SHEIKH SAID BIN NYANGE MADA MAVAZI YA KANZU FUPI KWA WANAUME

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 12. 06. 2023

Komentáře • 36

  • @user-fz9ir4nj1y
    @user-fz9ir4nj1y Před 5 dny

    Aamin

  • @user-ry2kn4fp7l
    @user-ry2kn4fp7l Před 16 dny

    اللهم اغفر له وارحمه واسكنه في جنة الفردوس
    اللهم اجعل قبره روضا من رياض الجنة برحمتك.
    آمين

  • @zaidumohd3125
    @zaidumohd3125 Před 17 dny

    Allah akulaze mahali pema peponi amin

  • @al-hidayahonlinetv3447
    @al-hidayahonlinetv3447 Před 6 měsíci +1

    masha allah sheikh mngeweka mawasiliano ktk acount yenu ingependeza kwajili ya maoni ushauri n.k jazakallahu khaira

  • @jumasalim7229
    @jumasalim7229 Před 18 dny

    Allah akuhifadh sheikh

  • @MAPETEE
    @MAPETEE Před 18 dny +1

    Alkah Ampe kauli thabit Amesha fariki jana ndani ya nchi ya saudia mji wa makkah

  • @sharifuburuhani1969
    @sharifuburuhani1969 Před 11 měsíci

    Sheikh maashaallah nimekuelewa

  • @wazirihamisi6484
    @wazirihamisi6484 Před 17 dny +1

    هذا من أهل البدع

  • @mohamedamiri4597
    @mohamedamiri4597 Před 11 měsíci +5

    Huyu shekhe anajibu maswali kitaalamu sana mpaka uwe makini katika kupokea majibu yake Allah amuhifadhi huyu Sheikh

    • @rayisadesigns2646
      @rayisadesigns2646 Před 17 dny +2

      Allah amrehemu, sheikh tayari ameshafariki Makka ktk hijja ya mwaka huu 2024 na amezikwa huko huko. 😢😢

    • @princesaha3262
      @princesaha3262 Před 14 dny

      Allah amsamehe na amrehemu

  • @MuhammedFoum-kr5kc
    @MuhammedFoum-kr5kc Před 21 dnem

    ❤❤❤❤❤❤

  • @GreysonMdee-wm8tn
    @GreysonMdee-wm8tn Před 16 dny

    Inalillah Waina ilayh rajuun

  • @mohamedamiri4597
    @mohamedamiri4597 Před 11 měsíci

    Allah akuzidishie hikima

  • @mrsultanzimbwe6746
    @mrsultanzimbwe6746 Před 11 měsíci +1

    Nasaha ukiziona wazani kweli dini lkn kwa nafsi zimetawaliwa na kuichukia Sunnah

  • @mornasaidtindwa3622
    @mornasaidtindwa3622 Před 17 dny

    Innalilah wainnailah rajuun

  • @user-vq6zx7oj9j
    @user-vq6zx7oj9j Před 18 dny

    Inna lillahi wa inna ilahi raniun

  • @mwanaherimatata8571
    @mwanaherimatata8571 Před 10 dny

    Huyu shekh Ana imani na yawezekana ni wa jannatul firdauth
    Ana hekima anajishusha mstarabu n moja ya dalili ya uchamungu

  • @reallyman9836
    @reallyman9836 Před 18 dny +1

    Innaalilaah wainnaa ilayhi raajiuun
    Sheikh Amefariki huko Saudia Arabia baada ya ibada ya Hijja na amezikwa huko huko Saudia Arabi.
    Allah amghufirie na amhifadhi

  • @hamzakimaro3764
    @hamzakimaro3764 Před 11 měsíci +1

    BWANA NYANGE DINI HAICHULIWI KWA WATU WA MAKKA WALA MADINA!
    DINI INACHUKULIWA KUTOKA KWA KITABU (QUR"AN)NA SUNNAH(MWENENDO WA MTUME)SASA HUKO KOTE UNAKOZUNGUKA HUPATI JIBU!!

  • @raskingo1495
    @raskingo1495 Před 14 dny

    Inna lillah wainna irahi rajiuna Allah Akupe Pepo ya juu Sheikh na sisi Tuliobaki Atupe mwisho mwema

  • @abdulwahababdulkadir9965
    @abdulwahababdulkadir9965 Před 11 měsíci +2

    Sasa maalim kwani unaposema kanzu fupi unamaanisha haifai ama ni vp,maana muhim ni kua umestirika uchi wake na hajafanya isbari,kwani kuvaa pensi ni dhambi ama ni vp,ilimradi mtu amestiri uchi wake tu

  • @khamisrubea5083
    @khamisrubea5083 Před 11 měsíci

    Mashehe walolelewa

  • @user-ql2om7qj3v
    @user-ql2om7qj3v Před 11 měsíci +3

    Kama.umesafiri ukaona mingi.wambiye kuwa makkah na madina hakuna bidaa. Basi fanya ujuwe wewe mzushi jirekebishe basi.

  • @salafnungwi5723
    @salafnungwi5723 Před 11 měsíci +1

    Sijajuwa huy mwalim kasimamia kauli gani kwenye sunnah ya uvaaji nguo.
    Jee sunnah kupunguza ama kuachilia?
    Na aliyeachilia hadi kufika chini ana hukumu gani?
    Jee hukumu ya aliyeachilia had kufika chini itawiyana sawa na yule ambaye amekifanya kikaz chake mpk kikawa kifupi sn?

  • @SalimuMaganji-ts1fn
    @SalimuMaganji-ts1fn Před 15 dny

    Hayo mambo ya kuita watu wanawake sio kweli kua watu waitwa hivyo au kukatiwa suruali ndefu au kanzu na mkasi sii kweli bali huo ulikua uongo ulozushwa na ilunga kua aliswali msikiti mmoja kule arusha akaambiwa arud nyuma kwakua ni mwanamke eti kisa anaburuza suruali hapo alidanganya umma kwan hajafanyiwa hivyo

    • @khamisrubea5083
      @khamisrubea5083 Před 14 dny

      Ni mifano tu sio lazima iwe imefanyika

    • @SalimuMaganji-ts1fn
      @SalimuMaganji-ts1fn Před 14 dny

      @@khamisrubea5083 mimi niliandka hayo kwa sababu shekh Ilunga marehemu ashaawahi kudai aliitwa mwanamke akiwa msikiti mmoja kule arusha baada ya kuuliza kwa kiongozi wa ule msikiti akasema hata yeye alishangaa hayo maneno ya uongo ya ilunga na akasema wakati ilunga alipofika hapo alikaribishwa tu vizuri na aliruhusiwa kuzungumza mimbari lakini alivyotoka akawazushia huo uongo

  • @BilaliIloko
    @BilaliIloko Před 16 dny

    Mbona amna kitu apo,naona kama stori tu,ila allah amrahamu

  • @user-ql2om7qj3v
    @user-ql2om7qj3v Před 8 dny

    Sasa wewe mtu wa bidaaa angalia mbona husemi ulipofika kule kila mtu ameweka ndevu.wewe umenyowa kama mwanamke

  • @user-xu9nn3pe4k
    @user-xu9nn3pe4k Před 10 dny

    huyu hapana shaka kua n mtu wa bidaa sjui wana mambo ya vp kuichukua sunna wanaona kama n jambo la watu fulan

  • @khamisrubea5083
    @khamisrubea5083 Před 14 dny

    Tumeondokewa huyu jamaa ndo kwanza nlikua naanza kumfatilia ana hekma ya hali ya juu ktk kufundisha na unatakiwa uwe makini sana ili umuelewe