CUF wamsimamisha aliyewania uspika Zanzibar

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 6. 09. 2024
  • Kaimu Katibu Mkuu wa chama cha CUF visiwani Zanzibar, Ali Issa Makame, yuko mguu ndani-mguu nje sasa baada cha chama chake kumtuhumu kwa usaliti kwa kuwania uspika wa Baraza la Wawakilishi la Zanzibar kama anavyoeleza Mkurugenzi wa Mawasiliano ya Umma wa CUF, Mohamed Ngulangwa.

Komentáře • 114

  • @al-mamarial-mamari5457
    @al-mamarial-mamari5457 Před 3 lety +7

    Hapo umezungumza Damu za Wazanzibari sio Kwa bure. Watu kama nyinyi ndo mnaofaa. Asante

  • @ibugharib389
    @ibugharib389 Před 3 lety +4

    DUUUHHH KUMEKUCHA CUF HUO NDIO MSIMAMO KEEP IT UP MPAKA KIELEWEKE

  • @abdulmohd6880
    @abdulmohd6880 Před 3 lety +12

    Awa jamaa washatubia pengine baada ya kuona kuwa usaliti walioufanya hautakuwa na mwisho mwema au Lipumba hakulipwa pesa zake n CCM nd mana saiv anawageuka?

    • @fatmamansour2369
      @fatmamansour2369 Před 3 lety +1

      Majimbo aloahidiwa hakupatiwa

    • @abdulmohd6880
      @abdulmohd6880 Před 3 lety

      @@fatmamansour2369 anhaaaa okeeeee now I catch the picture

    • @muhsinabdullah9066
      @muhsinabdullah9066 Před 3 lety

      Mashaallahu dah kweli mtu sio mbwa

    • @sameramwajdu9029
      @sameramwajdu9029 Před 3 lety

      Ndio wakome mara nyengine usaliti sio kitú kizuri maalim Seifalikuwa mkweli lakini lipumba gakuutaka ukweli

    • @hilalkhalfan1452
      @hilalkhalfan1452 Před 3 lety

      @@fatmamansour2369 lakini lipumba alijitahidi kumpigia mwenzake kampeni😂. Sasa kageuka au🤔. Msikilizeni sharif majini kwa lipumba hakukosea utabiri wake. Nyota ya samaki ni nomaa😂. Hachelewi Tena kugeuka muelekeo WA kuunga juhudi. Hapo anadeka tu kwa jpm wetu keshokutwa atatulizwa subiri tu muone🤣. Hio fomu ya uraisi kashauriwa na Dr jpm achukuwe na Leo tu ashamgeuka mwenzake duh!

  • @khamisjuma5046
    @khamisjuma5046 Před 3 lety +4

    Wa zanzibar nduguzagu together front for freedom

  • @aminarashidi4757
    @aminarashidi4757 Před 3 lety +3

    Ccm vituko nyinyi hamuutaki upinzani Kisha mnazunguka upande mwengine ,hakuna bunge ambalo ni kichekesho Kama bunge hili ,hili ndio bunge la (ndio mzee).

  • @alimohammedomar3412
    @alimohammedomar3412 Před 3 lety +2

    Hao walimsaliti Maalim Seif na Wazanzibari na leo hii wanakula matapishi yao.

  • @omarsultan7195
    @omarsultan7195 Před 3 lety +1

    Mkimuona mjinga sana nynyi maalim seif kupinga kura ya mapema alijua kama anaenda kuibiwa nynyi mkakaa kimya saiv ndo mnanyanyua midomo yenu wanafiki tu na nynyi

    • @msafiriduwiya7765
      @msafiriduwiya7765 Před 3 lety

      Kwani maalim sefu SI unamuamini wewe ndio lzm kila MTU amuamini kumbuka kila kundi Lina wanayoamini hapo ndipo mbapofeli kuona na kulazimisha mawazo yako ndio lzm yawe mawazo ya wote ndio MAANA hata lipumba na kundi laje hamkuwaelewa kwa ushabiki TU lkn MATOKEO ya yake aliyoyasema lipumba yametimia lowasa karudi kwao

    • @omarsultan7195
      @omarsultan7195 Před 3 lety

      @@msafiriduwiya7765 mkereketwa

  • @abdulbogoyo1243
    @abdulbogoyo1243 Před 3 lety +3

    God bless you

  • @kautharsalim5025
    @kautharsalim5025 Před 3 lety +3

    Njaa mbaya sana tamaa mbele

  • @esterekson8727
    @esterekson8727 Před 3 lety +3

    Safi kaka

  • @adamsaid5772
    @adamsaid5772 Před 3 lety +2

    Hongera kwa kujali maslahi ya taifa kwanza na sio mtu binafsi.

  • @mohammedmbarouk5729
    @mohammedmbarouk5729 Před 3 lety

    Mmmhhhh!!!!hawakuruka wenye mbawa zao!!!mtakuja kuruka nyinyi maputugali jamaniii!!?????

  • @japhetnzunda99
    @japhetnzunda99 Před 3 lety

    Mungu akawabaliki sana

  • @stevenlucas2476
    @stevenlucas2476 Před 3 lety

    Chama kimeshakufa zamaniiiii..

  • @abdulomy4487
    @abdulomy4487 Před 3 lety

    Hiyo dhambi itaendelea kuwatafuna tu iwe juz jana leo na kesho na milele kesho zamu yako utaenguliwa tu

  • @MrKhatibu
    @MrKhatibu Před 3 lety

    Kule Tanganyika wahuni wa CHADEMA wanatoka povu kwa kulilia iyi maalum. Huko Pemba wale wa haki sawa kwa wote wananza kufukuzana.... naona movie ndio linaanza sasa mengi tutayasikia tukijaliwa

  • @salehkhamis3063
    @salehkhamis3063 Před 3 lety

    Hawa jaama hawasomeki sijui wako mrengo gan
    Nyiny pasua vichwa msituchanganye . Haikufaa chokaa.......

  • @ruwailaomar6501
    @ruwailaomar6501 Před 3 lety

    Msaliti Kusalitiwa woyoooooo

  • @amohammed3390
    @amohammed3390 Před 3 lety +1

    Waliahidiwa na CCM hawakupata kitu. Hahahaha..wmepewa kitu kimoja cha ubunge. Mnh

  • @anipaesleiman6135
    @anipaesleiman6135 Před 3 lety

    Sasa mbona umekasirika

  • @abachuitv3479
    @abachuitv3479 Před 3 lety

    Wafukuzeni wote lkn tumeshamutwanga..... Hahaha

  • @adamsactwazalendo6055
    @adamsactwazalendo6055 Před 3 lety

    Mara hii mumekuwa mnapinga matokeo lkn nahic kilemlichoahidiwa hamjapewa wabunge na wawakilishi , Ccm mlifikiri ni wenzenu

  • @kabangoamini8431
    @kabangoamini8431 Před 3 lety +1

    Musimamo thabiti hapohapo hakuna kuchangia na ccm waachieni wizihao wapora haki

  • @maryamsimai6263
    @maryamsimai6263 Před 3 lety

    sawa sawa

  • @festokillingo8912
    @festokillingo8912 Před 3 lety

    Kugombea no haki yake, acha porojo, kwani cuf ndio mwisho wa maisha, mbona nyinyi mlimsaliti maalim seif,, acha domo

  • @masoudsalum9514
    @masoudsalum9514 Před 3 lety

    Nyinyi CUF niwajinga sana kwasababu mnasema hamtambui uchaguzi ila mnaruhusu wabunge na wawakilishi kushiriki bungeni

    • @osmanha6915
      @osmanha6915 Před 3 lety

      Cuf haina mwakilishi ndo mana povuuu

  • @saidabdala4980
    @saidabdala4980 Před 3 lety

    Hahaha .MNAJUWA hapa .eti tuwe na huruma WAZANZIBAR tupate kikirejesha chama cha CUF. .kama si LIPUMBA. Kumjeukiya malim na wenzake UKAWA .yasingefika hapa.. hapa ni ZANZIBAR sio tanganyika. Tukitoka skuli tunakwenda madrasa. Na tukitoka madrasa. Tu n akwenda tena madrasa .na ijumamosi piya madrasa .na ijumapili piua madrasa. Kwa hiyo bro.. WAZANZIBAR rabda walodangnywa na NYERERE. Ndio watakao kufaham

  • @abdul-aziziomar5989
    @abdul-aziziomar5989 Před 3 lety +2

    Hao wengine ni vibaraka hawakosekani sehemu yoyote ile

  • @zuleikhambarouk4282
    @zuleikhambarouk4282 Před 3 lety +1

    Kumbe nawao wanae msaliti

  • @shixeoshxs7276
    @shixeoshxs7276 Před 3 lety

    Jamani nauliza mgombea wa cuf sialiunga mkono matokeo ya uchaguzi wa juzi zanzibar vip tena leo

  • @mahmoudkitabu4353
    @mahmoudkitabu4353 Před 3 lety

    Cuf jengeni chama mmetuangusha sana mwaka hii hata hiyo kupata wabunge watutu tushukur upande wa zenj ndio kulikufa kabisa kichama acheni majungu jengeni chama

  • @thabitalwiy1
    @thabitalwiy1 Před 3 lety +1

    Kwa hio chama chenu hakina democracy mtu Hana uhuru wa kugombea nafasi duuuuh hizi siasa za Africa hatari. 😂😂😂

  • @maryamabdullah9169
    @maryamabdullah9169 Před 3 lety +1

    Kawageuka Ali njaa bwana haina sumile

  • @hamiarseif7299
    @hamiarseif7299 Před 3 lety

    Hakiruhusi chama cha cuf kufukuza mtu lipumba alifukuzwa na baraza kuu na msajili na serikali yake ikamuhalalisha

  • @jambomambo6637
    @jambomambo6637 Před 3 lety +1

    Mara paaa msajili wa vyama anaamua maamuzi haya night batili 🤣

    • @scotlandyard2595
      @scotlandyard2595 Před 3 lety

      Haina tatizo hata msajili atabariki sio tatizo siokubariki tu hata kama msajili atasema anaetaka kumfira mama ake ruhusa

  • @mohamedhussein5436
    @mohamedhussein5436 Před 3 lety +1

    AAA a tulien sindano iingie mbona mnatikisika

  • @jagarforever4201
    @jagarforever4201 Před 3 lety

    Lipumba ni msomi sana nimependa sana maamuzi yake hakika huyu ndio kiongoz muadilifu...ally makame issa ni mlafi wa madaraka na mtu kama hyu ni mbaya sana yupo tayar kufanya lolote kwa maslay yake...ahsant cuf

  • @kondolukari1803
    @kondolukari1803 Před 3 lety

    Naunga mkono kusimamishwa mweu huyo inaelekea bado kunawatu ndani yachama chetu niwasaliti tuwachunguze naa tuwafukuze

  • @rashidally1149
    @rashidally1149 Před 3 lety +1

    Nyote wasaliti Tena vidudu mtu hamueleweki Kama huyo profesariii wenu

  • @topaviator
    @topaviator Před 3 lety +4

    Aa aa
    Nyamazeni tu tuisome namba wote

    • @habibasule2360
      @habibasule2360 Před 3 lety +1

      @@salma0000 hahahahhah uko sahihi dada yani mishamba inalalamika tu haina network halafu inajita ccm wakati hao mabwana zao ndo waloondoa network, cc tunajiachia wala hatuna wasiwasi tunaperuzi tunapotaka

    • @yussufhussein1954
      @yussufhussein1954 Před 3 lety

      @@habibasule2360 umeonaeee mie act naperuza na vpn hahahaa

    • @habibasule2360
      @habibasule2360 Před 3 lety

      @@yussufhussein1954 hahahaha nakubali

  • @sadatshia6776
    @sadatshia6776 Před 3 lety

    Hata maalim ana maslah yke binafsi.mwache angalie maisha yke na wtoto wake

  • @omarmussa9000
    @omarmussa9000 Před 3 lety

    Mbona mbunge wenu keshafika Dodoma na kesho anaapishwa au kwakuwa katokea lindi

  • @nolascolaurent420
    @nolascolaurent420 Před 3 lety +1

    100%

  • @tawfiqissa6123
    @tawfiqissa6123 Před 3 lety

    Nishidaaaaa

  • @humoudsaid3391
    @humoudsaid3391 Před 3 lety +1

    Mna Azna kuelewa sasa

  • @bulayaconfidential7212

    wasaliti kwetu mwiko,wabakie wana CCM peke yao!

  • @ghulamjuma2883
    @ghulamjuma2883 Před 3 lety +1

    Itaundwa lini sasa hiyo tume huru

  • @mahmoudkitabu4353
    @mahmoudkitabu4353 Před 3 lety

    Rais keshapatikana jipangeni 2025 wengine hata mbunge hawajapata

  • @hassanmpwepwe8258
    @hassanmpwepwe8258 Před 3 lety +2

    Hamna jipya nyie fanyeni kaz mna fos nin nyie watanzania washa amka

    • @mbarakaiddi8209
      @mbarakaiddi8209 Před 3 lety +1

      ukikua utakuja kuelewa nini unatakiwa ufanye ukiwa mkubwa kwa saaa sifia ccm tu

  • @rashidally1149
    @rashidally1149 Před 3 lety

    Atakuja Kama Lipumba na atashinda na barua yenu yenye mikwaju tele mtenda hutendewa

  • @sulimanm6525
    @sulimanm6525 Před 3 lety +1

    Musibabaishe akili zawatu

  • @latifaame5579
    @latifaame5579 Před 3 lety

    Duh

  • @mohammedalkhaifi3222
    @mohammedalkhaifi3222 Před 3 lety

    K

  • @suleimanalisaid3178
    @suleimanalisaid3178 Před 3 lety

    Huyo anasumbuliwa na njaa kali

  • @yusirhamdan1483
    @yusirhamdan1483 Před 3 lety

    Mumekwisha Nyie mamaeeeeeeeeeeeeeeee

  • @salimabdillah1623
    @salimabdillah1623 Před 3 lety

    Mmechelewa kwenye jamvi

  • @amriyalibent8441
    @amriyalibent8441 Před 3 lety +1

    Kumbe hamuutambuwi

  • @meddymushimaz4998
    @meddymushimaz4998 Před 3 lety +2

    Hatakama ningekuwamimi ningeingia bungeni sifati chama nafata matakwa ya walionichagua"

    • @farasimpirai3744
      @farasimpirai3744 Před 3 lety

      Nani huyo aliemchaguwa? Sisi hatukumchaguwa huyu, kapewa ruzuku na ccm tu

    • @jamalahmed7057
      @jamalahmed7057 Před 3 lety

      Hawa jamaa wamepanik yaani wanafikiri upinzani kushika dola tu, Wapinzani tunawahitaji kuhakikisha dola haifanyi ukosefu wa nidhamu

    • @sameramwajdu9029
      @sameramwajdu9029 Před 3 lety

      @@farasimpirai3744 hakuna hata mmoja atakae pata nafsi anae toka upinzani wajihangaisha tuu nafsi zao hawa ccm hasa walivó wakorofi watoe nafsi za kazi kuwapa upinzani tutaona

    • @realmadrid7823
      @realmadrid7823 Před 3 lety

      Chama ndio kinachompitisha mgombea halafu wananchi ndio wakakupigia kura kwaiyo lazima usikilize kauli ya chama kina semaje,halafu chama ndio kitamalizana na wanachi

    • @sameramwajdu9029
      @sameramwajdu9029 Před 3 lety

      @@jamalahmed7057hawajapanik kwa sababu ya kushika dola ccm walioyafanya usio ungwana wala ubinaadamu washafoji karatasi za kura feki hawatosheki matokeo wakayabadilisha hawajatosheka nawatu wakawapiga zanzibar na kuwauwa majaraha yavuja damu halafu urudi ukaombe kiti cha baraza wao wenyewao hawatoi nafsi kwa upinzani

  • @sabatoelia312
    @sabatoelia312 Před 3 lety

    Uyo alilipwa kabisa kuwaniaa

  • @abdulhamidhassan113
    @abdulhamidhassan113 Před 3 lety

    Safi san kw kuwafukuz wasaliti

  • @karambolageorge8656
    @karambolageorge8656 Před 3 lety

    Nyie ndo mnajitoa mana wenyewe hamuwezi kupewa dhamana ya nnchi hata sikumoja hamna nidhamu nyie wasaliti

  • @halidhamaad177
    @halidhamaad177 Před 3 lety

    Leo hii hamtambui

  • @omarynassor6313
    @omarynassor6313 Před 3 lety

    Ccb

  • @adamsactwazalendo6055
    @adamsactwazalendo6055 Před 3 lety

    Mtoto wa nyoka ni nyoka tu nyote ni wasaliti

  • @adilhabibu7958
    @adilhabibu7958 Před 3 lety

    Mashushuu tu hao wa ccm hawana lolote

  • @stellamusa8672
    @stellamusa8672 Před 3 lety

    Utashangaa sarakasi watakazopiga hewena wakishalipwa tu dau lao hawa jamaa.

  • @lasatkheri7045
    @lasatkheri7045 Před 3 lety

    Mfukuženi msalit huyo

  • @khadijawamohamed3233
    @khadijawamohamed3233 Před 3 lety +1

    Tukutane 2025 imeisha iyo

    • @khamisame1919
      @khamisame1919 Před 3 lety

      Tukifika na roho

    • @sameramwajdu9029
      @sameramwajdu9029 Před 3 lety

      @@khamisame1919 wazanzibar hatuna haja ys kupiga tena kura kuulisha ndugu zetu wachanga Nakuacha watoto yatima ba waja e wala hawana washuhulikiaje rabda waweke katiba mpya na tume huru ila bila ya hivo hatypigi kura

    • @khamisame1919
      @khamisame1919 Před 3 lety

      Ndo mitihan

  • @rahmarahma5076
    @rahmarahma5076 Před 3 lety

    😂😏😂😏😂😏😂😏😂

  • @mohdshebe5640
    @mohdshebe5640 Před 3 lety

    Aaaa

  • @shixeoshxs7276
    @shixeoshxs7276 Před 3 lety

    Ccm marahii hawakumpa lipumba pesa nini

    • @safiakhamis7922
      @safiakhamis7922 Před 3 lety

      Daaaaah iko siku utajua uyasemayo ushawahi kumshuhudia akipewa pesa au mnabeba zima t sio vzr binadamu tusiwe ivo

    • @shixeoshxs7276
      @shixeoshxs7276 Před 3 lety

      @@safiakhamis7922 nihakika ccm wananunua na kuhonga pesa km wataka tochi umurikiwe imeisha betri ww

  • @hasinayussuf986
    @hasinayussuf986 Před 3 lety

    Hamuna lenu nyieeweeeee

    • @hasinayussuf986
      @hasinayussuf986 Před 3 lety

      Mtenda akitendewa huhisi kaonewa si mulimsaliti sefu nyinyi sasa zamu yenu hahaha

  • @maryamabdullah9169
    @maryamabdullah9169 Před 3 lety

    Mnafiki huyo

  • @anipaesleiman6135
    @anipaesleiman6135 Před 3 lety

    Alafu musitumie neno wazanzibari nyinyi tu cc tushamaliza uchaguzi

  • @adilhabibu7958
    @adilhabibu7958 Před 3 lety

    Cuf ni matako tu hawana lolote wajinga tu