Othman Masoud asema 2025 uchaguzi lazima uwe wa haki kwa vyovyote vile

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 6. 09. 2024

Komentáře • 119

  • @MohdSuleiman-fw2un
    @MohdSuleiman-fw2un Před 11 měsíci +14

    BIG UP tu pamoja Zanzibar bila mamlaka kamili tutazidi kudhalilikaaaaa ❤ LOVE my country Zanzibar

    • @margarethpolepole7438
      @margarethpolepole7438 Před 8 měsíci

      Mohd pole Hussein hamumuwezi aneleta Maendeleo ya hali ya juu Zanzibar

    • @user-gd2xj3xd1b
      @user-gd2xj3xd1b Před 5 měsíci

      Pole kwako kwakuona ujezi wa Hussein mwinyi ni maendeleo tembea ukaone maendeleo kwa wezetu pia hao wezetu na maendeleo walio nayo wanapigania uhuru na demokrasia pia huijui Zanzibar ww @@margarethpolepole7438

    • @SudiKhamisi
      @SudiKhamisi Před 2 měsíci +1

      Mungu afanye wepesi ten tusha wachok ccm

    • @baraghash4964
      @baraghash4964 Před 22 dny +1

      Kwa nguvu hatumuwezi kweli. Ila kwenye sanduku la kura la haki basi hoseni hana lake jambo

  • @hafidhkhamis731
    @hafidhkhamis731 Před 11 měsíci +4

    Allah awe nasi tuko pamoja an hakuna lisilokuwa na mwisho ao ccm mwisho wao utafika tu inshaaAllah

    • @margarethpolepole7438
      @margarethpolepole7438 Před 4 měsíci

      Hafidhi hizo ni ndoto za alinacho acha kazi ufanye kazi kuishinda Ccm baada wakongwe walishakubaliana kuungana wewe wewe kidagaa una nini tena utabaki na kelele za chura hazimkatazi ngombe kunywa maji ccm oyeeeee kazi inaendelea Hussein Mwinyi chapa kazi hao njaa za kutakq utumwa zinawasumbua

  • @saidjuma7915
    @saidjuma7915 Před 11 měsíci +5

    Mhe omo inshalah tupo na ww inshalah kukomboa zanzibar ki ufupi tushachoka ndo hatujui la kufanya sahivi zanzibar kurudi kwenye mamlaka ni muhimu sana

    • @margarethpolepole7438
      @margarethpolepole7438 Před 2 měsíci

      @@saidjuma7915 Ahsante sana Rais Hussein mwinyi kwa kuifanya Zanzibar njema na inapendeza kila kona wasikusumbue hao wqnaotaka utumwa kila siku na uroho wa madaraka Siasa mchwzo mchafu hawana kabila hao utashinda kwa kishindo na wewe Omo kula kuku tu Siasa mchezo mchafu Ccm oyeeeee Act Wazalendo oyeeeee Hussein Mwinyi chapa kazi

  • @AbdallahJuma-wb8lq
    @AbdallahJuma-wb8lq Před 4 měsíci +2

    Ccm,kumbukeni,mungu,hajasema,uongo,hata,siku,Moja,mazalim,mtaondoka,tu,inshaallah

  • @zanzibarboyzanzibar509
    @zanzibarboyzanzibar509 Před 11 měsíci +2

    Mwenyezi Mungu Muumba wa vyote tunakuomba Zanzibar iwe free na itoke kwenye makucha ya hawa Matapeli wanaojiona wana Nguvu zaidi

  • @OmerSuley-gl7go
    @OmerSuley-gl7go Před 11 měsíci +6

    Huyu mzee nampenda sana ❤

  • @AaAa-vm8bb
    @AaAa-vm8bb Před 11 měsíci +4

    Huwezi kusherehekra mauaji ukapata neema ndani yake hili mulijue twende tu hadi tufike asante bw. Othman kwa maneno matamu na yenye faida

    • @margarethpolepole7438
      @margarethpolepole7438 Před 4 měsíci

      AAAA wewe mnyanwezi acha kelele wewe hiyo Zanzibar ni yako humo kuna kila sina ya watumwa hakuna hata mwenye Zanzibar yake nahisi wewe umezaliwa 2000 hujui lolote wewe ni bendera yafuata upepo hakuna mnzanzibar kamili njoo Tabora nikuobyeshe warabu wanyamwezi huna lolote kazi kubwabwanya tu

  • @user-qo8uj1ym4m
    @user-qo8uj1ym4m Před 11 měsíci +4

    Munaamika wakuu wetu wa vyama mola awape nguvu hivyo hivyo daima

  • @salyali7807
    @salyali7807 Před 11 měsíci +2

    Very powerful speech... excellent job OMO

  • @khatibal-zinjibari6956
    @khatibal-zinjibari6956 Před 11 měsíci +4

    ZANZIBAR YA KALE NA UISLAM
    1) ZANZIBAR ilikuwa ni nchi pekee ya Kiislam kwa Afrika Mashariki na Kati.
    2) ZANZIBAR ilikuwa ni Kitovu Cha Mafundisho ya Kiislam kwa Afrika Mashariki na Kati.
    3) ZANZIBAR ilikuwa ni Makao Makuu ya Pan-Islamism na Islamic Modernism kwa Afrika Mashariki na Kati.
    4) ZANZIBAR ilikuwa maarufu Duniani kwa sababu ya Uislam na Kiswahili, yenye Lugha ya Qur'an kwa Uislam Duniani.
    SASA ZANZIBAR HAINA DINI.

    • @ahmedalbalooshi8518
      @ahmedalbalooshi8518 Před 8 měsíci

      Wala maadili hamna

    • @khatibal-zinjibari6956
      @khatibal-zinjibari6956 Před 8 měsíci

      KUPINDUA MAADILI YA KIISLAM
      ​@ahmedalbalooshi8518 SWADAKTA. Kwa sababu lengo la Mapinduzi sio kuondosha Utawala wa Kiarabu kama inavyopotoshwa bali Vita Dhidi ya Uislam na Maadili yake.
      MAPINDUZI KWA MUUNGANO
      1) Misahafu ilichomwa na Mingine kutupwa Baharini.
      2) Wanafunzi waliharamishwa kusoma Surah al-Fatiha na Surah al-Ikhlas kabla ya kuingia Darasani. Na wakalazimishwa kwaya ya kumsifu Mkiristo Nyerere kabla ya Darasani.
      3) Mafundisho ya Uislam na taarekhe ya Zanzibar yalifutwa. Kinyume chake utaitwa "Mdini."
      4) Akiwa Mgeni Rasmi Siku ya Baraza la Eid, Beit al-Ajaib Rais Julius aliwaambia Waislam wa Zanzibar kuwa Nchi Haina Dini.
      Hiyo ni Utawala wa Mfalme Julius kwenye Biblia. Aliwataka Wakiristo wasichanganye Dini na Siasa katika Nchi:
      a) Ingawa Wimbo wa Taifa unaomba Mungu aibariki Tanzania isiyo na Dini.
      b) Pia Wanasiasa wanawataka Mashekhe waiombee Nchi yao isiyokuwa na Dini.
      5) Na Kiswahili Cha Zanzibar
      kinapinduliwa kwa kuondosha maneno yenye asili ya Kiarabu:
      a) Zanzibar kubatizwa kuwa Tanzania Visiwani. Ni tafauti na Visiwa vya Kilwa na Mafia.
      b) Darasa la Tisa kubatizwa kuwa Didato Cha Kwanza.
      WALITAKA KUBADILI QUR'AN
      Ali Hassan alikuwa Rais lakini Julius Nyerere Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi akiwa Mgeni Rasmi Dodoma.
      Kwa vile Serikali ya Muungano inaongozwa na CCM, viongozi
      walisema Qur'an ibadilishwe😂
      Lakini Waislam wa Zanzibar walipinga kwa kulinda Qur'an, walijeruhiwa na kuuliwa.😂
      Sheikh maarufu Nassor Bachu alipelekwa jela na Mwandishi wa BBC Mh. Ali Saleh alitupwa jela kwa kutangaza tukio hilo.
      HITIMISHO LAKINI SIO MWISHO
      Bila shaka Maadili ya Waislam wa Zanzibar yametoweka kwa sababu ya kuacha Mwongozo wa Qur'an. (Qur'an; 25:30).

  • @Silimajuma-d5e
    @Silimajuma-d5e Před dnem

    M/mungu alete kheri zake! Tujifahamu Nini tunataka tusiwe wafiki mchana mwema

  • @user-ry1pe3tu5s
    @user-ry1pe3tu5s Před 9 měsíci +1

    MH HONGERA UMEMWAGA RADHI ZA UKWELI ,,,SAFI SANA

  • @IsmailClassictz
    @IsmailClassictz Před 10 měsíci +1

    Powerful speech ❤❤❤ LOVE MY COUNTRY ZANZIBAR
    NEVER GIVE UP ZANZIBAR ❤❤❤

  • @AbdallahJuma-wb8lq
    @AbdallahJuma-wb8lq Před 4 měsíci +1

    Wazanzibar,tunataka,viongozi,wanamnahii

  • @MohammedEddy9
    @MohammedEddy9 Před 11 měsíci +3

    ALLAH akueke!! Na atuweke!! inshaAllah

  • @alialamoudi9729
    @alialamoudi9729 Před 11 měsíci +2

    Zanzibari ni nchi iliharibiwa NA ungereza NA marekani NA wayahudi kwa sababu ya uslaam wao NA wanahaki kuihifathi dini ya mungu wao NA kila mtu huko akhera moja moja peke yake ataulizwa alicho kitenda duniani NA atapewa kitabu chake kwa kulia au kushoto tutaulizwa tu umetetea dini yako umetetea nchi yako au umeunga kutawaliwa NA wakrsto

  • @alifoum6758
    @alifoum6758 Před 11 měsíci +2

    That's significant milestone

  • @MohammedSaid-cz2od
    @MohammedSaid-cz2od Před 10 měsíci +1

    Kwa uwezo wa allah hapaharibiki kitu ishaallah

  • @rayamgeni9772
    @rayamgeni9772 Před 11 měsíci +2

    Tunakuombea kwa Allah mkombozi wetu.

  • @kassimhaji1141
    @kassimhaji1141 Před 11 měsíci +1

    Yuko pamoja mm na Zanzibar na Zanzibar na mm ewe mola tusaidie tuwe huru

  • @msabahaali758
    @msabahaali758 Před 11 měsíci +1

    njaa hii hatuna haja ya kampeni tuko nawe OmO

  • @LemaliMeyasi-r4c
    @LemaliMeyasi-r4c Před 7 dny

    Na kweli kabisa

  • @hamadKhamis-p6k
    @hamadKhamis-p6k Před měsícem +1

    Hao wanayoitetea ccm njaa km sie tu nyie

  • @user-jf7is4fk2v
    @user-jf7is4fk2v Před 11 měsíci +1

    sio rahisi bila ya katiba mpyaaaaaa piganieni katiba huru na haki kwanza

  • @margarethpolepole7438
    @margarethpolepole7438 Před 8 měsíci

    OmoWewe nenepa tu hamna kitu hapo Ccm iko juu sanaaaa zanzibar kimaendeleo wewe kula tu urefu wa kamba yako Rais Hussein Mwinyi humuwezi anachapa kazi vizuri sana

    • @kassim1262
      @kassim1262 Před 4 měsíci +1

      Tunahitaji znzbr htuhitaji kazi

    • @margarethpolepole7438
      @margarethpolepole7438 Před 4 měsíci

      @@kassim1262 ulie tu huna Zanzibar wewe siajabu mnyamwezi msukumq mmakonde Muha nk kule kote kulikopita waarabu wewe mtumwa tu huna cha Zanzibar yetu naneno yako ya kufuata mkumbo msimsumbue Mwinyi muacheni aiguze Zanzibar kama Dubai huyo mchapa kazi mtumwa wewe usiyetaka kukombolewa kwa warabu

    • @Rukaiya-lt3hm
      @Rukaiya-lt3hm Před 2 měsíci +1

      Anachapa kazi kweli sukari 3400 mchele 2500 tumpe hongera kwa uchapa kazi huo

  • @arthurbertluanda3390
    @arthurbertluanda3390 Před 11 měsíci

    Mashaalah no kukata tamaaaa

  • @kassim1262
    @kassim1262 Před 4 měsíci

    Ccm hawalijui hili au ndio maslahi kwnz nchi baadae duh inasikitisha wanajiita wzalendo lkn wanaiua nchi

  • @abdulrahmansalim9773
    @abdulrahmansalim9773 Před 11 měsíci +1

    VYAMA VINABADILISHWA KAMA CHAI. IPO WAPI C.U.F 😮😮😮😮😮😮😮😮😮😮

  • @AbdulNassir-jk1jf
    @AbdulNassir-jk1jf Před 14 dny

    Watu wote tume kaa kama tumepigwa pasi kwanjaa bwana

  • @hamadKhamis-p6k
    @hamadKhamis-p6k Před měsícem +1

    Ccm Hana njaa Wala Hana shida haya ni mwanachama Gani huyo wa ccm anaesaidiwa kwenye shida mtu pa kukaa Hana ama wew ni ccm hebu waangalien ccm Wana shida Wana njaa zindukeni nyie wenzetu tuungane tuwe kitu kimoja tupiganie haki kwanza tuishi vizur hatuna Raha maisha magumu mtu akiamka Cha kukila Hana ama wew unajiita ccm umjinga wew

  • @user-oh6pc7zd4s
    @user-oh6pc7zd4s Před 6 měsíci

    ALLAH AWALAANI WAO NA VIZAZI VYAO VINAVYOKULA HARAMU.MALIPO DUNIANI AKHERA HESABU.

  • @user-lr6qx9df4z
    @user-lr6qx9df4z Před 17 dny

    Hivi kama ww ukipewa hiyo nchi utafanya maajabu gani ya mussa ili iyo nchi iwe ya kitajiri usidanganye watu atakaechukua nchi yyte yule yatakua ni yale yale tu hayo ni maneno ya wana siasa tu hakuna lolote ww si umo humo

  • @abdalahgunda1319
    @abdalahgunda1319 Před 6 měsíci

    Narudi kuwakumbusha vyama sio sulisho kwa wananchi sababu watu wamechoka na kusikiliza sera ya vyama vusivyotejelezeka watu wanaangalia mtuu ktk chama ndio maana nccr ilikufa ndio maana cuf Iko taababani sababu hakuna watu mazubuti lakini ikitikea mtuu mazubuti ktk chama basi chama hupata nguvu

  • @user-lr6qx9df4z
    @user-lr6qx9df4z Před 17 dny

    Sasa huyu omo kule serekalini anafanya kazi gani na kwanini asijiuzulu akawa na chama chake tu akapambana na hao CCM

  • @MuhidiniMohamedi-rx9gb
    @MuhidiniMohamedi-rx9gb Před 11 měsíci +1

    Seemababa

  • @aishaaisharagp9381
    @aishaaisharagp9381 Před 11 měsíci

    Zanzibar mnailindavkunann cc wenyewe tunajeshi lakutosha cc kulima tunalima kilakitu nasilazima vyakula vitoke kwenu maana hamtupi buree tunanunuwa kwapesa zetu

  • @kaslali2039
    @kaslali2039 Před 10 měsíci

    Dunia ya leo si ya kusemana
    Alie na mwana aombe salama
    Kwetu kuliroa kwao kushazama

    • @ahmedalbalooshi8518
      @ahmedalbalooshi8518 Před 8 měsíci

      Kusemana kwa kukosoana bila matusi ni wajibu wa kila mwananchi,kwani mabaya na mazuri yaanikwe

  • @hamadKhamis-p6k
    @hamadKhamis-p6k Před měsícem

    Na nyie viongozi wetu hatutaki ahad zisizotekelezeka hatutaki ten hewala km marehemu maalim huruma hailei mwana tunatk vitendo sasa apa hachomoki mtu mara hii ata kuwa mtu kanaijenga Dunia mzima hii hamna kukaa ten ccm madarakani mwisho wao ni mara hii hao

  • @user-lr6qx9df4z
    @user-lr6qx9df4z Před 17 dny

    Huyu nae mnafki tu ww kama utaona wanachofanya serekali mambo ya ovyo si ujiuzulu bado upo tu hebu waachie uwongozi upambanenao kimaneno unapambana kimaneno na bado upo hujiuzulu Tanzania hakuna siasa asidanganye watu hii yote ni wivu tu kwa anacho kifanya mwinyi kwa sasa

  • @nunumrisho6548
    @nunumrisho6548 Před 6 měsíci

    Imekula kwako😊

  • @BernadethaSimba-qi4dw
    @BernadethaSimba-qi4dw Před 10 měsíci

    Na ss tunaomba dua kwa M/ Mungu aepushe na ipo siku itafika hicho unachosema kitafutwa tu hata huku tunakeleka kila mtu ale chake kashiba kalala njaa shauli yake tunakuomba tuonyeshe huo mkataba wa kudhibitiwa nyie zanzibar

  • @emilbocco5895
    @emilbocco5895 Před 11 měsíci

    Sawa Zanzibar kamili na Tanganyika kamili we are ok with That, jitayarisheni kuanzisha jeshi lenu maana tunatumia pesa nyingi kuilinda zanzibar, pia mjifunze kulima maana chakula kinatoka bara, pia mjifunze kulipa umeme maana smz ina madeni makubwa ya umeme kutoka bara

    • @ahmedalbalooshi8518
      @ahmedalbalooshi8518 Před 11 měsíci +1

      Kwani kabla ya muungano waZanzibari walikuwa wakilala na njaa?.Waache wenyewe watatafuta mbinu za kuishi.Nyie musishuhjulike

    • @ahmedalbalooshi8518
      @ahmedalbalooshi8518 Před 11 měsíci +1

      Umeme tutafuta,kuanzia tutatumia taa za asili,usijale kaka.

    • @alijuma7674
      @alijuma7674 Před 9 měsíci +1

      Huyu jamaa anaakili za mende ,mana hafahamu historia. Tanganyika haikuwa na serikali bali Zanzibar Alitawala kote huko lkn la pili ni kichwa maji .Zanzibar haikuanza 1964 ,ipoooo years and year ni dola kongwe sana

    • @ahmedalbalooshi8518
      @ahmedalbalooshi8518 Před 9 měsíci +1

      Tokea awali ,Zanzibar haikuwa na jeshi,kwa sababu nyingi,moja wapo ni kuwa hawakuwa na adhma ya kuvamia nchi jirani,na ukiongezea hapo,wananchi wake walikuwa wa amani na upendo.Kwa upande wa chakula, wana uwezo wa kujilisha kama walivokuwa wakila hapo awali.Usisahau mamilioni ya fefha za kigeni zilizochukuliwa na kuhamishwa huko kwa waporaji.

    • @emilbocco5895
      @emilbocco5895 Před 9 měsíci

      Muungano una ubaya wake pia una uzuri wake, kama hutaki kurekebisha mapungufu unataka uvujike sisi hatuna shida. Ila hata ndoa lazima mapungufu yatokee, huwezi vunja kabla ya kujitahidi kurekebisha huu ni muungano wa nchi na watu si muungano wa vitabu,

  • @AbuuImraan-alghafr-azinjibar
    @AbuuImraan-alghafr-azinjibar Před 10 měsíci

    Acheni ujinga nyinyi acheni kuwafitinisha watu kwa siasa zenu

  • @AbdulNassir-jk1jf
    @AbdulNassir-jk1jf Před 7 měsíci

    Kama walivyo pinduwa nanyi mupindue ndo mtapata madaraka si kwa sera

  • @user-ok9vr5jj6r
    @user-ok9vr5jj6r Před 10 měsíci

    Asnte omo wape vidonge vyao hao 😂😂

  • @user-su6kn2xo1b
    @user-su6kn2xo1b Před 10 měsíci

    Jino kwa jino haki

    • @C-uj4np
      @C-uj4np Před 8 měsíci

      Sawaaaaa 🎉❤😂😊

  • @aliamour4970
    @aliamour4970 Před 9 měsíci

    Wewe user ukitaka toa aibu za watu toa zako kwanza usojielewa

  • @user-gb5vz6wm2q
    @user-gb5vz6wm2q Před 10 měsíci

    Mnatupanga tu hakuna uchaguzi wa haki Tanzania

  • @user-gv9st4eg6h
    @user-gv9st4eg6h Před 5 měsíci

    Mfupa uliomshinda fisi nani atauwezaa, ccm hamuwezi kutuyumbisha ,tutadumu hadi maishaa

  • @user-qp8rs7yu9f
    @user-qp8rs7yu9f Před 11 měsíci

    Hata ushinde hawakupi hawa labda upindue

    • @kinkybanjukome217
      @kinkybanjukome217 Před 11 měsíci +4

      M.mungu ndio atawapindua kwa Allah hakuna kisichowezekana na wala hakuna Cha milele isipokuwsa Allah ndio wa milele iko siku

    • @nailamohd-wn6sb
      @nailamohd-wn6sb Před 11 měsíci

      ​@@kinkybanjukome217naaam 🙌🙌

  • @muzneali4747
    @muzneali4747 Před 11 měsíci

    TATIZO LENU KUSHINDWA HAMKUBALI HATA UCHAGUZI UWE WA HAKI VIPI MADHALI MKISHINDWA MTASEMA UCHAGUZI HAUKUWA WA HAKI HAMUWEZI KUKUBALI KUSHINDWA

    • @cath-ef7wd
      @cath-ef7wd Před 11 měsíci +1

      Lini mlishinda ?? Kenge wewe

    • @muzneali4747
      @muzneali4747 Před 11 měsíci +1

      @@cath-ef7wd HAPO NDIO MWISHO WAKO WA KUFIKIRI SIWEZI KUKULAUMU MAANA KWENYE AKILI ZAKO NDIO KUMEKAA MAVI NA SEHEMU YA MAVI NDIO ZIKO AKILI ZAKO KWA HIYO SEMA UTAKAVYO

    • @ahmedalbalooshi8518
      @ahmedalbalooshi8518 Před 11 měsíci +1

      Sujui kama uluwahi kumsikia Ali Karume,mtoto wa hayati Rais wa kwanza wa Zanzibar,alitamka hadharani kuwa CCM hawajahi kushinda toka 1995 huko Zanzibar.

    • @jaffaralimakame1533
      @jaffaralimakame1533 Před 11 měsíci

      KWANI UNASEMAJEEEEEEE

    • @muzneali4747
      @muzneali4747 Před 11 měsíci

      @@ahmedalbalooshi8518 YUKO WAPI HUYO BA ALI YEYE CHUKI YAKE HAKUUPATA URAIS HIVI ANGEKUWA RAIS ANGEYASEMA HAYO?? MNYONGE MNYONGENI HAKI YAKE MPENI HIVI KIPINDI HIKI CHA UTAWALA WA RAIS HUSSEIN MAENDELEO HAMUYAONI?? CHUKI BINAFSI HAZIFAI UKWELI USEMWE

  • @fakihdarusi4385
    @fakihdarusi4385 Před 11 měsíci

    😂😅😅😅😂😂😂 ILE 2015 NDIO KINGEELEWEKA ILA HUKO MBELE KELELE TU😊😅😅😂😂😂😂

    • @ahmedalbalooshi8518
      @ahmedalbalooshi8518 Před 11 měsíci

      Fakih,ingeeleweka vipi wakati Wabara walikwisha teremsha majeshi ambao walipewa amri ya kuhakikisha CCM washinde,kwa hali yeyote.

  • @wakwetu2444
    @wakwetu2444 Před 11 měsíci +2

    Hizi ndoto za mchana tumezisikia sana.

    • @ibniabdalla4817
      @ibniabdalla4817 Před 11 měsíci

      Pole yako

    • @zuzadomikano3765
      @zuzadomikano3765 Před 11 měsíci +1

      UNASEMA NINDOTO ZA MCHANA KWELI NDUGUYANGU!
      RUDI KWAMUNGU HATA WAZUNGU WAMECHOKA AFRIKA MAGHARIBI HUWAONI WEWE !

    • @ahmedalbalooshi8518
      @ahmedalbalooshi8518 Před 11 měsíci +1

      Hizi sio ndoto ni mauno ya wazawa

  • @margarethpolepole7438
    @margarethpolepole7438 Před 11 měsíci

    Nyie wasaka tonge Urais hampati kamwe wee kaa na maridhiano tu nyie ni ccm namba 22 kuleni ruzuku tu maana ni sheria ya dunia kuwa upinzani ni lazima kuwa chama chochote kilichopo mdarakani pale kinapokosea kisahihishwe nchi za Ulaya zinaweza lakini kwa Tanzania wapinzani wote ni wasaka tonge tu

  • @muzneali4747
    @muzneali4747 Před 11 měsíci

    Kazi kutia watu chuki mioyoni mwa watu

    • @cath-ef7wd
      @cath-ef7wd Před 11 měsíci

      Wewe unamaradhi ya BT

    • @ahmedalbalooshi8518
      @ahmedalbalooshi8518 Před 11 měsíci

      Hizi sio chuki bali ni ukweli,labda kwa umri wako huyafaham

    • @omarissamashaallahpresiden2920
      @omarissamashaallahpresiden2920 Před 8 měsíci

      Una banduliw

    • @cath-ef7wd
      @cath-ef7wd Před 8 měsíci

      Kwa kuwa unajaza kapu lako la tumbo ndo mana unasema hivo.Anasema ukweli...chuki mtu hatiwi inakuja kutokana na dhulma anofanyiwa.Acha ujinga

    • @ahmedalbalooshi8518
      @ahmedalbalooshi8518 Před 8 měsíci

      Chuki twaziona zikitekelezwa na zaidi ifikapo vipindi vya uchaguzi.Wananchi hawasahau hayo kwani ni majaraha yanayo toneshwa mara kwa mara.

  • @pavillioncry5241
    @pavillioncry5241 Před 11 měsíci

    Tanzania nzima sijaona upinzani wa kuishinda ccm
    Navona wapinzani njaa tuu

    • @salyali7807
      @salyali7807 Před 11 měsíci

      Kakojoe ukalale huna mpango

    • @yussuphsaleh767
      @yussuphsaleh767 Před 11 měsíci

      ​@@salyali7807huyu jamaa vipi kwani ccm inshinda uchaguzi? Hebu mwambie ukweli kila mwaka wanapora huku mukiwauwa watu

    • @nailamohd-wn6sb
      @nailamohd-wn6sb Před 11 měsíci

      ​@@salyali7807😅😅 akalale

  • @user-ml9sv2kr5e
    @user-ml9sv2kr5e Před 10 měsíci

    WEWE OTHUMAN MASOUD MUONGO HAYO MANENO YAKO DHAMANA UNAYOIJUWA WW KUOA WAKE WENGI NA KUACHA BILA KOSA HUNA MPANGO WOWOTE

    • @salyali7807
      @salyali7807 Před 10 měsíci

      Jamaa umechanganyikiwa ?

    • @aliabdalla9297
      @aliabdalla9297 Před 9 měsíci

      Hebu taja aibu yako

    • @RajabJuma-qx6ry
      @RajabJuma-qx6ry Před 6 měsíci

      Madhila si unayafanya wewe Othman unakula neema za seif baada ya yeye kufa ACHA kuwa miongoni mwa waongoza dola ndo utakuwa msafi au ndo unakula kwa urefu wa kamba Yako?

  • @MohdSuleiman-fw2un
    @MohdSuleiman-fw2un Před 11 měsíci +1

    BIG UP tu pamoja Zanzibar bila mamlaka kamili tutazidi kudhalilikaaaaa ❤ LOVE my country Zanzibar

    • @faustinebahenobi3412
      @faustinebahenobi3412 Před 11 měsíci +1

      Afu nashangaa nyie wazanzibar hiki ndo kilikuwa kipindi chenu cha kuwa na mamlaka kamili angalia ss Raisi wetu uku tanganyika ni mzanzibar alitakiwa ahakikishe ana andika historia ya kutupatia katiba mpya maana ni faida kwake yeye kma mzanzibar rakini namshangaa

    • @cath-ef7wd
      @cath-ef7wd Před 11 měsíci

      ​@@faustinebahenobi3412mhhh kenge kenge tuu

    • @nailamohd-wn6sb
      @nailamohd-wn6sb Před 11 měsíci

      ​@@cath-ef7wd😅😅