NDOTO ZINAZO WEZA KUKUJULISHA MKE AU MME KAMA KACHEPUKA/SHEIKH ABUU JADAWI

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 25. 08. 2020
  • NDOTO ZINAZO WEZA KUKUJULISHA MKE AU MME KAMA KACHEPUKA/SHEIKH ABUU JADAWI
    #ndoto #mke #mme #sheikhabuujadawi

Komentáře • 70

  • @arafaabdulrahman645
    @arafaabdulrahman645 Před 2 lety +5

    Asante kwa darsa hili ni juzi tu nimemuona nyoka mweusi mdogo anatembea mbele yangu anakuja kunizuru lakiniakuwai kunizuru nikaamka yarabii niepushe na uadui huo😭

  • @khadijaathumanikhadijaathu9031

    Suhana Allah mungu.tusaidie jaman waja wako.Alla.tunakuomba tusaidie

  • @user-hx3pe8hv8k

    Asante sanaa mim naotaga napambana na nyoka so mara moja naoyoga tu kila siku asant sanaa

  • @marthamashinji6830
    @marthamashinji6830 Před rokem +3

    Ni kweli ndoto za nyoka zimenisumbua sana mwisho wa siku nikamfuma mme wangu

  • @khamishemedsaid2134
    @khamishemedsaid2134 Před rokem

    Mimi mmoja sheikh yani hamalizi mwezi basi ndoto Kali za nyoka wakubwa sana sheikh

  • @rebeccamaunde4085
    @rebeccamaunde4085 Před rokem

    🙏 🙏 🙏 Asante sana kwa tafuziri sa ndoto...

  • @rahmalove531

    Nime ota ndoto nyoka ipo kitandani pamoja na mserebani yani mjusikafie nyokaiyo imekua nyeupe sijuwimana ake😢

  • @stivemathiasi3056
    @stivemathiasi3056 Před 2 lety +2

    Habar mm huwa naota mmewangu akitoka namwanamke mwingne naakinitishia kuniacha inamaana gani🙏

  • @YassirKhalfan-cv5zm
    @YassirKhalfan-cv5zm Před rokem +1

    Nifanyeje kujua mume kama wangu anamwanamke wa nje

  • @suzanne9517
    @suzanne9517 Před rokem

    Asante sana sheikh

  • @MuasitiAboBakri-ew5mu
    @MuasitiAboBakri-ew5mu Před 21 dnem

    Nimeota Nyoka alikuwa mkubwa sana ila amekatwa katwa vipande vipande ila haikudhulu mtu

  • @emanuelgeofrey3859
    @emanuelgeofrey3859 Před rokem +1

    Nimeota nilikuwa natembea nikakutana na nyoka wawili weusi wamebebana nilivopiga kelele wakakimbia xana

  • @ramadhanimussa2106
    @ramadhanimussa2106 Před rokem

    Ramadhani mussa

  • @SociedadeSust1234
    @SociedadeSust1234 Před rokem +2

    Sheikh wangu mimi nimeota joka amekaa tu

  • @emanuelgeofrey3859
    @emanuelgeofrey3859 Před rokem +1

    Mom nimeota nimekutana na nyoka wawili weusi wamebebana nilivopiga kelele wakaanza kukimbia wote

  • @Ruthmpoa-sv9ul

    Sasa hii yangu ni ng'ani niliota, nimeshika nyoka nikaikata nikaipika na nikaikula nyama ya nyoka 😢😢😢

  • @SaraMkiwa
    @SaraMkiwa Před dnem

    Nimeota nyoka kanikimbiza hajanipata mbele nikaluta mto wamaji nikashituka nikamka

  • @user-xv1mj9ge9y

    Nikweli shekhe nimewahi kumuota nyoka sema nilimuua

  • @user-nd1nx1bf4r

    Jamani mimi nimeota napita barabarani nikakuta nyoka mrefu sana alafu ni mwembaba kakatisha barabarani alafu mweupe nikamwangukia kila nikitaka kunyeyuka nashindwa akaning'ata kichwani nikamtupa inamaana gani

  • @fathiyaishak3154
    @fathiyaishak3154 Před 2 lety

    Asalm alykoum mimi nimeshaota nyoka mweuc mara 2 napigana nae ila mara y kwanza nilisoma sana dua akpotea mara ya pili nmepgana nae hdi nikamchoma n moto nn maana yke