Asante kwa darsa hili ni juzi tu nimemuona nyoka mweusi mdogo anatembea mbele yangu anakuja kunizuru lakiniakuwai kunizuru nikaamka yarabii niepushe na uadui huo😭
Asalm alykoum mimi nimeshaota nyoka mweuc mara 2 napigana nae ila mara y kwanza nilisoma sana dua akpotea mara ya pili nmepgana nae hdi nikamchoma n moto nn maana yke
Asante kwa darsa hili ni juzi tu nimemuona nyoka mweusi mdogo anatembea mbele yangu anakuja kunizuru lakiniakuwai kunizuru nikaamka yarabii niepushe na uadui huo😭
Suhana Allah mungu.tusaidie jaman waja wako.Alla.tunakuomba tusaidie
Asante sanaa mim naotaga napambana na nyoka so mara moja naoyoga tu kila siku asant sanaa
Ni kweli ndoto za nyoka zimenisumbua sana mwisho wa siku nikamfuma mme wangu
Mimi mmoja sheikh yani hamalizi mwezi basi ndoto Kali za nyoka wakubwa sana sheikh
🙏 🙏 🙏 Asante sana kwa tafuziri sa ndoto...
Nime ota ndoto nyoka ipo kitandani pamoja na mserebani yani mjusikafie nyokaiyo imekua nyeupe sijuwimana ake😢
Habar mm huwa naota mmewangu akitoka namwanamke mwingne naakinitishia kuniacha inamaana gani🙏
Nifanyeje kujua mume kama wangu anamwanamke wa nje
Asante sana sheikh
Nimeota Nyoka alikuwa mkubwa sana ila amekatwa katwa vipande vipande ila haikudhulu mtu
Nimeota nilikuwa natembea nikakutana na nyoka wawili weusi wamebebana nilivopiga kelele wakakimbia xana
Ramadhani mussa
Sheikh wangu mimi nimeota joka amekaa tu
Mom nimeota nimekutana na nyoka wawili weusi wamebebana nilivopiga kelele wakaanza kukimbia wote
Sasa hii yangu ni ng'ani niliota, nimeshika nyoka nikaikata nikaipika na nikaikula nyama ya nyoka 😢😢😢
Nimeota nyoka kanikimbiza hajanipata mbele nikaluta mto wamaji nikashituka nikamka
Nikweli shekhe nimewahi kumuota nyoka sema nilimuua
Jamani mimi nimeota napita barabarani nikakuta nyoka mrefu sana alafu ni mwembaba kakatisha barabarani alafu mweupe nikamwangukia kila nikitaka kunyeyuka nashindwa akaning'ata kichwani nikamtupa inamaana gani
Asalm alykoum mimi nimeshaota nyoka mweuc mara 2 napigana nae ila mara y kwanza nilisoma sana dua akpotea mara ya pili nmepgana nae hdi nikamchoma n moto nn maana yke