Tazama Rais Magufuli 'alivyomjaza fedha' Bibi Havintishi wakati akihutubia
Vložit
- čas přidán 14. 03. 2018
- Mwanamke aliyejitambulisha kwa jina la Havinitoshi amejikuta akimiminiwa ‘noti’ za fedha bila kutarajia baada ya kueleza mbele ya Rais Magufuli kero yake inayohusu manyanyaso wanayopata wafanyabiashara ndogondogo mjini Morogoro.
Tukio hilo limetokea wakati Rais Magufuli akihutubia baada ya kuzindua kiwanda cha sigara cha Philip & Morris kilichoko Morogoro.
Baada ya kusikiliza kero yake, Rais Magufuli alitoa agizo kwa mamlaka kuwaacha wafanyabiashara hao wafanye biashara zao bila usumbufu.
Pia Rais Magufuli aliamua kumchangia mama huyo shilingi laki moja baada ya kueleza kuwa aliwahi kupigwa faini baada ya kukamatwa akifanya biashara katika eneo la stand.
Tazama ilivyokuwa.
Hamna rais Kama magufuri mungu amlaze maar pema 😭😭😭😭😭 upendo wako upo mioyon mwetu kwel vzr havidumu
Entant que congolais, je n'ai jamais vu un président si merveilleux comme cet homme 😭😭😭j'avais beaucoup pleuré cet homme
MashaAllah from kenya this is the spirit of a president we need in the world
All the way toka 254 mi namkubali sana sana sana sana rais wa tz....anafaaa tuzo kama zote africa hii na duniani kwa jumla..sijaona kiongozi kama huyu toka nazaliwa...best leadership ever
You will remain in the African hearts you were a king of Tanzania's BT you took the heart of the rest of Africans presidents
Oh my Allah, how much we need such a humane man in Somalia and all our continent Africa is the richest and poorest continent in the world😪
Yaa Allaah, make his grave a garden of paradise, and make the current President of Tanzania, Samia Suluhu Hassan the best successor.
Your brother:
We ❤ 🇹🇿❤ from Somalia ❤🇸🇴❤
Thumma amin🤲
Wanadamu tuna mapungufu mengi lakin we we munguni mwema na mwenye rehema umrehemu marehemwetu rais john pombe makufuli tukate tens mbinguni amina
You’re one In million Rest In Peace mr president
This is the best president ever found in the world,May the almighty lord keep him in eternal peace,amen.
Ukweli Kabisa👍
No wonder he was killed, World hate good deeds
@@billymanyifu292 ya t txt
Sijui kama kutawahi kuwa na rais kama huyu.mungu akulaze maali pema haki.poleni tena watanzania mara nyengine pleni kwa kumpoteza gwiji huyu.poleni.
Mashallah yani ni raha sana kuwa na rais kma Magufuli
😭😭😭😭😭😭 Ee Mungu tusaidie Watazania tutalia Sana, jamani
Tayari watazania wanalia sio soko kuchomeka kila kukicha mabanda ya Wafanya biashara wadogo dogo kubomolewa
Inauma Sana Ee Mungu tuhurumie utupe mwisho mwema 🙏
Yani ww legend nakuelewa sana pumzika kwa amani sana
😭😭😭😭😭😭😭Mungu akuweke Baba 😭😭😭😭😭😭Pahara pema peponi Amina
Kafa kwenye imani yakumkiri Maria Mama wa Mungu. Hiyo kufuru kubwa! Wakristo wote motoni msitubu
Wow so touching 👍 up mr president
Safi sana Rais wangu Mungu akulinde
Kilichochema kweli akidumu tutakukumbuka sana mungu akupe umri mrefu UKo akhera
Rest in peace
Daddy u still live in our hearts and thoughts 😥
This was the best version
Mungu nimwema
Asante Mungu kwa ajili J.PM
Mungu akubariki mkuu wetu
I like it so much
Mungu akuweke pema baba yetu
We miss u babaaa
Jembe kutoka Chato. Ewe mwenyezi Mungu ulitupatia dume kweli. Sijaona Afrika mzima. Aaah, shuja wetu! Asante Mungu, hapa tumeona Rais wa wanyonge.
Na ht tokea HD Dunia. Imapinduke Samia ss ivi. Hy yote akangalia. A nakuona maguful mpuuz. Yy. Ndo mjanja na uyo bwna ake kikwete
Rais wetu nchi yetu.....
Walahi what a wonderful president may Allah bless him.For he is a good leader.
Tutakukumbuka sana
Respect u
Mr president
Forever you will be in our hearts daddy
Mungu amlinde Rais. Wetu mpendwa mchapakazi
Hongera raisi kwakutetea wanyonge tuna kupenda sana lakini mungu kakupenda zaidi
I'm crying manze magufuli one of the best na huyo mama nimeskia huruma Sana
Maguu maguu maguu maguu🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏
Daaah daima tutakukumbuka
Dah hii kweli tz bara warrah akuna tena😓😓😓😭😭😭😭
This made me cry. Rest in eternal peace daddy. Till we meet again
Me too
Hv huyu Mkurugenzi ndo kusema hakuwa na hiyo elfu 50 au ndo alitaka kugomesha ? Asante mh Rais kwa upendo wa wanyonge Mungu akupe maisha marefu
He is dead😢😢
😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭 R.I.P my father
Sempre amigo do seu povo...
Magufuli alikuwa anakulazimish ucmpende kwa Mazuri na vitndo vyake lakini haya manyang'au ya sasa yasio na huruma yanatak tuyapende kwa kujisifia wao ni one like mwamba a.k.a jiwe r.i.p
😭😭😭 the president that will never be forgotten
Aki ya mungu tutawi pata kama huyu apa kenya tanzania hoiye
Mungu nairehemu roho ya marehemu rais magufuli mahala pema.
The best president in Africa I wish Kenya had such a caring president
Afadhali Kenya,Uganda ni ndoto
I swear am crying.
Yaani hapa lengo lake sio kulipa ile faini yake. Ametaka kubadilisha maisha yake.
😭🇹🇿😭🇹🇿😭🇹🇿😭😭😭😭 Hakika kila kuitwapo Leo nikiisikia sauti Hii natokwa na macho kipenzi wawanyonge hayati Dr John pombe Magufuli Tutamkumbuka daima wananchi wanauawa ovyo Hakika ungekuwepo haya yasingetoke ngorongoro
I wish this was done in kenya
Mungu akueke amahari pema peponi. Amen
U will always stay in our hearts
Aseeeeeeee huyu raisi mungu amlaze pema poponi alikuwa mkweli kwenye ukweli,ukimdanganya umejidanganya mwenyewe aseeeeeeee,hakuna raisi kama huyu tena nchi yeyote duniani
Tulikupenda baba magufuli mungu kakupena zaindi pumzika kwaamani
Watu wazuri hawakawi duniani.
Mungu Umkumbuke Mwanao Magufuli Pombe.
Mungu akiamua kukutoa kwa staili yoyote utatoka hapo unafungua duka umaskini bai
Nitakukumbuka sana sana
😭😭😭😭😭😭😭pumzika kwa Amani Simba wa African inaiuma adi wa Leo Raisi wangu,japo walikuuwa moyoni mwa watanzania wanyonge utaishi daima JPM
Ulisema tutakukumbuka kwa mazuri sio mabaya, maneno haya yanatuumiza sana wa tz
Laiti ageludi baba JPMningesimlia sana lala kwa amani peponi
Magu baba daaah😭😭 mungu tuludishie magu wetu mchukue .....dah
Itabaki stori tu saivi umerudi uleule utawala wa majambazi tu
Uzuri wake na roho ya huruma kwa wananchi wake umenitoa machozi, mwenyezi mungu ailaze roho yake mahali pema peponi
Rest in Peace my President 🙏🏽💔
Daima tunalia dady wetu ingekuwa tunaweza kukufufua baba yetu tunge kufufua ujeujionee kinachoendelea
Allahu Akbar , rip jpm
Daaah wapi kama ww baba mungu amrehem
Vitu vizuri havidumu jamani tutakukumbuka daima
mungu akusameh zambizako
This is how great leaders model the way.
Mi nikiangaliaga clip za huyu mzee huwa machozi yananilenga lenga, hakika hatuji kupata rais wa aina hii tena Tanzania😭😭😭😭
Tutakumbuka sana raisi wetu na rais wa wanyonge rest in paradise Dady
Safi sama
Huyo mama akoaje?Mama atakaa na taswira maishani mwake
😭😭😭😭😭😭🙏🙏🙏 Rudi Tena baba
He was good president
Mtamukumbuka raisi Magufuli,kama Lumumba apa Congo déc.
Ivi asaivi uyu raisi ambaye yupo anaenda kusikiliza kero na lawama zinazo wakabili wananchi aina km hii..!!😣😓
Jamani jamani.
Mambo mengine huja kama Neema tu, Mungu akubariki Sana mh John Magufuli.
Tunateseka baba😭😭😭
Kupata kiongozi mwenye kuelewa maisha ya wanyonge na wanaonyanyaswa na baadhi ya viongozi makatili Africa sio rahisi. Hakika magu alikuwa kiongozi sio mchuna ngozi.
Rest in peace mh magufuli
Magu mm sio ccm lakin salut kwako tutakukumbuka milele pengo lako halita zibika waliobak wote hamnakitu
Nakupenda Rais mpk naumwaa
nimeipenda hii 😂😂 hadi raha mungu akupiganie rais wa wawanyonge baba etu
Jamani magu me nakukulilia sana
May his soul rest in peace!
Uwiiiiiii magu
forever my president lala salama baba
Poleni watanzaniya kweli mmekos mtu wa maaana
Hongera sana rais, Kenya tohige hii
May his Saul rest in peace, may God welcome him in Heaven
ILA NDIO HAYUPO TENA JPM...TULISHINDWA KUMLINDA 💔🇹🇿☹️😭
Shujaa amekwenda
Ndugu yani we acha tu
I miss you my friend always You will always Be the best We never had
Rest in peace 🙏 papa. I loved even if I'm akenyan!!
Hakika vizuri siku zote huwa havidumu
Hatatokea tn Rais km huyu mpk Dunia itaisha!
Hakika Naamin Bado Tuendelee kuomba Tutapat Tyu Rais kama huyu . Kama Mwanzo turivyisema Hakuna Rais Kama Mwalm nyelele . Ukapewa Maguful basi uombe tuweze kupata Mwingne na tutapata Tyu Amin 🤲
Mama zichukue zote...daaaah eeee mungu baba tutakukumbuka daima kipenzi chetu
Lala salama rais
😭😭😭😭 magufuli tutamkumbuka milele nimeangalia hii video imenitoa machoz