Jussa: Serikali ya Mwinyi imeoza, mabilioni yanatafunwa, fedha za miradi za Rais Samia zachezewa

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 1. 06. 2024
  • "Huku kujitapa kote kwa miradi hii munayoiona hakuna ulichokileta wewe ni fedha, za Uviko zilizoletwa na Mama Samia na ACT kutoa Mchango wake, kuna siku tutayaweka hadharani yote"
    Ismail Jussa Ladhu
    Makamu Mwenyekiti (Z)
    @ACTwazalendo

Komentáře • 61

  • @user-qo8uj1ym4m
    @user-qo8uj1ym4m Před měsícem +5

    Sawa kabisa Mr, mbungo endelea kucharaza hd aseme nimekoma narudi mkuranga & mashaAllah ww ni tunuyetu ya znz a,c,t ndio chama letu ❤from ymn mm na Zanzibar ❤ Zanzibar na mimi

  • @user-hu4sd7bg8n
    @user-hu4sd7bg8n Před měsícem +4

    ndio baba tunakukubali tunataka nchi yetu ❤❤❤❤❤

  • @richardhosea8827
    @richardhosea8827 Před měsícem +3

    Jussa nakumbuka marais wote waliopita huko nyuma kakika uliwatesa sana hasa Dkt Sheni

  • @omarmohammed5157
    @omarmohammed5157 Před měsícem +3

    Jussa ni ❤❤❤❤

  • @issahajjiira5411
    @issahajjiira5411 Před měsícem +1

    Msivunjike moyo, InshaAllah ipo siku

  • @AlfredAlfred-yd2mg
    @AlfredAlfred-yd2mg Před měsícem

    Up sawa ukweli kuifagilia ccm ni sawa kuifagilia freemason.

  • @jaysullman3697
    @jaysullman3697 Před měsícem +1

    Motoooo🔥🔥🔥👍

  • @adamstour5736-kb6zq
    @adamstour5736-kb6zq Před měsícem

    Kheir ikawe kwetu

  • @ameirzapy1318
    @ameirzapy1318 Před měsícem

    Zanzibar viongozi wote utasikia fedha fedha , inaonesha wazi hakuna hata mmoja atakae weza kuiongoza Zanzibar

  • @pastorzakariatv1786
    @pastorzakariatv1786 Před měsícem +1

    Zanzibar inatajwa kama Zanzibar TANGANYIKA IMEPOTELEA KUSIKO JULIKANA SO TUNA ZANZÍBAR NA TANZANIA.

    • @omarmohammed5157
      @omarmohammed5157 Před měsícem

      Sawa una zanzibar na tanzania unafaidika nini?? Na hio Tanzania??

    • @pastorzakariatv1786
      @pastorzakariatv1786 Před měsícem

      @@omarmohammed5157 ULINIELEWA MAANA YANGU? ZANZIBAR INAINYONYA TANGANYIKA KWAKUTUMIA MLIJA UNAOITWA TANZANIA SO KAMA MUUNGANO UNAMAANA BAS ZANZIBAR ibaki zanzibar kama Ichi na Tanganyika ionekane ibaki kama ichi dhen kuwe n'a selikali ya kushughrikia maswala ya muungano, ila kwa sasa Tanganyika imepotea

    • @hajihassan5433
      @hajihassan5433 Před měsícem

      ​@@omarmohammed5157 Ni wewe tu hujatumia fursa wapo Wazanzibar kadhaa Tanganyika na mali zisizohamishika.

  • @hajiharoub8125
    @hajiharoub8125 Před měsícem

    Meko hawafai kweli maana barabara ya wete kongwe mpaka leo hii inshindwa kumaliza

  • @RamaKimbeu-tw4po
    @RamaKimbeu-tw4po Před měsícem

    NDUGU TANGAZA SERA MSIMTANGAZE MTU HAPO NDIPO MNAPOPOTEA HATIMAE KUPOTEZWA

  • @thanimosi8906
    @thanimosi8906 Před měsícem +3

    Mnaendeleza mipasho tu hamna jipya nyie kazi kusema uongo tu

    • @omarmohammed5157
      @omarmohammed5157 Před měsícem +3

      Weye si mzanzibar ndio unasema hivo

    • @Puppet666Master
      @Puppet666Master Před měsícem +3

      Ukiwa wapi ume pakatwa Nakupakwa Mafuta Matakoni kwako😋😋

    • @kassim1262
      @kassim1262 Před měsícem +1

      Waongo ccm tngu enzi za mababu namabibi zetu znzbr inajengwa barabra tu 😂😂😂😂wala hazimalizi wjinga km nyie ndio mnadangwanywa et kuna maendeleo 😂😂😂😂😂😂shtuka mjomba maendeleo yccm nibrbr tu

    • @BobNgagi2023
      @BobNgagi2023 Před měsícem

      @@kassim1262 Kuitetea Zanzibar na kuwabana CCM wala siyo tatizo, tatizo ni pale Kumbaro Jussa anavyotaka eti yeye awe ni Mzanzibari zaidi ya Mwinyi, hivi kweli Kumbaro awe na haki Zanzibar kuliko Mwafrika na nyie watu weusi wenzangu mliobaguliwa na hao Makumbaro na Wamanga waliopinduliwa mnakubali kuwa Jussa ni ndugu yenu zaidi kuliko Mwinyi !!??, hivi mkiwekwa hapo mbele nyie mnafanana na Jussa au Hussein Mwinyi ? 😄 Hebu jaribuni kuona haya japo kidogo basi 😜

  • @RamaKimbeu-tw4po
    @RamaKimbeu-tw4po Před měsícem

    WANASIASA WA TANZANIA WANAYUMBA SANA UNASIKIA HUYU MZAZIBAR MWINGI ANASEMA HUYU MNDENGEREKO HII KWA VIJANA WA KITANZANIA HAINA MASHIKO UBAGUZI HAKUNA NAFASI WW TAZAMA MCHANGA ANAGOMBEA MOROGORO UBUGE ANAPATA KUNA MIFANO MINGI ACHENI HIZO BADILISHENI SWAGA SASA

  • @husseinmkanga7794
    @husseinmkanga7794 Před měsícem

    Jusa wacha ujinga Samia na mwinyi wote mafisadi na wezi hawana tofauti.

  • @omarmohammed5157
    @omarmohammed5157 Před měsícem

    Hiii ndio viongoz wa zanzibar ikawa haina maendeleo ya maaana pesa zikiingia tu watu wanannza kutafuna juuu kwa juuu

  • @BobNgagi2023
    @BobNgagi2023 Před měsícem +1

    Hivi nyie watu weusi mnayemshabikia Jussa kumbagua Mwinyi hamjui ndivyo hivyo mababu zake Jussa walivyokuwa wakiwabagua babu zenu kabla ya Mapinduzi ? fumbueni macho, hivyo ndivyo wageni walivyoweza kutugawa na kututawala walipokuja Africa, sisi watu weusi ni wajinga na ndiyo maana wageni wachache walikuja huko walikotoka pamoja na uchache wao, wakatutawala kilaiini, jivunieni uafrika wenu

  • @hajiabdalla5772
    @hajiabdalla5772 Před měsícem

    Sasa kila viongozi munawasakama yupi aliekuwa fresh kwenu

  • @Shdy2569
    @Shdy2569 Před měsícem

    Kuweni wastaarabu wakuzungumza siasa sio vita msitake kuleta fujo zanzibar

  • @SeifMjawir
    @SeifMjawir Před měsícem +1

    Hmna jipya bhanaa

  • @RamaKimbeu-tw4po
    @RamaKimbeu-tw4po Před měsícem

    HIVI UKIULIZWA ZANZIBAR MWENYEWE NANI UTAJIBU NN

  • @user-xv4tl8iv4l
    @user-xv4tl8iv4l Před měsícem +2

    WEWE GUJIRATI INDIA MBINA HUENDI KWENU .HIVYO MWINYI KWA ZANZIBAR SAWA NA WEWE. WEWE MUHINDI MUHINDI TU WACHA UBAGUZI. SEMA MENGINE UBAKISHE USIMALIZE YOTE. SISI WAPEMBA TUNA NENO TUNAITA KUAKIBIZA. KWA HIVYO AKIBIZA

    • @omarmohammed5157
      @omarmohammed5157 Před měsícem +1

      Sawa ila bora muhindi mwenye kheiry kuliko mswahili mwenye shaary

    • @abbiecox1
      @abbiecox1 Před měsícem

      @@omarmohammed5157 mtumwa asilimia mia wewe heri wakomwenye shari kuliko mhindi mwenye kheri au anakupaga shilingi mbili tatu! bwege wewe usiyejijua

    • @user-qo8uj1ym4m
      @user-qo8uj1ym4m Před měsícem +1

      Wewe kichwa box jussa kindaki ndaki mzawa kabisa cc hatutwmbui uwepo wa mkuranga arudi kwao ht wewe asiliyako yatoka ama umetokea chini ya ardhi uliza mababuzako wp kwao jb utalipata box lilisilo eleweka

    • @salyali7807
      @salyali7807 Před měsícem

      Nyie ndio wale wanaoiuza zanzibar kwa akili zenu za kitumwa

    • @hajihassan5433
      @hajihassan5433 Před měsícem +1

      Ubaguzi sio kitu kizuri, mwenye hoja alete lakini mchanganyiko wa watu ndio visiwa vyote duniani vilivyoundwa!

  • @AloysiusNewenham-Kahindi
    @AloysiusNewenham-Kahindi Před měsícem +1

    Watanzania wanataka kuona historia yenu ya mafanikio huko nyuma!! Kukosoa ni RAHISI mno, Jussa!! Kutimiza ni kitu kingine!! Hebu Jussa tuonyeshe nini ulifanya nyuma ili watu wakuamini wewe hutafuti madaraka tu!!!

    • @kassim1262
      @kassim1262 Před měsícem

      Ww ulitaka afnye nini kwni hiyo ccm ipo madarakani miaka stini naa wnajenga barbara tu 😂😂😂mbona huwahoji ccm kwenye hilo

    • @AloysiusNewenham-Kahindi
      @AloysiusNewenham-Kahindi Před měsícem

      @@kassim1262 mimi siongei juu ya Chama au CCM ... mimi naongea Jussa na wenzake watuonyeshe nini hasa cha mafanikio walifanya nyuma ... ili tuwaamini!!

  • @afropanorama4730
    @afropanorama4730 Před měsícem +1

    mwacheni mwinyi afanye kazi

    • @omarmohammed5157
      @omarmohammed5157 Před měsícem +2

      Wewe si mzanzibar ndio maaana

    • @afropanorama4730
      @afropanorama4730 Před měsícem

      @@omarmohammed5157 kwaiyo ili niwe mzanzibari ulitaka niwe na mawazo sawa na yako, mpuuzi mkubwa

    • @salyali7807
      @salyali7807 Před měsícem

      Mwacheni Mwinyi aimalize zanzibar

  • @nassorseif7907
    @nassorseif7907 Před měsícem

    Pesa sio tatizo tatizo kuipata serekali

  • @user-xf9or5cv1d
    @user-xf9or5cv1d Před měsícem

    Muongo huna mpango ccm oyee

  • @hasbunakhamis487
    @hasbunakhamis487 Před měsícem

    Jussa nakulubali

  • @user-xv4tl8iv4l
    @user-xv4tl8iv4l Před měsícem

    ANAWEMA MKUBWA KWETU.YLIYOBAKIA NI MAMBO MADOGO MADOGO YA KIBINAADAMU AMBAYO MTU YOYOTE ANAWEZA KUFANYA. MKAMILIFU NI ALLAH

    • @salyali7807
      @salyali7807 Před měsícem

      Wema wakuchukua dhamana ya kuimaliza zanzibar ... laanatullah

  • @saidmakombeni5155
    @saidmakombeni5155 Před měsícem +1

    Tushachoka na vijembe twambieni mtafanya nini na mtafanya vipi na mipesa itatoka wapi.

    • @nailamohd-wn6sb
      @nailamohd-wn6sb Před měsícem +5

      Subiri washike dola ndio utajua pesa watapata wapi Bi - idhni - lah

    • @MohamedAhmada-ie7ke
      @MohamedAhmada-ie7ke Před měsícem +1

      ​@@nailamohd-wn6sbndio sera waeleze sio mipasho tu saiv washa anza kunichosha

    • @husseinmkanga7794
      @husseinmkanga7794 Před měsícem

      Mimi nashangaa ukiongelea ufisadi mwinyi na Samia wote ni mafisadi. Acha ujinga.

    • @salumhassanallymkurdistan7006
      @salumhassanallymkurdistan7006 Před měsícem +2

      WAPAMBANAJI HAWACHOKI NA WAPAMBANAJI HAWASHULIKI NA PESA WANASHUHULIKA NNCHI

    • @BobNgagi2023
      @BobNgagi2023 Před měsícem

      @@nailamohd-wn6sb Mapinduzi daima ! Dola ZNZ haipatikani kwa makaratasi, kumpa dola Jussa ni sawa na kudhihaki Mapinduzi matukufu ya mwaka 1964 , sawa na kumrudisha Sultan aje kutunyanyasa tena

  • @TunauzaSimu-fn2ff
    @TunauzaSimu-fn2ff Před měsícem

    Rudi kwenu kumbaro

    • @salyali7807
      @salyali7807 Před měsícem

      Utakufa nacho kijiba cha moyo ... Jussa ni kipenzi cha wazanzibari

    • @salyali7807
      @salyali7807 Před měsícem

      Kumbaro ndio star yetu wazanzibari