Rais Magufuli: Sipangiwi Kazi, Makonda Chapa Kazi, Usitishike na Mambo ya Mitandaoni

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 19. 03. 2017
  • Rais Magufuli amesema kuna baadhi ya watu wanaingilia majukumu yake wakati yeye ndiyo mwenye uamuzi na kwamba hapangiwi kazi ya kufanya kwa sababu anajiamini.
    Mkuu huyo wa nchi amewataka wakazi wa Dar es Salaam kuchapa kazi ili kujiletea maendeleo badala ya kupoteza muda kufuatilia udaku kwenye mitandao.
    Hayo yamekuja siku chache baada ya mkuu wa mkoa wa Dar es Salaam, Paul Makonda kudaiwa kuvamia ofisi za Clouds Media, na kuwashinikiza watangazaji wa kipindi cha Shilawadu, warushe kipindi kinachodaiwa kuwa na maudhui ya kumchafua hasimu wake, Mchungaji Gwajima.
    Tofauti na mategemeo ya wengi kwamba mheshimiwa rais angetoa kauli ya kukemea tukio hilo, amemtaka mkuu wa mkoa kufanya kazi na kutosikiliza wanaompinga.
    #Makonda #Rais Magufuli #shilawadu #Mheshimiwa Rais #magufuli #clouds tv #Ruge Mutahaba #Joseph Kusaga #uzinduzi fly-over #Madawa #Makonda #Rais Magufuli #shilawadu #Mheshimiwa Rais #magufuli #clouds tv #Ruge Mutahaba #Joseph Kusaga #uzinduzi fly-over #Madawa #Makonda #Rais Magufuli #shilawadu #Mheshimiwa Rais #magufuli #clouds tv #Ruge Mutahaba #Joseph Kusaga #uzinduzi fly-over #Madawa #Makonda #Rais Magufuli #shilawadu #Mheshimiwa Rais #magufuli #clouds tv #Ruge Mutahaba #Joseph Kusaga #uzinduzi fly-over #Madawa #Makonda #Rais Magufuli #shilawadu #Mheshimiwa Rais #magufuli #clouds tv #Ruge Mutahaba #Joseph Kusaga #uzinduzi fly-over #Madawa
    kwa habari nyingine kama hizi usikose kusubscribe kwenye chaneli yetu kwa kubofya ...
    / uwazi1
    / uwazi1
    / uwazi1

Komentáře • 98

  • @husseinhemedi9314
    @husseinhemedi9314 Před 25 dny +2

    Magufuli alishamuona makonda Big up
    Like zenu

  • @emmanuelnyansiro8636
    @emmanuelnyansiro8636 Před 7 lety +8

    wasukuma wasukuma wasukuma wasukuma wasukuma wasukuma wasukuma wasukuma

  • @Profshab_Company
    @Profshab_Company Před 3 lety +2

    God Bless Mr President

  • @officialmwerevu5455
    @officialmwerevu5455 Před 5 lety

    No comment!! lkn tufike mahali na kufanya ya haki na halali bigup sana my presedent

  • @angelinaelishachisongela7859

    Naamini kuwa kila NCHI inatamani kuwa na RAISI kama MAGUFULI aisee WE THANKS YOU GOD

    • @salmatz9081
      @salmatz9081 Před 4 lety +1

      Nikweli Angelina elisha chisongela kunasiku nlikuwa nasafir tumefika Zimbabwe wakawa wazungumza kwamba Zimbabwe ipewe magufuli

  • @kayayooisaac4128
    @kayayooisaac4128 Před 7 lety +5

    Nimemwelewa raisi wangu kwamba yeye anachotaka ni kazi,we forge cheti, piga watu, tukana, vamia kwake haaaaa hiyo siyo issue anachotaka ni kaziiiiii tu

  • @josephkomba6695
    @josephkomba6695 Před 7 lety +5

    uyu ndo raic nnaemtaka Tanzania

  • @vianeyminja575
    @vianeyminja575 Před 7 lety +2

    leo nimeamini hii nchi ni ya watu wachache aisee,.. very disappointing,.. kuna watu wapo juu ya sheria asee...,

  • @chokambaya468
    @chokambaya468 Před 7 lety +9

    ila hana vyeti sasa na ww ndo ulifukuzawatu kisa cheti sasa uo us.......

    • @vianeyminja575
      @vianeyminja575 Před 7 lety

      Ameirhaji112 Haji wengine hatuna haki mkaka..

    • @chokambaya468
      @chokambaya468 Před 7 lety +1

      Vianey Minja bas tuwe pole ila ipo siku tutapata haki na sie usjali

  • @fatumaaden5053
    @fatumaaden5053 Před 7 lety +1

    The best presdent ever

  • @gedionkalumbu1995
    @gedionkalumbu1995 Před 5 lety

    Thanks Sir

  • @mako331
    @mako331 Před 7 lety +1

    that's my President

  • @jacksonbundala2384
    @jacksonbundala2384 Před 7 lety +1

    safi sana

  • @azizawaziry3440
    @azizawaziry3440 Před 7 lety +4

    kumbe uyu ndo anamtumuga makonda bac

  • @EcoEssence_wellness
    @EcoEssence_wellness Před 7 lety +1

    Duh!

  • @Big-ns6gj
    @Big-ns6gj Před 7 lety

    Safi sana wametuliza mishono sasa.....Nyambaaf!

  • @stellawillison1148
    @stellawillison1148 Před 8 měsíci +1

    ❤❤❤❤❤❤

  • @ramlathntagaye3874
    @ramlathntagaye3874 Před 7 lety +2

    umesema hutaki kupangiwa kazi asa wakikushauri si ndo utasema wanakupangia

  • @seniornyungu9718
    @seniornyungu9718 Před 6 lety

    Naogopa kusema, Lakin huwezi kuwa sawa kwa hilo

  • @jameshaule5460
    @jameshaule5460 Před 7 lety +1

    We are doomed

  • @noxlosingida2369
    @noxlosingida2369 Před 7 lety +4

    Natamani Gwajima angesikiliza hii live ili afunge vizuri akiomba kupambana na Makonda kkkkkk

    • @sifatiiman
      @sifatiiman Před rokem

      kila kitu kina mwanzo na mwisho wakwapi sasa
      🙄🙄🙄jingine lipo limeshaga oza jingine lipo kama zuzu

  • @sirajiamidu9424
    @sirajiamidu9424 Před 7 lety +4

    Safi sana our president najua unajua sana big up to u
    Huyu ndo rais hana siasa na hafati masirah. Ni mzalendo na nchi yake

    • @maulidmaulid326
      @maulidmaulid326 Před 7 lety +2

      TANZANIA BADO IPO GIZANI NA WATANZANIA BADO WAPO GIZANI

  • @amirirashidi3379
    @amirirashidi3379 Před 7 lety +1

    me yangu masikio tu

  • @kattongamunna3060
    @kattongamunna3060 Před 7 lety +1

    Napita tuu mm

  • @mariej6962
    @mariej6962 Před 7 lety +2

    Kwa kuangalia anavyoongoza nchi na mitazamo ya watu, anapoteza kura nyingi sana kuelekea 2020. Matumaini ya waTZ yanayeyuka kama theluji walidhani wamepata kiongozi. Hata kura yangu keshaikosa this time hata afanye nini. Nadhani anakosa sana hekima, hana kabisa.

  • @jastingwahila5715
    @jastingwahila5715 Před 3 lety +2

    R.i.p Mzee wetu

    • @sifatiiman
      @sifatiiman Před rokem

      aende tu mbwa huyo alijiona mungu? 🙄🙄🙄😏😏😏

  • @emmanuelmlowe1311
    @emmanuelmlowe1311 Před 7 lety +1

    Acha ujinga unataka chet cha ndoa au cha ukuu wamkoa?. hakuna chuo cha ukuu wa mkoa.

  • @HalmenshianisonHalmenshianison

    Hiyo ndio democrasia ya kweli.

  • @zuberm7129
    @zuberm7129 Před 5 lety

    Safi

  • @johdreamerworldwide6684
    @johdreamerworldwide6684 Před 7 lety +1

    wauza ngano ndo kwisha maana hap kaz tu

  • @ummykapera4660
    @ummykapera4660 Před 5 lety

    tofautisha kuteuliwa na vyeti;makondo na mteule;munao uguwa kunyweni panadol mtapoa;

  • @joshuajohn8533
    @joshuajohn8533 Před 24 dny

    Raisi alikua na kiburi Cha uzima Ila Sasa Ni mifupa mikavu.unyenyekevu ndio kila kitu

  • @gitu4me
    @gitu4me Před 7 lety

    haha safi sana rais wetu na baba yetu mpendwa

  • @duncanmbuthia3492
    @duncanmbuthia3492 Před 4 lety

    Hapa kazi tu

  • @mildredivayo9241
    @mildredivayo9241 Před 7 lety

    kenya kwisha kabisa...kila kitu nikutoka inje ? madaktari,sugar,wa china kujenga barabara ooh Mungu tuonakanie

  • @emmanuelmlowe1311
    @emmanuelmlowe1311 Před 7 lety +1

    Nchi haiongozwe na maneno ya mitandaoni?

  • @michaellazaro5070
    @michaellazaro5070 Před 7 lety

    Duh

  • @mamafadhili8036
    @mamafadhili8036 Před 5 lety

    SAFI BABA.

  • @Blackie_blackie9327
    @Blackie_blackie9327 Před 7 lety +2

    hahaaa Kwel vi post vimezidi..

  • @emmanuelmlowe1311
    @emmanuelmlowe1311 Před 7 lety +1

    unataka chet umesikia alitumia chet kupata ukuu wa mkoa?

  • @neemazephania9082
    @neemazephania9082 Před 7 lety

    ukiingilia ndo unaharibu kabisaaa........teh teh :) :)

  • @jahzeelnaftar8413
    @jahzeelnaftar8413 Před 7 lety +1

    usukuma moja etii eee baba wa taifa Nyerere alikataa ukabila naona huyu anaurudshaa hayaaa kumbka ww ni baba na kuna watoto wanakuangalia.............

  • @racheldauson9471
    @racheldauson9471 Před 4 lety

    Hahaaa kwenye mavipost vyenu uwiii magu weww

  • @salehejongo2799
    @salehejongo2799 Před 4 lety

    Ccm hoyeee JPM.

  • @aishashedadi2347
    @aishashedadi2347 Před 7 lety

    wambie wenye masikio wamesikia wenye macho wameona walikuwa wamesubilia jb ndo hilo wamelipata

  • @ibrahimharuta7333
    @ibrahimharuta7333 Před 7 lety +1

    HAHAHA NDYO MH RAIS HAO WOTE TATIZO NI VITA DHIDI YA MADAWA YA KULEVYA'

  • @abdillahmbinga7050
    @abdillahmbinga7050 Před 4 lety

    Na ndie hasa rais nimtakaje.

  • @nurukwawote4716
    @nurukwawote4716 Před 6 lety

    Je! Mwanadamu ni kitu gani, hata akawa safi? Huyo aliyezaliwa na mwanamke, hata awe na haki?
    Ayubu 15:14
    Kabla ya uharibifu moyo wa mwanadamu hujivuna; Na kabla ya heshima hutangulia unyenyekevu.
    Mithali 18:12

  • @hapakazi7907
    @hapakazi7907 Před 7 lety +1

    umefeli mzee , kwahyo wewe ndo unamtuma afanye utumbo au,,,,,,

    • @mudarthir
      @mudarthir Před 7 lety +1

      Hapa Kazi umefeli nyumbu wacha maneno ya khanga kwenye serikali
      kama unaweza subiri 2020 njoo uwanjani huna amri juu ya rais wetu

  • @saleheinnocent7636
    @saleheinnocent7636 Před 7 lety +1

    kazi tunafanya na kuongea pia vyote vinakwenda sambamba mheshimiwa sana hakika imekula kwetu kumbeeeeeeeeee.....

  • @simonjohn3664
    @simonjohn3664 Před 7 lety +3

    huna lolote ni ubaguzi tu wa kimadaraka na ukabila

  • @bahatidan4751
    @bahatidan4751 Před 7 lety +2

    waooo magufuli tulikuchagua to guide democracy u allow bashite to attack clouds FM with police and army officers who are paid by tax payers kesho bashite will kill the journalist with the same guns he carries u should resign. wewe si rais wa wanyonge but rais wa bashite na dictators

  • @billgussy6099
    @billgussy6099 Před 2 lety

    Haya wewe uko wapi na huyo makonda yuko wapi? Kiburi cha mjinga

  • @yudagerard5501
    @yudagerard5501 Před 7 lety +1

    huyu raisi wa ajabu kweli eti kwenye kuchukua form nilichukua mwenyewe,hizo kura ulipata wapi ulijipigia mwenyewe mpaka kushinda?!! ama kweli Tanzania sijui inaenda wapi...Mungu saidia

    • @maryshirima3049
      @maryshirima3049 Před 7 lety

      Yuda Gerard 😂😂😂😉😂😂😂

    • @kelvinmahenge1228
      @kelvinmahenge1228 Před 4 lety

      Acha ushoga aliamua mwenyew kujaza form ya kugombea ili mpigie kura sio aliamua yy mpigie bali alieashawishi mmpigie kenge mmoja ww

  • @herumankayumba6483
    @herumankayumba6483 Před 5 lety

    Pinga.kaz.umebeba.abiria.wengi.kelelezao.usikilize.wengi.tuna.taka.tufike.salama

  • @ffanklleopord5998
    @ffanklleopord5998 Před 2 lety

    Tulikuwa na raisi bangi kabisa

  • @simonfundi5472
    @simonfundi5472 Před 7 lety

    Na vyeti feki je na umesma mwenyewe

  • @georgemassebu2083
    @georgemassebu2083 Před 7 lety +9

    Nilitamani kusikia hivi..watu wanataka Rais aongoze nchi kwa maneno ya kwenye mitandao.Makonda ni mthubutu,wangapi walishindwa kupambana na madawa lakini yeye angalau amejaribu,watu wanaongozwa na mihemko ya kisiasa kupinga utendaji

  • @sindanosalu7140
    @sindanosalu7140 Před 4 lety

    B

  • @rajabuabdallah3840
    @rajabuabdallah3840 Před 7 lety

    makonda chapa kz

  • @azizawaziry3440
    @azizawaziry3440 Před 7 lety +1

    cjui Tanzania ya kesho itakuwaje..tumempa nchi chizi ivi kikwete c aludi2 jamn..

  • @janewacera7812
    @janewacera7812 Před 7 lety +1

    Haeleweki Hana msimamo

  • @athonyfrancis8889
    @athonyfrancis8889 Před 7 lety +2

    Safii,ila unajiamini lakini hujiamini katika kauli zako,swala la makonda na vyeti limeanzia mezani kwako uhakiki wa vyeti,sasa hii kesi ya makonda kuvamia ofisi ki u jambazi na silaha kwa mtu mwingine angekuwa jela saa hii ni jela bila hata dhamana,kwa kosa la ujambazi wa kutumia silaha(nikimaanisha alivyochukua clip kwenye flash)lakini pia jeuri hii yote ni hela ya kodi zetu.kazi ni vizuri achape na haki atende asione nchi ni yake na unyanyasaji anaoendelea nao usiufumbie macho,usione wanaokushangilia ni wote wanaokushangilia baba .

  • @hapakazi7907
    @hapakazi7907 Před 7 lety +2

    huyu rais sometime anakuwa kama hajielewi

  • @nessa4899
    @nessa4899 Před 7 lety

    daaah!! what a horrible dictator. sasa unapanga wewe unajiongoza wewe????????

  • @simonfundi5472
    @simonfundi5472 Před 7 lety

    Mzee unamuogopa makonda

  • @safarismasai3086
    @safarismasai3086 Před 4 lety

    Chapa

  • @hagmannserah2337
    @hagmannserah2337 Před 7 lety

    Ingekua nchi ingine huyu Makonda angekua History angekua ametokomea

  • @vianeyminja575
    @vianeyminja575 Před 7 lety

    leo nimeamini hii nchi ni ya watu wachache aisee,.. very disappointing,.. kuna watu wapo juu ya sheria asee...,