Zanzibar ni Unguja na Pemba, suluhisho la Zanzibar visiwa vyetu viongozwe kimamlaka ili chama kinakoshinda kiongoze huko. Kwa mimi sio sawa CCM kuwa chama tawala Pemba.
Uo ni uelewa wako lakini ukitafakari vizuri utagundua ni vikita mbovu kabisa ,jiulize tatizo la migogoro ya mauaji ,kila uchaguzi ukifika ni nini?.na je wanaokifa ni Pemba tu au na Unguja pia ?.kama sehemu zote mbili hutokea mauaji na kutiana ulemavu wa maisha ,je hao wanaoongoza Zanzibar wanastahili kweli kuendelea kuwepo madarakani?.jibu hawastahili kuongoza hivyo visima .ukiona kila uchaguzi ukifanyika ni mitafaruku na mauaji anayetawala anafanya hadaa na udanganyifu ili kubaki madarakani huo ndio ukweli udanganyifu katika chaguzi ukiondolewa na migogoro itaondoka bila ya wasiwasi wowote .
@@abubakarmuhammadsaid3244 Jaribu kuwa realistic. Udanganyifu pekee hautaweza kukuweka madarakani ni LAZIMA na watu uwe nao. Hivi kwa mfano chama cha NRA kifanye udanganyifu gani kipate angalau jimbo?
@@hajihassan5433Ccm haina lake jambo km watakaa kusubiri hki kweli hawtotumia nguvu hata huku unguja bc majimbo yao hasa kihalali hyazidi matano pemb hawtiwi hesabuni ata labahati mbay hkuna
bi fatma wewe unajua sana hongera unastahiki kuwa zaidi ya hapo ulipo
Hongera Bi Fatma
CHAMA CHA MAUWAJI✝️
Nilidhani ni Chama Cha Mapinduzi (CCM) kumbe ni Chama Cha Mauwaji (CCM) wa Waislam.
Na mm naomba nishirikishwe kutoa maoni
Zanzibar ni Unguja na Pemba, suluhisho la Zanzibar visiwa vyetu viongozwe kimamlaka ili chama kinakoshinda kiongoze huko. Kwa mimi sio sawa CCM kuwa chama tawala Pemba.
Uo ni uelewa wako lakini ukitafakari vizuri utagundua ni vikita mbovu kabisa ,jiulize tatizo la migogoro ya mauaji ,kila uchaguzi ukifika ni nini?.na je wanaokifa ni Pemba tu au na Unguja pia ?.kama sehemu zote mbili hutokea mauaji na kutiana ulemavu wa maisha ,je hao wanaoongoza Zanzibar wanastahili kweli kuendelea kuwepo madarakani?.jibu hawastahili kuongoza hivyo visima .ukiona kila uchaguzi ukifanyika ni mitafaruku na mauaji anayetawala anafanya hadaa na udanganyifu ili kubaki madarakani huo ndio ukweli udanganyifu katika chaguzi ukiondolewa na migogoro itaondoka bila ya wasiwasi wowote .
Kwani CCM iliwahi kushinda Unguja!?
@@abubakarmuhammadsaid3244 Jaribu kuwa realistic. Udanganyifu pekee hautaweza kukuweka madarakani ni LAZIMA na watu uwe nao. Hivi kwa mfano chama cha NRA kifanye udanganyifu gani kipate angalau jimbo?
@@abubakarmuhammadsaid3244 CCM Unguja ina watu wa kutosha hata hao ambao sio CCM 90% sio wa Unguja.
@@hajihassan5433Ccm haina lake jambo km watakaa kusubiri hki kweli hawtotumia nguvu hata huku unguja bc majimbo yao hasa kihalali hyazidi matano pemb hawtiwi hesabuni ata labahati mbay hkuna