Rais Magufuli apiga msumali wa mwisho sakata la makontena ya RC Makonda

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 5. 09. 2024
  • Rais Magufuli hatimaye amekata mzizi wa fitna kuhusiana na makontena Ishirini yanayoshikiliwa Bandarini Jijini Dar Es Salaam yakidaiwa kuwa na samani za shule yaliyoletwa kwa msaada kwa jina la Mkuu wa Mkoa wa Dar Es Salaam Paul Makonda akisema ni lazima yalipiwe kodi.
    Dokta Magufuli amesema kwamba makontena hayo yanayodaiwa kodi yenye thamani ya Bilioni Moja Nukta Mbili yanapaswa kulipiwa kodi hiyo kwa sababu aliyeletewa hana mamlaka ya kisheria ya kupata msamaha huku pia akihoji ni kwa nini shule zinazopelekewa samani hizo hazijatajwa.
    Rais Dokta Magufuli amezungumza hayo akiwa Chato Mkoani Geita alipokutana kwa mazungumzo na Viongozi na Wafanyakazi wa Halmashauri ya Wilaya ya Chato.

Komentáře • 39

  • @machinefannatic99
    @machinefannatic99 Před 6 lety +1

    Straight.

  • @givenmoshi2591
    @givenmoshi2591 Před 6 lety +2

    huu ndo uzalendo tumempata mkombozi wetu mungu akupe maisha marefu

    • @sterlingbraden4270
      @sterlingbraden4270 Před 3 lety

      Sorry to be so offtopic but does any of you know a way to log back into an instagram account??
      I somehow forgot my password. I would appreciate any tips you can offer me.

    • @japhethcharles5791
      @japhethcharles5791 Před 9 měsíci

      😭😭😭😭😭😭😭😭 Mungu alitoa ,ametwaaa!!!

  • @saleheothman6430
    @saleheothman6430 Před 6 lety +1

    Mr Charles kaganda ; sasa nakubali maneno yako

  • @humphreymalema3024
    @humphreymalema3024 Před 6 lety +1

    Kichwa hiki safi sana raisi wetu

  • @stephanokayega2792
    @stephanokayega2792 Před 5 lety +1

    DS

  • @jamhuriyohana7025
    @jamhuriyohana7025 Před 6 lety +1

    Angalia#MTU MWEUSI

  • @charleshaule4008
    @charleshaule4008 Před 2 lety +1

    Magu was smart... amecite vifungu kama wakili, ameweka hoja kwa mantiki ya kueleweka hata mgumu kuelewa angeelewa hoja.. RiP Magu, mbali na yote ni mkweli na mchapakazi.Tumepoteza Kiongozi watanzania.

  • @samsonkusupa6809
    @samsonkusupa6809 Před 6 lety +3

    Mzee piga viboko huyo mtoto ameanza kuwa mtovu wa nidhamu

  • @abuuramadhan8093
    @abuuramadhan8093 Před rokem +1

    Makonda alikua fisad anaelindwa na mwendazake

  • @letareelissa3944
    @letareelissa3944 Před 6 lety +3

    Dar ? nyamaimenasa kwenye jino ingekua mkuu Wa koa yeyote tofauti na makonda mkuu angesha mtumbua

  • @fatmakisuwa2124
    @fatmakisuwa2124 Před 6 lety +3

    Mmh ng'ombe wa bwana her shamba la bwana her yetu macho

  • @raymondkaswaga8334
    @raymondkaswaga8334 Před 6 lety +2

    Loh chenga

  • @mohamedkiranja1575
    @mohamedkiranja1575 Před 2 lety +2

    Q198v

  • @thereal_mtangojr2634
    @thereal_mtangojr2634 Před 6 lety +1

    kwenyee kodii hana mchezoo Jpm

  • @Mnaveed_804
    @Mnaveed_804 Před 6 lety +3

    Kamata mtoto wako kama kweli unapenda kujenga tanzania.....hayu maneno ya nn we mzee...

  • @helbertrugalabamuenery7313

    Makona umeuza

  • @josej9888
    @josej9888 Před 6 lety +3

    Angekuwa Rc mwingine angefukuzwa kazi, lakini kwakuwa ni Prince BASHITE anatoa speech tu basi limepita hilo.

  • @tunumohamedy7332
    @tunumohamedy7332 Před 6 lety +2

    Magu alisema kuwa yeye aliapa kusimamia sheria!haya tunataka kuona iyo sheria anayeisimamia ifanye kazi!na sio tu kuyapiga mnada!afunguliwe mashtaka kwa kuhujumu uchumi!akifanya hivyo kweli tutamuamini kuwa ni mtetez wa wanyonge na anasimamia sheria kweli, na ifikapo 20-20 atakuwa hana mpinzani!!

  • @kijuuborongo6405
    @kijuuborongo6405 Před 6 lety +1

    Bado hamjAmwelelewa Makonda meli ya madocta ya kichina ilikuja kwajina lanani?

  • @salumuhamissi3492
    @salumuhamissi3492 Před 6 lety +2

    Mtoto umleavyo ndivyo akuavyo

  • @zahramunir8596
    @zahramunir8596 Před 6 lety +2

    Haki za watu hazipotei, aliwadhalilisha watu kw vitu vya kukisia sasa yye vipi awekwe jela cku 5 kwanza atiwe adabu.! na fedha hizo za makontena kazipata wapi?

  • @aroundkilimanjarotoursands5600

    Mbona huyu hatumbuliwiii?

  • @mako331
    @mako331 Před 6 lety +1

    Kila binadamu anaweza kufanya makosa it’s very normal but u can make a mistake while trying to do good, Makonda bado ni mchapakazi mzuri, hatumbuliwi mtu hapa poleni chadema

    • @jitukorofi9517
      @jitukorofi9517 Před 2 lety

      Miaka 3 imepita rudia tena ama kweli ukimtegemea mtu ni vibaya sana

  • @transmadale
    @transmadale Před 6 lety +1

    Mtoto wa baba huyo yataisha tu

  • @mapenzi_tz1511
    @mapenzi_tz1511 Před 6 lety +10

    Kwani Hapo hakuna kesi kw sababu amekubari ni yake Sasa afukuzwe kazi kivipi kikubwa alipe kodi au yauzwe Sio kufukuzwa kazi

    • @charlesmushi5350
      @charlesmushi5350 Před 6 lety

      Aliepewa dhamana ya kupokea misaada ni raisi Tu.......na majina ya shule hayajatajwa wake up we Acha ushabiki wa kisengr

    • @aminaausi4142
      @aminaausi4142 Před 6 lety

      Nashangaa

  • @mahrooqsuleiman7216
    @mahrooqsuleiman7216 Před 6 lety +2

    Hayo makontena ni yake alitaka kuuzia serikali sio ya msaada

  • @dr.lukindogrammaracademy1310

    Maigizo na upumbavu tupu

  • @aloycemalya4701
    @aloycemalya4701 Před 6 lety +2

    Kulen nchi na mjnga mwenzako muda utafika tu

  • @stevenpeter562
    @stevenpeter562 Před 6 lety +1

    hawezi tumbuliwa

    • @evelyinelyimo67
      @evelyinelyimo67 Před 6 lety

      Hakuna lisilokuwa na mwisho

    • @adinaniakash2332
      @adinaniakash2332 Před 6 lety

      raisi wetu ni mtu makini sana hivyo viongozi waliopo mdarakani lazima wawe mkinizaidi la sivyo chochote kinaweza kutokea