DUH! JPM AMVAA MFUNGWA ALETOKA GEREZANI "ALIKAA MIEZI SITA, MSHIKENI TENA, AKALIME MZURURAJI"

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 19. 11. 2019

Komentáře • 286

  • @AsiaMkusa
    @AsiaMkusa Před 4 lety +31

    Amiri jeshi mkuu wa jeshi lenye nidhamu afrika nzima na utendaji uliotukuka anawakilisha kwa mavazi ya jeshi lake Zuri, Gonga like yako kama unalikubali jeshi letu

  • @dianafyondi3265
    @dianafyondi3265 Před 4 lety +31

    Raisi nimpendaye JPM viva viva viva JPM. 2020 kura zote chukua.🇹🇿🇹🇿🙏🙏🙏🙏

  • @doricegabriel2610
    @doricegabriel2610 Před 4 lety +9

    Nilivyo kuwa nadhiki ee Mungu siku nakutana na Baba Magufuri ety eleza shida yako kudadadeki sitopoteza bahati,nitamwambia baba nipate mtaji ata Wa laki 5 tu

  • @johnkillango7850
    @johnkillango7850 Před 4 lety +8

    Mungu akubariki rais wetu najua Mungu atakuwa pamoja nawe baba kwa kazi unazozifanya I love u my President good sanaaaa

  • @frankmosha5854
    @frankmosha5854 Před 4 lety +25

    Uyu ndie tuliepewa na mungu ni jambo LA kumshukuru mungu

  • @ibrahimuhamzab.7129
    @ibrahimuhamzab.7129 Před 4 lety +3

    Ni Bahati Saana kumpata Raisi Ambaye anasikiliza Wananchi wake kama hivi.
    Mungu ibariki Tanzania ,
    Mmungu mbariki
    Mh, Raisi John Pombe Magufuli

  • @dominikishilali194
    @dominikishilali194 Před 3 lety +1

    Nakubali sana Mzee wangu ajezi zako izo mabeberu mavi yana gonga chupi mkuu pika kazi baba ni malaisi wachee sana wanao vaa gwanda za kazi

  • @andreashayo6266
    @andreashayo6266 Před 4 lety +11

    Respect rais wetu hakika ww ni mtu wa watu

  • @abbasally6288
    @abbasally6288 Před 4 lety +1

    Ma Rais wote waliopita wangefanya kazi kama ww saizi tanzania ingekua kama uraya naomba rais wetu pambana na cc tupo nyuma yako mungu akubalikie sana god job magu

  • @lightmbasha6404
    @lightmbasha6404 Před 4 lety +6

    Mtoto kamwokoa mamake. Kura yangu haikuaribika 👍👍 rais wetu oyeee

  • @monicamonica4597
    @monicamonica4597 Před 4 lety +2

    😂😂😂😂😂😂😂eti ukiona maindi Bei kalime yako 😂😂kweli aisee kulima vyauchungu jua Kali Safi Sana mkuu

  • @omariswafuru9399
    @omariswafuru9399 Před 4 lety

    No comment,Tanzania ,Mwenyezi Mungu ameiibariki kweli kupata Raïs muzuri sana JPM. Furaha sana kumuona na kumusikiliza .Vive JPM.

  • @joycehagman5622
    @joycehagman5622 Před 3 lety +1

    Na shukuru mungu aibariki Tanzania na raisi wetu

  • @thegreatsource2953
    @thegreatsource2953 Před 3 lety +1

    Watanzania wenzangu, Please tumchague tena John Pombe Joseph Magufuli aendelee kuiongoza tanzania mpaka 2025. Tusifanye makosa tafadhalini sana. JPM2020💪

  • @thadeiminja1855
    @thadeiminja1855 Před 4 lety +18

    Ukijichanganya kwa Rais. Imekula kwko

  • @ahdahmed8383
    @ahdahmed8383 Před 4 lety +1

    Raisi W angu nakupenda sana tena sana mungu akulinde kwauwezo weke amina

  • @suleimanpandu8955
    @suleimanpandu8955 Před 3 lety +1

    Huyu mzuri hajawahi kutokea Tanzania ila chama chake tu ndio sikipendi hata kukiona

  • @kenicemkaka2824
    @kenicemkaka2824 Před 4 lety +4

    Yani mheshimiwa mimi binafisi kama ingewezekana ungepewa nchi nahisi tanzania ingekuwa ya heshima sana

  • @giftnyakipande1253
    @giftnyakipande1253 Před 4 lety +1

    Mungu akutunze rais wangu akuzidishie hekima mara elf moja barikiwa ssna baba

  • @oscarkasalile9367
    @oscarkasalile9367 Před 4 lety +2

    Mzee kwa ukweli Wewe ni m kweli sana. Mungu akubariki Mheshimiwa Rais.

  • @jackleenmandary2632
    @jackleenmandary2632 Před 4 lety +4

    Jamaa mshenzi huyu unaulizwa una shida gani unajibu utumbo loh dah kweli Kama umeandikiwa umasikini tu mpk mwisho

  • @bonifacepontian1391
    @bonifacepontian1391 Před 4 lety +5

    Duh uyo mama anajua..kuforce mazingira so poah

  • @emmakelvinmeinyi1439
    @emmakelvinmeinyi1439 Před 4 lety +16

    Amiri jeshi mkuu wa tz nani hakubali swali

  • @seifmohamedseif9467
    @seifmohamedseif9467 Před 4 lety +100

    🤣🤣🤣 km umeona rais kaweka mic sikioni na sim pia gonga like

  • @aminasalum1954
    @aminasalum1954 Před 4 lety +3

    Hii karne mpy kwa watz jmn hizi mambo zakupewa pewa hazikuwepo asante Mungu

  • @subrynerysegerow1323
    @subrynerysegerow1323 Před 4 lety +25

    Madebe yakiisha atapiga sufuria mheshimiwa haraf jamaa boya huyu uliitwa hapo ili upewe hela we unaulizwa shida yako nin unaanza ooh nilikosea kusema me salange we vip😠

  • @lazarojr8923
    @lazarojr8923 Před 4 lety +22

    Mpiga debe kayataka mwenyewe

  • @walikidali596
    @walikidali596 Před 4 lety +1

    Mungu akubariki rais wa Tz endelea ongoza kwa haki Mungu hupenda haki

  • @akwillahsegwa6940
    @akwillahsegwa6940 Před 4 lety +1

    Uyu baba mungu akampe maisha marefu sanaa na amlinde pia

  • @rahmakatotok3489
    @rahmakatotok3489 Před 4 lety +1

    Nakukubali sana rais wangu mungu akujaliee upite tenaa

  • @deusdeditswebe8930
    @deusdeditswebe8930 Před 4 lety +2

    Mungu akubariki mh Rais

  • @ramadhanindevu6006
    @ramadhanindevu6006 Před 4 lety +16

    Amenichekesha magufuli alipoweka simu sikioni na maiki nayo masikioni amenichekesha sana

    • @stantz1798
      @stantz1798 Před 4 lety +3

      Alitaka watu wasikie kutoka kwenye cm

    • @merryjulius4098
      @merryjulius4098 Před 4 lety

      Haaha,alisahau jamani.

    • @saidinhomarwa5575
      @saidinhomarwa5575 Před 4 lety

      Jamaa kweli salange bubu anaulizwa shida nini anasema yeye salange du bora akalime tu.

    • @mwanaisha522
      @mwanaisha522 Před 4 lety

      Kaweka hiyooo ili watu waliopo hp wasikilie live

    • @ommylamam1463
      @ommylamam1463 Před 4 lety

      @@mwanaisha522 mmmnh maiki kushoto cm kulia magu noma

  • @banazoone2744
    @banazoone2744 Před 4 lety +5

    Polepole wanainchi mtamwaga ugali wa Dc

  • @alikhamisog3422
    @alikhamisog3422 Před 4 lety +7

    Jaman tanzania si tunaambiwa n moja sasa kwann huku Zanzibar haakuna chochote jaman

    • @tanzaniteinzanzibar6655
      @tanzaniteinzanzibar6655 Před 4 lety +3

      ALI KHAMIS, nyie mnajitamba watanzania bara tunakuja Zanzibar kutoa ushamba, eti mna kila kitu... Leo wewe unasema hamna chochote...

    • @alikhamisog3422
      @alikhamisog3422 Před 4 lety

      @@tanzaniteinzanzibar6655 asanta kwa mawazo yako lakin isome tena huo ujumbe wangu utanielewa nn nilimaanisha

    • @nawihadj6674
      @nawihadj6674 Před 4 lety

      Unataka chochote kip weye

    • @josephmsuya8124
      @josephmsuya8124 Před 4 lety

      Fafanua alii hakua nn

  • @charleshaule4008
    @charleshaule4008 Před 4 lety +2

    Ninamiaka zaidi ya 40 lakini nimetokwa na machozi baada ya Rais kumwita mtoto mwanangu na kumpa hela. Huyu Rais wa pekee sana mm binafsi sijawahi kuona katika maisha yangu. Mungu akubariki sana Rais Magufuli tunakupenda sana aysee.

  • @jeuritv156
    @jeuritv156 Před 3 lety

    Kiukweli mpaka mtu unaeza tamani kukua mtanzania..... Ghai Tanzania you so lucky to have such a great president.. i love you magu... Millard Ayo magufuli sna tu...

  • @gabrielisack7786
    @gabrielisack7786 Před 4 lety +3

    Mungu atusaidie katika kufanya maamzi.

  • @dicksonhenricko9130
    @dicksonhenricko9130 Před 3 lety

    Ama kweli we ndio jembe mungu akulinde jpm

  • @evcloudjuma9790
    @evcloudjuma9790 Před 4 lety +12

    MIMI naomba Magufuli awe Rais maisha yake yote

  • @maxwellwilliam1663
    @maxwellwilliam1663 Před 4 lety +12

    Yaan kuna watu wamezaliwa na nuksi😂😂😂😂 huyo SARANGE alitaka kupewa pesa anaulizwa shida anasema simba mtoto aiseee nmecheka saaaanaa, hyo fursa kama ningeipata mm million tano zngeniangukia chap

    • @salummuhija4435
      @salummuhija4435 Před 4 lety +1

      Aloo hata mi nimeshangaa badala aombe hata mtaji hats wa Mahindi aachane na usarange yeye anarudisha mkanda nyuma tena!!

    • @giftnyakipande1253
      @giftnyakipande1253 Před 4 lety +1

      Yani ajielewi amenikera kha rais alikua na nia yakumsaidia ila ajaonesha ushirikiano dah

    • @aminasalum1954
      @aminasalum1954 Před 4 lety

      Hahahahahaaaaaa

    • @ndikumanaally4952
      @ndikumanaally4952 Před 4 lety +1

      Natowa jambo mimi ni murundi wabujumbura napenda sana kuona video za Raisi watanzania pamoja na mapilice wake namna banafanya kazi yani nawapongezi kwabigerere sana Mungu Awajariye asanteni

    • @ndikumanaally4952
      @ndikumanaally4952 Před 4 lety

      Yani Siwezi nikarara bira kutizama Rais watanzania namukubari sana

  • @daudirajabu6798
    @daudirajabu6798 Před 4 lety +9

    Badala yakuomba mtaji kwa mh raisi unasema sarange boya kweli ww

  • @immaruzige1845
    @immaruzige1845 Před 4 lety +9

    Ukiweka simu na mic kwenye masikio unapata vitamini zote

  • @oscarkasalile9367
    @oscarkasalile9367 Před 4 lety +10

    Mheshimiwa Hawa nida ni shida mheshimiwa

  • @GloriousRestorationTV
    @GloriousRestorationTV Před 4 lety +12

    Huyu kweli ni salange, yaani unaulizwa una shida gani Unashindwa hata kusema sina mtaji?
    Salange oyeeeeee

  • @africa7479
    @africa7479 Před 4 lety +7

    Raisi mimi ninashida jamani ya kukuona live tuake pekeyetu dakika mbili tu.

    • @alyhamadi8033
      @alyhamadi8033 Před 4 lety

      Uyu jamaa mjinga mkuu wa nchi anakuuriza usaidiwe ww unaaza kusema oooh mm sio mzurulaji

    • @grfgt1930
      @grfgt1930 Před 4 lety

      😂😂😂😂😂😂

  • @evcloudjuma9790
    @evcloudjuma9790 Před 4 lety +6

    Kamata masalange wote sukuma ndani pumbavu wamenifanya mm nimeanda gari la ajabu kweli ambalo mm sikupanga.

  • @evcloudjuma9790
    @evcloudjuma9790 Před 4 lety +5

    Jaman Nchi jiran wanatuonea kijicho kupata Rais Kama huyu jamani ukiona ww huoni kuwa huyu ni Rais Bora dunian ,haki ya Mungu ww umetoka kuzimu kuja kutugombanisha na mzee wetu.

  • @hamisjahar756
    @hamisjahar756 Před 4 lety +2

    Ni kweli were ni rais WA wanyonge,lakini kuna kitu nakiona ni stofahamu haswa kwa mikoa ya kusini hasa wilaya ya masasi.nadhani kunavitu ambavyo wanakudanganya,naona mmi mmja ya wanaichi wako tunaefatilia utendaji wko mzuri,nafyatilia SNA ziata zko ili nijue nni baba kasema Leo,ila kwnye ziara zko za huko aulizagi nani anashi au kma kna kero!kwakwli masasi kna stofahamu nyingi watendaji wna haribu sana

  • @harunimfaume6280
    @harunimfaume6280 Před 4 lety +8

    Sasahivi maind yako juu sio kwa mkulima bei juu iko kwa waranguzi ambao walinunua bei rahisiiiii leo wanakula faida mala dufuu mkulima hana maZao tena

    • @wannaproducts
      @wannaproducts Před 4 lety

      Umenena uhalisia kabisa, Rais hajui hilo nadhani wasaidizi wake wanapaswa kumueleza kuwa mazao wakati huu yko kwa walanguzi sio wakulima

    • @allysalum7158
      @allysalum7158 Před 4 lety +1

      nyie mlikua wapi kwenda kuyalangua maisha ni hesabu

    • @wannaproducts
      @wannaproducts Před 4 lety

      @@allysalum7158 Aisee

    • @festosanga1793
      @festosanga1793 Před 4 lety

      Sasa we ulitaka iweje???! rais apange bei??

  • @hansimwakyoma3042
    @hansimwakyoma3042 Před 4 lety +1

    Awa nida mh. Raisi awafai kabisa uku rungwe nimejiandikisha mwezi sita adi leo sijapata kitambulisho ndani ya wiki nzima wanafanya kazi siku mbili tu wananchi wa rungwe tunapata shida tunaomba msahada wako mh. Raisi

  • @husnamohamed9245
    @husnamohamed9245 Před 4 lety +1

    Nakupenda sana makufili oyeeeee

  • @aminasalum1954
    @aminasalum1954 Před 4 lety +8

    Msanvu oyeeee nimepamis

  • @molasmusa3609
    @molasmusa3609 Před 4 lety +3

    Pga kazi mzee

  • @saidherry8820
    @saidherry8820 Před 3 lety

    Aliesikia sarange oyeee anipe like

  • @lindahwazir7209
    @lindahwazir7209 Před 4 lety +1

    Karibu mikoa mingi tunapewa namba tuu.

  • @henrykishiwa6755
    @henrykishiwa6755 Před 4 lety +4

    Unaulizwa shida yako unaanza kuongea u K.. Mrugulu kachelewa wapi huyo

  • @victormushi6641
    @victormushi6641 Před 4 lety +7

    SALANGE UMENIANGUSHA, UJUI HATA SHIDA YAKO NI NINI?

  • @jumaselemani2720
    @jumaselemani2720 Před 4 lety +7

    Kweli jua kali mheshimiwa duuh 😂😂

  • @aminasalum1954
    @aminasalum1954 Před 4 lety +2

    Hahahahahaaaaaa msenge huyo sarange unaulizwa badala useme unahitaji mtaji unasema mim sarange mfyuuu

  • @aminasalum1954
    @aminasalum1954 Před 4 lety +2

    Khaa kijana wembona km umelewa tuu acha bangi wew kalime

  • @augustinojohn4764
    @augustinojohn4764 Před 4 lety +5

    Chuo cha ualimu morogoro, Mheshimiwa uje utembelee maana...🤐🤐🤐

  • @fifo262
    @fifo262 Před 4 lety +1

    Love mh wa tz

  • @uswizinyanginywa2498
    @uswizinyanginywa2498 Před 4 lety +7

    Hahaaaa Sarangeee hoyeeeee

  • @masuseleman978
    @masuseleman978 Před 4 lety +8

    Hapo mwisho jamaa anasura ngumu.mpaka raisi kamuuliza yy ni miongoni walio ungua Moto😂

    • @petromtakati2975
      @petromtakati2975 Před 2 lety

      🤣🤣🤣😅😅😆😁😄😃😃😀😀😃😃😄😃😂😂😂😂😀😀

  • @mselemsalim1986
    @mselemsalim1986 Před 4 lety

    Axnt Mh.rais wanqu nakupenda xn!

  • @mambosasatv9717
    @mambosasatv9717 Před 4 lety +1

    Salange anamatatizo ya kisaikologia hivyo ndio maan ameshindwa kujua namna ya kujibu alipoulizwa anashida GN? Yeye akaelewa anatatizo gn linalomfanya ashindwe kubadilika na kuludi kuwa mpiga debe na istoshe katika gerezan HIV punde?

  • @godfreymhochi6206
    @godfreymhochi6206 Před 4 lety +2

    wananchi wenyewe wanafki jamaa kaelezea shida wakashanfilia alafu akageuziwa kibao tena wanashangilia mmmmh

  • @damariszuckschwert9489
    @damariszuckschwert9489 Před 4 lety +4

    Hivi kupiga debe ni kazi? Huwa kuna mwananchi asiyejua ni gari gani atakalopanda limpeleke atakako? Wapiga debe niwazururaji, wezi na wavivu tu. Sukuma wote ndani.

  • @sondanzingulasondasam4029

    Mimi sarangee hahaha hahahaha

  • @fransymwasubira.2903
    @fransymwasubira.2903 Před 4 lety +7

    Kweli wanyonge tumepata mtetezi

  • @davidmartin5197
    @davidmartin5197 Před 4 lety +10

    Badala aseme shida yake anasema habar za Simba mtoto

    • @hopesefue1562
      @hopesefue1562 Před 4 lety +1

      Yaani ameniudhi amepata nafasi adimu aeleze shida zake Anasema Mimi ni Sarange yaani

    • @amiryhassan7143
      @amiryhassan7143 Před 4 lety

      David Martin sijaona fala kama huyo aliyezungumza mambo ya sarange na Simba mtoto

  • @magdalinangussa8643
    @magdalinangussa8643 Před 4 lety

    Baba jeska anahuruma sana wasukuma ndivyo tulivyo na huruma nampenda sana

  • @henrykishiwa6755
    @henrykishiwa6755 Před 4 lety +2

    Jamaa kaikosa milioni moja nje nje matako kweli we unaulizwa shida yako unaanza kuongea utumbo utakufa masikini K wewe

  • @judithwirth2256
    @judithwirth2256 Před 4 lety

    The big Problem is Mr. Magufuli is working like an undercover Boss. You can't be in a wrong place, at a wrong time, everytime!! You have Ministers, judges, Managers, Teachers, doctors etc, but the president want to hier and solve all the problems on his own. Which is not possible!! What is going on Tansanian?

  • @sasha-ri7tf
    @sasha-ri7tf Před 4 lety

    Mashehe wetu walimu wetu wa Muamsho wapo Gerezani wafiraji Babu Sanya na wanawe wapo huru kwa amri ya magu wakati tayari mahkama ilisha towa hukmu huu ni uwendawazimu uliopitiliza. Tatizo Taasisivya kiislam Bakwata ni tawi la ccm wameufyata kwa unafiq wao wanashindwa kuwatetea waislam weziwao.

  • @aminasalum1954
    @aminasalum1954 Před 4 lety +2

    Kam umemsikia jamaa anasema et hasikii vzr gongalike twende zetu dodom

  • @salumnakauka5355
    @salumnakauka5355 Před 4 lety +4

    Merci monsieur président.Dieu vous protage.

  • @user-je7jj1vi2u
    @user-je7jj1vi2u Před 3 lety

    😗from 🇧🇮

  • @kebumtanza5119
    @kebumtanza5119 Před 4 lety +8

    Nouma Sanaaaaa

  • @magdalinangussa8643
    @magdalinangussa8643 Před 4 lety +1

    Baba hataki mchezo huyu napenda atawale miaka yote

  • @maidamwaipopo7645
    @maidamwaipopo7645 Před 4 lety

    Mweshimiwa vitambulisho imekuwa diri sasa ukiwa huna hella upati wanakuzungusha ulete chet vyeti vya kuzaliwa vya wazazi wengine tulivyo zaliwa wazazi wetu walisha kufa sasa vyeti tuta pata wapi?

  • @selemanivanmkungu4637
    @selemanivanmkungu4637 Před 4 lety +2

    HUYU JAMAA NI CHOKO KWELI ASEE YAANI UNAULIZWA UNA SHIDA GANI UNASEMA SARANGE MARA SIMBA MTOTO ASEE WARUGURU NINYI NI ZIROOOOO KABISA AMEKOSA 5MILLION BOYA HUYO

    • @willekisamaki8709
      @willekisamaki8709 Před 4 lety

      Sio waruguru tengua kabla ya 5

    • @mabodythedon1489
      @mabodythedon1489 Před 4 lety

      Acha usenge

    • @nawihadj6674
      @nawihadj6674 Před 4 lety

      Usitukane makabira ya wtu bro,sio kisaa jamaa anakaa moro ukajuaa ni mruguru achaa mmbo ya kisalange bhana

    • @musamanyanda5112
      @musamanyanda5112 Před 4 lety

      Choko sana huyo umepata bahati ya mkenge unaulizwa una shida gani et linasema mm ni sarange

  • @jeradkanyuru5745
    @jeradkanyuru5745 Před 4 lety +1

    Kweli atutambata kama wew

  • @mamymdogomamy3670
    @mamymdogomamy3670 Před 4 lety

    Jamani uhuru si uchukuwe mfano japo wakiya tuu🙆‍♀️🙆‍♀️🙆‍♀️wa Tanzania mungu awalindie Rais wenu 🙏🙏

  • @britonngale6644
    @britonngale6644 Před 4 lety +3

    This is Magufuli

  • @aqwinatherhaule6228
    @aqwinatherhaule6228 Před 4 lety +1

    Uwiiii we mama me staki kupata kufuru

  • @maxwellwilliam1663
    @maxwellwilliam1663 Před 4 lety +2

    Watu wengine wakifika kwa rais wanapandwa na mapepo maan huyo maza mwenye mtoto kapagawa mpaka kujikuta anaongea mwenyewe kasahau kua alikua mbele ya rais

  • @Yi-05
    @Yi-05 Před 4 lety +1

    Dah mzee kavalia gwanda kabisa nomaaaa....

  • @pendomkumbo8262
    @pendomkumbo8262 Před 4 lety +1

    Sarange oyeeeeeee🤣

  • @laumbwana2681
    @laumbwana2681 Před 4 lety +3

    Unaacha kusema nashida namtaji unasema Mimi sarange wewe kweli zoba

  • @neemamayco3238
    @neemamayco3238 Před 4 lety

    Mpumbavu 1 huyu kwel unashindwa kusema mm muheshimiwa naomba unisaidie mtaji aiseee watu wengin bhn mjinga sana huyu

  • @aminahussein5418
    @aminahussein5418 Před 4 lety

    Jamani uyu rais asitoke madalakani jamani mbaka mungu atakapo mchukua kwamapendekezo yamungu

  • @japhetisraelsmafie997
    @japhetisraelsmafie997 Před 4 lety +1

    Hao wasaidiz wa raisi mnashindwa kumwekea laudi speaker

  • @ibrasound4943
    @ibrasound4943 Před 4 lety

    Njoo na kilosa Mh Rais wetu

  • @BontamLee
    @BontamLee Před 4 lety

    Pole kwa safari kwa miungu watu,kama ninyi,huyo rais mchapa kazi mwambie ongera kwa safari.

  • @frankmussa195
    @frankmussa195 Před 3 lety

    Ubarikiwe.raisi.wetu

  • @suzanemwangingo6932
    @suzanemwangingo6932 Před 3 lety

    Hata dodoma raisi nida ni shida baba tusaidie.tuna namba tu vitambulisho hakuna

  • @ambermodotz408
    @ambermodotz408 Před rokem

    Rest in paradise dady

  • @raymondysadick608
    @raymondysadick608 Před 3 lety

    Huyu rais ndo maana nampenda bure.

  • @somanet_tech
    @somanet_tech Před 3 lety +1

    czcams.com/video/3PNY12fa_0Y/video.html
    kuepuka wadukuaji( Hackers) usisahau kusubscribe