(SIRI) PEMBA ILITUKUZWA NA MITUME WA ALLAH (SEMA NASI)

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 7. 11. 2023
  • Kutoka AL FATAH TV .
    Usisahau ku like, comment naku subscribe kwenye chanal Alfatah tv online kwa mawasiliano zaidi piga simu: +255 777 858 490
    #AlfatahTvOnline​​​​​​​​​​​​
    #AlfatahCharitableAssociation​​​​​​​​​​​​
    #ZANZIBAR​​

Komentáře • 131

  • @rayamasoud2819
    @rayamasoud2819 Před 7 měsíci +2

    Nimeshawah kufika Alhamdulillah kuzur sana najivunia kua mpemba

  • @emuthree
    @emuthree Před 7 měsíci +1

    Mashallah.....si kuna utaalamu wa kuyatengeza haya majengo yakawa kama vile vile.... au hata kama yatakuwa kama gofu hivyo, lakini yachapiwe kiutalaamu yawe hivyo hivyo.....Ujerumani wamefanya hivyo kwenye majengo yao ya kihistoria

  • @SaadIssa-mw4gh
    @SaadIssa-mw4gh Před 7 měsíci +2

    Pemba na Mafia ni visiwa mashuhuri sana,vina historia kubwa sana duniani, tatizo serikali zetu ndio wamevitelekeza

  • @rizikirashid1199
    @rizikirashid1199 Před 7 měsíci

    MashaALLAH kumbe ata Afrika mashariki ilifikwa na maswahaba

  • @Samsungjprime-ww9ve
    @Samsungjprime-ww9ve Před 7 měsíci +1

    Mashaallah najivunia kuwa muislam nakuwa mpemba orij

  • @mohamedjuma1878
    @mohamedjuma1878 Před 7 měsíci +1

    Asante kwa elimu Yako shekh nimeipenda mno❤

  • @user-qo8uj1ym4m
    @user-qo8uj1ym4m Před 7 měsíci +1

    ❤Alfatah tv kiboko ya wote❤pemba yetu ina mzr mengi na tunajivunia nayo ardhi yenye kuvutia

  • @user-to4jw7tm1j
    @user-to4jw7tm1j Před měsícem

    Alhamdulillah from mozambiq

  • @omarkhalfan2985
    @omarkhalfan2985 Před 7 měsíci +2

    Mashallah shekh wetu kwa good history Allah bless you

  • @mariamsalim9311
    @mariamsalim9311 Před 7 měsíci

    Mashaallah Mashaallah umeeleza vizuri sana Allah baridi fii

  • @jumamkali8307
    @jumamkali8307 Před 7 měsíci

    Mashaallah umependeza san

  • @nicksonlyimo1562
    @nicksonlyimo1562 Před 7 měsíci +1

    Waislaamu bhana !!! Kila alipokua mwarabu wanaona ni pahala patakatifu ,Mungu arehemu

    • @IsmailElmazroui
      @IsmailElmazroui Před 4 měsíci

      Umeshiba nguruwe Tu sehem takatifu ni kidini ni makka watu wa dunian kote wanaenda kufany ibada sehem ya stareh dunia mzima ni Dubai yote ni uarabuni Acha chuki zako

    • @nicksonlyimo1562
      @nicksonlyimo1562 Před 4 měsíci

      @@IsmailElmazroui yaani unamtaja ngurue kama vile unamjua vizuri Sana ,hata wewe unaruhusiwa kula kidogo. Bila kishiba na kubeba endapo umebanwa ,,pia zipo dawa kibao zimejaa ngurue na zinatumika 2

    • @nicksonlyimo1562
      @nicksonlyimo1562 Před 4 měsíci

      @@IsmailElmazroui we nyamaza tuu ,endelea kujua unavojua hakunaga mahali patakatifu Duniani watu wanapokua watakatifu ndio wanasababisha mazingira ya mahali kua patakatifu ,mfano watu wakiwa eneo Fulani ,walevi ,wazinzi waizi wauaji huo mtaa utapewa jina la sifa iliyopo,wewe kama umeproof kua Kuna mji Mtakatifu basi sawa sikupingi lakini uhalisia ni historia ya mahali ,kama Dubai ndio mahali pa Raha duniani basi ujue maana ya Raha ni uovu kwa asilimia kubwa , kama unaweza kua na ufahamu pasi fikiri watu wanapoenda kula Raha ni majambo Gani yana jiri huko.,usije uka Dhani kua Mungu anaishi kwenye dini ,my friend Mungu Mtakatifu anakaa na mioyo ya watu na haki na dini yeyote Ile,na hakuna dini takatifu popote Wala nabii Wala Mungu hajawahi eleza kitu hicho ,ni watu na mbwembwe zao tuu kutukuza vitu kuliko Mungu.

    • @Anuarmustafa4128
      @Anuarmustafa4128 Před 29 dny

      Na wakiristo vile vile kila walipokaa makafiri wao ndo wanaona ni pao

  • @user-gk3wz8wb3t
    @user-gk3wz8wb3t Před 7 měsíci

    Hapo nakumbuka nilikuja 2008 kwa kweli niliinjoy sama Alhamdulillah

  • @twahirsaid5636
    @twahirsaid5636 Před 7 měsíci +1

    Home sweet home Allah barrik

  • @abassjuma6248
    @abassjuma6248 Před 7 měsíci

    Umejitahidi.Sihaba ndugu umejitahidi

  • @athanaskipeto572
    @athanaskipeto572 Před 7 měsíci

    Babu yuko vizuri ni tunu ya taifa na uisilam

  • @labunaabouna6122
    @labunaabouna6122 Před 7 měsíci

    No comment mana kuna maelezo sahihi lkn nahisi story mangine .ila mashallah kajitahdi

  • @user-ru1oq6eh2z
    @user-ru1oq6eh2z Před 7 měsíci

    Mashallah 😮😮😮

  • @fatimasaid9469
    @fatimasaid9469 Před 7 měsíci +2

    Mashallah tabaraqah ❤.
    Sheikh Rashid kuna mji mkongwe pemba pls naomba tupatie history yake wa jambangome tunausikia tu. Mji wa kwanza kuliko chake chake pls 🙏

    • @allyibrahim2507
      @allyibrahim2507 Před 7 měsíci +1

      Ilikuwa bandari ya mwanzo kabla ya mkoani lakin kilianza kufa au umashuhuri wake kupotea mwaka 1928 bandari na skuli zilipohamishiwa mkoani

  • @salimasalim405
    @salimasalim405 Před 7 měsíci

    Alhamdulillah❤❤❤❤❤

  • @user-mi3cs9lc6y
    @user-mi3cs9lc6y Před 7 měsíci

    Mungu ndio mjuzi zaid

  • @salimmohd4999
    @salimmohd4999 Před 3 měsíci

    Maasha allaah

  • @muhammadiabassi656
    @muhammadiabassi656 Před 7 měsíci

    ماشاء الله

  • @ankaldally2734
    @ankaldally2734 Před 3 měsíci

    Ahhhhhhh dah huu ujinga tu.

  • @user-kz2uv4im2d
    @user-kz2uv4im2d Před 7 měsíci

    Tumshukuru Allah

  • @azizams5721
    @azizams5721 Před 7 měsíci

    Mashallah

  • @Kimochatv
    @Kimochatv Před 7 měsíci

    Mashaaalaaah

  • @hudaaalhussein3841
    @hudaaalhussein3841 Před 7 měsíci +1

    Dini ya mitumi wte ni uislam

  • @TalibMuhsin
    @TalibMuhsin Před 21 dnem

    Hata nabii suleiman Alifika pemba misali ilikua inaitwa musallah

  • @hemedrashid7186
    @hemedrashid7186 Před 7 měsíci

    Na mm nitakuja inshallah

  • @user-zg4km1dc6z
    @user-zg4km1dc6z Před 7 měsíci

    Tumbatu pia kuna historia nzito lkn serekali wamekubeza sana.

  • @user-re3zo7ie5e
    @user-re3zo7ie5e Před 7 měsíci +1

    Mzee nimwana historia mbobezi

  • @nassirzamzam9312
    @nassirzamzam9312 Před 7 měsíci +1

    Mimi maoni yangu hao walio zikwa kulekea chini naona ni wareno

  • @jumamajid7557
    @jumamajid7557 Před 7 měsíci

    Muogopeni mungu

  • @user-re3zo7ie5e
    @user-re3zo7ie5e Před 7 měsíci +1

    Huyo jamaa anaye pinga inawezekana anayo historia na anajua kwahivyo na yeye atowe historia kama huyu mtaalamu anavyo toa historia nzuri na yakuvutia

  • @jumayusuf1694
    @jumayusuf1694 Před 7 měsíci

    Yaani uislam ulifika Pemba Kuliko Vitongoji vya Madina sio ndio Mapenzi ila Mengine Yapunguzwe

    • @freemason.official3792
      @freemason.official3792 Před 3 měsíci +1

      Ww unachuki na upemba sio Bure ata historia hujawai kusoma unaanza kubishana

  • @suleimansalym7537
    @suleimansalym7537 Před 7 měsíci

    Nyumbani kabisa uko 😊😊😊😊

  • @nafuutayb8452
    @nafuutayb8452 Před 7 měsíci

    Aaaa!!! tushawazowea ila historia ya uislam bora mgeliicha tu shikeni ayo mengine

  • @josephmasanja8584
    @josephmasanja8584 Před 6 měsíci

    Kwa mtu yeyote mwenye akili timamu hawezi kupenda na kusifia lolote la kiarabu tokana na waliyoyafanya hapa Tanzania, na wanayofanyiwa wanawake wa kiafrika wanaokwenda uarabuni tangu zamani hadi leo hii!! Ni upuuzi mkubwa saana

  • @IddyKawaya
    @IddyKawaya Před 7 měsíci

    Matajirii wa kiislam oneniii eneo hili.ipo umuhimu wa kujengaa mskiti na ataa jitimai tunakuwaa na sehemu kmaa hizo za kale kwendaa kufaanyaa uko ataa mashindanoo ya kusoma Quaran tukufuu jmn vichwaa vyetu viiwazee juu ya Allah

  • @salhkasmm558
    @salhkasmm558 Před 19 dny

    Ndio maanawakawa wengi nimahasidi wauchawi ndio mloachiwa hivyo.

  • @nakalikyumile3234
    @nakalikyumile3234 Před 6 měsíci +1

    Sasa wagiriki walikigundua hicho kisiwa je hakikuwa na wakazi wenyeji?acheni ujinga

  • @user-ou2qr1sb9x
    @user-ou2qr1sb9x Před 7 měsíci

    Kwawale wenye kupinga kujenga kibla wangetizama asiliyake hio

  • @Auf-uh3jq
    @Auf-uh3jq Před 7 měsíci

    Ndio wakazaliwa kina Bachu Albarzanji 😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂

  • @ahmedbaamironlinetv4753
    @ahmedbaamironlinetv4753 Před 7 měsíci

    SISI tuna histoyetu Mkia ng’ombe chaajabu eti waliandika kua watu kutoka China 😃😃 Wakati SISI tupo

  • @salummzee9739
    @salummzee9739 Před 7 měsíci +1

    Mbona hijira za Mtume zimetajwa na Uhabeshi ktk Qur-an Yemen 🇾🇪 na mpk leo sisila za Uchamungu zipo pemba haikutajwa ktk History ya uislamu wala ktk Qur-an

  • @clarencehilary5588
    @clarencehilary5588 Před 7 měsíci

    Kwahiyo uislam ulifika pemba kabla ya mtume hajazaliwa

  • @user-yj5es1jw8c
    @user-yj5es1jw8c Před 7 měsíci

    Tuonyesheni watu wa isa tuendeleze hapo

  • @HajiAbubakar-nb2ue
    @HajiAbubakar-nb2ue Před 7 měsíci

    We mtangazaji kipindi cha issa kulikuwa hakuna kanisa makanisa yamekuja baada ya issa kupaa mbinguni

  • @MahirOmar-wh6vu
    @MahirOmar-wh6vu Před 7 měsíci

    Assalam alaykum nauliza hiyo Karne ya kwanza waliokuepo Huku Pemba najua Ni watu lkn Ni akina Nani ?

  • @hajihassan5433
    @hajihassan5433 Před 7 měsíci

    Wapemba wengi wana sifa ya kuamini kama zile za watu tunaowasoma vitabuni. Naamini hata kaburi ya mpendwa wetu Maalim lingeachiwa tu lingeaminika kuwa ni la sahaba.

  • @MohamefMullah
    @MohamefMullah Před 7 měsíci +7

    Wacheni chuki na husda ambazo hazina msingi, Pemba ni kisiwa pekee au sehemu pekee yenye historia ya kuvutia na yenye ukweli, wewe unaepinga Najua wewe ni mbara jaribu kutembelea pemba ulizia mkamandume huko utapata historia ya mkamandume itakushangaza, kulikuwa na kiongozi muislam alijenga jengo na wake wawili na kisima chenye ukuta uliogawa wanachota maji bila kuonana ndoo ndio zinagongana, na alichimba msingi umbali wa kilomita 3 ili kuyafanya maji ya bahari yafike nyumbani kwa ajili ya kufika jahazi yake mpaka kwenye nyumba, Pemba ni kisiwa hata jina lake ilitambuliwa kwa Aljazeera, Pemba ni eneo pekee baada ya maka ambayo imebakia imaani angalau kidogo

    • @jokhaalharthi5807
      @jokhaalharthi5807 Před 7 měsíci

      Bbbbbbkkb

    • @omarkhalfan2985
      @omarkhalfan2985 Před 7 měsíci

      Mashallah

    • @hassannachia3946
      @hassannachia3946 Před 7 měsíci

      Mbina hamendi kuishi kwenu mmejazana tu unguja mnaishi mpka kwenye vyanzo vya maji na mabondeni mnatia aibu

    • @mwawekomiuda9779
      @mwawekomiuda9779 Před 7 měsíci

      Na kuongezea ni mpaka kilwa bara. Mbona Tanzania ina historia kubwa tu ndugu yangu. Pemba ina historia kweli.

    • @abuuabdirrahmaan4132
      @abuuabdirrahmaan4132 Před 7 měsíci

      naona kama hujui unachosema

  • @ahmedalbalushi6239
    @ahmedalbalushi6239 Před 7 měsíci +1

    Wacheni kushindana na wajinga , mukitaka musitake Zanzibar ina historia kubwa na dini . Wapuuzeni tu

  • @hemedrashid7186
    @hemedrashid7186 Před 7 měsíci

    Hv kuna ukweli Nabii Sukeymani alifika ktk kisiwa Mesali?

  • @odilowairinga6324
    @odilowairinga6324 Před 7 měsíci

    Kuna mtu mqingine akisema pepo ipo arusha

  • @abuuabdirrahmaan4132
    @abuuabdirrahmaan4132 Před 7 měsíci +1

    MZEE UOO VIZURI SANA ILA KUNA JAMBO MOJA UMECHEMSHA SANA UNAPOSEMA KWAMBA NI MSKITI WA WATU WA NABII ISSA YAANI KABLA YA UJIO WA NABII MUHAMMAD HALAFU UNATUONYESHA SEHEMU YA KUSOMEA ADHANA ILHALI UNAJUA SHERIA YA ADHANA IMEKUJA NA NABII MUHAMMAD HAIJAJA NA NABII YEYOTE KABLA YAKE?!!!!!!

    • @user-zt5cz4og2k
      @user-zt5cz4og2k Před 7 měsíci

      Ilianza kusomwa adhana baada ya kuja watu wa nabii Muhammad S.A.W

    • @oii6zlaboshelby17
      @oii6zlaboshelby17 Před 7 měsíci +1

      Hajasema msikiti kasema jengo la ibada la watu wa nambii issa

    • @mhrmahir3756
      @mhrmahir3756 Před 7 měsíci

      hitoria za uongo hizo jamaa ta km tuwapemba twapata dhamb

    • @saidathuman1536
      @saidathuman1536 Před 7 měsíci

      Mzee kasema Jengo hilo la msikiti lilitumiwa kabla utume wa Muhammad na baada ya wajumbe wa mtume walipofika Pemba!!

    • @manaphymohd4145
      @manaphymohd4145 Před 7 měsíci

      Ukiskilza vzr utaelew vizr hukuelew ww nd man ukasema ivo

  • @mhrmahir3756
    @mhrmahir3756 Před 7 měsíci

    mambo mengine ni uwongo wa waz na cjui wameayapata wap na huyo jamaa katuliaa utasema hajui chochot kuhus tarekh ya kiislam cjui mzee amechkua kijitab gan kusema uislam unefika mwanzo pemb kuliko madina huyu mzee amche mola wake kwa hili.hata km ni mpemb lakin hili nalipinga si kwel jamaa mambo mengin tutakujajikuta twaingia pabaya kwa kujisifu san

    • @jumahamad3723
      @jumahamad3723 Před 7 měsíci

      Kwani uislamu kauleta mtume gani mpaka ukatae kama unaambiwa nabii suleimanai kafika kisiwa hicho kwaio suleimanai sio muislamu

    • @mhrmahir3756
      @mhrmahir3756 Před 7 měsíci

      @@jumahamad3723 ni uwongo bhan hitoria ya uislam yote imehifadhiwa na mtume bas alkua hajui ivo? na kabla bas vilikuepo vitab vingeeleza hivo bas la kushangaza zaid kusema et uislam umefika pemba madina bado dduuh ata kuapapasa bas hatupapas mchen mola wenu jamaa

    • @wambaaone923
      @wambaaone923 Před 7 měsíci

      Ukweli ukoje tuambie

    • @manaphymohd4145
      @manaphymohd4145 Před 7 měsíci

      Acha kupinga jambo ambalo hulijuwi asa toa ya kwako kuusu we mwenyew ulivo bas tukuamn km mkweli

  • @AbdullaSeifKhamis-tv4zq
    @AbdullaSeifKhamis-tv4zq Před 7 měsíci +1

    Huo ni tokea nabii Issa niulize Huo msikiti kibla chake Umeelekea makka Au madina?

    • @abdallasalim3918
      @abdallasalim3918 Před 7 měsíci

      Uligeuzwa kuwa msikiti wa kawaida mbona alisemna

    • @mhrmahir3756
      @mhrmahir3756 Před 7 měsíci +1

      kama ni toka nabii issa kwa hakik ni uongo na atakaepinga atuletee wap kapa hio
      hivi jaman haiwi wakat wa mtume sallahu alayh wasallam mambo mengin hayajulikan vp tokea nabii issa wameayapat wap hayo kisha mzee kusema uislam ulifik mwanzo pemba kuliko madin kwa hakik amche mola wake hata km umpemba na mie ivo ivo

    • @hudaaalhussein3841
      @hudaaalhussein3841 Před 7 měsíci

      Baytul maqdis,

  • @XPOSED255
    @XPOSED255 Před 7 měsíci +2

    mhhh uyoo mzee atauchee hakuna history yyte iliosema ivo

    • @omarkhalfan2985
      @omarkhalfan2985 Před 7 měsíci +1

      Sorry tupatie ya kwako ambayo ni sahili zaid pls

    • @fakihassani3
      @fakihassani3 Před 7 měsíci +1

      Mjinga huyu tena ndio wale wapumbavu majuha wasojielewa mana anapinga wakati hana analojua

    • @seifjuma4252
      @seifjuma4252 Před 7 měsíci

      Ata Enzi za mtume wanafiki walikuepo km hvy wewe kwaio sio cha ajbu Kutext upuuzi km huu unao oneshwa alfu ukjifanya kipofu

    • @ShafiiMkawa-yl9du
      @ShafiiMkawa-yl9du Před 7 měsíci

      Inawezekana ikawa kweli

  • @sayidabdillah8505
    @sayidabdillah8505 Před 7 měsíci

    Mtangazaji tunakuomba kuwa utambue kuwa dini ya nabii ISSA ni dini ya kiislam sio dini ya kikiristo coz nabii ISSA hajajenga kabisa kanisa yeye binafsi nabii ISSA alikuwa anaswali pale masjid aqswa ya kule Jerusalem Israel ambaoo msikiti ukitwa masjid muqqadas

  • @Muadhin1
    @Muadhin1 Před 7 měsíci +1

    SWALI MOJA. JE MISIKITI YENU IMEELEKEA MAKKA AU PALESTINE? NDO UTAJUA KAMA UISLAMU UMEFIKA MWANZO UNGUJA KABLA MADINA. HIYO HISTORIA NI YA UONGO. MM NIMEULIZA DARASANI NA NIKAAMBIWA KAMA KWELI BASI HAO MASWAHABA WANGESEMA KUWA KUNA WENZAO WAMEENDA PEMBA.

    • @abdallasalim3918
      @abdallasalim3918 Před 7 měsíci

      Walisema wapi na wapi

    • @abdallasalim3918
      @abdallasalim3918 Před 7 měsíci

      Si walisema ethopia namashariki

    • @manaphymohd4145
      @manaphymohd4145 Před 7 měsíci

      Kwaiyo we unatak kila alipo muislam paelekezw kibla uyo mualim wako alokujib muambie akup hoja

    • @sulemohdi2013
      @sulemohdi2013 Před 7 měsíci

      Kasema huo msikiti alio onesha umejengwa karne ya 9, kaka unafahamu school kweli? Na huo ulokuwepo toka enzi hizo kabla kuja Mtume ndo hajauonesha piya kasema upo msingi tu ngoja tuone.

  • @issaabdallah1205
    @issaabdallah1205 Před 7 měsíci

    Huko ndagoni ni kwetu mimi ni mzaliwa ila ukihoji sana utakuta kuna mambo hayako sawa kwa hii stori ya mzee
    Ili ujue kweli wa

    • @manaphymohd4145
      @manaphymohd4145 Před 7 měsíci

      Hoji utajua kwaiyo yale majengo kwa akili yko kajenga nan au ww na wenzako