Rais Magufuli: Sipangiwi Kazi, Makonda Chapa Kazi, Usitishike na Mambo ya Mitandaoni
Vložit
- čas přidán 19. 03. 2017
- Rais Magufuli amesema kuna baadhi ya watu wanaingilia majukumu yake wakati yeye ndiyo mwenye uamuzi na kwamba hapangiwi kazi ya kufanya kwa sababu anajiamini.
Mkuu huyo wa nchi amewataka wakazi wa Dar es Salaam kuchapa kazi ili kujiletea maendeleo badala ya kupoteza muda kufuatilia udaku kwenye mitandao.
Hayo yamekuja siku chache baada ya mkuu wa mkoa wa Dar es Salaam, Paul Makonda kudaiwa kuvamia ofisi za Clouds Media, na kuwashinikiza watangazaji wa kipindi cha Shilawadu, warushe kipindi kinachodaiwa kuwa na maudhui ya kumchafua hasimu wake, Mchungaji Gwajima.
Tofauti na mategemeo ya wengi kwamba mheshimiwa rais angetoa kauli ya kukemea tukio hilo, amemtaka mkuu wa mkoa kufanya kazi na kutosikiliza wanaompinga.
#Makonda #Rais Magufuli #shilawadu #Mheshimiwa Rais #magufuli #clouds tv #Ruge Mutahaba #Joseph Kusaga #uzinduzi fly-over #Madawa #Makonda #Rais Magufuli #shilawadu #Mheshimiwa Rais #magufuli #clouds tv #Ruge Mutahaba #Joseph Kusaga #uzinduzi fly-over #Madawa #Makonda #Rais Magufuli #shilawadu #Mheshimiwa Rais #magufuli #clouds tv #Ruge Mutahaba #Joseph Kusaga #uzinduzi fly-over #Madawa #Makonda #Rais Magufuli #shilawadu #Mheshimiwa Rais #magufuli #clouds tv #Ruge Mutahaba #Joseph Kusaga #uzinduzi fly-over #Madawa #Makonda #Rais Magufuli #shilawadu #Mheshimiwa Rais #magufuli #clouds tv #Ruge Mutahaba #Joseph Kusaga #uzinduzi fly-over #Madawa
kwa habari nyingine kama hizi usikose kusubscribe kwenye chaneli yetu kwa kubofya ...
/ uwazi1
/ uwazi1
/ uwazi1
Magufuli alishamuona makonda Big up
Like zenu
wasukuma wasukuma wasukuma wasukuma wasukuma wasukuma wasukuma wasukuma
Ndo sisi😂😂😂
Sisi ndo sisi
God Bless Mr President
No comment!! lkn tufike mahali na kufanya ya haki na halali bigup sana my presedent
Naamini kuwa kila NCHI inatamani kuwa na RAISI kama MAGUFULI aisee WE THANKS YOU GOD
Nikweli Angelina elisha chisongela kunasiku nlikuwa nasafir tumefika Zimbabwe wakawa wazungumza kwamba Zimbabwe ipewe magufuli
Nimemwelewa raisi wangu kwamba yeye anachotaka ni kazi,we forge cheti, piga watu, tukana, vamia kwake haaaaa hiyo siyo issue anachotaka ni kaziiiiii tu
uyu ndo raic nnaemtaka Tanzania
leo nimeamini hii nchi ni ya watu wachache aisee,.. very disappointing,.. kuna watu wapo juu ya sheria asee...,
ila hana vyeti sasa na ww ndo ulifukuzawatu kisa cheti sasa uo us.......
Ameirhaji112 Haji wengine hatuna haki mkaka..
Vianey Minja bas tuwe pole ila ipo siku tutapata haki na sie usjali
The best presdent ever
Thanks Sir
that's my President
safi sana
kumbe uyu ndo anamtumuga makonda bac
Duh!
Safi sana wametuliza mishono sasa.....Nyambaaf!
❤❤❤❤❤❤
umesema hutaki kupangiwa kazi asa wakikushauri si ndo utasema wanakupangia
Naogopa kusema, Lakin huwezi kuwa sawa kwa hilo
We are doomed
Natamani Gwajima angesikiliza hii live ili afunge vizuri akiomba kupambana na Makonda kkkkkk
kila kitu kina mwanzo na mwisho wakwapi sasa
🙄🙄🙄jingine lipo limeshaga oza jingine lipo kama zuzu
Safi sana our president najua unajua sana big up to u
Huyu ndo rais hana siasa na hafati masirah. Ni mzalendo na nchi yake
TANZANIA BADO IPO GIZANI NA WATANZANIA BADO WAPO GIZANI
me yangu masikio tu
Napita tuu mm
Kwa kuangalia anavyoongoza nchi na mitazamo ya watu, anapoteza kura nyingi sana kuelekea 2020. Matumaini ya waTZ yanayeyuka kama theluji walidhani wamepata kiongozi. Hata kura yangu keshaikosa this time hata afanye nini. Nadhani anakosa sana hekima, hana kabisa.
Marie Burton we peke yako ss wa chini tuko naye
Enjoy na mama samia wako
R.i.p Mzee wetu
aende tu mbwa huyo alijiona mungu? 🙄🙄🙄😏😏😏
Acha ujinga unataka chet cha ndoa au cha ukuu wamkoa?. hakuna chuo cha ukuu wa mkoa.
Hiyo ndio democrasia ya kweli.
Safi
wauza ngano ndo kwisha maana hap kaz tu
tofautisha kuteuliwa na vyeti;makondo na mteule;munao uguwa kunyweni panadol mtapoa;
Raisi alikua na kiburi Cha uzima Ila Sasa Ni mifupa mikavu.unyenyekevu ndio kila kitu
haha safi sana rais wetu na baba yetu mpendwa
Hapa kazi tu
kenya kwisha kabisa...kila kitu nikutoka inje ? madaktari,sugar,wa china kujenga barabara ooh Mungu tuonakanie
Nchi haiongozwe na maneno ya mitandaoni?
Duh
SAFI BABA.
hahaaa Kwel vi post vimezidi..
unataka chet umesikia alitumia chet kupata ukuu wa mkoa?
ukiingilia ndo unaharibu kabisaaa........teh teh :) :)
usukuma moja etii eee baba wa taifa Nyerere alikataa ukabila naona huyu anaurudshaa hayaaa kumbka ww ni baba na kuna watoto wanakuangalia.............
najut kukushangilia kipindi cha kampen
Hahaaa kwenye mavipost vyenu uwiii magu weww
Ccm hoyeee JPM.
wambie wenye masikio wamesikia wenye macho wameona walikuwa wamesubilia jb ndo hilo wamelipata
HAHAHA NDYO MH RAIS HAO WOTE TATIZO NI VITA DHIDI YA MADAWA YA KULEVYA'
Na ndie hasa rais nimtakaje.
Je! Mwanadamu ni kitu gani, hata akawa safi? Huyo aliyezaliwa na mwanamke, hata awe na haki?
Ayubu 15:14
Kabla ya uharibifu moyo wa mwanadamu hujivuna; Na kabla ya heshima hutangulia unyenyekevu.
Mithali 18:12
umefeli mzee , kwahyo wewe ndo unamtuma afanye utumbo au,,,,,,
Hapa Kazi umefeli nyumbu wacha maneno ya khanga kwenye serikali
kama unaweza subiri 2020 njoo uwanjani huna amri juu ya rais wetu
kazi tunafanya na kuongea pia vyote vinakwenda sambamba mheshimiwa sana hakika imekula kwetu kumbeeeeeeeeee.....
Salehe Innocent wanaoendelea kumtetea waendelee
Chapaaaa kazi
Nitakukumbuka
huna lolote ni ubaguzi tu wa kimadaraka na ukabila
Simon John maulid we ndo huko gizani sie tunaona makonda songa tuuuu
Wivu tu
waooo magufuli tulikuchagua to guide democracy u allow bashite to attack clouds FM with police and army officers who are paid by tax payers kesho bashite will kill the journalist with the same guns he carries u should resign. wewe si rais wa wanyonge but rais wa bashite na dictators
lol umelipwaaa pole
Haya wewe uko wapi na huyo makonda yuko wapi? Kiburi cha mjinga
huyu raisi wa ajabu kweli eti kwenye kuchukua form nilichukua mwenyewe,hizo kura ulipata wapi ulijipigia mwenyewe mpaka kushinda?!! ama kweli Tanzania sijui inaenda wapi...Mungu saidia
Yuda Gerard 😂😂😂😉😂😂😂
Acha ushoga aliamua mwenyew kujaza form ya kugombea ili mpigie kura sio aliamua yy mpigie bali alieashawishi mmpigie kenge mmoja ww
Pinga.kaz.umebeba.abiria.wengi.kelelezao.usikilize.wengi.tuna.taka.tufike.salama
Tulikuwa na raisi bangi kabisa
Na vyeti feki je na umesma mwenyewe
Nilitamani kusikia hivi..watu wanataka Rais aongoze nchi kwa maneno ya kwenye mitandao.Makonda ni mthubutu,wangapi walishindwa kupambana na madawa lakini yeye angalau amejaribu,watu wanaongozwa na mihemko ya kisiasa kupinga utendaji
kweli kabisa George umeongea point
B
makonda chapa kz
cjui Tanzania ya kesho itakuwaje..tumempa nchi chizi ivi kikwete c aludi2 jamn..
Unawazimu wewe
Haeleweki Hana msimamo
Wivu tu huoooooo
Safii,ila unajiamini lakini hujiamini katika kauli zako,swala la makonda na vyeti limeanzia mezani kwako uhakiki wa vyeti,sasa hii kesi ya makonda kuvamia ofisi ki u jambazi na silaha kwa mtu mwingine angekuwa jela saa hii ni jela bila hata dhamana,kwa kosa la ujambazi wa kutumia silaha(nikimaanisha alivyochukua clip kwenye flash)lakini pia jeuri hii yote ni hela ya kodi zetu.kazi ni vizuri achape na haki atende asione nchi ni yake na unyanyasaji anaoendelea nao usiufumbie macho,usione wanaokushangilia ni wote wanaokushangilia baba .
huyu rais sometime anakuwa kama hajielewi
daaah!! what a horrible dictator. sasa unapanga wewe unajiongoza wewe????????
Mzee unamuogopa makonda
Chapa
Ingekua nchi ingine huyu Makonda angekua History angekua ametokomea
leo nimeamini hii nchi ni ya watu wachache aisee,.. very disappointing,.. kuna watu wapo juu ya sheria asee...,
Ndo hivyo acheni kubonga sana hii nchii nimifumo
HAPA KAZI TU