JPM Alivyompigia Lukuvi Hadharani, Amkopesha MIL 1!
Vložit
- čas přidán 4. 09. 2018
- JPM Alivyompigia Lukuvi Hadharani, Amkopesha MIL 1!
Rais Dkt John Magufuli, ameendelea na ziara yake ya kutembelea, kukagua na kuzindua miradi mbalimbali inayotekelezwa katika maeneo mbalimbali hapa nchini.
Leo Septemba 05, Rais Magufuli ametembelea mkoa wa Mara, wilaya ya Bunda katika jimbo la Mbunge wa Chadema, Ester Bulaya na kisikiliza kero za wananchi wa eneo hilo kisha kuzitolea ufafanuzi papo hapo.
Install GlobalPublishersApp Android: bit.ly/2AAQe1d iOS: apple.co/2Assf4M Subscribe ww.czcams.com/users/uwazi FACEBOOK: / globalpublis. . TWITTER: / globalhabari Visit globalpublishers.co.tz/, Suazi1
/ uwazi1 WEBSITE: globalpublishers.co.tz/ FACEBOOK: / globalpublis. . TWITTER: / globalhabari INSTAGRAM: / globalpubli. .
Category
Kweli vizuri aviddumu mungu akutunze huko siku moja tutaonana tena😭😭😭
Kama unakubari serikari ya magufuri haichezewi gonga like hapo
Yaan hii video imeniliza kabisa kweli huyu ni rais wa wanyonge kutoka moyoni kama unamkubali rais magufuli acha ubishi gonga like yako hapa
Mashaallah raisi unaimani Allah akuhifadhi Inshaallah
Hugo Mkuu wa wilaya mla ruswa tu hafai
@@jumakiparis2267 sure
Huyu ndio raisi anawafikia wananchi sio yule kila siku yupo ULAYA
@@manyotaskipper5765 sure
Wale tunaompenda jembe letu hebu piga like kwa magu
Like zikusaidie nn
Zinbo Rmdan j
Yaani hadi machozi yamenitoka. MUNGU akubariki sana mheshimiwa Raisi.
kama umetoa chozi kama mm gonga like
Mungu akulinde sikuzote Rais wetu John pombe magufuli
Mungu akulinde na kukupa maisha marefu yenye afya tele. Utuongoze vyema
😭😭😭😭😭😭
Aisee nimepiga makofi nikidhani niko live kumbe naangalia video! Mkuu miaka 10 haitoshi kuinyoosha nchi wakuongezee 10 mingine! Allah akulinde baba yetu!
👌💃💃
Mungu akubariki rais wetu nakupenda sana daah
Safi sana mweshimiwa jpm,nakupendaga kwa kutenda haki
Daaaaaaah inauma sana
Hongera Mheshimiwa Rais...mungu akubariki
Chapa kazi baba nakupendajeeee
safiii
Mashallah
How i wish things were this way in Kenya.
Ubarikiwe sana saidia wanyonge
mungu akulinde daima
nampenda Jeee
Nawapenda viongozi kama hawa mimi
Nakupenda Raisi wangu
Uyo ndo Magufuli bwana
Mi pia
MAGUFULI IS A FIXER BUT FIXERS ARE KNOWN NOT TO FIGHT AND CHANGE SYSTEMS BUT FIX PARTS OF IT. HUYO KAMISHNA IS PART OF A ROTTEN ENTIRE SYSTEM WHICH HE NEEDS TO FIX... HE FIRED THE GUY LAKINI THE SYSTEM IS STILL INTACT
Man Mborrow uyu mheshimiwa atafika mbali Mungu ambariki
Ooooh my God mlinde huyu rais wetu jamani!!
Dah
Hata patikana Kama magu
Anaekubali kua huyu Nirais wa vyama vyote gonga like
Tanzania mumebarikiwa na kiongozi mwenye utu. I wish Kenya tungekua na kiongozi kama makafuli, you are blessed country
Ahsante
Wanaopenda Rais. Wetu Kipenzi Atutumikie Miaka 20 Layk Hapa Kuniunga Mkono
Namupenda sana kwa kazi yeke
kwa kazi nzuri kwa wanyonge aendelee hata kwa awamu 3 za uongozi
@@lizyyjfdxpatoo1374 hahama
Hongera sana Rais wetu kwa kutetea haki ya wanyonge kama huyo bibi
Haya mambo makubwa
Big up Sana Mr President
Shikamoo magufuli safiiiiiiiiiiii
Mimi naendelea kusema ww ni rafiki wawanyonge kwakweli nimetokwa namachozi kwaraha maana maamuzi unayo yachukua ni uhalisia wa maisha ya mtu ambaye ni mtoto wamkulima.ule utanzania halisi tunauwona kwako.Barikiwa muheshimiwa raisi wetu,
amen
Haki ya mjane na masikini ni ya lazima kuisimamia.MWENYEZI Mungu huwatetea kwa mkono hodari watu wa kundi hili.Tusidhulumu haki za wajane na watu masikini jamani.
live long the righteous ruler
abdag
RIP FATHER AFRICA
Ukiona mtu hamkubali magu bas jua alizoea kula vya bure
Kweli zinaumiza mioyo ya watu, what I can see there is future in tz hongera wrote wanaofahamu viongozi was juu was nchi. Pole nyimbo za zamani Bora sasa waombwe wa radio station wazipige X10 a day. Watanzania tuchape kaziiiiiiiii.
Mmh
true
Ni mchawi
Hongera JPM tunashukuru kwa kuwajari wanyonge Mungu akubariki sana Rais wetu.
Amani Bwire
Safii Jpm
Mapenz yang kwako aya semek nakupenda sana magu
congratrats presdawa
hongera sanaa prezi dar
Inauma sana roho ninavyo mtanzama hayati jonh Joseph pombe makufuli
Magufuri kweli ni jembe
I MISS DR Magufuli >> may the almighty God give him a confotable after earthly life!!
Daaaaaah
Kweli mnakula rushwa ila huyu mzee mjukuu wake atachukuwa kiwanja
Uchaguz hatutaki tena Rais wetu anatosha kila sekta karbu na dodoma
kwa kweli hii nchi ina tatizo kubwa katika mfumo wa uongozi na namna ya kushughulikia matatizo ya wananchi, 'chain of command haipo vizuri. Matatizo yote hayawezi kuwa yanamsubiri rais peke yake
Ckua nampenda na wala ckumchagua magufuli lkn kunavtu anafanya namkubali.
Namkubali sana sana Uncle Magu jamani, yanikuna matendo yake
Tanzania imejaa dhuruma sana wa2 wenye pesa wanasumbua wa2 maskini hii ni shida sana hakuna raisi kama magufuri aseeeeeeee
mpaka choz aise
Mungu akubariki Rais wangu love you so much
Kupatikane basi wakutupatia matokeo baadaye ya juhudi hizi nzuri za Rais Magufuli...kulienda aje baadaye.
Mpaka nasikia raha kumsikiliza JPM wetu asiyemkubali basi tu jamani.
rais wa wanyonge
I really love makufuli
Kwa hapo
Mh, Mm namkubali maana
anaweka mambo wazi hakuna konakona.
Tatizo wengi walifanya kazi kwa mazoea.
Piga kazii kaka
Mungu akuangazie nuru Rais wetu
Magufuli pongezi
Ndio mana tunakupenda mheshimiwa rahis wetu mpendwa mzee wetu John pombe magufuli mngu akuhifazi ili uwatetee wanyonge
Watawaibia hela
Say ❤❤
Watu hawapendi kujifunza cjui kwa Nini wanawaonea wanyonge,wakumbuke duniani tunapita tyuuu jamani hivyo mnavyowaumiza watu mtaviachaaa na hao wanyonge watawazika huko vijijini, ustaarabu muhimu
Huyo Shewiyo ni mla rushwa mkubwa, hapa DSM alininyanyasa sana na kiwanja changu maeneo ya Mbezi Beach.
Ongera sana Rais wa Wanyonge Hapo Magufuri Nimekupigia Saruti Tawala Miaka yote
😂😂😂🙌🙌🙌🙌walai ukifanya kazi na magufuli ofisi moja kama ndio mm bola nikaacha kazi tu nikasake kwingine mzee kupumua kwa shida yaan ukipigwa swali moja pakuchengea akuna unakutana nacho duu magu 🙌🙌🙌
Rais natoa machozi kabla ujafa
Dhaaaa akika ww nd ulikuw mtawal w hak kwel😂😂😂😂
wasaidie wasiojiweza mzee kazi nzuri naaaam
Hii nimeipenda sananaaaaaaaaaa
Huyu baba
Dr. John Pombe Magufuli, hata mimi siko Mtanzania, uko ulikuwa kiongozi yangu kabisa😭😭😭😭😭😭
Safi sana Rais wa wanyonge
thank you my president,the lord GOD give you along life
safiiiiiiiiiiiiiiiiiii sana JPM
Mimi naishi Burundi rakini mungu amubariki Magufure nimwawume hodari
January makamba na nape jifunzeni kupitia kunahofuya mungu
Gudi sana
In Kenya we need such leaders ...... Not thieves who steal from their people....
Makufuli nakupenda kwa kazi yako inanifurahisha
Kiboko yenu ishakuja hio hapo hopo jee
Ubarikiwe Mr president hapana mchezo hata mzungu hawajawahi Fanya mambo Kama yako
Dah hii kali mwanaume unalia
Samia atayaweza haya?
Daaah wenye pesa hawanaga huruma aseee......
ubalikiwe baba
Iko kazi uongozi watu
nakupenda mpak nakufaaaa
Jpm alikuwa mtetezi wa nyonge kabisa mungu amlaze pema poponi aseeeeeeee
ww magufuli ulizaliwa ama
raisi ana kazi kubwa sana,tuzidi kumwombea dua
Safi saidia maskini
Jamani huyu Mtu analia machozi ya uchungu Na furaha kuona Rais wa wanyonge anavyoshughulikia viwanja vyao, Mungu akulinde Rais wetu, Mungu akulinde Waziri wa Ardhi Mh. Lukuvi.
Sijaona Raisi mwingine kama Magafuli mtetezi WA wanyonge. Heri Mungu angelimpa uzima
excellent Mr president
safi sana rais kwahapo uko pamoja na wanyonge
Kwaya mpya
Nimelia jmn,yaan matajr wananyanyasa sana wanyonge.
Magufuli Mtu wa Mungu.
mzee magu cheichei mnyonge mnyongeni haki yake mpeni mwenyeweeee
Shikamoo baba Magufuli