![Zanzibar Kamili TV](/img/default-banner.jpg)
- 2 317
- 17 109 740
Zanzibar Kamili TV
Germany
Registrace 7. 12. 2020
Karibu sana tukufahamishe kuhusu masuala yote yanayoendelea Zanzibar, Tanzania na kwengineko duniani.
Hotuba ya Makamo wa Kwanza leo katika hafla ya kumuaga Dkt. Omar Shajak
Makamu wa Kwanza wa Rais wa Zanzibar, Mheshimiwa Othman Masoud Othman, Leo Jumamosi Juni 29, 2024, ameshiriki akiwa Mgeni Rasmi katika Hafla ya Kumuaga Katibu Mkuu Mstaafu wa Ofisi ya Makamu wa Kwanza wa Rais wa Zanzibar, Dokta Omar Dadi Shajak, hapo Hoteli ya Golden Tulip, Uwanja wa Ndege Zanzibar.
Akitoa salamu zake kwa Wafanyakazi na Viongozi mbali mbali waliohudhuria hapo, Mheshimiwa Othman amesema, "Nchi haiendeshwi kwa Nani Wangu", bali kwa kuzingatia utaratibu wa kuwapata watumishi wenye kipaji, uwezo, na kujali misingi ya uadilifu katika kusimamia maendeleo na maslahi ya umma.
Mheshimiwa Othman amesema ili Zanzibar iweze kusogea kutoka pale ilipo sasa, na kuyafikia maendeleo ya kweli, ni wajibu kuzingatia misingi ya sera, uadilifu, moyo wa utumishi, na kuachana na tabia ya 'petty mindedness", ambayo inawapelekea Viongezi Wakubwa wenye Mamlaka, kujihusisha na mambo dhaifu ya ovyo, yanayodhoofisha kasi ya maendeleo.
Naye, Mlengwa Mkuu wa Hafla hiyo, Dokta Shajak, akitoa Neno la Shukrani, ameshukuru heshima kubwa aliyopewa, Yeye na Familia yake, kupitia Mkusanyiko huo, uliobeba dhamira ya kumuaga baada ya Utumishi wake wa Umma, wa takriban Miaka 33 katika Wizara na Taasisi mbali mbali za Serikali.
Viongozi wa Serikali, Makatibu Wakuu, Wakurugenzi, Makamishna, Watendaji Wastaafu, Maafisa Wadhamini, Viongozi wa Mamlaka, Taasisi mbali mbali za Umma na Sekta Binafsi, kutoka ndani na Nje ya Zanzibar, wamehudhuria katika Hafla hiyo, wakiwemo Mawaziri wa Nchi, Ofisi ya Makamu wa Kwanza, na Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar, Mhe. Harusi Said Suleiman, na Mhe. Hamza Hassan Juma; Katibu Mkuu Kiongozi na Katibu wa Baraza la Mapinduzi , Mhe. Mhandisi Zena Ahmed Said, pamoja na Familia ya Dokta Shajak.
Hafla hiyo imejumuisha pia harakati mbali mbali za Burudani, An'ashid, Onyesho fupi la Kumbukumbu, na Uzinduzi wa Kitabu cha Historia Fupi ya Dokta Shajak; pamoja na kukabidhiwa Zawadi kwa Mstaafu huyo, Yeye na Familia yake, zikiwemo Fanicha, Bustani za Miti ya Matunda, Mashine za Mazoezi, na Gharama kwaajili ya Kwenda Kutekeleza Ibada ya Umra, huko Makka Saudi Arabia.
Viongozi na Watu mbali mbali wamechangia kufanikisha Zawadi pamoja na Hafla hiyo wakiongozwa na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Dokta Samia Suluhu Hassan; na Uongozi wa Wizara ya Nchi, Ofisi ya Makamu wa Rais wa Tanzania, Muungano na Mazingira.
Kitengo cha Habari
Ofisi ya Makamu wa Kwanza wa Rais wa Zanzibar
Juni 29, 2024.
Akitoa salamu zake kwa Wafanyakazi na Viongozi mbali mbali waliohudhuria hapo, Mheshimiwa Othman amesema, "Nchi haiendeshwi kwa Nani Wangu", bali kwa kuzingatia utaratibu wa kuwapata watumishi wenye kipaji, uwezo, na kujali misingi ya uadilifu katika kusimamia maendeleo na maslahi ya umma.
Mheshimiwa Othman amesema ili Zanzibar iweze kusogea kutoka pale ilipo sasa, na kuyafikia maendeleo ya kweli, ni wajibu kuzingatia misingi ya sera, uadilifu, moyo wa utumishi, na kuachana na tabia ya 'petty mindedness", ambayo inawapelekea Viongezi Wakubwa wenye Mamlaka, kujihusisha na mambo dhaifu ya ovyo, yanayodhoofisha kasi ya maendeleo.
Naye, Mlengwa Mkuu wa Hafla hiyo, Dokta Shajak, akitoa Neno la Shukrani, ameshukuru heshima kubwa aliyopewa, Yeye na Familia yake, kupitia Mkusanyiko huo, uliobeba dhamira ya kumuaga baada ya Utumishi wake wa Umma, wa takriban Miaka 33 katika Wizara na Taasisi mbali mbali za Serikali.
Viongozi wa Serikali, Makatibu Wakuu, Wakurugenzi, Makamishna, Watendaji Wastaafu, Maafisa Wadhamini, Viongozi wa Mamlaka, Taasisi mbali mbali za Umma na Sekta Binafsi, kutoka ndani na Nje ya Zanzibar, wamehudhuria katika Hafla hiyo, wakiwemo Mawaziri wa Nchi, Ofisi ya Makamu wa Kwanza, na Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar, Mhe. Harusi Said Suleiman, na Mhe. Hamza Hassan Juma; Katibu Mkuu Kiongozi na Katibu wa Baraza la Mapinduzi , Mhe. Mhandisi Zena Ahmed Said, pamoja na Familia ya Dokta Shajak.
Hafla hiyo imejumuisha pia harakati mbali mbali za Burudani, An'ashid, Onyesho fupi la Kumbukumbu, na Uzinduzi wa Kitabu cha Historia Fupi ya Dokta Shajak; pamoja na kukabidhiwa Zawadi kwa Mstaafu huyo, Yeye na Familia yake, zikiwemo Fanicha, Bustani za Miti ya Matunda, Mashine za Mazoezi, na Gharama kwaajili ya Kwenda Kutekeleza Ibada ya Umra, huko Makka Saudi Arabia.
Viongozi na Watu mbali mbali wamechangia kufanikisha Zawadi pamoja na Hafla hiyo wakiongozwa na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Dokta Samia Suluhu Hassan; na Uongozi wa Wizara ya Nchi, Ofisi ya Makamu wa Rais wa Tanzania, Muungano na Mazingira.
Kitengo cha Habari
Ofisi ya Makamu wa Kwanza wa Rais wa Zanzibar
Juni 29, 2024.
zhlédnutí: 2 008
Video
OMO alivyofunguka kuhusu yanayoendelea na hatma ya Zanzibar
zhlédnutí 1,9KPřed dnem
OMO alivyofunguka kuhusu yanayoendelea na hatma ya Zanzibar
Jussa atema cheche, aanika jinsi Zanzibar inavyotafunwa na serikali ya Mwinyi
zhlédnutí 1,7KPřed 14 dny
Makamu mwenyekiti wa ACT Zanzibar Mhe. Ismail Jussa akizungumza na wananchi.
Mansour amwambia Mwinyi na CCM yake wasahau ndoto za kujiongezea miaka bila uchaguzi
zhlédnutí 4,2KPřed 14 dny
Mansour Yussuf Himid akihutubia wananchi Unguja
Fursa za kiuchumi tunazo lakini watu wetu hawaidiki nazo, tunahitaji mageuzi-OMO
zhlédnutí 516Před 14 dny
Makamu wa Kwanza wa Rais wa Zanzibar, Mheshimiwa Alhaj Othman Masoud Othman, leo Ijumaa Juni 21, 2024 amejumuika na Waumini wa Kiislamu, katika Ibada ya Sala ya Ijumaa, hapo Msikiti wa Ijumaa Kigunda, uliopo Nungwi Mkoa wa Kaskazini Unguja. Baada ya Sala hiyo, Mheshimiwa Alhaj Othman ametoa salamu zake mbele ya Waumini akisema, ni busara kuendelea kushikamana na Mafunzo Mema ya Dini, yakiwemo m...
Makamo wa Kwanza afunguka kwenye mahojino, aeleza kiu yake ya kuiona Zanzibar huru yenye maendeleo
zhlédnutí 3,3KPřed 14 dny
Makamu wa Kwanza wa Rais wa Zanzibar ambaye pia ni Mwenyekiti wa ACT Wazalendo Taifa Mhe. Othman Masoud akizungumza na Gumzo la Ghassani visiwani Zanzibar.
Mansour afunguka katika kipindi cha Sauti ya Wazalendo
zhlédnutí 1,2KPřed 21 dnem
Mansour afunguka katika kipindi cha Sauti ya Wazalendo
TAMKO LA ACT LEO KUHUSU TUME YA UCHAGUZI, WASEMA HAWATOKUBALI UJAMBAZI WA DEMOKRASIA
zhlédnutí 3KPřed 21 dnem
Katibu Mkuu wa chama cha ACT Wazalendo Ado Shaibu akizungumza na waandishi wa habari katika makao makuu ya chama hicho.
Jussa alivyofunguka mkutano wa ACT jimbo la Shaurimoyo
zhlédnutí 707Před 28 dny
Hotuba ya Makamo mwenyekiti wa ACT Zanzibar Mhe. Ismail Jussa katika uwanja wa Kivumbi, jimbo la Shaurimoyo kisiwani Unguja.
Hotuba ya Mansoor mkutano Shaurimoyo, asema CCM haikushinda wakati ina watu sembuse sasa na Mwinyi
zhlédnutí 3,6KPřed 28 dny
Mansour Yussuf Himid
Mwinyi Juma awachana wakuu wa mikoa Pemba, asema wanatumia vikosi kuharibu chaguzi
zhlédnutí 1,9KPřed měsícem
Mwinyi Juma awachana wakuu wa mikoa Pemba, asema wanatumia vikosi kuharibu chaguzi
SERIKALI YAENDELEA KUWANYIMA WANANCHI ZAN ID, WAMLALAMIKIA MAKAMO WA KWANZA
zhlédnutí 1,6KPřed měsícem
Makamo wa Kwanza wa Rais na Mwenyekiti wa ACT Taifa akizungumza na wananchi Pemba.
Wananchi Pemba wafunguka mbele ya Makamo wa Kwanza, wachoshwa na tabu wanazopata
zhlédnutí 2,2KPřed měsícem
Wananchi Pemba wafunguka mbele ya Makamo wa Kwanza, wachoshwa na tabu wanazopata
Hatuwezi kuijenga Pemba Sawa na Unguja, hao Wapemba wenyewe wengi wapo Unguja
zhlédnutí 1,5KPřed měsícem
Mwakilishi Nadir akizungumzia ujenzi wa maendeleo kisiwani Pemba.
Pemba haipunjwi wala haionewi, inapewa maendeleo sawa na Unguja- Mwakilishi Nadir
zhlédnutí 2,6KPřed měsícem
Pemba haipunjwi wala haionewi, inapewa maendeleo sawa na Unguja- Mwakilishi Nadir
TASSAF inawadhalilisha na kuwabagua wananchi kwa sababu ya itikadi za Vyama-Raisa Abdalla
zhlédnutí 837Před měsícem
TASSAF inawadhalilisha na kuwabagua wananchi kwa sababu ya itikadi za Vyama-Raisa Abdalla
Kumekucha Zanzibar, vijana wadogo wakusanywa makundi, wawekwa makambini kwa ajili ya uchaguzi 2025
zhlédnutí 1,5KPřed měsícem
Kumekucha Zanzibar, vijana wadogo wakusanywa makundi, wawekwa makambini kwa ajili ya uchaguzi 2025
Tunataka hii nchi iendeshwe kistaarabu na kwa haki- OMO
zhlédnutí 2,9KPřed měsícem
Tunataka hii nchi iendeshwe kistaarabu na kwa haki- OMO
Jussa: Serikali ya Mwinyi imeoza, mabilioni yanatafunwa, fedha za miradi za Rais Samia zachezewa
zhlédnutí 10KPřed měsícem
Jussa: Serikali ya Mwinyi imeoza, mabilioni yanatafunwa, fedha za miradi za Rais Samia zachezewa
Hatuwezi kukubali tume iliyosababisha uchafuzi 2020 kuongoza uchaguzi wa 2025- Fatma Ferej afunguka
zhlédnutí 3,8KPřed měsícem
Hatuwezi kukubali tume iliyosababisha uchafuzi 2020 kuongoza uchaguzi wa 2025- Fatma Ferej afunguka
Mansour Himid awashukia CCM, asema hata wakisema wanawawe si raia, mapambano bado yataendelea
zhlédnutí 4,9KPřed měsícem
Mansour Himid awashukia CCM, asema hata wakisema wanawawe si raia, mapambano bado yataendelea
Hotuba ya Jussa inayoeleza jinsi Rais Mwinyi alivyoipa Pemba ahadi tupu
zhlédnutí 1,3KPřed měsícem
Hotuba ya Jussa inayoeleza jinsi Rais Mwinyi alivyoipa Pemba ahadi tupu
Waziri wa Kazi na Uchumi ateuliwa kuwa mjumbe wa Tume ya Mipango Zanzibar
zhlédnutí 789Před měsícem
Waziri wa Kazi na Uchumi ateuliwa kuwa mjumbe wa Tume ya Mipango Zanzibar
Huu ndo msisitizo wa Makamu wa Kwanza wa Rais na Mwenyekiti wa ACT taifa
zhlédnutí 1,8KPřed měsícem
Huu ndo msisitizo wa Makamu wa Kwanza wa Rais na Mwenyekiti wa ACT taifa
Kuelekea uchaguzi 2025, wadau waukumbuka ujumbe wa Baraka Shamte kwa ACT
zhlédnutí 2,1KPřed měsícem
Kuelekea uchaguzi 2025, wadau waukumbuka ujumbe wa Baraka Shamte kwa ACT
Mahojiano ya Jussa na kipindi kipya cha Sauti ya Wazalendo, sikiliza alivyofunguka
zhlédnutí 5KPřed měsícem
Mahojiano ya Jussa na kipindi kipya cha Sauti ya Wazalendo, sikiliza alivyofunguka
Hotuba ya Makamu wa Kwanza kwa wakaazi wa Pandani, Pemba
zhlédnutí 1,4KPřed měsícem
Hotuba ya Makamu wa Kwanza kwa wakaazi wa Pandani, Pemba
Ziara ya Makamo wa Kwanza wa Rais kisiwani Pemba
zhlédnutí 1,6KPřed měsícem
Ziara ya Makamo wa Kwanza wa Rais kisiwani Pemba
Samahani hongereni sana wabunge wa Zanzibar kwa uwazi na ukweli Bungeni waheshimiwa wabunge kumsifu Mhe Rais Mwinyi Shemeji yangu pia ni thawabu na kumtendea mema kulingana na uwingi wa mambo aliyotufanyia. Ila niwaombe kutuombea mm Abdilahi Huseni Mriri wa Moshi nna fungate la Ndoa yetu tukufu yaTanzania Bara na Visiwani salama salimini na Mhe daktari Rais Samia Suluhu Hasani Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania mke wangu mtarajiwa jamani natanguliza shukurani zangu za dhati kwa wote wenye mapenzi mema na sisi waheshimiwa wabunge na Bunge kwa ujumla wenu.
Allah akuifadhi
No coment uwwii
✌️👊👍.
Ndio baba tunakupenda sana kiongozi wetu mansur
Mungu humpa amtakae achauchoyo
Apo ndio utajua kua CCM akili zao n ndogo mpaka leo zanzibar huwezi amua kitu mpaka tupewe maelekezo Ten kwa kurizika mabwana upande wa pili muungano gani upande Wana mamlaka na wengine Hawana alafu raid hahic Ata aibu
Mama nimama tu
Ccm wao uhuru wznzbar co lazima wao wnatuaminisha barabara namasoko ndio kila kitu 😅😅😅😅kuliko znzbr yenye uhuru wake
Nandio maana htuendi mbele njaa kila kona kwasababu yawtu wnaouliwa bila sababu kiukweli
Asalam alykm ,Mh MakamoAhsate ,kuujulisha Umma ,si kwa huu UMMA, wa zanzibar, tuu nakwengine, pence mapungufu, kama hapakwetu,huyu wants,au huyu wetu ,kama taaswira hiyo nimuhimu katika maendeleyo,ya inchi yoyote,basically wzanzari wasingeiliajiriwa, huko ughaibuni, na hukowamepatikana, wa akina shajak wengi tu ,namiakahii na wao wamestaafu nawanaendeleakumali ,za kazi zao kwa unmindful mkubwa,huko nje ,hunger, Bw shajak kwauvumilivu nauaminifu ,uliotukuka,na Mh wetu nawe tunakuomba usichoke ,jitahidi kutuwaidh. Shukran. SRSK. Al sahaf.
Cc hatutaki barabara tunatak mamlak kamili hatutaki raisi wa sanamu ccm iondoke tu izo propaganda zenu tushazizoea madarakani mumeingia kw dhulma mnapig watu mnauwa halaf mnajifany hamuoni mud w kuwadanganya watu umeisha
Ww msenge kweli hufai kuwa kiongozi
Makamo umeuwa😂😂😂❤❤
Fact ❤❤❤
Hongera d shajak kwa kukamilisha uongoz wako uliotukuka❤ tutakutaduta nje ya ofis kwa ushaur ❤
Warioba shida yako ulikuwa mlevi sana ww tunakujuwa hatutaki mungano wa namna hii usitufananishe na marekani mambo ya marekani hamuyawezi nyinyi bara ni sio wat wazuri mna zarau sana wala hamna mpango ni wezi tu
hatutaki muungano!
Kuwe na mabaraza ya wawakilishi mawili Pemba na Unguja jamani mwenye macho angalie kweli Pemba hakuja tupwa
Tenna walikua sio wasomi km tukivyo na watu wanaojiita wao wasomi saiv. Saiv watu wanajisifu na makaratasi wao 2 milioni people hawawezi kuongoza shame ndani ya miaka 60. 2 milioni people hamna ata maji. Pesa zote matumboni na kuzulumu viwanja vya wananchi
Tena tukirudi huko awamu zilizopita kuna wengine walikua Mawaziri Ndio waliwapora Wazanzibar wanyonge viwanja vyao vya beach na kujenga Ma Hotels na Majumba ya Mji mkongwe, sema Dhulma haidumu ata kama Kiongozi akimaliza muda au akiama Chama
Omo kaka mm nakuelewa mno kuliko mtu yyte yle
Mimi nanukuu tu maneno ikiwa kudai huku ndo kuvunja muungano 😂😂nauvunjike😅😅
Viongozi wa Zanzibar wajifunze kupitia Kenya na Raisi wao Ruto
Allah afanye wepesi tumechoka Kwa kweli
Kazi ipo maneno tu sifa ya CCM hawaogopi hata MwenyeziMungu
Ndio mana hawatoi nchi mana Mnaongea kuwalipisha hela
Mungu awape matumaini yao kwa amani NA usalama NA ujirani mwema NA undugu NA wa tanganika zanzibari ni dola la kiislaam na tabia tafauti NA muongano sio kwa nguvu zanzibari etaendelea vizuri sana kwa manufaa ya tanganika
Kwani hawa wa zanzibaari wanataka nini
Wazanzibar wanataka Amani na Nchi yao wajitawale wenyewao, Waijenge Nchi yao kwa Mapenzi yao wenyewe na Tamaduni zao na Wamechoka kutawaliwa na Ukoloni wa Kihuni na Kijambazi!!!
Wanataka upacha wao na omani urejee kama Zamani kabla ya ukoloni na wakoloni.
Wanataka mamlaka kamili
Hujuw wanasho taka kumbe
Ww unaeuliza wznzbar wnataka nini kwni ww unataka nini manaake wznzbar wpo kwao au wmekuja kuongea chumbani kwamamaako wnamfanyia zogo mamaako chumbani kwake bc tunashida namamaako vp yupo au
So sad
IN SHA ALLAH ❤❤❤
Usiseme mapinduzi unatuuumiza kuna watu wameondokewa na jamaa zao kupitia mapinduzi na baado wanavidonda vya moyo vya hudhuni
Sawa sawa
Anyere mgundaa,tatii oh, maana yake,nani kanyea shamba, baba oooh
Mashaaalah she is hero power speech,ata Farao Firaun ilikua hivhiv lkn Aliangamia,pole mami
Huyu hasa sijui yupoje! Hapo ukiangalia ndio sawa unaipa mdomo serikali ya Muungano kusema bara ipate asilimia kubwa kuliko Zanzibar kwa sababu ya population. Ndio mfano anaoleta huyu jamaa.
Wapemba hatuwezi kutuliya kwakujengewa barabara na majumba wakati.mamlaka kamili hatuna.
Na ilo la Diaspora ndilo wanalolikataa Zaidi hao Mabepari wa Mlengo wa Pili muonekano wao na maoni yao ni kuwakataa kutokana na Maslahi yawe Upande wao tu!
Uongozi ni Moyo wa Mtu sio Jiwe inategemea na Malengo na Ufanyaji Kazi wa Uongozi!!! Kiongozi kwanza ni Kujali alipochaguliwa na kufanya Wajib wake! Kwa iyo Othman M Othman ana Sifa zote zakua Kiongozi sahihi wa Nchi yake na Wake Zaidi kutokana na Historia yake na Uchungu wake wa Nchi na Watu wake! Kiongozi ni Othman M Othman 💯👍❤ absolute his a Perfect Leader in Zanzibar!!!
Absolutely.....
Wewe nimsomi mkubwa mungano bybyyyyyyyyyyy
Ipo siku tutapata taifa letu huru Zanzibar
Daraja bovu,kinuni,chumbuni,kwarara, mtopepo,kianga,mfenesini, mpemba mtupu rudini kwenu mnakajenge kwenu Muendeleze kwenu ndipo serekali italeta maendeleo hayo mnayoyataka .
Hivi wewe unayesema wapemba warudi kwao hivi huogopi,huoni kuwa wapemba achiliya mbali unguja.awoo wabongo hawawezi kuwaondowa wapemba.wanajuwa Faida ya wapemba seuze wewe mwenye asili yabara
@@abdallahmohd3777 Kaka achana nae huyo si unajua mwanaharamu ata ukimtia kwenye chupa hutokeza kidole
Achana nao hao.
Ghasan shukran sana kaka yangu,sisi wazanzibar tunafahqmu.tunaelewa.kikubwa kinachotusibu.hatujapa viongozi wenye kuipenda kwadhati nnchi yetu nakupenda watu wake.lakini tunaamini,maneno ya kiongozi wetu.Othman mungu amuweke.inshallah tutafika
Aamiin Yaarab 🤲
Uongozi ni amana kutoka mungu NA utakuja kuulizwa kwa amana hiyo usifurahi kwa kiongozi kuna janah alfrdaus kuliko hiyo dunia ya miyaka sabini tu NA kusihi kwa mwaminifu kwa mali ya serekali NA kuwa mwadilifu NA uliza maskini wenye haja omar alikuwa anatoka usiku wa manane kwenye giza kujulia hali ya watu NA hapo utapokolewa NA malaika NA watakuleta kwa mungu eli usalimiane naye uso kwa uso
He is my favourite
Interview nzuri… Inaskitisha sana. Dhulma haidumu. Mungu mkubwa.
Kiongozi yoyote aliewai kufanya kazi na SMZ basi Zulma mana wote linakua Lao moja
Gumzo mashallah ACT wamejipambanua sana
Asante kwa kujiunga nasi
Mimi wa kwanza leo
Safi sana kaka. Asante kwa kuwa nasi🙏
@@ZanzibarKamiliTV Ahsante kwa kutuhabarisha kwa muda sahihi na habari sahihi.
Kwan upemba na unguja si uvunjeke bora nyinyi wanyamwez mubak na unguja yenu