Kijana jututumue tumia akili yako na ikiwezekana tumia vifaa vyako hata kamba kama inafaa badala ya waya, chakutia mashaka wenye nchi tu isije likawaudhi wakakutia jela hawachelewi hao
Wewe acha upuuzi walio na degree ni kama CD iliorkodiwa hawana mipango wowo, muogope huyo, darasa lake la7 akili yake ni yaugunduzi, ukimchanganya na vitu ilivyo tengenezwa unaua kipaji chake mwache apambane
Wewe unajuwa nn, unategemea vitabu vilivyotungwa pasipo utafiti wa kivitendo ambao haiwezi kukusaidia cho chote Mwenzako ameishia std VII lakini ameweza kukuonesha kwa vitendo kuubadilisha umeme tulia usioweza kutumikia na kuwa umeme mwendo unaoweza kutumikia "Wewe umeweza niniii"??? Acha kutangaza UJINGA wako bila kujuwa kwamba U mjinga
Zanzibar vipaji vipo lakn ccm wanavizika kuhakikisha Zanzibar isitajwe Kwa maendeleo yoyote Yale ..
Kijana ameeleza upeo wa elimuyake,na yeye si mwanasiasa,hivyo tumtasmini kwa uvumbuziwake,Mwenyezimungu akujalie ktk.uvumbuzi wako
Safi sna kijana pambana kwn ni mwnzo t huo
Heheheh3heh3h33h lengo ni matumzi yake tu binfsi safi sana kaka nimependa jibu
Mashallah hawa ndo watu wakusaidiwa na serekali sio wale wakata viuno
Mashaa allaah kwanza mshukuru mungu kukujaalia hiyoakili usijione niwewe tu bali ni mola
Jitahidi zaidi na Allah muekembele katika jambolalo
Hakika uposawa kijana mungu azidi kukupa nguvu Seif.nimeshuhudia kw macho yangu kabisa yaani💪💪
It's Focus on true story about Current Revolution 💯 our Home Mwambe Pemba ZnZ Tz 🇹🇿 From somebody
Watu km hawa serekali wengewasapoti ili tukapata faida za wavumbuzi wa ndani ila usije ukashangaa akazuliwa au ataambiwa alipie kodi 😊
Hongera kwa ubunifu mdogo wangu lkn fuatilia zaidi elimu ya hayo mambo hata mitandaoni itakusaidia zaid
Mashallah Allah awajalie kheri ila kijana nakushauri ufuate. Elimu ya hicho unachokifanya kwasaababu ni jambo njema pia la hatari
Akili iltangulia kabla ya elimu ninyi Leo nasoma yaliyofanywa ni wenye akili
Hyo jamaa noma sana
Heheheheheheheh ata mia 2 sijatumia na bado natafuta madude mabovu kusanifu mwenyewe huyu mtu kajaaliwa
Dah vipaji km hivi ndio vya kuvilea, kuviwezesha na ku invest baada ya mda mnajikuta mnakuwa na bonge la mtaalamu.
Safisana natumayni karibuli Zanzibar tutapata umeme wetu
Bora itakuwa hatusumbuliwi tena
Kijana jututumue tumia akili yako na ikiwezekana tumia vifaa vyako hata kamba kama inafaa badala ya waya, chakutia mashaka wenye nchi tu isije likawaudhi wakakutia jela hawachelewi hao
Hahahaaa daaah muwambe bana
Yeye transforma mpya lakini aweze kulifumuwa yani atumie akili yake inavyomjuza sio aunganishe tu
Huyu hawezi jambo ata maelezo kunyoosha hajui
Wewe acha upuuzi walio na degree ni kama CD iliorkodiwa hawana mipango wowo, muogope huyo, darasa lake la7 akili yake ni yaugunduzi, ukimchanganya na vitu ilivyo tengenezwa unaua kipaji chake mwache apambane
Wewe unajuwa nn, unategemea vitabu vilivyotungwa pasipo utafiti wa kivitendo ambao haiwezi kukusaidia cho chote
Mwenzako ameishia std VII lakini ameweza kukuonesha kwa vitendo kuubadilisha umeme tulia usioweza kutumikia na kuwa umeme mwendo unaoweza kutumikia
"Wewe umeweza niniii"???
Acha kutangaza UJINGA wako bila kujuwa kwamba U mjinga
Safi sna kijana pambana kwn ni mwnzo t huo
Safi sna kijana pambana kwn ni mwnzo t huo
Safi sna kijana pambana kwn ni mwnzo t huo