Wananchi Pemba wafunguka mbele ya Makamo wa Kwanza, wachoshwa na tabu wanazopata

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 6. 06. 2024

Komentáře • 9

  • @user-hu4sd7bg8n
    @user-hu4sd7bg8n Před měsícem +1

    Ndio baba kweli kabisa ccm waindoke hatuwataki

  • @nassorseif7907
    @nassorseif7907 Před měsícem

    Safi sana

  • @NoufelSalim
    @NoufelSalim Před měsícem

    Hhhhhhh😂

  • @BobNgagi2023
    @BobNgagi2023 Před měsícem

    Wewe OMO unajifanya na wewe eti Mwarabu, ili hali ukiwekwa na Lipumba haijulikani mnyamwezi ndo nani kati yenu, lakini uishi kuwatukana watu wa bara na kusema wenye Zanzibar yao eti ni Wamanga wa Oman ndugu zako😂😂

    • @ahmedalbalooshi8518
      @ahmedalbalooshi8518 Před měsícem

      Bob,hizo siasa za kufitinisha zimepitwa na wakati,Wananchi washaelimika.

    • @BobNgagi2023
      @BobNgagi2023 Před měsícem

      @@ahmedalbalooshi8518 Kwa hiyo Kumbaro anavyowabagua Wazanzibari wenye asili ya Tanganyika ni sawa tu, ila sisi tukisema asili ya Jussa siyo sawa ? daah 😳

    • @ahmedalbalooshi8518
      @ahmedalbalooshi8518 Před měsícem

      @@BobNgagi2023 msikikize Lisu na Mbowe kuhusu Mama Samia,rais wa Tanzania.

    • @BobNgagi2023
      @BobNgagi2023 Před měsícem

      @@ahmedalbalooshi8518 Sawa, Lissu na Mbowe nao wanayo matatizo yao, ila OMO naye ndo hivyo.

    • @HemedSerious
      @HemedSerious Před měsícem

      Una matatizo makubwa kwenye ubongo