''SITAKI TAARIFA YAKE, WAZIRI HAJUI ANACHOKIONGEA '' - MTUFUANO MKALI! MPINA vs MWIGULU BUNGENI...

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 2. 11. 2023
  • ''SITAKI TAARIFA YAKE, WAZIRI HAJUI ANACHOKIONGEA '' - MTUFUANO MKALI! MPINA vs MWIGULU BUNGENI...
    CHOTA MAPENE ndiyo mchongo mpya town! Kwa shilingi 1,000 tu, yaani BUKU unajichotea mapene kibao au kupata nafasi ya kujishindia ZAWADI MBALIMBALI KILA SIKU, KILA WIKI kupitia Global TV, Global Radio na mitandao ya kijamii!
    ========================
    Ingia kwenye simu yako📲, sehemu ya kufanyia malipo, andika namba ya kampuni 553111, kumbukumbu namba 255 au andika neno GLOBAL. Weka kiasi cha shilingi 1,000, weka namba yako ya siri, thibitisha na tuma.👍 PESA UTATUMIWA MOJA KWA MOJA KWENYE SIMU YAKO!🤝👍💰
    ============================================================
    ⚫️ JE, NA WEWE UNA HABARI?
    ⚫️ WASILIANA NA GLOBAL TV ONLINE: ( +255 739 750910), ( +255 783453136)
    ⚫️ Email: globaltvonlinenews@gmail.com
    ⚫️ OUR PLAYLISTS:
    ⚫️ MICHEZO na BURUDANI: • Habari zote za michezo...
    ⚫️ HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA: bit.ly/mikasa_ya_kusisimua
    ⚫️ GLOBAL RADIO TV: bit.ly/255globalradio
    ⚫️ EXCLUSIVE INTERVIEW: bit.ly/exclusive_interviews
    ⚫️ SIKILIZA + 255 GLOBAL RADIO LIVE: ndstream.net/globalradio/
    ⚫️ Kwa UPDATES zote, Download GLOBAL APP:
    ⚫️ ANDROID:bit.ly/38Lluc8
    ⚫️ iOS:apple.co/38HjiCx

Komentáře • 66

  • @jamesmethusela1148
    @jamesmethusela1148 Před dnem

    This guy is very smart, Mungu akulinde

  • @mabulajohnmachela2230
    @mabulajohnmachela2230 Před 6 měsíci +1

    Dah mpina uko vizuri kidata hongera

  • @user-xs3ko8pg2g
    @user-xs3ko8pg2g Před 17 dny +1

    MUNGU ana inua watu wengi kila itwapo leo, mpina MUNGU akulinde utokapo na uingiapo, unatuwazia mema watanganyika, ushauri wangu kwako, njoo ungana na Lisu, madeleka, mwabukuzi, heche, Lema, tupate ukombozi , mnatuwazia mema watanganyika

  • @mathewyoung2159
    @mathewyoung2159 Před 8 měsíci

    Good 👍👍👍👍👍👍👍👍

  • @matesosamwel6685
    @matesosamwel6685 Před 8 měsíci

    Kisesa hongera mna mbunge!!

  • @martineshija2712
    @martineshija2712 Před 7 měsíci +1

    Mpina Oye yaniwecheza naye2 huyo wazili mpaka aachenakucheza anavochezaga

  • @fadhilimsafiri216
    @fadhilimsafiri216 Před 8 měsíci +2

    Sisiem ni kansa kubwa inatafuna wananchi😭

  • @mangulimanguli3974
    @mangulimanguli3974 Před 8 měsíci +2

    Tanzania atuna viongozi tuna majizi yanayo vaa suti tu

  • @alikoboniphace6732
    @alikoboniphace6732 Před 8 měsíci +1

    Ni wa Kwanza Bana Leo, lkn inchi hii viongozi wachache Sana Ni waelewa lkn wanainchi tunabaki tunaumia

  • @DicksonJaphet-fq7ov
    @DicksonJaphet-fq7ov Před 2 dny

    Mpina Mimi Ni CCM Ila hiki kinachoendelea Nakuunga mkono kwa Asiimia 99.9 MUNGU akulinde.

  • @saidimkombe9842
    @saidimkombe9842 Před 8 měsíci

    Dah

  • @winniefridamutakyawa5943
    @winniefridamutakyawa5943 Před 8 měsíci

    Mpona uko sawakabisa ila bunge la washabiki .Tz hatuwezi kutoboa.Mungu atussidie tuwe wakweli.

  • @yohanaisayasimoni
    @yohanaisayasimoni Před 2 měsíci

  • @josephngassa7073
    @josephngassa7073 Před dnem

    Mazizu nyie na wizi wa fedha za nchi mtatuona umefika mnatuchafulia chama Cha mapinduzi gereza linawahusu mludushe fedha na kufungwa

  • @stephenmseti5539
    @stephenmseti5539 Před 8 měsíci +1

    Kama ni waziri wa kwanza mwizi kiongozi ni huyu anaetudanganya na tai ya bendera ya Taifa

  • @loishiyesamwel1374
    @loishiyesamwel1374 Před 8 měsíci

    Ni kipindi kigumu sana hii Mawaziri wanageuka kuwa wapinga taarifa bungeni ili kuzima hoja za Wabunge ili hali Wabunge hawa ni wa ccm.
    Km kuna jambo haliko sawa ni vema Bunge lifanye kile kilichofanyika kipindi cha Richmond kwa kina Lowasa, Vinginevyo hii ngonjera haitaisha.

  • @fatimahants1526
    @fatimahants1526 Před 8 měsíci +1

    Hii inaitwa siasa kali😂

  • @ibrahimomari2458
    @ibrahimomari2458 Před 8 měsíci +1

    Mpina wakat mwingine anaongea mambo ya maana sana

  • @mahengedaktari-ek8go
    @mahengedaktari-ek8go Před 8 měsíci +1

    Mwiguru mwizi sana

  • @isaacmollel345
    @isaacmollel345 Před 8 měsíci +1

    Wizi mtupu km ningekuwa.Rais.leo hai.waliotajwa na Mpina nawafilisi mara moja nakifungo juu

  • @user-we5px7gp2r
    @user-we5px7gp2r Před 8 měsíci +1

    Luhaga ni mbuge wa kipekee katika Bunge letu na ndiye mbunge pekee anayenipotezea muda wangu kusikiliza michango yake abarikiwe.

    • @lucaschisamalo2852
      @lucaschisamalo2852 Před 8 měsíci +1

      Shida wakati alikuwa waziri alikuwa kimya Ila sasahivi yupo sahihi Sana siku inchi hii akichukua rais mzalendo awafilisi wote waliokula hii inchi kwa muda mlefu

  • @agnessangawe3844
    @agnessangawe3844 Před dnem

    Mh Mpina mjasiri sana. Mh Mwigulu sijui kwanini Rais anamlinda.😢😢

  • @user-mu1yy5lb5k
    @user-mu1yy5lb5k Před 8 měsíci

    Narudia Tena huyo mwigulu mwizi asijitetee mkamateni mshenzi anatumia hela zawatu masikini kwakujinufaisha akamatwe

  • @mwaamwetahussain9947
    @mwaamwetahussain9947 Před 2 dny

    Muda wake imeisha baadae ya kusema ukwer

  • @shedrackpiniel6800
    @shedrackpiniel6800 Před 8 měsíci

    Wasiwasi wangu nikwamba ccm unaweza usirudi kwasababu umekataa kuwa chawa au kupiga makofi au kuwasifia au kuwambia wameupiga mwingi

  • @menancemhombwe2267
    @menancemhombwe2267 Před 8 měsíci

    Yaani mwiguru bhana si awe ananyamaza tu. Anadhalilisha PhD

  • @davidmapogo8784
    @davidmapogo8784 Před 8 měsíci

    Waziri hajui Trat na trab halafu ajue miamala halali

  • @rebekakulwa6159
    @rebekakulwa6159 Před 8 měsíci

    Mwigulu. Na genge lao watatuua wemetuibia san

  • @vicentnyanda828
    @vicentnyanda828 Před 8 měsíci

    Mawaziri wengi wapiga deal😂

  • @makejamaduhu7618
    @makejamaduhu7618 Před 8 měsíci +1

    Izo ni fujo😂😂😂😂😂😂 nimekataa taarifa

  • @rizikimlela8162
    @rizikimlela8162 Před 7 měsíci

    Huyu mwinguru muwemunampima virevi anapoingia bungeni manaake hajuiyupowapi

  • @simongwandu7392
    @simongwandu7392 Před 8 měsíci

    Hakuna nidhamu ndani Bunge la Tanzania

  • @user-lt1bi5nr1x
    @user-lt1bi5nr1x Před 6 měsíci

    Kila siku anausishwa na wizi kwanini asichunguzwe au ndo yaleyale

  • @user-xb6mb1by5l
    @user-xb6mb1by5l Před 8 měsíci

    Naona mawaziri hawajui hata wanachokizungumza

  • @conradolomi9580
    @conradolomi9580 Před 8 měsíci

    Hawa CCM wapo madarakani tangu 1961....kwa kifupi,wote ni wezi.

  • @yapukahassan
    @yapukahassan Před 8 měsíci

    Halafu mwigulu anamaneno ya kejeli

  • @jacksongidione-yo8vg
    @jacksongidione-yo8vg Před 8 měsíci

    6

  • @frankmugomba3484
    @frankmugomba3484 Před 8 měsíci

    Samia kwanini uwa unamlea Mwiguru hivyo uwa umwoni kuwa Sio Mzalendo Plz tulee ili jamaaaa

  • @user-hp2ix5wp6i
    @user-hp2ix5wp6i Před 8 měsíci

    Kipindi cha kuoneana haya kimepitwa na wakati

  • @user-dr2lk7im7r
    @user-dr2lk7im7r Před 8 měsíci

    Wakati mbunge makini Luhaga anachangia hoja, ma-mbumbumbu hata hawajui wanachoongea.

  • @sarahmwakipembe5033
    @sarahmwakipembe5033 Před 7 měsíci

    Waziri wa fedha ni kelooooo hapa nchini waizi hao na bunge mtu anapotia mchango wa kutetea nchi msikatishe acheni amalize

  • @GEOPHINELUGWISHACHARLES-fs5gn

    Hali ya uchumi naomba muangalie

  • @elijahalexze5
    @elijahalexze5 Před 7 měsíci

    Mpina anajitahidi,ila achunge sana kwa CCM kwani CCM ni kama mama wa kambo,huwenda wakamtapika bila ya kumjali kubwa ni mwanachama halali.

  • @andrewmaramoko5073
    @andrewmaramoko5073 Před 8 měsíci

    Mwiguli mchumi hajui miamala halali na miamala hatarishi!?

  • @simonndunguru1629
    @simonndunguru1629 Před 8 měsíci

    Duu Aibu yataishia hewani hakuna Sheria itachukuliwa wanasema Yatapita

  • @RenaldaZeramula
    @RenaldaZeramula Před 8 měsíci

    Mwiguruachana na.moina huoninlm.amakutia aibu

  • @mtumplole2155
    @mtumplole2155 Před 8 měsíci

    Mpina leo umeamua

  • @ramadhanchenga4606
    @ramadhanchenga4606 Před 8 měsíci

    Ww ndo mbunge wangine story

  • @user-mu1yy5lb5k
    @user-mu1yy5lb5k Před 8 měsíci

    Huyo jamaaa ni mwizi asijitetee

  • @user-hp2ix5wp6i
    @user-hp2ix5wp6i Před 8 měsíci +1

    Mpina uko vizuri sana huyo mwigulu ni mwizi

  • @yapukahassan
    @yapukahassan Před 8 měsíci

    Kumama ake alie mchagua huyu ni mjinga mwenzie

  • @joyceAdam-xn2yw
    @joyceAdam-xn2yw Před 8 měsíci

    Wabunge sindano hiyo, hawapigi makofi

  • @laurentraphael5470
    @laurentraphael5470 Před 8 měsíci +1

    CCM ni janga la taifa namba moja. Majizi tupu

  • @user-ie2sr4fi4k
    @user-ie2sr4fi4k Před 8 měsíci +1

    Mpina una lolote

  • @2003hintay
    @2003hintay Před 8 měsíci

    Hata Kama sijui mahesabu akili ya kawaida haikubaliani nae mpina ni muongo Ana hasira na kukosa uwaziri. Alichemsha uwaziri leo anatengeneza mahesabu ya kitapeli

    • @yohanamnema4496
      @yohanamnema4496 Před 8 měsíci

      Akili unazo lakini huna utambuzi

    • @stephenmseti5539
      @stephenmseti5539 Před 8 měsíci

      Hesabu. Mwigulu ni Mwizi tu

    • @2003hintay
      @2003hintay Před 8 měsíci

      @@stephenmseti5539 wewe ndio walewale tu hela anakaa nazo wizara yote Yuko Yeye tu, Kuna hela ya serkali inatumika bila maandishi

    • @stephenmseti5539
      @stephenmseti5539 Před 8 měsíci

      @@2003hintay wewe nawe umelamba asali. Mwigulu ni mwizi tena jizi ambalo lina kiburi. Kama mawaziri wamepiga hela kwenye awamu ya huyu mama ni huyo unaemtetea. JPM aliwagundua mapena yeye na Makamba akawaweka pembeni. Ile tai ya bendera ya Taifa ni ulaghai tu

    • @2003hintay
      @2003hintay Před 8 měsíci

      Mbona Mbowe anapiga Sana hamsemi? Mmerogwa Nini mkiti wa kudumu hamsemi na ukisema tu yatakukuta ya saanane

  • @mwakapalamwakapala8317
    @mwakapalamwakapala8317 Před 2 měsíci

    Kwanini hawa waliotajwa hawajakamatwa mpaka leo