BASHE AJICHANGANYA, AINGIA KWENYE 18 ZA LISSU, WIZI KWENYE SUKARI, RAIS SAMIA ATAJWA, JE KUJIUZULU?
Vložit
- čas přidán 16. 06. 2024
- #TANZANIA: Bashe ajichanganya kwa Lissu, sakata la wizi kwenye uagizaji wa sukari nchini, Rais Samia atajwa, je kujiuzulu?
Zaidi: • BASHE AJICHANGANYA, AI...
Fuatilia Mwanzo TV Plus
SUBSCRIBE CZcams Channel yetu
Follow us on X, Facebook and Instagram
Hongera sana mwamba tuombe katiba mpya ipite tu
Uglier Wamasai ndugu zangu watanzania natumaini kwamba sana mambo vpi wazima usiku mwema kwako kila mtu ❤😮
Ni pamoja na mafuta machafu ya Korie Badala ya kutumia mafuta ya Alizeti!
Tutajuana tu
Hivi haya maambwa ya CCM hayana huruma kwa wananchi😢😢😢😢
Abdul naye🤔🤔🤔😂😂😂😂
Pambana lissu tunakutegemea
Kina Abdul tena! Dah! Ee MOLA utusaidie!
Shida ni moja, TULIA spika ni moja ya wanamapigo, hadi yamtandike ndiyo akumbuke shuka kama NDUGAI, jamani hii nchi inahitaji jambo fulani lifanyike. MABEYO ulipo Mungu anakuona.
Mungu wangu duuu tutakoma
❤❤❤❤❤
Shida
Du! Hatari
Alipokuwepo Mzee Magu hamkuwa mnakejelikejeli. ILA nyny mlipaswa kukosoa kwa nguvu MOJA lakini sio kutoa maneno machafu
Mbona unakuwa mjinga kwenye suala la kizalendo
Acha ulevi huooo
Ccm ni mchwa tusipojiepusha nao watatumaliza ,lkn watanzania sijui nani ametuloga utaona tuawashangilia pamoja na wizi huu ee mungu utondolee ccm inatuangamiza
Viwanda vyetu viko WAP masikinn hata. Mungu hawaogopi
Huyu jamaa akili kutwa sana
Soma gazeti la MWANAHALISI LA JUNE 20, UONE UCHAFU WA BASHE NA CCM YAO.Watanzania amkeni, pigeni chini Samia na manyang'au wake .
Wewe mama tuoneee huruma kdg duuuuu
Hii serikari itajifunza lini
Serkali hiii!! "
KUNDULISU shujaa
Mkuu kesi ya nyani utampelekea ngedere?
Hatar kubwa hii
Jamani wanyonge tunapigwa nje ndani! Nchi sijui tutaponea wapi lkn tubadike tu watanzania tuwajaribu na vyama vingine tuwe wapumbavu Watz! No way out Bila hivyo twafaaaaaaaaa!
👍🇹🇿💪🔥
Sisemi tuandamane,lkn wenzentu Kenya wanaandamana kupinga Bujeti,sisi tunapiga makofi tuu hapa huku wajanja wanakula vyetu
LISSU amekuwa KASUKU tu,kazi kurukia maneno!!
Siasa za kijinga kwahiyo mlitaka afanyeje