NAUNGA MKONO HOJA, NAUNGA MIKONO HOJA, NAUNGA MIKONO NA MIGUU HOJA, NAUNGA MWILI MZIMA HOJA ,,, mpina you are the legend 🤲🏿🤲🏿🤲🏿🤲🏿🤲🏿
Nakuunga mkono kwenye uchunguzi wa kifo cha JPM
Ben Saanane Na Wengine Vp Waliopotezwa Nakuuawa Mf Alphonce Mawazo?
HAKI NI HAKI HATA KAMA UNA PESA AU,MHESHIMIWA HAKI ITENDEKE.MPINA OYEE KAZA UZI MHESHIWA TUAKUNGA MKONO.
Safiii mpina,.we ni jembe!..hakuna aliyeweza kuzungumza hayo ila wewe umeweza!..big up sana mungu akulinde!..wasije wakakuuwa na wewe
Sanaaaa wachunguze Sanaaaa hiyo kweli kabisa kifo chake kinatuuma Sanaaaa wstanzania
@@joycengoda6567 Sawa kabisa wote wachunguzwe hakuna siri duniani ukiuua ndiyo umejimaliza ukimpiga mtu risasi umejimaliza siri zote nje ccm oyeeeee kazi inaendelea watajisema wenyewe la kila kitu wafanyacho kinaharibikia wanabaki na wasiwasi wa roho Mungu tenda miujiza
Nakuunga mkono mpina sanaa sanaaa juu ya jambo hilo
Kati ya wabunge Bora huyu Nampa asilimia 98.5 kwa kusema hoja bora
Haungwi mkono na wenzake (ccm ) yawezekana hana u-ccm wanaoutaka!! It's very wonderful!!
Hana lolote huyo ni maumivu ya kuukosa uwaziri tu huyo, Katika yote aliyosema hilo la viongozi ambao siyo raia na kwenye uongozi kwamba lifanyiwe kazi hilo ndo namuunga mkono, huyo hapo akipewa uwaziri hautamsikia tena
Uko sahihi kabisa mheshimiwa mpina japo wengi watakupinga nchi yetu inatakiwa wabunge kama wewe
MWILI HAUPO...LAKINI ROHO YAKE BADO IPO HAI KABISA BILA UBISHI.....ANATUSIKIA
Ni sahihi Mimi naamini ipo siku uchunguzi wa kweli utafanyika kwa Sasa wakweli Ni wachache
Yani apo ndipo mambo yanapochanganya vichwa..kuna viongozi wanaongozwa na kuna viongozi wanaongoza na kuna viongozi wanaongozana 🦧
Naunga mkono hoja,nawew ujue sio mbunge wa kisesa tu ila ni Mbunge wa Tanzania nzima maana wabunge wengi hawapo na wananchi wamebaki kuwa machawa tu
Big up. Mbunge wa Taifa zima
Kwakweli mpina una maono marefu, ingefaa uwanie urahisi wa 2025
Huyu kijana ni mzuri sana, ila huwa wanampinga sana, hakika uovu wote uliofichika utafichuka kwa jina la Yesu, na ndio hao hao waliojificha wanaanza kumtukana rais aliyeko madarakani
Lakini Pia watanzania hawakupewa taarifa Kwa mujibu Wa katiba ibara ya 18(2)
Mpina Mungu akukinge namabalaa yakila aina
YAANI HATA MKE WAKE HAKUJULISHWA UGONJWA WA MUME WAKE. ?. HII SIYO HAKI KABISA.
Mpina ni mzalendo wa kweli wa nchi hii na mbunge mwenye maadili mazuri sana.Utawala bora,utu,ubinadamu na haki huinua taifa na kutokomeza mafisadi.
@@FADHILICHIKOLO-pb8iy Wabunge wote wangekuwa kama huyu ,mifumo yote ya nchi na taasisi zote za nchi zingekuwa imara.Tungekuwa na Taifa imara na lenye utawala bora wenge kufuata katiba na kulinda sheria za nchi.wizi wa kura na tume ya hovyo ya uchaguzi visingekuwepo.ubadhirifu,ufisadi rushwa,mafisadi wala rushwa na wabadhirifu wangedhibitiwa.Utu,ubinadamu haki ,upendo na furaha vingeshamiri nchi.Hakika haki huinua taifa.Tunataka wabunge kama huyu wenye kutanguliza mbela maslahi ya taifa.
Huyo Mbunge wa uhakika Mpina muache aseme Mzalendo wa kweli hata qampige vita vipi muacha ayamwage mwana wane yombaga sanaaaa Mwanazengo
Mpina 1 mpina 2 mpina 3 wewe ni mtetezi wa wanyonge ila kaka yangu wataku ua maana kapuku huna nafasi magenge ya kishenzi yanayo Linda matumbo Yao na vizazi vyao hawana uchungu na nchi Bali matumbo Yao na familia zao ira hio ni raaana Hadi kwa vizazi vyao kwa zuruma kwa watanzania ira muenderee kuiba na kufuja Mari za wanchi ira ipo siku nyinyi baazi ya viongozi mtukura nyasi tu hata mbinguni kwa mungu
Ndiye anayesimama na wananchi wengine ni kujipendekeza na kusifia tuu - proudly of you - we need you in a future - upo straight sana hupindishi upo transparent ingawa wengi hawakuelewi ipo siku watakuelewa
Naunga mkono mpina akili kubwa sana ee mungu mlinde mpina
Kiongozi leo umeongea jambo muhimu sana
Mungu akuweke miaka mia mpina we nimkweli
Maana tungepewa taarifa hata tungemuuombea lakini Pia swala la raisi kuomba arudishwe akafie nyumbani ni haki yake kitaalaamu tunaita DAMA (discharge against medical advice
Amen kwawazo nzuri
Uchunguzi ufanyike😢😢
Natamani uwe raisi na mimi niwe makamu wako, ninaamini Tanzania ingekuwa kama nchi ya Ujerumani, Austria, Italy, Swizlend, na ufaransa. Wako vizuri, wanajali raia, na barabara za ndani mpaka mlangoni
Uko vizuri sana,nakuunga mkono maana aliyefariki alikuwa kiongozi mkuu wa nchi hakuwa ....
Mungu akulinďe ktk maisha yako yote Mh. Mpina, nanga mkono
Ni hatari kumwaga damu isiyo na hatia;ipo siku itakuwa waz tu
@@samwelsimon7392 Baba yangu yupo hai ?. Wewe umelewa asubuhi ?. Dawa za kulevya azitakusaidia,
@@samwelsimon7392 sawa, Mimi Nina matatizo, Hilo sipingi, Nina matatizo makubwa Sana, ila naomba uelewe Mimi sijawahi kuvuta sigara, sijawahi kuvuta bangi, sijawahi kula mirungi sijawahi kunywa pombe, sijawahi kutumia coken, sijawahi kutumia broen sugar, sijawahi kutumia hirone, Wala Dawa yoyote ya kulevya,na hata Sasa situmii ulevi wowote, na nitskufa bila kutumia ulevi wowote, wewe endelea na hayo maisha yenu ya ulevi kwenye umasikini ulio kisiri mwisho utauwona, mwenzio alikuwa anavuta bangi, aliwahi kulazwa milembe hospital Dodoma, hospital ya vichaa, na hakuacha bangi mpaka mwisho na matokeo ya maamuzi yake unayaona yalivyokuwa ya ovyo, afadhali yeye alipata bahati ,je wewe ?. Tafakari kwa kina hayo maisha ya Dawa za kulevya
Huyu na MAKONDA mmoja awe rais mwingine makamo full story
Mpina mungu akulinde
Ni kweli Watanzania tunataka ukweli khs kifo Cha Magufuli!
Wanajua wamefanikisha malengo yao
Wanyonge ndo tuna umiaa kifo Cha maguu hatuelewi:::::?!!!
WAONO PINGA KUUNDWA KWA TUME NI HAWO NDIYO WALIOHUSIKA KUMUA RAIS MAGUFULIBILA HIVYO WATAZOEA KUUAVIONGOZI WETU HATAKAMA NI WAHESHIMIWA,WANA 0RSA HAKI NI HAKI HAMUOGOPI MWENYE PESA WALA MHESHIMIWA.
Damu ya mtu haipotei
Mpina mungu akulinde vigogo wasije wakakumaliza na wewe km walvyofanya kwa Magufuli
Nakubaliana , kifo Cha magufuli Bado watu hawajui chanzo
Big up Mpina
Yani huyu mbunge ndo aliyebaki tu mwenye akiri kwa Sasa hivi katika bunge la jamuhuri ya muungano ya Tanzania nafunga mkono Yani kwenye kifo Cha magufuli Mimi naunga mikono na viungo vyote vya mwili wangu
Naunga mkono Kwa uchunguzi kifo Cha magufili
Huyu jamaaa haya anhaaaaaa
dah mpina unatutonesha vidonda halafu bado vibichi nahatujui vitapona lini ila naunga mkono hoja ya uchunguzi wakifo cha JPM weng tunajua kwamba rais wetu hajafa kifo cha kawaida2
Very good Mr Mpina
Hivi kwa nn hamchukui hatua inamaana hamsikii au ni dharau tutaonana 2025
Sema huyu mwamba yuko vizuri
Karibu wananchi wote tunataka kichunguzwe kifo cha jpm
Mhh Aya mpina
Haya ya Makonda na Chalamila tuachane nayo kubwa kifo cha kipenzi chetu Magufuli kichinguzwe ,Najua watalipotezea hilo
Naunga mkono hoja. Big up Mbunge Mpina
Naunga mkono yote uko vizuri tunataka ukweli
Mpina anakitu ila itafika hatua ataongea kama akiamua jua polepole ndyo mwendo
Ningekupongeza tu endapo ungeomba pia uchunguzi wa Kifo cha Ben Saanane and others.
Kweli Mpina ,Mheshimiwa Mpina Safi Sana!!
Huyu ni kiongozi anayetustahili xana kwenye nchi hii namkubali sana na ni mwamba,jasiri xana
Na Unga mkono haja kichunguzwe kifo cha magufuri Nani kausika tuwajue
kweli kabisa tume iundwe makufuri hakufa kawaida
Long live mtoto wetu, mko wachache sana, walio wengi ni wahaini na mafisadi
..nakuuunga. Mkono mpina ww ni kiiongz to bora
Mpina ni mbunge bora sana. Kawaida wabunge bora hunyimwa nafasi za uongozi. Watu wanaopewa nafasi wengi ni wanafiki wenye kumutupia Rais sifa za uwongo huku pembeni wanabeza
Nilikuwa nalisubili hilo tangu siku nyiiingi sana twende pamoja nakukubali mpina
Wakati huo tunapofikiri kutunga tume ya Uchunguzi wa Rais wetu Magufuli pia tufikiri na kuunda tume ya Uchunguzi wa Walio mpiga risasi tundulizi pia maana na Yeye ni mtanzania pia
Watanzania wengi wanaunga mkono uchunguzi kifo cha Hayati Magufuli. Watanzania wana Mashaka makubwa ya kifo chake. Mabeo statement yake kifo cha Hayati Magufuli, kimeongeza Mashaka makubwa kwa watanzania na wengi kuwa mini kuna jambo limefichwa. Watanzania wana haki ya kujuwa. .
Hakika nimekuelewa juu ya kufanyika kwa uchunguzi wa kifo Rais Wetu
Kufa kupo tu mhe. Mpina hata kama Magufuli kafa kwa sera na michakato ya watu hili tulishalia na kuomboleza acheni kutuumiza na kutukumbusha habari za baba mpambanaji na mwendazake hakika amelala hatuna namna wakati uliopo pambaneni na kujenga Nchi si migogoro kila leo.
Punguza mdomo.umelia sana kwani ni baba yako mzazi.unajifanya una uchungu kumbe mnafiki tu.Uchunguzi husaidia kama kuna watu fulani walihusika wasirudie tena jinga we
Hawa baba isha bwegwe tuu...!! Hawana lolote wanafanya ivo kwassb uchaguz unakaribia...!!
@@aishakhamis2996 Ila mpina ni mzalendo wa kweli,anayoongea ni ukweli mtupu.
Tume iundwe kuondoa sintofahamu bado tunamlilia Magu
Mungu atawaumbuatu, kifo Cham agufuri. Mungu hajalala yupomacho, tusubili kisasi Cha bwana., Kinakujsa.
Bado kuna watu wengi Tanzania hata watu kutoka nchi za nje wana wasiwasi na Kifo cha Hayati Magufuli. Tanzania tajiri lakini uongozi ndiyo mbaya. Mali za watanzania zinaibiwa, na wanaoiba hawachukuliwi hatuwa. Kuna watu wanaogopewa wameishika Tanzania Kama Mali yawo binafisi.
Hakuna haja mbona kwa Tundu Lissu haikuchunguzwa pamoja na watu wanao potea mngekua mnatenda haki basi mnge anza hayo.
Yeye ameona tukio hilo lichunguzwe, kama wewe una matukio mengine unataka yachunguzwe toka hadharani useme ya kwako Mhe, Mpina hawezi kufikiri ya moyoni mwako na shida zako haziwezi kumfanya afikiri kama wewe!
Nakupenda mh mbunge
naunga hoja ya uchunguzi wakifo cha JPM ila mama yetu namshauli asigombee tena amuachie majaliwa awe rais wazili mkuu awe makonda wazili wa Mambo ya ndani awe chalamila
Naunga mkono wachunguze kifo
Huyu Mpina katoka Mbingu ,naomba Mungu akulinde kwa malaika wenye panga za Moto ,damu ya Yesu ikulinde
Daa Mungu akubariki sana
Nakukubali Sana mzee yaani watanzania tumekuwa kama watoto wadogo ambao tunasikiliza na kila kinachoongelewa na wakuu na hakuna anaetupatia majibu ya maswali yetu naumia viongozi wetu tunaowaamini wanavyo tuchukulia poa 😢😢😢
Kila aliyekufa tukisema tuunde tume ya uchunguzi itakuwa mchezo wa pwagu na pwaguzi, kwani nani asiyeamini kifo ni mpango wa mungu na hutokufa bila kutimia kwa siku zako
Mpina mpina mpina umeongea ukweli anbao hata sisi wananchi wengi kimoyomoyo tunajiuliza hivyo lkn kwanza tujue aliempiga tundulisu risasi ni nani huyo? Halafu ndio tuje kwa mzee wetu magufuri
Nakuunga Mkojo mheshimiwa
Tume pekee na amnayo itakuwa huru na tukaiamini na ina uwezo wa kuchumguza jambo hilo la kifo cha Mpigania Wanyonge Hayati Magufuli ni kutoka kwa wale wenzetu wa lugha ya kikwetu, yaani scottland yard au interpol. Halafu ndugu zangu mhe. Mpina hayuko pekee bungeni. Wapo wengine wanaounda kundi lake na kwao hao angaa wananchi tunapata faraja. Nao ni: Aida Kenani, Easter Matiku au Bulaya (nisahihishwe kama nimekosea ubini) na Halima Mdee. Mungu awabariki sana.
Ewaaaaah Kwenye kuchunguza kifo Cha Jemedari wetu ntakuunga mkonoo
Ni Moja kati ya wabunge wanaotokana na ccm amba akianza kuongea unakuwa na kiu ya kumsikiliza
Unaposema nchi ytu bado ni changa hatukuelewi hatari JPM alishatufumbua macho hii nchi ina rasilimali zote unazozijua na usizozijua itakuwaje changa
Kweli kabisa kunahaja kundwa tume ya kifo Cha Makufuli maana tumedanganywa sana mwingine katwambia anachapa kazi mwingine Makufuli anawasalumia inabidi tuunde tume ya kuchunguza kifo Cha Makufuli
Nilikuwa naamini kuwa ingekuja siku moja mtu mmoja au watu wangetaka uchunguzi ufanyike. Kama si kizazi hiki basi kijacho.
Yaani bora tu kinuke maana hatuwezi kuishi kwa kukisia tu tume iundwe ili tumubaini Muuaji alikuwa ana lengo gani
Uchunguzi ufanyike hata mm naunga mkono
Ni vema Kama kuchunguza kifo Cha raisi kuliko kupotezea na pia wale waliyotaka kumuua tindu lisu pia iundwe timu ya kucgunguza
Huna ubnasfisi mpina nakakukubali sana
NAUMGA MKONO IUNDWE TUME UCHUNGUZI KIHUSU WALIOHUSIKA KUUA RAI MAGUFULI HAKUNA KULINDANAMAUAJI YA VIONGOZI WA KITAIFA TABIA KAMA HII YA KUUA VIONGOZI WA KITAIFA ITAZIDI IWEFUNDISHO.NAUNGA MKONO %100 BILA HIVYO MAUAJI YA VIONGOZI WAKUU WA KITAIFA LITAENDELE.USIPOZIBA UFA UTAJENGEA UKUTA.
Mpina watu kama nyie tanzania amtakiwi sasa hivi na wewe itaundwa tume wachunguze kifo chako
Mkishajua mnafanya nnii???kama mlichelewa vileee
Kisasi ni kazi ya mungu hata ikichunguzwa atarudi mnazidi kuipa machungu familia yake acha mungu atende na anaeruhusu kifo ni mungu tu ingekuwa ni mwanadamu basi mh Harrison Mwakyembe tusingekuwa nae leo
Unajuaje hawajaadhibiwa.inawezekana walishwa tumbuliwa
NAUNGA MKONO HOJA....,
Mungu akupe uhai mrefu xna kiongozi,Yan kwnye serikal hakuna hata aliiejitokeza kukanusha au kuthibitisha hayo
Nakuunga mkono sana mheshimiwa mpina.Mungu azidi kukulinda na kukupa maisha marefu zaidi
ni mwendawazimu tu ndie anayeweza kuamini kuwa Dr.Magufuli hakukatizwa maisha yake na maadui zake ambao wote wamerudi madarakani baada ya kifo chake..