MPINA 'AMCHANA' MWIGULU MAKAVU "KUNA NJAMA YAKUIBIA SERIKALI, WAZIRI FEDHA ATUAMBIE"

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 6. 09. 2024
  • #UhondoTV #Uhondo

Komentáře • 50

  • @MACHOYATAI-jk6fu
    @MACHOYATAI-jk6fu Před 3 měsíci +12

    Ila wasukuma wanajitoaga sana wakipata uongozi MUNGU akusaidie mpina wewe Makonda mnajitoa sana kwa kweli!!

  • @obedpeter6874
    @obedpeter6874 Před 3 měsíci +6

    Hongera mpina,uyu mwamba ndio kanifanya nirudi kusikiliza ili bunge

  • @peterkerenge9207
    @peterkerenge9207 Před 3 měsíci +6

    Napendaga sana mpina akiruka na mwigulu😊 nahisi hawa jamaa ni washikaji au watakuja kuwa wana sana😅

  • @norbertmbena5896
    @norbertmbena5896 Před 3 měsíci +9

    Siuoni ubaya wa Mpina
    Mawaziri wanajinoa kwa ajili ya Mpina hongera sana

    • @KagirwaMbaraka
      @KagirwaMbaraka Před 2 měsíci

      Mpina ukosawasawa

    • @KagirwaMbaraka
      @KagirwaMbaraka Před 2 měsíci

      Mwiguru baada yakuOngerea vitu vyamaana aongerea madeleva waselikalI

  • @twahamaulid
    @twahamaulid Před 3 měsíci +9

    Mh. Mpina ni mfano wa Wabunge ambao sio wavivu kufikili na ndio maana amekuwa ni mtu wa Data na tafiti katika uwasilishaji wa hoja zake bungeni. Nampenda sana mwana CCM huyu.

  • @jacklinelyimo7407
    @jacklinelyimo7407 Před 3 měsíci +2

    Ni kweli Tz iko kwenye list mbaya Duniani ya kifedha haiaminiki

  • @wemakyagunya1895
    @wemakyagunya1895 Před 2 měsíci +1

    Luhaga Mpina uishi milele nakuelewa saaana.❤Piga kazi utalipwa taji lako Mbinguni.

  • @abdallahnkrumah6237
    @abdallahnkrumah6237 Před 3 měsíci +6

    Kwa kiasi kikubwa michango mingi ya Mh. Mpina inalenga kuinusuru serikali ya Chama chake. Tatizo kubwa wenzake wa CCM hawamuelewi Kabisa. NABII HAKUBALIKI KWAO.

  • @MACHOYATAI-jk6fu
    @MACHOYATAI-jk6fu Před 3 měsíci +2

    Mbunge boraaaaaa kuwahi kutokea eee MUNGU BABA mlinde wasimuuwe

  • @SaidOmary-fd3bj
    @SaidOmary-fd3bj Před 3 měsíci +7

    NAFIKIRIA KAMA KUNGELIKUWA NA MGOMBEA BINAFSI BASI HILI BUNGE LINGECHIMBIKA
    ( MPINA ANAJILIPUA)

  • @victorkisenha5933
    @victorkisenha5933 Před 3 měsíci +2

    Big up bro , mpina,

  • @dassustephen731
    @dassustephen731 Před 3 měsíci +4

    Huyu Jamaa Mpina NI mfuatiliaji WA mambo.Kwa kifupi Jamaa ana akili zinafanya kazi Sana.Kumjibu Mpina lazima waziri awe amejipanga kweli kweli,vinginevyo ataishia kumjibu "NI mganga WA kienyeji" which is quite a nonsensical response

  • @jamesmethusela1148
    @jamesmethusela1148 Před 2 měsíci

    Huyu jamaa ni smart sana sema basi tu hii nchi ukisema ukweli unapigwa vita sana na viongozi wa juu.

  • @raymondsonje1469
    @raymondsonje1469 Před 2 měsíci +1

    Mungu baba mlinde dhid ya waovu na watu wabaya

  • @philemonnestory4239
    @philemonnestory4239 Před 2 měsíci +1

    Mpina nakukubali sana

  • @EdwardKwiyanga
    @EdwardKwiyanga Před 3 měsíci +6

    Mhe.mpina hata kama watakubeza mm naamini safar uliyoianzisha itafk tu ingawa sio lahisi

  • @HashimuAbubakar-ej8gc
    @HashimuAbubakar-ej8gc Před 3 měsíci +4

    Mbunge Bora mpina

  • @alumonkisinda4574
    @alumonkisinda4574 Před 3 měsíci +2

    mpina ni mbunge kichwa sanaaa anaakili nyingi ni msomi anauchungu Kama magu na taifa wengine hao mi sijawaelewa

  • @macklinabenedicto4627
    @macklinabenedicto4627 Před 3 měsíci +2

    Na mchukia sana mwigulu MUNGU anisamehe kwa hili

  • @MACHOYATAI-jk6fu
    @MACHOYATAI-jk6fu Před 3 měsíci +2

    Mpina huwa anatetea wananchi wanyonge simpendi samia kigulu na njia KAZI kuuza bandari zetu

  • @rehemakayuga7051
    @rehemakayuga7051 Před 3 měsíci +4

    Ipo Siku itafika Mpina Ataonekana Kile Anachokisema Kipo Sahihi

  • @tumainiaroni7980
    @tumainiaroni7980 Před 3 měsíci +4

    Mpina songs mbele kwamaono yako

  • @juliusakilimali9424
    @juliusakilimali9424 Před 3 měsíci +3

    Mzalendo ❤

  • @user-my7fj6wn7y
    @user-my7fj6wn7y Před 3 měsíci +4

    Maswali yapo, majibu hatuyaoni

  • @rahimsadru-ct4ot
    @rahimsadru-ct4ot Před 2 měsíci +1

    Mpina mmoja Ni CCM nzima asee,,jitu Lina hoja,,Akil,,maarifa,,,

  • @WazaeliStefano
    @WazaeliStefano Před 3 měsíci +4

    Mpina unapambana kweli lakini upade uliopo simzuri

    • @barakalukeha6184
      @barakalukeha6184 Před 3 měsíci +3

      Watu kama hao wasijitoe ccm na wako wengi ebu wajitokeze wote,na wasihame chama wakihama chama watabezwa na itatafsiriwa kwamba wanaichukia ccm,

    • @geey7893
      @geey7893 Před 3 měsíci

      Sure​@@barakalukeha6184

    • @barakalukeha6184
      @barakalukeha6184 Před 3 měsíci

      🙏🙏

  • @angelsgabriely3575
    @angelsgabriely3575 Před 3 měsíci +1

    Waziri wa fedha hafai,hafai kabsa ndo magazine wa kwanza!..kaz yake kuxhuna watu wa chini lkn mapapa anawaacha!

  • @pendaelmollel1847
    @pendaelmollel1847 Před 2 měsíci +1

    Huyu ana kitu asikilizwe. Kanifanya nikumbuke nchi hii ina bunge

  • @johnsonsabanya5860
    @johnsonsabanya5860 Před 2 měsíci

    Mungu akusimamie

  • @robertedward1992
    @robertedward1992 Před 3 měsíci +2

    Huyo na kishimba wako powa.

  • @rahimsadru-ct4ot
    @rahimsadru-ct4ot Před 2 měsíci +1

    Mpina yupo mbele miaka 30 weng hawamuelew

  • @sss3s867
    @sss3s867 Před 3 měsíci +1

    hoja sahihi kabisa.
    da ger kwa pesa na usalama wa nchi.
    ndio hivyo msma snesems kila mmoja ale kwa urefu wa kamba yake

  • @HusseiniHassani
    @HusseiniHassani Před 2 měsíci +1

    Huyu jamaa mbona anafanana sana na HAKIKA RUBEN mpaka sauti

  • @seifkulwa3346
    @seifkulwa3346 Před 2 měsíci

    Mpambanaji safi sana!

  • @angelsgabriely3575
    @angelsgabriely3575 Před 3 měsíci

    Mwigulu hafai ndo mpigaji wa kwanza!..ajiuzulu hafai!..kaz ni kuumiza watu wa chini lkn wale mapapa anawaacha waendelee kula!.

  • @gelardbalalu9119
    @gelardbalalu9119 Před 2 měsíci

    Au tuandamane tuende bungeni tuwaambie kabisa mpina aludi bungeni

  • @geey7893
    @geey7893 Před 3 měsíci +1

    Sure, hii nchi imejiingira kweny mifumo ya tehama mibovu na ya kifisaidi haijawahi tokea. Uku utumishi kuna PEPMIS ni uongo mtupuu, haina maana yoyote zaiid ya kutesa watumishi..mtandao mbovu, mfumo mzito, yani tunanunua mifumo kwa gharama za fedha za watanzania halafu zinageuka kuwa chanzo cha upigaji na upotevu wa muda

  • @paulmteki8196
    @paulmteki8196 Před 3 měsíci

    Spika kunambo kama wananchi tunahumia kuona Mambo mawaziri wanatetea jambo badaye linaonekana ni laukweli spika bunge lako linakuwa la hovyo

  • @miltonjohn9779
    @miltonjohn9779 Před 3 měsíci

    Mwiguru ni mwizi mno

  • @fredrickipembe8188
    @fredrickipembe8188 Před 3 měsíci

    Waziri wa fedha kazi yake ni kuongeza kodi za hovyo eti wa kulima wawe na machine ya ifd