HIVI NDIVYO WASHIRIKI KUMI WA MASHINDANO YA ADHANA WALIVYOSHINDANA KATIKA MSIKITI WA IDIRISA DAR.
Vložit
- čas přidán 27. 03. 2024
- Saimu Gwao Online Tv ni chanell inayojihusisha sana na vipindi vya dini vyenye mafunzo kwa jamii na matukio tofauti yenye manufaa Tunapatikana Masjid Mtoro Jijini Dar Es salaam. Kwa mawasiliano zaidi 0713471090
mashaAllah(neema hizi ni kutoka kwa Allah (SW). ALLAH (SW) atujaalie tuzid kuipenda dini yetu na atujaalie tuingie katika pepo ya firdauss amiiin
MashAllah, mshiriki namba 3 amefanya vizuri, kisha wote wako vizuri
Mashallah wote ni washindi kwa mola mlezi.
Inaonekana mshiriki no 4 sauti imetole kwa kukusudia.
Huyu namba nne ameadhini vizuri sana MashaAllah,tena sauti kama ya Al marhum Sudeis
Maashaaallah Mungu awazidishie
ومن أحسن قولا ممن دعا إلى الله وقال إنني من المسلمين
Asalam alaykum tunawashukuru viongozi wetu kwakubuni jambo Zuri kama hili allah awazidishie kheri nyingi mzidi kusimamia dini yetu nakuleta kivutiyo kizuri ila ninaomba kuuliza washindi wanapatikana kutokea darusalam pekeyake au huwa mnachaguwa baadhi ya mikowa maana sisi huku mwanza hatujawahi kuona wanatafutwa washiriki ili kuiniwa vipaji zaidi kama haiko hivo tunaomba mje nahuku mikowani ninaeuliza naitwa abdulrahman nipo mwanza.
MashaAllah MashaAllah Wote wapo Vizuri 😍💖💖💖
Adhana Inataka Sauti Nzuri Sana Matamshi Ndo Muhimu Ila Kama Mshindi Anapatikana Kwa Kukosea Kosea Sawa
Masha Allah Allah ajalie kheri
Masha Allah mungu awape wepes nyot mko vizur
Wote mashallah ila ingependeza kwa watoto
Wa kwanza mashaallah akifumua mishipa kwa saut
Mashallah mashallah allah azidi kutupa nguvu uwezo na afya tuzidi kuipenda dini yetu amin yarabbi
Mashallah Muharam Mazola is the best 4 me❤️
Ustaadh Othman mashaallah,haujashinda lakini kwangu ni mshindi
Nimeona utofauti wa sauti zilizo mzuri lakini kifik-hi baadhi wamesoma kikaraha zaidi😢.
3,na 1 mashallah
Mohamed mazola katisha pongezi kwake
ahahaha ni muharrami Mazola uliemsema ni kaka yake
Dua baada ya adhana ni SUNNA muhimu pia baada ya adhana.
Wote wamejitahidi ila hawana sauti au niseme pumzi ya kutosha. Rithim inapanda na kushuka. Ila namba 3 akipata brush anaweza fanya vizuri
Tàfuta hiii video kwa Chanel nyengine alafu usikize namba nne utapata majibu kamili,,InshaAllah
WOTE hawana Sauti ya kuonyesha wito HUO ni MUHIMU sana
Hapo umenena.
Hayo mashindano yanafaa kwa watoto
Fadhila hazina watoto mana watoto wakati mwingine hawasomi kwa ufasaha kwa hapo ni sawa Inshaalah tutapata mshindi sahihi
Nazani unamkumbuka Bilal wakati anaazini ndugu yangu kiimani utamu wake sasa sisi tunapenda kama vile inatakiwa wote wafanye sio tuu watoto hata hao wakubwa cha muhimu lengo litimie na yale matamshi yasikike kiufasaha
Mmmhhh 😂😂 kwani watu wazima haifai kusoma adhana..Allahu Akbar jamani sio lazima tucomment
Pia watoto wengine watashindwa na pumzi
Mashallah allah awatie nguvu inshallah ❤❤❤
Wasomaji wote wazuri ila ningependekeza kuwa hizo mic wanazotumia bado hazipo sawa, wenzetu mitambo yao inawasaidia kutoa sauti nzuri zaidi
❤❤❤❤❤❤Mashaa Allah
Uyo ilokuw haitoi saut ndio mshind mm nmeon inayotoa saut ni noma sn
Tena alionyesha nguvu ama with kwa bidii ya kuadhini.
Mashallah 4👏👏
Shekh mharam umeadhini vizuri wewe ni mshindi
Mashallah tabaraka llah
Mashaalah alhamdulilah Allah akbar kabiira alhamdulillah rabilghalamiin ❤takbiir ALLAH AKBAR.
Mashallah tabarakallah
Mazola kaka mashallah m/mungu akuzidishie
Mashalla mumeadhini vizuri
Mshirik namb 4 yamjamtendea haki kumkatia sauti kwa makusudi mngu anawaona
Ma"Shaa"Allah
MashallAlllah
Koukweli Tuendako Mungu2 Atusamee Adhana Inaitaji Mashindano Jamani Kweli Mbona Mambo Yanaenda Tofauti Kabisa Na Imani Ndani Ya Msikiti Hata Mtu Akiwa Na Sauti Mbaya Kikubwa Itamke Kweli Kwenye Adhana Watu Wakusanyike Na Kutii Wito Mashindano Ya Kazi Gani Sasa
Mashaallah Mashaallah Mashaallah Mashaallah
Mashallah
Oooh allah kwa uwezo na utukufu wako wape kheri yarabi uislamu under mbele
Allhahu akbaru
Mashaalh sheikh abuu hanifa
Mashaallah
Mashaallah tabaraka llah
No. 4 no sound how can you judge? Or what?
No 1 ndio mshindi
Wote wamefanya vzy naomba namba za waazini wote walio azini
Namba 3 mashaallah
Mshiriki wa 3 anastahiki kua 1 mshindi
ALLAH AKUPENI NGUV MUWEZ KULIENDELEZA HILI INSHAALLAH
Maashallah Tabarak Allah ❤❤❤❤
Kwa hajika mashindano ni moto haswa inshaalah kwa mshindi
Uyo wa kwanza atakuja kufa 😂
😂😂😂😂😂😂😂😂 We jamaa mchokozi Sana
Mashaallah
Usiseme hivyo
❤❤❤❤❤❤❤maaashaaalaa
So nice❤❤❤❤❤❤❤🎉🎉🎉🎉😮
ALHAMDULILAH WAPO VIZURI ALLAH AWAZIDISHIE
Mashaallah....
No tatu nae mashaallah
Number 4 SAUTI yake haitoki, kwani imeminywa? Ao vipi ?
Maasha Allah
Allah akuze kipaji chako inshallah
اَلسَلامُ عَلَيْكُم وَرَحْمَةُ اَللهِ وَبَرَكاتُهُ
Hongera Sana abedi
Wakosawa mashaallah
اللهم امين اللهم زدعليهم وعلينا
Namba 3 sawa
Muhara mashallah ww nimshindi
Mmemchagua mtu kuwakilisha nchi wala hajui kuadhin
Mashaala
Mashallah 💖
waisilam wenzangu na mm nahitaji niingie kwenye hayo mashindano ya adhana
Dah huyu mfunguwaji adhana ata sjamuwelewa bado kabisa
MANSHALLAH ❤❤❤❤❤❤❤❤❤
Wako vizuri ila wa darusalam mmejipendelea
Abuu hanifa herufi unazikosea..hauko vzr
NAMBA3 ANASAUTI NZULI
Mshiriki wa tatu lakini kaharibu herufi ya (ه)ha
Mshiriki namba 3 kaua
😅mshiriki namba 3. Ameamza vizuri.alikua anamaliza vibaya. Walakin. Nimempa no.1
Bado sijampata muadhin mzur...nendeni Makkah mukaangalie waadhin..hamna pumzi..sauti na shibe..kuleni mushibe sio muhogo na masheli
Unajielewa ww??
Kwani Bilali alikua akiadhini au Adhana za watu wa zaman unadhani walikua wakiadhini wanavuta saaaana herufi ee??
Alhamdulillah
Namba 1
SUBHANNALLAH WALHAMDULLILLAH WALAHU AKBAR ❤❤❤❤❤❤❤❤❤
❤❤❤❤no 3 is good but ends mixed somalian voices
Mshirik namba 3 Muhammad mazola ndiy mshind namba moja
No
Hapana anasauti nzuri ila umaliziaji wake ndo umemuangusha
ALHAMDULILLAH
Wote washindi, walisheni tende na Vya tamu na microphone ziwe kama za wenzetu. Utawashangaaa. Sehemu kama hiyo kuwa judge ni mtihani. Hisia lazima
Ĺ😊1
No 9 yuko vzr kajitahid ila anafuta mpka sauti inayumba
Mshiriki na 3 kazi kazi
Itafteni iyo
Wewe Mwarabu soma kwanza Siyo ushabiki adhana bora ya Swahaba Bilal bin Habesh, Sauti ya kutisha wito wa LAZIMA Tukaswali tukamilishe DINI ya ALLAH Leo mnaremba wito wa kupeana taarifa sasa muda wa swalla.mtihani mkubwa.
Kua na busara,,unamwambie mwenzako asome ma we umesoma,,,bilal bin habesh ndo nani😂
Kua na busara,,unamwambie mwenzako asome ma we umesoma,,,bilal bin habesh ndo nani😂
Acha fitina ina maana wewe ndio umesoma sana au swahaba kama kakosea si tumia lugha nzuri
No 4 haina sauti
Yahya bihaky❤️❤️
Wa 4 mmenyima haki yake kwa kumtoa saut
Uyo namba 4 haina sauti
Kwa upande wangu namchagua alosoma mwanzo ndio kiboko yao
Namba 5 Anacho Kitu Kikubwa Aaache Maji Ya Baridi Na Pilipili
Huyu namba 3 jambo analo
Azana haitaki bwebwe nyingi nyote hamfai
Hapa kweli kuanzia wa 1 mpaka wa 4. Yule wa kwanza ndio afadhari😂 huyu wa 4 alikuwa ameanza kunishawisha lakini mwisho amearibu