Nasheed zikiimbwa na wale wanaozipinga hususan ukiziwekea na ala kama hii inakuwa halali. Ila akiimba mwengine anaambiwa ni "khanith". Allah atujaalie wepesi na atupe ufahamu sahihi
Afu nyie waisilamu mna tia Aibu mawahabi mawahabi kwani nyie mpoje jmn yani mwisilamu lkn una mfanya kama so mwisilamu acheni upuuzi hii Dini ya Mungu so yenu
Asalaam alaykum warahmatullah wabarakatuh KUMRADH SHEIKH MUHAMMAD, NIMEMUONA SHEIKH MMJOJA KATIKA VIDEO CLIP AKISEMA DARSA ALILOKUWA AKILIENDESHA ALMARUHUM SHEIKH NASORO BACHU LIMEPUNGUKIWA SANA NA WANAFUNZI. KAMA NI KWELI, HII SIO PICHA NZURI AIDHA SIO AFYA KWA MAENDELEO YA AKHLUL SUNNA WAL JAMAA. KAMA NI KWELI LABDA KUNA SABABU YA MSINGI, KAMA LA, BASI LIONE HILO. WABILAH TAWFIQ
Masha Allah, editor wahii kazi ametuwekeya mziki editor wacheni khiyana shekh Muhammad mwenyew anapigavita nasheed za namna hii editor achananeni na mziki mziki siyo dini na hauna dalili yakukubalika ktk dini
@@saba-gv3mj Wewe muislamu kweli? Ama wewe ni shia mwenye niyah ya kupotosha ummah ya kiislamu? Hebu nipe ayah ama Hadith zinahalalisha anasheed? Don't mislead the ummah ya ahlul bid'a
@@hamidaawadh9024 Sio lazima ila irudie tena kuiangalia hiyo video yaani kupewa,kupokea na kuingiza kinywani sidhani kama amewahi kusoma hata hiyo moyoni, labda amesoma akiwa bado hajapokea Allah anajua zaidi
@@awadhsalim2680 وَعَنْ اِبْنِ عَبَّاسٍ رَضِيَ اَللَّهُ عَنْهُمَا قَالَ: {أَكُلَّ اَلضَّبِّ عَلَى مَائِدَةِ رَسُولُ اَللَّهِ صلى الله عليه وسلم} مُتَّفَقٌ عَلَيْهِ Kutoka kwa Ibn ‘Abbaas (رَضِيَ اللهُ عَنْهُمَا) amesema: “Kenge aliliwa katika meza ya Rasuli wa Allaah (صَلَّى اللهُ عَلَيْهِ وَآلِهِ وَسَلَّمْ). [Al-Bukhaariy, Muslim]
@@YahyaYahya-vp2pp kaka usiwe mjinga kuku hashambulii Kwa kucha wala hakamatii kucha nimesoma na wala sikusomeahwa na malaika wa radi na wanasiasa wa chama cha salafi nitafute nikusomeshe na lazima ujuwe kwamba kuna tofaut baina ya kuzuria kucha na kukamatia kucha kwaiyo kunguru na kipanga halaal kuliwa mana kuku yeye hupekura kupitia kucha illa kuzuria huzuria mdomo
@@mudvan2410 kama hukusomeshwa umejisomea mwenye ndio ujinga wako ilipoanzia.. Saw umesoma kitabu gani hayo uliyo yasema eliimu haina mwish niambie kitabu huenda nikafaidika nacho
we jahili mtoto wa bachu daah leo umeumbuka kwanza ulianza kusema nashid ni sawa na ukhanithi mbili hao mawahabi wenzio mnakula kibudu kenge kwa sababu enzi za mtume alikula mburu kenge na sio kenge yuru tatu waislam mnakula mmesimama kiujumla tunawaita makafiri hakuna sehem mtume alikula kasimama kenge nyie kama nyama hiyo
Mashaallah Tabarakallah sheikh muhammad nassor. Vike wewe umekula basi na mimi naweza kujaribu kula.
Sheikh dumilla hafidhahullaahu. Sheikh muhammad bachu hafidhahullaahu. Ustaadh shee. Ustaadh luqmaan. Allah awahifadhi wote.
Bachu anapenda sana Maulidi.Naona Leo ametuwekea kaswida Masha Allah!!
@@ashachitemo7816 Nasheed wanatumia 😂😂😂
Nasheed zikiimbwa na wale wanaozipinga hususan ukiziwekea na ala kama hii inakuwa halali. Ila akiimba mwengine anaambiwa ni "khanith".
Allah atujaalie wepesi na atupe ufahamu sahihi
Hapo awali nlikuwa nina mushkeli kula kenge....sante sheikh muahammad bachu....
Manshallah inafurahisha kwelikweli
Mashaallah,watu wamatusi mtaacha lini kutukana hovyo hovyo
Kenge mtamu sana ana nguvu kuliko pweza
Alhamdulilah sisi Oman huku tunakula sana na maarufu kwa Jina la dhabb
MashaAllaah sheikh wetu kanogewa na kenge hali kapewa safuriya yote ya nboga 😂😂😂
Subuhanallah sheikh umeweka bidaa.
Naona umeweka nashid
Subhanallaah kwetu twamuita sakata ukilikaribia makofi ya mkia utayavagaa kumbe mawahabi mnakula nyienae mmh achen uchuu
Afu nyie waisilamu mna tia Aibu mawahabi mawahabi kwani nyie mpoje jmn yani mwisilamu lkn una mfanya kama so mwisilamu acheni upuuzi hii Dini ya Mungu so yenu
Yuru siyo kenge. Huyo anaitwa yuru nitofauti na kenge
@@abuujibriltv5233 Kwan YURU na KENGE sini species za jamii moja !??????????????? au tofaut ikoje hapo !??
Asalaam alaykum warahmatullah wabarakatuh
KUMRADH SHEIKH MUHAMMAD, NIMEMUONA SHEIKH MMJOJA KATIKA VIDEO CLIP AKISEMA DARSA ALILOKUWA AKILIENDESHA ALMARUHUM SHEIKH NASORO BACHU LIMEPUNGUKIWA SANA NA WANAFUNZI. KAMA NI KWELI, HII SIO PICHA NZURI AIDHA SIO AFYA KWA MAENDELEO YA AKHLUL SUNNA WAL JAMAA.
KAMA NI KWELI LABDA KUNA SABABU YA MSINGI, KAMA LA, BASI LIONE HILO.
WABILAH TAWFIQ
MASHAA ALLAH tabarakalla mmmmmmm kumbe kenga analiwa sijawaikula
Poleni sana mashekh
Maashaa Allaah
Aaamin Yaarabbal A'lamin 😊
Masha Allah
Mbona umeunganisha channel yako na nasheed wakati umewahi kusema kuwa wanaosoma anaashidi wanalegeza sauti mwisho ukawaita makhanithi na mashoga
Mashallah
Maasha Allah
Naona Kaswida kwa mbali leo😅 Mashallah
Bachu ameikalia sufuria ya yuru hataki kuiwata
Bismillah
😂😂😂😂 Sheikh mm siwezi yakh
Masha Allah, editor wahii kazi ametuwekeya mziki editor wacheni khiyana shekh Muhammad mwenyew anapigavita nasheed za namna hii editor achananeni na mziki mziki siyo dini na hauna dalili yakukubalika ktk dini
@@abuuabdirrahmaan4132 kama ukomakini chanel ya Muhammad bachu iliungana na Alhajar tv sasa editor wao ndo tunamtupiya lawama kwahili na siyo shekh
Sheikh bachu watu wa bidaa wanavyo kuchukia watakuonyesha kwenye radd zao nahilo sufuriatu Allah awaongoze
Unashobokea kidume mwenzio
@@HemedSeriousvp na ww ni Mtu wa Bidaa maana na ww umeshoboka na comment ya Watu isiyo kuhusu
Haahaaa 😂😂 muhammad.
Fisi pia halali yeye husimamatu
Ukuweza kula kenge na Mjusi unaweza kula
Mnapinga Nasheed.. lakin katka vipindi vyenu munaeka??
أتأمرون الناس بالبر وتنسون أنفسكم وأنتم تتلون الكتباب أفلا تعقلون؟؟؟
Nyinyi mawahabi hatafisi mulihalalisha
BACHU WEWE SIO WA KUWEKA MZIKI KWENYE CHANNEL YAKO! ......Ushaanza kutupa wasiwasi juu ya msimamo wako asee!
Hata kama ndo umecopy hyo video.....ila as long as ni haram haukutakiw kuicopy kweny channel yako
Hata ww ukiwa na ilimu utajua nashid haina neno
Kila binadamu huteleza ndugu
@@mohagurey2214 sio kuteleza kila akipija hatua na ilimu atapata nashid atakubali insha Allah na maulid atasoma ngojea uwone
@@saba-gv3mj Wewe muislamu kweli? Ama wewe ni shia mwenye niyah ya kupotosha ummah ya kiislamu? Hebu nipe ayah ama Hadith zinahalalisha anasheed? Don't mislead the ummah ya ahlul bid'a
Mm siwezi😂😂😂
Mm inabiti nilenisikuwa
Kaeni Bc Ndio Muwe Mnakula
naona sheikh wa Sunna unakula uku umesimama
Sio shambi ila haipendezi wallah aalam
Mtume asemausinywe maji kama umesimama sio chakula
Kuna katzo kwani kula huku umesimama?
Asalam alaykum shekhe vp tena maana ulisema nasheed ni ubalazuri sasa vipi nawewe umeshakuwa balazuri au vp?
Ameteleza
@Amirmape6474
Kua na Adabu
@@mahmudmugarura2175 mimi?
Kwan yy kaimba anashed au TV ndio imeweka anashed
Kuwa na akili TV ndio imeweka anashed sio Mohd bachu kaimba
Achen kuweka vinanda
Kenge aliyetajwa navitabu siyo huyo
Ujehuku znz tukulishe guruguru mana kitu kimoja hao
Wewe bachu hunahaya
Ww unazo hizo haya?
MAWAHABI MWASHINDANA KULA KENGE😂 WAKATI MTUME ALIKATAA KULA KENGE
Hadithi ipo?
Wee bachu acha njaa
Popote pale kama wamfuata mtume watakiwa uwe mstaarab hivo ndo Mtume alivokula........waporoja tu.......half wasmama kifua mbele kupinga maulid
Punguza chuki
Anaekula akiwa amesimama huyo ni..........
Nilipo ifungua hii video nilisikia mashairi bin bachu waimba mashairi ni nani vile
Siwez kula kenge hata iweje, yan naachaje kuku
Aisee mie siwezi kula hiyo hata kwa dawa
SHEHE UMEOMBA KIPANDE CHA NYAMA ,UMEPEWA TU UMEKIWEKA KINYWANI BILA YA HATA BISMILLAHI ILA MARA YA PILI ALHAMDULILLAH UMESEMA 😂😂😂
Kwani lazima aseme bismiLlaah kwa sauti?
@@hamidaawadh9024 Sio lazima ila irudie tena kuiangalia hiyo video yaani kupewa,kupokea na kuingiza kinywani sidhani kama amewahi kusoma hata hiyo moyoni, labda amesoma akiwa bado hajapokea Allah anajua zaidi
Kusahau ipo kwa mwanaadamu
@@hamidaawadh9024 Sio lazima ila hata kwa moyoni hajasema maana ni muda mchache baada ya kupokea na kuweka kinywani
@@user-rb8ir9co9k Yes inawezekana pia
Sheikh bachu VIPI TENA HIZO NASHEED??
hio ni nasheed isiokua na ala za mziki😊
Ilikua nauliza suala moja je huyo kenge huwa achinjwa baada yakumshika ama hata asipochinjwa yaruhusiws kuliwa
Vipi kuhusu popo ni halal pia
Eu não consigo comer esse tipo de animal 😮😮😮😮
Mtume hakula kenge bali alikula mburu ni kiumbe anaezaa hatagi mayai,lakini kenge anataga someni musifuate tuu jazba
Angalia usijelishwa nguruwe akhy
Assalaamu aleikum
Waalekum Sallam
Waalaykum salaam
Yuri ndio kitu gani jmani bachu unakulaa usichokijuwas
Ni burukenge unamjua?
Chakula cha mila. Lakini reptile kumla mushkeli.
Mtume alimkataa ki desturi lakini chinguzeni vitu anavyokula ndio utajua hafai
Yuwaliwa hakuna mushkil
Ukila yuru utaota unashika ma euro ya pesa
Mbona kama Bismillah hakuna! Alafu ni nyoka!😅
Amesema Bismillah rahmaan rahiim,rudia tena umsikie
@@fatmasalim7132 ndio ila waangalie hao wengine
Kwaiyo kenge halali kula???
shekh Muhammad hahahahahah
Je ,mamba pia halal?
Warohotu nyie
Duuuh,,, hivi kwel Kenge analiwa !????
Tena vizuri sana....ila kwa wanawake sio nzuri
Sasa kama kenge analiwa na punda karibuni tutaambiwa analiwa. Tutaona mengi kwa vile dini ishakuwa ni ushindani sasa.
@@awadhsalim2680
وَعَنْ اِبْنِ عَبَّاسٍ رَضِيَ اَللَّهُ عَنْهُمَا قَالَ: {أَكُلَّ اَلضَّبِّ عَلَى مَائِدَةِ رَسُولُ اَللَّهِ صلى الله عليه وسلم} مُتَّفَقٌ عَلَيْهِ
Kutoka kwa Ibn ‘Abbaas (رَضِيَ اللهُ عَنْهُمَا) amesema: “Kenge aliliwa katika meza ya Rasuli wa Allaah (صَلَّى اللهُ عَلَيْهِ وَآلِهِ وَسَلَّمْ). [Al-Bukhaariy, Muslim]
Mimi simli
Unaogopa nini?
😢sijasikia km kenge analiwa haya km si haram kuleni
Fanya na ww umuonje siku Moja
@@user-rb8ir9co9k mhh kitu km hicho mara unadhurika mm siwez Kula kenge
Hyo kitu n tam san aloo nimeimis mno since 2000
😂😂
Yuri ndio analiwa kenge haliwi acheni ujinga,halaf nyie ndio mwajitia watu wasunna mbona mnakula haliyakuwa mmesimamah
Asiekasoro hakuna
Kweli lakini wao watu wa suna bwana wangefanya wenziwao ingekuwa CZcams kama zote
@@abubakarismail6365Hawana sunna wala nn ni vibaraka wa esrail na marekani.
Sorry, @Albanabdullah1232, YURI ndo viumbe wa jamii gani !??????
Nataka kujua
فالنهي عن ذالك للكراهة فافهم يا جاهل مركب "فمن أكل واقفا فلا حرج يا غبي
Unakula GURUGURU weweee😂😂😂😂
cha homu asaa😂😂
chochote kinacho zuria au kushambulia kupitia kucha ni haramu Kula hebu twambie ushahidi wa Kula kenge bwana radi ili na sie tupate faida
Vip kuku wenye kushambulia kwa kucha na wao ni haramu na kuna ndege wengi tu wanashambulia kutumia kucha.. Hi faqh yako umesoma wapi?
@@YahyaYahya-vp2pp kaka usiwe mjinga kuku hashambulii Kwa kucha wala hakamatii kucha nimesoma na wala sikusomeahwa na malaika wa radi na wanasiasa wa chama cha salafi nitafute nikusomeshe na lazima ujuwe kwamba kuna tofaut baina ya kuzuria kucha na kukamatia kucha kwaiyo kunguru na kipanga halaal kuliwa mana kuku yeye hupekura kupitia kucha illa kuzuria huzuria mdomo
@@mudvan2410 kama hukusomeshwa umejisomea mwenye ndio ujinga wako ilipoanzia.. Saw umesoma kitabu gani hayo uliyo yasema eliimu haina mwish niambie kitabu huenda nikafaidika nacho
Shekh Muhammad uko Kenya utakula mpaka panya 😂😂
mimi hata kwa bomu simli😂😂😂
😂😅asantaa.ustadhi eeeh,nauliza fisi jee halali kumla?manake nliskia mawaidha ya manhaj salafi kuwa muislam anafaa kumlaa.
Mchafu wewe hoyuru aliliwa khaybara kwa sababu ya dhiki
we jahili mtoto wa bachu daah leo umeumbuka kwanza ulianza kusema nashid ni sawa na ukhanithi mbili hao mawahabi wenzio mnakula kibudu kenge kwa sababu enzi za mtume alikula mburu kenge na sio kenge yuru tatu waislam mnakula mmesimama kiujumla tunawaita makafiri hakuna sehem mtume alikula kasimama kenge nyie kama nyama hiyo
kaka acha kuita waislamu makafiri
Genge ni halali.
Kula kwa kusimama haina shida imeruhusiwa
Masufi hamtaki kusoma
hao ni makafiri mtume hakufundisha hivyo kama wewe unaona wako sahihi wafuate yeye ni bingwa kwa kukosoa wenzake jahil huyo@@khamisswalehe
@@saidabdallah5448wewe ni kibaraka wake nakujua vyema hunipi tabu genge la kikatoliki mnakula vibudu
@@maalimahmad5726wanaosoma maulid wao ndo waislam ee