Rais Magufuli apiga msumali wa mwisho sakata la makontena ya RC Makonda
Vložit
- čas přidán 5. 09. 2024
- Rais Magufuli hatimaye amekata mzizi wa fitna kuhusiana na makontena Ishirini yanayoshikiliwa Bandarini Jijini Dar Es Salaam yakidaiwa kuwa na samani za shule yaliyoletwa kwa msaada kwa jina la Mkuu wa Mkoa wa Dar Es Salaam Paul Makonda akisema ni lazima yalipiwe kodi.
Dokta Magufuli amesema kwamba makontena hayo yanayodaiwa kodi yenye thamani ya Bilioni Moja Nukta Mbili yanapaswa kulipiwa kodi hiyo kwa sababu aliyeletewa hana mamlaka ya kisheria ya kupata msamaha huku pia akihoji ni kwa nini shule zinazopelekewa samani hizo hazijatajwa.
Rais Dokta Magufuli amezungumza hayo akiwa Chato Mkoani Geita alipokutana kwa mazungumzo na Viongozi na Wafanyakazi wa Halmashauri ya Wilaya ya Chato.
Straight.
huu ndo uzalendo tumempata mkombozi wetu mungu akupe maisha marefu
Sorry to be so offtopic but does any of you know a way to log back into an instagram account??
I somehow forgot my password. I would appreciate any tips you can offer me.
😭😭😭😭😭😭😭😭 Mungu alitoa ,ametwaaa!!!
Mr Charles kaganda ; sasa nakubali maneno yako
Kichwa hiki safi sana raisi wetu
DS
Angalia#MTU MWEUSI
Magu was smart... amecite vifungu kama wakili, ameweka hoja kwa mantiki ya kueleweka hata mgumu kuelewa angeelewa hoja.. RiP Magu, mbali na yote ni mkweli na mchapakazi.Tumepoteza Kiongozi watanzania.
Mzee piga viboko huyo mtoto ameanza kuwa mtovu wa nidhamu
Makonda alikua fisad anaelindwa na mwendazake
Dar ? nyamaimenasa kwenye jino ingekua mkuu Wa koa yeyote tofauti na makonda mkuu angesha mtumbua
Mmh ng'ombe wa bwana her shamba la bwana her yetu macho
Loh chenga
Q198v
kwenyee kodii hana mchezoo Jpm
Kamata mtoto wako kama kweli unapenda kujenga tanzania.....hayu maneno ya nn we mzee...
Makona umeuza
Angekuwa Rc mwingine angefukuzwa kazi, lakini kwakuwa ni Prince BASHITE anatoa speech tu basi limepita hilo.
James Joseph Katunzi inakuuma sana ee.
Yani angetumbuliwa Vila ganzi
Magu alisema kuwa yeye aliapa kusimamia sheria!haya tunataka kuona iyo sheria anayeisimamia ifanye kazi!na sio tu kuyapiga mnada!afunguliwe mashtaka kwa kuhujumu uchumi!akifanya hivyo kweli tutamuamini kuwa ni mtetez wa wanyonge na anasimamia sheria kweli, na ifikapo 20-20 atakuwa hana mpinzani!!
Bado hamjAmwelelewa Makonda meli ya madocta ya kichina ilikuja kwajina lanani?
Mtoto umleavyo ndivyo akuavyo
Haki za watu hazipotei, aliwadhalilisha watu kw vitu vya kukisia sasa yye vipi awekwe jela cku 5 kwanza atiwe adabu.! na fedha hizo za makontena kazipata wapi?
Mbona huyu hatumbuliwiii?
Kila binadamu anaweza kufanya makosa it’s very normal but u can make a mistake while trying to do good, Makonda bado ni mchapakazi mzuri, hatumbuliwi mtu hapa poleni chadema
Miaka 3 imepita rudia tena ama kweli ukimtegemea mtu ni vibaya sana
Mtoto wa baba huyo yataisha tu
Kwani Hapo hakuna kesi kw sababu amekubari ni yake Sasa afukuzwe kazi kivipi kikubwa alipe kodi au yauzwe Sio kufukuzwa kazi
Aliepewa dhamana ya kupokea misaada ni raisi Tu.......na majina ya shule hayajatajwa wake up we Acha ushabiki wa kisengr
Nashangaa
Hayo makontena ni yake alitaka kuuzia serikali sio ya msaada
Maigizo na upumbavu tupu
Kulen nchi na mjnga mwenzako muda utafika tu
hawezi tumbuliwa
Hakuna lisilokuwa na mwisho
raisi wetu ni mtu makini sana hivyo viongozi waliopo mdarakani lazima wawe mkinizaidi la sivyo chochote kinaweza kutokea