Wewe OMO unajifanya na wewe eti Mwarabu, ili hali ukiwekwa na Lipumba haijulikani mnyamwezi ndo nani kati yenu, lakini uishi kuwatukana watu wa bara na kusema wenye Zanzibar yao eti ni Wamanga wa Oman ndugu zako😂😂
@@ahmedalbalooshi8518 Kwa hiyo Kumbaro anavyowabagua Wazanzibari wenye asili ya Tanganyika ni sawa tu, ila sisi tukisema asili ya Jussa siyo sawa ? daah 😳
Ndio baba kweli kabisa ccm waindoke hatuwataki
Safi sana
Hhhhhhh😂
Wewe OMO unajifanya na wewe eti Mwarabu, ili hali ukiwekwa na Lipumba haijulikani mnyamwezi ndo nani kati yenu, lakini uishi kuwatukana watu wa bara na kusema wenye Zanzibar yao eti ni Wamanga wa Oman ndugu zako😂😂
Bob,hizo siasa za kufitinisha zimepitwa na wakati,Wananchi washaelimika.
@@ahmedalbalooshi8518 Kwa hiyo Kumbaro anavyowabagua Wazanzibari wenye asili ya Tanganyika ni sawa tu, ila sisi tukisema asili ya Jussa siyo sawa ? daah 😳
@@BobNgagi2023 msikikize Lisu na Mbowe kuhusu Mama Samia,rais wa Tanzania.
@@ahmedalbalooshi8518 Sawa, Lissu na Mbowe nao wanayo matatizo yao, ila OMO naye ndo hivyo.
Una matatizo makubwa kwenye ubongo