Mansour amwambia Mwinyi na CCM yake wasahau ndoto za kujiongezea miaka bila uchaguzi

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 24. 06. 2024
  • Mansour Yussuf Himid akihutubia wananchi Unguja

Komentáře • 10

  • @omarmohammed5157
    @omarmohammed5157 Před 29 dny +2

    Usiseme mapinduzi unatuuumiza kuna watu wameondokewa na jamaa zao kupitia mapinduzi na baado wanavidonda vya moyo vya hudhuni

  • @user-lm3lt7xx6l
    @user-lm3lt7xx6l Před 29 dny +3

    Sawa sawa

  • @fatimasaid9469
    @fatimasaid9469 Před 27 dny +1

    Tenna walikua sio wasomi km tukivyo na watu wanaojiita wao wasomi saiv. Saiv watu wanajisifu na makaratasi wao 2 milioni people hawawezi kuongoza shame ndani ya miaka 60. 2 milioni people hamna ata maji. Pesa zote matumboni na kuzulumu viwanja vya wananchi

    • @Zanzibar2023Zanzibarzanzibar
      @Zanzibar2023Zanzibarzanzibar Před 25 dny

      Tena tukirudi huko awamu zilizopita kuna wengine walikua Mawaziri Ndio waliwapora Wazanzibar wanyonge viwanja vyao vya beach na kujenga Ma Hotels na Majumba ya Mji mkongwe, sema Dhulma haidumu ata kama Kiongozi akimaliza muda au akiama Chama

  • @hajikiame7551
    @hajikiame7551 Před 29 dny

    Kwani hawa wa zanzibaari wanataka nini

    • @jaysullman3697
      @jaysullman3697 Před 29 dny +3

      Wazanzibar wanataka Amani na Nchi yao wajitawale wenyewao,
      Waijenge Nchi yao kwa Mapenzi yao wenyewe na Tamaduni zao na Wamechoka kutawaliwa na Ukoloni wa Kihuni na Kijambazi!!!

    • @AbdallahSalim-is3db
      @AbdallahSalim-is3db Před 28 dny

      Wanataka upacha wao na omani urejee kama Zamani kabla ya ukoloni na wakoloni.

    • @nassorseif7907
      @nassorseif7907 Před 28 dny +2

      Wanataka mamlaka kamili

    • @SuleimanMussa-x5i
      @SuleimanMussa-x5i Před 26 dny

      Hujuw wanasho taka kumbe

    • @kassim1262
      @kassim1262 Před 24 dny

      Ww unaeuliza wznzbar wnataka nini kwni ww unataka nini manaake wznzbar wpo kwao au wmekuja kuongea chumbani kwamamaako wnamfanyia zogo mamaako chumbani kwake bc tunashida namamaako vp yupo au