CUF wamsimamisha aliyewania uspika Zanzibar
Vložit
- čas přidán 6. 09. 2024
- Kaimu Katibu Mkuu wa chama cha CUF visiwani Zanzibar, Ali Issa Makame, yuko mguu ndani-mguu nje sasa baada cha chama chake kumtuhumu kwa usaliti kwa kuwania uspika wa Baraza la Wawakilishi la Zanzibar kama anavyoeleza Mkurugenzi wa Mawasiliano ya Umma wa CUF, Mohamed Ngulangwa.
Hapo umezungumza Damu za Wazanzibari sio Kwa bure. Watu kama nyinyi ndo mnaofaa. Asante
DUUUHHH KUMEKUCHA CUF HUO NDIO MSIMAMO KEEP IT UP MPAKA KIELEWEKE
Awa jamaa washatubia pengine baada ya kuona kuwa usaliti walioufanya hautakuwa na mwisho mwema au Lipumba hakulipwa pesa zake n CCM nd mana saiv anawageuka?
Majimbo aloahidiwa hakupatiwa
@@fatmamansour2369 anhaaaa okeeeee now I catch the picture
Mashaallahu dah kweli mtu sio mbwa
Ndio wakome mara nyengine usaliti sio kitú kizuri maalim Seifalikuwa mkweli lakini lipumba gakuutaka ukweli
@@fatmamansour2369 lakini lipumba alijitahidi kumpigia mwenzake kampeni😂. Sasa kageuka au🤔. Msikilizeni sharif majini kwa lipumba hakukosea utabiri wake. Nyota ya samaki ni nomaa😂. Hachelewi Tena kugeuka muelekeo WA kuunga juhudi. Hapo anadeka tu kwa jpm wetu keshokutwa atatulizwa subiri tu muone🤣. Hio fomu ya uraisi kashauriwa na Dr jpm achukuwe na Leo tu ashamgeuka mwenzake duh!
Wa zanzibar nduguzagu together front for freedom
Ccm vituko nyinyi hamuutaki upinzani Kisha mnazunguka upande mwengine ,hakuna bunge ambalo ni kichekesho Kama bunge hili ,hili ndio bunge la (ndio mzee).
Hao walimsaliti Maalim Seif na Wazanzibari na leo hii wanakula matapishi yao.
Mkimuona mjinga sana nynyi maalim seif kupinga kura ya mapema alijua kama anaenda kuibiwa nynyi mkakaa kimya saiv ndo mnanyanyua midomo yenu wanafiki tu na nynyi
Kwani maalim sefu SI unamuamini wewe ndio lzm kila MTU amuamini kumbuka kila kundi Lina wanayoamini hapo ndipo mbapofeli kuona na kulazimisha mawazo yako ndio lzm yawe mawazo ya wote ndio MAANA hata lipumba na kundi laje hamkuwaelewa kwa ushabiki TU lkn MATOKEO ya yake aliyoyasema lipumba yametimia lowasa karudi kwao
@@msafiriduwiya7765 mkereketwa
God bless you
Njaa mbaya sana tamaa mbele
Safi kaka
Hongera kwa kujali maslahi ya taifa kwanza na sio mtu binafsi.
Mmmhhhh!!!!hawakuruka wenye mbawa zao!!!mtakuja kuruka nyinyi maputugali jamaniii!!?????
Mungu akawabaliki sana
Chama kimeshakufa zamaniiiii..
Hiyo dhambi itaendelea kuwatafuna tu iwe juz jana leo na kesho na milele kesho zamu yako utaenguliwa tu
Kule Tanganyika wahuni wa CHADEMA wanatoka povu kwa kulilia iyi maalum. Huko Pemba wale wa haki sawa kwa wote wananza kufukuzana.... naona movie ndio linaanza sasa mengi tutayasikia tukijaliwa
Hawa jaama hawasomeki sijui wako mrengo gan
Nyiny pasua vichwa msituchanganye . Haikufaa chokaa.......
Msaliti Kusalitiwa woyoooooo
Waliahidiwa na CCM hawakupata kitu. Hahahaha..wmepewa kitu kimoja cha ubunge. Mnh
Sasa mbona umekasirika
Wafukuzeni wote lkn tumeshamutwanga..... Hahaha
Mara hii mumekuwa mnapinga matokeo lkn nahic kilemlichoahidiwa hamjapewa wabunge na wawakilishi , Ccm mlifikiri ni wenzenu
Musimamo thabiti hapohapo hakuna kuchangia na ccm waachieni wizihao wapora haki
sawa sawa
Kugombea no haki yake, acha porojo, kwani cuf ndio mwisho wa maisha, mbona nyinyi mlimsaliti maalim seif,, acha domo
Nyinyi CUF niwajinga sana kwasababu mnasema hamtambui uchaguzi ila mnaruhusu wabunge na wawakilishi kushiriki bungeni
Cuf haina mwakilishi ndo mana povuuu
Hahaha .MNAJUWA hapa .eti tuwe na huruma WAZANZIBAR tupate kikirejesha chama cha CUF. .kama si LIPUMBA. Kumjeukiya malim na wenzake UKAWA .yasingefika hapa.. hapa ni ZANZIBAR sio tanganyika. Tukitoka skuli tunakwenda madrasa. Na tukitoka madrasa. Tu n akwenda tena madrasa .na ijumamosi piya madrasa .na ijumapili piua madrasa. Kwa hiyo bro.. WAZANZIBAR rabda walodangnywa na NYERERE. Ndio watakao kufaham
Hao wengine ni vibaraka hawakosekani sehemu yoyote ile
Kumbe nawao wanae msaliti
Jamani nauliza mgombea wa cuf sialiunga mkono matokeo ya uchaguzi wa juzi zanzibar vip tena leo
Cuf jengeni chama mmetuangusha sana mwaka hii hata hiyo kupata wabunge watutu tushukur upande wa zenj ndio kulikufa kabisa kichama acheni majungu jengeni chama
Kwa hio chama chenu hakina democracy mtu Hana uhuru wa kugombea nafasi duuuuh hizi siasa za Africa hatari. 😂😂😂
Africa home still down for everything
Kawageuka Ali njaa bwana haina sumile
Hakiruhusi chama cha cuf kufukuza mtu lipumba alifukuzwa na baraza kuu na msajili na serikali yake ikamuhalalisha
Mara paaa msajili wa vyama anaamua maamuzi haya night batili 🤣
Haina tatizo hata msajili atabariki sio tatizo siokubariki tu hata kama msajili atasema anaetaka kumfira mama ake ruhusa
AAA a tulien sindano iingie mbona mnatikisika
Sindano InShaAllah itakuingia wewe kwanza
Lipumba ni msomi sana nimependa sana maamuzi yake hakika huyu ndio kiongoz muadilifu...ally makame issa ni mlafi wa madaraka na mtu kama hyu ni mbaya sana yupo tayar kufanya lolote kwa maslay yake...ahsant cuf
Naunga mkono kusimamishwa mweu huyo inaelekea bado kunawatu ndani yachama chetu niwasaliti tuwachunguze naa tuwafukuze
Nyote wasaliti Tena vidudu mtu hamueleweki Kama huyo profesariii wenu
Aa aa
Nyamazeni tu tuisome namba wote
@@salma0000 hahahahhah uko sahihi dada yani mishamba inalalamika tu haina network halafu inajita ccm wakati hao mabwana zao ndo waloondoa network, cc tunajiachia wala hatuna wasiwasi tunaperuzi tunapotaka
@@habibasule2360 umeonaeee mie act naperuza na vpn hahahaa
@@yussufhussein1954 hahahaha nakubali
Hata maalim ana maslah yke binafsi.mwache angalie maisha yke na wtoto wake
Kwani ana watoto muhuni tu yule na tapeli
Mbona mbunge wenu keshafika Dodoma na kesho anaapishwa au kwakuwa katokea lindi
100%
Nishidaaaaa
Mna Azna kuelewa sasa
wasaliti kwetu mwiko,wabakie wana CCM peke yao!
Itaundwa lini sasa hiyo tume huru
Minyenjeyenuuu gomeni sisi tunaendelea
Rais keshapatikana jipangeni 2025 wengine hata mbunge hawajapata
Hamna jipya nyie fanyeni kaz mna fos nin nyie watanzania washa amka
ukikua utakuja kuelewa nini unatakiwa ufanye ukiwa mkubwa kwa saaa sifia ccm tu
Atakuja Kama Lipumba na atashinda na barua yenu yenye mikwaju tele mtenda hutendewa
Musibabaishe akili zawatu
Duh
K
Huyo anasumbuliwa na njaa kali
Mumekwisha Nyie mamaeeeeeeeeeeeeeeee
Mmechelewa kwenye jamvi
Kumbe hamuutambuwi
Hatakama ningekuwamimi ningeingia bungeni sifati chama nafata matakwa ya walionichagua"
Nani huyo aliemchaguwa? Sisi hatukumchaguwa huyu, kapewa ruzuku na ccm tu
Hawa jamaa wamepanik yaani wanafikiri upinzani kushika dola tu, Wapinzani tunawahitaji kuhakikisha dola haifanyi ukosefu wa nidhamu
@@farasimpirai3744 hakuna hata mmoja atakae pata nafsi anae toka upinzani wajihangaisha tuu nafsi zao hawa ccm hasa walivó wakorofi watoe nafsi za kazi kuwapa upinzani tutaona
Chama ndio kinachompitisha mgombea halafu wananchi ndio wakakupigia kura kwaiyo lazima usikilize kauli ya chama kina semaje,halafu chama ndio kitamalizana na wanachi
@@jamalahmed7057hawajapanik kwa sababu ya kushika dola ccm walioyafanya usio ungwana wala ubinaadamu washafoji karatasi za kura feki hawatosheki matokeo wakayabadilisha hawajatosheka nawatu wakawapiga zanzibar na kuwauwa majaraha yavuja damu halafu urudi ukaombe kiti cha baraza wao wenyewao hawatoi nafsi kwa upinzani
Uyo alilipwa kabisa kuwaniaa
Safi san kw kuwafukuz wasaliti
Nyie ndo mnajitoa mana wenyewe hamuwezi kupewa dhamana ya nnchi hata sikumoja hamna nidhamu nyie wasaliti
Leo hii hamtambui
Ccb
Mtoto wa nyoka ni nyoka tu nyote ni wasaliti
Mashushuu tu hao wa ccm hawana lolote
Utashangaa sarakasi watakazopiga hewena wakishalipwa tu dau lao hawa jamaa.
Mfukuženi msalit huyo
Tukutane 2025 imeisha iyo
Tukifika na roho
@@khamisame1919 wazanzibar hatuna haja ys kupiga tena kura kuulisha ndugu zetu wachanga Nakuacha watoto yatima ba waja e wala hawana washuhulikiaje rabda waweke katiba mpya na tume huru ila bila ya hivo hatypigi kura
Ndo mitihan
😂😏😂😏😂😏😂😏😂
Aaaa
Ccm marahii hawakumpa lipumba pesa nini
Daaaaah iko siku utajua uyasemayo ushawahi kumshuhudia akipewa pesa au mnabeba zima t sio vzr binadamu tusiwe ivo
@@safiakhamis7922 nihakika ccm wananunua na kuhonga pesa km wataka tochi umurikiwe imeisha betri ww
Hamuna lenu nyieeweeeee
Mtenda akitendewa huhisi kaonewa si mulimsaliti sefu nyinyi sasa zamu yenu hahaha
Mnafiki huyo
Alafu musitumie neno wazanzibari nyinyi tu cc tushamaliza uchaguzi
Cuf ni matako tu hawana lolote wajinga tu