Komentáře •

  • @MathewNathan-yb2bz
    @MathewNathan-yb2bz Před 2 měsíci +35

    Nakuunga mkono sana mheshimiwa mpina.Mungu azidi kukulinda na kukupa maisha marefu zaidi

    • @user-fr7jj1bo7y
      @user-fr7jj1bo7y Před 2 měsíci +3

      ni mwendawazimu tu ndie anayeweza kuamini kuwa Dr.Magufuli hakukatizwa maisha yake na maadui zake ambao wote wamerudi madarakani baada ya kifo chake..

  • @atutweve4160
    @atutweve4160 Před 2 měsíci +33

    NAUNGA MKONO HOJA, NAUNGA MIKONO HOJA, NAUNGA MIKONO NA MIGUU HOJA, NAUNGA MWILI MZIMA HOJA ,,, mpina you are the legend 🤲🏿🤲🏿🤲🏿🤲🏿🤲🏿

  • @alanusrespicius1796
    @alanusrespicius1796 Před 2 měsíci +47

    Nakuunga mkono kwenye uchunguzi wa kifo cha JPM

    • @qonquererqanquerer1781
      @qonquererqanquerer1781 Před 2 měsíci

      Ben Saanane Na Wengine Vp Waliopotezwa Nakuuawa Mf Alphonce Mawazo?

    • @Leeeeeeee-96
      @Leeeeeeee-96 Před 2 měsíci

      @@qonquererqanquerer1781peleka tume na wewe

    • @user-qe5cb7vy6o
      @user-qe5cb7vy6o Před 2 měsíci

      HAKI NI HAKI HATA KAMA UNA PESA AU,MHESHIMIWA HAKI ITENDEKE.MPINA OYEE KAZA UZI MHESHIWA TUAKUNGA MKONO.

  • @angelsgabriely3575
    @angelsgabriely3575 Před 2 měsíci +10

    Safiii mpina,.we ni jembe!..hakuna aliyeweza kuzungumza hayo ila wewe umeweza!..big up sana mungu akulinde!..wasije wakakuuwa na wewe

  • @margarethpolepole7438
    @margarethpolepole7438 Před 2 měsíci +37

    Sanaaaa wachunguze Sanaaaa hiyo kweli kabisa kifo chake kinatuuma Sanaaaa wstanzania

    • @joycengoda6567
      @joycengoda6567 Před 2 měsíci

      Waliomshambulia. Tundu Lisu pia ichunguswe

    • @margarethpolepole7438
      @margarethpolepole7438 Před 2 měsíci

      @@joycengoda6567 Sawa kabisa wote wachunguzwe hakuna siri duniani ukiuua ndiyo umejimaliza ukimpiga mtu risasi umejimaliza siri zote nje ccm oyeeeee kazi inaendelea watajisema wenyewe la kila kitu wafanyacho kinaharibikia wanabaki na wasiwasi wa roho Mungu tenda miujiza

  • @user-ig5yn4zp2u
    @user-ig5yn4zp2u Před 2 měsíci +11

    Nakuunga mkono mpina sanaa sanaaa juu ya jambo hilo

  • @joachimkalungwana8654
    @joachimkalungwana8654 Před 2 měsíci +39

    Kati ya wabunge Bora huyu Nampa asilimia 98.5 kwa kusema hoja bora

    • @adelinelyaruu3036
      @adelinelyaruu3036 Před 2 měsíci +3

      Unfortunately he is alone😢

    • @Lubango-gj3ud
      @Lubango-gj3ud Před 2 měsíci +2

      Haungwi mkono na wenzake (ccm ) yawezekana hana u-ccm wanaoutaka!! It's very wonderful!!

    • @mabondolawrence1812
      @mabondolawrence1812 Před 2 měsíci +1

      Huyu ni mtu sahihi ana hekima na ni mzalendo

    • @Brno984
      @Brno984 Před 2 měsíci

      Kabisa

    • @davidsimbeye1548
      @davidsimbeye1548 Před 2 měsíci

      Hana lolote huyo ni maumivu ya kuukosa uwaziri tu huyo, Katika yote aliyosema hilo la viongozi ambao siyo raia na kwenye uongozi kwamba lifanyiwe kazi hilo ndo namuunga mkono, huyo hapo akipewa uwaziri hautamsikia tena

  • @godfreymwamaso2424
    @godfreymwamaso2424 Před 2 měsíci +22

    Uko sahihi kabisa mheshimiwa mpina japo wengi watakupinga nchi yetu inatakiwa wabunge kama wewe

  • @kesterkanyala7718
    @kesterkanyala7718 Před 2 měsíci +21

    MWILI HAUPO...LAKINI ROHO YAKE BADO IPO HAI KABISA BILA UBISHI.....ANATUSIKIA

  • @ndilibangokaruhawe9335
    @ndilibangokaruhawe9335 Před 2 měsíci +16

    Ni sahihi Mimi naamini ipo siku uchunguzi wa kweli utafanyika kwa Sasa wakweli Ni wachache

  • @onesmomwakasege5215
    @onesmomwakasege5215 Před 2 měsíci +11

    Yani apo ndipo mambo yanapochanganya vichwa..kuna viongozi wanaongozwa na kuna viongozi wanaongoza na kuna viongozi wanaongozana 🦧

  • @emmanuelmayunga1518
    @emmanuelmayunga1518 Před 2 měsíci +13

    Naunga mkono hoja,nawew ujue sio mbunge wa kisesa tu ila ni Mbunge wa Tanzania nzima maana wabunge wengi hawapo na wananchi wamebaki kuwa machawa tu

  • @ReginaJoseph-cm3cx
    @ReginaJoseph-cm3cx Před 2 měsíci +11

    Big up. Mbunge wa Taifa zima

  • @mayrfrimi4759
    @mayrfrimi4759 Před 2 měsíci +35

    Kwakweli mpina una maono marefu, ingefaa uwanie urahisi wa 2025

    • @hassanmsumari1200
      @hassanmsumari1200 Před 2 měsíci

      Hiii imeenda

    • @hassanmsumari1200
      @hassanmsumari1200 Před 2 měsíci

      Anatoka povu

    • @angelanaftael7965
      @angelanaftael7965 Před 2 měsíci

      Huyu kijana ni mzuri sana, ila huwa wanampinga sana, hakika uovu wote uliofichika utafichuka kwa jina la Yesu, na ndio hao hao waliojificha wanaanza kumtukana rais aliyeko madarakani

  • @MweraRiro
    @MweraRiro Před 2 měsíci +18

    Lakini Pia watanzania hawakupewa taarifa Kwa mujibu Wa katiba ibara ya 18(2)

  • @user-oo1vz3zi1t
    @user-oo1vz3zi1t Před 2 měsíci +9

    Mpina Mungu akukinge namabalaa yakila aina

  • @valenakomba7686
    @valenakomba7686 Před 2 měsíci +15

    YAANI HATA MKE WAKE HAKUJULISHWA UGONJWA WA MUME WAKE. ?. HII SIYO HAKI KABISA.

  • @sujatatom5047
    @sujatatom5047 Před 2 měsíci +9

    Uko sawa Mh Pina. Nakuunga mkono. Hakika umethubutup.

  • @MathewNathan-yb2bz
    @MathewNathan-yb2bz Před 2 měsíci +19

    Mpina ni mzalendo wa kweli wa nchi hii na mbunge mwenye maadili mazuri sana.Utawala bora,utu,ubinadamu na haki huinua taifa na kutokomeza mafisadi.

    • @FADHILICHIKOLO-pb8iy
      @FADHILICHIKOLO-pb8iy Před 2 měsíci +3

      Huyu mbunge ndiyo amejitoa kusema kweli.

    • @MathewNathan-yb2bz
      @MathewNathan-yb2bz Před 2 měsíci

      @@FADHILICHIKOLO-pb8iy Wabunge wote wangekuwa kama huyu ,mifumo yote ya nchi na taasisi zote za nchi zingekuwa imara.Tungekuwa na Taifa imara na lenye utawala bora wenge kufuata katiba na kulinda sheria za nchi.wizi wa kura na tume ya hovyo ya uchaguzi visingekuwepo.ubadhirifu,ufisadi rushwa,mafisadi wala rushwa na wabadhirifu wangedhibitiwa.Utu,ubinadamu haki ,upendo na furaha vingeshamiri nchi.Hakika haki huinua taifa.Tunataka wabunge kama huyu wenye kutanguliza mbela maslahi ya taifa.

    • @margarethpolepole7438
      @margarethpolepole7438 Před 2 měsíci +1

      Huyo Mbunge wa uhakika Mpina muache aseme Mzalendo wa kweli hata qampige vita vipi muacha ayamwage mwana wane yombaga sanaaaa Mwanazengo

  • @reginas1832
    @reginas1832 Před 2 měsíci +15

    Mh. Mpina Mungu akulinde upo hatarini maana ccm si watu

  • @bakarikayugwa3295
    @bakarikayugwa3295 Před 2 měsíci +17

    Mpina 1 mpina 2 mpina 3 wewe ni mtetezi wa wanyonge ila kaka yangu wataku ua maana kapuku huna nafasi magenge ya kishenzi yanayo Linda matumbo Yao na vizazi vyao hawana uchungu na nchi Bali matumbo Yao na familia zao ira hio ni raaana Hadi kwa vizazi vyao kwa zuruma kwa watanzania ira muenderee kuiba na kufuja Mari za wanchi ira ipo siku nyinyi baazi ya viongozi mtukura nyasi tu hata mbinguni kwa mungu

  • @franksabas6339
    @franksabas6339 Před 2 měsíci +9

    Ndiye anayesimama na wananchi wengine ni kujipendekeza na kusifia tuu - proudly of you - we need you in a future - upo straight sana hupindishi upo transparent ingawa wengi hawakuelewi ipo siku watakuelewa

  • @uredmwasembo8579
    @uredmwasembo8579 Před 2 měsíci +10

    Naunga mkono mpina akili kubwa sana ee mungu mlinde mpina

  • @jumaabdalla3374
    @jumaabdalla3374 Před 2 měsíci +15

    Kiongozi leo umeongea jambo muhimu sana

  • @gwamakagwamaka
    @gwamakagwamaka Před 2 měsíci +7

    Mungu akuweke miaka mia mpina we nimkweli

  • @MweraRiro
    @MweraRiro Před 2 měsíci +16

    Maana tungepewa taarifa hata tungemuuombea lakini Pia swala la raisi kuomba arudishwe akafie nyumbani ni haki yake kitaalaamu tunaita DAMA (discharge against medical advice

  • @mapundawilliam370
    @mapundawilliam370 Před 2 měsíci +10

    Amen kwawazo nzuri

  • @justice607
    @justice607 Před 2 měsíci +13

    Uchunguzi ufanyike😢😢

  • @mayrfrimi4759
    @mayrfrimi4759 Před 2 měsíci +16

    Natamani uwe raisi na mimi niwe makamu wako, ninaamini Tanzania ingekuwa kama nchi ya Ujerumani, Austria, Italy, Swizlend, na ufaransa. Wako vizuri, wanajali raia, na barabara za ndani mpaka mlangoni

  • @robertigohe7477
    @robertigohe7477 Před 2 měsíci +4

    Uko vizuri sana,nakuunga mkono maana aliyefariki alikuwa kiongozi mkuu wa nchi hakuwa ....

  • @stephenwakunyala4004
    @stephenwakunyala4004 Před 2 měsíci +3

    Mungu akulinďe ktk maisha yako yote Mh. Mpina, nanga mkono

  • @williamgeorge-hd2tn
    @williamgeorge-hd2tn Před 2 měsíci +18

    Ni hatari kumwaga damu isiyo na hatia;ipo siku itakuwa waz tu

    • @romanamassawe814
      @romanamassawe814 Před 2 měsíci

      Yeye alikuwa anauwa watu wasio na hatia, kilichompata kilimstahili

    • @samwelsimon7392
      @samwelsimon7392 Před 2 měsíci +2

      alimuua nani mbona baba yako bado yupo

    • @romanamassawe814
      @romanamassawe814 Před 2 měsíci +1

      @@samwelsimon7392 Baba yangu yupo hai ?. Wewe umelewa asubuhi ?. Dawa za kulevya azitakusaidia,

    • @samwelsimon7392
      @samwelsimon7392 Před 2 měsíci

      @@romanamassawe814 una matatizo wewe

    • @romanamassawe814
      @romanamassawe814 Před 2 měsíci

      @@samwelsimon7392 sawa, Mimi Nina matatizo, Hilo sipingi, Nina matatizo makubwa Sana, ila naomba uelewe Mimi sijawahi kuvuta sigara, sijawahi kuvuta bangi, sijawahi kula mirungi sijawahi kunywa pombe, sijawahi kutumia coken, sijawahi kutumia broen sugar, sijawahi kutumia hirone, Wala Dawa yoyote ya kulevya,na hata Sasa situmii ulevi wowote, na nitskufa bila kutumia ulevi wowote, wewe endelea na hayo maisha yenu ya ulevi kwenye umasikini ulio kisiri mwisho utauwona, mwenzio alikuwa anavuta bangi, aliwahi kulazwa milembe hospital Dodoma, hospital ya vichaa, na hakuacha bangi mpaka mwisho na matokeo ya maamuzi yake unayaona yalivyokuwa ya ovyo, afadhali yeye alipata bahati ,je wewe ?. Tafakari kwa kina hayo maisha ya Dawa za kulevya

  • @Princewaweru
    @Princewaweru Před 2 měsíci +5

    Huyu na MAKONDA mmoja awe rais mwingine makamo full story

  • @user-op4cb3yi8k
    @user-op4cb3yi8k Před 2 měsíci +7

    Mpina mungu akulinde

  • @claudiajames2003
    @claudiajames2003 Před 2 měsíci +5

    Ni kweli Watanzania tunataka ukweli khs kifo Cha Magufuli!

  • @GONGALIFESTYLE
    @GONGALIFESTYLE Před 2 měsíci +9

    Wanajua wamefanikisha malengo yao

  • @ga2revocatus91
    @ga2revocatus91 Před 2 měsíci +22

    Wanyonge ndo tuna umiaa kifo Cha maguu hatuelewi:::::?!!!

    • @hassanmsumari1200
      @hassanmsumari1200 Před 2 měsíci

      Kwaiyo wewe ni mnyonge ????

    • @hassanmsumari1200
      @hassanmsumari1200 Před 2 měsíci

      ???

    • @user-qe5cb7vy6o
      @user-qe5cb7vy6o Před 2 měsíci

      WAONO PINGA KUUNDWA KWA TUME NI HAWO NDIYO WALIOHUSIKA KUMUA RAIS MAGUFULIBILA HIVYO WATAZOEA KUUAVIONGOZI WETU HATAKAMA NI WAHESHIMIWA,WANA 0RSA HAKI NI HAKI HAMUOGOPI MWENYE PESA WALA MHESHIMIWA.

  • @nsiamasawe4578
    @nsiamasawe4578 Před 2 měsíci +17

    Damu ya mtu haipotei

  • @angelsgabriely3575
    @angelsgabriely3575 Před 2 měsíci +4

    Mpina mungu akulinde vigogo wasije wakakumaliza na wewe km walvyofanya kwa Magufuli

  • @user-fj4kj8xc5x
    @user-fj4kj8xc5x Před 2 měsíci +4

    Nakubaliana , kifo Cha magufuli Bado watu hawajui chanzo

  • @marandoruzali1946
    @marandoruzali1946 Před 2 měsíci +12

    Big up Mpina

  • @jeremiahbabalove5446
    @jeremiahbabalove5446 Před 2 měsíci +5

    Yani huyu mbunge ndo aliyebaki tu mwenye akiri kwa Sasa hivi katika bunge la jamuhuri ya muungano ya Tanzania nafunga mkono Yani kwenye kifo Cha magufuli Mimi naunga mikono na viungo vyote vya mwili wangu

  • @majebelemathis9991
    @majebelemathis9991 Před 2 měsíci +3

    Naunga mkono Kwa uchunguzi kifo Cha magufili

  • @GwamakaAngela
    @GwamakaAngela Před 2 měsíci +6

    Huyu jamaaa haya anhaaaaaa

  • @ScopionScopion-zj9cd
    @ScopionScopion-zj9cd Před 2 měsíci +2

    dah mpina unatutonesha vidonda halafu bado vibichi nahatujui vitapona lini ila naunga mkono hoja ya uchunguzi wakifo cha JPM weng tunajua kwamba rais wetu hajafa kifo cha kawaida2

  • @feliciarfrancis2388
    @feliciarfrancis2388 Před 2 měsíci +1

    Very good Mr Mpina

  • @JaphetJohn-qo1yn
    @JaphetJohn-qo1yn Před 2 měsíci +4

    Hivi kwa nn hamchukui hatua inamaana hamsikii au ni dharau tutaonana 2025

  • @peterlove4g869
    @peterlove4g869 Před 2 měsíci +4

    Sema huyu mwamba yuko vizuri

  • @hamisinyanga4579
    @hamisinyanga4579 Před 2 měsíci +11

    hongera kijana

  • @user-ni9zc3gx5t
    @user-ni9zc3gx5t Před 2 měsíci +2

    Karibu wananchi wote tunataka kichunguzwe kifo cha jpm

  • @Emmanuelmbai-in8ie
    @Emmanuelmbai-in8ie Před 2 měsíci +5

    Mhh Aya mpina

  • @rehemakimungu6494
    @rehemakimungu6494 Před 2 měsíci +2

    Haya ya Makonda na Chalamila tuachane nayo kubwa kifo cha kipenzi chetu Magufuli kichinguzwe ,Najua watalipotezea hilo

  • @soloartist_ivanvespalusind1609

    Naunga mkono hoja. Big up Mbunge Mpina

  • @raismalingumutz8473
    @raismalingumutz8473 Před 2 měsíci +2

    Naunga mkono yote uko vizuri tunataka ukweli

  • @user-he6de1yj6l
    @user-he6de1yj6l Před 2 měsíci +2

    Mpina anakitu ila itafika hatua ataongea kama akiamua jua polepole ndyo mwendo

  • @abdulrahmanally1412
    @abdulrahmanally1412 Před 2 měsíci +3

    Ningekupongeza tu endapo ungeomba pia uchunguzi wa Kifo cha Ben Saanane and others.

  • @feliciarfrancis2388
    @feliciarfrancis2388 Před 2 měsíci +1

    Kweli Mpina ,Mheshimiwa Mpina Safi Sana!!

  • @DavivaNce-hn8jx
    @DavivaNce-hn8jx Před 2 měsíci +2

    Huyu ni kiongozi anayetustahili xana kwenye nchi hii namkubali sana na ni mwamba,jasiri xana

  • @user-bp7fe1gx4v
    @user-bp7fe1gx4v Před 2 měsíci +2

    Na Unga mkono haja kichunguzwe kifo cha magufuri Nani kausika tuwajue

  • @Leeeeeeee-96
    @Leeeeeeee-96 Před 2 měsíci +2

    kweli kabisa tume iundwe makufuri hakufa kawaida

  • @angelanaftael7965
    @angelanaftael7965 Před 2 měsíci

    Long live mtoto wetu, mko wachache sana, walio wengi ni wahaini na mafisadi

  • @jamilijuma2738
    @jamilijuma2738 Před 2 měsíci +2

    ..nakuuunga. Mkono mpina ww ni kiiongz to bora

  • @Mima-cl2im
    @Mima-cl2im Před 2 měsíci +2

    Mpina ni mbunge bora sana. Kawaida wabunge bora hunyimwa nafasi za uongozi. Watu wanaopewa nafasi wengi ni wanafiki wenye kumutupia Rais sifa za uwongo huku pembeni wanabeza

  • @JoshuaMbugi
    @JoshuaMbugi Před 2 měsíci +1

    Nilikuwa nalisubili hilo tangu siku nyiiingi sana twende pamoja nakukubali mpina

  • @ludanishirima5102
    @ludanishirima5102 Před 2 měsíci +1

    Wakati huo tunapofikiri kutunga tume ya Uchunguzi wa Rais wetu Magufuli pia tufikiri na kuunda tume ya Uchunguzi wa Walio mpiga risasi tundulizi pia maana na Yeye ni mtanzania pia

  • @Mima-cl2im
    @Mima-cl2im Před 2 měsíci +2

    Watanzania wengi wanaunga mkono uchunguzi kifo cha Hayati Magufuli. Watanzania wana Mashaka makubwa ya kifo chake. Mabeo statement yake kifo cha Hayati Magufuli, kimeongeza Mashaka makubwa kwa watanzania na wengi kuwa mini kuna jambo limefichwa. Watanzania wana haki ya kujuwa. .

  • @mwemezirukoijo3868
    @mwemezirukoijo3868 Před 2 měsíci +2

    Hakika nimekuelewa juu ya kufanyika kwa uchunguzi wa kifo Rais Wetu

  • @mabulajoel1967
    @mabulajoel1967 Před 2 měsíci +4

    Kufa kupo tu mhe. Mpina hata kama Magufuli kafa kwa sera na michakato ya watu hili tulishalia na kuomboleza acheni kutuumiza na kutukumbusha habari za baba mpambanaji na mwendazake hakika amelala hatuna namna wakati uliopo pambaneni na kujenga Nchi si migogoro kila leo.

    • @MathewNathan-yb2bz
      @MathewNathan-yb2bz Před 2 měsíci

      Punguza mdomo.umelia sana kwani ni baba yako mzazi.unajifanya una uchungu kumbe mnafiki tu.Uchunguzi husaidia kama kuna watu fulani walihusika wasirudie tena jinga we

    • @aishakhamis2996
      @aishakhamis2996 Před 2 měsíci

      Hawa baba isha bwegwe tuu...!! Hawana lolote wanafanya ivo kwassb uchaguz unakaribia...!!

    • @MathewNathan-yb2bz
      @MathewNathan-yb2bz Před 2 měsíci +1

      @@aishakhamis2996 Ila mpina ni mzalendo wa kweli,anayoongea ni ukweli mtupu.

  • @modestamakoye9319
    @modestamakoye9319 Před 2 měsíci +2

    Tume iundwe kuondoa sintofahamu bado tunamlilia Magu

  • @OscarFabian-uu3rs
    @OscarFabian-uu3rs Před 2 měsíci +1

    Mungu atawaumbuatu, kifo Cham agufuri. Mungu hajalala yupomacho, tusubili kisasi Cha bwana., Kinakujsa.

  • @Mima-cl2im
    @Mima-cl2im Před 2 měsíci +2

    Bado kuna watu wengi Tanzania hata watu kutoka nchi za nje wana wasiwasi na Kifo cha Hayati Magufuli. Tanzania tajiri lakini uongozi ndiyo mbaya. Mali za watanzania zinaibiwa, na wanaoiba hawachukuliwi hatuwa. Kuna watu wanaogopewa wameishika Tanzania Kama Mali yawo binafisi.

  • @user-cz5sd6ys8i
    @user-cz5sd6ys8i Před 2 měsíci +1

    Hongera San mh mipna siku sote umejaribu kuwa mkweli,

  • @officialkinghimself2637
    @officialkinghimself2637 Před 2 měsíci +2

    Hakuna haja mbona kwa Tundu Lissu haikuchunguzwa pamoja na watu wanao potea mngekua mnatenda haki basi mnge anza hayo.

    • @bcozhenry2698
      @bcozhenry2698 Před 2 měsíci

      Yeye ameona tukio hilo lichunguzwe, kama wewe una matukio mengine unataka yachunguzwe toka hadharani useme ya kwako Mhe, Mpina hawezi kufikiri ya moyoni mwako na shida zako haziwezi kumfanya afikiri kama wewe!

  • @GilgariMinistryTanzania
    @GilgariMinistryTanzania Před 2 měsíci

    Nakupenda mh mbunge

  • @ScopionScopion-zj9cd
    @ScopionScopion-zj9cd Před 2 měsíci +1

    naunga hoja ya uchunguzi wakifo cha JPM ila mama yetu namshauli asigombee tena amuachie majaliwa awe rais wazili mkuu awe makonda wazili wa Mambo ya ndani awe chalamila

  • @bogoheidaso2628
    @bogoheidaso2628 Před 2 měsíci +1

    Naunga mkono wachunguze kifo

  • @feliciarfrancis2388
    @feliciarfrancis2388 Před 2 měsíci

    Huyu Mpina katoka Mbingu ,naomba Mungu akulinde kwa malaika wenye panga za Moto ,damu ya Yesu ikulinde

  • @BarakaMashimba-sr9ow
    @BarakaMashimba-sr9ow Před 2 měsíci

    Daa Mungu akubariki sana

  • @amanigilberth1259
    @amanigilberth1259 Před 2 měsíci

    Nakukubali Sana mzee yaani watanzania tumekuwa kama watoto wadogo ambao tunasikiliza na kila kinachoongelewa na wakuu na hakuna anaetupatia majibu ya maswali yetu naumia viongozi wetu tunaowaamini wanavyo tuchukulia poa 😢😢😢

  • @abdulrahmanngaluma3768
    @abdulrahmanngaluma3768 Před 2 měsíci

    Kila aliyekufa tukisema tuunde tume ya uchunguzi itakuwa mchezo wa pwagu na pwaguzi, kwani nani asiyeamini kifo ni mpango wa mungu na hutokufa bila kutimia kwa siku zako

  • @mbwanahasan2971
    @mbwanahasan2971 Před 2 měsíci +1

    Mpina mpina mpina umeongea ukweli anbao hata sisi wananchi wengi kimoyomoyo tunajiuliza hivyo lkn kwanza tujue aliempiga tundulisu risasi ni nani huyo? Halafu ndio tuje kwa mzee wetu magufuri

  • @talents7934
    @talents7934 Před 2 měsíci

    Nakuunga Mkojo mheshimiwa

  • @stewartdyamvunye-wz6rn
    @stewartdyamvunye-wz6rn Před 2 měsíci

    Tume pekee na amnayo itakuwa huru na tukaiamini na ina uwezo wa kuchumguza jambo hilo la kifo cha Mpigania Wanyonge Hayati Magufuli ni kutoka kwa wale wenzetu wa lugha ya kikwetu, yaani scottland yard au interpol. Halafu ndugu zangu mhe. Mpina hayuko pekee bungeni. Wapo wengine wanaounda kundi lake na kwao hao angaa wananchi tunapata faraja. Nao ni: Aida Kenani, Easter Matiku au Bulaya (nisahihishwe kama nimekosea ubini) na Halima Mdee. Mungu awabariki sana.

  • @geey7893
    @geey7893 Před 2 měsíci

    Ewaaaaah Kwenye kuchunguza kifo Cha Jemedari wetu ntakuunga mkonoo

  • @mwitanyahiri4586
    @mwitanyahiri4586 Před 2 měsíci +1

    Ni Moja kati ya wabunge wanaotokana na ccm amba akianza kuongea unakuwa na kiu ya kumsikiliza

  • @jumaabdalla3374
    @jumaabdalla3374 Před 2 měsíci +1

    Unaposema nchi ytu bado ni changa hatukuelewi hatari JPM alishatufumbua macho hii nchi ina rasilimali zote unazozijua na usizozijua itakuwaje changa

  • @Hamisi965
    @Hamisi965 Před 2 měsíci +3

    Huyu jamaa Chama gan naombeni jibu please

  • @ostenmwakasita6960
    @ostenmwakasita6960 Před 2 měsíci +1

    Kweli kabisa kunahaja kundwa tume ya kifo Cha Makufuli maana tumedanganywa sana mwingine katwambia anachapa kazi mwingine Makufuli anawasalumia inabidi tuunde tume ya kuchunguza kifo Cha Makufuli

  • @daudimichael7338
    @daudimichael7338 Před 2 měsíci

    Nilikuwa naamini kuwa ingekuja siku moja mtu mmoja au watu wangetaka uchunguzi ufanyike. Kama si kizazi hiki basi kijacho.

  • @paysonluhanga4932
    @paysonluhanga4932 Před měsícem

    Yaani bora tu kinuke maana hatuwezi kuishi kwa kukisia tu tume iundwe ili tumubaini Muuaji alikuwa ana lengo gani

  • @jumaabdalla3374
    @jumaabdalla3374 Před 2 měsíci +2

    Uchunguzi ufanyike hata mm naunga mkono

  • @elevenmeela8713
    @elevenmeela8713 Před 2 měsíci +1

    Ni vema Kama kuchunguza kifo Cha raisi kuliko kupotezea na pia wale waliyotaka kumuua tindu lisu pia iundwe timu ya kucgunguza

  • @user-ub2sm5vy2z
    @user-ub2sm5vy2z Před 2 měsíci +1

    Huna ubnasfisi mpina nakakukubali sana

  • @user-qe5cb7vy6o
    @user-qe5cb7vy6o Před 2 měsíci +2

    NAUMGA MKONO IUNDWE TUME UCHUNGUZI KIHUSU WALIOHUSIKA KUUA RAI MAGUFULI HAKUNA KULINDANAMAUAJI YA VIONGOZI WA KITAIFA TABIA KAMA HII YA KUUA VIONGOZI WA KITAIFA ITAZIDI IWEFUNDISHO.NAUNGA MKONO %100 BILA HIVYO MAUAJI YA VIONGOZI WAKUU WA KITAIFA LITAENDELE.USIPOZIBA UFA UTAJENGEA UKUTA.

  • @BabaZuu-fq8zj
    @BabaZuu-fq8zj Před 2 měsíci +1

    Mpina watu kama nyie tanzania amtakiwi sasa hivi na wewe itaundwa tume wachunguze kifo chako

  • @annamushiaminaaa4367
    @annamushiaminaaa4367 Před 2 měsíci +1

    Mkishajua mnafanya nnii???kama mlichelewa vileee

  • @GloriaChrisostoms
    @GloriaChrisostoms Před 2 měsíci

    Kisasi ni kazi ya mungu hata ikichunguzwa atarudi mnazidi kuipa machungu familia yake acha mungu atende na anaeruhusu kifo ni mungu tu ingekuwa ni mwanadamu basi mh Harrison Mwakyembe tusingekuwa nae leo

  • @joscamwoshezi2986
    @joscamwoshezi2986 Před 2 měsíci +1

    Unajuaje hawajaadhibiwa.inawezekana walishwa tumbuliwa

  • @ellymwamlenga3391
    @ellymwamlenga3391 Před 2 měsíci +2

    NAUNGA MKONO HOJA....,

  • @agustinoandrea6030
    @agustinoandrea6030 Před 2 měsíci

    Mungu akupe uhai mrefu xna kiongozi,Yan kwnye serikal hakuna hata aliiejitokeza kukanusha au kuthibitisha hayo