Masoud wa TAMISEMI: Siwezi kufunua mdomo wangu kumsema Haji Omar Kheri, na wakimchokoza asichokozeke

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 6. 09. 2024
  • Waziri wa nchi Afisi ya Rais Tawala za Mikoa Serikali za Mitaa na Idara Maalum za SMZ MhE. Masoud Ali Mohamed akimuahidi aliyekuwa mtangaulizi wake Haji Omar Kheri kuwa hatomgusa kwa kusema chochote katika aliyoyafanya akiwa waziri wa wizara hiyo. Msikilize utupe maoni yako.

Komentáře • 160

  • @gangmore9091
    @gangmore9091 Před 2 lety +20

    Mumefanya mapinduzi or Mauwaji wengine wansema wamefanya mapinduzi kwa sababu y dhulma ya uchaguzi ndio mana adi leo kila uchaguzi Munauwa watu hakuna siri hapa duniani mutaenda kujibu mbele y Allah insha Allah hakimu wahaki

    • @sleemhamoud4394
      @sleemhamoud4394 Před 2 lety

      czcams.com/video/cUTZj5i_gLM/video.html
      👆 *WAARABU WALIVYO KUJA AFRICA MASHARIKI*

  • @vairasiv4228
    @vairasiv4228 Před 2 lety +7

    subirini Allah ndio mwenye kuhukumu vote alivyo uuwa wanaadamu Pemba...inshallah jazeni matumbo yenu...sie tunasubiri uchaguzi 2025 muje kutuuwa na kututia vilema, kuwabaka dada zetu...mshalaaniya...laabuka labuka 🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿

  • @abdulhakimjuma9112
    @abdulhakimjuma9112 Před 2 lety +12

    Wewe amini mapinduzi sisi hatuamini na muda utakujibu inshallah

    • @sleemhamoud4394
      @sleemhamoud4394 Před 2 lety

      czcams.com/video/cUTZj5i_gLM/video.html
      👆 *WAARABU WALIVYO KUJA AFRICA MASHARIKI*

  • @ashamohammed3612
    @ashamohammed3612 Před 2 lety +11

    Dhuluma zenu ndio mulindane hamuwezi kuacha wakati mumepinduwa mapinduzi ya mwaka 1964. Mutakwenda kujibiu kesho mbele ya Allah mauwaji muliyoyafanya Kangagani na sehemu nyingi ya Pemba.

    • @sleemhamoud4394
      @sleemhamoud4394 Před 2 lety

      czcams.com/video/cUTZj5i_gLM/video.html
      👆 *WAARABU WALIVYO KUJA AFRICA MASHARIKI*

  • @imsimk.khamis574
    @imsimk.khamis574 Před 2 lety +6

    Mimi hii Mi CCM yoote si ipendi hapo ipo kwa Dhulma na Sasa Dhulma zinawstafuna wenyewe kwa wenyewe 🥶🤒

    • @imsimk.khamis574
      @imsimk.khamis574 Před 2 lety

      @@salma0000 kumbe una mawazo kama yangu. Yaani nikiiona mijuso yao ya dhulma na viburi vyao usoni hasa huyo Haji omari Shari na Hamza;form 3 failure. Vilaza wakubwa ukimpa Imla yakuelezea historia yake kwa kingereza hajuwi. Ananikera anavojifanya sna uchungu na watu wa tumbatu. Nikiwaona wanazunguka kwenye viti natamani Allah angewagandisha ktk viti hivo mitako yao inayovuja mavi kwa Riba na dhulma. Allah awajaalie hawa awaadhibu hapa hapa duniani. Labda watubie makosa yao na wawaombe Radhi wazanzibari wa Unguja na Pemba kwa walio wsfanyia. Huyo hamza siku aliokufa maslim Sefu yeye na Sefu Ali Iddi waliwambia watu wao wapike biriani kwa kufurahia kifo cha Maalim Seif.

    • @ibranunu2781
      @ibranunu2781 Před 2 lety +1

      Muungwana ni yule anaekubi makosa huyu bado ni mtoto

  • @shaabanmohammed2611
    @shaabanmohammed2611 Před 2 lety +5

    Bora Uwaulize Wananchi na sio Wawakilishi hao wa hapo Barazani. Wananchi watakupa majibu mazuri sana Mhe. Uwe tayari tu kuyapokea. Ni aibu Bro. Hakukuwa na haja ya kuyasema hayo yote. Iwe wewe Usalama au Valantia una wajibu wa kujibu maswali unayoulizwa kwa faida ya sisi tunoishi Nchi hii. Hiyo style unokujanayo si nzuri Bro. Inabidi ujitafakari sana. Naamini utaweza kujifunza vizuri. Ushauri wangu wa bure kwako : Jifunze kutoka kwa Watu waadilifu na Watu wema wanofanya matendo mema.

  • @philipombwambo6345
    @philipombwambo6345 Před 2 lety +5

    Umekosea waziri umekosea sana

  • @mohamedturanardan8871
    @mohamedturanardan8871 Před 2 lety +2

    Mnawatumikia mabwana zenu Tanganyika huku mkiwadhalilisha ndugi zenu Wazanzibari, that is the fact whether you like it or not

  • @jumafundi2871
    @jumafundi2871 Před 2 lety +4

    Hamna lolote nahivo vikosi ndio wanaongoza kutesawatu ila iposiku mutajuta kwa yale munayotufanyi na hatuwasamehe.

  • @fathiyaally8631
    @fathiyaally8631 Před 2 lety +3

    Unampongeza mtuu katili hana uhinadamu hata kidogo kafeli uwongozi inabidi aende akasome elimu ya uwongozi pumbavuu

    • @smileboy6199
      @smileboy6199 Před 2 lety +1

      Huo wako wivu na roho mbaya

    • @sleemhamoud4394
      @sleemhamoud4394 Před 2 lety

      @@smileboy6199 czcams.com/video/cUTZj5i_gLM/video.html
      👆 *WAARABU WALIVYO KUJA AFRICA MASHARIKI*

    • @sleemhamoud4394
      @sleemhamoud4394 Před 2 lety

      czcams.com/video/cUTZj5i_gLM/video.html
      👆 *WAARABU WALIVYO KUJA AFRICA MASHARIKI*

    • @raiza.6920
      @raiza.6920 Před 5 měsíci

      Umefel ww mpumbavu yeye ni mshaur mkuu wa Raiz wa Tanzania ww unanini hapo ulipo

  • @rashidomar2771
    @rashidomar2771 Před 2 lety +5

    Huyu tayari ameshaanza kupotoka,,tayari ameshaanza kuuvaa ujinga

    • @shamisahmed1425
      @shamisahmed1425 Před 2 lety +1

      Binafsi nashindwa nitumie tusi gani liendane na upuuzi wake!...

    • @sleemhamoud4394
      @sleemhamoud4394 Před 2 lety

      @@shamisahmed1425 czcams.com/video/cUTZj5i_gLM/video.html
      👆 *WAARABU WALIVYO KUJA AFRICA MASHARIKI*

    • @sleemhamoud4394
      @sleemhamoud4394 Před 2 lety

      czcams.com/video/cUTZj5i_gLM/video.html
      👆 *WAARABU WALIVYO KUJA AFRICA MASHARIKI*

  • @mrfroasty
    @mrfroasty Před 2 lety +11

    Upuuzi mtupu mapinduzi, ubaguzi upo vile vile hususan dhidi ya wapemba, waarabu nk
    Mie nadhani bado sijaona watu wakweli bado wapuuzi wameshika hatamu ya visiwa.

    • @AliMohamed-gv7nw
      @AliMohamed-gv7nw Před 2 lety

      Kumbuka huyo anae ongea hapo nae nimpemba

    • @abuuirfan9523
      @abuuirfan9523 Před 2 lety +1

      @@AliMohamed-gv7nw Apo yupo kwa ajili ya kutetea tumbo lake

    • @AliMohamed-gv7nw
      @AliMohamed-gv7nw Před 2 lety

      @@abuuirfan9523 ndo ujue Kama siasa zademokrasy niharam

    • @mahfoudhjuma4833
      @mahfoudhjuma4833 Před 2 lety +1

      @@abuuirfan9523 hamuna shukurani waja

    • @sleemhamoud4394
      @sleemhamoud4394 Před 2 lety

      @@AliMohamed-gv7nw czcams.com/video/cUTZj5i_gLM/video.html
      👆 *WAARABU WALIVYO KUJA AFRICA MASHARIKI*

  • @MAPETEE
    @MAPETEE Před 2 lety +2

    Hatumsameh uyo Haji Omar Ata kwenda Lipa hakki zetu mbele ya Allah

    • @sleemhamoud4394
      @sleemhamoud4394 Před 2 lety

      czcams.com/video/cUTZj5i_gLM/video.html
      👆 *WAARABU WALIVYO KUJA AFRICA MASHARIKI*

    • @raiza.6920
      @raiza.6920 Před 5 měsíci

      Nyie ndio mnao chochea fujo katika nchii hiii mh haji omar kafanya kazi unakuja kusema humsamehe weee vp

  • @abdulmuhidin1489
    @abdulmuhidin1489 Před 2 lety +4

    Hata kama mufikiri mliotenda muumini wa kweli ni yule anaefanya dhambi na baadae kutubia kwa aliotenda na kuwaomba wale aliowakosea

  • @khamismuhammed9950
    @khamismuhammed9950 Před 2 lety +3

    Kwahiyo mukixha kuiba nguvu zetu msishitakiane kwayo ebeni tu ipo Allaah anakuoneni wezi wakubwa nyiye

  • @mahmoodsurour9265
    @mahmoodsurour9265 Před 2 lety +5

    Haya endelea kumlinda jipe cheo yeye alisababisha mauaji ili awe waziri nawe ulipigisha watu pemba kwenye uchaguzi wa pandani kwa rithi mikoba but ukweli itabakia haji heri ni jiziiiiiiiiiiiiiiiiiiii nawe rithi wiziiiiiiiiiii

    • @raiza.6920
      @raiza.6920 Před 5 měsíci

      Nyie ndio mnao tulete fujoo katika nchii hiiii muachwetu mupige wezenu mukitulizwa hamtak mukiletew asikar musingizie mh haji omar Ana wapiga nyinyi ndio munao leta fujoo washez

  • @imsimk.khamis574
    @imsimk.khamis574 Před 2 lety +2

    Mmmh Haki Omar Kheri ndie mbaguzi mkubwa sana wa wapemba. Na wstu wakutoka kaskazini. Waliwanyima wazanzibari vitambulisho kupitia masheha wao.

    • @imsimk.khamis574
      @imsimk.khamis574 Před 2 lety

      @@alishamata4783 wacha usenge wewe. Jina lina kudhuru wewe. Mtu wa karne ya 21 gawezi kuitwa SHAMATA. WHAT DOES THAT MEAN "shamata 🥵🥺🤮🤮🤮🤮kama simpemba wewe ugeweza kupata kula shenzi typer

    • @smileboy6199
      @smileboy6199 Před 2 lety

      Wewe unaroho mbaya tatzo lako

  • @jitukorofi9517
    @jitukorofi9517 Před 2 lety +2

    Sijawahi kuona viongozi wa hovyo kama wa smz baada waziri kuongea kuhusu maendeleo ya nchi na mipango sera na mikakati yeye anaongelea watu

  • @noffelsalim830
    @noffelsalim830 Před 2 lety +1

    Ww unashadidia dhulma iliofanyuika Zanzibar, Zanzibar kulikua na mauaji tu

  • @shaabanmohammed2611
    @shaabanmohammed2611 Před 2 lety +2

    Wananchi wepi Mhe Masoud walowachagua nyinyi? Inawezekana sana kama ulivosema nyinyi mnowawakikisha Wananchi himfiki hata 100. Namimi naongeza hao mnaowawakilisha inawezekana pia hawatimii hata Wananchi 100 na ndio maana mambo hayaendi bali yanalazimishwa tu

  • @salehabdallah7220
    @salehabdallah7220 Před 2 lety

    Huyu waziri namkubali sana Sanaa anajitahidi kusimamia haki

  • @msabahaali758
    @msabahaali758 Před 2 lety +3

    Nyinyi nyote lenu moja wauwaji watekaji na waongo Mapinduzi ndio chachu ya ubaguzi na ukandamizaji wa wazanzibari

    • @sleemhamoud4394
      @sleemhamoud4394 Před 2 lety

      czcams.com/video/cUTZj5i_gLM/video.html
      👆 *WAARABU WALIVYO KUJA AFRICA MASHARIKI*

  • @mohammednassor3081
    @mohammednassor3081 Před 2 lety +2

    Wewe juzi tu ushakuwa na mdomo mrefu kama hivo elewa cheo ni dhamana

  • @imsimk.khamis574
    @imsimk.khamis574 Před 2 lety +3

    Kakosa cheo huyo Jaheel wa Haji Omari Kheri. Amefanya vibaya sana alipokuwa waziri wa Vikosi wa KMKM laana ya Allah atamla huyo kijana hata kama anataka Thempathy

  • @ahmuhally4430
    @ahmuhally4430 Před 2 lety +1

    Haji Omar Kheri ni Mshenzi sana kawatesa sana Wapemba

  • @seifmohamedkhalfan907
    @seifmohamedkhalfan907 Před 2 lety +7

    katika wajinga wote duniani wewe ndie unashika namba moja wengine wanafuatia

  • @eastafricaqualitychickenfa9916

    Mwisho wayate kumbukeni kufa kuko kufufuliwa kuko na kuesabiwa kuko

  • @pavillioncry5241
    @pavillioncry5241 Před 2 lety +2

    Unampongeza kwa kipi alichokifanya
    Labda wizi basii

  • @abdulab6202
    @abdulab6202 Před 2 lety +1

    Huyo unamkingia kifua anaroho mbaya bora mavi unuse kuliko huyo haji omar heri kawapigisha watu tu batu tena kwao

  • @fathiyaally8631
    @fathiyaally8631 Před 2 lety +3

    Wewe mpumbavu sana njaa inakusumbuwa achaa ujinga na munguu anakusubiri utakwenda kusema nini hasara kubwa duuuu

  • @pavillioncry5241
    @pavillioncry5241 Před 2 lety +2

    We naona saivi una vimba kichwa
    Lakini dr mwinyi anakuona

  • @w4058
    @w4058 Před 2 lety +2

    Linda neni maana hapo mlipofika mlilindana kwa dhulma hatustaajabu kulindana ndio kazi zenu

  • @yussufpandu1852
    @yussufpandu1852 Před 2 lety +1

    Hizi coment zote nilozisoma zinapinga na zinamlaani huyu mtu lakini huyu kiongozi anaehutubia anampamba,,, da kama mwenyewe huyo bwana anaelaaniwa atasoma hizi coment katika mitandao lazima atakuwa hana amani na lazima ajitafakari,,, anapakwa mafuta kwa mgongo wa chupa

  • @sniper93999
    @sniper93999 Před 2 lety +1

    wengi wenu mnahukumu haraka ebu ckilizeni yote iyo video
    Alaf tujifunze kusamehe ni binaadam

  • @yahyahamad1802
    @yahyahamad1802 Před 2 lety +2

    ccm ni ileile tu

  • @shaabanmohammed2611
    @shaabanmohammed2611 Před 2 lety +2

    Weweee Kijana hebu jifunze Historia ya Nchi yako. Usifate mkumbo. Amini unachoamini ujue hicho unaamini wewe. Si lazima kila Mtu akaamini unachoamini wewe. Hayo Mapinduzi yana mambo, visa, ukweli, uongo na mengine chungunzima. Acha kila mmoja aamini anachoamini. Wapo wanoyaita Mapinduzi mauaji, wapo waloyapa Utukufu nk. Hiyo ndio Demokrasia

  • @abdullahalbalushi3856
    @abdullahalbalushi3856 Před 2 lety +3

    Isije kuwa dini yako pia Mapinduzi.

    • @saidabdala4980
      @saidabdala4980 Před 2 lety +3

      Kashapigwa kwipi huyo ya makalio Baraza lote limejaaa misenge

    • @sleemhamoud4394
      @sleemhamoud4394 Před 2 lety

      czcams.com/video/cUTZj5i_gLM/video.html
      👆 *WAARABU WALIVYO KUJA AFRICA MASHARIKI*

  • @bokasharif4644
    @bokasharif4644 Před rokem

    Ww masuudi sema mnafiki wako kwa ajili ya njaa iliupate kula nawanao lakini kesho kwa mungu utaonaunafikiwako utakapokuweka

  • @lawskuli9876
    @lawskuli9876 Před 6 měsíci

    Simple mind

  • @mohamedturanardan8871
    @mohamedturanardan8871 Před 2 lety +2

    Bwanamkubwa tueleze nani alipeleka mazombi pemba uchaguzi wa kurejewa wa mbunge wa ACT aliekufa kule wakataka kuuliwa watu? kwa hekima za ACT na Babu duni wakawaachia muendelee kuiba cuhaguzi

  • @malikissa8251
    @malikissa8251 Před 2 lety

    Duh bado sana

  • @seifabdulwahid4579
    @seifabdulwahid4579 Před 2 lety +2

    Inaonyesha Na WW ukikaribia uchaguzi utauwa km huyo mbwa

    • @raiza.6920
      @raiza.6920 Před 5 měsíci

      Mbwa wewe unaeweka fujo ukitulizwa hutaki unauwa wezako ukiukiw ww una laum mtuu

  • @abdulwahababdulkadir9965
    @abdulwahababdulkadir9965 Před 2 lety +1

    Mazingira ya kulindana tu huwezi kusema humtaji ikiwa kama amefanya vibaya aambiwe maana serekali sio ya babake

  • @kassimmakame3380
    @kassimmakame3380 Před 2 lety +1

    Yeye ni mfia mapinduzi pamoja na wanomuumga mkono washasema kwamba hakuna chochote kitakachombabaisha dogo Hilo?

  • @mohdkhatib223
    @mohdkhatib223 Před 2 lety +2

    Kwasababu wote ni watoto wa nyoka na ni watoto wa shetani

  • @MAPETEE
    @MAPETEE Před 2 lety +1

    Uyu Aongea nini hajui nini Asema

  • @saidmasoud1548
    @saidmasoud1548 Před 2 lety +1

    Nyote nyinyi muwanafiki

  • @princefakamiomupovizurifak5929

    Unampongeza kwa kupiga watu

  • @hajiabdalla770
    @hajiabdalla770 Před 2 lety +4

    Siku ya kiama mutajuta nyote

    • @ahmedzahor2975
      @ahmedzahor2975 Před 2 lety +1

      Hakuna wakati mauwaji ya waislam kua matukufu nyie mungeuliwa wazee wenu au watoto wenu na wake zenu mungeyaita na kuyaona matukufu

    • @BobNgagi2023
      @BobNgagi2023 Před 2 lety

      @@ahmedzahor2975 Hivi maovu yaliyokuwa yakifanywa na Utawala wa Kisultani dhidi ya watu weusi na haya yanayoendelea leo hii huko kwa Waarabu kwenye chimbuko la Uslam hamyaoni ? Waislam wangapi wanauliwa na Waislam wenzao tena misikitini hadi mwezi wa Ramadhani hao watu wanauwana maelfu kwa maelfu kila kukicha huko kwao , hadi Saudia wenyewe wakamuuwa Ndugu yao Muislam mwenzao Jamal Khashoggi na kumkata kata vipande na kumtia kwenye viroba, leo nyie mnang'ang'ania eti hamtaki Mapinduzi kwakuwa Waislam waliuliwa, kwani watu weusi waliouliwa na kuteshwa na Usultani uliopinduliwa hawakuwa Waislam, mbn hamuwalaani hao Masultani ?

    • @alimakame9215
      @alimakame9215 Před 2 lety

      Wiz mtup

  • @mussaomar8066
    @mussaomar8066 Před 2 lety +1

    Tatizo Haji ameua hata baada ya mapinduzi ktk kila uchaguzi huyo ni muuaji

  • @seifabdulwahid4579
    @seifabdulwahid4579 Před 2 lety +1

    Kwani asihoji Na hawatendi haki kumbe naww msenge

  • @muhammedwakif6216
    @muhammedwakif6216 Před 2 lety +1

    Madaraka yana badilisha sana watu dah

  • @mohdabdallah8569
    @mohdabdallah8569 Před 2 lety +1

    Hahahaha cjawah kuipenda ccm wala kuamni

  • @el_chilubi7458
    @el_chilubi7458 Před 2 lety

    Kwanza ncheke :D CCM bila ubaguzi haiwezekani.

  • @nasseralmaqbali6317
    @nasseralmaqbali6317 Před 2 lety +1

    Huna mpango wowote Wewe, fala mkubwa Wewe

  • @keshe756
    @keshe756 Před 2 lety +1

    Imani ya dini huna labda iyo mapinduzi.

  • @suleimanpandu8955
    @suleimanpandu8955 Před 2 lety +4

    Upuuzi mtupu

  • @rastafare878
    @rastafare878 Před 2 lety +1

    CCM , tumeshachoka Na nyinyi tunataka Zanzibar yetu yenye mamlaka kamili Inshallah

    • @hairathussein1118
      @hairathussein1118 Před 2 lety

      Kwani we huna mamlaka

    • @hairathussein1118
      @hairathussein1118 Před 2 lety

      Hii nchi mazali watu walipigana kutafuta uhuru basi hayo mamlaka atayapata nyumbani kwako tu hii zanzibar inawenyewe

  • @stonetown578
    @stonetown578 Před 2 lety +1

    Naangalia huku natapika

  • @alyaly9941
    @alyaly9941 Před 2 lety

    Keep it up no longer at ease maalim AliKhamis

  • @fatmaamin3848
    @fatmaamin3848 Před 2 lety +3

    Kama wewe ni waziri hufai kabisa

    • @sleemhamoud4394
      @sleemhamoud4394 Před 2 lety

      czcams.com/video/cUTZj5i_gLM/video.html
      👆 *WAARABU WALIVYO KUJA AFRICA MASHARIKI*

  • @aishaaisharagp9381
    @aishaaisharagp9381 Před 2 lety +1

    Mnalindana nyie nyote majizi hapa hakuna anaetaka hapa mapinduzi mmepinduwa mmeuwaa kenge nyeee

  • @shammusfredy4158
    @shammusfredy4158 Před 2 lety +1

    Kumbe vutu kweli wewe choko weee, mapinduzi wayajua wewe.

  • @ismailjuma3692
    @ismailjuma3692 Před 2 lety +2

    Kwendeni zenu uko.

  • @bekaashbai1781
    @bekaashbai1781 Před 2 lety +1

    Umenenepa uyo jama hayuko poa munamjua ndo mnamtetea munajenga au munabomoa

  • @specialcuty652
    @specialcuty652 Před 2 lety

    Ninauhakika kua ww huna mapenzi na mapinduzi bali njaa ndizo zinazowahangaisha ila fahamuni dunia ni mapito

  • @keshe756
    @keshe756 Před 2 lety +2

    Mtetee tu lkn kaboronga

  • @khamisjuma3899
    @khamisjuma3899 Před 2 lety +1

    Acha unafiki

  • @shammusfredy4158
    @shammusfredy4158 Před 2 lety +1

    Mwinyi fukuza kenge huyu, choko hili , usiweke mijitu mijinga kama hii walokosa radhi za wazee wao kama wanao hao wazee

  • @massoudsultan6149
    @massoudsultan6149 Před 2 lety

    Utapambana na rehma za Allwa na yalio jiri na yatayo jiri walla tadhidi dhaalimyna ila khasara

  • @mohamedsuleiman7255
    @mohamedsuleiman7255 Před 2 lety

    Hakika sisi ni wa Allah na kwake tutarejea / na tutaulizwa kwa kila tunachokitenda / kusema / tujiandae kutetea yale tunayoyaamini mbele za Mwenyezi Mungu ikiwa ni mapinduzi / uhuru / haki / uadilifu au chochote kile

    • @sleemhamoud4394
      @sleemhamoud4394 Před 2 lety

      czcams.com/video/cUTZj5i_gLM/video.html
      👆 *WAARABU WALIVYO KUJA AFRICA MASHARIKI*

  • @khamisdaima1455
    @khamisdaima1455 Před 2 lety

    Mmhh, hatari

  • @emakakolwa859
    @emakakolwa859 Před 2 lety +1

    😏😏😏😏😏nn wabaguzi nyinyi ndo wabaguzi na wauwaji wakubwa

    • @sleemhamoud4394
      @sleemhamoud4394 Před 2 lety

      czcams.com/video/cUTZj5i_gLM/video.html
      👆 *WAARABU WALIVYO KUJA AFRICA MASHARIKI*

  • @hemedyusuph3891
    @hemedyusuph3891 Před 2 lety +1

    Huyo haji omari mmbwaa 2 huyo

  • @mussaabdallah9676
    @mussaabdallah9676 Před 2 lety

    Tunataka mapinduzi ya maendeleo sio kuendeleza mauaji na kuwapa watu ulemavu .Acheni ubabe tujenge inchi kwa Zanzibar hii tutasubiri sana

  • @mwatumsaidi5104
    @mwatumsaidi5104 Před 2 lety

    Hayo yote ulwa unajisahau kesho kwa Allah mutakwenda kujibu roho za watu mulizozizulumu na mukaona bado hadi karume mukamzulumu

  • @philipombwambo6345
    @philipombwambo6345 Před 2 lety +1

    Aliekukabidhi ofis ni rais sio huyo unae mlinda

  • @abbdulqadirelajmy3391
    @abbdulqadirelajmy3391 Před 2 lety

    Nyote sawa na Mbwa alokwenda ktka Dats Been LA Tajiri akakuta Mafupa anangongona2 washenzi wakubwa Wizi wakubwa na Mjue Shingoni Mwenu Mna kamba za Dhulma na mtaenda kulipa

  • @ramzsule7678
    @ramzsule7678 Před 2 lety

    Nahisi tayari halbadiri inaanza kuingia hivi Hadi leo bado unajadili mapinduzi yaani bado unaona mapinduzi ndio yaliokufikisha hapo

  • @masoudalriyamy6298
    @masoudalriyamy6298 Před 2 lety

    Kwisha habari omari aliy heri umekula sana wewe na sefu ali idi wafanyakazi hewa huseni usiwape nafasi hawafai hata mara 1 wameidhoofisha zanzibar

  • @murshidhaji-vk2bz
    @murshidhaji-vk2bz Před rokem

    Na macho yake

  • @swahibulfalak4378
    @swahibulfalak4378 Před 2 lety +1

    Unamlinda

  • @abdulab6202
    @abdulab6202 Před 2 lety

    Kwani mnayajuwa hayo hao walio pinduwa hamwakumbuki mnajijali nyie tu hata watoto wao hamuwathamini

  • @omarngwali3930
    @omarngwali3930 Před 2 lety

    Hakika Umesema kweli mh. Massoud uongozi ni mbio za vijiti kweli leo yeye kesho mwengine inampsa kubakisha maneno kama alikuwa na bifu na mh. Omar kheir alimalize uko uko asituchanganye...

  • @nasseralmaqbali6317
    @nasseralmaqbali6317 Před 2 lety +1

    Mnayajuwa mapinduzi nyie matapeli wakubwa nyinyi mnamlinda mtu alie uwa na kujeruhi, na kudhulumu watu siku zenu zinahisabika

    • @yussraali4872
      @yussraali4872 Před 2 lety

      Km ni ww upo kwnye nafas hyo ungefanyaje? Ungemwambia haji Omar kheri km Ni mwizi? Ungemwambia km humuheshimu? Afanye hvo ili iweje?

  • @hajiabdalla5772
    @hajiabdalla5772 Před 2 lety

    Wanga nyie kuleni riba tu ila kufa kupo na moto 🔥 munawo

  • @seifabdulwahid4579
    @seifabdulwahid4579 Před 2 lety

    Kweli means wa nyoka Ni nyoka nyote madhalimu

  • @saidmasoud1548
    @saidmasoud1548 Před 2 lety

    Wallah mutakufa dhuljalali nyote

  • @omarhamadomar8832
    @omarhamadomar8832 Před 2 lety

    Mh,Massoud huyo unaemtetea ndio kinara wa ubaguzi kashakuja sokoni mwanakwerekwe akamfukuza muuza kuku akamwambia akauze kuku Pemba

  • @suleimanbadru819
    @suleimanbadru819 Před 2 lety

    Mh daa iyo ndo SIHASA

  • @abdallahsalif9020
    @abdallahsalif9020 Před 2 lety +1

    Kwendaaa zako jambazi mkubwa ww

  • @abdulfatahalsis8400
    @abdulfatahalsis8400 Před 2 lety

    Ahh Sawa lkn nyote mtakuja uraiyan na mtazalilika tuu

  • @murshidhaji-vk2bz
    @murshidhaji-vk2bz Před rokem

    Macho km komba

  • @saidabdala4980
    @saidabdala4980 Před 2 lety +1

    Vitumwa wa DODOMA wewe. hakuna mapinduzi. Wala kulikuwa hakuna ubaguzi. Mumeuwa waislam. Na kama unasema matukufu Subiri ufe utajuwa nani alopanga yale MAUWAJI.

  • @ahmuhally4430
    @ahmuhally4430 Před 2 lety

    Maneno mengi Vitendo Zero

  • @bekaashbai1781
    @bekaashbai1781 Před 2 lety

    Unarejearejea waziri tunataka mengine

  • @mselemufaki3611
    @mselemufaki3611 Před 2 lety

    Muda unaanza kujijibu

  • @mahfoudhcalender2747
    @mahfoudhcalender2747 Před 2 lety

    Aliyoyafanya haji yanajulikana

  • @zahorosuleiman1099
    @zahorosuleiman1099 Před 2 lety +2

    Hamna jambo😁😁

  • @saidhassan7779
    @saidhassan7779 Před 2 lety

    Muda wewe utakujibu 2025