Pemba haipunjwi wala haionewi, inapewa maendeleo sawa na Unguja- Mwakilishi Nadir

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 4. 06. 2024
  • Mwakilishi Nadir akijibu hoja za wawakilishi kutoka Pemba.

Komentáře • 45

  • @hajjseif5737
    @hajjseif5737 Před měsícem +2

    kajificha sn km c mbaguzi lkn hatimae kajifichua ni mbaguzi ni walewale wapemba wng wapo unguja kwsbb unguja ina huduma nzr za jamii kuliko pemba watu wote duniani hufuata maendeleo jirekebisheni sn ijengeni na pemba ili watulie kwao wacheni porojo by muunguja

  • @haroubhbm5728
    @haroubhbm5728 Před měsícem +2

    Kuku lala lala kipanga anakuja muda wote mlikuwa wapi mawaziri wote mnakaa zanzibar mkienda pemba mnakwenda kwa ajili ya ukaguzi na sio kwa maakazi mnakumbuka shuka kushakucha😅

  • @abdallahmohd3777
    @abdallahmohd3777 Před měsícem +1

    Wapemba hatuwezi kutuliya kwakujengewa barabara na majumba wakati.mamlaka kamili hatuna.

  • @FeisalDoctor-yd2ge
    @FeisalDoctor-yd2ge Před 25 dny

    Ww msenge kweli hufai kuwa kiongozi

  • @RashidAbbas-zy6xx
    @RashidAbbas-zy6xx Před měsícem +2

    Wapemba wengi wanaishi Unguja ni KWA sababu PEMBA HAKUNA njia

  • @ahmedalbalooshi8518
    @ahmedalbalooshi8518 Před měsícem +1

    Mfano mdogo wa kutopelekwa miradi ya maendeleo Pemba ni ile barabara kongwe kutoka Wete kwenda Chake.Imechukuwa zaidi ya miaka 15 mpaka kufikia hatua ya sasa kuanzishwa maboresho.Tatizo la maji toka enzi ya marehem Jumbe mpaka leo halijakamilika.Kuna mengi hayasemeki

  • @DamtuAbdalla-yk7dk
    @DamtuAbdalla-yk7dk Před měsícem +1

    Nadr ww nyamanza 😊

  • @Ablahisaid
    @Ablahisaid Před měsícem +1

    Nikiasi muizarau pemba hamupati kura rada kw mtutu ndio lazima mukuchukie ila sio kwli huko pemba hakuna uwanja unaojengwa kwnza hamulitaki haswa kujengwa unja musitudanganye

  • @user-hu4sd7bg8n
    @user-hu4sd7bg8n Před měsícem +1

    Njaa uyu anasema nini ubaguzi tu karume hakuambaguzi kama nyinyi washenzi

  • @user-xy5sj7fm7h
    @user-xy5sj7fm7h Před měsícem +1

    Mbwa huyu acha kufitinisha na kutugawanisha

  • @wakwetu2444
    @wakwetu2444 Před měsícem +1

    Mawe CCM PEMBA hamna Chenu.

  • @hamidmussa838
    @hamidmussa838 Před měsícem

    Achana nao hao.

  • @user-xy5sj7fm7h
    @user-xy5sj7fm7h Před měsícem +1

    Anajiamin sasabb anajuwa n mali ya serikali uyo ndio maan

  • @OthnoShezume
    @OthnoShezume Před měsícem +1

    Ww muheshimiwa ni mbaguzi

  • @LUBAINAMOHDRAJAB
    @LUBAINAMOHDRAJAB Před měsícem +1

    Muongo huyu laki nne pemba acha jazba watu wakisema kweli. Hakuna barabara ila mashimo yako.

  • @msabahaali758
    @msabahaali758 Před měsícem +1

    ubaguzi wa wazi kabisa nyinyi ccm

  • @mtizman_salimridhwan187
    @mtizman_salimridhwan187 Před měsícem +1

    haujaongea cha maana umezingua leo.

  • @SalimunassorSalimunassor
    @SalimunassorSalimunassor Před měsícem +1

    wewe ata Urai wako sio halali

  • @zahorosuleiman1099
    @zahorosuleiman1099 Před měsícem +1

    Ww maneno mengi hamna kt

  • @ahmadmohd3771
    @ahmadmohd3771 Před měsícem +1

    Muongo

  • @edishaa3108
    @edishaa3108 Před měsícem +1

    Anasemaje huyu

  • @AaAa-vm8bb
    @AaAa-vm8bb Před měsícem +1

    Wewe unachuki na Wapemba hio Airport Pemba si utasafiri wewe

  • @bizamanachirack3649
    @bizamanachirack3649 Před měsícem

    Sio kuongea kuzungumza ww mzanzibar kiswahili safi unajua unachanganya lugha sio yako bro pole sana lakini

  • @AleiHadji-js3ed
    @AleiHadji-js3ed Před měsícem

    Pia Act Wazalendo Kwa nini Munafarakanisha Sana Nchi Yetu Zanzibar dhima kubwa Sana hiyo..
    Kwanza Mungu hataki Siasa zetu mbaya

  • @KhamisOmar-kt4kz
    @KhamisOmar-kt4kz Před měsícem +1

    Ww hujitabui punda ww

  • @AleiHadji-js3ed
    @AleiHadji-js3ed Před měsícem +1

    Nadiri Hana makosa Act Wazalendo mulikurupuka Kumdhihaki RAISI MWINYI ilikua Mutulie Hamuna Hekma Act Wazalendo whyyy??

    • @akaumbo9433
      @akaumbo9433 Před měsícem

      Nadir ndio muongo namba moja hapo barazanji😂

    • @HalimaSalym-jl2ui
      @HalimaSalym-jl2ui Před měsícem

      Maendeleo hayana chama.
      Raisi mwenye kujiamini, hasikilizi maneno ya wapinzani, KAZI ya raisi ni kuimarisha maendeleo tyu

    • @akaumbo9433
      @akaumbo9433 Před měsícem

      @@HalimaSalym-jl2ui Ndio sisi tunahitaji maendeleo tu ila Nadir ni muongo wa kutupwa kama gachagua kule Kenya 😂

    • @akaumbo9433
      @akaumbo9433 Před měsícem

      @@HalimaSalym-jl2ui Ndio sisi tunahitaji maendeleo tu ila Nadir ni muongo wa kutupwa kama gachagua kule Kenya 😂

  • @user-pf6yw7vh1p
    @user-pf6yw7vh1p Před měsícem

    Dah Mh unazungumza jazba mm nadhani kuna haja kabla kupewa vyeo wafundishwe how to speak in public sidhani lugha hizi ni za chombo cha kutunga sheria nikama watu wapo kijiweni

  • @bizamanachirack3649
    @bizamanachirack3649 Před měsícem

    Tatizo wanachanganya lugha ndo kama yule waziri wa elimu school anaita shule

  • @mwanahawamohammed8540
    @mwanahawamohammed8540 Před měsícem

    Kwani wapemba wamechagua hayo mabonde?

  • @user-ty3df8wv1t
    @user-ty3df8wv1t Před měsícem

    Ww ndio muongo

  • @user-hu4sd7bg8n
    @user-hu4sd7bg8n Před měsícem +1

    Naibu waziri gani huyu mbaguzi Hafai

  • @RashidAbbas-zy6xx
    @RashidAbbas-zy6xx Před měsícem +1

    Barbara ZA PEMBA ZOTE mbovu hazina viwango

  • @omarmohammed5157
    @omarmohammed5157 Před měsícem

    Pemba ni kama palestine

  • @FeisalDoctor-yd2ge
    @FeisalDoctor-yd2ge Před 25 dny

    Cc hatutaki barabara tunatak mamlak kamili hatutaki raisi wa sanamu ccm iondoke tu izo propaganda zenu tushazizoea madarakani mumeingia kw dhulma mnapig watu mnauwa halaf mnajifany hamuoni mud w kuwadanganya watu umeisha

  • @Ablahisaid
    @Ablahisaid Před měsícem

    Ndio wote wanaishi unguja pemba hakukaliki eti kw njaa nyeye mawaziri wote mumekukimbia kule ni mkoa mkoa na masheha ndio wao hawezi kuondoka ila wle viogozi wkubwa hukimbilia nguja kwkua kuna maendeleo ww jifunze kw waliotangulia akhera wakijinata km ww sisi tutakupiza ujue mungu km wapemba nivimbe sio kwenda maka km ss huku hatukoradhi nibure watakiwa yule jirani yk usimkere sasa ww umeukera uma uombe radhi kwnza lalini hukohuko pemba unakudharau umenunua shamba mkumbuu jee kule ww hutakujenga barabar kwsabu unataka kwekeza

  • @SaidIssa-tq3yv
    @SaidIssa-tq3yv Před měsícem +1

    Daraja bovu,kinuni,chumbuni,kwarara, mtopepo,kianga,mfenesini, mpemba mtupu rudini kwenu mnakajenge kwenu
    Muendeleze kwenu ndipo serekali italeta maendeleo hayo mnayoyataka .

    • @abdallahmohd3777
      @abdallahmohd3777 Před měsícem

      Hivi wewe unayesema wapemba warudi kwao hivi huogopi,huoni kuwa wapemba achiliya mbali unguja.awoo wabongo hawawezi kuwaondowa wapemba.wanajuwa Faida ya wapemba seuze wewe mwenye asili yabara

    • @IsmailJuma-zb5ni
      @IsmailJuma-zb5ni Před měsícem

      @@abdallahmohd3777 Kaka achana nae huyo si unajua mwanaharamu ata ukimtia kwenye chupa hutokeza kidole

  • @user-cy1od5xr8x
    @user-cy1od5xr8x Před 27 dny

    Kuwe na mabaraza ya wawakilishi mawili Pemba na Unguja jamani mwenye macho angalie kweli Pemba hakuja tupwa