Makonda amlalamikia mkurugenzi wa jiji, Magufuli amsimamisha kazi

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 18. 04. 2016
  • Rais John Magufuli amemsimamisha kazi Mkurugenzi wa jiji la Dar es Salaam, Wilson Kabwe katika uzinduzi wa daraja la Kigamboni. Amemsimamisha baada ya Paul Makonda kumlaumu kwa mambo kadhaa ya kiutendaji.

Komentáře • 75

  • @godfreymhochi6206
    @godfreymhochi6206 Před 4 lety +2

    Duuuh hili lilimpa pressure willson kabwe leo hayupo duniani Daah

  • @gospalflavour7304
    @gospalflavour7304 Před 7 lety +5

    Hekima ya mungu inasema.hata akili ya mwisho yake mungu haifikiwi na akili za binadamu.
    Haya maneno nimazito saana.
    Mungu atujaalie hekma na maarifa.

  • @manjalejuniorlg7024
    @manjalejuniorlg7024 Před 5 lety +5

    Tutakukumbuka sana siku ukiongoka kipind hicho hata wanafiki watakusifia

  • @madinahamis3172
    @madinahamis3172 Před 5 lety +2

    jamani uyu rais Ata sijui nimuombee dua gani dah Alihamdulilah mungu Akupe umri mrefu

  • @henryrwamugema841
    @henryrwamugema841 Před 8 lety +3

    Mheshimiwa Rais hongera kwa kazi nzuli ya kupambana na rushwa, lakini hao akina Kabwe ni "upele" tu, lakini majipu makubwa bado hujayagusa , songa mbele usiwe na woga Mwenyezi Mungu yupo anakulinda, upasue majipu makubwa .

  • @husseinchiaseeds2653
    @husseinchiaseeds2653 Před 4 lety +2

    Jamani Mimi nifanyejeeeee😀😀😀😀😀

  • @BBCFintl
    @BBCFintl Před 8 lety +6

    Name and shame and jettison ...this man Mr. Kabwe has got off easy. In South Africa thieves are beaten up and before they lose consciousnesses, have car tires strung around them and then burnt to death. He is one very lucky man indeed!

    • @mzeeally2639
      @mzeeally2639 Před 7 lety

      mh rais ongela kwa kazi nzuli mungu akupe maisha malefu

    • @danielelisha2617
      @danielelisha2617 Před 7 lety

      asante mungu kutupatia kiongoz shupavu,asiyewaskliza waongoongo hao,na makonda astoke had nchdar esalaam yetu ikae sawa

    • @kabogodominika6305
      @kabogodominika6305 Před 6 lety

      Zabde-Ezra Ayienga kiswahili samahan

  • @paschalmakemba4000
    @paschalmakemba4000 Před 8 lety +4

    Naumia sana nchi yangu

  • @givendavidgoodluck3284
    @givendavidgoodluck3284 Před 5 lety +3

    Baba na mwana

  • @fahadfahmy
    @fahadfahmy Před 4 lety +1

    Maraisi wote walopita walikua soft sana.sasa wamepata kigogo

  • @mara-cb3gx
    @mara-cb3gx Před 7 lety +3

    kazi2

  • @robertjunior9916
    @robertjunior9916 Před 5 lety +2

    Yote tunayaacha hapahapa Duniani hakuna jipya hapo

  • @jumannendayigeze2899
    @jumannendayigeze2899 Před rokem

    Inaumiza sana huu ni uongo na. kuchochea wenzio

  • @kabogodominika6305
    @kabogodominika6305 Před 6 lety +1

    Mimi mtu wa ccm lakin makei punguza sifaaa

  • @kishadafour8307
    @kishadafour8307 Před 8 lety +9

    Mimi nahisi Raisi huyu angekua na kipindi maalum kwenye TV cha kutumbua majipu live sio hivi kwenye majukwaa kama mkutano wa kampeni.

  • @syv_habari
    @syv_habari Před 6 lety +2

    Saf mzee

  • @immamlowe734
    @immamlowe734 Před 6 lety +1

    Napenda mtindo huu.

  • @mulakarisa2788
    @mulakarisa2788 Před 8 měsíci

    Iendap kumetokea mwenye kufanya nivigumu mno wayeye kudumu juu wengi humchimba kwa chini ndio ili wabaki wakinyonya wananch kma kupee

  • @zandakingmwandaro4153
    @zandakingmwandaro4153 Před 7 lety +3

    rushwa ina zorotesha nchi sana mwelekeo mzuri sana huo magu

    • @elishamachela927
      @elishamachela927 Před 6 lety

      usimamiz wa xheria bila kuzingatia katiba ni unyanyasaji wa haki za binadam

    • @whoknowsme832
      @whoknowsme832 Před 4 lety

      @@elishamachela927 ,

  • @albertosanga7744
    @albertosanga7744 Před 5 lety +2

    Sasa ni zamu yako mkuki kwa nguruwe kwa binadamu mchungu

  • @davidmziray4011
    @davidmziray4011 Před 5 lety +2

    Mambo yenu ya uongo

  • @aishaebitokenakukubatisoma5726

    Mbona mnatubomolea majumba kama mnatutetea madikini

  • @robertjunior9916
    @robertjunior9916 Před 5 lety +1

    Kazi kwelikweli afu alivyofariki jamaa akaenda msibani duh

  • @simonkailanga
    @simonkailanga Před 7 lety +7

    Huomsimamo uendelee mpaka usiishie njiani tumbuwa timbuwa mpaka kwa makonda iwapo kama itakuwa nikweli

  • @halimamwishehesaid3436
    @halimamwishehesaid3436 Před 5 lety +1

    Nikwel kabisa rais wet wat weng huish kwakutuzurum ss tusio nakt ww timbuat na mbung atakulinda milele

  • @nindemkeremi3708
    @nindemkeremi3708 Před 2 lety

    2022

  • @mudymagazine3003
    @mudymagazine3003 Před 6 lety +1

    Wazee wa misifa

  • @abubakarikisuju5374
    @abubakarikisuju5374 Před 4 lety

    Kwa hali hii makonda umekuwa raia itakuwaje?

  • @godlovebalaka3008
    @godlovebalaka3008 Před 7 lety +1

    itafahamika 2

  • @mulakarisa2788
    @mulakarisa2788 Před 8 měsíci

    Ninauhakika wamungu kulengana na ujio wake jpm kwa kazi kwa hapa kazi tuu tz ingekuwa yenye mfano wakuigwa

  • @shodristvtv6121
    @shodristvtv6121 Před 6 lety +2

    Tumbua hadi mafisadi wote wakuelewe

  • @halimamwishehesaid3436

    Apa kazit

  • @laumlimbila4337
    @laumlimbila4337 Před 7 lety +1

    daaah!?

  • @michaelwaryoba4904
    @michaelwaryoba4904 Před 8 lety +3

    Watumbue hao makonda, bado majipu mengine yapo jiji!

    • @hamzamtila8304
      @hamzamtila8304 Před 5 lety

      Je na hili jipu la makonda utalitumbua au utaliacha?

    • @kijolimgeni199
      @kijolimgeni199 Před 5 lety

      Michael Waryoba Tumbua bila ganzi mueshimiwa

  • @ramadhaniwambangulu716
    @ramadhaniwambangulu716 Před 8 lety +1

    Naomba urafiki na ramadhani wambangulu

  • @dottoemannuel5712
    @dottoemannuel5712 Před 5 lety

    uyonimwanae hawezikumfanyachochote

  • @robertjunior9916
    @robertjunior9916 Před 5 lety

    Kaka ?????

  • @mukundubayeyetom9704
    @mukundubayeyetom9704 Před 8 lety +2

    HUYU NAE ANAPENDA FITINA,NKT

  • @immamlowe734
    @immamlowe734 Před 6 lety +3

    Wamezoea tumbua baba

  • @atubarikiyessaya4076
    @atubarikiyessaya4076 Před 8 lety

    huruma sana

  • @editasamwel2377
    @editasamwel2377 Před 5 lety

    Mziki

  • @josephgomalo41
    @josephgomalo41 Před 8 lety +1

    "Kabwe rudi nyumbani ukitoka gerezani.. uje ujiunge nasi sote tushirikiane.. kulijenga taifa.. taifa letu changa Kabwe..!"
    Haya ndiyo Mwalimu alikuwa kisema.. mtoto akilila wembe UKIMPATIA.. UTAMKATA PALE PALE..! Kaka Kabwe kaipata freshiii.. Lmao..!

  • @danielhumble4292
    @danielhumble4292 Před 5 lety +1

    Mbona hujampa nafasi yakujitetea kama yule mkurugenzi wa mkoa fulani uliambiwa ni mwizi.
    Huo mh.sio utendaji kazi bali ni geresha zako tuu utawafumba wavivu wa kufikiri lkn kwa werevu hawatadanganyika hata siku moja

  • @siliviamwando6448
    @siliviamwando6448 Před 5 lety +1

    Makonda dhambi hiyo inakufuata

  • @ramambongo4069
    @ramambongo4069 Před 5 lety

    Mbona makonda humsimamishi ni mwanao ila yote ni ya Mungu makonteina ndio hayo unapiga danadana tu ila wakil wa kwel ni Mungu

    • @mufasamufas6023
      @mufasamufas6023 Před 5 lety +1

      Sasa mfanyakazi wa serikali si binadamu kama wewe yale makontena siyo ya wizi ameyanunua akawa anaomba apunguziwe kodi mzee magu kamwambia hakuna cha kufanyakazi serikalini wala nini kama huna pesa yapigwe mnada na ndio kilichofanyika sasa afukuzwe kazi kwa kosa gani hapo

  • @rosembuna955
    @rosembuna955 Před 5 lety

    Rose Mbuna mbeya nna mapacha watatu ofisi ya Raisi niliambiwa ntapewa msaada mpaka leo:hakuna: tusaidieni watoto hawa nashindwa kuwamudu Mheshimiwa Magufuli:0784485142:walichukuwa picha ustawi wajamii:vyeti vya kuzaliwa wakasema subiri mpaka leoWana miaka minne na nusu

    • @sangijamadukwa1486
      @sangijamadukwa1486 Před 5 lety

      Rose Mbuna bando la kuingia utube unalpata wapi? Lea hao wanao

  • @albertosanga7744
    @albertosanga7744 Před 5 lety

    Sasa ni zamu yako mkuki kwa nguruwe kwa binadamu mchungu