Azam TV - JPM azungumzia sakata la elimu ya Makonda
Vložit
- čas přidán 2. 10. 2017
- Rais John Magufuli, pamoja na kelele zinazopigwa na baadhi watu kuhusu elimu ya mkuu wa mkoa wa Dar es Salaam, Paul Makonda, yeye hashughuliki nazo kwakuwa anachoangalia ni namna kiongozi huyo anavyopambana na dawa za kulevya.
Mwenyezi mungu akulinde Rais wetu
Tutakuku mbuKA JPM SANA MUZEE WETU
Je walimu na watumishi wengine hawakuwa wazalendo!!!!!!!!!
Tutakukumbk daima
Magufuli oyee!!
Rip
Sasshv hawatak kufanya Kaz wanasema pesa hakuna
Dunia ya leo tunahitaji wasomi, tuache ujanja ujanja
Kazi ilikuwepo...
Tena sio ndogo.
44
Mwamba uliogoma kuanguka
mazinge
Mwamba