Mh. Mpina ni mfano wa Wabunge ambao sio wavivu kufikili na ndio maana amekuwa ni mtu wa Data na tafiti katika uwasilishaji wa hoja zake bungeni. Nampenda sana mwana CCM huyu.
Kwa kiasi kikubwa michango mingi ya Mh. Mpina inalenga kuinusuru serikali ya Chama chake. Tatizo kubwa wenzake wa CCM hawamuelewi Kabisa. NABII HAKUBALIKI KWAO.
Huyu Jamaa Mpina NI mfuatiliaji WA mambo.Kwa kifupi Jamaa ana akili zinafanya kazi Sana.Kumjibu Mpina lazima waziri awe amejipanga kweli kweli,vinginevyo ataishia kumjibu "NI mganga WA kienyeji" which is quite a nonsensical response
Sure, hii nchi imejiingira kweny mifumo ya tehama mibovu na ya kifisaidi haijawahi tokea. Uku utumishi kuna PEPMIS ni uongo mtupuu, haina maana yoyote zaiid ya kutesa watumishi..mtandao mbovu, mfumo mzito, yani tunanunua mifumo kwa gharama za fedha za watanzania halafu zinageuka kuwa chanzo cha upigaji na upotevu wa muda
Ila wasukuma wanajitoaga sana wakipata uongozi MUNGU akusaidie mpina wewe Makonda mnajitoa sana kwa kweli!!
Bila shaka
Hongera mpina,uyu mwamba ndio kanifanya nirudi kusikiliza ili bunge
Napendaga sana mpina akiruka na mwigulu😊 nahisi hawa jamaa ni washikaji au watakuja kuwa wana sana😅
Siuoni ubaya wa Mpina
Mawaziri wanajinoa kwa ajili ya Mpina hongera sana
Mpina ukosawasawa
Mwiguru baada yakuOngerea vitu vyamaana aongerea madeleva waselikalI
Mh. Mpina ni mfano wa Wabunge ambao sio wavivu kufikili na ndio maana amekuwa ni mtu wa Data na tafiti katika uwasilishaji wa hoja zake bungeni. Nampenda sana mwana CCM huyu.
Ni kweli Tz iko kwenye list mbaya Duniani ya kifedha haiaminiki
Luhaga Mpina uishi milele nakuelewa saaana.❤Piga kazi utalipwa taji lako Mbinguni.
Kwa kiasi kikubwa michango mingi ya Mh. Mpina inalenga kuinusuru serikali ya Chama chake. Tatizo kubwa wenzake wa CCM hawamuelewi Kabisa. NABII HAKUBALIKI KWAO.
Umeona were!!!
Mbunge boraaaaaa kuwahi kutokea eee MUNGU BABA mlinde wasimuuwe
NAFIKIRIA KAMA KUNGELIKUWA NA MGOMBEA BINAFSI BASI HILI BUNGE LINGECHIMBIKA
( MPINA ANAJILIPUA)
Big up bro , mpina,
Huyu Jamaa Mpina NI mfuatiliaji WA mambo.Kwa kifupi Jamaa ana akili zinafanya kazi Sana.Kumjibu Mpina lazima waziri awe amejipanga kweli kweli,vinginevyo ataishia kumjibu "NI mganga WA kienyeji" which is quite a nonsensical response
Huyu jamaa ni smart sana sema basi tu hii nchi ukisema ukweli unapigwa vita sana na viongozi wa juu.
Mungu baba mlinde dhid ya waovu na watu wabaya
Mpina nakukubali sana
Mhe.mpina hata kama watakubeza mm naamini safar uliyoianzisha itafk tu ingawa sio lahisi
Mbunge Bora mpina
mpina ni mbunge kichwa sanaaa anaakili nyingi ni msomi anauchungu Kama magu na taifa wengine hao mi sijawaelewa
Na mchukia sana mwigulu MUNGU anisamehe kwa hili
Mpina huwa anatetea wananchi wanyonge simpendi samia kigulu na njia KAZI kuuza bandari zetu
Ipo Siku itafika Mpina Ataonekana Kile Anachokisema Kipo Sahihi
Mpina songs mbele kwamaono yako
Mzalendo ❤
Maswali yapo, majibu hatuyaoni
Mpina mmoja Ni CCM nzima asee,,jitu Lina hoja,,Akil,,maarifa,,,
Mpina unapambana kweli lakini upade uliopo simzuri
Watu kama hao wasijitoe ccm na wako wengi ebu wajitokeze wote,na wasihame chama wakihama chama watabezwa na itatafsiriwa kwamba wanaichukia ccm,
Sure@@barakalukeha6184
🙏🙏
Waziri wa fedha hafai,hafai kabsa ndo magazine wa kwanza!..kaz yake kuxhuna watu wa chini lkn mapapa anawaacha!
Huyu ana kitu asikilizwe. Kanifanya nikumbuke nchi hii ina bunge
Mungu akusimamie
Huyo na kishimba wako powa.
Mpina yupo mbele miaka 30 weng hawamuelew
hoja sahihi kabisa.
da ger kwa pesa na usalama wa nchi.
ndio hivyo msma snesems kila mmoja ale kwa urefu wa kamba yake
Huyu jamaa mbona anafanana sana na HAKIKA RUBEN mpaka sauti
Mpambanaji safi sana!
Mwigulu hafai ndo mpigaji wa kwanza!..ajiuzulu hafai!..kaz ni kuumiza watu wa chini lkn wale mapapa anawaacha waendelee kula!.
Au tuandamane tuende bungeni tuwaambie kabisa mpina aludi bungeni
Sure, hii nchi imejiingira kweny mifumo ya tehama mibovu na ya kifisaidi haijawahi tokea. Uku utumishi kuna PEPMIS ni uongo mtupuu, haina maana yoyote zaiid ya kutesa watumishi..mtandao mbovu, mfumo mzito, yani tunanunua mifumo kwa gharama za fedha za watanzania halafu zinageuka kuwa chanzo cha upigaji na upotevu wa muda
Spika kunambo kama wananchi tunahumia kuona Mambo mawaziri wanatetea jambo badaye linaonekana ni laukweli spika bunge lako linakuwa la hovyo
Mwiguru ni mwizi mno
Waziri wa fedha kazi yake ni kuongeza kodi za hovyo eti wa kulima wawe na machine ya ifd