rokem +1

    Good president magufuri

  • @wilsonkaseha2034
    @wilsonkaseha2034 Před 3 lety +2

    Duh JPM hahaaaa hatari sana! Usiombe ubananishwe naye😅

  • @bashiryusuph6750
    @bashiryusuph6750 Před 3 lety +1

    😂😂😂wamesha fanya no dili walijua huwaangaliii 🤣🤣🤣wapigadili mbona same hamna jengo la takukuru mnajipendekeza kwa babu 🤣🤣🤣🤣

  • @rehemanmkumbo5631
    @rehemanmkumbo5631 Před 2 lety +1

    Huyu baba apumzike kwa amani

  • @watakaniitaje1215
    @watakaniitaje1215 Před 3 lety +1

    Mkulu kashasema hataki shobo
    Ziteendeeni mema izo pesa Kuna vitu kibao vya kufanya

  • @fakihibakari7701
    @fakihibakari7701 Před 3 lety +2

    Sidhani kama Takukuru watajing'ata wenyewe. TAKUKURU NG'ATA.

  • @prosperthedubaiexplorer8980

    awakujui baba watoboe

  • @sixmangwela4543
    @sixmangwela4543 Před 3 lety +2

    vua nyota izo anatia haibu jeshi

  • @elisanteelisante172
    @elisanteelisante172 Před 3 lety +2

    Baba Ng'ataaaaaa

  • @mtorosenga1272
    @mtorosenga1272 Před 2 lety +1

    😆😆😆 unaionaje hiyo??? Mzee anajiuma

  • @jumakalukule5312
    @jumakalukule5312 Před 3 lety

    Mzee magu polesana kwakazi ngumu uliyonayo yani sijui kwanini huwa hawakuelewi usichoki kwene ukweli mungu yupo nawewe

  • @nickomlimbila217
    @nickomlimbila217 Před 3 lety +1

    Sio rushwa mzee ila hiyo ni kujipendekeza kwako

  • @laurnyandwi-sb1gu
    @laurnyandwi-sb1gu Před 6 měsíci

    Daima utakuwa mioyon mwetu😢😢🙏🙏

  • @user-qv2tg9cz8c
    @user-qv2tg9cz8c Před 3 měsíci

    Pumzika kwa Amani Mpendwa wetu Rais

  • @mwakamtungirehi4773
    @mwakamtungirehi4773 Před 3 lety +2

    Takukuru ng'ata

  • @alimadmaulid2567
    @alimadmaulid2567 Před 3 lety

    Mmmmmh kweli mkuu nakubali kazi yako

  • @hassanimussa5776
    @hassanimussa5776 Před 3 lety +3

    Chuma kinazungumza

  • @55goodmen
    @55goodmen Před 3 lety

    Ukweli unauma duh huyu rais hana upuuzi ni straight forward yani. wezi wote wanaogopa yani JPM oyeeeh.....

  • @solomonkikeke2795
    @solomonkikeke2795 Před 3 lety

    Tazama hapa pia uone Wimbo mzuri wa Maombolezo ya mheshimiwa BENJAMIN MKAPA Kutoka kwa TUNDA MAN pa1 na producer ZEST

  • @teddymwageni1763
    @teddymwageni1763 Před 3 lety

    Huyo baba pua imemshupaa, piga kazi rais wetu

  • @jonathanlema7782
    @jonathanlema7782 Před 3 lety

    El pressdente. My president God bless you sir

  • @allyfaraji1697
    @allyfaraji1697 Před 3 lety +4

    rais kauzu kweli, et anamwambia yule mjeda kaa bhana nicjute hzo nyota nilizokupa 😀😀😀 kwa kweli bado najiuliza ukauzu huu nani anauweza ? Takukuru Ng'ata😀😀😀🔙 leo nimecheka mpaka machozi yametoka. Uyu mzee anatufariji sana sisi wananchi, yaani tunaishi bila ya hof swaaaaaf kabisa😀😀😀. Lini tena utahutubia hata kama nina safar nisiende ctak kuadisiwa mimi 😀😀😀.

  • @margarethsaramaki3966
    @margarethsaramaki3966 Před 3 lety +1

    Mimi nina viwanja vimepimwa na vina bicon na bado vimepitishwa barabara na Tanroad na nikaambiwa tena nitoe hela ya kupimiwa kwa marekebisho sasa hii imekaaje ??
    Ni mwaka na nusu sasa toka 2018 mpaka sasa
    Viwanja viko Mkundi Morogoro wilaya ya Mvomero, naomba ofisi husika iliangalie hili ni muhimu

  • @emanuelfissoo2015
    @emanuelfissoo2015 Před 3 lety

    Safi sana mwl jpm