SERIKALI YAENDELEA KUWANYIMA WANANCHI ZAN ID, WAMLALAMIKIA MAKAMO WA KWANZA

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 8. 06. 2024
  • Makamo wa Kwanza wa Rais na Mwenyekiti wa ACT Taifa akizungumza na wananchi Pemba.

Komentáře • 7

  • @haroubhbm5728
    @haroubhbm5728 Před měsícem +2

    Eti mtu unakamata mashafu una apa una muapia nani kama sio kutaka kujitia motoni maksudi maana kiapo unacho apa ukienda kinyume na mungu wako

  • @abdallasheha4173
    @abdallasheha4173 Před měsícem +1

    Iko cku haki itasoma

  • @NoufelSalim
    @NoufelSalim Před měsícem +1

    Kiukweli ccm hatuitki na Kila siku zikienda mbele ndo kuzid ndo inatuchosha kabisa

  • @hamadrashid5140
    @hamadrashid5140 Před měsícem

    Bahati nzur wazanzibar tunajitambuwa. Na tunajua kaingia madarakan kwa kuuwa ndugu zang

  • @user-qz2cs5wm5u
    @user-qz2cs5wm5u Před měsícem

    Uwondio ubola wakua namwanashelia kiongozi

  • @Mahirwazanzibar
    @Mahirwazanzibar Před měsícem

    Duh, duh kumbe hivi vitambulisho vimeandikw mzanzibar mkaazi na sio Mzanzibar dah jaman alikua siyajui.
    Kwaiy alokibadilisha nan?

  • @omarmohammed5157
    @omarmohammed5157 Před měsícem

    Dhulma haidumu na ikidumu itaathiri ndio haya ya leo tunayoyakuta