Natamani sana kama watanzania wenzangu wangemwelewa vizuri MHE: Rais wetu.... Hakika kazi anayoifanya ni zaidi ya unyenyekevu. Mungu akubariki sana mpendwa Rais wetu.... Afrika nzima itajifunza kwake
Mhe rais wetu jpm mungu akubariki sana kwakweli unatufanyia vzr sana wanachi wa Tanzania hasa wanyonge! Asante sana mungu akufanyie wepesi na akupe nguvu zaid utufanyie kila yalio mazuri
Allah akulinde baba we ni mfano kwa Dunia sio Africa tu, ulikua wapi miaka yote hiyo, umenichekesha ulivosema Magoma Hoyeeee 😂😂😂😂, kama ingewezekana Kuongoza miaka 20 Tz ingekua Nchi ya mfano
Kama anafanya mazuri mbona kazima bunge? Mbona kawazima wanasiasa wenzake wasimkosoe? Magazeti,radio, TV, vyombo vya habari vyote vimetishwa vyote vimekuwa mavuvuzela yake ...hii ni serikali mbaya sana Ndio maana anaogopa sana wapinzani wasiseme. Tumebaki kusikilizishwa na kuaminishwa ya upande mmoja tu .... Propaganda tuuupu...
MUNGU azidi kukutumia sana mtumishi wa MUNGU, Dkt, Rais wetu mpendwa, John Magufuli, ktk kuwaletea maendeleo watanzania.Tunakuombea ili BWANA azidi kukupatia afya njema.
Rais akiendaga sehemu huwa nafananisha na vile ambavyo baba karudi nyumbani jioni na watoto walimyanyaswa na house girl au house boy sasa imefika muda wa kumshtakia baba, 😁 fikiria jinsi house girl/boy anavyotamani akubebe mgongoni😁
Walahi lazima upewe bonus uongoze miaka 10 ya nyongeza .....wengine mafisadi wakipewa nchi wataficha Ulaya mabillion yetu....Tanzania mpya is coming....
Kwa wale wanaomchukia Rais Magufuli wajue kabisa wanamchukia Mungu maana tulimuomba na kwa kila dalili amejibu MAOMBI na kutusahaulisha msiba wa Bb wa Taifa Mwl Nyerere. Tumuombee na kumuunga mkono hasa kwenye kweli na haki na kuchapa kazi.
Raha sana kuwa Raisi yani so kwa ulinzi uo unatamka unachojiskia...#Na mm nnataka kuwa raisi nilindwe kama Magufuli....Me ata sijasema kitu me nnataka tu kuwa Raisi sitaki kitu kingine nilindwe na Mm.
@@jescajulius8023 Hahahah uo muda wa kukutumikia nnao mm nnataka kulindwa...Sasa kama magufuli anawatumikia bado mnamuona mbaya sasa mm ndo niwatumikie mm nnataka prestige tu.😁😁😁😁😁.
wow, yaani huyu rais wetu ni kiboko! Mwl.Nyerere angefufuka leo angekufa mwenye furaha saaana kwa utendaji wa rais wetu huyu! Akisema hataki rushwa, ufisadi, na upuuzi mwingine…yaani mpaka nywele zake zinamaanisha… hatanii! Tz kweli Mungu anatupenda sana! Mungu azidi kumbariki rais wetu, Mungu ibariki Tz!
Watanzania tulihitaji rais wa kutetea wanyonge MUNGU wa mbinguni ametupa.na wote wanao mchukia rais magufur wanapepo mchafu waende wakaombewe.ili mapepo yawatoke pia rais tunaomba chuo cha ualim butimba ttc mwanza akipandishe kiwe chuo kikuu.barkiwa na bwana
My presedent Mungu amekuchagua na aliuona huo moyo wa utendaji ndani yako
Natamani sana kama watanzania wenzangu wangemwelewa vizuri MHE: Rais wetu.... Hakika kazi anayoifanya ni zaidi ya unyenyekevu. Mungu akubariki sana mpendwa Rais wetu.... Afrika nzima itajifunza kwake
pamoja xna
nakupenda saaana! raisi wangu sijutii kura yangu mwaaaa
I wish this man whould be A Kenyan.We would have been far ahead now .good job president
Piga kazi baba mungu uko mbele yako
Peter Gisabu
mh rs pole sana kazi nzuri unayo ifanya mungu
Mungu akujalie Kila la heri baba yetu asante mungu kwa kutuletea baba anatujali sisi wayonge
Mhe rais wetu jpm mungu akubariki sana kwakweli unatufanyia vzr sana wanachi wa Tanzania hasa wanyonge! Asante sana mungu akufanyie wepesi na akupe nguvu zaid utufanyie kila yalio mazuri
more respect to mr president a real president God bless you
Mwenyezi mungu akujalie afya njema uzidi kutusaidia raia wa tanzania pamoja na nchi jirani respect to you mr.president
Ubarikiwe mweshimiwa Rais magufuli, mungu akubariki.
wewe ni Rais uliyeshushwa na mungu maana unatujari sisi watu wa hali ya chini mungu akubariki
We ni jembe akuna kama ww mzee piga kaz
Allah akulinde baba we ni mfano kwa Dunia sio Africa tu, ulikua wapi miaka yote hiyo, umenichekesha ulivosema Magoma Hoyeeee 😂😂😂😂, kama ingewezekana Kuongoza miaka 20 Tz ingekua Nchi ya mfano
Mh Rais karibu sana na Mkoa wa Njombe kuna madudu mengi, Mungu awe nawe katika Utumishi uliotukuka Baba
Unastahili kuwa baba wa Afrika. Hakika unatia moyo wananchi wako.......kila rakheli na Mungu akupiganie kwa kila hali Mr President.
RAis wangu mpendwa tenda kama hivyo hivyo mungu akubariki sana
Kama anafanya mazuri mbona kazima bunge? Mbona kawazima wanasiasa wenzake wasimkosoe? Magazeti,radio, TV, vyombo vya habari vyote vimetishwa vyote vimekuwa mavuvuzela yake ...hii ni serikali mbaya sana
Ndio maana anaogopa sana wapinzani wasiseme. Tumebaki kusikilizishwa na kuaminishwa ya upande mmoja tu ....
Propaganda tuuupu...
@@msovietimjamaa3017 Itikadi inasumbua huwezi kuona mazuri.
Msoviet kauli mbiu ya baba Magufuli alisema hapa kazi tu
Wananchi wanyonge tumerertewa rais na mungu kwa kweri tumshukuru sana mungu
Hakika raisi john bombe magufuli mungu akuongezee miaka mingi na akupe hekima na marifa siku zote na uendelee kuiongoza inchi hii
baba yet2 mm nakuombea Mungu akulinde
Kazi kazi mzee magu ndio maana nakupendaga chapa kazi
Sijaona rais bora dunia nzima kama magufuli
Magu oyeeeeeeee
kweli mungu amsaidie magufuli kusimama mbele ya watu na kuweka msimamo ule ule
magufuli oyeeeeee uyo ndo rais wa Tanzania mungu akutangulie
Sikiliza basi na ww mbona unakiherehere Raisi tumempata duh mm ningekuwa ningecheka maana anamaneno duh
Kama ingewezekana ningekupa nafsi yangu mimi sina faida ila wew ulikuwa kimbilio la wengi umeniacha nalia tu rais magufuli amka please nakuomba jamn
na hakika kwa kazi unazozifanya raisi unastahili kuongezewa miaka
Hahaaaa raisi kapinda jmn tulia basi na ww una kiherehere loh nimecheka kweli
umenivunja mbavu Halma. Kama hataki kusikiliza ulitaka amjibu vipi sasa
Mussa Maduka ujue hao ndio wale ambao waliagizwa kufanya halafu hawakutekeleza sasa anataka kujisafishia njia yn nimecheka safari Rais tunae wallah
I always feel proud when I watch your speech. ...
Mwenyeenzi Mungu azidi kukubariki na kukuongoza katika kazi zako.
your the president we was been waiting for
Andika kiswahili tu
Yes
Kwa mbali napaona Nyumban.
Mjomba magu we ndio tulio kua tuna kusubr endelea miaka 40
Salmada Laquimane mia kabisa mpaka aseme mwenyewe kachoka
kama siyo kupata rais magufuli tungekuta sisi wanyonge tunachapwa viboko
Odran Slayo 😀😀😀😀
MUNGU azidi kukutumia sana mtumishi wa MUNGU, Dkt, Rais wetu mpendwa, John Magufuli, ktk kuwaletea maendeleo watanzania.Tunakuombea ili BWANA azidi kukupatia afya njema.
kitu wasicho kijua watu kwa rais uyu unaweza kutoka nyumban ukawa una maneno kibao lkn ukafika apa ukakuta auna ata neno ata moja auna presha
😂😂😂😂
ABDUL SHABAN ,😁😁😁😁😁
kwakweli laid magufuli mm kijiji chetu tunakelo yabalabala mkowani Dodoma kijiji msunjilile kongwa kweli balabala nimbaya San laisi magufuli
😆😆😆😂😂😂😂😅😅😅😅Ata ulicho panga kusema ukifika una sahau😆😆😆
Rais akiendaga sehemu huwa nafananisha na vile ambavyo baba karudi nyumbani jioni na watoto walimyanyaswa na house girl au house boy sasa imefika muda wa kumshtakia baba, 😁 fikiria jinsi house girl/boy anavyotamani akubebe mgongoni😁
😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂
Hongera baba hongera sana !
Mim magufuri sijampa kula yangu niwe mkweli lakini kwa anayo yafanya tumepata raisi bora sana ila baadhi yetu harujamuwlewa yupo vizuri sana
Umesema ukweli kipenzi changu
Wamemebana c ndio wata achiana
muheshimiwa, uko vizuri ila tunaomba uje na kusini cyo kaskazini tuu, uzuri utaendelea kuwepo
Ukiwa mbele ya magu unaweza sahau ata kusema kero yako kwa kutetemeka wallah 😂😂
Asia Zuberi we waogopa eeh
😂😂😂😂😂😂😂😂😂
😃😃😃😃😃😃😂😂😅😅😅
Kama huyo mkurugenzi wa bunda mji
😀😀😀😀
Really i love you my President uko poa saàaana.
Walahi lazima upewe bonus uongoze miaka 10 ya nyongeza .....wengine mafisadi wakipewa nchi wataficha Ulaya mabillion yetu....Tanzania mpya is coming....
katiba haimruhusu labda wananch wapendekeze nchi nzimaa
Wewe umeona mbali. Safi sana
Really I will always love you
Nani kaona bendera ya CHADEMA😂😂😂😂
Fanuel Lameck kweli macho yamefanya kazi
Rais wa ukweli na kipenzi cha watanzania
Kwa wale wanaomchukia Rais Magufuli wajue kabisa wanamchukia Mungu maana tulimuomba na kwa kila dalili amejibu MAOMBI na kutusahaulisha msiba wa Bb wa Taifa Mwl Nyerere. Tumuombee na kumuunga mkono hasa kwenye kweli na haki na kuchapa kazi.
Mungu amewabariki watazania, leo JOSUAS anaongoza tazania
Njoo Mbeya babaaa! Wako maoficn wanachatii na kupgiana cm tyuu
Hahahah cha moto watakiona siku siyo nyingi
your a president of whole Tanzania, so visit all your country, im crying with my vote i gave you
du!!! Raisi wetu jembe kweli
Huu ndio utumishi uliotukuka Mungu akutunze mh Raisi
Raise wetu uko vizuri
Msema kweli ashakuja hi ndio kiboko yenu tena nina wakataza muache mambo ya kipochi
Tutasomana hukohuko msoma! 😁😁😁😁😁 yaani I love u
Nakuelewa sana rais wangu dah aise sijui ajae atakuaje nataman awe kama ww
Raha sana kuwa Raisi yani so kwa ulinzi uo unatamka unachojiskia...#Na mm nnataka kuwa raisi nilindwe kama Magufuli....Me ata sijasema kitu me nnataka tu kuwa Raisi sitaki kitu kingine nilindwe na Mm.
davis ndossi ,😁😁😀ww hutufai kwa kuwa wataka kulindwa t na co kututumikia
@@jescajulius8023 Hahahah uo muda wa kukutumikia nnao mm nnataka kulindwa...Sasa kama magufuli anawatumikia bado mnamuona mbaya sasa mm ndo niwatumikie mm nnataka prestige tu.😁😁😁😁😁.
Dav boi Mkali,😀😀😀😀utasubiri sana
@@jescajulius8023 Ntakua tu usijali alafu ntakukumbusha cku nikiwa Raisi
Dav boi Mkali 😀😀😀ukiwa rais usinisahau marupu rupu
One and Only JPM
Kazi njema baba penda thanaaaa ww
King'ola wewe cha gari
Mwenyekiti huyu anaenda tofauti na maada,anaulizwa na Raisi anaji vingine
Huyo mam ameshika bango hlf anaitw aongee matatz anaosuasua
wow, yaani huyu rais wetu ni kiboko! Mwl.Nyerere angefufuka leo angekufa mwenye furaha saaana kwa utendaji wa rais wetu huyu! Akisema hataki rushwa, ufisadi, na upuuzi mwingine…yaani mpaka nywele zake zinamaanisha… hatanii! Tz kweli Mungu anatupenda sana! Mungu azidi kumbariki rais wetu, Mungu ibariki Tz!
Inapendeza sana, naona fahari kuwa Mtanzania chini ya Utawala wa Magufuli. CCM ndio habari ya mjiniiiiiiiiiii
tusaidie wana Bunda.. hasa barabara, nina hakika hilo litatekelezeka.
huyo mama dc hawez hata kujieleza kwa mheshimiwa anatetemeka tetemeka kama cyo kiongoz wa hiyo wilaya
Woga wanini watu tunatafuta nafasi yakukutana na Magufulii..tutumbuwe majipuu wabunge wanatufanyia utumbo telee....khaa mimi ckuiyo ningetapikaa....khaaaa😂😂😂😂
Mmekiona kibendera cha chadema kule kwa mbaliiiiiii
Kime fifia
Mheshimiwaa...oyeeee...Mimzanzibari ila dah....hadirahaaaa😂😂😂
Unapenda eeh
yaaan ni kweli huyu ni mtu wa watu kakweli duuu
katatua mbambo yoteee
magufuli chapa kazi njoo na mtwRa uku mambo ayo ypo mngi xna
Asante baba
ubarikiwe Baba
Rais Magufuli , Mungu akupe nafasi kule Mbinguni
Magoma oyeee....!!!
Yn ukiona mtu anajiuzulu wadhifa wake ktk huu uongozi ujue siyo muadilifu wallah
Hongeraa xanaaa mh rais
naona kabendera hapo mbele kanachafua hari ya hewa
Salim Said mmmn una macho
Mbona zipo mbili kaka na zote muhimu kwako wewe mzee wa bendera.......sikiliza point achana na mambo ya bendera rais wa wote huyu
hapa kazi tu
you can be a president of Africa
Ati wanabebana ss wataachiana mm nimecheka
Sikiliza basi na wewe una kiherehere 😂😂😂
😁😂😀😁😂😂
Hahahaha apo amenifurahisha kweri et pungunza kihelehele
Said Salmin yn nimecheka rais kiboko aisee
+Halima Saleh hakikaaaa huyu mzee jembe
Hahahahahaaaaa
Watanzania tulihitaji rais wa kutetea wanyonge MUNGU wa mbinguni ametupa.na wote wanao mchukia rais magufur wanapepo mchafu waende wakaombewe.ili mapepo yawatoke pia rais tunaomba chuo cha ualim butimba ttc mwanza akipandishe kiwe chuo kikuu.barkiwa na bwana
Hahahaha mh.kaingia kwenye ardhi ya kikuryaaa
Watu wanasahau wakifika mbele ya raisi
Hili li mjamaa bana linajua kila kitu halidanganywi aisee dah namtafakari sana cmpatii spea go!go!go papaaa wanyoe mzee
safi mheshimiwa Rais
Aisee Ukiambiwa umekufa??😢😢😢😢😢😢
Leo hii aupo nchi imekuwa kituko na atujui tunaenda wapi jpm kauli yako mtanikumbuka imezunguka kila kona ya nchi hii pumzk kwa aman
yaaan ukuulizwa aridhi unazungumuzia mwengeee kweli magu ni noumaa
uje kwetu Serengeti kuna kero nyingi
Rashidi Omary kweli aisee cjui kama atatusaidia kwenye changamoto ya maji umee na barabara
Hapa UKAWA TUUUUU........sidanganyiki ng'ooooo.!!!!!
Hongera San mkuu wetu
mzee ukija kuondoka utaacha nchi ktk hatari kwa sababu hatutokubari tens kuonewa na kiongozi
Watanzania plz tukopesheni sisi wakenya kwa mwaka 1 tu.atunyoshe watu huku kenya
Hamisi Hassan harafu huyo Uhuru wenu aende wap
@@allymtoni2003 tutampeleka nyumbani ili aone vile magu akifanya kazi kama Raisi wa nchi
Bwanaaae uhuru atunyonyaaaa
mungu akujalie na akutangulie kokote ulipo wewe ni rais wa wa nyoge ,,😂👍👍👍
pambana baba mungu atakuongoza
😃😃😃😃😃😃😃😂😂 Maguuuu amemshushua mtu eti sikiliza basi na wewe una kihelehele 😆😅😅😅😅😅😘😆😆😆😆😆😆😆
KAZI JUU YA KAZI,,, JPM NI HABARI NYINGINE KABISA
uko sawa pambana
WEWE NI MTUMISHI MWAMINIFU TENA NI ZAIDI YA MTUKUFU
James Ngunda Teresia Amina kwa niaba
Sikiliza basi na wewe una kiherehere!!!!!😁😁😁😁😁 unanifurahisha sana!
Sawa
namkubali magufuli sana
Mwe na umeondoka wanatunyanyasa kwel kma walivyozoea😭😭😭