kajificha sn km c mbaguzi lkn hatimae kajifichua ni mbaguzi ni walewale wapemba wng wapo unguja kwsbb unguja ina huduma nzr za jamii kuliko pemba watu wote duniani hufuata maendeleo jirekebisheni sn ijengeni na pemba ili watulie kwao wacheni porojo by muunguja
Kuku lala lala kipanga anakuja muda wote mlikuwa wapi mawaziri wote mnakaa zanzibar mkienda pemba mnakwenda kwa ajili ya ukaguzi na sio kwa maakazi mnakumbuka shuka kushakucha😅
Mfano mdogo wa kutopelekwa miradi ya maendeleo Pemba ni ile barabara kongwe kutoka Wete kwenda Chake.Imechukuwa zaidi ya miaka 15 mpaka kufikia hatua ya sasa kuanzishwa maboresho.Tatizo la maji toka enzi ya marehem Jumbe mpaka leo halijakamilika.Kuna mengi hayasemeki
Nikiasi muizarau pemba hamupati kura rada kw mtutu ndio lazima mukuchukie ila sio kwli huko pemba hakuna uwanja unaojengwa kwnza hamulitaki haswa kujengwa unja musitudanganye
Dah Mh unazungumza jazba mm nadhani kuna haja kabla kupewa vyeo wafundishwe how to speak in public sidhani lugha hizi ni za chombo cha kutunga sheria nikama watu wapo kijiweni
Cc hatutaki barabara tunatak mamlak kamili hatutaki raisi wa sanamu ccm iondoke tu izo propaganda zenu tushazizoea madarakani mumeingia kw dhulma mnapig watu mnauwa halaf mnajifany hamuoni mud w kuwadanganya watu umeisha
Ndio wote wanaishi unguja pemba hakukaliki eti kw njaa nyeye mawaziri wote mumekukimbia kule ni mkoa mkoa na masheha ndio wao hawezi kuondoka ila wle viogozi wkubwa hukimbilia nguja kwkua kuna maendeleo ww jifunze kw waliotangulia akhera wakijinata km ww sisi tutakupiza ujue mungu km wapemba nivimbe sio kwenda maka km ss huku hatukoradhi nibure watakiwa yule jirani yk usimkere sasa ww umeukera uma uombe radhi kwnza lalini hukohuko pemba unakudharau umenunua shamba mkumbuu jee kule ww hutakujenga barabar kwsabu unataka kwekeza
Hivi wewe unayesema wapemba warudi kwao hivi huogopi,huoni kuwa wapemba achiliya mbali unguja.awoo wabongo hawawezi kuwaondowa wapemba.wanajuwa Faida ya wapemba seuze wewe mwenye asili yabara
kajificha sn km c mbaguzi lkn hatimae kajifichua ni mbaguzi ni walewale wapemba wng wapo unguja kwsbb unguja ina huduma nzr za jamii kuliko pemba watu wote duniani hufuata maendeleo jirekebisheni sn ijengeni na pemba ili watulie kwao wacheni porojo by muunguja
Kuku lala lala kipanga anakuja muda wote mlikuwa wapi mawaziri wote mnakaa zanzibar mkienda pemba mnakwenda kwa ajili ya ukaguzi na sio kwa maakazi mnakumbuka shuka kushakucha😅
Wapemba hatuwezi kutuliya kwakujengewa barabara na majumba wakati.mamlaka kamili hatuna.
Ww msenge kweli hufai kuwa kiongozi
Wapemba wengi wanaishi Unguja ni KWA sababu PEMBA HAKUNA njia
Sio njia tu bali hata maji,hospitality,usafiri na mengi.
Mfano mdogo wa kutopelekwa miradi ya maendeleo Pemba ni ile barabara kongwe kutoka Wete kwenda Chake.Imechukuwa zaidi ya miaka 15 mpaka kufikia hatua ya sasa kuanzishwa maboresho.Tatizo la maji toka enzi ya marehem Jumbe mpaka leo halijakamilika.Kuna mengi hayasemeki
Nadr ww nyamanza 😊
Nikiasi muizarau pemba hamupati kura rada kw mtutu ndio lazima mukuchukie ila sio kwli huko pemba hakuna uwanja unaojengwa kwnza hamulitaki haswa kujengwa unja musitudanganye
Njaa uyu anasema nini ubaguzi tu karume hakuambaguzi kama nyinyi washenzi
Mbwa huyu acha kufitinisha na kutugawanisha
Mawe CCM PEMBA hamna Chenu.
Achana nao hao.
Anajiamin sasabb anajuwa n mali ya serikali uyo ndio maan
Ww muheshimiwa ni mbaguzi
Muongo huyu laki nne pemba acha jazba watu wakisema kweli. Hakuna barabara ila mashimo yako.
ubaguzi wa wazi kabisa nyinyi ccm
haujaongea cha maana umezingua leo.
wewe ata Urai wako sio halali
Ww maneno mengi hamna kt
Muongo
Anasemaje huyu
Wewe unachuki na Wapemba hio Airport Pemba si utasafiri wewe
Sio kuongea kuzungumza ww mzanzibar kiswahili safi unajua unachanganya lugha sio yako bro pole sana lakini
Pia Act Wazalendo Kwa nini Munafarakanisha Sana Nchi Yetu Zanzibar dhima kubwa Sana hiyo..
Kwanza Mungu hataki Siasa zetu mbaya
Ww hujitabui punda ww
Nadiri Hana makosa Act Wazalendo mulikurupuka Kumdhihaki RAISI MWINYI ilikua Mutulie Hamuna Hekma Act Wazalendo whyyy??
Nadir ndio muongo namba moja hapo barazanji😂
Maendeleo hayana chama.
Raisi mwenye kujiamini, hasikilizi maneno ya wapinzani, KAZI ya raisi ni kuimarisha maendeleo tyu
@@HalimaSalym-jl2ui Ndio sisi tunahitaji maendeleo tu ila Nadir ni muongo wa kutupwa kama gachagua kule Kenya 😂
@@HalimaSalym-jl2ui Ndio sisi tunahitaji maendeleo tu ila Nadir ni muongo wa kutupwa kama gachagua kule Kenya 😂
Dah Mh unazungumza jazba mm nadhani kuna haja kabla kupewa vyeo wafundishwe how to speak in public sidhani lugha hizi ni za chombo cha kutunga sheria nikama watu wapo kijiweni
Tatizo wanachanganya lugha ndo kama yule waziri wa elimu school anaita shule
Kwani wapemba wamechagua hayo mabonde?
Ww ndio muongo
Naibu waziri gani huyu mbaguzi Hafai
Barbara ZA PEMBA ZOTE mbovu hazina viwango
Pemba ni kama palestine
Cc hatutaki barabara tunatak mamlak kamili hatutaki raisi wa sanamu ccm iondoke tu izo propaganda zenu tushazizoea madarakani mumeingia kw dhulma mnapig watu mnauwa halaf mnajifany hamuoni mud w kuwadanganya watu umeisha
Ndio wote wanaishi unguja pemba hakukaliki eti kw njaa nyeye mawaziri wote mumekukimbia kule ni mkoa mkoa na masheha ndio wao hawezi kuondoka ila wle viogozi wkubwa hukimbilia nguja kwkua kuna maendeleo ww jifunze kw waliotangulia akhera wakijinata km ww sisi tutakupiza ujue mungu km wapemba nivimbe sio kwenda maka km ss huku hatukoradhi nibure watakiwa yule jirani yk usimkere sasa ww umeukera uma uombe radhi kwnza lalini hukohuko pemba unakudharau umenunua shamba mkumbuu jee kule ww hutakujenga barabar kwsabu unataka kwekeza
Daraja bovu,kinuni,chumbuni,kwarara, mtopepo,kianga,mfenesini, mpemba mtupu rudini kwenu mnakajenge kwenu
Muendeleze kwenu ndipo serekali italeta maendeleo hayo mnayoyataka .
Hivi wewe unayesema wapemba warudi kwao hivi huogopi,huoni kuwa wapemba achiliya mbali unguja.awoo wabongo hawawezi kuwaondowa wapemba.wanajuwa Faida ya wapemba seuze wewe mwenye asili yabara
@@abdallahmohd3777 Kaka achana nae huyo si unajua mwanaharamu ata ukimtia kwenye chupa hutokeza kidole
Kuwe na mabaraza ya wawakilishi mawili Pemba na Unguja jamani mwenye macho angalie kweli Pemba hakuja tupwa