Kuelekea uchaguzi 2025, wadau waukumbuka ujumbe wa Baraka Shamte kwa ACT

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 26. 05. 2024
  • Kada wa CCM Baraka Shamte akitamba kuwa chama chake cha CCM hakiwezi kuachia madaraka "hivihivi".

Komentáře • 28

  • @omarmohammed5157
    @omarmohammed5157 Před měsícem +4

    Jambo ambalo zanizbar imekosa kuendelea ni kwsabba tuna viongizi kwenye akili na mioyo yao wana roho mbaya, choyo , chuki , fitna na ujinga

  • @suleimanabdallah9823
    @suleimanabdallah9823 Před měsícem +3

    Huo umri ulionao baada ya kutubu tna bdo unafurahia maovu na dhulma

  • @BinshakbuHemed-gb2zi
    @BinshakbuHemed-gb2zi Před měsícem

    Mungu. Hashindwi. Nalolote. Babu wee. Kunamaut. Ujue.

  • @ridhwansalum1386
    @ridhwansalum1386 Před měsícem +1

    Bakora zote ulo pigwa zile km mtoto hhhhhhhhhh

  • @robertphilip385
    @robertphilip385 Před měsícem

    Huyu mjinga sana kwahiyo unafurahia wizi wakura na kuua watu shenzi kabisa

  • @salyali7807
    @salyali7807 Před měsícem

    Chezea mikwaju... anaporoja kama hana akili vizuri

  • @mbingwaali7791
    @mbingwaali7791 Před měsícem

    Wakapindue na huko akhera

  • @SKY-fk3fz
    @SKY-fk3fz Před měsícem

    Nchi yetu sote, walitangulia kuuwa wako wapi

  • @binmasoud4150
    @binmasoud4150 Před měsícem

    Piga chinja ua, kumbe tunajiuliza sabab ya kuzidi njaa, umetupa jibu.😅

  • @SuleimanAli-di3kk
    @SuleimanAli-di3kk Před měsícem

    Fimbo zinalea umenyooka vizuri babu ila jiangalie umri umepaa nao usikumbatie ccm tu

  • @HijaSaid-xd7fg
    @HijaSaid-xd7fg Před měsícem

    I've decided dunia ila hapo ni saa 11 jioni yako, Akhera, uwe na majibu mazuri, na hutokwrpa adhabu

  • @MohammedSalim-lz3bv
    @MohammedSalim-lz3bv Před měsícem

    Ukikosa Imani ndo unavyokuwa,chinja ua kwao nyepesi…

  • @SaidHassan-ot3un
    @SaidHassan-ot3un Před měsícem

    Ikiwa-tunaamin-allah-yupo,basi-ipo-siku-ccm-itaondoka-tu!

  • @suleimanabdallah9823
    @suleimanabdallah9823 Před měsícem

    Subiri hio siku yko na ww ujifie tu kenge ww

  • @wakwetu2444
    @wakwetu2444 Před měsícem

    CCM HAIFICHI MAOVU YAO. Piga, chinja, ua muhimu madarakani tu.

  • @DamtuAbdalla-yk7dk
    @DamtuAbdalla-yk7dk Před měsícem

    Mhhhhhh

  • @salimhamad-ms6qo
    @salimhamad-ms6qo Před měsícem

    Unajua uyo mzee bado anayo tamaa ya kwamba atapata nafasi moja wapo ndio mana kipigo alicho kipata anaona si lolote si chochote kwake, Mungu amemlaani uyo,mana mpaka leo bado anashabikia dhulma tuu,uso umemparama

  • @Onlyforfun1992tube
    @Onlyforfun1992tube Před měsícem

    Dah sie waunguja tuna kauli chafu sana

  • @khatibal-zinjibari6956
    @khatibal-zinjibari6956 Před měsícem +1

    WAZANZIBARI MSIZUWE
    HAMKUPINDUA
    BALI NYERERE ALIPINDUA
    Hawakupindua Zanzibar, bali Nyerere alipindua na kuiburura kutoka Bahari ya Hindi hadi Tanganyika.

  • @allybin08
    @allybin08 Před měsícem

    Wazee wa hovyo ndio hawa sasa😅😅😅

    • @wakwetu2444
      @wakwetu2444 Před měsícem

      Hayo siyo ya ovyo. Ndiyo wanatofanya kuchukua serikali na utawala wa mabavu.

  • @mbingwaali7791
    @mbingwaali7791 Před měsícem

    Wakapindue na huko akhera