Jussa: Serikali ya Mwinyi imeoza, mabilioni yanatafunwa, fedha za miradi za Rais Samia zachezewa
Vložit
- čas přidán 1. 06. 2024
- "Huku kujitapa kote kwa miradi hii munayoiona hakuna ulichokileta wewe ni fedha, za Uviko zilizoletwa na Mama Samia na ACT kutoa Mchango wake, kuna siku tutayaweka hadharani yote"
Ismail Jussa Ladhu
Makamu Mwenyekiti (Z)
@ACTwazalendo
Sawa kabisa Mr, mbungo endelea kucharaza hd aseme nimekoma narudi mkuranga & mashaAllah ww ni tunuyetu ya znz a,c,t ndio chama letu ❤from ymn mm na Zanzibar ❤ Zanzibar na mimi
ndio baba tunakukubali tunataka nchi yetu ❤❤❤❤❤
Jussa nakumbuka marais wote waliopita huko nyuma kakika uliwatesa sana hasa Dkt Sheni
Jussa ni ❤❤❤❤
Msivunjike moyo, InshaAllah ipo siku
Up sawa ukweli kuifagilia ccm ni sawa kuifagilia freemason.
Motoooo🔥🔥🔥👍
Kheir ikawe kwetu
Zanzibar viongozi wote utasikia fedha fedha , inaonesha wazi hakuna hata mmoja atakae weza kuiongoza Zanzibar
Zanzibar inatajwa kama Zanzibar TANGANYIKA IMEPOTELEA KUSIKO JULIKANA SO TUNA ZANZÍBAR NA TANZANIA.
Sawa una zanzibar na tanzania unafaidika nini?? Na hio Tanzania??
@@omarmohammed5157 ULINIELEWA MAANA YANGU? ZANZIBAR INAINYONYA TANGANYIKA KWAKUTUMIA MLIJA UNAOITWA TANZANIA SO KAMA MUUNGANO UNAMAANA BAS ZANZIBAR ibaki zanzibar kama Ichi na Tanganyika ionekane ibaki kama ichi dhen kuwe n'a selikali ya kushughrikia maswala ya muungano, ila kwa sasa Tanganyika imepotea
@@omarmohammed5157 Ni wewe tu hujatumia fursa wapo Wazanzibar kadhaa Tanganyika na mali zisizohamishika.
Meko hawafai kweli maana barabara ya wete kongwe mpaka leo hii inshindwa kumaliza
NDUGU TANGAZA SERA MSIMTANGAZE MTU HAPO NDIPO MNAPOPOTEA HATIMAE KUPOTEZWA
Mnaendeleza mipasho tu hamna jipya nyie kazi kusema uongo tu
Weye si mzanzibar ndio unasema hivo
Ukiwa wapi ume pakatwa Nakupakwa Mafuta Matakoni kwako😋😋
Waongo ccm tngu enzi za mababu namabibi zetu znzbr inajengwa barabra tu 😂😂😂😂wala hazimalizi wjinga km nyie ndio mnadangwanywa et kuna maendeleo 😂😂😂😂😂😂shtuka mjomba maendeleo yccm nibrbr tu
@@kassim1262 Kuitetea Zanzibar na kuwabana CCM wala siyo tatizo, tatizo ni pale Kumbaro Jussa anavyotaka eti yeye awe ni Mzanzibari zaidi ya Mwinyi, hivi kweli Kumbaro awe na haki Zanzibar kuliko Mwafrika na nyie watu weusi wenzangu mliobaguliwa na hao Makumbaro na Wamanga waliopinduliwa mnakubali kuwa Jussa ni ndugu yenu zaidi kuliko Mwinyi !!??, hivi mkiwekwa hapo mbele nyie mnafanana na Jussa au Hussein Mwinyi ? 😄 Hebu jaribuni kuona haya japo kidogo basi 😜
WANASIASA WA TANZANIA WANAYUMBA SANA UNASIKIA HUYU MZAZIBAR MWINGI ANASEMA HUYU MNDENGEREKO HII KWA VIJANA WA KITANZANIA HAINA MASHIKO UBAGUZI HAKUNA NAFASI WW TAZAMA MCHANGA ANAGOMBEA MOROGORO UBUGE ANAPATA KUNA MIFANO MINGI ACHENI HIZO BADILISHENI SWAGA SASA
Jusa wacha ujinga Samia na mwinyi wote mafisadi na wezi hawana tofauti.
Hiii ndio viongoz wa zanzibar ikawa haina maendeleo ya maaana pesa zikiingia tu watu wanannza kutafuna juuu kwa juuu
Hivi nyie watu weusi mnayemshabikia Jussa kumbagua Mwinyi hamjui ndivyo hivyo mababu zake Jussa walivyokuwa wakiwabagua babu zenu kabla ya Mapinduzi ? fumbueni macho, hivyo ndivyo wageni walivyoweza kutugawa na kututawala walipokuja Africa, sisi watu weusi ni wajinga na ndiyo maana wageni wachache walikuja huko walikotoka pamoja na uchache wao, wakatutawala kilaiini, jivunieni uafrika wenu
Sasa kila viongozi munawasakama yupi aliekuwa fresh kwenu
Kuweni wastaarabu wakuzungumza siasa sio vita msitake kuleta fujo zanzibar
Hmna jipya bhanaa
mpya hizo ndevu kama kichaka cha nyasi
Unalo wew
HIVI UKIULIZWA ZANZIBAR MWENYEWE NANI UTAJIBU NN
WEWE GUJIRATI INDIA MBINA HUENDI KWENU .HIVYO MWINYI KWA ZANZIBAR SAWA NA WEWE. WEWE MUHINDI MUHINDI TU WACHA UBAGUZI. SEMA MENGINE UBAKISHE USIMALIZE YOTE. SISI WAPEMBA TUNA NENO TUNAITA KUAKIBIZA. KWA HIVYO AKIBIZA
Sawa ila bora muhindi mwenye kheiry kuliko mswahili mwenye shaary
@@omarmohammed5157 mtumwa asilimia mia wewe heri wakomwenye shari kuliko mhindi mwenye kheri au anakupaga shilingi mbili tatu! bwege wewe usiyejijua
Wewe kichwa box jussa kindaki ndaki mzawa kabisa cc hatutwmbui uwepo wa mkuranga arudi kwao ht wewe asiliyako yatoka ama umetokea chini ya ardhi uliza mababuzako wp kwao jb utalipata box lilisilo eleweka
Nyie ndio wale wanaoiuza zanzibar kwa akili zenu za kitumwa
Ubaguzi sio kitu kizuri, mwenye hoja alete lakini mchanganyiko wa watu ndio visiwa vyote duniani vilivyoundwa!
Watanzania wanataka kuona historia yenu ya mafanikio huko nyuma!! Kukosoa ni RAHISI mno, Jussa!! Kutimiza ni kitu kingine!! Hebu Jussa tuonyeshe nini ulifanya nyuma ili watu wakuamini wewe hutafuti madaraka tu!!!
Ww ulitaka afnye nini kwni hiyo ccm ipo madarakani miaka stini naa wnajenga barbara tu 😂😂😂mbona huwahoji ccm kwenye hilo
@@kassim1262 mimi siongei juu ya Chama au CCM ... mimi naongea Jussa na wenzake watuonyeshe nini hasa cha mafanikio walifanya nyuma ... ili tuwaamini!!
mwacheni mwinyi afanye kazi
Wewe si mzanzibar ndio maaana
@@omarmohammed5157 kwaiyo ili niwe mzanzibari ulitaka niwe na mawazo sawa na yako, mpuuzi mkubwa
Mwacheni Mwinyi aimalize zanzibar
Pesa sio tatizo tatizo kuipata serekali
Muongo huna mpango ccm oyee
Jussa nakulubali
ANAWEMA MKUBWA KWETU.YLIYOBAKIA NI MAMBO MADOGO MADOGO YA KIBINAADAMU AMBAYO MTU YOYOTE ANAWEZA KUFANYA. MKAMILIFU NI ALLAH
Wema wakuchukua dhamana ya kuimaliza zanzibar ... laanatullah
Tushachoka na vijembe twambieni mtafanya nini na mtafanya vipi na mipesa itatoka wapi.
Subiri washike dola ndio utajua pesa watapata wapi Bi - idhni - lah
@@nailamohd-wn6sbndio sera waeleze sio mipasho tu saiv washa anza kunichosha
Mimi nashangaa ukiongelea ufisadi mwinyi na Samia wote ni mafisadi. Acha ujinga.
WAPAMBANAJI HAWACHOKI NA WAPAMBANAJI HAWASHULIKI NA PESA WANASHUHULIKA NNCHI
@@nailamohd-wn6sb Mapinduzi daima ! Dola ZNZ haipatikani kwa makaratasi, kumpa dola Jussa ni sawa na kudhihaki Mapinduzi matukufu ya mwaka 1964 , sawa na kumrudisha Sultan aje kutunyanyasa tena
Rudi kwenu kumbaro
Utakufa nacho kijiba cha moyo ... Jussa ni kipenzi cha wazanzibari
Kumbaro ndio star yetu wazanzibari