Waziri wa Kazi na Uchumi ateuliwa kuwa mjumbe wa Tume ya Mipango Zanzibar

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 26. 05. 2024
  • Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi amemuapisha Mhe.Sharrif Ali Sharrif kuwa mjumbe wa Tume ya Mipango ya Zanzibar katika ukumbi wa Ikulu Zanzibar tarehe 26 Mei 2024.
    Mhe.Sharrif Ali Sharrif ni mjumbe wa Baraza la Wawakilishi na Waziri wa Nchi Afisi ya Rais Kazi Uchumi na Uwekezaji wa SMZ.

Komentáře • 1

  • @Onlyforfun1992tube
    @Onlyforfun1992tube Před měsícem

    Raisi mwinyi ana hasira zake muacheni saizi Nina Imani na ripoti ya CAG kauli mbiu