MPINA AMKAANGA VIBAYA SANA WAZIRI BASHE, ATUMIA RIPOTI ya CAG na HOTUBA ya MAGUFULI, AWEKA USHAHIDI.

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 14. 06. 2024

Komentáře • 76

  • @aloycemisigalo3983
    @aloycemisigalo3983 Před 12 dny +12

    Mpina umekuwa mtetezi wa wananchi, mimi kipindi cha nyuma niliona kama Bashe ndio alikuwa mtetezi, baada ya huu ufisadi ulio jitokeza kwenye sector yake nimeamini kuwa Bashe hafai kuwa hata barozi wa nyumba kumi.

  • @mejamiela7436
    @mejamiela7436 Před 18 dny +17

    Raisi ambaya alikuwa wa mvuto wa uongoz n magufuli

  • @PauloLeonard-ol5oo
    @PauloLeonard-ol5oo Před 12 dny +9

    Kaka kuna watu wanataman wakupoteze lakini hawataweza mungu aishivyo mahali palipoinuka hawataweza in Jesus name,ukweli lazima usemwe tena wazi wazi bila kificho na kila kilichositilika kitafunuliwa. bado kitambo kidogo Mungu atajibu maombi ya watanzania,tuko nyuma yako daima mpaka ukamilifu wa dahali.

  • @TitoNgomuo
    @TitoNgomuo Před 18 dny +10

    Uko sahihi mzee Baba,,huu ndio uhuni wanaoifanyia Tanzania kwa maslahi yao binafs

  • @lameckbalekere1962
    @lameckbalekere1962 Před 18 dny +8

    Mpina uko vizuri sana mana tutaletewa mpaka sukari ya katani

    • @PatsonMbugh
      @PatsonMbugh Před 9 dny

      Mpn umetipa jiwe gizan waliopgwa wanahamgaika

  • @TuntufyeBrayson
    @TuntufyeBrayson Před 13 dny +3

    Mpina unajua sana kijana endelea uko vizuri

  • @medlucas5686
    @medlucas5686 Před 18 dny +13

    Hi nchi bwana huyu bashe wakati sio waziri alikuwa anajenga hoja mpaka tukaomba apewe uwaziri Sasa hivi nataman huyu mwamba awe wazir

    • @sundaystanley5322
      @sundaystanley5322 Před 14 dny +2

      Huyu bashe ni tajiri na anaiba kuongeza utajiri wake,lkn pia huyu sio raia wa nchi hii,ukweli hana uchungu na watanzania,

    • @adrianomaulaga1599
      @adrianomaulaga1599 Před 5 dny

      Huyu mpina nae alishawahi kuwa waziri nae hamna kitu

  • @TitoNgomuo
    @TitoNgomuo Před 18 dny +6

    Watu wanateseka,,mawaziri wanatengeneza gep kuonyesha kuna shida kumbe wapi dili zao tuuuu

  • @TitoNgomuo
    @TitoNgomuo Před 18 dny +4

    Wako kazin sio kuwaletea wananchi maendeleo ila kujaza matumbo yao,,alaf kiongozi wa juu anawalinda

  • @SamwelShigemelo-e1y
    @SamwelShigemelo-e1y Před 5 dny +1

    Hapa ka umenena mbunge wangu..... Kisesa oyeee

  • @InnoRwabutit-wh7du
    @InnoRwabutit-wh7du Před 11 dny +3

    We ndo unafaha kuwa Rais kabsa

  • @mejamiela7436
    @mejamiela7436 Před 18 dny +5

    Bashe nakukubali ila kwa hili jitafakali

  • @eliasemmanuel3295
    @eliasemmanuel3295 Před 11 dny +5

    Vita ya kiuchumi ni ngumu sana Mh. Mpina, watakukata kugombea ubunge ila kumbk wananchi ndio waamuzi wa nani awe...
    Simamia ukweli na wanachi tutasimama na wewe💪💪

    • @AthamanRamadhani
      @AthamanRamadhani Před 8 dny

      mtasema naye kivip wkt kina lake litakuwa limekatwa asigombee kabisa

  • @bmdele5816
    @bmdele5816 Před 14 dny +1

    Mpinaaaaaaaaa!..
    Sema kweli kweli na iwe kweli!..

  • @sasha-ri7tf
    @sasha-ri7tf Před 15 dny +2

    Wadandia hoja wakalia kumbi la moto ni zaid ya "Lazaro Nyalandu" Chadema mjifunze kutokana na nyakati zilizopita.

  • @coolruler6820
    @coolruler6820 Před 18 dny +2

    Lisu kila siku anasema kuhusu Bashe,,,sasa mpina kaja na nyaraka kabisa na ushahidi

  • @philemonkivuyo2184
    @philemonkivuyo2184 Před 11 dny

    Hapo uko sawa,shida moja ya hapo Tz yetu ni tamaa za ulavi wa madaraka ya kichama kimoja

  • @MalijasJRCharles-vl2rq

    mpina pambana na ujue mmebaki wabunge wachache wenye akili ccm hpo Bungeni, mungu akutangulie Ngosha.

  • @revocatussebastian2427
    @revocatussebastian2427 Před 9 dny +2

    Hapo utawala wamama wamechukia kumuongelea magufuli

  • @AugustKisaka-qy7kl
    @AugustKisaka-qy7kl Před 11 dny +1

    Wizara na, bodi ichunguzwe na watoe majibu na nini chakufanya.

  • @lanezboy7016
    @lanezboy7016 Před 17 dny +1

    Mpina one more time

  • @bcozhenry2698
    @bcozhenry2698 Před 17 dny +3

    Jamani hili li Mpina lina akili nyingi na lifuatiliaji la masuala yanayohusu maisha ya watu wa taifa hili. Lipatiwe maua yake🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉

  • @blockchain1203
    @blockchain1203 Před 16 dny

    Hili swala Ukiangalia kwa Haraka Utahitimisha Ila Ni la Muda mrefu sana Kati ya Mpina Na Bashe isitoshe Bashe Hanaga Positive kila siku bahati mbaya hata Yeye sio mkamilifu Kabisa wana mhifadhi tu hata enzi za Uwaziri wake Alipiga Sana Tu Ma ardhi kwa Ardhi kibao..Hii ni vita kwa Mgongo wa sukari Ila The end will Justify 🚶🚶

  • @user-cz7bd9tc5k
    @user-cz7bd9tc5k Před 12 dny

    Mpina yupo sahihi sana Apewe maua yake🎉

  • @Focusm-se2sd
    @Focusm-se2sd Před 12 dny

    Huko sahihi kabisa hata sisi tumesikia

  • @romaycer
    @romaycer Před dnem

    Nasimama na Mpina

  • @danielndam5997
    @danielndam5997 Před 12 dny

    Ccm wanambunge mmoja tu ndani ya bunge

  • @KHALIDKIRAMA-iq6en
    @KHALIDKIRAMA-iq6en Před 3 dny

    Hawa Mimi siwaamini hata mmoja, kwasababu wote ni chama kimoja, wamejipanga huko ili kuja kuchezaa na Akili zetu

  • @frankwakungwa906
    @frankwakungwa906 Před 13 dny +1

    😮

  • @user-es8go1hk3n
    @user-es8go1hk3n Před dnem

    Kaka hukweli siku zote humuwekatubwazi wape maneno

  • @omariabeid3291
    @omariabeid3291 Před 11 dny

    Hii ndio Tz chini ya uongozi imara wa CCM mambo yanasonga bila shida.CCM hoyyeee

  • @abelnikolas
    @abelnikolas Před 13 dny +1

    Tuko nyuma yako bro

  • @KamwandaNzowa-eo4ur
    @KamwandaNzowa-eo4ur Před 17 dny

    Mimi naona ni vema Makapuni binafsi kuagiza kuliko ilivyosasa

  • @Joseph-lu4yj
    @Joseph-lu4yj Před 5 dny

    Maandamano yakianza mnishitue

  • @MichaelJohn-x4u
    @MichaelJohn-x4u Před 8 dny

    Naomba wizara ichunguzwe tupewe majibu

  • @jamespeter2187
    @jamespeter2187 Před 16 dny

    Mpina ukabira unakusumbua Sana na ukanda na ndo maana sukuma gen ulipigwa bom

  • @user-md7sd3hk6l
    @user-md7sd3hk6l Před 10 dny

    endelea kutu toa matongo tongo mpina

  • @jumanneselemani2172
    @jumanneselemani2172 Před 11 dny

    Mbona bei ilikuwa juu kama hatukua na uhitaji mkubwa wa sukari.

  • @NicolasiLuhende
    @NicolasiLuhende Před 18 dny

    Ni kweli hadi dawa tuna usiwa muda umeisha hadi huruma

  • @Mussa-id9jb
    @Mussa-id9jb Před 6 dny

    Hakika we ni martens 😅

  • @MarioNdanzi-kp9hp
    @MarioNdanzi-kp9hp Před 9 dny

    Baba mpina tutakulinda

  • @michaelmabula7444
    @michaelmabula7444 Před 18 dny

    Agombee urais 2025 nje ya ccm

  • @DenisonTheonest-yj3mk
    @DenisonTheonest-yj3mk Před 15 dny

    Mweshimiwa mpina hamia chadema usichangamane na wezi hao

    • @OmmyJames-xn7ji
      @OmmyJames-xn7ji Před 13 dny

      Kama padre SLAA😢😢😢😢😢😢😢😢😢

  • @Shokolokobango9385
    @Shokolokobango9385 Před 2 dny

    Daah yan sukari ime eksipaya wanaitoa kwenye ile mifuko wanaiweka kwenye mifuko mingine alafu tunauziwa wanaatuua kumbe ndio maana maradh ya presha na aina nyngine yamekua mengi yan viongozi wetu wanatulisha sumu daaah

  • @frankliston2136
    @frankliston2136 Před 11 dny

    Namuumga mkono mpina

  • @jitihadazacharia8890
    @jitihadazacharia8890 Před 18 dny

    Huyu jamaaa kama anaingia

  • @omarikhalfan1079
    @omarikhalfan1079 Před 16 dny

    Hivi kwanini mnagombea fito wakati mnajenga nyumba moja?

    • @AbshirMubaarack
      @AbshirMubaarack Před 13 dny

      Inapendeza zaid hata km wanajenga nyumba 1,bd wanahitajika kuchalenjiana

  • @simonkomba5875
    @simonkomba5875 Před 7 dny

    Vema kuwa na viongozi imara wenye kutetea wanachi wote, hususani wanyoge kama super late president 😢 JPM😢

  • @jumanneselemani2172
    @jumanneselemani2172 Před 11 dny

    NI VIZURI KUSIKILZA PANDE MBIL ILI KUTOA KUTOA HUKUMU MM NAONA BASHE NI MZALENDO WA KWELI.

    • @EzekiaMtwale
      @EzekiaMtwale Před 7 dny

      hakuna Cha uzalendo hapo kwa huyo waziri wenu!

  • @albertinamichael6123
    @albertinamichael6123 Před 18 dny

    Viongozi wote wa CCM ni mafisadi majizi.

  • @EmmanuelKazimili-ky1ss

    watanzania tuko na wewe kiongozi mpina kaza moyo watanzania tuko nawe

  • @janiafaomaa5120
    @janiafaomaa5120 Před 12 dny

    MPINA KAFIYA MKIYA BADA WAZIRI WA MIFUGO WAZIRI KOLEGA BUGENI ANASEMA NILIKUWA NAIBU WAZIRI KWA MPINDA ANAYAKE ALIOYAFAYA MABAYA WAKATI YUKO WAZIRI KWAHIYO SIWEZI KUYASEMA HAPA BUGENI NIAIBUKUBWA KWAHIYO MPINA ALIPOKUWA WAZIRI WA MIFUGO PIYA KUNA MACHAFU ALIYAFAYA

  • @jumanneselemani2172
    @jumanneselemani2172 Před 11 dny

    TUNAHITAJI SUKARI IWE NYINGI.IWEZEKANAVYO ILI WANANCHI TUPATE UNAFUU

    • @wilfredywilhelm1426
      @wilfredywilhelm1426 Před 7 dny

      Hiyo ambayo imeshaagizwa na imeshaletwa imekupunguzia bei? Maneno ya mawaziri ni ya kukutia moyo tuu lkn sii utekelezaji. Wanatamka namna wakijua mahala pa kupigia hela

  • @ladislausmoris9638
    @ladislausmoris9638 Před 18 dny +2

    Kuna tatzo gani linalo fanya mbunge huyu asipewe uwaziri au tz wasaliti ndo mhimu kuliko wazelendo??????

    • @user-wh2mm1eq2x
      @user-wh2mm1eq2x Před 18 dny +1

      Watanzania hatupendi watu kama hawa wasema kweli kama mh. Mpina

    • @mohdkhamis2914
      @mohdkhamis2914 Před 15 dny

      Mbona alikua waziri yakamshinda usishuhulike nankelele izo wakipewa wa uwaziri wanakaa kimnya hakuna wanalolifanya

  • @janiafaomaa5120
    @janiafaomaa5120 Před 12 dny

    KWAHIYO TUSHA JUWA MPINA KUPANIKI BADA YA KUONDOLEWA UWAZIRI

  • @mindicarrashid3131
    @mindicarrashid3131 Před 18 dny +1

    Nukuu yamagu, sio bibilia wala msaafu😂

  • @francismadirisha3511
    @francismadirisha3511 Před 18 dny +3

    Huna lolote wewe unayemchukia luhanga mona Yuko vizur

  • @ZainabuBakari-yb4vj
    @ZainabuBakari-yb4vj Před 18 dny

    Huna hoja ,nyavu zetu ulichoma,koma kabisa kumgusa bashe,bidhaa zikiwa nyingi bei itashuka,wewe vp

  • @AmnaayMalley
    @AmnaayMalley Před 18 dny

    Wewe unamchafua san waziri wetu ambaya nikioo, taa na mwanaga wa Taifa letu! Au uataka wizara hiyo?