ANGALIA WATU WA SIU WAMENILISHA KENGE ( YURU ) / Muhammad Bachu .

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 31. 07. 2024
  • Hry

Komentáře • 147

  • @ExcitedChefHat-ef5jt
    @ExcitedChefHat-ef5jt Před měsícem +5

    Mashaallah Tabarakallah sheikh muhammad nassor. Vike wewe umekula basi na mimi naweza kujaribu kula.

  • @LukmanMohd-kn3iq
    @LukmanMohd-kn3iq Před měsícem +2

    Sheikh dumilla hafidhahullaahu. Sheikh muhammad bachu hafidhahullaahu. Ustaadh shee. Ustaadh luqmaan. Allah awahifadhi wote.

  • @ashachitemo7816
    @ashachitemo7816 Před měsícem +5

    Bachu anapenda sana Maulidi.Naona Leo ametuwekea kaswida Masha Allah!!

    • @MdNasr-jm8pj
      @MdNasr-jm8pj Před 20 dny

      @@ashachitemo7816 Nasheed wanatumia 😂😂😂

  • @user412
    @user412 Před měsícem +2

    Nasheed zikiimbwa na wale wanaozipinga hususan ukiziwekea na ala kama hii inakuwa halali. Ila akiimba mwengine anaambiwa ni "khanith".
    Allah atujaalie wepesi na atupe ufahamu sahihi

  • @ameirfaki9277
    @ameirfaki9277 Před měsícem +2

    Hapo awali nlikuwa nina mushkeli kula kenge....sante sheikh muahammad bachu....

  • @user-xb6tr5vq4b
    @user-xb6tr5vq4b Před měsícem +2

    Manshallah inafurahisha kwelikweli

  • @yunusramadhan2546
    @yunusramadhan2546 Před měsícem +2

    Mashaallah,watu wamatusi mtaacha lini kutukana hovyo hovyo

  • @bakariomari24omar21
    @bakariomari24omar21 Před měsícem +2

    Kenge mtamu sana ana nguvu kuliko pweza

  • @ahmedabry293
    @ahmedabry293 Před měsícem +1

    Alhamdulilah sisi Oman huku tunakula sana na maarufu kwa Jina la dhabb

  • @user-pd2fk6kt5i
    @user-pd2fk6kt5i Před měsícem +1

    MashaAllaah sheikh wetu kanogewa na kenge hali kapewa safuriya yote ya nboga 😂😂😂

  • @allyhamad9665
    @allyhamad9665 Před měsícem

    Subuhanallah sheikh umeweka bidaa.
    Naona umeweka nashid

  • @user-kg6ex5mb3q
    @user-kg6ex5mb3q Před měsícem

    Subhanallaah kwetu twamuita sakata ukilikaribia makofi ya mkia utayavagaa kumbe mawahabi mnakula nyienae mmh achen uchuu

    • @ramadhanjuma610
      @ramadhanjuma610 Před 27 dny

      Afu nyie waisilamu mna tia Aibu mawahabi mawahabi kwani nyie mpoje jmn yani mwisilamu lkn una mfanya kama so mwisilamu acheni upuuzi hii Dini ya Mungu so yenu

  • @abuujibriltv5233
    @abuujibriltv5233 Před měsícem +4

    Yuru siyo kenge. Huyo anaitwa yuru nitofauti na kenge

    • @rajabhamis8272
      @rajabhamis8272 Před měsícem

      @@abuujibriltv5233 Kwan YURU na KENGE sini species za jamii moja !??????????????? au tofaut ikoje hapo !??

  • @haidarimfinanga9755
    @haidarimfinanga9755 Před 27 dny

    Asalaam alaykum warahmatullah wabarakatuh
    KUMRADH SHEIKH MUHAMMAD, NIMEMUONA SHEIKH MMJOJA KATIKA VIDEO CLIP AKISEMA DARSA ALILOKUWA AKILIENDESHA ALMARUHUM SHEIKH NASORO BACHU LIMEPUNGUKIWA SANA NA WANAFUNZI. KAMA NI KWELI, HII SIO PICHA NZURI AIDHA SIO AFYA KWA MAENDELEO YA AKHLUL SUNNA WAL JAMAA.
    KAMA NI KWELI LABDA KUNA SABABU YA MSINGI, KAMA LA, BASI LIONE HILO.
    WABILAH TAWFIQ

  • @sakinasakku8340
    @sakinasakku8340 Před měsícem

    MASHAA ALLAH tabarakalla mmmmmmm kumbe kenga analiwa sijawaikula

  • @NaadiriTV
    @NaadiriTV Před měsícem

    Poleni sana mashekh

  • @OmarAlly-iz8ot
    @OmarAlly-iz8ot Před měsícem +1

    Maashaa Allaah

  • @saadasaleh3177
    @saadasaleh3177 Před měsícem

    Aaamin Yaarabbal A'lamin 😊

  • @user-gy5en6cy8o
    @user-gy5en6cy8o Před měsícem +1

    Masha Allah

  • @HassanKofa
    @HassanKofa Před měsícem +2

    Mbona umeunganisha channel yako na nasheed wakati umewahi kusema kuwa wanaosoma anaashidi wanalegeza sauti mwisho ukawaita makhanithi na mashoga

  • @ukweli19
    @ukweli19 Před měsícem +1

    Mashallah

  • @MuhammadSabuni
    @MuhammadSabuni Před měsícem

    Maasha Allah

  • @user-dl1mg2qf4n
    @user-dl1mg2qf4n Před měsícem

    Naona Kaswida kwa mbali leo😅 Mashallah

  • @Khalid-mf3iu
    @Khalid-mf3iu Před měsícem +2

    Bachu ameikalia sufuria ya yuru hataki kuiwata

  • @balkissMuhammad-sk1ic
    @balkissMuhammad-sk1ic Před měsícem +1

    Bismillah

  • @AliIbrahim-lv5cq
    @AliIbrahim-lv5cq Před měsícem +1

    😂😂😂😂 Sheikh mm siwezi yakh

  • @mfalmenajjash2128
    @mfalmenajjash2128 Před měsícem +1

    Masha Allah, editor wahii kazi ametuwekeya mziki editor wacheni khiyana shekh Muhammad mwenyew anapigavita nasheed za namna hii editor achananeni na mziki mziki siyo dini na hauna dalili yakukubalika ktk dini

    • @mfalmenajjash2128
      @mfalmenajjash2128 Před měsícem

      @@abuuabdirrahmaan4132 kama ukomakini chanel ya Muhammad bachu iliungana na Alhajar tv sasa editor wao ndo tunamtupiya lawama kwahili na siyo shekh

  • @yunusramadhan2546
    @yunusramadhan2546 Před měsícem +1

    Sheikh bachu watu wa bidaa wanavyo kuchukia watakuonyesha kwenye radd zao nahilo sufuriatu Allah awaongoze

    • @HemedSerious
      @HemedSerious Před měsícem

      Unashobokea kidume mwenzio

    • @user-rb8ir9co9k
      @user-rb8ir9co9k Před 20 dny

      ​@@HemedSeriousvp na ww ni Mtu wa Bidaa maana na ww umeshoboka na comment ya Watu isiyo kuhusu

  • @YahyaYahya-vp2pp
    @YahyaYahya-vp2pp Před měsícem

    Haahaaa 😂😂 muhammad.

  • @yunusramadhan2546
    @yunusramadhan2546 Před měsícem

    Fisi pia halali yeye husimamatu

  • @kombomakame9541
    @kombomakame9541 Před měsícem

    Ukuweza kula kenge na Mjusi unaweza kula

  • @ibnuomar1770
    @ibnuomar1770 Před 29 dny

    Mnapinga Nasheed.. lakin katka vipindi vyenu munaeka??
    أتأمرون الناس بالبر وتنسون أنفسكم وأنتم تتلون الكتباب أفلا تعقلون؟؟؟

  • @CubeedCali
    @CubeedCali Před 28 dny

    Nyinyi mawahabi hatafisi mulihalalisha

  • @ABUUBAAZNYUNGU
    @ABUUBAAZNYUNGU Před měsícem +4

    BACHU WEWE SIO WA KUWEKA MZIKI KWENYE CHANNEL YAKO! ......Ushaanza kutupa wasiwasi juu ya msimamo wako asee!

    • @ABUUBAAZNYUNGU
      @ABUUBAAZNYUNGU Před měsícem

      Hata kama ndo umecopy hyo video.....ila as long as ni haram haukutakiw kuicopy kweny channel yako

    • @saba-gv3mj
      @saba-gv3mj Před měsícem

      Hata ww ukiwa na ilimu utajua nashid haina neno

    • @mohagurey2214
      @mohagurey2214 Před měsícem

      Kila binadamu huteleza ndugu

    • @saba-gv3mj
      @saba-gv3mj Před měsícem

      @@mohagurey2214 sio kuteleza kila akipija hatua na ilimu atapata nashid atakubali insha Allah na maulid atasoma ngojea uwone

    • @mohagurey2214
      @mohagurey2214 Před měsícem

      @@saba-gv3mj Wewe muislamu kweli? Ama wewe ni shia mwenye niyah ya kupotosha ummah ya kiislamu? Hebu nipe ayah ama Hadith zinahalalisha anasheed? Don't mislead the ummah ya ahlul bid'a

  • @aziza9093
    @aziza9093 Před měsícem

    Mm siwezi😂😂😂

  • @aziza9093
    @aziza9093 Před měsícem

    Mm inabiti nilenisikuwa

  • @HusseinSalimu-cm3vs
    @HusseinSalimu-cm3vs Před měsícem

    Kaeni Bc Ndio Muwe Mnakula

  • @ALiBAba-zz2td
    @ALiBAba-zz2td Před měsícem +2

    naona sheikh wa Sunna unakula uku umesimama

  • @amirmape6474
    @amirmape6474 Před měsícem +5

    Asalam alaykum shekhe vp tena maana ulisema nasheed ni ubalazuri sasa vipi nawewe umeshakuwa balazuri au vp?

  • @MusafirBaba-wy8kh
    @MusafirBaba-wy8kh Před měsícem

    Achen kuweka vinanda

  • @rashidikibuna8575
    @rashidikibuna8575 Před měsícem

    Kenge aliyetajwa navitabu siyo huyo

  • @AbdulmujibAhmed
    @AbdulmujibAhmed Před měsícem

    Ujehuku znz tukulishe guruguru mana kitu kimoja hao

  • @CubeedCali
    @CubeedCali Před 28 dny

    Wewe bachu hunahaya

  • @Ibunmaulanashirazy-sn5ui

    MAWAHABI MWASHINDANA KULA KENGE😂 WAKATI MTUME ALIKATAA KULA KENGE

  • @ayoubrashid8392
    @ayoubrashid8392 Před měsícem

    Wee bachu acha njaa

    • @ayoubrashid8392
      @ayoubrashid8392 Před měsícem

      Popote pale kama wamfuata mtume watakiwa uwe mstaarab hivo ndo Mtume alivokula........waporoja tu.......half wasmama kifua mbele kupinga maulid

    • @user-rb8ir9co9k
      @user-rb8ir9co9k Před 20 dny

      Punguza chuki

  • @iddmohammed1086
    @iddmohammed1086 Před měsícem

    Anaekula akiwa amesimama huyo ni..........

  • @suleimanmkanga
    @suleimanmkanga Před měsícem

    Nilipo ifungua hii video nilisikia mashairi bin bachu waimba mashairi ni nani vile

  • @allythabiti8150
    @allythabiti8150 Před měsícem

    Siwez kula kenge hata iweje, yan naachaje kuku

  • @Naw89
    @Naw89 Před měsícem

    Aisee mie siwezi kula hiyo hata kwa dawa

  • @rajabmsinzia1715
    @rajabmsinzia1715 Před měsícem

    SHEHE UMEOMBA KIPANDE CHA NYAMA ,UMEPEWA TU UMEKIWEKA KINYWANI BILA YA HATA BISMILLAHI ILA MARA YA PILI ALHAMDULILLAH UMESEMA 😂😂😂

    • @hamidaawadh9024
      @hamidaawadh9024 Před měsícem

      Kwani lazima aseme bismiLlaah kwa sauti?

    • @rajabmsinzia1715
      @rajabmsinzia1715 Před měsícem

      @@hamidaawadh9024 Sio lazima ila irudie tena kuiangalia hiyo video yaani kupewa,kupokea na kuingiza kinywani sidhani kama amewahi kusoma hata hiyo moyoni, labda amesoma akiwa bado hajapokea Allah anajua zaidi

    • @user-rb8ir9co9k
      @user-rb8ir9co9k Před 20 dny

      Kusahau ipo kwa mwanaadamu

    • @rajabmsinzia1715
      @rajabmsinzia1715 Před 20 dny

      @@hamidaawadh9024 Sio lazima ila hata kwa moyoni hajasema maana ni muda mchache baada ya kupokea na kuweka kinywani

    • @rajabmsinzia1715
      @rajabmsinzia1715 Před 20 dny

      @@user-rb8ir9co9k Yes inawezekana pia

  • @mirajimsigiti7317
    @mirajimsigiti7317 Před měsícem +2

    Sheikh bachu VIPI TENA HIZO NASHEED??

    • @allybobsaith
      @allybobsaith Před měsícem

      hio ni nasheed isiokua na ala za mziki😊

  • @mohammedlipindula5415
    @mohammedlipindula5415 Před měsícem

    Ilikua nauliza suala moja je huyo kenge huwa achinjwa baada yakumshika ama hata asipochinjwa yaruhusiws kuliwa

  • @hajijuma1761
    @hajijuma1761 Před měsícem

    Vipi kuhusu popo ni halal pia

  • @youngtomuller-vh2pu
    @youngtomuller-vh2pu Před měsícem

    Eu não consigo comer esse tipo de animal 😮😮😮😮

  • @IMRANITV1
    @IMRANITV1 Před měsícem

    Mtume hakula kenge bali alikula mburu ni kiumbe anaezaa hatagi mayai,lakini kenge anataga someni musifuate tuu jazba

  • @KassimSalim-fi1me
    @KassimSalim-fi1me Před měsícem

    Angalia usijelishwa nguruwe akhy

  • @KhalfanMassoud
    @KhalfanMassoud Před měsícem +2

    Assalaamu aleikum

  • @hassanmohdally5217
    @hassanmohdally5217 Před měsícem

    Yuri ndio kitu gani jmani bachu unakulaa usichokijuwas

  • @abduljecha7779
    @abduljecha7779 Před měsícem +1

    Chakula cha mila. Lakini reptile kumla mushkeli.

    • @abduljecha7779
      @abduljecha7779 Před měsícem

      Mtume alimkataa ki desturi lakini chinguzeni vitu anavyokula ndio utajua hafai

    • @saba-gv3mj
      @saba-gv3mj Před měsícem

      Yuwaliwa hakuna mushkil

  • @universitylink
    @universitylink Před měsícem

    Ukila yuru utaota unashika ma euro ya pesa

  • @Sidrasidra636
    @Sidrasidra636 Před měsícem +2

    Mbona kama Bismillah hakuna! Alafu ni nyoka!😅

    • @fatmasalim7132
      @fatmasalim7132 Před měsícem

      Amesema Bismillah rahmaan rahiim,rudia tena umsikie

    • @Sidrasidra636
      @Sidrasidra636 Před měsícem

      @@fatmasalim7132 ndio ila waangalie hao wengine

  • @momsaa08plumbingandelectri7

    Kwaiyo kenge halali kula???

  • @saidjuma4547
    @saidjuma4547 Před měsícem

    shekh Muhammad hahahahahah

  • @abdulbandari1551
    @abdulbandari1551 Před měsícem

    Je ,mamba pia halal?

  • @user-ow2jv4vn8b
    @user-ow2jv4vn8b Před měsícem

    Warohotu nyie

  • @rajabhamis8272
    @rajabhamis8272 Před měsícem +1

    Duuuh,,, hivi kwel Kenge analiwa !????

    • @Khalid-mf3iu
      @Khalid-mf3iu Před měsícem

      Tena vizuri sana....ila kwa wanawake sio nzuri

    • @awadhsalim2680
      @awadhsalim2680 Před měsícem

      Sasa kama kenge analiwa na punda karibuni tutaambiwa analiwa. Tutaona mengi kwa vile dini ishakuwa ni ushindani sasa.

    • @dawud6065
      @dawud6065 Před měsícem

      ​@@awadhsalim2680
      وَعَنْ اِبْنِ عَبَّاسٍ رَضِيَ اَللَّهُ عَنْهُمَا قَالَ: {أَكُلَّ اَلضَّبِّ عَلَى مَائِدَةِ رَسُولُ اَللَّهِ صلى الله عليه وسلم} مُتَّفَقٌ عَلَيْهِ
      Kutoka kwa Ibn ‘Abbaas (رَضِيَ اللهُ عَنْهُمَا) amesema: “Kenge aliliwa katika meza ya Rasuli wa Allaah (صَلَّى اللهُ عَلَيْهِ وَآلِهِ وَسَلَّمْ). [Al-Bukhaariy, Muslim]

  • @FatmaAbdulhalim
    @FatmaAbdulhalim Před měsícem

    Mimi simli

  • @MdNasr-jm8pj
    @MdNasr-jm8pj Před měsícem

    😢sijasikia km kenge analiwa haya km si haram kuleni

    • @user-rb8ir9co9k
      @user-rb8ir9co9k Před 20 dny

      Fanya na ww umuonje siku Moja

    • @MdNasr-jm8pj
      @MdNasr-jm8pj Před 20 dny

      @@user-rb8ir9co9k mhh kitu km hicho mara unadhurika mm siwez Kula kenge

  • @luqmanomary3558
    @luqmanomary3558 Před měsícem

    Hyo kitu n tam san aloo nimeimis mno since 2000

  • @jabirothman7133
    @jabirothman7133 Před měsícem

    😂😂

  • @Albanabdullah1232
    @Albanabdullah1232 Před měsícem +5

    Yuri ndio analiwa kenge haliwi acheni ujinga,halaf nyie ndio mwajitia watu wasunna mbona mnakula haliyakuwa mmesimamah

    • @FatmaAbdulhalim
      @FatmaAbdulhalim Před měsícem +2

      Asiekasoro hakuna

    • @abubakarismail6365
      @abubakarismail6365 Před měsícem

      Kweli lakini wao watu wa suna bwana wangefanya wenziwao ingekuwa CZcams kama zote

    • @awadhsalim2680
      @awadhsalim2680 Před měsícem

      ​@@abubakarismail6365Hawana sunna wala nn ni vibaraka wa esrail na marekani.

    • @rajabhamis8272
      @rajabhamis8272 Před měsícem

      Sorry, @Albanabdullah1232, YURI ndo viumbe wa jamii gani !??????
      Nataka kujua

    • @user-rs7nd1ob5u
      @user-rs7nd1ob5u Před měsícem

      فالنهي عن ذالك للكراهة فافهم يا جاهل مركب "فمن أكل واقفا فلا حرج يا غبي

  • @ibrahimkhatib2899
    @ibrahimkhatib2899 Před měsícem

    Unakula GURUGURU weweee😂😂😂😂

  • @mudvan2410
    @mudvan2410 Před měsícem

    chochote kinacho zuria au kushambulia kupitia kucha ni haramu Kula hebu twambie ushahidi wa Kula kenge bwana radi ili na sie tupate faida

    • @YahyaYahya-vp2pp
      @YahyaYahya-vp2pp Před měsícem

      Vip kuku wenye kushambulia kwa kucha na wao ni haramu na kuna ndege wengi tu wanashambulia kutumia kucha.. Hi faqh yako umesoma wapi?

    • @mudvan2410
      @mudvan2410 Před měsícem

      @@YahyaYahya-vp2pp kaka usiwe mjinga kuku hashambulii Kwa kucha wala hakamatii kucha nimesoma na wala sikusomeahwa na malaika wa radi na wanasiasa wa chama cha salafi nitafute nikusomeshe na lazima ujuwe kwamba kuna tofaut baina ya kuzuria kucha na kukamatia kucha kwaiyo kunguru na kipanga halaal kuliwa mana kuku yeye hupekura kupitia kucha illa kuzuria huzuria mdomo

    • @YahyaYahya-vp2pp
      @YahyaYahya-vp2pp Před měsícem

      @@mudvan2410 kama hukusomeshwa umejisomea mwenye ndio ujinga wako ilipoanzia.. Saw umesoma kitabu gani hayo uliyo yasema eliimu haina mwish niambie kitabu huenda nikafaidika nacho

  • @mfalmenajjash2128
    @mfalmenajjash2128 Před měsícem

    Shekh Muhammad uko Kenya utakula mpaka panya 😂😂

  • @aliathman7609
    @aliathman7609 Před měsícem

    mimi hata kwa bomu simli😂😂😂

  • @aslamswalah7852
    @aslamswalah7852 Před měsícem +1

    😂😅asantaa.ustadhi eeeh,nauliza fisi jee halali kumla?manake nliskia mawaidha ya manhaj salafi kuwa muislam anafaa kumlaa.

  • @CubeedCali
    @CubeedCali Před 28 dny

    Mchafu wewe hoyuru aliliwa khaybara kwa sababu ya dhiki

  • @maalimahmad5726
    @maalimahmad5726 Před měsícem

    we jahili mtoto wa bachu daah leo umeumbuka kwanza ulianza kusema nashid ni sawa na ukhanithi mbili hao mawahabi wenzio mnakula kibudu kenge kwa sababu enzi za mtume alikula mburu kenge na sio kenge yuru tatu waislam mnakula mmesimama kiujumla tunawaita makafiri hakuna sehem mtume alikula kasimama kenge nyie kama nyama hiyo

    • @khamisswalehe
      @khamisswalehe Před měsícem

      kaka acha kuita waislamu makafiri

    • @saidabdallah5448
      @saidabdallah5448 Před měsícem

      Genge ni halali.
      Kula kwa kusimama haina shida imeruhusiwa
      Masufi hamtaki kusoma

    • @maalimahmad5726
      @maalimahmad5726 Před měsícem

      hao ni makafiri mtume hakufundisha hivyo kama wewe unaona wako sahihi wafuate yeye ni bingwa kwa kukosoa wenzake jahil huyo​@@khamisswalehe

    • @maalimahmad5726
      @maalimahmad5726 Před měsícem

      ​@@saidabdallah5448wewe ni kibaraka wake nakujua vyema hunipi tabu genge la kikatoliki mnakula vibudu

    • @sumaisabu9816
      @sumaisabu9816 Před měsícem

      ​@@maalimahmad5726wanaosoma maulid wao ndo waislam ee