Rais Magufuli amuweka kati RC, DC na Mkurugenzi akijibu kero za Wananchi

Sdílet
Vložit

Komentáře • 245

  • @angelhaki2364
    @angelhaki2364 Před 5 lety +6

    My presedent Mungu amekuchagua na aliuona huo moyo wa utendaji ndani yako

  • @kenedynsenga8520
    @kenedynsenga8520 Před 5 lety +2

    Natamani sana kama watanzania wenzangu wangemwelewa vizuri MHE: Rais wetu.... Hakika kazi anayoifanya ni zaidi ya unyenyekevu. Mungu akubariki sana mpendwa Rais wetu.... Afrika nzima itajifunza kwake

  • @agathasungura5047
    @agathasungura5047 Před 5 lety +7

    nakupenda saaana! raisi wangu sijutii kura yangu mwaaaa

  • @brianomondi4571
    @brianomondi4571 Před 5 lety +4

    I wish this man whould be A Kenyan.We would have been far ahead now .good job president

  • @petergisabu2994
    @petergisabu2994 Před 5 lety +26

    Piga kazi baba mungu uko mbele yako

  • @morefireministrychurch177

    mh rs pole sana kazi nzuri unayo ifanya mungu

  • @saudarajabu5504
    @saudarajabu5504 Před 5 lety +10

    Mungu akujalie Kila la heri baba yetu asante mungu kwa kutuletea baba anatujali sisi wayonge

  • @saidalisuleiman3731
    @saidalisuleiman3731 Před 5 lety +1

    Mhe rais wetu jpm mungu akubariki sana kwakweli unatufanyia vzr sana wanachi wa Tanzania hasa wanyonge! Asante sana mungu akufanyie wepesi na akupe nguvu zaid utufanyie kila yalio mazuri

  • @jaypili7837
    @jaypili7837 Před 5 lety +3

    more respect to mr president a real president God bless you

  • @mosesmlowe7006
    @mosesmlowe7006 Před 5 lety +1

    Mwenyezi mungu akujalie afya njema uzidi kutusaidia raia wa tanzania pamoja na nchi jirani respect to you mr.president

  • @lomulendavid8283
    @lomulendavid8283 Před 4 lety +1

    Ubarikiwe mweshimiwa Rais magufuli, mungu akubariki.

  • @allykazoa7065
    @allykazoa7065 Před 5 lety +4

    wewe ni Rais uliyeshushwa na mungu maana unatujari sisi watu wa hali ya chini mungu akubariki

    • @oman11oman59
      @oman11oman59 Před 5 lety +1

      We ni jembe akuna kama ww mzee piga kaz

  • @masoudzanzibarali9994
    @masoudzanzibarali9994 Před 5 lety +11

    Allah akulinde baba we ni mfano kwa Dunia sio Africa tu, ulikua wapi miaka yote hiyo, umenichekesha ulivosema Magoma Hoyeeee 😂😂😂😂, kama ingewezekana Kuongoza miaka 20 Tz ingekua Nchi ya mfano

  • @zachariamsigwa4382
    @zachariamsigwa4382 Před 5 lety +1

    Mh Rais karibu sana na Mkoa wa Njombe kuna madudu mengi, Mungu awe nawe katika Utumishi uliotukuka Baba

  • @sylvestercharles3585
    @sylvestercharles3585 Před 5 lety +46

    Unastahili kuwa baba wa Afrika. Hakika unatia moyo wananchi wako.......kila rakheli na Mungu akupiganie kwa kila hali Mr President.

    • @emmanuelmichael2260
      @emmanuelmichael2260 Před 5 lety +2

      RAis wangu mpendwa tenda kama hivyo hivyo mungu akubariki sana

    • @msovietimjamaa3017
      @msovietimjamaa3017 Před 4 lety

      Kama anafanya mazuri mbona kazima bunge? Mbona kawazima wanasiasa wenzake wasimkosoe? Magazeti,radio, TV, vyombo vya habari vyote vimetishwa vyote vimekuwa mavuvuzela yake ...hii ni serikali mbaya sana
      Ndio maana anaogopa sana wapinzani wasiseme. Tumebaki kusikilizishwa na kuaminishwa ya upande mmoja tu ....
      Propaganda tuuupu...

    • @josephgagala2588
      @josephgagala2588 Před 4 lety

      @@msovietimjamaa3017 Itikadi inasumbua huwezi kuona mazuri.

    • @mariamfaicalhassan2890
      @mariamfaicalhassan2890 Před 4 lety

      Msoviet kauli mbiu ya baba Magufuli alisema hapa kazi tu

  • @agneserasto9806
    @agneserasto9806 Před 5 lety +1

    Wananchi wanyonge tumerertewa rais na mungu kwa kweri tumshukuru sana mungu

  • @meshackmarwa9
    @meshackmarwa9 Před 5 lety +1

    Hakika raisi john bombe magufuli mungu akuongezee miaka mingi na akupe hekima na marifa siku zote na uendelee kuiongoza inchi hii

  • @rubenmegiro303
    @rubenmegiro303 Před 5 lety +2

    baba yet2 mm nakuombea Mungu akulinde

  • @daudshaza1221
    @daudshaza1221 Před 5 lety +1

    Kazi kazi mzee magu ndio maana nakupendaga chapa kazi

  • @munamwangu7737
    @munamwangu7737 Před 5 lety +2

    Sijaona rais bora dunia nzima kama magufuli

  • @mtanitz9582
    @mtanitz9582 Před 5 lety +10

    Magu oyeeeeeeee

  • @rajabupetermoses7338
    @rajabupetermoses7338 Před 5 lety +2

    kweli mungu amsaidie magufuli kusimama mbele ya watu na kuweka msimamo ule ule

  • @kassimukassimummeta8219
    @kassimukassimummeta8219 Před 4 lety +1

    magufuli oyeeeeee uyo ndo rais wa Tanzania mungu akutangulie

  • @leokamil2075
    @leokamil2075 Před 5 lety +4

    Sikiliza basi na ww mbona unakiherehere Raisi tumempata duh mm ningekuwa ningecheka maana anamaneno duh

  • @devidsumaye5353
    @devidsumaye5353 Před 3 lety +1

    Kama ingewezekana ningekupa nafsi yangu mimi sina faida ila wew ulikuwa kimbilio la wengi umeniacha nalia tu rais magufuli amka please nakuomba jamn

  • @frankpallangyoafraely6444

    na hakika kwa kazi unazozifanya raisi unastahili kuongezewa miaka

  • @halimasaleh5705
    @halimasaleh5705 Před 5 lety +10

    Hahaaaa raisi kapinda jmn tulia basi na ww una kiherehere loh nimecheka kweli

    • @mussamaduka2828
      @mussamaduka2828 Před 5 lety +2

      umenivunja mbavu Halma. Kama hataki kusikiliza ulitaka amjibu vipi sasa

    • @halimasaleh5705
      @halimasaleh5705 Před 5 lety

      Mussa Maduka ujue hao ndio wale ambao waliagizwa kufanya halafu hawakutekeleza sasa anataka kujisafishia njia yn nimecheka safari Rais tunae wallah

  • @dannythegreat8017
    @dannythegreat8017 Před 4 lety +1

    I always feel proud when I watch your speech. ...

  • @staminibandi8719
    @staminibandi8719 Před 5 lety +1

    Mwenyeenzi Mungu azidi kukubariki na kukuongoza katika kazi zako.

  • @ibrahimgwasma235
    @ibrahimgwasma235 Před 5 lety +5

    your the president we was been waiting for

  • @muxinomar1289
    @muxinomar1289 Před 5 lety +1

    Yes
    Kwa mbali napaona Nyumban.

  • @salmadalaquimane5303
    @salmadalaquimane5303 Před 5 lety +16

    Mjomba magu we ndio tulio kua tuna kusubr endelea miaka 40

    • @marymabondo7818
      @marymabondo7818 Před 5 lety

      Salmada Laquimane mia kabisa mpaka aseme mwenyewe kachoka

  • @odranslayo3298
    @odranslayo3298 Před 5 lety +7

    kama siyo kupata rais magufuli tungekuta sisi wanyonge tunachapwa viboko

  • @mathiasrobert582
    @mathiasrobert582 Před 4 lety +1

    MUNGU azidi kukutumia sana mtumishi wa MUNGU, Dkt, Rais wetu mpendwa, John Magufuli, ktk kuwaletea maendeleo watanzania.Tunakuombea ili BWANA azidi kukupatia afya njema.

  • @abdulshaban6343
    @abdulshaban6343 Před 5 lety +17

    kitu wasicho kijua watu kwa rais uyu unaweza kutoka nyumban ukawa una maneno kibao lkn ukafika apa ukakuta auna ata neno ata moja auna presha

    • @henricokanogu2223
      @henricokanogu2223 Před 5 lety

      😂😂😂😂

    • @jescajulius8023
      @jescajulius8023 Před 5 lety

      ABDUL SHABAN ,😁😁😁😁😁

    • @kevinchilingo845
      @kevinchilingo845 Před 4 lety

      kwakweli laid magufuli mm kijiji chetu tunakelo yabalabala mkowani Dodoma kijiji msunjilile kongwa kweli balabala nimbaya San laisi magufuli

    • @Queen-te3lz
      @Queen-te3lz Před 4 lety

      😆😆😆😂😂😂😂😅😅😅😅Ata ulicho panga kusema ukifika una sahau😆😆😆

  • @EK-kp2np
    @EK-kp2np Před 5 lety +13

    Rais akiendaga sehemu huwa nafananisha na vile ambavyo baba karudi nyumbani jioni na watoto walimyanyaswa na house girl au house boy sasa imefika muda wa kumshtakia baba, 😁 fikiria jinsi house girl/boy anavyotamani akubebe mgongoni😁

  • @salmadalaquimane5303
    @salmadalaquimane5303 Před 5 lety +7

    Wamemebana c ndio wata achiana

  • @leodgandunguru1695
    @leodgandunguru1695 Před 5 lety +2

    muheshimiwa, uko vizuri ila tunaomba uje na kusini cyo kaskazini tuu, uzuri utaendelea kuwepo

  • @asiazuberi9722
    @asiazuberi9722 Před 5 lety +40

    Ukiwa mbele ya magu unaweza sahau ata kusema kero yako kwa kutetemeka wallah 😂😂

  • @ladybilionaire379
    @ladybilionaire379 Před 5 lety +1

    Really i love you my President uko poa saàaana.

  • @iddyprod3187
    @iddyprod3187 Před 5 lety +5

    Walahi lazima upewe bonus uongoze miaka 10 ya nyongeza .....wengine mafisadi wakipewa nchi wataficha Ulaya mabillion yetu....Tanzania mpya is coming....

  • @salmadalaquimane5303
    @salmadalaquimane5303 Před 5 lety +4

    Really I will always love you

  • @fanuellameck8022
    @fanuellameck8022 Před 4 lety +4

    Nani kaona bendera ya CHADEMA😂😂😂😂

  • @fredkyara.babamunguwambing482

    Rais wa ukweli na kipenzi cha watanzania

  • @missarngweshemi9983
    @missarngweshemi9983 Před 5 lety +1

    Kwa wale wanaomchukia Rais Magufuli wajue kabisa wanamchukia Mungu maana tulimuomba na kwa kila dalili amejibu MAOMBI na kutusahaulisha msiba wa Bb wa Taifa Mwl Nyerere. Tumuombee na kumuunga mkono hasa kwenye kweli na haki na kuchapa kazi.

  • @marcelinmagala597
    @marcelinmagala597 Před 5 lety +1

    Mungu amewabariki watazania, leo JOSUAS anaongoza tazania

  • @esteriasteven3561
    @esteriasteven3561 Před 5 lety +7

    Njoo Mbeya babaaa! Wako maoficn wanachatii na kupgiana cm tyuu

  • @leodgandunguru1695
    @leodgandunguru1695 Před 5 lety +1

    your a president of whole Tanzania, so visit all your country, im crying with my vote i gave you

  • @ceciliaonyango301
    @ceciliaonyango301 Před 5 lety +2

    du!!! Raisi wetu jembe kweli

  • @elishamollel2131
    @elishamollel2131 Před 5 lety

    Huu ndio utumishi uliotukuka Mungu akutunze mh Raisi

  • @michaelsukwa4371
    @michaelsukwa4371 Před 5 lety

    Raise wetu uko vizuri

  • @myoutubecom-gg7sb
    @myoutubecom-gg7sb Před 4 lety

    Msema kweli ashakuja hi ndio kiboko yenu tena nina wakataza muache mambo ya kipochi

  • @KUTOKA-ep2fk
    @KUTOKA-ep2fk Před 5 lety +1

    Tutasomana hukohuko msoma! 😁😁😁😁😁 yaani I love u

  • @charlesiezekiel2203
    @charlesiezekiel2203 Před 4 lety

    Nakuelewa sana rais wangu dah aise sijui ajae atakuaje nataman awe kama ww

  • @ndossiadventurestz.6796
    @ndossiadventurestz.6796 Před 5 lety +11

    Raha sana kuwa Raisi yani so kwa ulinzi uo unatamka unachojiskia...#Na mm nnataka kuwa raisi nilindwe kama Magufuli....Me ata sijasema kitu me nnataka tu kuwa Raisi sitaki kitu kingine nilindwe na Mm.

    • @jescajulius8023
      @jescajulius8023 Před 5 lety

      davis ndossi ,😁😁😀ww hutufai kwa kuwa wataka kulindwa t na co kututumikia

    • @ndossiadventurestz.6796
      @ndossiadventurestz.6796 Před 5 lety

      @@jescajulius8023 Hahahah uo muda wa kukutumikia nnao mm nnataka kulindwa...Sasa kama magufuli anawatumikia bado mnamuona mbaya sasa mm ndo niwatumikie mm nnataka prestige tu.😁😁😁😁😁.

    • @jescajulius8023
      @jescajulius8023 Před 5 lety

      Dav boi Mkali,😀😀😀😀utasubiri sana

    • @ndossiadventurestz.6796
      @ndossiadventurestz.6796 Před 5 lety

      @@jescajulius8023 Ntakua tu usijali alafu ntakukumbusha cku nikiwa Raisi

    • @jescajulius8023
      @jescajulius8023 Před 5 lety

      Dav boi Mkali 😀😀😀ukiwa rais usinisahau marupu rupu

  • @rahimaryanjr.8977
    @rahimaryanjr.8977 Před 2 lety

    One and Only JPM

  • @marimuhamis3471
    @marimuhamis3471 Před 5 lety +9

    Kazi njema baba penda thanaaaa ww

  • @getrudaasheri2131
    @getrudaasheri2131 Před 5 lety

    Mwenyekiti huyu anaenda tofauti na maada,anaulizwa na Raisi anaji vingine

  • @amrimalumbo1712
    @amrimalumbo1712 Před 4 lety +1

    Huyo mam ameshika bango hlf anaitw aongee matatz anaosuasua

  • @dr.erickjmazyala8905
    @dr.erickjmazyala8905 Před 5 lety

    wow, yaani huyu rais wetu ni kiboko! Mwl.Nyerere angefufuka leo angekufa mwenye furaha saaana kwa utendaji wa rais wetu huyu! Akisema hataki rushwa, ufisadi, na upuuzi mwingine…yaani mpaka nywele zake zinamaanisha… hatanii! Tz kweli Mungu anatupenda sana! Mungu azidi kumbariki rais wetu, Mungu ibariki Tz!

    • @officialkr2
      @officialkr2 Před 5 lety

      Inapendeza sana, naona fahari kuwa Mtanzania chini ya Utawala wa Magufuli. CCM ndio habari ya mjiniiiiiiiiiii

  • @heshimakibali1431
    @heshimakibali1431 Před 5 lety +3

    tusaidie wana Bunda.. hasa barabara, nina hakika hilo litatekelezeka.

  • @limokisuda4145
    @limokisuda4145 Před 5 lety +2

    huyo mama dc hawez hata kujieleza kwa mheshimiwa anatetemeka tetemeka kama cyo kiongoz wa hiyo wilaya

  • @thamiyuucute7098
    @thamiyuucute7098 Před 5 lety +1

    Woga wanini watu tunatafuta nafasi yakukutana na Magufulii..tutumbuwe majipuu wabunge wanatufanyia utumbo telee....khaa mimi ckuiyo ningetapikaa....khaaaa😂😂😂😂

  • @davidbedda5007
    @davidbedda5007 Před 5 lety +7

    Mmekiona kibendera cha chadema kule kwa mbaliiiiiii

  • @thamiyuucute7098
    @thamiyuucute7098 Před 5 lety +1

    Mheshimiwaa...oyeeee...Mimzanzibari ila dah....hadirahaaaa😂😂😂

  • @alexjohntx5506
    @alexjohntx5506 Před 5 lety +1

    yaaan ni kweli huyu ni mtu wa watu kakweli duuu
    katatua mbambo yoteee

  • @hemedmgomi4450
    @hemedmgomi4450 Před 5 lety +3

    magufuli chapa kazi njoo na mtwRa uku mambo ayo ypo mngi xna

  • @zainabmakame3015
    @zainabmakame3015 Před 5 lety

    ubarikiwe Baba

  • @josephrotiken6896
    @josephrotiken6896 Před 2 lety

    Rais Magufuli , Mungu akupe nafasi kule Mbinguni

  • @loner_wolf
    @loner_wolf Před 4 lety +1

    Magoma oyeee....!!!

  • @halimasaleh5705
    @halimasaleh5705 Před 5 lety +1

    Yn ukiona mtu anajiuzulu wadhifa wake ktk huu uongozi ujue siyo muadilifu wallah

  • @bundolebel1852
    @bundolebel1852 Před 5 lety

    Hongeraa xanaaa mh rais

  • @salimsaid2187
    @salimsaid2187 Před 5 lety +5

    naona kabendera hapo mbele kanachafua hari ya hewa

    • @babaaste7919
      @babaaste7919 Před 5 lety

      Salim Said mmmn una macho

    • @saidimwishehekienda933
      @saidimwishehekienda933 Před 5 lety

      Mbona zipo mbili kaka na zote muhimu kwako wewe mzee wa bendera.......sikiliza point achana na mambo ya bendera rais wa wote huyu

  • @chimilembolela4091
    @chimilembolela4091 Před 5 lety +1

    hapa kazi tu

  • @leodgandunguru1695
    @leodgandunguru1695 Před 5 lety +1

    you can be a president of Africa

  • @leokamil2075
    @leokamil2075 Před 5 lety

    Ati wanabebana ss wataachiana mm nimecheka

  • @saidsalmin1248
    @saidsalmin1248 Před 5 lety +11

    Sikiliza basi na wewe una kiherehere 😂😂😂

  • @evaristmazigo8678
    @evaristmazigo8678 Před 4 lety

    Watanzania tulihitaji rais wa kutetea wanyonge MUNGU wa mbinguni ametupa.na wote wanao mchukia rais magufur wanapepo mchafu waende wakaombewe.ili mapepo yawatoke pia rais tunaomba chuo cha ualim butimba ttc mwanza akipandishe kiwe chuo kikuu.barkiwa na bwana

  • @yaredamos7664
    @yaredamos7664 Před 5 lety +3

    Hahahaha mh.kaingia kwenye ardhi ya kikuryaaa

  • @ahmadkibamba7245
    @ahmadkibamba7245 Před 5 lety +1

    Watu wanasahau wakifika mbele ya raisi

  • @maddymreta2369
    @maddymreta2369 Před 4 lety

    Hili li mjamaa bana linajua kila kitu halidanganywi aisee dah namtafakari sana cmpatii spea go!go!go papaaa wanyoe mzee

  • @cawabedentalclinic1176

    safi mheshimiwa Rais

  • @halididaudi7228
    @halididaudi7228 Před 2 lety

    Aisee Ukiambiwa umekufa??😢😢😢😢😢😢

  • @emmanuelbonifas2804
    @emmanuelbonifas2804 Před 2 lety

    Leo hii aupo nchi imekuwa kituko na atujui tunaenda wapi jpm kauli yako mtanikumbuka imezunguka kila kona ya nchi hii pumzk kwa aman

  • @alexjohntx5506
    @alexjohntx5506 Před 5 lety

    yaaan ukuulizwa aridhi unazungumuzia mwengeee kweli magu ni noumaa

  • @rashidiomary1324
    @rashidiomary1324 Před 5 lety +3

    uje kwetu Serengeti kuna kero nyingi

    • @mgayamakori1564
      @mgayamakori1564 Před 5 lety

      Rashidi Omary kweli aisee cjui kama atatusaidia kwenye changamoto ya maji umee na barabara

  • @misambosalumu1201
    @misambosalumu1201 Před 5 lety +1

    Hapa UKAWA TUUUUU........sidanganyiki ng'ooooo.!!!!!

  • @habibuzahoromakame.6728

    Hongera San mkuu wetu

  • @rashidiomary1324
    @rashidiomary1324 Před 5 lety +1

    mzee ukija kuondoka utaacha nchi ktk hatari kwa sababu hatutokubari tens kuonewa na kiongozi

  • @hamisihassan9018
    @hamisihassan9018 Před 5 lety +1

    Watanzania plz tukopesheni sisi wakenya kwa mwaka 1 tu.atunyoshe watu huku kenya

    • @allymtoni2003
      @allymtoni2003 Před 5 lety +1

      Hamisi Hassan harafu huyo Uhuru wenu aende wap

    • @hamisihassan9018
      @hamisihassan9018 Před 5 lety

      @@allymtoni2003 tutampeleka nyumbani ili aone vile magu akifanya kazi kama Raisi wa nchi

    • @athmanbello380
      @athmanbello380 Před 5 lety +1

      Bwanaaae uhuru atunyonyaaaa

  • @greysonkimola3043
    @greysonkimola3043 Před 5 lety +1

    mungu akujalie na akutangulie kokote ulipo wewe ni rais wa wa nyoge ,,😂👍👍👍

  • @robertshemaonge6000
    @robertshemaonge6000 Před 5 lety

    pambana baba mungu atakuongoza

  • @ladybilionaire379
    @ladybilionaire379 Před 5 lety +2

    😃😃😃😃😃😃😃😂😂 Maguuuu amemshushua mtu eti sikiliza basi na wewe una kihelehele 😆😅😅😅😅😅😘😆😆😆😆😆😆😆

  • @johnnzwalile201
    @johnnzwalile201 Před 5 lety +3

    KAZI JUU YA KAZI,,, JPM NI HABARI NYINGINE KABISA

  • @harubuselemani9756
    @harubuselemani9756 Před 5 lety

    uko sawa pambana

  • @jamesngundateresia2600
    @jamesngundateresia2600 Před 5 lety +15

    WEWE NI MTUMISHI MWAMINIFU TENA NI ZAIDI YA MTUKUFU

  • @KUTOKA-ep2fk
    @KUTOKA-ep2fk Před 5 lety

    Sikiliza basi na wewe una kiherehere!!!!!😁😁😁😁😁 unanifurahisha sana!

  • @gilbabariye3718
    @gilbabariye3718 Před 4 lety

    Sawa

  • @williammungaya8441
    @williammungaya8441 Před 5 lety

    namkubali magufuli sana

  • @nasrathyusuph3964
    @nasrathyusuph3964 Před rokem

    Mwe na umeondoka wanatunyanyasa kwel kma walivyozoea😭😭😭