Tazama Rais Magufuli alivyomtumbua DAS wa Kisarawe na kuteua mwingine hapo hapo
Vložit
- čas přidán 27. 06. 2020
- Rais Magufuli leo ametengua uteuzi wa aliyekuwa katibu tawala wa Wilaya ya Kisarawe na kumteua hapo hapo katibu tawala mpya wa wilaya hiyo, Mwanana Msumi, tazama ilivyokuwa…
#AzamTVUpdates #AzamNews #JPMKisarawe
Tazama taarifa ya Habari na vipindi vingine vya Habari na Matukio LIVE kutoka Azam TV na UTV kupitia Azam TV Decoder au AzamTV Max App. Unaweza kupata AzamTV Max App kwa ajili ya Android kutoka hapa:
► bit.ly/2wB6zmR
Tufuatilie kwenye mitandao ya kijamii
►INSTAGRAM: / azamtvtz
►INSTAGRAM: / azamsports2
►TWITTER: / azamtvtz
►FACEBOOK: / azamtvtz
►WEBSITE: www.azamtv.co.tz - Sport
Wangapi team magufuri tufahamiane Kwa like apo
👇👇👇👇👇👇👇👇👇👇👇👇👇
Daaaah
Huku DAS Mwanana Msumi kule DC JOCKATE, enzi hizo.
Uyu ndio master wa urais..,mungu bado anazidi kutuumbia watu muhimu duniani
keep resting in peace magufuli much love from Kenya
4:03
4:20
Tunakupenda sana
Lala salama babayetu.dkt john pombe magufuli.nanikweli.tunakukumbuka.tena kwamazuri.nasio kwa mabaya.emwenyezi mungu.ukampe pumziko la milele.amina.
Mungu amuweke salama huko uliko
Nandi
Lala mahal pema mungu akupokee
Napenda sana huyo security,, noma sana
The best president in this country ❤️💯🙏
😢😢😮😅😅
Hiyo ndio Tanzania ninayoitaka!!! Mwanana Msumi oyeeeee.
Kisarawe oyeeeee!😂
My role model. My inspiration. My president
bahati namatayarisho safi sana kwa dasi magufui kwakwery alikua kiongozi 💪
I love you so much bdo tunakukumbuka
Nataka kuona liv
❤❤❤
The best president in the history of Africa
Hongera mkuu umeweza sana hapo big up
Mungu ailaze roho yake mahalo pema akhera😔
Baba ngoa 🙌🙌✍️✍️✍️✍️
Perfect reader
Huyu mzee Mungu amrehemu
J
Alale pema peponi Mungu amusaidie
RIP
OMG yaani unabewa kazi direct tunataka president kama huyu lakini tutapata in Afrika kweli
Mwanana msumi hoyeeeeeee🔥🔥🔥🔥🔥
nimekuja kukusikiliza umetajwa kwa nabii mkuu
Hhhhhhh...... Magu alikuwa chizi mpaka raha
Watching 2023 June. Tunakumiss mzee
Truly he was a PRESIDENT
MH.CHAPA KAZI.Mungu anakuona unavyojitoa muhanga hapo kwa hapo kiongozi amepatika.Wewe ni wale linalowezekana leo lisingoje kesho.Hakuna kulaza damu.Mwenyezi Mungu atakuongoza na kukulinda.Inshallah.
Inshallah
Mashaallah
Kwann viongoz wazur hawadumu lakin
appreciate
Mungu alikuleta utuonyeshe njia hakika ulikua shujaa na kiongozi hatuna cha kusema ila tutaendelea kuku ombea siku zote.
RiP Mh Rais
❤ yo
Na wewe DC hufanye uolewe sasa uwezi ukawa mkuu wa wilaya halafu bado ujaolewa hahahaha ndugu zangu nilikua nachomekia tu
Rest in peace
Chumaaaaaaaaa☀️☀️☀️
Tutakukumbuka
Watu watamkumbuka Kwa mengi,sijaona Africa nzima kiongozi mchapa Kazi kama John Joseph magufui
Huna ubaya na mtu raisi wangu
Azam tv burudani kwa wote
Macho yangu hajawahi kauka machozi kila nikimkumbuka baba
Magu anamalizana na MTU hapo hapo
Baba magufuri kama ungefufuka ukajakuona ichihii inavyo endeshwa ugekufatena hapohapo
Magufuli wangu nakuliliaa yoo siku hizi nchi inaboaa sana mama anaupiga mwingi wa trab na trat
😅
Tulikupend san
Rest in peace forever we will remember ue
Mze Umenda mapema KBS😭😭😭😭
Jini mahaba
Rudi baba
Magufuri.morogoro
Magufufr
😅
Timu makufuri oyeeeeeeee
Mama msariti
.
najaribu kuwaza magu angekuepo.kisha joket abebe mimba nje ya ndoa
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
@@halimarashid294 enhee mana kuna mkurugenzi alimfukuza Hadharani.anasema muhuni.snatembea na wake za watu sasa joket.kama.ni.nje ya ndoa mimba yake ingekuaje? au kama kaolewa Kheri.inshallah
Bg