TAZAMA MUSUKUMA ALIVYOCHALAZA KISUKUMA MBELE YA RAIS MAGUFULI JIMBONI KWAKE

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 7. 09. 2020

Komentáře • 90

  • @masoudkipara5053
    @masoudkipara5053 Před 3 lety +11

    Yaan kilichobaki ccm ni kuhamacshana tu tukapige kura wala tucrudie nguvu nyingi tuko wengi sana na ushindi lazm

  • @kingfocustzog
    @kingfocustzog Před 3 lety +19

    Ukiwa Single Hakuna Mtu Anayekutafuta Wala Kukupenda Ila Ukiwa Kwenye Mahusiano Yenye Furaha Sasa Hapo Ndo Vishetani Vinajileta. 😁

  • @josephinewangwe9064
    @josephinewangwe9064 Před 3 lety +9

    Nampenda Sana Magufuli ila anatuangusha kule Mara vijijini kwa mfano kule Shirati hajawahi kufika wananchi wanashida ya maji ,wananchi wamesahaulika na kule ndipo kuna hospitali kubwa ya wilaya iliyo na shule kubwa pia ya Nursing kwakweli hapo amatusahau.

    • @shedrackjacob6038
      @shedrackjacob6038 Před 3 lety +3

      Chama gan kinatawala huko km n upinzan majibu unayo

    • @josephinewangwe9064
      @josephinewangwe9064 Před 3 lety +1

      @@shedrackjacob6038 mimi nashindwa kuelewa kwanini watu wang'anganie kitu hapocho hakiwapi maendeleo yeyote badala ya kufata nyuki wale asali😆😆

    • @onesmokabia80
      @onesmokabia80 Před 3 lety +1

      Kaa na jamii ya Mara wambie wasikosee mwaka huu kama mnataka maendeleo,ivi alete maendeleo wakati viongozi mliowachagua walikimbia colona wakatoka bungeni baada ya kupambana kupigania wananchi wao wenyewe wakakimbia pia kitu kingine kila kukicha wanamtukana Rais hata ingekuwa mm ningewasahau nisingewaletea maendeleo,kwahiyo akili kichwani mwenu ni ushauri tu!

    • @nuruelmada9570
      @nuruelmada9570 Před 3 lety +1

      Tatizo Ni wabunge, ndio hawapeleki taarifa

    • @josephinewangwe9064
      @josephinewangwe9064 Před 3 lety

      @@nuruelmada9570 kwa kweli wabunge wanaumiza wananchi mpaka huruma ukiona vibibi vinaangaika hata misaada hamna kama hakuna serikali

  • @priscalameck8700
    @priscalameck8700 Před 3 lety +15

    Msukuma nakupendaga sana😄😄

  • @festondenga4253
    @festondenga4253 Před 3 lety +5

    Napenda sana kisukuma ndooo maana hata rais wangu nipo nae begakwabega

  • @amiramir-tx1my
    @amiramir-tx1my Před 3 lety +6

    Baba tupo pamoja sana

  • @deborahbenny458
    @deborahbenny458 Před 3 lety +6

    Mbona tundu la choo haliogea luga yake singida?wapinzani aibu mmesha shindwa zamani hata ulaya tunawacheka kwa miemko yote lisu halio kuwanayo huku ulaya tumemchoka

  • @zesootv6726
    @zesootv6726 Před 3 lety +3

    Achakuongea kikabila tutafanya nchi ye2 iwe kama kenya

  • @trophainamagogwa7966
    @trophainamagogwa7966 Před 3 lety +4

    Mpeni kura anawapenda saana

  • @margarethpolepole7438
    @margarethpolepole7438 Před 4 měsíci

    Mungu akulaze mahali oema peponi Magufuli

  • @trophainamagogwa7966
    @trophainamagogwa7966 Před 3 lety +4

    Mwabheja saaaana ngosha

  • @KUTOKA-ep2fk
    @KUTOKA-ep2fk Před 3 lety +4

    Waandishi wa habari mnaotokana na makabila ya kusini kanda ya ziwa na kati na mashariki na magharibi mnashindwa wapi kutofautisha R & L? #Kuchalaza ndio nini?

  • @majabamagashi2466
    @majabamagashi2466 Před 3 lety +3

    Taarifa ya habari ya saa mbili uck

  • @atanasjisonge2538
    @atanasjisonge2538 Před 3 lety +4

    Safi sana msukuma

  • @georgeisdory9998
    @georgeisdory9998 Před 3 lety

    Msukuma ni machine 👍👍👍 shuleni dalasa la Saba
    Maishani Ana degree

  • @user-mu7fi2id3i
    @user-mu7fi2id3i Před 4 měsíci

    Msukuma we noma bungeni ongera sana

  • @SwaleheSekiondo
    @SwaleheSekiondo Před 2 měsíci

    1:30

  • @rosesanga6163
    @rosesanga6163 Před 3 lety +1

    ZINGATIA HAYA ILI KUPUNGUZA KASI YA UZEE NA KUZEEKA BILA MAGONJWA MENGI.
    Lishe bora ni muhimu sana.
    Tumia Lishe bora, lishe inayopendekezwa ni ambayo huusishwa na ulaji wa kiwango kidogo cha nyama na kuku, maziwa, divai kidogo na utumiaji wa mafuta ya mzeituni, ulaji mkubwa wa mboga mboga, nafaka matunda na samaki.
    Lishe hii imeonyesha kupunguza hatari ya kupatwa na matatizo ya kiakili kama vile ugonjwa wa Alzheimer.
    zingatia wakati wa kulala na kuamka,
    ni muhimu kwa kazi zinazofanywa na ubongo, mfano, kutoa uchafu kutoka akilini ambao umejikusanyika siku nzima.
    Wakati tunapolala nafasi katika mshipa ya akili huongezeka na kuimarisha ufanyakazi wa ubongo.
    Pia kupunguza kalori (mafuta) kunaweza kupunguza kasi ya kuzeeka.
    Mazoezi ya mara kwa mara pia ni muhimu katika kupunguza athari za kuzeeka.
    Utafiti unaonesha kwamba mazoezi ya viungo yana jukumu muhimu katika ubongo kufanya kazi vizuri na pia kunapunguza kasi ya kupungua kwa ubongo na kuimarisha utendaji kazi wake.
    Kwa upande mwingine, imethibititshwa kwamba watu wenye kiwango cha juu cha elimu au ambao wanadumisha shughuli za kitaaluma - kama kusoma au kupata ujuzi fulani - uwezekano wa wao kuzeeka vibaya uko chini sana.
    Punguza kiwango cha pombe unachokunywa
    Huku ikiwa kunywa kiwango kikubwa cha pombe kunaweza kuhatarisha utendaji kazi wa akili
    Jiepushe na kuvuta sigara
    Uvutaji singara bila shaka ni tabia ambayo inastahili kuepukwa, kwasababu inahusishwa na kuongeza kasi ya kuzeeka kwa ubongo na matatizo ya kiakili
    Yote hayo yanaweza kusababisha uharibifu mkubwa kwa mishipa ya ubongo na kuongeza kasi ya kuzeeka.
    Yaani, unahitajika kupata lishe bora, lala usingizi saa za kutosha zinazohitajika, epuka kunywa pombe kupindukia, usivute sigara na pia epuka kuwa na msongo wa mawazo na fanya mazoezi kiasi.
    Je unahitaji kuzeeka bila kuwa na magonjwa mengi pia kuzeeka bila kupoteza kumbukumbu na kuwa na afya ya macho
    Tutafte kwa msaada zaidi
    0758112592

  • @aginesmashakaMashaka
    @aginesmashakaMashaka Před 5 měsíci

    ❤❤❤❤❤

  • @mwambietv7614
    @mwambietv7614 Před 3 lety +3

    Mnaleta malugha yenu huo ndo ukabila tunaosema ongea kiswahili yatoshaa full stop

  • @geopolitics94
    @geopolitics94 Před 3 lety +6

    Msukuma ni jembe sana 😂

  • @bossibratvonline5431
    @bossibratvonline5431 Před 3 lety +5

    Yani ccm hamna aibu mnakusanya wanafunzi

    • @presseg.6362
      @presseg.6362 Před 3 lety +2

      Kwani wanafunzi siyo watanzania!? Nyie chadema msipoongea kuna tatizo gani, mbona kila mnapata tuu kasoro!! Sijui mkoje asee

    • @bossibratvonline5431
      @bossibratvonline5431 Před 3 lety

      @@presseg.6362 wanafunzi sio wapiga kura mnasomba wanafunzi kurudi nyumbani mnawatelekeza acheni siasa imewashinda

    • @presseg.6362
      @presseg.6362 Před 3 lety +2

      Kwani hawapaswi kumwona Rais wako!?

    • @bossibratvonline5431
      @bossibratvonline5431 Před 3 lety

      @@presseg.6362 wamekusanywa kuongezea vichwa ccm hamna chama hapo kishakufa mama Maria Nyerere aliwaambia siku ile ukweli na uwazi mlimleta kwa nguvu na kumlazimisha aongee jana wanafunzi wameamriwa wabadili nguo waende mkutano yani kifo cha mende

    • @joycemwambe3494
      @joycemwambe3494 Před 3 lety +1

      Wapiga kura wapo sana sana subiri28oct ndiyo utajua pole sana endeleeni kujifariji chadomo

  • @mtanzaniamzalendo7001
    @mtanzaniamzalendo7001 Před 3 lety

    Tumeshashinda hdi Hapo

  • @edwardchokala2425
    @edwardchokala2425 Před 3 lety

    Duu wanafunzi kama wote du inakela watoto wa shule tume mpo wapi

  • @evakaijage4823
    @evakaijage4823 Před 3 lety

    Kanyaga Twende baba.

  • @edwardchokala2425
    @edwardchokala2425 Před 3 lety

    Ukambila umeanza kuomba kula? Situtagawanyika mw, nyelele fufuka ujione ukabila ulivo tamalaki kwa wagombea?

  • @walterkissima7364
    @walterkissima7364 Před 3 lety +3

    Kilugha huwa hakiruhusiwi kwenye kampeni

    • @ammaherman3391
      @ammaherman3391 Před 3 lety +4

      Aliyekwambiaga nani?
      Tanzania ni nchi huru na ina makabila.

    • @maatumkadhi1760
      @maatumkadhi1760 Před 3 lety +3

      @@ammaherman3391 nikweli wengine hawajui kiswahil kwa ufasaha wakat ni watanzania wanahaki ya kujua kinachoongelewa

    • @walterkissima7364
      @walterkissima7364 Před 3 lety

      Wakalimami wapo, hii huchochoea ukabila kitu Nyerere alijitahidi kutomekeza

    • @paschalmichael9744
      @paschalmichael9744 Před 3 lety

      Kwa hiyo

    • @josephinewangwe9064
      @josephinewangwe9064 Před 3 lety

      @@maatumkadhi1760 your very bright

  • @NaomySinkonde
    @NaomySinkonde Před měsícem

    Unaundug na magufulu nin mbon unapita njia kam za magufuli at kuongea jmn mung akulinde

  • @angelsblackboard8008
    @angelsblackboard8008 Před 3 lety +3

    Vilugha kwenye kampeni vimekatazwa why huu ukabila?

    • @dicksonsheja251
      @dicksonsheja251 Před 3 lety +1

      Kwani lisu alipokua kwao singida alikua akiongea kizaramo??

    • @trophainamagogwa7966
      @trophainamagogwa7966 Před 3 lety

      Vimekatazwa na nani,?hata mimi ningeongea kwetu,unajua mwananchi anapenda ukiongea naye kilugha??anaona haulingii cheo chako,usiwe mshamba

    • @solemba595
      @solemba595 Před 3 lety

      Kila kabila wakianza kuongea Lugha yao ndio mwanzo wa mgawanyiko, kama watu wote wanaelewa kiswahili Kwann kitumike kilugha, Mwalimu Nyerere alikemea Mambo yanayopelekea kutugawa, kwabahati mbaya kunawatu wanadhani kila anachofanya Mh. Ni sawa lkn wako kimihemko zaidi ya uhalisia.

    • @dtherockguy9003
      @dtherockguy9003 Před 3 lety

      huyu vp

  • @mwakaloboambele5161
    @mwakaloboambele5161 Před 3 lety +1

    Viruga no

  • @hasanainkhalid5367
    @hasanainkhalid5367 Před 3 lety +3

    Hawa watu wanaeneza kisukuma tu

    • @mzalendomzalendo2567
      @mzalendomzalendo2567 Před 3 lety +1

      @hassan ...kwani hujui kama hiyo lugha baada ya kiswahili ndio hiyo kwa ukubwa na ukikaa usukumani lazima ukiongee utake usitake.

    • @trophainamagogwa7966
      @trophainamagogwa7966 Před 3 lety

      Safi kabisaaaa napenda

    • @julianamasunga700
      @julianamasunga700 Před 3 lety

      Wewe ulitaka aongee lugha ya baba yako akiwa kanda ya zinaa?mnawewesekaa tulieni tulieni....

    • @dtherockguy9003
      @dtherockguy9003 Před 3 lety

      watu wivu tyu

  • @bhokechacha4403
    @bhokechacha4403 Před 3 lety

    8iiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii8iiii8iiiiii8iiiiii8i8i8ii8iiiii8ii8888i8iiii8i88iiiiiiiiiiiiiiiiiiiii8iiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii

  • @user-ww6kf5pi2f
    @user-ww6kf5pi2f Před 3 měsíci

    Saf san

  • @LomutelekishonMbario
    @LomutelekishonMbario Před 2 měsíci

    Lomute mbario

  • @CyimSky
    @CyimSky Před 3 lety

    Hivi ndivyo Bill Gates alivyoweza kupata mafanikio ni lahisi sana ila akili nyingi
    czcams.com/video/LHV8Lmxh1Rw/video.html

    • @ammaherman3391
      @ammaherman3391 Před 3 lety +2

      Kama rahisi mbona ww bado unatafuta subscribers. Si ufanikiwe na ww basi kama rahisi.

    • @nabiiwakwanza6164
      @nabiiwakwanza6164 Před 3 lety +1

      @@ammaherman3391 achana nae mshamba huyo

    • @rehemaali8242
      @rehemaali8242 Před 3 lety +1

      Tundu ziiiiiiiiiiiiiiiiii magu oyeeeeeeeeedeeeeeeeeeeeeee