WATOTO WAMWAGIWA FEDHA WAKIIMBA KWA UMAHIRI SHAIRI LA UHURU, DIRA YA TAIFA

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 8. 12. 2023
  • KAMANDA WA MATUKIO ONLINE TV
    Watoto kutoka Zanzibar na Tanzania Bara wakighani kwa umahiri shairi wakati uzinduzi mchakato wa ukusanyaji maoni kutoka kwa wananchi kuhusu Dira ya Taifa ya Maendeleo 2050. Rais Samia alifanya uzinduzi huo wakati wa Maadhimisho ya miaka 62 ya uhuru wa Tanzania Bara yaliyofanyika katika ukumbi wa Mikutano wa Jakaya Kikwete Jijini Dodoma

Komentáře • 6

  • @fatumakale7004
    @fatumakale7004 Před měsícem +2

    Maashallah. ❤❤

  • @MimaKhamis-wr7qz
    @MimaKhamis-wr7qz Před 2 měsíci

    Mungu awabariki watoto wazuri mmejitaid ila mzidixhe bidii na mazoez kwa wing nawapend wote ❤❤❤❤🎉🎉🎉🎉🎉

  • @LoisaJumma
    @LoisaJumma Před 2 měsíci +1

    ❤❤❤❤ ongelen mungu awazidshie

  • @othmanchande7408
    @othmanchande7408 Před 2 měsíci +2

    Fatma said pambe

  • @murattywamuratty9778
    @murattywamuratty9778 Před 3 měsíci +2

    Mmejitahid ila muende Zanzibar kulee kwa wenzenu mukajifunze utenzi wa ushairi kimahadhi mtaweza sanaa tu

  • @MdNasr-jm8pj
    @MdNasr-jm8pj Před 2 měsíci

    Kibibi cha kizanzibar kimekaza icho🎉🎉🎉🎉