Richard Mwaikenda
Richard Mwaikenda
  • 1 585
  • 242 452
WATOTO 6 WA MGANE WACHUKULIWA NA SERIKALI
KAMANDA WA MATUKIO ONLINE TV
Tarehe 11/7/2024 Mhe Neema Lugangira ambaye ni Mbunge wa Viti Maalumu, alipokea wito kutoka kwa Rosemary Stanslaus wa kufika Mtaa wa Nyakanyasi, Kata ya Bakoba, Bukoba Mjini kuangalia namna ya kumsaidia Makarius Sypirian Mgane mwenye watoto 6 wadogo.
Tarehe 13/7/2024 Lugangira kushirikiana na Dada Rebecca, Afisa Ustawi wa Jamii Kagera walikabidhi msaada wa magodoro, vyandarua, blanketi na vyombo. Lugangira na Mgane wameshukuru Serikali inayoongozwa na Rais Samia Suluhu Hassan kuwachukua watoto hao sita na kuwapeleka kwenye vituo vya kulelea.
"Hakika, Baba huyu anastahili pongezi na msaada, yeye ni mfano wa baba bora; na kupitia picha hizi ambazo baba ameridhia Mhe Neema Lugangira anaomba tumuongezee tabasamu kupitia #NeemaNaMaendeleoFund" Lugangira
IMEANDALIWA NA RICHARD MWAIKENDA
MSIMAMIZI MKUU
KAMANDA WA MATUKIO ONLINE TV
0754264203
zhlédnutí: 12

Video

NDIMBO AELEZEA TFF ILIVYOFANIKIWA MAONESHO YA SABASABA
zhlédnutí 4Před 14 hodinami
KAMANDA WA MATUKIO ONLINE TV Afisa Habari na Mawasiliano wa Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF), Mario Ndimbo akielezea jinsi TFF ilivyoshiriki kwa kujitegemea katika Maonesho ya 48 ya Kimataifa ya Biashara Dar es Salaam yaliyomalizika hivi karibuni.
TFF RADIO ILIVYOBAMBA SABASABA
zhlédnutí 5Před 21 hodinou
KAMANDA WA MATUKIO ONLINE TV Msimamizi wa Kituo cha TFF Radio, Adam Ngamba akielezea maendeleo ya kituo hicho katika Banda la Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania kwenye Maonesho ya Biashara ya Kimataifa Dar es Salaam Julai 12, 2024.
MAKALLA AKAGUA MAENDELEO YA UJENZI KITUO CHA AFYA KINYEREZI
zhlédnutí 2Před 14 dny
KAMANDA WA MATUKIO ONLINE TV Katibu Itikadi, Uenezi na Mafunzo wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Amos Makalla amepongeza maendeleo ya ujenzi wa Kituo cha Afya Kinyerezi alipokikagua wakati wa ziara yake mkoani Dar es Salaam Julai 8, 2024.
KIKWETE AMKUMBUSHA ALIKOTOKA KAGUO WA EWURA
zhlédnutí 21Před 14 dny
KAMANDA WA MATUKIO ONLINE TV Rais Mstaafu wa Awamu ya Nne wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete, akisalimiana na Meneja Mawasiliano na Uhusiano wa EWURA, Bw. Titus Kaguo, alipotembelea Banda la EWURA, katika Maonesho ya 48 ya Biashara ya Kimataifa (Sabasaba), leo tar. 6:7/2024
WAKARIBISHWA KUCHANGAMKIA FURSA NHC
Před 14 dny
KAMANDA WA MATUKIO ONLINE TV Shirika la Nyumba la Taifa (NHC) limewataka Watanzania kufika katika banda lao kwenye maonyesho ya Kimataifa ya bishara ya Dar Salaam, maarufu kama Sabasaba ili kujua fursa mbalimbali za upangaji na ununuzi wa nyumba aidha NHC imesema imeandaa miradi mbalimbali inayolenga kuboresha makazi na maisha ya Watanzania. Akizungumza katika banda la maonyesho la Shirika hilo...
ULENGE ANENA MAKUBWA AKICHANGIA MUSWADA WA SHERIA YA FEDHA
zhlédnutí 86Před 21 dnem
KAMANDA WA MATUKIO ONLINE TV Mbunge wa Viti Maalumu, Mhandisi Mwanaisha Ulenge akitoa mchango wake bungeni juni 27, 2024, wakati wa mjadala wa muswada wa Sheria ya Fedha,
MWANYIKA: SPIKA, KUNA JAMBO LIMENISHTUA...
zhlédnutí 131Před 21 dnem
KAMANDA WA MATUKIO ONLINE TV Mbunge wa Njombe Mjini, ambaye pia ni Mwenyekiti wa Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Viwanda, Biashara na Kilimo, Deodatus Mwanyika akitoa mchango wake bungeni Dodoma Juni 27, 2024, kwa kutetea kilimo cha chai na viwanda.
NJEZA ATOA UFAFANUZI BUNGENI BEI YA ETHANO
zhlédnutí 77Před 21 dnem
KAMANDA WA MATUKIO ONLINE TV Mwenyekiti wa Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Bajeti, ambaye ni Mbunge wa Mbeya Vijijini, Oran Njeza akitoa ufafanuzi bungeni kuhusu pendekezo la bei ya Ethano. Amefanya hivyo alipoombwa na Spika ulipozuka mjadalabungeni kuhusu ongezeko kubwa la bei ya Ethano inayozalishwa nchini na inayoaagizwa nje ya nchi.
KANDEGE ACHANGIA KWA KINA MUSWADA SHERIA YA FEDHA
zhlédnutí 32Před 28 dny
KAMANDA WA MATUKIO ONLINE TV Mbunge wa Kalambo, Josephat Kandege akichangia mjadala wa Muswada wa Sheria ya Fedha wa mwaka 2024 bungeni Dodoma Juni 27, 2024.
PROF NDAKIDEMI AKOSHWA NA BAJETI KUU, HASA KILIMO
zhlédnutí 7Před 28 dny
KAMANDA WA MATUKIO ONLINE TV Mbunge wa Moshi Vijijini, Prof Patrick Ndakidemi aichambua Bajeti Kuu ya Serikali na kukoshwa hasa na Bajeti ya Kilimo ambayo amesema kuwa itawasaidia kwa upana wakulima nchini. Ameyasema hayo alipokuwa akizungumza na katika mahojiano maalumu na vyombo vya habari kwenye viwanja vya Bunge jijini Dodoma Juni 26, 2024.
MWANYIKA AITAKA SERIKALI KUWEKA UMEME ENEO LA UWEKEZAJI NJOMBE
zhlédnutí 42Před 28 dny
KAMANDA WA MATUKIO ONLINE TV Mbunge wa Njombe Mjini, Deodatus Mwanyika ameihoji serikali bungeni Dodoma kwamba ina mpango gani wa kuweka umeme eneo la Uwekezaji mkoani Njombe. Amehoji hilo alipouliza swali la nyongeza kwa niaba ya Mbunge wa Lupembe, Edwin Swale.
ASENGA ALONGA MAKUBWA SAKATA LA SUKARI
zhlédnutí 80Před měsícem
KAMANDA WA MATUKIO ONLINE TV Mbunge wa Kilombero, Abubakar Asenga akizungumza kiundani na vyombo vya habari kwenye viwanja vya Bunge jijini Dodoma Juni 24, 2024,jinsi ya kulitafutia ufumbuzi sakata la sukari nchini kwa manufaa ya Taifa na wakulima wa zao la miwa.
KASAKA ASHUSHA NONDO MJADALA BAJETI KUU
zhlédnutí 12Před měsícem
KAMANDA WA MATUKIO ONLINE TV Mbunge wa Lupa Chunya, Masache Kasaka akichangia mjadala wa Bajeti Kuu ya Serikali bungeni Dodoma Juni 24, 2024.
DK PALLANGYO AZIDI KUPAMBANIA UJENZI WA BARABARA YATENGERU-MERERENI
zhlédnutí 18Před měsícem
KAMANDA WA MATUKIO ONLINE TV Mbunge wa Arumeru Mashariki, Dk. John Pallangyo ameihoji serikali bungeni Dodoma Juni 24, 2024, kwamba lini ujenzi wa kiwango cha lami barabara ya Tengeru kwenda Mererani utaanza?
MWANTONA AITAKA SERIKALI KUZIWEZESHA HALMASHAURI ZIJITEGEMEE
zhlédnutí 14Před měsícem
MWANTONA AITAKA SERIKALI KUZIWEZESHA HALMASHAURI ZIJITEGEMEE
NJEZA ATAKA MIPAKA YA VIJIJI MBEYA VIJIJINI IREKEBISHWE
zhlédnutí 53Před měsícem
NJEZA ATAKA MIPAKA YA VIJIJI MBEYA VIJIJINI IREKEBISHWE
DK RWEIKIZA ACHANGIA MAKUBWA BAJETI KUU YA SERIKALI
zhlédnutí 135Před měsícem
DK RWEIKIZA ACHANGIA MAKUBWA BAJETI KUU YA SERIKALI
VIONGOZI VYAMA VYA SIASA WABARIKI UCHAGUZI KUSIMAMIWA NA TAMISEMI
zhlédnutí 5Před měsícem
VIONGOZI VYAMA VYA SIASA WABARIKI UCHAGUZI KUSIMAMIWA NA TAMISEMI
KANUNI MPYA KUWEZESHA UCHAGUZI WA SERIKALI ZA MITAA KUWA HURU, HAKI NA AMANI
zhlédnutí 20Před měsícem
KANUNI MPYA KUWEZESHA UCHAGUZI WA SERIKALI ZA MITAA KUWA HURU, HAKI NA AMANI
PROF NDAKIDEMI AMHOJI WAZIRI MKUU SERIKALI INA MPANGO GANI WA KUWASIDIA WAWEKEZAJI WAZAWA
zhlédnutí 72Před měsícem
PROF NDAKIDEMI AMHOJI WAZIRI MKUU SERIKALI INA MPANGO GANI WA KUWASIDIA WAWEKEZAJI WAZAWA
DK PALLANGYO AIBANA KOO SERIKALI TATIZO LA MAJI ARUMERU
zhlédnutí 5Před měsícem
DK PALLANGYO AIBANA KOO SERIKALI TATIZO LA MAJI ARUMERU
DK PALLANGYO AITAKA SERIKALI KUSAMBAZA MAJI KATIKA VIJIJI HIVI ARUMERU
zhlédnutí 7Před měsícem
DK PALLANGYO AITAKA SERIKALI KUSAMBAZA MAJI KATIKA VIJIJI HIVI ARUMERU
SERIKALI YAKUBALI OMBI LA PROF NDAKIDEMI KUPELEKA MAJI MOSHI VIJIJINI
zhlédnutí 71Před měsícem
SERIKALI YAKUBALI OMBI LA PROF NDAKIDEMI KUPELEKA MAJI MOSHI VIJIJINI
NJEZA AMTAKA WAZIRI AENDE KUMALIZA MGOGORO BAINA YA WANANCHI, TANAPA
zhlédnutí 26Před měsícem
NJEZA AMTAKA WAZIRI AENDE KUMALIZA MGOGORO BAINA YA WANANCHI, TANAPA
ASENGA AITAKA SERIKALI IJENGE CHUO CHA VETA IFAKARA
zhlédnutí 3Před měsícem
ASENGA AITAKA SERIKALI IJENGE CHUO CHA VETA IFAKARA
MWANYIKA AITAKA SERIKALI KUPELEKA MINARA ULIWA
zhlédnutí 3Před měsícem
MWANYIKA AITAKA SERIKALI KUPELEKA MINARA ULIWA
MARIAM NYOKA ATAKA MAAFISA UGANI WAFIKE KWA WAFUGAJI VIJIJINI
zhlédnutí 7Před měsícem
MARIAM NYOKA ATAKA MAAFISA UGANI WAFIKE KWA WAFUGAJI VIJIJINI
VAN ZEELAND AGEUKA MBOGO AKIHOJI KUSUASUA UJENZI WA BARABARA YA TURIANI- MZIHA
zhlédnutí 8Před měsícem
VAN ZEELAND AGEUKA MBOGO AKIHOJI KUSUASUA UJENZI WA BARABARA YA TURIANI- MZIHA
ALIOSOMA NAO SHERIA DKT RWEIKIZA WATAMBULISHWA BUNGENI
zhlédnutí 128Před měsícem
ALIOSOMA NAO SHERIA DKT RWEIKIZA WATAMBULISHWA BUNGENI

Komentáře

  • @user-mu4ij3vj5i
    @user-mu4ij3vj5i Před 24 dny

    Amina watu wa Mungu mubarikiwe sana

  • @user-bp9rb3id3f
    @user-bp9rb3id3f Před 27 dny

    Mungu amtunze huyu mh Oran Njeza ni moja kati ya madini yanayotembea wakati bado upo tuendelee kumuombea afya njema

  • @AntidiusMathias
    @AntidiusMathias Před měsícem

    nipe no za cm za shule yenu

  • @fatumakale7004
    @fatumakale7004 Před měsícem

    Maashallah. ❤❤

  • @msifunilazaro6225
    @msifunilazaro6225 Před 2 měsíci

    Mama kaboyoka mimi ni CCM wa kweli ndiomana nimeamua kukupongeza kupitia jitihada zako zakuibana serekali kupeleka maendeleo ya barabara ya lami ndungu hata sasa barabara hiyo ya mkomazi ndungu kisiwani same haijafikia 55% kama naibu waziri alivyo sema sio kweli japo mimi sio mtaalam lakini kwa macho yangu yanaona vizuri sana barabara yetu naweza kusema imefikia asilimi 30% kama sio 28% hivyo basi naiomba wizara yenye dhamana kufatilia ili kuona uhalisia nasio kupokea ripoti ofisini kwaniaba yawana ndungu wote tupenda kumshukuru Mh. Dr. Samia suluhu hassan rais wa awamu ya sita wajamuhuri ya muungano wa tanzania kutukumbuka kwenye huduma mbali mbali ikiwemo afya bora elimu bora maji bora umeme kata zote vijiji vitongoji na mitaa kilimo bora mbolea na madawa bil.3.5 ukarabati waskimu ya kilimo cha mpunga viwanja vya makazi vyenye hati miliki. ekar 300 kwa vijiji vitatu sekondari kijiji cha misufini daraja lajuu la dimbwi zahanati kata ya kalemawe na sekondari gari jipya la wagonjwa kituo cha afya ndungu namengine mengi sana nitayasema wakati mwingine MUNGU ambariki mama samia wakati wote nasiku zote ila tunamuomba mama barabara ya lami nasiku moja amlete mh. makonda mkoa wa Kilimanjaro kuwa mkuu wa mkoa anafanya kazi kwa maslahi ya wengi chama chake cha CCM naserekali ya jamuhuru ya muungano wa tanzania chini Dr samia suluhu hassan

  • @msifunilazaro6225
    @msifunilazaro6225 Před 2 měsíci

    Mama kaboyoka mimi ni CCM wa kweli ndiomana nimeamua kukupongeza kupitia jitihada zako zakuibana serekali kupeleka maendeleo ya barabara ya lami ndungu hata sasa barabara hiyo ya mkomazi ndungu kisiwani same haijafikia 55% kama naibu waziri alivyo sema sio kweli japo mimi sio mtaalam lakini kwa macho yangu yanaona vizuri sana barabara yetu naweza kusema imefikia asilimi 30% kama sio 28% hivyo basi naiomba wizara yenye dhamana kufatilia ili kuona uhalisia nasio kupokea ripoti ofisini kwaniaba yawana ndungu wote tupenda kumshukuru Mh. Dr. Samia suluhu hassan rais wa awamu ya sita wajamuhuri ya muungano wa tanzania kutukumbuka kwenye huduma mbali mbali ikiwemo afya bora elimu bora maji bora umeme kata zote vijiji vitongoji na mitaa kilimo bora mbolea na madawa bil.3.5 ukarabati waskimu ya kilimo cha mpunga viwanja vya makazi vyenye hati miliki. ekar 300 kwa vijiji vitatu sekondari kijiji cha misufini daraja lajuu la dimbwi zahanati kata ya kalemawe na sekondari gari jipya la wagonjwa kituo cha afya ndungu namengine mengi sana nitayasema wakati mwingine MUNGU ambariki mama samia wakati wote nasiku zote ila tunamuomba mama barabara ya lami nasiku moja amlete mh. makonda mkoa wa Kilimanjaro kuwa mkuu wa mkoa anafanya kazi kwa maslahi ya wengi chama chake cha CCM naserekali ya jamuhuru ya muungano wa tanzania chini Dr samia suluhu hassan

  • @msifunilazaro6225
    @msifunilazaro6225 Před 2 měsíci

    Mama kaboyoka mimi ni CCM wa kweli ndiomana nimeamua kukupongeza kupitia jitihada zako zakuibana serekali kupeleka maendeleo ya barabara ya lami ndungu hata sasa barabara hiyo ya mkomazi ndungu kisiwani same haijafikia 55% kama naibu waziri alivyo sema sio kweli japo mimi sio mtaalam lakini kwa macho yangu yanaona vizuri sana barabara yetu naweza kusema imefikia asilimi 30% kama sio 28% hivyo basi naiomba wizara yenye dhamana kufatilia ili kuona uhalisia nasio kupokea ripoti ofisini kwaniaba yawana ndungu wote tupenda kumshukuru Mh. Dr. Samia suluhu hassan rais wa awamu ya sita wajamuhuri ya muungano wa tanzania kutukumbuka kwenye huduma mbali mbali ikiwemo afya bora elimu bora maji bora umeme kata zote vijiji vitongoji na mitaa kilimo bora mbolea na madawa bil.3.5 ukarabati waskimu ya kilimo cha mpunga viwanja vya makazi vyenye hati miliki. ekar 300 kwa vijiji vitatu sekondari kijiji cha misufini daraja lajuu la dimbwi zahanati kata ya kalemawe na sekondari gari jipya la wagonjwa kituo cha afya ndungu namengine mengi sana nitayasema wakati mwingine MUNGU ambariki mama samia wakati wote nasiku zote ila tunamuomba mama barabara ya lami nasiku moja amlete mh. makonda mkoa wa Kilimanjaro kuwa mkuu wa mkoa anafanya kazi kwa maslahi ya wengi chama chake cha CCM naserekali ya jamuhuru ya muungano wa tanzania chini Dr samia suluhu hassan

  • @user-rg9nj8rp6t
    @user-rg9nj8rp6t Před 2 měsíci

    Amina

  • @danieljoseph1610
    @danieljoseph1610 Před 2 měsíci

    Hili ni bunge la nchi gani linalotumia mic ya kushika mkononi kama mhubiri wa mitaani?

  • @LoisaJumma
    @LoisaJumma Před 2 měsíci

    ❤❤❤❤ ongelen mungu awazidshie

  • @MimaKhamis-wr7qz
    @MimaKhamis-wr7qz Před 2 měsíci

    Mungu awabariki watoto wazuri mmejitaid ila mzidixhe bidii na mazoez kwa wing nawapend wote ❤❤❤❤🎉🎉🎉🎉🎉

  • @allyomary2271
    @allyomary2271 Před 2 měsíci

    Ukweli usemwe kuna mambo hayako sawa kwenye muungano wetu Zanzibar imeimeza Tanganyika inaserikali yake kamilifu Tanganyika tunaserikali moja tu ya Tanzania ambayo inaunganisha Tanganyika na Zanzibar

  • @user-xd7bi5lv9s
    @user-xd7bi5lv9s Před 2 měsíci

    Lisu hana akili

  • @MdNasr-jm8pj
    @MdNasr-jm8pj Před 2 měsíci

    Kibibi cha kizanzibar kimekaza icho🎉🎉🎉🎉

  • @kaaakwakutuliaa5179
    @kaaakwakutuliaa5179 Před 2 měsíci

    mbona magufuri walikua wanasema katoka chato

  • @kaaakwakutuliaa5179
    @kaaakwakutuliaa5179 Před 2 měsíci

    ccm tunaiomba katiba ya zanzibar na je inawezekana mbara kuwa raisi zanzibar hata kikatiba

  • @kaaakwakutuliaa5179
    @kaaakwakutuliaa5179 Před 2 měsíci

    ivi kwani samia ni mkenyaaa

  • @user-ut2fo1hi9i
    @user-ut2fo1hi9i Před 2 měsíci

    Endelea kysikitika lakini ukweri ndiyo huo, kausema lisu

  • @user-ku3cx6yj7m
    @user-ku3cx6yj7m Před 2 měsíci

    Ungejibu hoja badala yakusikitishwa maana lisu ameshamjibu wakili fatma n'a unavomjuwa fatma anavojibugi mbona akumjibu lisu badala yakuifafanuwa katiba .so lamsingi nazani nawewe ungeingiya kwenye katiba ukafafanuwa

    • @robertzamani5612
      @robertzamani5612 Před 2 měsíci

      Tusomee katiba sio unaongea kutoka kichwani

    • @user-xd7bi5lv9s
      @user-xd7bi5lv9s Před 2 měsíci

      Wapumbavu ndo wanamsikiliza tundu lisu anabwabwaja2 Hana hoja,upnzani mwenyesifa ya kuwa kiongozi nizitto2 5:27

  • @abdull_hafidh
    @abdull_hafidh Před 2 měsíci

    Kwani Samia ni wawapi jaman sasa Tundu amekosea wp ???

  • @albertinamichael6123
    @albertinamichael6123 Před 2 měsíci

    Kwani sio mzanzibar?????

  • @knight6757
    @knight6757 Před 2 měsíci

    🤔

  • @othmanchande7408
    @othmanchande7408 Před 2 měsíci

    Fatma said pambe

  • @onionpeeling5822
    @onionpeeling5822 Před 3 měsíci

    Great to hear from him / great family indeed / Mzee Matinyi raised his kids very well ❤

  • @aminabakari7541
    @aminabakari7541 Před 3 měsíci

    Moga oyeee yani moga ni bonge la shule ipo motooo mwanao akisoma hapo hutojutia hata ada yako

  • @badibadi6466
    @badibadi6466 Před 4 měsíci

    Mama unachapa kazi

  • @murattywamuratty9778
    @murattywamuratty9778 Před 4 měsíci

    Mmejitahid ila muende Zanzibar kulee kwa wenzenu mukajifunze utenzi wa ushairi kimahadhi mtaweza sanaa tu

  • @naliakafatuma9870
    @naliakafatuma9870 Před 5 měsíci

    Kila la kheri Mh hongera Sana kazi njema barikiwa Sana Yanga

  • @barozabwimba3654
    @barozabwimba3654 Před 6 měsíci

    Wewe bwege umetokea wapi wewe ni kaka au dada

  • @michaelmlugu5654
    @michaelmlugu5654 Před 6 měsíci

    Msafiri niaona katumwa sio bodaboda huyo anamja mwenyekiti anadai kakosea Kam boda ujasili huo wa kumtaja mwenyekiti kautoa wapi huyo ni mtu wa mfumo

  • @gipsonMakole
    @gipsonMakole Před 6 měsíci

    naomba namba za sekondari yenu

  • @gipsonMakole
    @gipsonMakole Před 6 měsíci

    ada. yenu kwa bweni ni beigani

  • @user-qp6mb7lu8s
    @user-qp6mb7lu8s Před 6 měsíci

    Myao nimwelewa kinoma mwalimu wake apewe zawadi

  • @emmiemmi3861
    @emmiemmi3861 Před 7 měsíci

    Mmoja tu ndio mwenye kichwa😅

  • @thanimosi8906
    @thanimosi8906 Před 7 měsíci

    Safi sana Katibu wa Idara ya Organization Taifa Ndg ISSA Gavu

  • @user-lm6mh4tx5x
    @user-lm6mh4tx5x Před 7 měsíci

    Huyu wa simba ni kichuma😂😂😂😂😂😂

  • @usembiphonedar5632
    @usembiphonedar5632 Před 7 měsíci

    Mnadanganyana ccm kwamba kuna ushindi wa asubuhi 2025! ccm haifai tena kuongoza Taifa hili!

  • @BigZhumbe
    @BigZhumbe Před 7 měsíci

    Sasa hapo ni aibu gari RAISI hakujui mpaka umtajie rangi ya jezi 😂😂😂😂😂😂😂 ungetaja Simba asingekuuliza jezi koz anaijua na anaipenda.

  • @BigZhumbe
    @BigZhumbe Před 7 měsíci

    Watoto kuna muda wanakua kama Kondoo mmoja akianzisha wengine wanafuata 😂😂😂😂😂😂 ila namba wani wao ni Myao na hataki mazoea. Beautiful kids

  • @Officialsummarizer
    @Officialsummarizer Před 7 měsíci

    wayao oyeee from tunduru kusini nyanda za kati

  • @jamesnjenga813
    @jamesnjenga813 Před 7 měsíci

    Ukabila nyie watanzania achaneni nao sisi wakenya imetuingia ata tukijaribu bado inaturidisha nyuma

  • @gayanimwansasu
    @gayanimwansasu Před 7 měsíci

    Katika wote mwenye akili za Mungu ni mmoja

  • @user-lk5cw1cg6s
    @user-lk5cw1cg6s Před 7 měsíci

    Safi lakin ivi jamani mbona barabar zikuwa ngumu wakati Wananchi wanaumia kulipa kodi, barabara ya King'ori kutoka kibaoni mpaka ngarenanyuki na ata ni ya ata kabla ya uhuru lakini mpaka leo haitengezwi!! 😱😱

  • @user-rz1sb1ir8c
    @user-rz1sb1ir8c Před 7 měsíci

    Uyo myao kauwa Sana mwangu uyo❤❤❤❤❤❤

  • @user-du6su6mh1h
    @user-du6su6mh1h Před 7 měsíci

    safi sana vita wetu

  • @user-sk3ni5ty2d
    @user-sk3ni5ty2d Před 7 měsíci

    Nancy kazngua ukubw wet jamn

  • @kaaakwakutuliaa5179
    @kaaakwakutuliaa5179 Před 7 měsíci

    SAFI KABISA UKABILA TUSHA ACHANANO KITAMBO SANA

  • @jaylossiame3077
    @jaylossiame3077 Před 8 měsíci

    Nasikia 5😅😅 alafu we killed them 😂😂 Yellow right🎉🎉🎉 Mpaka FIFA imepata habali 😂😂 Simba kaoza mpaka mdomo haungurumi anabweka tu😅😅😅

  • @blackblue9729
    @blackblue9729 Před 8 měsíci

    Muyao tisha saana⚘️⚘️🌷

  • @AnnaKabwe-ti7le
    @AnnaKabwe-ti7le Před 8 měsíci

    Its a very good school