Mpina umekuwa mtetezi wa wananchi, mimi kipindi cha nyuma niliona kama Bashe ndio alikuwa mtetezi, baada ya huu ufisadi ulio jitokeza kwenye sector yake nimeamini kuwa Bashe hafai kuwa hata barozi wa nyumba kumi.
Kaka kuna watu wanataman wakupoteze lakini hawataweza mungu aishivyo mahali palipoinuka hawataweza in Jesus name,ukweli lazima usemwe tena wazi wazi bila kificho na kila kilichositilika kitafunuliwa. bado kitambo kidogo Mungu atajibu maombi ya watanzania,tuko nyuma yako daima mpaka ukamilifu wa dahali.
Vita ya kiuchumi ni ngumu sana Mh. Mpina, watakukata kugombea ubunge ila kumbk wananchi ndio waamuzi wa nani awe... Simamia ukweli na wanachi tutasimama na wewe💪💪
Hili swala Ukiangalia kwa Haraka Utahitimisha Ila Ni la Muda mrefu sana Kati ya Mpina Na Bashe isitoshe Bashe Hanaga Positive kila siku bahati mbaya hata Yeye sio mkamilifu Kabisa wana mhifadhi tu hata enzi za Uwaziri wake Alipiga Sana Tu Ma ardhi kwa Ardhi kibao..Hii ni vita kwa Mgongo wa sukari Ila The end will Justify 🚶🚶
Daah yan sukari ime eksipaya wanaitoa kwenye ile mifuko wanaiweka kwenye mifuko mingine alafu tunauziwa wanaatuua kumbe ndio maana maradh ya presha na aina nyngine yamekua mengi yan viongozi wetu wanatulisha sumu daaah
Hiyo ambayo imeshaagizwa na imeshaletwa imekupunguzia bei? Maneno ya mawaziri ni ya kukutia moyo tuu lkn sii utekelezaji. Wanatamka namna wakijua mahala pa kupigia hela
Mpina umekuwa mtetezi wa wananchi, mimi kipindi cha nyuma niliona kama Bashe ndio alikuwa mtetezi, baada ya huu ufisadi ulio jitokeza kwenye sector yake nimeamini kuwa Bashe hafai kuwa hata barozi wa nyumba kumi.
Raisi ambaya alikuwa wa mvuto wa uongoz n magufuli
Kaka kuna watu wanataman wakupoteze lakini hawataweza mungu aishivyo mahali palipoinuka hawataweza in Jesus name,ukweli lazima usemwe tena wazi wazi bila kificho na kila kilichositilika kitafunuliwa. bado kitambo kidogo Mungu atajibu maombi ya watanzania,tuko nyuma yako daima mpaka ukamilifu wa dahali.
Uko sahihi mzee Baba,,huu ndio uhuni wanaoifanyia Tanzania kwa maslahi yao binafs
Mpina uko vizuri sana mana tutaletewa mpaka sukari ya katani
Mpn umetipa jiwe gizan waliopgwa wanahamgaika
Mpina unajua sana kijana endelea uko vizuri
Hi nchi bwana huyu bashe wakati sio waziri alikuwa anajenga hoja mpaka tukaomba apewe uwaziri Sasa hivi nataman huyu mwamba awe wazir
Huyu bashe ni tajiri na anaiba kuongeza utajiri wake,lkn pia huyu sio raia wa nchi hii,ukweli hana uchungu na watanzania,
Huyu mpina nae alishawahi kuwa waziri nae hamna kitu
Watu wanateseka,,mawaziri wanatengeneza gep kuonyesha kuna shida kumbe wapi dili zao tuuuu
Wako kazin sio kuwaletea wananchi maendeleo ila kujaza matumbo yao,,alaf kiongozi wa juu anawalinda
Hapa ka umenena mbunge wangu..... Kisesa oyeee
We ndo unafaha kuwa Rais kabsa
Bashe nakukubali ila kwa hili jitafakali
Vita ya kiuchumi ni ngumu sana Mh. Mpina, watakukata kugombea ubunge ila kumbk wananchi ndio waamuzi wa nani awe...
Simamia ukweli na wanachi tutasimama na wewe💪💪
mtasema naye kivip wkt kina lake litakuwa limekatwa asigombee kabisa
Mpinaaaaaaaaa!..
Sema kweli kweli na iwe kweli!..
Wadandia hoja wakalia kumbi la moto ni zaid ya "Lazaro Nyalandu" Chadema mjifunze kutokana na nyakati zilizopita.
Lisu kila siku anasema kuhusu Bashe,,,sasa mpina kaja na nyaraka kabisa na ushahidi
Hapo uko sawa,shida moja ya hapo Tz yetu ni tamaa za ulavi wa madaraka ya kichama kimoja
mpina pambana na ujue mmebaki wabunge wachache wenye akili ccm hpo Bungeni, mungu akutangulie Ngosha.
Hapo utawala wamama wamechukia kumuongelea magufuli
Wizara na, bodi ichunguzwe na watoe majibu na nini chakufanya.
Mpina one more time
Jamani hili li Mpina lina akili nyingi na lifuatiliaji la masuala yanayohusu maisha ya watu wa taifa hili. Lipatiwe maua yake🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉
Hili swala Ukiangalia kwa Haraka Utahitimisha Ila Ni la Muda mrefu sana Kati ya Mpina Na Bashe isitoshe Bashe Hanaga Positive kila siku bahati mbaya hata Yeye sio mkamilifu Kabisa wana mhifadhi tu hata enzi za Uwaziri wake Alipiga Sana Tu Ma ardhi kwa Ardhi kibao..Hii ni vita kwa Mgongo wa sukari Ila The end will Justify 🚶🚶
Mpina yupo sahihi sana Apewe maua yake🎉
Huko sahihi kabisa hata sisi tumesikia
Nasimama na Mpina
Ccm wanambunge mmoja tu ndani ya bunge
Hawa Mimi siwaamini hata mmoja, kwasababu wote ni chama kimoja, wamejipanga huko ili kuja kuchezaa na Akili zetu
😮
Kaka hukweli siku zote humuwekatubwazi wape maneno
Hii ndio Tz chini ya uongozi imara wa CCM mambo yanasonga bila shida.CCM hoyyeee
Tuko nyuma yako bro
Mimi naona ni vema Makapuni binafsi kuagiza kuliko ilivyosasa
Maandamano yakianza mnishitue
Naomba wizara ichunguzwe tupewe majibu
Mpina ukabira unakusumbua Sana na ukanda na ndo maana sukuma gen ulipigwa bom
endelea kutu toa matongo tongo mpina
Mbona bei ilikuwa juu kama hatukua na uhitaji mkubwa wa sukari.
Ni kweli hadi dawa tuna usiwa muda umeisha hadi huruma
Hakika we ni martens 😅
Baba mpina tutakulinda
Agombee urais 2025 nje ya ccm
Mweshimiwa mpina hamia chadema usichangamane na wezi hao
Kama padre SLAA😢😢😢😢😢😢😢😢😢
Daah yan sukari ime eksipaya wanaitoa kwenye ile mifuko wanaiweka kwenye mifuko mingine alafu tunauziwa wanaatuua kumbe ndio maana maradh ya presha na aina nyngine yamekua mengi yan viongozi wetu wanatulisha sumu daaah
Namuumga mkono mpina
Huyu jamaaa kama anaingia
Hivi kwanini mnagombea fito wakati mnajenga nyumba moja?
Inapendeza zaid hata km wanajenga nyumba 1,bd wanahitajika kuchalenjiana
Vema kuwa na viongozi imara wenye kutetea wanachi wote, hususani wanyoge kama super late president 😢 JPM😢
NI VIZURI KUSIKILZA PANDE MBIL ILI KUTOA KUTOA HUKUMU MM NAONA BASHE NI MZALENDO WA KWELI.
hakuna Cha uzalendo hapo kwa huyo waziri wenu!
Viongozi wote wa CCM ni mafisadi majizi.
watanzania tuko na wewe kiongozi mpina kaza moyo watanzania tuko nawe
MPINA KAFIYA MKIYA BADA WAZIRI WA MIFUGO WAZIRI KOLEGA BUGENI ANASEMA NILIKUWA NAIBU WAZIRI KWA MPINDA ANAYAKE ALIOYAFAYA MABAYA WAKATI YUKO WAZIRI KWAHIYO SIWEZI KUYASEMA HAPA BUGENI NIAIBUKUBWA KWAHIYO MPINA ALIPOKUWA WAZIRI WA MIFUGO PIYA KUNA MACHAFU ALIYAFAYA
TUNAHITAJI SUKARI IWE NYINGI.IWEZEKANAVYO ILI WANANCHI TUPATE UNAFUU
Hiyo ambayo imeshaagizwa na imeshaletwa imekupunguzia bei? Maneno ya mawaziri ni ya kukutia moyo tuu lkn sii utekelezaji. Wanatamka namna wakijua mahala pa kupigia hela
Kuna tatzo gani linalo fanya mbunge huyu asipewe uwaziri au tz wasaliti ndo mhimu kuliko wazelendo??????
Watanzania hatupendi watu kama hawa wasema kweli kama mh. Mpina
Mbona alikua waziri yakamshinda usishuhulike nankelele izo wakipewa wa uwaziri wanakaa kimnya hakuna wanalolifanya
KWAHIYO TUSHA JUWA MPINA KUPANIKI BADA YA KUONDOLEWA UWAZIRI
Nukuu yamagu, sio bibilia wala msaafu😂
Huna lolote wewe unayemchukia luhanga mona Yuko vizur
Huna hoja ,nyavu zetu ulichoma,koma kabisa kumgusa bashe,bidhaa zikiwa nyingi bei itashuka,wewe vp
Hujitambui
Fikiria sawasawa bado hujafikiri vizur
Tako lako
Mpina yupo sahihi tena kabisa
Alichoma nyavu kwa mujibu wa sheria
Wewe unamchafua san waziri wetu ambaya nikioo, taa na mwanaga wa Taifa letu! Au uataka wizara hiyo?
Jitafakari na wewe😂😂😂