Amiri jeshi mkuu wa jeshi lenye nidhamu afrika nzima na utendaji uliotukuka anawakilisha kwa mavazi ya jeshi lake Zuri, Gonga like yako kama unalikubali jeshi letu
Nilivyo kuwa nadhiki ee Mungu siku nakutana na Baba Magufuri ety eleza shida yako kudadadeki sitopoteza bahati,nitamwambia baba nipate mtaji ata Wa laki 5 tu
Ma Rais wote waliopita wangefanya kazi kama ww saizi tanzania ingekua kama uraya naomba rais wetu pambana na cc tupo nyuma yako mungu akubalikie sana god job magu
Watanzania wenzangu, Please tumchague tena John Pombe Joseph Magufuli aendelee kuiongoza tanzania mpaka 2025. Tusifanye makosa tafadhalini sana. JPM2020💪
Madebe yakiisha atapiga sufuria mheshimiwa haraf jamaa boya huyu uliitwa hapo ili upewe hela we unaulizwa shida yako nin unaanza ooh nilikosea kusema me salange we vip😠
Ninamiaka zaidi ya 40 lakini nimetokwa na machozi baada ya Rais kumwita mtoto mwanangu na kumpa hela. Huyu Rais wa pekee sana mm binafsi sijawahi kuona katika maisha yangu. Mungu akubariki sana Rais Magufuli tunakupenda sana aysee.
Kiukweli mpaka mtu unaeza tamani kukua mtanzania..... Ghai Tanzania you so lucky to have such a great president.. i love you magu... Millard Ayo magufuli sna tu...
Yaan kuna watu wamezaliwa na nuksi😂😂😂😂 huyo SARANGE alitaka kupewa pesa anaulizwa shida anasema simba mtoto aiseee nmecheka saaaanaa, hyo fursa kama ningeipata mm million tano zngeniangukia chap
Natowa jambo mimi ni murundi wabujumbura napenda sana kuona video za Raisi watanzania pamoja na mapilice wake namna banafanya kazi yani nawapongezi kwabigerere sana Mungu Awajariye asanteni
Jaman Nchi jiran wanatuonea kijicho kupata Rais Kama huyu jamani ukiona ww huoni kuwa huyu ni Rais Bora dunian ,haki ya Mungu ww umetoka kuzimu kuja kutugombanisha na mzee wetu.
Ni kweli were ni rais WA wanyonge,lakini kuna kitu nakiona ni stofahamu haswa kwa mikoa ya kusini hasa wilaya ya masasi.nadhani kunavitu ambavyo wanakudanganya,naona mmi mmja ya wanaichi wako tunaefatilia utendaji wko mzuri,nafyatilia SNA ziata zko ili nijue nni baba kasema Leo,ila kwnye ziara zko za huko aulizagi nani anashi au kma kna kero!kwakwli masasi kna stofahamu nyingi watendaji wna haribu sana
Awa nida mh. Raisi awafai kabisa uku rungwe nimejiandikisha mwezi sita adi leo sijapata kitambulisho ndani ya wiki nzima wanafanya kazi siku mbili tu wananchi wa rungwe tunapata shida tunaomba msahada wako mh. Raisi
Salange anamatatizo ya kisaikologia hivyo ndio maan ameshindwa kujua namna ya kujibu alipoulizwa anashida GN? Yeye akaelewa anatatizo gn linalomfanya ashindwe kubadilika na kuludi kuwa mpiga debe na istoshe katika gerezan HIV punde?
Hivi kupiga debe ni kazi? Huwa kuna mwananchi asiyejua ni gari gani atakalopanda limpeleke atakako? Wapiga debe niwazururaji, wezi na wavivu tu. Sukuma wote ndani.
The big Problem is Mr. Magufuli is working like an undercover Boss. You can't be in a wrong place, at a wrong time, everytime!! You have Ministers, judges, Managers, Teachers, doctors etc, but the president want to hier and solve all the problems on his own. Which is not possible!! What is going on Tansanian?
Mashehe wetu walimu wetu wa Muamsho wapo Gerezani wafiraji Babu Sanya na wanawe wapo huru kwa amri ya magu wakati tayari mahkama ilisha towa hukmu huu ni uwendawazimu uliopitiliza. Tatizo Taasisivya kiislam Bakwata ni tawi la ccm wameufyata kwa unafiq wao wanashindwa kuwatetea waislam weziwao.
Mweshimiwa vitambulisho imekuwa diri sasa ukiwa huna hella upati wanakuzungusha ulete chet vyeti vya kuzaliwa vya wazazi wengine tulivyo zaliwa wazazi wetu walisha kufa sasa vyeti tuta pata wapi?
HUYU JAMAA NI CHOKO KWELI ASEE YAANI UNAULIZWA UNA SHIDA GANI UNASEMA SARANGE MARA SIMBA MTOTO ASEE WARUGURU NINYI NI ZIROOOOO KABISA AMEKOSA 5MILLION BOYA HUYO
Watu wengine wakifika kwa rais wanapandwa na mapepo maan huyo maza mwenye mtoto kapagawa mpaka kujikuta anaongea mwenyewe kasahau kua alikua mbele ya rais
Amiri jeshi mkuu wa jeshi lenye nidhamu afrika nzima na utendaji uliotukuka anawakilisha kwa mavazi ya jeshi lake Zuri, Gonga like yako kama unalikubali jeshi letu
Hata Kenya tunamtambua magu
Raisi nimpendaye JPM viva viva viva JPM. 2020 kura zote chukua.🇹🇿🇹🇿🙏🙏🙏🙏
Boya unaulizwa shinda yako et mimi salange
Hahaha
Nilivyo kuwa nadhiki ee Mungu siku nakutana na Baba Magufuri ety eleza shida yako kudadadeki sitopoteza bahati,nitamwambia baba nipate mtaji ata Wa laki 5 tu
Mungu akubariki rais wetu najua Mungu atakuwa pamoja nawe baba kwa kazi unazozifanya I love u my President good sanaaaa
Uyu ndie tuliepewa na mungu ni jambo LA kumshukuru mungu
Ni Bahati Saana kumpata Raisi Ambaye anasikiliza Wananchi wake kama hivi.
Mungu ibariki Tanzania ,
Mmungu mbariki
Mh, Raisi John Pombe Magufuli
Nakubali sana Mzee wangu ajezi zako izo mabeberu mavi yana gonga chupi mkuu pika kazi baba ni malaisi wachee sana wanao vaa gwanda za kazi
Respect rais wetu hakika ww ni mtu wa watu
Ma Rais wote waliopita wangefanya kazi kama ww saizi tanzania ingekua kama uraya naomba rais wetu pambana na cc tupo nyuma yako mungu akubalikie sana god job magu
Mtoto kamwokoa mamake. Kura yangu haikuaribika 👍👍 rais wetu oyeee
😂😂😂😂😂😂😂eti ukiona maindi Bei kalime yako 😂😂kweli aisee kulima vyauchungu jua Kali Safi Sana mkuu
No comment,Tanzania ,Mwenyezi Mungu ameiibariki kweli kupata Raïs muzuri sana JPM. Furaha sana kumuona na kumusikiliza .Vive JPM.
Na shukuru mungu aibariki Tanzania na raisi wetu
Watanzania wenzangu, Please tumchague tena John Pombe Joseph Magufuli aendelee kuiongoza tanzania mpaka 2025. Tusifanye makosa tafadhalini sana. JPM2020💪
Ukijichanganya kwa Rais. Imekula kwko
Raisi W angu nakupenda sana tena sana mungu akulinde kwauwezo weke amina
Huyu mzuri hajawahi kutokea Tanzania ila chama chake tu ndio sikipendi hata kukiona
Yani mheshimiwa mimi binafisi kama ingewezekana ungepewa nchi nahisi tanzania ingekuwa ya heshima sana
Mungu akutunze rais wangu akuzidishie hekima mara elf moja barikiwa ssna baba
Mzee kwa ukweli Wewe ni m kweli sana. Mungu akubariki Mheshimiwa Rais.
Jamaa mshenzi huyu unaulizwa una shida gani unajibu utumbo loh dah kweli Kama umeandikiwa umasikini tu mpk mwisho
Duh uyo mama anajua..kuforce mazingira so poah
Amiri jeshi mkuu wa tz nani hakubali swali
🤣🤣🤣 km umeona rais kaweka mic sikioni na sim pia gonga like
Hhhahhhah nmecheka xana
@@mkemiabenzn7811 Haaaaaaa nimecheka sana
😆😆😆😆😆😆mic sikioni kajisahau
Hii karne mpy kwa watz jmn hizi mambo zakupewa pewa hazikuwepo asante Mungu
Madebe yakiisha atapiga sufuria mheshimiwa haraf jamaa boya huyu uliitwa hapo ili upewe hela we unaulizwa shida yako nin unaanza ooh nilikosea kusema me salange we vip😠
angetoka na mtaji wake wa karanga hapo
Ahmadi Mikidadi Hatibu angefungua kiduka mkoba mwenyewe 😂😂😂😂
Kweli kabisa
😁😁
Mpiga debe kayataka mwenyewe
Xana2
Mungu akubariki rais wa Tz endelea ongoza kwa haki Mungu hupenda haki
Uyu baba mungu akampe maisha marefu sanaa na amlinde pia
Nakukubali sana rais wangu mungu akujaliee upite tenaa
Mungu akubariki mh Rais
Amenichekesha magufuli alipoweka simu sikioni na maiki nayo masikioni amenichekesha sana
Alitaka watu wasikie kutoka kwenye cm
Haaha,alisahau jamani.
Jamaa kweli salange bubu anaulizwa shida nini anasema yeye salange du bora akalime tu.
Kaweka hiyooo ili watu waliopo hp wasikilie live
@@mwanaisha522 mmmnh maiki kushoto cm kulia magu noma
Polepole wanainchi mtamwaga ugali wa Dc
Jaman tanzania si tunaambiwa n moja sasa kwann huku Zanzibar haakuna chochote jaman
ALI KHAMIS, nyie mnajitamba watanzania bara tunakuja Zanzibar kutoa ushamba, eti mna kila kitu... Leo wewe unasema hamna chochote...
@@tanzaniteinzanzibar6655 asanta kwa mawazo yako lakin isome tena huo ujumbe wangu utanielewa nn nilimaanisha
Unataka chochote kip weye
Fafanua alii hakua nn
Ninamiaka zaidi ya 40 lakini nimetokwa na machozi baada ya Rais kumwita mtoto mwanangu na kumpa hela. Huyu Rais wa pekee sana mm binafsi sijawahi kuona katika maisha yangu. Mungu akubariki sana Rais Magufuli tunakupenda sana aysee.
Kiukweli mpaka mtu unaeza tamani kukua mtanzania..... Ghai Tanzania you so lucky to have such a great president.. i love you magu... Millard Ayo magufuli sna tu...
Mungu atusaidie katika kufanya maamzi.
Ama kweli we ndio jembe mungu akulinde jpm
MIMI naomba Magufuli awe Rais maisha yake yote
MH
Utakua senge co bure aisee
@@geoegedonard8548 #hahah hapana usenge nimeacha Ila huyu jamaa amefanya maisha yamekuwa mazur Sana
Hatamimi
Yaan kuna watu wamezaliwa na nuksi😂😂😂😂 huyo SARANGE alitaka kupewa pesa anaulizwa shida anasema simba mtoto aiseee nmecheka saaaanaa, hyo fursa kama ningeipata mm million tano zngeniangukia chap
Aloo hata mi nimeshangaa badala aombe hata mtaji hats wa Mahindi aachane na usarange yeye anarudisha mkanda nyuma tena!!
Yani ajielewi amenikera kha rais alikua na nia yakumsaidia ila ajaonesha ushirikiano dah
Hahahahahaaaaaa
Natowa jambo mimi ni murundi wabujumbura napenda sana kuona video za Raisi watanzania pamoja na mapilice wake namna banafanya kazi yani nawapongezi kwabigerere sana Mungu Awajariye asanteni
Yani Siwezi nikarara bira kutizama Rais watanzania namukubari sana
Badala yakuomba mtaji kwa mh raisi unasema sarange boya kweli ww
😀😀😀
Hahahha ulikia mawazon mwangu alivyoitwa pale mbele alikua apewe mtaji akazingua na usarange hahahhaa
@@nemricesoka8189 Mtaji ni nini?
😂😂😂jamn simba mtoto
Mwenye bahat habahatiki
Ukiweka simu na mic kwenye masikio unapata vitamini zote
Yaan ww unautan mbayaaa shida yake c wananchi wawasikie
😂😂😂😂😂😂
Mheshimiwa Hawa nida ni shida mheshimiwa
Huyu kweli ni salange, yaani unaulizwa una shida gani Unashindwa hata kusema sina mtaji?
Salange oyeeeeee
😂😂😂😂😂😂😂😂😂loh
Yaani roho imeniume San jamani ningekuwa mimi
Raisi mimi ninashida jamani ya kukuona live tuake pekeyetu dakika mbili tu.
Uyu jamaa mjinga mkuu wa nchi anakuuriza usaidiwe ww unaaza kusema oooh mm sio mzurulaji
😂😂😂😂😂😂
Kamata masalange wote sukuma ndani pumbavu wamenifanya mm nimeanda gari la ajabu kweli ambalo mm sikupanga.
Mimi mwenyewe wananiuzi wanakusindikiza mpaka kwenye ngalangala na bei unapigwa vile vile
😁
😹
Jaman Nchi jiran wanatuonea kijicho kupata Rais Kama huyu jamani ukiona ww huoni kuwa huyu ni Rais Bora dunian ,haki ya Mungu ww umetoka kuzimu kuja kutugombanisha na mzee wetu.
Ni kweli were ni rais WA wanyonge,lakini kuna kitu nakiona ni stofahamu haswa kwa mikoa ya kusini hasa wilaya ya masasi.nadhani kunavitu ambavyo wanakudanganya,naona mmi mmja ya wanaichi wako tunaefatilia utendaji wko mzuri,nafyatilia SNA ziata zko ili nijue nni baba kasema Leo,ila kwnye ziara zko za huko aulizagi nani anashi au kma kna kero!kwakwli masasi kna stofahamu nyingi watendaji wna haribu sana
Sasahivi maind yako juu sio kwa mkulima bei juu iko kwa waranguzi ambao walinunua bei rahisiiiii leo wanakula faida mala dufuu mkulima hana maZao tena
Umenena uhalisia kabisa, Rais hajui hilo nadhani wasaidizi wake wanapaswa kumueleza kuwa mazao wakati huu yko kwa walanguzi sio wakulima
nyie mlikua wapi kwenda kuyalangua maisha ni hesabu
@@allysalum7158 Aisee
Sasa we ulitaka iweje???! rais apange bei??
Awa nida mh. Raisi awafai kabisa uku rungwe nimejiandikisha mwezi sita adi leo sijapata kitambulisho ndani ya wiki nzima wanafanya kazi siku mbili tu wananchi wa rungwe tunapata shida tunaomba msahada wako mh. Raisi
Nakupenda sana makufili oyeeeee
Msanvu oyeeee nimepamis
Pga kazi mzee
Aliesikia sarange oyeee anipe like
Karibu mikoa mingi tunapewa namba tuu.
Unaulizwa shida yako unaanza kuongea u K.. Mrugulu kachelewa wapi huyo
SALANGE UMENIANGUSHA, UJUI HATA SHIDA YAKO NI NINI?
Kweli jua kali mheshimiwa duuh 😂😂
#nakukubali raixi magufuli
Hahahahahaaaaaa msenge huyo sarange unaulizwa badala useme unahitaji mtaji unasema mim sarange mfyuuu
Khaa kijana wembona km umelewa tuu acha bangi wew kalime
Chuo cha ualimu morogoro, Mheshimiwa uje utembelee maana...🤐🤐🤐
Siungeenda ukaongee wenae sasa hapa atakusaidia nani unakwama wapi
poa nakuja
Love mh wa tz
Hahaaaa Sarangeee hoyeeeee
Hapo mwisho jamaa anasura ngumu.mpaka raisi kamuuliza yy ni miongoni walio ungua Moto😂
🤣🤣🤣😅😅😆😁😄😃😃😀😀😃😃😄😃😂😂😂😂😀😀
Axnt Mh.rais wanqu nakupenda xn!
Salange anamatatizo ya kisaikologia hivyo ndio maan ameshindwa kujua namna ya kujibu alipoulizwa anashida GN? Yeye akaelewa anatatizo gn linalomfanya ashindwe kubadilika na kuludi kuwa mpiga debe na istoshe katika gerezan HIV punde?
wananchi wenyewe wanafki jamaa kaelezea shida wakashanfilia alafu akageuziwa kibao tena wanashangilia mmmmh
Hivi kupiga debe ni kazi? Huwa kuna mwananchi asiyejua ni gari gani atakalopanda limpeleke atakako? Wapiga debe niwazururaji, wezi na wavivu tu. Sukuma wote ndani.
Mimi sarangee hahaha hahahaha
Kweli wanyonge tumepata mtetezi
Badala aseme shida yake anasema habar za Simba mtoto
Yaani ameniudhi amepata nafasi adimu aeleze shida zake Anasema Mimi ni Sarange yaani
David Martin sijaona fala kama huyo aliyezungumza mambo ya sarange na Simba mtoto
Baba jeska anahuruma sana wasukuma ndivyo tulivyo na huruma nampenda sana
Jamaa kaikosa milioni moja nje nje matako kweli we unaulizwa shida yako unaanza kuongea utumbo utakufa masikini K wewe
The big Problem is Mr. Magufuli is working like an undercover Boss. You can't be in a wrong place, at a wrong time, everytime!! You have Ministers, judges, Managers, Teachers, doctors etc, but the president want to hier and solve all the problems on his own. Which is not possible!! What is going on Tansanian?
Mashehe wetu walimu wetu wa Muamsho wapo Gerezani wafiraji Babu Sanya na wanawe wapo huru kwa amri ya magu wakati tayari mahkama ilisha towa hukmu huu ni uwendawazimu uliopitiliza. Tatizo Taasisivya kiislam Bakwata ni tawi la ccm wameufyata kwa unafiq wao wanashindwa kuwatetea waislam weziwao.
Kam umemsikia jamaa anasema et hasikii vzr gongalike twende zetu dodom
Merci monsieur président.Dieu vous protage.
Dictetor 1 africa
salum nakauka on dit Que Dieu te protège non pas te protage
😗from 🇧🇮
Nouma Sanaaaaa
Kebu Mtanza Broooo😂😂😂😂
@@yussuphkazumar6229 upo msee
Kebu Mtanza 2pogo br
Baba hataki mchezo huyu napenda atawale miaka yote
Mweshimiwa vitambulisho imekuwa diri sasa ukiwa huna hella upati wanakuzungusha ulete chet vyeti vya kuzaliwa vya wazazi wengine tulivyo zaliwa wazazi wetu walisha kufa sasa vyeti tuta pata wapi?
HUYU JAMAA NI CHOKO KWELI ASEE YAANI UNAULIZWA UNA SHIDA GANI UNASEMA SARANGE MARA SIMBA MTOTO ASEE WARUGURU NINYI NI ZIROOOOO KABISA AMEKOSA 5MILLION BOYA HUYO
Sio waruguru tengua kabla ya 5
Acha usenge
Usitukane makabira ya wtu bro,sio kisaa jamaa anakaa moro ukajuaa ni mruguru achaa mmbo ya kisalange bhana
Choko sana huyo umepata bahati ya mkenge unaulizwa una shida gani et linasema mm ni sarange
Kweli atutambata kama wew
Jamani uhuru si uchukuwe mfano japo wakiya tuu🙆♀️🙆♀️🙆♀️wa Tanzania mungu awalindie Rais wenu 🙏🙏
Mamy mdogo Mamy lnisha Allah
This is Magufuli
Uwiiii we mama me staki kupata kufuru
Watu wengine wakifika kwa rais wanapandwa na mapepo maan huyo maza mwenye mtoto kapagawa mpaka kujikuta anaongea mwenyewe kasahau kua alikua mbele ya rais
Dah mzee kavalia gwanda kabisa nomaaaa....
Hahahhha ndo amiri jeshi mkuuu hiloo ndo vaz thabit kwake
Yassini Rabhu limem fit .
Sarange oyeeeeeee🤣
Unaacha kusema nashida namtaji unasema Mimi sarange wewe kweli zoba
Mpumbavu 1 huyu kwel unashindwa kusema mm muheshimiwa naomba unisaidie mtaji aiseee watu wengin bhn mjinga sana huyu
Jamani uyu rais asitoke madalakani jamani mbaka mungu atakapo mchukua kwamapendekezo yamungu
Hao wasaidiz wa raisi mnashindwa kumwekea laudi speaker
Njoo na kilosa Mh Rais wetu
Pole kwa safari kwa miungu watu,kama ninyi,huyo rais mchapa kazi mwambie ongera kwa safari.
Ubarikiwe.raisi.wetu
Hata dodoma raisi nida ni shida baba tusaidie.tuna namba tu vitambulisho hakuna
Rest in paradise dady
Huyu rais ndo maana nampenda bure.
czcams.com/video/3PNY12fa_0Y/video.html
kuepuka wadukuaji( Hackers) usisahau kusubscribe