Masoud wa TAMISEMI: Siwezi kufunua mdomo wangu kumsema Haji Omar Kheri, na wakimchokoza asichokozeke
Vložit
- čas přidán 6. 09. 2024
- Waziri wa nchi Afisi ya Rais Tawala za Mikoa Serikali za Mitaa na Idara Maalum za SMZ MhE. Masoud Ali Mohamed akimuahidi aliyekuwa mtangaulizi wake Haji Omar Kheri kuwa hatomgusa kwa kusema chochote katika aliyoyafanya akiwa waziri wa wizara hiyo. Msikilize utupe maoni yako.
Mumefanya mapinduzi or Mauwaji wengine wansema wamefanya mapinduzi kwa sababu y dhulma ya uchaguzi ndio mana adi leo kila uchaguzi Munauwa watu hakuna siri hapa duniani mutaenda kujibu mbele y Allah insha Allah hakimu wahaki
czcams.com/video/cUTZj5i_gLM/video.html
👆 *WAARABU WALIVYO KUJA AFRICA MASHARIKI*
subirini Allah ndio mwenye kuhukumu vote alivyo uuwa wanaadamu Pemba...inshallah jazeni matumbo yenu...sie tunasubiri uchaguzi 2025 muje kutuuwa na kututia vilema, kuwabaka dada zetu...mshalaaniya...laabuka labuka 🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿
Wewe amini mapinduzi sisi hatuamini na muda utakujibu inshallah
czcams.com/video/cUTZj5i_gLM/video.html
👆 *WAARABU WALIVYO KUJA AFRICA MASHARIKI*
Dhuluma zenu ndio mulindane hamuwezi kuacha wakati mumepinduwa mapinduzi ya mwaka 1964. Mutakwenda kujibiu kesho mbele ya Allah mauwaji muliyoyafanya Kangagani na sehemu nyingi ya Pemba.
czcams.com/video/cUTZj5i_gLM/video.html
👆 *WAARABU WALIVYO KUJA AFRICA MASHARIKI*
Mimi hii Mi CCM yoote si ipendi hapo ipo kwa Dhulma na Sasa Dhulma zinawstafuna wenyewe kwa wenyewe 🥶🤒
@@salma0000 kumbe una mawazo kama yangu. Yaani nikiiona mijuso yao ya dhulma na viburi vyao usoni hasa huyo Haji omari Shari na Hamza;form 3 failure. Vilaza wakubwa ukimpa Imla yakuelezea historia yake kwa kingereza hajuwi. Ananikera anavojifanya sna uchungu na watu wa tumbatu. Nikiwaona wanazunguka kwenye viti natamani Allah angewagandisha ktk viti hivo mitako yao inayovuja mavi kwa Riba na dhulma. Allah awajaalie hawa awaadhibu hapa hapa duniani. Labda watubie makosa yao na wawaombe Radhi wazanzibari wa Unguja na Pemba kwa walio wsfanyia. Huyo hamza siku aliokufa maslim Sefu yeye na Sefu Ali Iddi waliwambia watu wao wapike biriani kwa kufurahia kifo cha Maalim Seif.
Muungwana ni yule anaekubi makosa huyu bado ni mtoto
Bora Uwaulize Wananchi na sio Wawakilishi hao wa hapo Barazani. Wananchi watakupa majibu mazuri sana Mhe. Uwe tayari tu kuyapokea. Ni aibu Bro. Hakukuwa na haja ya kuyasema hayo yote. Iwe wewe Usalama au Valantia una wajibu wa kujibu maswali unayoulizwa kwa faida ya sisi tunoishi Nchi hii. Hiyo style unokujanayo si nzuri Bro. Inabidi ujitafakari sana. Naamini utaweza kujifunza vizuri. Ushauri wangu wa bure kwako : Jifunze kutoka kwa Watu waadilifu na Watu wema wanofanya matendo mema.
Huo ndio uchumi was kijani
Umekosea waziri umekosea sana
Mnawatumikia mabwana zenu Tanganyika huku mkiwadhalilisha ndugi zenu Wazanzibari, that is the fact whether you like it or not
Hamna lolote nahivo vikosi ndio wanaongoza kutesawatu ila iposiku mutajuta kwa yale munayotufanyi na hatuwasamehe.
Unampongeza mtuu katili hana uhinadamu hata kidogo kafeli uwongozi inabidi aende akasome elimu ya uwongozi pumbavuu
Huo wako wivu na roho mbaya
@@smileboy6199 czcams.com/video/cUTZj5i_gLM/video.html
👆 *WAARABU WALIVYO KUJA AFRICA MASHARIKI*
czcams.com/video/cUTZj5i_gLM/video.html
👆 *WAARABU WALIVYO KUJA AFRICA MASHARIKI*
Umefel ww mpumbavu yeye ni mshaur mkuu wa Raiz wa Tanzania ww unanini hapo ulipo
Huyu tayari ameshaanza kupotoka,,tayari ameshaanza kuuvaa ujinga
Binafsi nashindwa nitumie tusi gani liendane na upuuzi wake!...
@@shamisahmed1425 czcams.com/video/cUTZj5i_gLM/video.html
👆 *WAARABU WALIVYO KUJA AFRICA MASHARIKI*
czcams.com/video/cUTZj5i_gLM/video.html
👆 *WAARABU WALIVYO KUJA AFRICA MASHARIKI*
Upuuzi mtupu mapinduzi, ubaguzi upo vile vile hususan dhidi ya wapemba, waarabu nk
Mie nadhani bado sijaona watu wakweli bado wapuuzi wameshika hatamu ya visiwa.
Kumbuka huyo anae ongea hapo nae nimpemba
@@AliMohamed-gv7nw Apo yupo kwa ajili ya kutetea tumbo lake
@@abuuirfan9523 ndo ujue Kama siasa zademokrasy niharam
@@abuuirfan9523 hamuna shukurani waja
@@AliMohamed-gv7nw czcams.com/video/cUTZj5i_gLM/video.html
👆 *WAARABU WALIVYO KUJA AFRICA MASHARIKI*
Hatumsameh uyo Haji Omar Ata kwenda Lipa hakki zetu mbele ya Allah
czcams.com/video/cUTZj5i_gLM/video.html
👆 *WAARABU WALIVYO KUJA AFRICA MASHARIKI*
Nyie ndio mnao chochea fujo katika nchii hiii mh haji omar kafanya kazi unakuja kusema humsamehe weee vp
Hata kama mufikiri mliotenda muumini wa kweli ni yule anaefanya dhambi na baadae kutubia kwa aliotenda na kuwaomba wale aliowakosea
Kwahiyo mukixha kuiba nguvu zetu msishitakiane kwayo ebeni tu ipo Allaah anakuoneni wezi wakubwa nyiye
Haya endelea kumlinda jipe cheo yeye alisababisha mauaji ili awe waziri nawe ulipigisha watu pemba kwenye uchaguzi wa pandani kwa rithi mikoba but ukweli itabakia haji heri ni jiziiiiiiiiiiiiiiiiiiii nawe rithi wiziiiiiiiiiii
Nyie ndio mnao tulete fujoo katika nchii hiiii muachwetu mupige wezenu mukitulizwa hamtak mukiletew asikar musingizie mh haji omar Ana wapiga nyinyi ndio munao leta fujoo washez
Mmmh Haki Omar Kheri ndie mbaguzi mkubwa sana wa wapemba. Na wstu wakutoka kaskazini. Waliwanyima wazanzibari vitambulisho kupitia masheha wao.
@@alishamata4783 wacha usenge wewe. Jina lina kudhuru wewe. Mtu wa karne ya 21 gawezi kuitwa SHAMATA. WHAT DOES THAT MEAN "shamata 🥵🥺🤮🤮🤮🤮kama simpemba wewe ugeweza kupata kula shenzi typer
Wewe unaroho mbaya tatzo lako
Sijawahi kuona viongozi wa hovyo kama wa smz baada waziri kuongea kuhusu maendeleo ya nchi na mipango sera na mikakati yeye anaongelea watu
Ww unashadidia dhulma iliofanyuika Zanzibar, Zanzibar kulikua na mauaji tu
Wananchi wepi Mhe Masoud walowachagua nyinyi? Inawezekana sana kama ulivosema nyinyi mnowawakikisha Wananchi himfiki hata 100. Namimi naongeza hao mnaowawakilisha inawezekana pia hawatimii hata Wananchi 100 na ndio maana mambo hayaendi bali yanalazimishwa tu
Huyu waziri namkubali sana Sanaa anajitahidi kusimamia haki
Nyinyi nyote lenu moja wauwaji watekaji na waongo Mapinduzi ndio chachu ya ubaguzi na ukandamizaji wa wazanzibari
czcams.com/video/cUTZj5i_gLM/video.html
👆 *WAARABU WALIVYO KUJA AFRICA MASHARIKI*
Wewe juzi tu ushakuwa na mdomo mrefu kama hivo elewa cheo ni dhamana
Kakosa cheo huyo Jaheel wa Haji Omari Kheri. Amefanya vibaya sana alipokuwa waziri wa Vikosi wa KMKM laana ya Allah atamla huyo kijana hata kama anataka Thempathy
Nawala Hana haja ya cheo
Haji Omar Kheri ni Mshenzi sana kawatesa sana Wapemba
We mwenyewe mshenzi
@@smileboy6199 Tena mtoto wa nje ya ndoa
katika wajinga wote duniani wewe ndie unashika namba moja wengine wanafuatia
Ww unamfatia akitoka yy
Mwisho wayate kumbukeni kufa kuko kufufuliwa kuko na kuesabiwa kuko
Unampongeza kwa kipi alichokifanya
Labda wizi basii
Huyo unamkingia kifua anaroho mbaya bora mavi unuse kuliko huyo haji omar heri kawapigisha watu tu batu tena kwao
Wewe mpumbavu sana njaa inakusumbuwa achaa ujinga na munguu anakusubiri utakwenda kusema nini hasara kubwa duuuu
We naona saivi una vimba kichwa
Lakini dr mwinyi anakuona
Linda neni maana hapo mlipofika mlilindana kwa dhulma hatustaajabu kulindana ndio kazi zenu
Hizi coment zote nilozisoma zinapinga na zinamlaani huyu mtu lakini huyu kiongozi anaehutubia anampamba,,, da kama mwenyewe huyo bwana anaelaaniwa atasoma hizi coment katika mitandao lazima atakuwa hana amani na lazima ajitafakari,,, anapakwa mafuta kwa mgongo wa chupa
wengi wenu mnahukumu haraka ebu ckilizeni yote iyo video
Alaf tujifunze kusamehe ni binaadam
ccm ni ileile tu
Weweee Kijana hebu jifunze Historia ya Nchi yako. Usifate mkumbo. Amini unachoamini ujue hicho unaamini wewe. Si lazima kila Mtu akaamini unachoamini wewe. Hayo Mapinduzi yana mambo, visa, ukweli, uongo na mengine chungunzima. Acha kila mmoja aamini anachoamini. Wapo wanoyaita Mapinduzi mauaji, wapo waloyapa Utukufu nk. Hiyo ndio Demokrasia
Isije kuwa dini yako pia Mapinduzi.
Kashapigwa kwipi huyo ya makalio Baraza lote limejaaa misenge
czcams.com/video/cUTZj5i_gLM/video.html
👆 *WAARABU WALIVYO KUJA AFRICA MASHARIKI*
Ww masuudi sema mnafiki wako kwa ajili ya njaa iliupate kula nawanao lakini kesho kwa mungu utaonaunafikiwako utakapokuweka
Simple mind
Bwanamkubwa tueleze nani alipeleka mazombi pemba uchaguzi wa kurejewa wa mbunge wa ACT aliekufa kule wakataka kuuliwa watu? kwa hekima za ACT na Babu duni wakawaachia muendelee kuiba cuhaguzi
Duh bado sana
Inaonyesha Na WW ukikaribia uchaguzi utauwa km huyo mbwa
Mbwa wewe unaeweka fujo ukitulizwa hutaki unauwa wezako ukiukiw ww una laum mtuu
Mazingira ya kulindana tu huwezi kusema humtaji ikiwa kama amefanya vibaya aambiwe maana serekali sio ya babake
Yeye ni mfia mapinduzi pamoja na wanomuumga mkono washasema kwamba hakuna chochote kitakachombabaisha dogo Hilo?
Kwasababu wote ni watoto wa nyoka na ni watoto wa shetani
Uyu Aongea nini hajui nini Asema
Nyote nyinyi muwanafiki
Unampongeza kwa kupiga watu
Siku ya kiama mutajuta nyote
Hakuna wakati mauwaji ya waislam kua matukufu nyie mungeuliwa wazee wenu au watoto wenu na wake zenu mungeyaita na kuyaona matukufu
@@ahmedzahor2975 Hivi maovu yaliyokuwa yakifanywa na Utawala wa Kisultani dhidi ya watu weusi na haya yanayoendelea leo hii huko kwa Waarabu kwenye chimbuko la Uslam hamyaoni ? Waislam wangapi wanauliwa na Waislam wenzao tena misikitini hadi mwezi wa Ramadhani hao watu wanauwana maelfu kwa maelfu kila kukicha huko kwao , hadi Saudia wenyewe wakamuuwa Ndugu yao Muislam mwenzao Jamal Khashoggi na kumkata kata vipande na kumtia kwenye viroba, leo nyie mnang'ang'ania eti hamtaki Mapinduzi kwakuwa Waislam waliuliwa, kwani watu weusi waliouliwa na kuteshwa na Usultani uliopinduliwa hawakuwa Waislam, mbn hamuwalaani hao Masultani ?
Wiz mtup
Tatizo Haji ameua hata baada ya mapinduzi ktk kila uchaguzi huyo ni muuaji
Kwani asihoji Na hawatendi haki kumbe naww msenge
Madaraka yana badilisha sana watu dah
Hahahaha cjawah kuipenda ccm wala kuamni
Kwanza ncheke :D CCM bila ubaguzi haiwezekani.
Huna mpango wowote Wewe, fala mkubwa Wewe
Imani ya dini huna labda iyo mapinduzi.
Upuuzi mtupu
CCM , tumeshachoka Na nyinyi tunataka Zanzibar yetu yenye mamlaka kamili Inshallah
Kwani we huna mamlaka
Hii nchi mazali watu walipigana kutafuta uhuru basi hayo mamlaka atayapata nyumbani kwako tu hii zanzibar inawenyewe
Naangalia huku natapika
Keep it up no longer at ease maalim AliKhamis
Kama wewe ni waziri hufai kabisa
czcams.com/video/cUTZj5i_gLM/video.html
👆 *WAARABU WALIVYO KUJA AFRICA MASHARIKI*
Mnalindana nyie nyote majizi hapa hakuna anaetaka hapa mapinduzi mmepinduwa mmeuwaa kenge nyeee
Kumbe vutu kweli wewe choko weee, mapinduzi wayajua wewe.
Kwendeni zenu uko.
Umenenepa uyo jama hayuko poa munamjua ndo mnamtetea munajenga au munabomoa
Ninauhakika kua ww huna mapenzi na mapinduzi bali njaa ndizo zinazowahangaisha ila fahamuni dunia ni mapito
Mtetee tu lkn kaboronga
Acha unafiki
Mwinyi fukuza kenge huyu, choko hili , usiweke mijitu mijinga kama hii walokosa radhi za wazee wao kama wanao hao wazee
Utapambana na rehma za Allwa na yalio jiri na yatayo jiri walla tadhidi dhaalimyna ila khasara
Hakika sisi ni wa Allah na kwake tutarejea / na tutaulizwa kwa kila tunachokitenda / kusema / tujiandae kutetea yale tunayoyaamini mbele za Mwenyezi Mungu ikiwa ni mapinduzi / uhuru / haki / uadilifu au chochote kile
czcams.com/video/cUTZj5i_gLM/video.html
👆 *WAARABU WALIVYO KUJA AFRICA MASHARIKI*
Mmhh, hatari
😏😏😏😏😏nn wabaguzi nyinyi ndo wabaguzi na wauwaji wakubwa
czcams.com/video/cUTZj5i_gLM/video.html
👆 *WAARABU WALIVYO KUJA AFRICA MASHARIKI*
Huyo haji omari mmbwaa 2 huyo
Mbwa ww
Tunataka mapinduzi ya maendeleo sio kuendeleza mauaji na kuwapa watu ulemavu .Acheni ubabe tujenge inchi kwa Zanzibar hii tutasubiri sana
Hayo yote ulwa unajisahau kesho kwa Allah mutakwenda kujibu roho za watu mulizozizulumu na mukaona bado hadi karume mukamzulumu
Aliekukabidhi ofis ni rais sio huyo unae mlinda
Nyote sawa na Mbwa alokwenda ktka Dats Been LA Tajiri akakuta Mafupa anangongona2 washenzi wakubwa Wizi wakubwa na Mjue Shingoni Mwenu Mna kamba za Dhulma na mtaenda kulipa
Nahisi tayari halbadiri inaanza kuingia hivi Hadi leo bado unajadili mapinduzi yaani bado unaona mapinduzi ndio yaliokufikisha hapo
Kwisha habari omari aliy heri umekula sana wewe na sefu ali idi wafanyakazi hewa huseni usiwape nafasi hawafai hata mara 1 wameidhoofisha zanzibar
Na macho yake
Unamlinda
Kwani mnayajuwa hayo hao walio pinduwa hamwakumbuki mnajijali nyie tu hata watoto wao hamuwathamini
Hakika Umesema kweli mh. Massoud uongozi ni mbio za vijiti kweli leo yeye kesho mwengine inampsa kubakisha maneno kama alikuwa na bifu na mh. Omar kheir alimalize uko uko asituchanganye...
Mnayajuwa mapinduzi nyie matapeli wakubwa nyinyi mnamlinda mtu alie uwa na kujeruhi, na kudhulumu watu siku zenu zinahisabika
Km ni ww upo kwnye nafas hyo ungefanyaje? Ungemwambia haji Omar kheri km Ni mwizi? Ungemwambia km humuheshimu? Afanye hvo ili iweje?
Wanga nyie kuleni riba tu ila kufa kupo na moto 🔥 munawo
Kweli means wa nyoka Ni nyoka nyote madhalimu
Wallah mutakufa dhuljalali nyote
Mh,Massoud huyo unaemtetea ndio kinara wa ubaguzi kashakuja sokoni mwanakwerekwe akamfukuza muuza kuku akamwambia akauze kuku Pemba
Mh daa iyo ndo SIHASA
Kwendaaa zako jambazi mkubwa ww
Ahh Sawa lkn nyote mtakuja uraiyan na mtazalilika tuu
Macho km komba
Vitumwa wa DODOMA wewe. hakuna mapinduzi. Wala kulikuwa hakuna ubaguzi. Mumeuwa waislam. Na kama unasema matukufu Subiri ufe utajuwa nani alopanga yale MAUWAJI.
Unaushahidi gani
@@mahfoudhjuma4833
USHAHIDI UPO WALA HAUTAKI TOCHI
Tutajie watu 2 waliouliwa
Maneno mengi Vitendo Zero
Unarejearejea waziri tunataka mengine
Muda unaanza kujijibu
Aliyoyafanya haji yanajulikana
Hamna jambo😁😁
Muda wewe utakujibu 2025