Hatuwezi kuijenga Pemba Sawa na Unguja, hao Wapemba wenyewe wengi wapo Unguja

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 4. 06. 2024
  • Mwakilishi Nadir akizungumzia ujenzi wa maendeleo kisiwani Pemba.

Komentáře • 35

  • @omarmohammed5157
    @omarmohammed5157 Před měsícem +3

    Ndio maaan wazungu wanatuona wafrica kama manyani

  • @HalimaSalym-jl2ui
    @HalimaSalym-jl2ui Před měsícem +2

    "Mwacheni muheshmiwa azungumze"
    Nauliza swali
    Mwakilishi na mwenyekiti lao ni Moja?
    Ivi kweli Pemba itapata maendeleo Kwa mfumo huu?
    Alhamdulillah
    Yaa Allah tujaalie waja wako dhalili sisi wapemba, tunyime Raha na starehe za duniani, tujaalie maisha mazuri huko akhera. Ammyna

  • @ztagertali4814
    @ztagertali4814 Před měsícem +2

    Huyu hafai hata kuwa kiongoz

  • @khamisjuma7616
    @khamisjuma7616 Před měsícem +1

    anajielewa ?kwani barara zinajengwa kwa idadi ya watu au kulingana na ukubwa wa eneo husika ? mimi naona kama hajielewi

  • @Mahirwazanzibar
    @Mahirwazanzibar Před měsícem +1

    Hii kuhusu unguja na pemba itakuja kuleta mtafaruki, na migogoro mikubwa baina ya watu wa kutokea pemba na unguja.

  • @haroubhbm5728
    @haroubhbm5728 Před měsícem +2

    Kumbe huyu hamna kitu ovyoo hamna kitu

  • @MasoudJamal-fw2fc
    @MasoudJamal-fw2fc Před měsícem +1

    Huna haja ya kusema ndugu zetu wapemba hakuna ndugu zako kule, sema tu wapemba. Maongezi yako ya ovyo yanaashiria ubaguzi na chuki zilizokujaa dhidi ya wapemba. Lkn kumbuka duniani tunapita tu hii. Cheo kisikupe kibri.

  • @user-lp1gh7im3f
    @user-lp1gh7im3f Před 3 dny

    Ana kichaa, sababu ya Watu Pemba kuhama kwasababu hamupeleki maendeleo

  • @Onlyforfun1992tube
    @Onlyforfun1992tube Před měsícem +1

    Uyu jamaa unaweza kumpiga kofi kubwa,

  • @akaumbo9433
    @akaumbo9433 Před měsícem +1

    Huyu sku zote anaongea utumbo tu

  • @musr931
    @musr931 Před měsícem +1

    The product of what happened in 2020 election 😂

  • @user-xv4tl8iv4l
    @user-xv4tl8iv4l Před měsícem

    MHESHIMIWA TUSITIRI. ASTE ASTE BABA UTAWAAMSHA WALIOLALA

  • @FahmatFarmat
    @FahmatFarmat Před měsícem +1

    Huyu jamaa choko anaongeya nn haileweki

  • @user-hk2oz2eg4j
    @user-hk2oz2eg4j Před měsícem

    Huyu hasa sijui yupoje! Hapo ukiangalia ndio sawa unaipa mdomo serikali ya Muungano kusema bara ipate asilimia kubwa kuliko Zanzibar kwa sababu ya population. Ndio mfano anaoleta huyu jamaa.

  • @jamalhaidar4317
    @jamalhaidar4317 Před měsícem +1

    Mwisho wa maji ni tope

  • @MbaroukFaki-pr5mp
    @MbaroukFaki-pr5mp Před měsícem

    Basi tugaweni tuwachieni pemba yetu

  • @user-lb8gz5pt3u
    @user-lb8gz5pt3u Před měsícem

    Kwan upemba na unguja si uvunjeke bora nyinyi wanyamwez mubak na unguja yenu

  • @user-ks6rn1ir1j
    @user-ks6rn1ir1j Před měsícem

    Kipind Cha sheni Hawa kuku poni alikua hawapo..lkn kwa limwinyi limezid kuleta upemba na uunguja..wallah subiri ifike 2025 hakupas kuonesha uungja ingawa ni waziri

  • @user-xy5sj7fm7h
    @user-xy5sj7fm7h Před měsícem

    Hovyo kabisaa tena na hawo wanakaa wanapija makoci wajinga kwel

  • @feisalmwinyi2429
    @feisalmwinyi2429 Před měsícem +1

    Mh leo kanenaa tutake tusitakeee Wapembaa tuko Unguja wingi amii zanguni na😂tukifanya nzahaa kisiwa tutakicha na vizee tu kuleee.. kwa hiyoo waheshimiwa wakilishi wetuu kutoka pemba tumewashtukia mnataka kututia chaka kiwaona mnaipigania pemba kumbe waongo Mh Nadiri kanawavua nguo kweupee 😅😅

    • @omaryjumas6327
      @omaryjumas6327 Před měsícem +2

      Sawa, ila zile boti zinazoshusha malaya kutoka bara hamzioni kwasababu ni ndugu zenu wa damu.
      Hivi sasa ukipiga hesabu wahamuaji wanaoingia Zanzibar kutoka bara ni wengi kuliko watoto wanaozaliwa Zanzibar.
      Tatizo lenu mnasumbuliwa na ujinga na hasadi, waja wa laana nyie mtakwenda kujibu mbele ya Mwenyezi Mungu kwa kuufisidi Uislamu Zanzibar kwa tamaa za nafsi zenu.

    • @nailamohd-wn6sb
      @nailamohd-wn6sb Před měsícem

      ​@@omaryjumas6327 hao laki 7 anaosema wapo Unguja laki 2 nzima kutoka bara kwann hasemi wabara walokua sio kwao wanaingia kila siku na vitambulisho wanawapa hasbiyallah mahasidi wa nchi yetu.

    • @saidyussuf2291
      @saidyussuf2291 Před měsícem

      ​@@omaryjumas6327 subhanallah mpk ww unatukana ivoo

    • @IsmailJuma-zb5ni
      @IsmailJuma-zb5ni Před měsícem

      Allah yupo muda utaongea

  • @wakwetu2444
    @wakwetu2444 Před měsícem

    Ni kweli wengi tupo unguja Lakini mnaiba Kura zetu.

  • @omarabdallah9576
    @omarabdallah9576 Před měsícem

    Huyu sijawahi kumsikia kuzungumza kitu chenye mantiki si barazani wala kwenye nikutano jamaa ovyo sana

  • @SuleimanAli-di3kk
    @SuleimanAli-di3kk Před měsícem

    Duh!! Jamaa waajabusana anaeza kumtapisha mtu maongezi yake

  • @iskitogo
    @iskitogo Před měsícem

    Kuna wakati nilikuwa ninaongea na vijana wanaotarajia kuhitimu shahada zao Tunguu...vijana hao walikuja Unguja kutoka Pemba kwa ajili ya kusoma...niliwauliza endapo watarudi Pemba pindi wakimaliza masomo....walinijibu la hasha...wao wameshatoka Pemba kwanini warudi huko....na waaendelea kusema na siku wakivuka maji kwenda Bongo (Bara) ndiyo hawarudi tena

    • @AbdallahSalim-is3db
      @AbdallahSalim-is3db Před měsícem

      Ikiwa pemba wahukumiana kwa sharia basi yafaa kurudi ila ikiwa ni kanuni hakuna ulazima wa kurudi... mingine mtajazia nyinyi..

    • @ZanzibarKamiliTV
      @ZanzibarKamiliTV  Před měsícem

      Msiba huo kaka

  • @salyali7807
    @salyali7807 Před měsícem

    Utumbo mtupu.. akili za kitumwa

  • @shaibujape4446
    @shaibujape4446 Před měsícem

    Ha

  • @user-lb8gz5pt3u
    @user-lb8gz5pt3u Před měsícem

    Ccm kuna viongoz wajinga sana

  • @ZANAMBER
    @ZANAMBER Před měsícem

    Jinga

  • @ommymehmed8880
    @ommymehmed8880 Před měsícem

    Mwambieni ,kuwa kaka yetu marehem Raza alikuwa ni ccm lkn hakuwahi kuongea huu ujinga ....
    Na kwa upuuzi huu maisha watatumwa na watanganyika kujimaliza wenyewe...Allah atujaalie kutuondoshea viongozi wa aina hii.