Unajua uyo mzee bado anayo tamaa ya kwamba atapata nafasi moja wapo ndio mana kipigo alicho kipata anaona si lolote si chochote kwake, Mungu amemlaani uyo,mana mpaka leo bado anashabikia dhulma tuu,uso umemparama
WAZANZIBARI MSIZUWE HAMKUPINDUA BALI NYERERE ALIPINDUA Hawakupindua Zanzibar, bali Nyerere alipindua na kuiburura kutoka Bahari ya Hindi hadi Tanganyika.
Jambo ambalo zanizbar imekosa kuendelea ni kwsabba tuna viongizi kwenye akili na mioyo yao wana roho mbaya, choyo , chuki , fitna na ujinga
Kweli kabisa mkuu
Huo umri ulionao baada ya kutubu tna bdo unafurahia maovu na dhulma
Mungu. Hashindwi. Nalolote. Babu wee. Kunamaut. Ujue.
Bakora zote ulo pigwa zile km mtoto hhhhhhhhhh
Huyu mjinga sana kwahiyo unafurahia wizi wakura na kuua watu shenzi kabisa
Chezea mikwaju... anaporoja kama hana akili vizuri
Wakapindue na huko akhera
Nchi yetu sote, walitangulia kuuwa wako wapi
Piga chinja ua, kumbe tunajiuliza sabab ya kuzidi njaa, umetupa jibu.😅
Fimbo zinalea umenyooka vizuri babu ila jiangalie umri umepaa nao usikumbatie ccm tu
I've decided dunia ila hapo ni saa 11 jioni yako, Akhera, uwe na majibu mazuri, na hutokwrpa adhabu
Ukikosa Imani ndo unavyokuwa,chinja ua kwao nyepesi…
Ikiwa-tunaamin-allah-yupo,basi-ipo-siku-ccm-itaondoka-tu!
Subiri hio siku yko na ww ujifie tu kenge ww
CCM HAIFICHI MAOVU YAO. Piga, chinja, ua muhimu madarakani tu.
Mhhhhhh
Unajua uyo mzee bado anayo tamaa ya kwamba atapata nafasi moja wapo ndio mana kipigo alicho kipata anaona si lolote si chochote kwake, Mungu amemlaani uyo,mana mpaka leo bado anashabikia dhulma tuu,uso umemparama
Kweli kabisa mkuu
Dah sie waunguja tuna kauli chafu sana
Mpemba huyo, si muunguja. Mtoto wa Mohammed Shamte.
Kweri
WAZANZIBARI MSIZUWE
HAMKUPINDUA
BALI NYERERE ALIPINDUA
Hawakupindua Zanzibar, bali Nyerere alipindua na kuiburura kutoka Bahari ya Hindi hadi Tanganyika.
Wazee wa hovyo ndio hawa sasa😅😅😅
Hayo siyo ya ovyo. Ndiyo wanatofanya kuchukua serikali na utawala wa mabavu.
Wakapindue na huko akhera