Tazama Rais Magufuli 'alivyomjaza fedha' Bibi Havintishi wakati akihutubia

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 14. 03. 2018
  • Mwanamke aliyejitambulisha kwa jina la Havinitoshi amejikuta akimiminiwa ‘noti’ za fedha bila kutarajia baada ya kueleza mbele ya Rais Magufuli kero yake inayohusu manyanyaso wanayopata wafanyabiashara ndogondogo mjini Morogoro.
    Tukio hilo limetokea wakati Rais Magufuli akihutubia baada ya kuzindua kiwanda cha sigara cha Philip & Morris kilichoko Morogoro.
    Baada ya kusikiliza kero yake, Rais Magufuli alitoa agizo kwa mamlaka kuwaacha wafanyabiashara hao wafanye biashara zao bila usumbufu.
    Pia Rais Magufuli aliamua kumchangia mama huyo shilingi laki moja baada ya kueleza kuwa aliwahi kupigwa faini baada ya kukamatwa akifanya biashara katika eneo la stand.
    Tazama ilivyokuwa.

Komentáře • 345

  • @sadickponera2464
    @sadickponera2464 Před 2 lety +33

    Hamna rais Kama magufuri mungu amlaze maar pema 😭😭😭😭😭 upendo wako upo mioyon mwetu kwel vzr havidumu

  • @Patientngoi6863
    @Patientngoi6863 Před rokem +10

    Entant que congolais, je n'ai jamais vu un président si merveilleux comme cet homme 😭😭😭j'avais beaucoup pleuré cet homme

  • @salimabuuhudhayfa8166
    @salimabuuhudhayfa8166 Před 2 lety +12

    MashaAllah from kenya this is the spirit of a president we need in the world

  • @ilukerish1
    @ilukerish1 Před 5 lety +12

    All the way toka 254 mi namkubali sana sana sana sana rais wa tz....anafaaa tuzo kama zote africa hii na duniani kwa jumla..sijaona kiongozi kama huyu toka nazaliwa...best leadership ever

  • @maendaamos2690
    @maendaamos2690 Před 2 lety +25

    You will remain in the African hearts you were a king of Tanzania's BT you took the heart of the rest of Africans presidents

  • @hassanabdurahman953
    @hassanabdurahman953 Před 2 lety +22

    Oh my Allah, how much we need such a humane man in Somalia and all our continent Africa is the richest and poorest continent in the world😪
    Yaa Allaah, make his grave a garden of paradise, and make the current President of Tanzania, Samia Suluhu Hassan the best successor.
    Your brother:
    We ❤ 🇹🇿❤ from Somalia ❤🇸🇴❤

    • @adeshg_m_a6537
      @adeshg_m_a6537 Před 2 lety

      Thumma amin🤲

    • @samsonsamwel8750
      @samsonsamwel8750 Před rokem +1

      Wanadamu tuna mapungufu mengi lakin we we munguni mwema na mwenye rehema umrehemu marehemwetu rais john pombe makufuli tukate tens mbinguni amina

  • @AdnanAli-cu4wy
    @AdnanAli-cu4wy Před 2 lety +23

    You’re one In million Rest In Peace mr president

  • @richardmungori7197
    @richardmungori7197 Před 2 lety +43

    This is the best president ever found in the world,May the almighty lord keep him in eternal peace,amen.

  • @ivanseny8385
    @ivanseny8385 Před 2 lety +9

    Sijui kama kutawahi kuwa na rais kama huyu.mungu akulaze maali pema haki.poleni tena watanzania mara nyengine pleni kwa kumpoteza gwiji huyu.poleni.

  • @mealemalika7565
    @mealemalika7565 Před 5 lety +8

    Mashallah yani ni raha sana kuwa na rais kma Magufuli

  • @yaelijoseph8742
    @yaelijoseph8742 Před 2 lety +41

    😭😭😭😭😭😭 Ee Mungu tusaidie Watazania tutalia Sana, jamani

    • @milkamugomo218
      @milkamugomo218 Před 2 lety

      Tayari watazania wanalia sio soko kuchomeka kila kukicha mabanda ya Wafanya biashara wadogo dogo kubomolewa

  • @jefrineliaselias691
    @jefrineliaselias691 Před 2 lety +6

    Inauma Sana Ee Mungu tuhurumie utupe mwisho mwema 🙏

  • @saraphinajoely7047
    @saraphinajoely7047 Před 2 lety +4

    Yani ww legend nakuelewa sana pumzika kwa amani sana

  • @priscacharlescharles9014
    @priscacharlescharles9014 Před 2 lety +16

    😭😭😭😭😭😭😭Mungu akuweke Baba 😭😭😭😭😭😭Pahara pema peponi Amina

    • @khalfanifarisy8313
      @khalfanifarisy8313 Před 2 lety

      Kafa kwenye imani yakumkiri Maria Mama wa Mungu. Hiyo kufuru kubwa! Wakristo wote motoni msitubu

  • @sariysariy6293
    @sariysariy6293 Před 6 lety +6

    Wow so touching 👍 up mr president

  • @Aidansimwanza
    @Aidansimwanza Před 6 lety +6

    Safi sana Rais wangu Mungu akulinde

  • @selemanatanasi5404
    @selemanatanasi5404 Před 2 lety +5

    Kilichochema kweli akidumu tutakukumbuka sana mungu akupe umri mrefu UKo akhera

  • @kttv7982
    @kttv7982 Před rokem +3

    Rest in peace

  • @denisjohanes1278
    @denisjohanes1278 Před 2 lety +39

    Daddy u still live in our hearts and thoughts 😥

  • @riska4049
    @riska4049 Před 2 lety +5

    This was the best version

  • @YamunguYb
    @YamunguYb Před 6 lety +8

    Mungu nimwema

  • @pendohumphrey7588
    @pendohumphrey7588 Před 2 lety +3

    Asante Mungu kwa ajili J.PM

  • @jacksonmeshack5102
    @jacksonmeshack5102 Před 2 lety +2

    Mungu akubariki mkuu wetu

  • @denisomondi8364
    @denisomondi8364 Před 2 lety +1

    I like it so much

  • @official1onlinetv668
    @official1onlinetv668 Před 2 lety +4

    Mungu akuweke pema baba yetu

  • @salmaalimusa6809
    @salmaalimusa6809 Před 2 lety +11

    We miss u babaaa

  • @Crabtree1844
    @Crabtree1844 Před 2 lety +16

    Jembe kutoka Chato. Ewe mwenyezi Mungu ulitupatia dume kweli. Sijaona Afrika mzima. Aaah, shuja wetu! Asante Mungu, hapa tumeona Rais wa wanyonge.

    • @nishaabdula5015
      @nishaabdula5015 Před rokem

      Na ht tokea HD Dunia. Imapinduke Samia ss ivi. Hy yote akangalia. A nakuona maguful mpuuz. Yy. Ndo mjanja na uyo bwna ake kikwete

  • @gsenior_politer
    @gsenior_politer Před 6 lety +11

    Rais wetu nchi yetu.....

  • @suleimanabdi2573
    @suleimanabdi2573 Před 2 lety +3

    Walahi what a wonderful president may Allah bless him.For he is a good leader.

  • @abdallahkawambwa2666
    @abdallahkawambwa2666 Před 2 lety +3

    Tutakukumbuka sana

  • @fayeezomar2902
    @fayeezomar2902 Před 6 lety +8

    Respect u
    Mr president

  • @nitumesokoni3164
    @nitumesokoni3164 Před 2 lety +7

    Forever you will be in our hearts daddy

  • @BestidaJohnson
    @BestidaJohnson Před měsícem +1

    Mungu amlinde Rais. Wetu mpendwa mchapakazi

  • @jamesmwangi8598
    @jamesmwangi8598 Před 2 lety +2

    Hongera raisi kwakutetea wanyonge tuna kupenda sana lakini mungu kakupenda zaidi

  • @dennisbaya3807
    @dennisbaya3807 Před 2 lety +3

    I'm crying manze magufuli one of the best na huyo mama nimeskia huruma Sana

  • @kabintmpase4945
    @kabintmpase4945 Před 4 lety +9

    Maguu maguu maguu maguu🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏

  • @cassianusbarongo606
    @cassianusbarongo606 Před 2 lety +1

    Daaah daima tutakukumbuka

  • @omanmwajabumbeguoman8642
    @omanmwajabumbeguoman8642 Před 2 lety +1

    Dah hii kweli tz bara warrah akuna tena😓😓😓😭😭😭😭

  • @nitumesokoni3164
    @nitumesokoni3164 Před 2 lety +6

    This made me cry. Rest in eternal peace daddy. Till we meet again

  • @simonsadala2386
    @simonsadala2386 Před 6 lety +10

    Hv huyu Mkurugenzi ndo kusema hakuwa na hiyo elfu 50 au ndo alitaka kugomesha ? Asante mh Rais kwa upendo wa wanyonge Mungu akupe maisha marefu

  • @michaelfabin7097
    @michaelfabin7097 Před 2 lety +10

    😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭 R.I.P my father

  • @fredyeartes1602
    @fredyeartes1602 Před 2 lety +2

    Sempre amigo do seu povo...

  • @jeffkonki8279
    @jeffkonki8279 Před 2 lety +4

    Magufuli alikuwa anakulazimish ucmpende kwa Mazuri na vitndo vyake lakini haya manyang'au ya sasa yasio na huruma yanatak tuyapende kwa kujisifia wao ni one like mwamba a.k.a jiwe r.i.p

  • @abuanzal7355
    @abuanzal7355 Před 2 lety +6

    😭😭😭 the president that will never be forgotten

  • @michaelnjoroge3543
    @michaelnjoroge3543 Před 2 lety +2

    Aki ya mungu tutawi pata kama huyu apa kenya tanzania hoiye

  • @samsonjaoko4938
    @samsonjaoko4938 Před 2 lety +1

    Mungu nairehemu roho ya marehemu rais magufuli mahala pema.

  • @allasheh7721
    @allasheh7721 Před 2 lety +5

    The best president in Africa I wish Kenya had such a caring president

  • @mohammedware4664
    @mohammedware4664 Před 2 lety +2

    I swear am crying.
    Yaani hapa lengo lake sio kulipa ile faini yake. Ametaka kubadilisha maisha yake.

  • @samwelilaizer661
    @samwelilaizer661 Před 2 lety +5

    😭🇹🇿😭🇹🇿😭🇹🇿😭😭😭😭 Hakika kila kuitwapo Leo nikiisikia sauti Hii natokwa na macho kipenzi wawanyonge hayati Dr John pombe Magufuli Tutamkumbuka daima wananchi wanauawa ovyo Hakika ungekuwepo haya yasingetoke ngorongoro

  • @jacintawabomba207
    @jacintawabomba207 Před 2 lety +2

    I wish this was done in kenya

  • @michelkinama8233
    @michelkinama8233 Před 2 lety +1

    Mungu akueke amahari pema peponi. Amen

  • @ssuunasteven4166
    @ssuunasteven4166 Před 2 lety +3

    U will always stay in our hearts

  • @alexsmongo1106
    @alexsmongo1106 Před rokem +2

    Aseeeeeeee huyu raisi mungu amlaze pema poponi alikuwa mkweli kwenye ukweli,ukimdanganya umejidanganya mwenyewe aseeeeeeee,hakuna raisi kama huyu tena nchi yeyote duniani

  • @safinaibrahim115
    @safinaibrahim115 Před 2 lety

    Tulikupenda baba magufuli mungu kakupena zaindi pumzika kwaamani

  • @KM-hx8zy
    @KM-hx8zy Před 2 lety +1

    Watu wazuri hawakawi duniani.
    Mungu Umkumbuke Mwanao Magufuli Pombe.

  • @MaryErnest-pm1qz
    @MaryErnest-pm1qz Před 10 měsíci +2

    Mungu akiamua kukutoa kwa staili yoyote utatoka hapo unafungua duka umaskini bai

  • @kasianngungo9769
    @kasianngungo9769 Před rokem +1

    Nitakukumbuka sana sana

  • @user-fn4er6xf7u
    @user-fn4er6xf7u Před rokem +2

    😭😭😭😭😭😭😭pumzika kwa Amani Simba wa African inaiuma adi wa Leo Raisi wangu,japo walikuuwa moyoni mwa watanzania wanyonge utaishi daima JPM

  • @frankmiyombo3349
    @frankmiyombo3349 Před 2 lety +11

    Ulisema tutakukumbuka kwa mazuri sio mabaya, maneno haya yanatuumiza sana wa tz

    • @tusaangulile1400
      @tusaangulile1400 Před 2 lety

      Laiti ageludi baba JPMningesimlia sana lala kwa amani peponi

  • @maxjofrey70
    @maxjofrey70 Před 2 lety +2

    Magu baba daaah😭😭 mungu tuludishie magu wetu mchukue .....dah

    • @salmaseif6284
      @salmaseif6284 Před 2 lety

      Itabaki stori tu saivi umerudi uleule utawala wa majambazi tu

  • @sakeenaanzi4431
    @sakeenaanzi4431 Před rokem +1

    Uzuri wake na roho ya huruma kwa wananchi wake umenitoa machozi, mwenyezi mungu ailaze roho yake mahali pema peponi

  • @lamarsalim_
    @lamarsalim_ Před 2 lety +16

    Rest in Peace my President 🙏🏽💔

  • @wilfredmpemba7519
    @wilfredmpemba7519 Před 2 lety +10

    Daima tunalia dady wetu ingekuwa tunaweza kukufufua baba yetu tunge kufufua ujeujionee kinachoendelea

  • @jemedarikalimasi5754
    @jemedarikalimasi5754 Před 2 lety +3

    Allahu Akbar , rip jpm

  • @ahmedsaidi438
    @ahmedsaidi438 Před 2 lety +2

    Daaah wapi kama ww baba mungu amrehem

  • @joyceabeli3787
    @joyceabeli3787 Před rokem +1

    Vitu vizuri havidumu jamani tutakukumbuka daima

  • @mamasahim5573
    @mamasahim5573 Před 2 lety +2

    mungu akusameh zambizako

  • @dahirhamadi6016
    @dahirhamadi6016 Před 2 lety +3

    This is how great leaders model the way.

  • @wananchitv8690
    @wananchitv8690 Před rokem +2

    Mi nikiangaliaga clip za huyu mzee huwa machozi yananilenga lenga, hakika hatuji kupata rais wa aina hii tena Tanzania😭😭😭😭

  • @Hellenlubuva1931
    @Hellenlubuva1931 Před 2 lety +2

    Tutakumbuka sana raisi wetu na rais wa wanyonge rest in paradise Dady

  • @getrudamihayo5312
    @getrudamihayo5312 Před rokem +1

    Safi sama

  • @namanyagard9146
    @namanyagard9146 Před rokem +1

    Huyo mama akoaje?Mama atakaa na taswira maishani mwake

  • @elinathanbanka5485
    @elinathanbanka5485 Před 2 lety +1

    😭😭😭😭😭😭🙏🙏🙏 Rudi Tena baba

  • @gisorealphonse6306
    @gisorealphonse6306 Před 2 lety +2

    He was good president

  • @user-ph6vy5ow4z
    @user-ph6vy5ow4z Před 4 měsíci +1

    Mtamukumbuka raisi Magufuli,kama Lumumba apa Congo déc.

  • @bahihira949
    @bahihira949 Před rokem +2

    Ivi asaivi uyu raisi ambaye yupo anaenda kusikiliza kero na lawama zinazo wakabili wananchi aina km hii..!!😣😓

  • @eliasthomas1547
    @eliasthomas1547 Před 4 měsíci +2

    Jamani jamani.

  • @emmanueljohn8970
    @emmanueljohn8970 Před 6 lety +8

    Mambo mengine huja kama Neema tu, Mungu akubariki Sana mh John Magufuli.

  • @merryjeremiah7533
    @merryjeremiah7533 Před 2 lety +1

    Tunateseka baba😭😭😭

  • @nicodemuskamanza2137
    @nicodemuskamanza2137 Před 2 lety +4

    Kupata kiongozi mwenye kuelewa maisha ya wanyonge na wanaonyanyaswa na baadhi ya viongozi makatili Africa sio rahisi. Hakika magu alikuwa kiongozi sio mchuna ngozi.

  • @maalimrajabu8942
    @maalimrajabu8942 Před 2 lety +3

    Rest in peace mh magufuli

  • @abdallahkawambwa2666
    @abdallahkawambwa2666 Před 2 lety +2

    Magu mm sio ccm lakin salut kwako tutakukumbuka milele pengo lako halita zibika waliobak wote hamnakitu

  • @Aidansimwanza
    @Aidansimwanza Před 6 lety +2

    Nakupenda Rais mpk naumwaa

  • @rahimajuma688
    @rahimajuma688 Před 6 lety +11

    nimeipenda hii 😂😂 hadi raha mungu akupiganie rais wa wawanyonge baba etu

  • @pendokitamale5263
    @pendokitamale5263 Před rokem +1

    Jamani magu me nakukulilia sana

  • @ntambaratheoneste8927
    @ntambaratheoneste8927 Před rokem +4

    May his soul rest in peace!

  • @pendoamoss7819
    @pendoamoss7819 Před 2 lety +2

    Uwiiiiiii magu

  • @vincentnuwagaba989
    @vincentnuwagaba989 Před rokem +1

    forever my president lala salama baba

  • @adijaaddy6357
    @adijaaddy6357 Před rokem +1

    Poleni watanzaniya kweli mmekos mtu wa maaana

  • @jacksonplonguramoi8640

    Hongera sana rais, Kenya tohige hii

  • @ruthanyango6180
    @ruthanyango6180 Před 2 lety +5

    May his Saul rest in peace, may God welcome him in Heaven

  • @senetornkwarz5714
    @senetornkwarz5714 Před 2 lety +5

    ILA NDIO HAYUPO TENA JPM...TULISHINDWA KUMLINDA 💔🇹🇿☹️😭

  • @georgeavelin815
    @georgeavelin815 Před 2 lety +1

    I miss you my friend always You will always Be the best We never had

  • @paulodongo9680
    @paulodongo9680 Před 2 lety +3

    Rest in peace 🙏 papa. I loved even if I'm akenyan!!

  • @jemedarikalimasi5754
    @jemedarikalimasi5754 Před 2 lety +1

    Hakika vizuri siku zote huwa havidumu

  • @salehrama9797
    @salehrama9797 Před rokem +2

    Hatatokea tn Rais km huyu mpk Dunia itaisha!

  • @shebbyliker3979
    @shebbyliker3979 Před 2 lety +1

    Hakika Naamin Bado Tuendelee kuomba Tutapat Tyu Rais kama huyu . Kama Mwanzo turivyisema Hakuna Rais Kama Mwalm nyelele . Ukapewa Maguful basi uombe tuweze kupata Mwingne na tutapata Tyu Amin 🤲

  • @aysherbenta5426
    @aysherbenta5426 Před 2 lety +1

    Mama zichukue zote...daaaah eeee mungu baba tutakukumbuka daima kipenzi chetu

  • @mouriceokello2245
    @mouriceokello2245 Před rokem +1

    Lala salama rais

  • @malikzafarani172
    @malikzafarani172 Před 2 lety +3

    😭😭😭😭 magufuli tutamkumbuka milele nimeangalia hii video imenitoa machoz