"Ni HAKI YAKE KUONDOKA CHADEMA HATA KAMA INAWAUMIZA" WAKILI MWABUKUSI APELEKA MWIBA MCHUNGU CHADEMA

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 30. 06. 2024

Komentáře • 92

  • @RBMBAKARI-bv6wn
    @RBMBAKARI-bv6wn Před 2 dny +8

    Kumbe ndugu yangu mwabukusi unaongea pointing nzuri sana ushauri ndugu nawe usiwe unatumia jazba sana katika mambo ya nchi .wanyakyusa Kwa ujumla ni wasomi wazuri sana hongera ndugu yangu

  • @MathewNathan-yb2bz
    @MathewNathan-yb2bz Před 2 dny +11

    Msigwa ana haki kikatiba kuhamia chama chochote ila maneno yake yanadhihirisha ni mhalifu wa kisiasa.

  • @andrewmaiga4331
    @andrewmaiga4331 Před 2 dny +6

    Hongera kwa vision yako nzuri.

  • @nyerere1259
    @nyerere1259 Před dnem +4

    THIS MAN NEVER DISAPPOINT

  • @OmaryKilongola
    @OmaryKilongola Před 2 dny +5

    Nimekukubali mwambukusi big up

  • @user-kw6pg7nb1w
    @user-kw6pg7nb1w Před dnem +1

    Hakika leo mwabukus umesema vzr sana,mungu akubaliki sanaaaaaaa,njoooo ccm ww

  • @margarethpolepole7438
    @margarethpolepole7438 Před 2 dny +5

    Mbona wa Ccm wanakwenda Chadema sasa cha ajabu nini Msigwa kuondoka Chadema Ccm kazi inaendelea

  • @djumakadege659
    @djumakadege659 Před 2 dny +1

    Mheshimiwa wakili katika siku umeongea maneno mazito basi ni leo !
    ongera Mheshimiwa wakili.
    Aksante sana kwa maelezo yako.
    MwenyeziMungu akubariki.
    Aamiin.

  • @edsonmnego4030
    @edsonmnego4030 Před 2 dny +5

    Hili jamaa Lina akili sanaaa

  • @fidelismwakanyamale6787

    Mimi binafusi kabla ya yote naomba unisamehe jinsi nilivyo kuwa nakuona unaongea kwenye mitandao nijuwa wewe ni mtu mbaya na niliaminishwa hivyo. Mungu anisamehe kwa hili na aendelee kukupa maisha marefu amina

  • @ChristerKoku
    @ChristerKoku Před dnem

    Ahsante sana Severin ni kweli hatuna chuki ya watu kuhama tatizo maneno ya ovyo,hasante Mwambukusi kuwa mkweli.Tumepata somo hapo.

  • @SeverinMagwaya
    @SeverinMagwaya Před 2 dny +3

    kama ni hivyo alitakiwa kukaa kimya tu. Hakuna anaye lalamika kuhama bali maneno yake

  • @SaidShombe
    @SaidShombe Před 2 dny +1

    Nakukubali mzee una busara kubwa hakuna haja kulumbana

  • @danielndam5997
    @danielndam5997 Před 2 dny +2

    Umeongea kwa kujilinda sana mzee wanga kwenda ccm ? Bola kukaa pembeni

  • @ashrafurwegoshora4227
    @ashrafurwegoshora4227 Před 10 hodinami

    Sahihi kabisa,msigwa ana haki zake😊

  • @user-jb8bo2qw6r
    @user-jb8bo2qw6r Před 2 dny +2

    Nakumbuka miaka kadhaa iliyopita Kiongozi mmoja wa ngazi za juu ktk CCM,aliwahi kusema kuwa wale wanaohamia CCM tokea vyama vya Upinzani wanaenda ccm "KUGANGA NJAA"!
    Naamu aliyasema haya akiwa na maana kuwa kwenda huko ni kupatiwa cheo.Ndio maana wengi waliohamia huko hupewa vyeo!Mfano akina Kitila Mkumbo,Makonda,Mashinji,Nassari nk.
    Hivyo ni tamaa tu,kwani si kweli kuwahuko ccm kuna demokwasia zaidi kuliko chadema.
    Ni mimi Ally Daudi Ngoyeji wa Itilima,Kishapu Shinyanga.

  • @user-ey1fq6hd9l
    @user-ey1fq6hd9l Před 9 hodinami

    Sawa kabisa uko sawa

  • @user-wm5cm2us3f
    @user-wm5cm2us3f Před 2 dny +3

    Mzee wangu busara Yako nikubwa sana

  • @user-qj2fz8uq3j
    @user-qj2fz8uq3j Před dnem

    Mwambukusi big up uwe unatoa no zako kna watu Mambo hayapo sawa mtu hajui aanzie wapi

  • @halimamasai2234
    @halimamasai2234 Před 11 hodinami

    Yani leo nimekupigia saluti umeonge maneno mazuri sana

  • @giftyjackson2461
    @giftyjackson2461 Před dnem

    Yaani kazingua sana aiseh

  • @nyambwirobakari9436
    @nyambwirobakari9436 Před 9 hodinami

    Leo nimekuelewa Sana kaka

  • @josephmahando493
    @josephmahando493 Před dnem

    Maneno mazuri yaliyo kolea
    munyo na yenye hekma. Ubarikiwe Wakili msomi.

  • @ChristerKoku
    @ChristerKoku Před dnem

    Mwambukusi ni mtu mwema sana anapenda haki.Familia yake yawapenda watu,kwa Mwambukusi husipindishe haki.

  • @saimonlugobi1102
    @saimonlugobi1102 Před 12 hodinami

    Nimekubali,kila Nabiii na wakati wake LUSSU,MWAMBUKUSI ni Mana bii kwa wakati huu!!! Pia msisahau kuwa ni Maoni yangu!!

  • @michaelkamaghe5046
    @michaelkamaghe5046 Před 2 dny

    Uko vizuri kk

  • @chalokalunde9429
    @chalokalunde9429 Před 2 dny +1

    Kweli hiyo.

  • @aloycemisigalo3983
    @aloycemisigalo3983 Před dnem

    Umeongea vizuri sana, ila huyu Msigwa ni njaa maana Msukuma alikuwa amesha sema kuwa kuna pesa walikuwa wanampa na kama angebisha achongoe mdomo, na kweli Msigwa hakuchongoa mdomo, mimi huwa nakukubali sana broo Boniface wewe unaweza kuziba nafac ya Msigwa.

  • @brunomirambi8792
    @brunomirambi8792 Před 2 dny +2

    SAWA WAKILI MSOMI ASANTE ILA LA KUKAA MADARAKAN NA UENYEKITI KWA MIAKA 30 HUJASEMA UMELIPITA

  • @user-zq1hy1ec5n
    @user-zq1hy1ec5n Před 13 hodinami

    Msigwa Usitowe na kushambulia chadema tayari ccm wamekuogopa watakuacha pabaya

  • @katumabiyan5090
    @katumabiyan5090 Před dnem

    Asante

  • @twahirshali8014
    @twahirshali8014 Před 2 dny

    Ukweli kabisa Kila Moja anahaki kwenda ata kapo

  • @kiatu
    @kiatu Před 12 hodinami

    “Hatuna mtu ana miliki ya mawazo”. Kweli.

  • @AiserAli-mq6sz
    @AiserAli-mq6sz Před 9 hodinami

    Tundu lisu alisema uchaguzi ndani ya chama umejaa sana rushwa mtu ameona ndani ya chadema kuna shida si haki kikatiba mtu kuhama

  • @adrianoadriano-ys6bm

    Mwambukusi ukiwa shuleni ni mmoja ya mwanafunzi uliopata walimu bora kabisa. Wengine tumepita shule zenye walimu wa kukaririshwa mambo.

  • @richardhosea8827
    @richardhosea8827 Před dnem

    Kumbe mchungaji yupo sawa kakimbia wanaotaka kumdhuru safi yeye mtumishi anajuwa siri

  • @MaikoLainza
    @MaikoLainza Před dnem

    Ukosawa Mabukusi endeleana msimamo huo bila kutishika

  • @melchiadepaschal3097
    @melchiadepaschal3097 Před 21 hodinou

    Hakuna aliepinga kuhama, tatizo maneno, akikaa kimya hakuna atakaemsema

  • @abdulikilala5902
    @abdulikilala5902 Před dnem

    Wakili ww uko vizury sana unapenda kusema ukweli

  • @barnaba3037
    @barnaba3037 Před dnem

    Sababu ya kuhama ni dhaifu sana, Sikutegemea kama atahama kwa sababu hiyo.Sasa ccm anakokimbilia ni hakuna rushwa?

  • @MatronaThomas-wz5si
    @MatronaThomas-wz5si Před 9 hodinami

    Kingunge Lowasa Mwenyekiti mkoa Shy walihama ni haki

  • @franciscowilliam2575
    @franciscowilliam2575 Před 21 hodinou

    Hoja za Mwabukusi Hua zimenyooka kama rula.

  • @ChristerKoku
    @ChristerKoku Před dnem

    Mwambukusi ni mwalimu.Tumsikilize na kujifunza.

  • @NicodemBarantanda-ud7qy

    Msimamo wako Mwabukusi uko sawa lakini mifano yaKimungu uliyotolea ukilinganisha na matendo ya mwanadamu. ndipo unapoonesha mapungufu ya maoni Yako,Chadema ni taasisi ambayo ina vyanzo vyake vya taarifa zake za kiinterijensia kama vilisha baini dalili zake za usariti mapema unashanga Nini na wewe msomi

  • @abdulikilala5902
    @abdulikilala5902 Před dnem

    Wakili simamia ukweli kuwa mkweli tunakuelewa sana huna uongo kwenye jambo

  • @salmajafari6838
    @salmajafari6838 Před dnem

    UKIGOMBEA URAISI KURA YANGU UNAYO, I SWEAR GOD

  • @TumtukuzeMbise
    @TumtukuzeMbise Před 2 dny +1

    Apana kuhama sawa ila mpinzani mwenye akili apaswi kwenda ccm maana ccm ndo maiti inayotarajiw na wanchi,kufa maana kwanza miaka yake inaruhu kufa, pia ccm wao ndio wanaogandamiza na kuuza nchi yetu,amia chama chochote tz siyo ccm

  • @user-pn1rd1fs9x
    @user-pn1rd1fs9x Před dnem

    Una Akili sana

  • @gloriamichael7935
    @gloriamichael7935 Před dnem

    Momumo nkamu gwangu ❤

  • @rashidhtibangayukatibangayuka

    Nakupongeza wakili

  • @benedictgamuya8855
    @benedictgamuya8855 Před dnem

    Haiwashtui hapo walopofika haiwashtui.... labda ni kwa wasiojua siasa za tz.

  • @juliusmoivana9844
    @juliusmoivana9844 Před 2 dny

    Mwabukusi uko visuri Sana kaka angu

  • @saadune
    @saadune Před 20 hodinami

    The innocence you plead on behalf of Msigwa ni hawa tupu nd designed to avoid the real naked issues knowing cfm nd their blood covered hands policies.. Sad coming frm this highly respected figure.

  • @MeshackMheni
    @MeshackMheni Před dnem

    Sasa je? Huko alikoenda ataweza kuwasemea wananch au ni cheo anataka??

  • @erickmsigala138
    @erickmsigala138 Před 2 dny

    Hakuna anaye lalamika kuhama kwake maneno yake ya kipumbavu ajifunze kwa waliyo hama wa maana kuliko yeye walilopoka upumbvu wake hata wewe ni walewale wanafiki tunakujua

  • @ngimbakuyi3250
    @ngimbakuyi3250 Před 2 dny

    Brooo broo nimekielewa sana na naomba viongozi wa chadema kila atakayemuongelea msigwa aongee kama wewe maaana itawaweka safi ninyi na yeye atabaki na siasa zake za uongouongo

  • @jesaminzo
    @jesaminzo Před dnem

    Ni haki yake kabisa kikatiba, lakini kwenda ccm kweli?

  • @MusaOgwoko
    @MusaOgwoko Před 2 dny

    Maneno yake inapoza mwenyewe jaaa na unafiki Hama tu

  • @widimaelimushi
    @widimaelimushi Před dnem

    Mzigwa agepata uwenyekiti asingeodoka nimroo wadaraka

  • @ChristerKoku
    @ChristerKoku Před dnem

    Lakini pia,hata wanaohama wasiwe wasema hovyo.

  • @leodgardotmar7198
    @leodgardotmar7198 Před 13 hodinami

    Mwabukusi leo umeniudhi

  • @jumskibona3261
    @jumskibona3261 Před dnem

    Toka nifahamiane na wewe wakili sijawai kujuta hata kidogo wewe unafaaa

  • @user-kw6pg7nb1w
    @user-kw6pg7nb1w Před dnem

    Hapana chadema ni saccos ya mbowe bwana,

  • @ChristianMkumbo-ix2ke
    @ChristianMkumbo-ix2ke Před 2 dny +2

    Mchngaji kweda kuishi na shetani is to much

    • @ce-08
      @ce-08 Před dnem

      Mwingine ni ww ambae hajamuelewa mwambusi

    • @ChristianMkumbo-ix2ke
      @ChristianMkumbo-ix2ke Před dnem

      @@ce-08 sijamwelewa kutumia hakiyake ya kwenda kwa mashetani wenziye ccm

  • @ramadhaniabdulabi4035

    Chama cyo msahafuu wala katibaa

  • @tibbsminja2575
    @tibbsminja2575 Před 2 dny

    Ajiulize NYALANDU ako wapi.
    Ndio atajua CCM ni wanunuzi tu unabakia boya.

  • @twahirshali8014
    @twahirshali8014 Před 2 dny

    Ni. Haki. Ake

  • @user-qk9iz5lt8q
    @user-qk9iz5lt8q Před 2 dny

    Vema SANA MWABUKUSI UPO VIZURI HAPO HAITAKIWE KUWE NA VITA AU FITINA HIYO NDIO DEMOCRASIA

  • @PrinceHendry-hp8vv
    @PrinceHendry-hp8vv Před 2 dny

    Kwani nani anasema chadema ndo wasafi ingekua hivyo mbowe asinge kua anamuhonga mpz wake jois mukya kuwa mbunge viti maalumu kwan hakuna wanawake wengine mtu awe popote tudanganyeni mle kodi zetu basi maisha yaendelee

  • @HijaSaid-xd7fg
    @HijaSaid-xd7fg Před 2 dny

    Aaa kwa kauli hii hata wewe Huna muda

  • @user-gy5gu1mn4x
    @user-gy5gu1mn4x Před 2 dny +1

    ✌️🙏🙏🙏🙏

  • @user-lm3lt7xx6l
    @user-lm3lt7xx6l Před 2 dny

    Ukiwa na ubinadamu utu ukawa na utu.ccm sio chama chamba ambacho zahiri shahiri wanaumiza watu na kuuwa znz kila chaguzi na hata kabla chaguzi wanaukiza watu .watu lazima washangae msigwa wajwanza alikuwa anawapa ccm ukweli

  • @user-un9gg7qc4z
    @user-un9gg7qc4z Před dnem

    Msigwa ananjaa.. amefuata kula

  • @MalamboSelijusi
    @MalamboSelijusi Před 2 dny

    Huo ndio ukweli kuhama sio uwadui nimamzi

  • @komuhsengo9796
    @komuhsengo9796 Před 2 dny

    Msigwa aachwe tu kwani kuna nini

  • @ChristianMkumbo-ix2ke
    @ChristianMkumbo-ix2ke Před 2 dny +2

    Mchngaji Msigwa ni msaliti kwa nini asiede cuf au nccr mageuzi

  • @user-bf9xj3nf1o
    @user-bf9xj3nf1o Před 2 dny

    Anataja madaraka hana lolote shenzi sana

  • @AntonyKajange
    @AntonyKajange Před 2 dny +2

    Nyie akina Mwabukusi tuambieni ukweli kama nyie niwachumia tumbo,mfano wewe unaenda ccm kwasasa utatuambia uko sahihi wakati bandari zimeuzwa NK,,acheni unafiki.msigwa kaboa

    • @akidajulius1581
      @akidajulius1581 Před 22 hodinami

      Yote kwa yote , Mwanasiasa nikama mchezaji mpila anaangalia maslahi kwanza, then tujifunze kupenda chama sio mtu, mtu amda wowote anageuka,

  • @user-cx4nx7xi7s
    @user-cx4nx7xi7s Před 2 dny

    SEMA WEWE NI RAFIKI YAKE TWENDE KWENYE U ALISIA. KWELI NILIKUWA NAKUAMINI LAKINI KWENYE HILI DIKUKUBALII!!

    • @brunomirambi8792
      @brunomirambi8792 Před 2 dny

      UMESOMEA WAPI?? MBONA HUYU MWL AMEFUNDISHA SUB TOPIC HII VIXUR NA AMETUELEZEA TU HATA CHEKE CHEA HAWEZI KUSEEEMA HAJAELEWA WEEE VIPI???

    • @ellylema9042
      @ellylema9042 Před 2 dny

      Sasa Wewe unataka aseme nini ufurahi

  • @user-lm3lt7xx6l
    @user-lm3lt7xx6l Před 2 dny

    Halafu siasa ya bara tafaut na znz kwamfano znz chama kile hukusikia watu kuhama chama mpaka lipumba alipochoka kutukika akakuwa kushirikiana na makufuli kuuwa chama.lakin wazanzibar wenyewe kusalit chama labda walikuwa 2

  • @AiserAli-mq6sz
    @AiserAli-mq6sz Před 9 hodinami

    Chadema imekua ni chama mtu mmoja na shauri bora tundu lisu akanzishe na yy chama chake au ahame hii chadema