DKT. BASHIRU APIGIWA SHANGWE ZITO BUNGENI, AMTAJA MAGUFULI NA CCM, "SPIKA NAKUVUNJIA HESHIMA"

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 7. 05. 2024
  • #UhondoTV #Uhondo

Komentáře • 203

  • @gaagwasaugustino2584
    @gaagwasaugustino2584 Před 13 dny +3

    Hongera Dr.Bashiru kwa mchango wako mzuri kwa Taifa, wewe ni hazina iliyojificha! Inayonyimwa nafasi katika Taifa hili kwa sasa, ila ipo siku Mungu atakupatia kibali tena! Wahuni mafisadi wamekunyima nafasi ila Mungu anakuandalia nafasi nyingine siku za usoni! Asante.

  • @user-im6dl1ie9i
    @user-im6dl1ie9i Před měsícem +20

    Hongera sana Mhe Bashiru M mungu akulinde na azidi kukupa afya njema na subrah ktk maisha yako yote ya hapa Duniani

  • @perfectpixelsstudio3603
    @perfectpixelsstudio3603 Před měsícem +21

    Jembe kabisaa mr president BASHIRU ALLY KAKULWA

  • @godymbanyi1878
    @godymbanyi1878 Před měsícem +20

    Mungu akutunze Dk. Bashiru! Muda utaongea!

  • @sospeterurassa9894
    @sospeterurassa9894 Před měsícem +4

    Hongera Mh.kwa uchambuzi huru na mzuri kwa maboresho endelevu,Salute kwako baba

  • @DicksonPhanuel
    @DicksonPhanuel Před měsícem +12

    Akika anahoja za msingii Sana ,salute kwako

  • @hildandumbalo5827
    @hildandumbalo5827 Před 26 dny +2

    Mungu akubariki sana Dr Bashiru na akulinde umeongea vitu mhimu sana 🤝💪🏻💪🏻🎉🎉🎉❤❤❤

  • @JeremiahRichard-oj8up
    @JeremiahRichard-oj8up Před měsícem +18

    Hata ukifichwa haufichiki mzee Bashiru

  • @nevermwambela3719
    @nevermwambela3719 Před měsícem +17

    Umeongea vzr sana Dkt Bashiru, kwakweli hapo kwenye kupanda vyeo ni mtihani inakatisha tamaa... Utumishi waangalie tuweze kuwa wa kimataifa... kuandika machapisho ni kazi kubwa sana tupewe motisha

    • @kelvinmwombeki763
      @kelvinmwombeki763 Před měsícem +1

      Ukiritimba tu unasumbua ,wangewezesha vyuo vikuu kujiendesha ,kisha serikali ikatenga asilimia ya fungu I support stahiki za raslimali watu ikiwepo kugharmia publications nk zitatolewa kwa wakati mambo yangekua poa sana ,

  • @nestor384
    @nestor384 Před měsícem +28

    Dr Bashiru Ally Kakurwa, -he is genius real, kikundi cha wahuni hawampendi si sababu is a bad person he is smart and intelligent
    I pray to the almighty God, individuals like Bashiru to take a tenure one day.

    • @bobjulieoneheartband
      @bobjulieoneheartband Před měsícem +2

      Haloooo....Bashiru, Polepole , Majaliwa, Ukichombeza na Bwana Ndugai, uje uweke vijana kina Mtatiro, Msando, Tulia, Msukuma, Boteko, KABUDI, LEMA NA MAKONDA😂😂😂😂😂😂😂Nchi itakwenda mwendo wa FERARI V12 Miaka 5 Twaweza ongoza EAST AFRICA kwa Maendeleo na Tutaishi kama Wafalme, NI MAONI YANGU TUU❤❤❤❤

    • @sonnyr1899
      @sonnyr1899 Před měsícem +1

      @@bobjulieoneheartband
      Mmmm kwenye Lima kuna ukakasi bado

    • @cbegram6161
      @cbegram6161 Před měsícem +1

      @@bobjulieoneheartbandUmeongea ukweli bila kuangalia chama Wala nini, Yani umeangalia uongozi, ueweledi, na ufanisi. Ila hapa umemsahau Mh. Mpina

  • @MustaphaKiluke
    @MustaphaKiluke Před 4 dny

    Kuna wote wamezaliwa kuwa viongozi ukiwasikiliza tu maneno yamenyoka,salute na heshima kwako Dr.Bashir Ally kakurwa

  • @romastasenterprises4447
    @romastasenterprises4447 Před měsícem +15

    Hongera sana Mh. Bashiru. Tunakuelewa, God bless you

  • @eleutermhumba347
    @eleutermhumba347 Před měsícem +4

    Hongera Dr KAKULWA

  • @yusuphmakangemakange4474
    @yusuphmakangemakange4474 Před měsícem +8

    Mungu muumba mbingu nakila kichopo dunian akubariki wewe bashiru aly

  • @Carolina-sm5zt
    @Carolina-sm5zt Před měsícem +2

    Mungu akusaidie Bashiru Aly hakika tumekukumbuka sana

  • @amanijoseph6764
    @amanijoseph6764 Před měsícem +2

    Well said brother..you reall said truth..ndio maana wangine wanaamua kufanya biashara..ila kusoma UDSM nishida sana..kuwa professor ni kitu kigum sana

  • @jacksonpetro9558
    @jacksonpetro9558 Před 21 dnem +1

    Tuna hadhina kama huyo Dr lakini hawapati nafasi😢😢

  • @geey7893
    @geey7893 Před měsícem +11

    Jamani sisi ni binadamu. Tuna madhaifu na tunakosea. Huyu Dr. Ni Hazina, Mama Samia akunjue roho kibinadamu hata kama kuna alichowakosea, ampe Wizara ya Elimu huyu Baba. Atamsaidia mpk atamwekea historia katika maisha yake ya uongozi. Aaache kubeba hiyo mizigo ambayo inemchomesha Kwa wananchi. This guy is an Important asset in this country.

    • @ingozescopion
      @ingozescopion Před měsícem +1

      Huyu anafaa kuwa waziri wa wizara tatzo yeye cyo Mbunge wa Jimbo ni wakuteuliwa

    • @geey7893
      @geey7893 Před měsícem +1

      @@ingozescopion Wala Haijalishi Nadhani ukishakua Mbunge una haki ya kuwa Waziri bila kujali umeteuliwa au umepigiwa kura. Kabudi amekuwa Waziri kipnd Cha Magu akiwa Mbunge wa kuteuliwa, Ummy Mwalmu, Angela Kairuki. Na manaibu Waziri kibaoo

    • @dassustephen731
      @dassustephen731 Před měsícem +2

      Sometimes kuongea ni rahisi kuliko kutenda

    • @senziashwaibu3219
      @senziashwaibu3219 Před měsícem

      ​@@dassustephen731huyu ni mtendaji mzuri sema tu nafasi ndo hapewi

    • @dassustephen731
      @dassustephen731 Před měsícem +1

      @@senziashwaibu3219 Watu kama Dr Bashiru watafaa zaidi kwenye mifumo mizuri inayozingatia uwezo au weledi badala ya kuzingatia uchawa,kujipendeleza kama njia kuu ya mtu kupewa nafasi ya kuongoza

  • @angelomfilinge8662
    @angelomfilinge8662 Před měsícem +2

    Hongera sana, endelea kulifumbua taifa.

  • @PAMA3542
    @PAMA3542 Před měsícem +14

    Bashiru Kaka wew ni mkweli daima wew nikiongozi mkubwa mh Magufuli alikuona mapema alikuwa anakuandaa lkn haya ni maisha tu tutafika siku moja utakuwa kiongozi imara zaidi

    • @festokemibala5832
      @festokemibala5832 Před měsícem

      Mmmh, tupe mkakati wako uliokuwa umeuandaa wakati ukiwa Mkuu wa Utumishi kuhusu kuwapandisha vyeo watumishi waliokuwa hawajapandishwa/badilishwa vyeo baada ya kupata sifa kwa muda wa miaka 6 ya kuanzia 2016-21?

    • @hassanmfaume4522
      @hassanmfaume4522 Před 25 dny

      ​@@festokemibala5832anaongea tu

  • @albertinamichael6123
    @albertinamichael6123 Před měsícem +9

    Hawa ndio wamezaliwa viobgozi.

  • @tanzanitetv
    @tanzanitetv Před měsícem +3

    Mtu pekee mwenye sifa ya kuwa Rais wa nchi,lakn kwa nchi hii na CCM ilivyo ngumu atausikia tu wataingia wahuni wahuni tu

  • @ebenezerkaaya7345
    @ebenezerkaaya7345 Před měsícem +1

    Huu ubongo bado upo vzr, nalazmika kuamini ulitumika vbaya kweny SG
    Acxademician 👍

  • @allyfutto8763
    @allyfutto8763 Před měsícem +1

    Inapendeza Sanaa MASHAALLAH

  • @jayzeem14
    @jayzeem14 Před měsícem +1

    Great contribution

  • @DonatiraNdyanabo-wm4rl
    @DonatiraNdyanabo-wm4rl Před měsícem +1

    Hongera. Bashilubkb. Inawasomi

  • @noelnoel4916
    @noelnoel4916 Před měsícem +5

    Unaona mchango kabambe huo, tuwe na imani Tanzania in watu. Mungu ibariki

  • @michaelmwedimage5515
    @michaelmwedimage5515 Před měsícem +1

    Hongera Sana Baba

  • @romastasenterprises4447
    @romastasenterprises4447 Před měsícem +2

    Hongereni sana Wabunge wetu kwa mjadala wa kuboresha elimu yetu hasa Vyuo vikuu. Naomba msifumbie macho tabia ya Wahadhiri kusumbua watoto wetu na hasa wakike kwenye swala la mapenzi japo kuna kisingizio kwamba wanaosoma chuo kikuu ni watu wazima.

  • @josephmathayo5139
    @josephmathayo5139 Před měsícem +11

    Mh: DR BASHIRU Mwenyezi Mungu aendelee kukusimamia . Mchango wako ni Muhimu Kwa Maendeleo ya Elimu TZ.

  • @user-vl7yy8gz9k
    @user-vl7yy8gz9k Před 28 dny +1

    Akilinya kusema ukweli inamfinya bakozi
    Alikuwa mahiri sana zaidi hapa

  • @paldonjonas9489
    @paldonjonas9489 Před 24 dny +1

    Huyu ndo Bashilu ninayemjua

  • @kaundasutikaunda7769
    @kaundasutikaunda7769 Před měsícem +4

    KAZI KUSIFIANA TU. EMBU ONGEENI KUHUSU REPORT YA CAG ...JE MAJIZI YAMEKAMATWA MPAKA SASAHV??

  • @MOSAMAJE
    @MOSAMAJE Před 22 dny +1

    Mko kwenye ajira mnajitetea wenyewe wanaohitimu ambao hawana b wala che hamnampango nao hii nchi kweli amakweli mwenye nacho huongezewa ambae hana hata kile alicho nacho hunyangany

  • @edithjosephat7155
    @edithjosephat7155 Před měsícem +1

    Point Dr MUNGU akutunze

  • @josephlorri431
    @josephlorri431 Před 25 dny +1

    Sauti na ujengaji wa hoja amefanana na Askofu Mkuu,Yuda Thadei Ruwaichi.. hata umakini wa kuongea

  • @bobjulieoneheartband
    @bobjulieoneheartband Před měsícem +1

    Mungu Akubariki sana Dr. BASHIRU

  • @kambamazig02024
    @kambamazig02024 Před měsícem +4

    Dr. Bashiru umesema ukweli kabisa, hatuwezi kushindana na vyuo vikuu vingine duniani wakati ukiritimba ni mkubwa sana nchini kuhusu elkimu ya juu.

  • @AgnesMathias-xi2he
    @AgnesMathias-xi2he Před 29 dny +1

    ❤❤❤❤🙏🙏🙏

  • @godfreyerasto1208
    @godfreyerasto1208 Před měsícem +3

    Very good

  • @tanzanitetv
    @tanzanitetv Před měsícem +5

    Presidential Material, lakn wahuni wakimsikia wanadhani na kuhofia atakuwa Rais,

  • @kalumbugideon4159
    @kalumbugideon4159 Před měsícem +5

    Hongera sana Daktari Bashiru ❤

  • @kilungamponda3984
    @kilungamponda3984 Před měsícem +1

    Very good 👍

  • @user-xg6fj5kp4t
    @user-xg6fj5kp4t Před 6 dny

    Huwa sielewi ni kwanini hawa viumbe huwa kila neno wanapiga makofi,

  • @sebastiansalamba313
    @sebastiansalamba313 Před měsícem +16

    Jiwe walilolikataa waashi Iko siku

  • @user-kw5pb9dd7p
    @user-kw5pb9dd7p Před měsícem +1

    Hongera

  • @davidlaiser8174
    @davidlaiser8174 Před měsícem +24

    Mimi ni Mtanzania ninayejielewa kuhusu nchi yangu ya Tanzania.
    Tokea Bashiru anaanza hoja yake mimi nimemuelewa kabisa.Uchungu wa kuipeleka mbele nchi anayo kutoka moyoni mwake.Huyu ni Mtanzania haswa wala haupepesi macho.
    Ameongea maneno machache lakini ameongea maneno makubwa sana ambayo siyo tu ya kielimu.
    Kwa jinsi ninavyoipenda nchi yangu ya Tanzania natamani watu wa aina yake waiongoze nchi yetu.
    Eee Menyenzi Mungu upo unaona mioyo ya viongozi wetu.Nakuomba utupe kiongozi yeye Bashiru au wenye kuipenda Tanzania kama yeye.Amen!

    • @user-zw9oj6ej9v
      @user-zw9oj6ej9v Před měsícem +1

      Kabisa kabisa...🤝

    • @stanleyamlima2085
      @stanleyamlima2085 Před měsícem +1

      Uwooooooongooooooo

    • @peteralmas1505
      @peteralmas1505 Před měsícem +1

      Niko pamoja nawe

    • @bobjulieoneheartband
      @bobjulieoneheartband Před měsícem +2

      Hujakosea mimi NAMPENDA huyu Baba akiongea tuu Namkumbukaga JPM Na Machozi hufuata😢❤❤❤BASHIRU SIKU AWE TU PRESIDENT 🎉🎉🎉🎉🎉🎉

  • @AtanasKameja
    @AtanasKameja Před měsícem

    Ubarikiwa sana baba

  • @georgekilwa2051
    @georgekilwa2051 Před 29 dny +1

    Kichwa Cha habari halikuakisi yaliyoongelewa ndani BASHILU ALLY YUPO sawa lakini hii ni blog ya kihuni click bites za nini? sijakufurahia

  • @farhatfatma12
    @farhatfatma12 Před měsícem

    Jamaa wanapiga makofi hata kwenye NEGATIVE. Au mimi tu nimeliona hili.

  • @emanuelmarco8102
    @emanuelmarco8102 Před měsícem

    Uko vizuri

  • @dostovan5142
    @dostovan5142 Před měsícem +5

    Wanasiasa meneno mengi mazuri ila utendaji mdogo sana

  • @JRltd-yo2py
    @JRltd-yo2py Před měsícem

    Nimeipenda

  • @stephenalmas4209
    @stephenalmas4209 Před měsícem +14

    Wenye akili nyingi wakiongea husikii minong'ono yyt kutoka kwa ilimradi liende, hapo ndipo unaona maana halisi ya uchakachuaji wa matokeo na kupitisha wawakilishi wanaoomba kikao kiishe wakale chips kwa bar ya jirani, na hapo ndipo kura zao za ndio zinapoumiza taifa, makala zao utasikia .... kalifurahisha au kalichekesha bunge. Sijui ni elimu ya wapiga kura bado haijafika vizuri kwa wananchi duni na wasioweza kung'amua vema viongozi wa kuwaongoza! Maana ma-Pweza huwa wanafanya hila nyingi ilimradi washinde wakasinzie na kupiga makerere bungeni na miongozo yenye nia ya kuficha uozo wa wanao wakumbatia ili waendelee kula bata. Akili kubwa ikiongea, husikii minong'ono wala kicheko...maana huwa hawana hoja zaidi ya kuchekesha.

    • @zigrondabagenga8585
      @zigrondabagenga8585 Před měsícem

      Kwa kwelii ni point tupu na mifano dhahir

    • @jumanneselemani2172
      @jumanneselemani2172 Před měsícem

      HAPO KWENYE VYEO BASHIRU UMENIKOSHA.WATUMISHI HATUPANDI KWA WAKATI ILA MBONA HUKUTUSAIDIA ULIPOKUWA KATIBU MKUU ENZI ZA MAGUFULI.

    • @mohamedpesambili9460
      @mohamedpesambili9460 Před měsícem

      ​@@jumanneselemani2172toka Lin katibu mkuu akahuaika na TAMISEMI kama sio Rais na Waziri husika

    • @hassanmfaume4522
      @hassanmfaume4522 Před 25 dny

      ​@@jumanneselemani2172hawa wakitoka ndio wanajifanya watetezi wa wafanyakazi 😅😅

  • @user-mp6rh6nt2t
    @user-mp6rh6nt2t Před měsícem

    Pongezi sana, Allah aendelee kukupa khekima na abariki kazi ya mikono yako

  • @dominicfrancis4073
    @dominicfrancis4073 Před měsícem

    Akili nyingi✍

  • @hussenikija6699
    @hussenikija6699 Před měsícem

    Umeongea point Daktari

  • @abdulhamis9825
    @abdulhamis9825 Před měsícem

    Nipo Na Ww Zaman Sana Dkt.Bashiru Ally Kakulwa

  • @MalusiCebekhulu
    @MalusiCebekhulu Před 11 dny

    Ndio maana ndugu zangu mkiambiwa mtu anaitwa Dr ndio watu kama hao wenye elimu na uwezo, sio mtu anaitwa doctor hata vyeti vya ufundi veta hana alafu anaitwa Doctor!!!!!! Duuuh aibuu hiyooooo

  • @AbrahamSekuza
    @AbrahamSekuza Před 19 dny

    Naiomba serikali ipunguze bei ya mafuta ya magari inatutesa tulio huku chini maisha magumu mno

  • @divinemwakapina4059
    @divinemwakapina4059 Před měsícem +1

    Balozi Dr. Bashiru umeongea ukweliii kabisaa, tunapambana saana kuchapisha kwa mifuko yetu, lakn unapanda leo unakuja kupata mshahara miaka3 mbelee

  • @user-qc2ry1pl7i
    @user-qc2ry1pl7i Před měsícem

    🙏🏼🙏🏼🙏🏼

  • @alexvenas2699
    @alexvenas2699 Před měsícem +10

    Hawa watu ndo tunahitaji kutuwakilisha wananchi mbungeni tunahitaji bunge asilia 85 liwe na watu bright namna hii💪

  • @ajirathabdulnoor4832
    @ajirathabdulnoor4832 Před měsícem +1

    🎉

  • @Mapenzi2635
    @Mapenzi2635 Před měsícem +3

    In that way , our universities are simply glorified secondary schools .

  • @davidmpiluka5224
    @davidmpiluka5224 Před měsícem +2

    Mh. BASHIRU, Nchi yetu si maskini bali ni Nchi iliyojaa watu wengi wenye kujilimbikizia mali pekee yao bila kujali mgawanyo sawa wa keki ya Taifa.

    • @hassanmfaume4522
      @hassanmfaume4522 Před 25 dny

      Kivipi wewe unalala unaamka saa nne mwenzio kaamka 11 mfanane kimaisha tafuta pesa acha kulalamika lalamika wakati wa magu mlikuwa mnasema hapa kazi fanya kazi magu si mjomba wako😅😅😅

  • @GeorgeNtauka
    @GeorgeNtauka Před měsícem

    Yupo makini sana

  • @Louez24
    @Louez24 Před měsícem

    Few; but NOTED with capital letters.

  • @ellyitete938
    @ellyitete938 Před měsícem +4

    Nakumbuka kausemi " nafasi hii ni nafasi ya mwisho sitaki uteuzi na Wala sitakubali kuteukiwa hahaha"

  • @TOMSAMSON-tj3sc
    @TOMSAMSON-tj3sc Před měsícem

    Hivi jamani Kasi ya Tanzania ya viwanda ipo?

  • @momhalidi9786
    @momhalidi9786 Před měsícem

    Duuuuuh

  • @kiatu
    @kiatu Před měsícem

    Sijui kwanini watu kama hawa (akiwemo Polepole) kupewa uongozi wa juu katika chama. Hii ni kukidunisha chama.

  • @alikidungura9419
    @alikidungura9419 Před měsícem

    Huyu mnafikitu pasi

  • @maprosokelly2986
    @maprosokelly2986 Před měsícem

    Mpini wa JPM

  • @user-zy6vq6lz7z
    @user-zy6vq6lz7z Před měsícem +1

    Maneno magumu sana

  • @obedpeter6874
    @obedpeter6874 Před měsícem

    Wazee wa kukurupuka Taarifa wamenywea maana hoja ya kum challenge daktari hawana wanaofia kudharirishwa

  • @philbertluhunga5932
    @philbertluhunga5932 Před měsícem

    Bashiru ni kweli kabisa. Jana kabudi alikosea sana kusema kuwa tuna publish na perish. Sio sawa kabisa

  • @RwegoshoraPatt-os2ik
    @RwegoshoraPatt-os2ik Před měsícem

    Wakola kyoma

  • @EnockCharles-nd5to
    @EnockCharles-nd5to Před měsícem +1

    Kwanini hukumshauri Magufuli?

    • @omanoman-ir1ez
      @omanoman-ir1ez Před měsícem +1

      hayo ndo matatizo ya watanzania sasa mgufuri kaingiaje hapa sikiliza point na kila maelezo au points kuna wakati maalum na mazingira yake sasa hoja ya kwanini hakumshauri magufuli ni shida hiyo watanzania tujitambue

  • @annaniasbyarugaba5788
    @annaniasbyarugaba5788 Před měsícem +1

    Huyu ndie aliefaa kuwa Raisi baada ya JPM. Tatzo nnchi zetu mtu akionekana ana uwezo mkubwa(intelligent) basi anawekwa kando

  • @adidassichona
    @adidassichona Před měsícem

    Duu 0:31

  • @user-dk5kk4rf3v
    @user-dk5kk4rf3v Před měsícem +1

    Niwaulize kitu ..kama wasomi ndio nyie iweje umadkini umejaa tz ..usomi ujinga kumbe . Sioni faida ya elimu ... ni sehemu ya kuchumia tumbo LA family

  • @ChristerKoku
    @ChristerKoku Před měsícem

    Kwenye utumishi,ni shida baba.

  • @DiwaniMwafongo
    @DiwaniMwafongo Před měsícem

    Haya ni ma CCM ni manafiki hatari .....

  • @thomaskwibonelwa9240
    @thomaskwibonelwa9240 Před 10 dny

    Dhahabu iliyokataliwa na mafisadi ya nchi hii.

  • @muaminiadamu2361
    @muaminiadamu2361 Před měsícem

    Sukuma gang mko live

  • @kulwamwamlima2405
    @kulwamwamlima2405 Před měsícem

    hasunga anapiga tu makoffi wanambozi hatukusikii

  • @jumanneselemani2172
    @jumanneselemani2172 Před měsícem

    9:40

  • @misanaalphayo2091
    @misanaalphayo2091 Před 29 dny

    Walikuwa wanadharau watu hawa enzi za Magufuli

  • @kingwatabata4230
    @kingwatabata4230 Před měsícem

    Wagonga meza bhana 😅

  • @user-jy4pm3hh9s
    @user-jy4pm3hh9s Před měsícem

    Uyu mwamba namqubar

  • @AibaSaidy-jz3xs
    @AibaSaidy-jz3xs Před měsícem

    Sina neno maneno ya bashiru yanatosha.

  • @valenakomba7686
    @valenakomba7686 Před měsícem

    NA NDIYO MAANA TUNATAKA KATIBA MPYA. TUKIWA NA KATIBA MPYA , SERIKALI ITAKUWA HAINGILII HAYO YATE. CHUO KIWE KAMA KAMPUNI CHINI YA UONGOZI WAKE .

  • @angelomfilinge8662
    @angelomfilinge8662 Před měsícem

    Mheshimiwa Balozi Dr. Bashiru Ally ni Msomi mwandamizi anayetumia elimu yake sawasawa kama nyenzo.

  • @husseinjosephitocho6754
    @husseinjosephitocho6754 Před měsícem

    dk bashiru ni mtu makini sana

  • @angelomfilinge8662
    @angelomfilinge8662 Před měsícem

    Mimi nilikuona tangu ukiwa pale KAVAZI

  • @superniki5699
    @superniki5699 Před měsícem

    Dr bashiru naunga hoja hapo kwenye swala la vigezo na kupewa unacho stahili nitatizo kubwa sana kwenye inchi yetu na linakatisha tamaa sana yani jambo linawezekana kufanyika ndani ya dakika tano linafanyika siku tano hadi mwenye jambo lake anakata tamaa na kuanzisha jambo lingine

  • @MichaelJoseph-uc4zk
    @MichaelJoseph-uc4zk Před 28 dny

    😂😂😂😂 hawa jamaa wanaofanya editing ya hizo picha wananifurahisha sana.

  • @georgekilwa2051
    @georgekilwa2051 Před 29 dny

    Kichwa Cha habari halikuakisi yaliyoongelewa ndani BASHILU ALLY YUPO sawa lakini hii ni blog ya kihuni clickbait za nini? sijakufurahia

  • @KamardinTebe
    @KamardinTebe Před měsícem

    Na raila odinga wa kenya ni zao la chuo kikuu cha dar es salam