Rais Samia Awashukia Wazee wa Vikokotoo: 'Tunafanya Uzembe, Mzigo Tunaushusha Kwa Wafanyakazi'

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 10. 06. 2024
  • Akizungumza leo Juni 11,2024, kwenye shughuli ya kupokea gawio kutoka kwenye taasisi na makampuni, Rais Samia ameutaka mfuko wa PSSSF kujitathmini hasa kutokana na kuwa na hali mbaya katika vitabu vyake.

Komentáře • 142

  • @CHRISTOPHERKATOTO-dl1vl
    @CHRISTOPHERKATOTO-dl1vl Před 24 dny +5

    Mungu akubariki mama kwa kuliona tatizo la kikokotoo!!

  • @neddon5822
    @neddon5822 Před 24 dny +11

    Ahsante Sana Mh.Raisi Kwa kuwajali wafanyakazi na kutambua madhaifu ya mifuko hii ya jamii

    • @festokemibala5832
      @festokemibala5832 Před 23 dny

      Mifuko inasimamiwa na nani? Serikali na huo uwekezaji nani aliubariki? Seeikali!! Sasa hapa mfanyakazi amejaliwaje?

    • @youngsachafurniture5482
      @youngsachafurniture5482 Před 23 dny

      Wajinga amuishi 😢😅😅😅

  • @user-vl5tz6xt2m
    @user-vl5tz6xt2m Před 24 dny +15

    Kikokotoo hicho ni dhuluma, Mh Rais tunaomba kifutwe haraka

  • @MajiiIfande
    @MajiiIfande Před 24 dny +11

    Namshukuru sana Mheshimiwa Rais kwa kutoa kauli hiyo ya ukweli. Chukua hatua zaidi usiishie kuongea

  • @AllyMandunda-tj9jc
    @AllyMandunda-tj9jc Před 24 dny +4

    Umewasema vizuri watu wa vikokotoo 5:52

  • @user-ce3tx7mr8v
    @user-ce3tx7mr8v Před 24 dny +3

    GENGE la WEZI

  • @kabaranamaganga6646
    @kabaranamaganga6646 Před 24 dny +8

    Tafadhali Mh Rais hiki kikokotoo ni kidogo sna, naomba angalau msitaafu alipwe kwa mkupuo 75% kwani hilo ni jasho lake Halali. Natanguliza shukurani

    • @monicamwita7865
      @monicamwita7865 Před 23 dny

      Tulione kama zamani. Tunaomba kitu ambacho ni haki yetu! Serikali nikakope watu walipe haki zao. Kila mwezi unakatwa mshahara.

  • @lazaromalambugi4163
    @lazaromalambugi4163 Před 19 dny

    Tunashukuru Mh. Rais hao lazima waelezwe ukweli ili mambo yaende.

  • @user-ce3tx7mr8v
    @user-ce3tx7mr8v Před 24 dny +4

    Mama UPO VIZURI KWELI WEWE NI MSEMA KWELI,MITANO TENA

  • @MATHAYOMUHULU-jt9sq
    @MATHAYOMUHULU-jt9sq Před 24 dny +1

    Hongera sana mh Rais kwa kuitambua shida ya wastaafu
    kutolipwa jasho lao,simamia walipwe mafao yao yote . hongera kwa kina Kasalali, Msukuma na Bulaya kwa kuwatetea wastaafu .mama kura ni zako tu nawabunge wote wanaowatetea watanzania wenye tabu Mungu akubariki

  • @hassanlikwenangu8471
    @hassanlikwenangu8471 Před 24 dny +1

    Mama unarikiwe sana kwa ishu ya kikokotoo, bt kipekee nampongeza sana Mh Ester Bulaya maana amelipigia kelele mno hili jambo

  • @abelchacha5977
    @abelchacha5977 Před 24 dny +2

    Bora mngetoa mikopo kwa wafanyakai kwa asalimia ndogo.

  • @ReginaldLema
    @ReginaldLema Před 24 dny +1

    Mama Asante sana kwa kuzungumzia mifuko ya jamii.Mungu akulinde mama yetu.Mitano tena bila ubishi.Barikiwa sana

  • @Worldunite
    @Worldunite Před 24 dny +3

    Kuhusu hili la mifuko kuwa hali mbaya nakuunga mkono

  • @leinaamos
    @leinaamos Před 19 dny

    Hapa mimi mama Asante ❤

  • @edwinndyamukama8918
    @edwinndyamukama8918 Před 24 dny +1

    Kikokotoo Ni dhuluma kubwa Sana kwa wazee wetu. Huwezi kuwadhulumu wazee ukabaki salama. Wote waliobuni kikokotoo Cha 33% Machozi ya wazee hayatawaacha salama. Hongera Sana mhe Rais kwa kuliona Hilo,lifanyie kazi MAPEMA iwezekanavyo!

  • @MagrethMadila-nz4vo
    @MagrethMadila-nz4vo Před 19 dny

    Mama asante kutuonea imani tunaumizwa saaana wasitaafu

  • @marisangaelifadhili3166

    Wewe uwe raise wa maisha

  • @symonmhoja3102
    @symonmhoja3102 Před 24 dny +3

    Tupo na Samia❤❤

  • @samwelkavwanga4491
    @samwelkavwanga4491 Před 24 dny +3

    Nakupenda sana mama. Umeeongea kweli tupu❤

  • @bahatilyimo659
    @bahatilyimo659 Před 17 dny

    Mungu akutunze na kukulinda Mama kipenzi. Futa Kikokotoo kabisa

  • @rashidsalehsalum6462
    @rashidsalehsalum6462 Před 23 dny

    Napita tu mimi 🎉

  • @JUU-lw2je
    @JUU-lw2je Před 24 dny +2

    Mama mimi hapa nilipo naumwa nimelala kitandani sina hata mia ya kujitibia nimewaandikia nssf barua wanilipe hela yangu nikaambatanisha na barua ya matibabu natakiwa nifanyiwe nilijibiwa una degree huwezi lipwa mafao .Nimechoka nimechoka

    • @matinyahaule792
      @matinyahaule792 Před 24 dny

      Nssf .Mama tusaidie Sheria zilizopo zinzumiza. Mfano mtu ame achishwa KAZI TOKA 2000 na kuambiwa umesoma tafta KAZI . Ni HAKI kweli. Nisipopata KAZI je?Hela ambayo ingetumika kama mtaji inakuwa maumivu

  • @melejisekeyan9492
    @melejisekeyan9492 Před 17 dny

    Mama amejaribu, japo suala la kikokotoo kwa wafanyakazi bado ni kandamizi, asulimia Saba iliyoongezwa ni sawa na ongezeko la milioni Saba.

  • @geey7893
    @geey7893 Před 24 dny +1

    Unachota Pesa unalipia madeni na posho za safar😂😂nani hajui

  • @edwinnyale6265
    @edwinnyale6265 Před 24 dny +2

    Uko vizuri Rais wangu wenye kusikia watekeleza na kuyaishi maelekezo yako

  • @nicolausminja689
    @nicolausminja689 Před 22 dny

    Ukisimamia utekelezaji wa hili.Mitano mingine kwa watumishi unastahili ✅✅✅✅

  • @user-qg1iy5ov3u
    @user-qg1iy5ov3u Před 7 dny

    Mama yetu rais tusaidie tunanyanyaswa kwenye mikopo ya mitandaoni hasa kampuni ya kisasi pamoja na mkopo faster ni zaidi ya kausha damu twafa

  • @reneebill3742
    @reneebill3742 Před 23 dny

    Wisdom

  • @edosha3137
    @edosha3137 Před 24 dny

    Magari ya mawaziri

  • @josephmathayo5139
    @josephmathayo5139 Před 20 dny

    Kikokotoo Cha Sasa ni dhuluma tupu. Ni vema na Haki Kulipa asilimia 50 Kwa Kikokotoo Cha awali 1 Kwa 540 siyo ya Sasa 1 Kwa 580 mtatuua mapema.

  • @user-qg1iy5ov3u
    @user-qg1iy5ov3u Před 7 dny

    Mheshimiwa rais sisi watu wa chini tunaokopa kwenye kwenye app mitandaoni tunalipishwa mara saba zaidi hasa kampuni ya kisasi na mkopo faster tusaidie

  • @lukomanomaliki5442
    @lukomanomaliki5442 Před 24 dny +7

    Usiishie kuongea tu wawajibishe.Wamezoea vibaya.

    • @gellangi9694
      @gellangi9694 Před 23 dny

      Rudisha mafao kama yalivyojuwa awali kabla ya kuanzisha Kikokotoo dhalimu.Serikali iweke fedha kwenye mifuko ya Hifadhi ya Jamii haraka kuziba udhaifu wa mifumo mliyoiunda wenyewe.

    • @monicamwita7865
      @monicamwita7865 Před 23 dny

      Hilo neno. Achukue hatua Swahili.

  • @julianadaudi8541
    @julianadaudi8541 Před 24 dny

    Mama ubarikuwe Sana kiondoe kikokotoo,umesema kweli!

  • @emmanuelmush6732
    @emmanuelmush6732 Před 22 dny

    The most incremental successful people in the world is the one which is driven by a sense of puepose
    Today is monday change

  • @theclanyoni4438
    @theclanyoni4438 Před 24 dny +1

    Mama mamaa Mungu akubariki sana❤ umesema ukweli

  • @DevothaLighton-dl6zi
    @DevothaLighton-dl6zi Před 24 dny +3

    Tumechoka maneno Kila siku,Nchi hii Ina maneno mengi.wafanyakazi wanaongelewa leo.muongo anajua

    • @OmmyJames-xn7ji
      @OmmyJames-xn7ji Před 24 dny

      MAGU ALIMIAMBIA VYUMA VIMEKAZA 😢😢😢😢😢

    • @monicamwita7865
      @monicamwita7865 Před 23 dny

      Tusubiri mpaka 25. Usiwe maneño bila kitendo. Utaumizwa sana

    • @OmmyJames-xn7ji
      @OmmyJames-xn7ji Před 23 dny

      @@monicamwita7865 SIASA HAINA ADUI WALA RAFIKI MY DEAR 🤩🤩🤩🤩🤩🤩

  • @Nehe100Kilindu
    @Nehe100Kilindu Před 24 dny +1

    Hongera

  • @matinyahaule792
    @matinyahaule792 Před 24 dny

    Tunakishukuru mheshimiwa Rahisi .BADO Nssf.,dhuruma ipo pia. Mifuko hii inatengeneza taratibu ngumu kuumiza wafanyakazi

  • @marthaswai1185
    @marthaswai1185 Před 24 dny +2

    Yaani Uishi miaka mingi sana.Umemwaga ukweli

  • @user-tg7vq3ty8p
    @user-tg7vq3ty8p Před 24 dny

    Kwa kweli kiasi cha 33 1/3% tunacholipwa wastaafu ni kidogo kwa kipimo chochote kile. Kiwango cha theluthi moja kimekadiriwa na watu ambao wao wanapokea mishahara mikubwa kuliko tuliyokuwa tunalipwa sisi bila kujali sasa sisi tuliokuwa tunapata mishahara midogo sasa hatuna hata huo mshahara mdogo. Jamani Mwenyezi Mungu anawaona.

  • @hamisiizadini3938
    @hamisiizadini3938 Před 19 dny

    Mh tifutie hii dhulma adhwiiim

  • @ibrahimtesha2733
    @ibrahimtesha2733 Před 23 dny

    Mama Samia nakupenda kabisa! Umesema vema mno. Ujue NSSSF wamuturudisha nyuma sana kimapato tukistaafu. Hatukufanya kosa lolote la kustahili kupunguziwa mafao ya kustaafu kijanjajanja: kikokotoo kimetutafunia pato, pato la mkupuo wametufyeka, umriwa kuishi baada ya kustaafu umepungua ili kupunguza tena pato, halafu wanatuambia eti wamejumuisha wasiochangia walipwe pensheni - ili tu tulioonewa tusiungwe mkono kudai haki ya pato kulingana na patano tulipoajiriwa! Mama, tutetee!

  • @kalumangachannel4760
    @kalumangachannel4760 Před 23 dny

    10 mingine na mama.

  • @CalmBaseballStadium-up6uj

    Aaahhh magufuli lala salama uliko Leo wanabembelezwa hivi

  • @jeanmusamba8448
    @jeanmusamba8448 Před 24 dny +1

    safi sana mama

  • @kashiririrkaasongwisye9487

    Kuhusu mifuko ya jamii pssf sio uongee tu kama ungekutana na wahusika uwasikie vile wanamatatizo utashangaa kuongea tu haitoshi!

  • @rebekakulwa6159
    @rebekakulwa6159 Před 24 dny

    Wastaafu wanaumizwa na mbogamboga

  • @emmanuelmush6732
    @emmanuelmush6732 Před 22 dny

    Tunatakiwa tufikirie njia za kuwasaidie watanzania kama samia

  • @user-ou1ls6oj2f
    @user-ou1ls6oj2f Před 24 dny

    Kweli wanalala na kusubiri kula pesa za watumishi na kukopeshana wakati huku chini tumeshikiwa chini tumefungwa mikono ndiyo maana wafanyakazi tunakufa haraka tumekuwa watumwa tu
    Mh rais maanisha unachowaambia maana watendaji Huwa wanatuangusha nk nk

  • @goodlucknnko5493
    @goodlucknnko5493 Před 24 dny

    MAMA UMEONGEA LWA HUSARA SANA

  • @MathewsSikazwe-up4qd
    @MathewsSikazwe-up4qd Před 22 dny

    mdaumekaribia kauri za uchaguzi wa tz amkeni, uo usingozi mpaka lini?

  • @OmmyJames-xn7ji
    @OmmyJames-xn7ji Před 24 dny

    PIGA KAZI MAMA HII NDIO REALITY CHECK HAKUNA MIUJIZA

  • @marthaswai1185
    @marthaswai1185 Před 24 dny

    Yaani Mheshimiwa Rais pokea maua yako.Mstaafu anaumizwa sana akistaafu

  • @mcmambo8774
    @mcmambo8774 Před 23 dny

    KAMA UNAMUUNGA MKONO MAMA KUWA ADHABU WANAPEWA WATU WA CHINI YAANI WASTAAFU SEMA HAPO CHINI MAMA 2025 MITANO TENA

    • @monicamwita7865
      @monicamwita7865 Před 23 dny

      Ya nini. Kama 4 th watu tumechoka. CCM kama so goli la mkono wamegoma ñamba

  • @user-zy4rr9iv3m
    @user-zy4rr9iv3m Před 24 dny

    Watanzania mungu anawaona

  • @PaskaliCharles-pz8ds
    @PaskaliCharles-pz8ds Před 23 dny

    Mama hapo nimekupenda naomba vikokotoo hivyo vifutwe kabisa wafanya kazi wakistaafu wapewe pesa zao zote

  • @BIGCHENDREADLOCKS
    @BIGCHENDREADLOCKS Před 24 dny

    Lisu oyee

  • @user-le2ep5nq8c
    @user-le2ep5nq8c Před 20 dny

    Mama FUTA kabisa kikokotoo

  • @richardnyarugenda9769
    @richardnyarugenda9769 Před 24 dny

    Sisi Wananchi tunataka
    1 Katiba mpya
    2 Tume huru ya uchsguzi
    3 Wakurugenzi wasisimamie uchaguzi
    4. Tunataka Tanganyika yetu.
    5 .Tunataka tumiliki ardhi Zanzibar
    6. Gharama za maisha ziko juu

    • @jocktanngailo5824
      @jocktanngailo5824 Před 23 dny

      Jamani, kazi kweli. Sheria hupindishwa na watu sio katiba wala tume. Kikokotoo si kina sheria na mikataba ya kudumu? Mbona kimebadilishwa. Na katiba ipo. Sheria nzuri ipo. Inaongea nini wewe.

  • @ChristerKoku
    @ChristerKoku Před 24 dny +1

    Tupate matokeo siyo kusema tu,pesa za wastaafu wslipwe bila masharti yote. Waliozikopa eazirudishe.

  • @drsumatz7539
    @drsumatz7539 Před 24 dny +1

    Mh Rais kuongelea tu kikokotoo kisiasa half sera bado ileile sioni kama tunabadilisha kitu ............... Kusema ukweli kikokotoo ni janga la aibu sanaaaa ni Bora kifutwe half kodi iongezwe kidgo Kwa wafanyakaz ... Bora mara sabini

  • @stevensteve7519
    @stevensteve7519 Před 24 dny

    Mheshimiwa Rais utaratibu wa kikokotoo kwa wastaafu nikibaya na ni dhuluma. Mtu ametumikia taifa anastaafu badala ya kumpa stahiki yake eti mnamwekea, kwanini wabunge wao hamuwawekei mnawapa stahiki zao zote? Hii siyo sawa. Mmeua mifuko halafu solution nikuwadhulumu watumishi. Hii siyo sawa hata kidogo

  • @rebekakulwa6159
    @rebekakulwa6159 Před 24 dny +1

    Kikokotoo wakokotoe wabunge wenye mishahara kidunchu walalahoi achana nao

  • @JoshuaKamusiara
    @JoshuaKamusiara Před 24 dny

    Mama samia umechoka sana inabidii uwachiee lisu inchi yetu maana uwezani na kazi zetu kazi yako kama rais una usa inchi yetu kwa ndugu zako warabu

    • @OmmyJames-xn7ji
      @OmmyJames-xn7ji Před 24 dny

      Lisu ni mwanaharakati kazi yake ni KUBWEKA hana leadership skills yeye na mbowe wale RUZUKU 😢😢😢😢😢😢😢

  • @lugendondayanse4910
    @lugendondayanse4910 Před 24 dny +1

    KWAKWELI NINGEKUWA NA UWEZA AU KATIBA INGEKUWA NA UWEZO,,. NINGEAMURU RAIS WETU, MAMA YETU DR SAMIA ASISUMBUKE KUZUNGUKA MWAKANI KUOMBA KURA,, APITE BILA KUPINGWA,, MI 5 MINGINE
    TUFANYE TU KWA WABUNGE NA MADIWANI ILI WAZEMBE WAPUMZISHWE KAZI.

  • @daltonmunguatosha1197
    @daltonmunguatosha1197 Před 24 dny

    Mheshmiwa Rais ungesema tu tulipwe hela zetu 100%. Na hao wasiokua na vision weka pembeni.

  • @andersonsamuel9214
    @andersonsamuel9214 Před 23 dny

    Mama umeongea vyema sana, inatukera na inauma sana. ananipangiaje na hela yangu? kufika kustaafu ni neema tu. Bado unipe stress na changu?

  • @TitoRufizi-xb2ub
    @TitoRufizi-xb2ub Před 24 dny +1

    Sasa unajua pesa zinafichwa we unachukua hatua gani?ukiishia kusema tu na wao wanachukulia poa na wanazipiga kwelikweli

    • @monicamwita7865
      @monicamwita7865 Před 23 dny

      Shida iko hapo. Yeye pia phenylalamika. No vizuri wote wanaosababisha tatizo hilo wachukuliwe hatua.

    • @pilindauka2492
      @pilindauka2492 Před 17 dny

      Yeye amekuta tatizo, kama unakumbuka na mwenda zake aliwaambia waziwazi, mama nae ameendelea kupigilia msumari, mbona LAPF hakukuwa na tatizo hili? Wanaanzishaje miradi mingine wakati iliyopo haijaleta tija?Mimi nashauri kuwe na bodi ya wawakilishi wa mfuko itakayojumuisha wastaafu na wastaafu watarajiwa ili kiwe chombo Cha kufuatilia mwendo wa mfuko huu, na kuwe na uwazi wa mapato na matumizi kama ambavyo tumeona katika mashirika mbalimbali yakifedha yanavyofanya.Asante sana mama kwa kutetea wastaafu na kukemea ubadhilifu huu.h

  • @geofreyrwezimula6039
    @geofreyrwezimula6039 Před 23 dny

    Mama watendaji wako wanakuangusha. Hiki kikokotoo ni hatari😢

  • @shabaniramadhani8026
    @shabaniramadhani8026 Před 24 dny

    Mpe mstaafu pesa yake yote. Mnapata dhambi wote. Unampa kidogo kidogo mungu yupo tuu.

  • @VeronicaMacha-pl3xt
    @VeronicaMacha-pl3xt Před 24 dny

    Mama fuatilia pia mapoto yanayotokana na miradi ya hii mifuko wastaafu wanafaidikaje maana ni hela za wastaafu ziliwekezwa😱

  • @WilbertMalula-vv7ml
    @WilbertMalula-vv7ml Před 23 dny

    ASANTE LISSU MAMA KASIKIA

  • @ibrahimtesha2733
    @ibrahimtesha2733 Před 23 dny

    Mama Samia tizama na kodi kubwa tunayotozwa kama PAYE kwenye mishahara, hii inafanya mtumishi kuona tu namba kubwa ya pato lakini akishakatwa hadi 35% kiuhalisia anabaki tu masikini! Nyerere alikusudia kutuwezesha kupambana na umasikini. Bora wenye kipato wote tutozwe kwa asilimia ile ile! Mfano kama 9% kwa mwenye pato zaidi atatoa kingi kulingana na pato lake kubwa. Tusikomoane kwa kuweka kwamba eti anayezidi pato fulani kinachozidi kinakamuliwa karibia chote! Hii nchi kila mtu afaidi uwezo wake au cheo kinachomhalalishia pato! Asante mummy!

  • @davidgeorge9324
    @davidgeorge9324 Před 24 dny

    Mama selikar yako inafer Kila sehem wakurugenz wanasumbua kuripa pesa zawazabun ukiuliaza wanasema serikar Haina hela

  • @ponsianomnyaru9140
    @ponsianomnyaru9140 Před 24 dny

    Ww mama huna sifa ya uongoz hufatilii unasemaj tu mambo hayaendi Kwan mtanguliz wako hukujifunza kwake unakaz ya kubembeleza wez mm staki hata kukusikia kwaza jiuzul kbsa

  • @festokemibala5832
    @festokemibala5832 Před 23 dny

    "....ni menejiment na pengine serikali..."!! Anajua anachokisema kwamba serikali ilikuwa ikidaiwa michango yake almost matrilion na hiyo nyingine...!

  • @hamudshabani7801
    @hamudshabani7801 Před 24 dny

    Mzembe Wa kwanza ni yy coz ameshindwa kusimamia nchi kama mkuu wa nchi

  • @natafutamatatizo4382
    @natafutamatatizo4382 Před 24 dny

    WATANGANYIKA WANAIBIANA WENYEWE KWA WENYEWE🤣🤣🤣👁️👁️

  • @juliuskitaluka1206
    @juliuskitaluka1206 Před 24 dny

    Nchi hii kila mtu analalamika hakuna mwenye majibu

  • @elispiuselias1339
    @elispiuselias1339 Před 24 dny

    Umeongea madini sana mama inakuwaje uwezo mdogo wa kuendesha mifuko igeuke adhabu kwa wachangiaji?.warudishe fedha za watu kama wameshindwa au wawape bank wazizalishe wasianzishe miradi isiyo na tija au wakajenge nyumba za kupangisha wanafunzi

  • @aloycemruma6552
    @aloycemruma6552 Před 24 dny

    Mbona Hawa wanaopitisha. Dhuluma hizi wao Kila miaka mitano wanajilipa zakwao. Tena. Nyimgi ajabu huu ni unyama. Waliochezea. Mifuko. Wapi walipe. Kwani pesa wamechukuwa halafu wanaleta stori. Warudishe. Wale zakwao ha Mheshimiwa .Raisi itakuwa umewafundisha kitu..kwani hawajui hasara Wala faida.

  • @giftkalenge418
    @giftkalenge418 Před 23 dny

    kama utafuta Sheria ya kikokotoo we Hadi 2030

  • @harunamtiko117
    @harunamtiko117 Před 24 dny

    Tumechoka maneno kila cku tunataka vitendo.

  • @wanguwangu34
    @wanguwangu34 Před 23 dny

    Ungekuwa unakubali ushauli ungemwindoa mwigulu wizara ya fedha ukamweka Hata Jerry Skaaa maana amesababisha uchumi kufa na pesa yetu kushuka Kila siku, nimetafuta Dollar 5,000. niende Rwanda nimetembea bank kama saba zote hakuna labda tukuelemeze Kwa bei ya 3000. Kwa Dollar wakati mabango yameandikwa 2630.kwa dollar, hii bei hupati Hata ukilia.majanga ya mwigulu.

  • @michaelnzowa
    @michaelnzowa Před 23 dny

    Msajili akalifanyie kazi wapi? Ilitakiwa utoe tamko la kufuta kikokotoo sio maneno tu.

    • @user-ce3tx7mr8v
      @user-ce3tx7mr8v Před 23 dny

      SUBIRA HUVUTA HERI,KAMA HUJAELEWA HIYO HOTUBA NENO KWA NENO HUTAELEWA

  • @godfreymagoso5334
    @godfreymagoso5334 Před 24 dny

    Wabunge wanajionaje?!!
    Wapiga kura hivi mnajua wajibu wenu?!!

    • @monicamwita7865
      @monicamwita7865 Před 23 dny

      Bunge la CCM hivyo sana. Hawawajali watu wao. Wanajua wao ni wa kupita kwani goli la MKONO ndilo nguzo yao.

  • @clickway..
    @clickway.. Před 24 dny

    Miradi isiyokuwa na tija IUZWE, na Fao la kujitoa LIRUDISWE pesa ni za mfanyakazi, makosa ni yenu serikali.

  • @hashimbakari4670
    @hashimbakari4670 Před 23 dny

    Hivi mnajua kikokotoo kimebuniwa na nani? Kwa sababu gani?
    Serikali kujitoa kwenye maamuzi haya ya dhuluma si sahibi.
    Madeni ya fedha zilizokopwa na serikali yote yalirejeshwa kwenye mfuko?
    Nani amewaruhusu watumishi kutumia michango ya watumishi kuwekeza ktk miradi?

  • @michaellorri2275
    @michaellorri2275 Před 24 dny

    Nani wa kubebeshwa lawama? Aliyefilisi mfuko? (ujue hapo sio uongozi wa mfuko) si siri kali? Hayo maagizo ya mhe rais yanamlenga nani?

    • @monicamwita7865
      @monicamwita7865 Před 23 dny

      Serikali unajua vizuri na imehusika asilimia 100. Mama kakake huko nje ili watu wakwe haki zao.

  • @JamesChrizestome
    @JamesChrizestome Před 23 dny

    Mama tunasubiri hekima yako maana Kuna idara zingine zinahumia kupita kiasi hatuna pa kusemea tu hivi milioni 17 na umefanya kazi miaka 34 na una mkopo wa nyumba na ulitegemea ulipe kwa kiinua mgongo au hujajenga unategemea kujenga kwa hicho kiinua mgongo tutafika kweli au ndiyo unasogezwa karibu na kaburi tutakufa na kuacha familia zetu zikiteseka, tuondolewe hicho kikokotoo

  • @user-ce3tx7mr8v
    @user-ce3tx7mr8v Před 24 dny

    AKINA PATROBASI KATAMBI WANATETEA KANUNI KANDAMIZI WAJITATHIMINI

  • @user-ce3tx7mr8v
    @user-ce3tx7mr8v Před 24 dny

    HII .MIFUKO WASISIMAMIEVIJANA WAMAUMIZA WAZEEHAWA AKINA PATROBASI KATAMBI UMRI HUU NI TATIZO

  • @minazsaid2470
    @minazsaid2470 Před 24 dny

    Tanzania inahitaji rais kma magufuli mwenye maamuzi magumu.

  • @PhilipoMwita-wc1ku
    @PhilipoMwita-wc1ku Před 24 dny

    Sheria zinasema kwamba wewe Samia ndiye ulisaini kikokotoo
    Sasa Luka mkojo

    • @yakobokuzenza6837
      @yakobokuzenza6837 Před 24 dny

      Alisaini baba yenu aliyeenda kuongoza malaika.Acha upumbavu.Ndio maana alikufa.Mnafiki mkubwa

  • @user-fd7ul7pq9s
    @user-fd7ul7pq9s Před 23 dny

    Mh. Rais. basi. madeni. ya. WASTAAFU. wayalipe

  • @user-fd7ul7pq9s
    @user-fd7ul7pq9s Před 23 dny

    Mh. Rais. ni. kweli. kabisa. wanaoingusha. mifuko. ni. watumishi. wa. mifuko. na. wakuu. wao. wanajinufaisha. wenyewe. dawa. nikuwatimua. na. warudishe. fedha. zetu. walizoziiba. wachukuliwe. hatua. wanahusika

  • @furahamwakalukwa
    @furahamwakalukwa Před 24 dny

    Ni kweli kabisa Rais wetu mpendwa unachokisema ila kuna baadhi ya wasaidizi wako hasa huko mikoani wapo busy na maslai binafsi na siyo kuwasaidia wananchi kama ulivyowatuma.

  • @user-rj2kt5qg5y
    @user-rj2kt5qg5y Před 24 dny +1

    Sawasawa watendaji wetu jitafakalini jamani mnachelewesha maendeleo

  • @user-fw6xu8gn2q
    @user-fw6xu8gn2q Před 24 dny +1

    Mh rais Kwa heshima naomba toa kauli thabiti kikokotoo kifutwe wewe ndio ulie bariki na wabunge wako acheni kutesa waastafu jamani mnaenda makanisani misikitini kusali kweli?