MWANANCHI WA CHAANI AMPONGEZA WAZIRI MAZRUI

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 6. 09. 2024

Komentáře • 62

  • @MAPETEE
    @MAPETEE Před 17 dny

    Mungu akubukumu wew nadir nenda kwenu humo India toka Zanzibar yetu

  • @adamyussuf1678
    @adamyussuf1678 Před měsícem +2

    Msimchezee mbungooo Jussa hamumuweziii

    • @user-xv4tl8iv4l
      @user-xv4tl8iv4l Před měsícem

      WACHA UJINGA JUSSA NANI KWENYE NCHI HII. SI BASI TU

  • @rashidomar2771
    @rashidomar2771 Před měsícem +2

    Wewe chawa ,,usiniharibie siku

  • @mohamedjuma1331
    @mohamedjuma1331 Před 14 dny

    Wewe mwrnyezi mungu atakuhukumu hapa hapa duniani watu wote watakuone wewe mnafiki mkubwa zalimu

  • @adamyussuf1678
    @adamyussuf1678 Před měsícem +2

    Wazanzibari kiu ni kuwa na Zanzibar yenye mamlaka kamili kk

  • @MAPETEE
    @MAPETEE Před 17 dny

    Babu wew nadir nenda kwenu India ukaabudie mbuzi

  • @user-gw4jj5nn2n
    @user-gw4jj5nn2n Před 14 dny

    Njaa na tamaa inakufezehesha

  • @johariabdalla3319
    @johariabdalla3319 Před měsícem +2

    Nadir shika adabu yako tafadhali,maana sasa unazidi kutovukwa na adabu,jitathmini

  • @adamyussuf1678
    @adamyussuf1678 Před měsícem +2

    Nyinyi kk nadir mnajua dhati kwamba viti mulivyokalia kwamba hamukukaa kwa ridhaa ya wananchi wa Zanzibar

  • @omarsaid673
    @omarsaid673 Před měsícem +2

    Usijitie kutaja mungu wajulikanwa

  • @omarsaid673
    @omarsaid673 Před měsícem +3

    Kichwa km belungi

  • @salyali7807
    @salyali7807 Před měsícem +2

    Mazrui kasema yote hayo kwasababu ya kuogopa CCM isije kumpiga na kumpoteza tena ... Hasbiyallah waneemal wakeel

  • @awatifalghanim1106
    @awatifalghanim1106 Před měsícem +1

    Dr. Hussein ungewapata MaWarizi watano tuu tokea hapo mwanzo kutoka ACT Wazalendo basi ungekuwa huna wasiwasi kwenye Serikali. Sifa kubwa kwa Waziri Nassor AlMazroui kutoka ACT Wazalendo kwa uwaminifu kwenye kazi yake.

  • @adamyussuf1678
    @adamyussuf1678 Před měsícem +1

    Hayo hakufanya mwinyi kk aliyefanya ni rais dkt Samia suluhu Hassan na sie mwinyiiii

    • @awatifalghanim1106
      @awatifalghanim1106 Před měsícem +1

      Asante Rais wa Muungano wa jamhuri ya Tanzania 🇹🇿 Samia Suluhu.

  • @ZaidSeifSuleiman
    @ZaidSeifSuleiman Před měsícem +2

    Wewe kumbaro ndio mwenye ubaguzi nakila mzanzibar anakujua umepewa unaibu uwaziri umebaki kusifia kila pabovu

    • @user-xv4tl8iv4l
      @user-xv4tl8iv4l Před měsícem

      JUSSA NDIE KUMBARO MKUBWA MUUZA VYUNGU ONZA NA YEYE KWANZA

  • @KHAMISMOHAMMED-fj4bs
    @KHAMISMOHAMMED-fj4bs Před měsícem +1

    Nimechelewa kuchangia nilimuamini sana huhu ila ndio mnafiki lazima ajitokeze kapigwa sana huyu na mm namuahidi Mazurui nitampinga milele tayari anaonesha ndio walokua wanamzunguka Malimu Seif

  • @TajoSeif
    @TajoSeif Před měsícem +1

    Unataka kukodi mabasi wakati jimboni kwako watu hata mlo mmoja hawapati

    • @awatifalghanim1106
      @awatifalghanim1106 Před měsícem +1

      Jamani ni ushamba mkubwa😂😂😂😂 Aibu khasa kwa hapo Zanzibar mtu kusema hivyo……akodi mabasi kwa ajili ya watu kwenda kutizama 🏥 hospitals imekuwa kama makumbusho… amakweli spitali zimekuwa kitu cha AJABU hapo Unguja na Pemba. 😂😂😂

  • @ZaidSeifSuleiman
    @ZaidSeifSuleiman Před měsícem

    Wewe hiyo sekta unayo ongoza kipi kipya wizara zenye kufanya vizuri sana zote mbili mawaziri ni ACT wazalendo

  • @omarsaid673
    @omarsaid673 Před měsícem +2

    Mazurui aogopa kuchapwa

  • @salyali7807
    @salyali7807 Před měsícem

    Wewe Nadir lazima umsifu Mwinyi kwasababu alipoingia tu Juma wa Juma kapotezwa ukae wewe ... funika kombe shetani apite

  • @ZaidSeifSuleiman
    @ZaidSeifSuleiman Před měsícem +1

    Kumbaro kumbaro unampongeza mtu kwa maslahi

  • @jumakapilima7295
    @jumakapilima7295 Před měsícem +1

    Mazrui anajitambua

  • @AA-yr7sr
    @AA-yr7sr Před měsícem +1

    Lakini ww unam domo sana ww ukisimama kwenye majikwaa una ubaguzi bakuzi falini hivi jamii ina kupenda lakini anglia mdomo wako

  • @ramzsule7678
    @ramzsule7678 Před měsícem +2

    Kwahiyo hamna la kusema sasa Kila mmoja mazurui mbona mlipo mpiga hamkumpa pole Wala kwenda kumkagua ninachokiona kwenu CCM ni unafiki TU na ni watu wa sifa yaani msifiwe TU mkikosolewa manongwa

  • @AA-yr7sr
    @AA-yr7sr Před měsícem

    Usipitali zinajengwa kweli lakini huduma hakuna wagonjwa wa Sugar kila siku wana okotwa barabarani kwa sababu hawana uwezo kununua vipima sugar ilitakiwa wa gonjwa wa sugar wapewe bure ili wanapotembea njiani wakijisikia tafurani waweze kujipima sugari

  • @sultanmohammed4157
    @sultanmohammed4157 Před měsícem +1

    Zuzu huyo ajijenga kwa mwabwana zake.

  • @KhadijaHussein-qn2ge
    @KhadijaHussein-qn2ge Před měsícem +1

    Hujielewi ww unouza znz Kwa kupewa uwazir haliyakua watu wanateka kwanjaa ww umeshiba unaju tunaishi vipi jilewe ww acha ujinga unashadidia TU tumechoka na ccm kilasiku Barabara kula basi kamazinalika

  • @ZaidSeifSuleiman
    @ZaidSeifSuleiman Před měsícem +1

    Muongo kumbaro

    • @user-xv4tl8iv4l
      @user-xv4tl8iv4l Před měsícem

      MKWELI NANI. TULIAMBIWA TUTAFURAHI SIKU MBILI TU. MBONA HUKUMWAMBIA NI MUONGO

  • @mohayussuf2057
    @mohayussuf2057 Před měsícem +1

    Mazrui kama anampigia kampeni mwinyi

  • @ZaidSeifSuleiman
    @ZaidSeifSuleiman Před měsícem +1

    Mabasi wakodiye wewe kumbaro mjinga

    • @awatifalghanim1106
      @awatifalghanim1106 Před měsícem +1

      😂😂😂😂😂 maajabu ya Zanzibar baada ya Beit la Jaibu. Hizo Spitali.

  • @user-gw4jj5nn2n
    @user-gw4jj5nn2n Před měsícem

    Wewe nadir mnafiki mwishowako mbaya

  • @user-dc8hf8lj8w
    @user-dc8hf8lj8w Před měsícem +1

    na ww ni miongn mwa wtu wanafiki wanao tia chuku n ubaguzi ktk nchi yetu

  • @adamyussuf1678
    @adamyussuf1678 Před měsícem

    Hahahaha kumbe dozi kk nadir huwa zinawafikaaa 😂😂😂😂

  • @Aisha-lj8bu
    @Aisha-lj8bu Před dnem

    Ukiwemo ww huna hata sifa ya uongozi jambazi ww

  • @omarsaid673
    @omarsaid673 Před měsícem +1

    Nyote wafanya biashara marogi

  • @NoufelSalim
    @NoufelSalim Před měsícem +1

    Muuaji ,unakula dhulma tu ,ila itakutokea puani io , na akili zenu za kuku izo

  • @faykasalum9725
    @faykasalum9725 Před měsícem +1

    Nyie kwasababu mna maslahi yenu ktk ccm muna mabiashara yenu hamuna wasi wasi na maisha yenu jee hamu wafikirii watu wasio kuwa na kitu hata mlo mmoja mtu unamshinda makodi makubwa makubwa mkisha pata nyie ndio watu wote wamepata?

    • @faykasalum9725
      @faykasalum9725 Před měsícem +1

      Munafikiria matumbo yenu na familia zenu Tu hao wengine waende wapi na hapo ndio kwao?

  • @awatifalghanim1106
    @awatifalghanim1106 Před měsícem

    Hayo yote. Kama unataka Wana Wanchi wawe radhi basi uchaguzi uwe wa haki hapo Zanzibar. Kama unavyo sema wewe Muislam. Na unajuwa hapo Zanzibar siku za uchaguzi kunakuwa vita. Watu wanaomba uchaguzi uwe wa haki na salama bila yakuuliwa Wananchi na atakae shinda ndio ashike Nchi.

  • @user-gw4jj5nn2n
    @user-gw4jj5nn2n Před 14 dny

    Wewe Nadiya mwisho wako mbaya tunawalakin kuhusu wewe

  • @SAMA-jw4fr
    @SAMA-jw4fr Před měsícem

    Wewe Kallie ukalale

  • @salyali7807
    @salyali7807 Před měsícem

    Haya yote wanafanyiwa wazanzibara kwasababu wao ndio wenye nchi sasa .. wazanzibari wote wanahama kwa dhulma ya kusudi ili nchi iwashinde wahame kwao

  • @SAMA-jw4fr
    @SAMA-jw4fr Před měsícem

    Mambo gani kazienu unaguzi tu Pba hamuifanyii haki

  • @omarsaid673
    @omarsaid673 Před měsícem

    Aah huyu

  • @mohayussuf2057
    @mohayussuf2057 Před měsícem

    Huyu jamaa ndume la kuwili saivi anasifia serekali

  • @salehkhalfan7345
    @salehkhalfan7345 Před měsícem

    Imekua Ajenda Rasmi sasa

  • @salyali7807
    @salyali7807 Před měsícem

    Nadir yuko wapi Juma wa Juma? Usituletee porojo hapa

  • @fahmysaid-zw4np
    @fahmysaid-zw4np Před měsícem

    kama siw alie kua saa zotee anawachamba ccm leo umepewe cheo yanakutoka tuh

  • @salyali7807
    @salyali7807 Před měsícem

    Watu wa Chaani tunakuuliza Nadir YUKO WAPI JUMA WA JUMA?

  • @ashahamad-mq3iz
    @ashahamad-mq3iz Před 23 dny

    Wewe ni Mjinga namba moja kazi yako matusi tu jifunze kutoka Kwa wenzio Fisadi wewe ni Muislam mbona unasema uongo fisadi wewe nyamaza

  • @user-xv4tl8iv4l
    @user-xv4tl8iv4l Před měsícem

    WELL DONE. DEPUTY MINISTER, KEEP IT UP