Rais Magufuli alivyompigia simu Makonda katikati ya mkutano
Vložit
- čas přidán 5. 09. 2024
- Rais Magufuli amekua akitazama live ya CloudsTV na CloudsFM kutoka kwenye ziara ya Mkuu wa mkoa wa Dar es salaam Paul Makonda ambayo ameanza kuifanya na kuzunguka kwenye maeneo mbalimbali ya jiji kujua kero za Wananchi.
Uko vizuri Mweshimiwa Mungu akulinde ktk kazi zako
Salute sana mheshimiwa Makonda!..
Mungu akubariki makonda ishaallah Hakuna kama wewe mungu akuweke wewe makonda ilove you so much
makonda i love u so much.
dah!! respect kwako mh.makonda
safi sana Makonda,
mashaallah makonda tunakutegemea kua rais miaka ijayo
aiiiiiseee ni noma muno
Yangu macho tu, tutasikia mengi
Safi sana
Kazi njema Kaka angu
Very good RC MAKONDA
AFADHALI AFRICA TUNDEKUWA NA VIONGOZI WAKO WAZI NA WANANCHI KAMA JP MAGUFULI
VIVA MAGUFULI VIVA
makonda sisi sio wananchi wa rais magufuli sema wananchi anuowaongoza mwenye watu ni mungu pekee
Richard Buhatwa pumbafuu mbwa ww tena ww ulitakiwa uchapwe viboko 12 siku unaingia jera na 24 siku yakutoka bogaz ww
Richard Buhatwa acha chuki binafsi kama hupendi ndo unafoka?
Uko vizur Makonda
Nakuelewaga Sana Makonda
Kama umesikia Rais anajibizana neno Ndiyo na mkuu wa mkoa Makonda weka likes kama zote
Makonda wewe ni nomaa
hongera sana makonda
Nakukubari mh,makonda
Piga kaza kaka
Nakuelewaga Sana Mh Paul Makonda.
Dah, leo Makonda nimekuelewa sana
MAGUFULI will be president of East African
Siwezi kukulipa mshahara siwezi kukupandisha cheo siwezi kukuwekea ulinzi ila mshahara wangu kwako nikukuombea kwa Mungu akulinde kilahatua unayopiga Insha'allah
Rais Magufuli nikiongozi Bora sana
Tunahitaji Tanzania mpya.wananchi hatupendi kufuata sheria ndio maana tunapenda kulalamika.
kazi kaz
Kazi unayoifanya yaani mpaka mh, Rais kishakubali kuwa wewe ni jembe haswaa Mungu akulinde Makonda
Juma Salehe njoo Mwananyamala mkuu wa mkoa pale viwanda vidogo utusaidie
huyu dogo lazima atakuja kuwa rais wa Tanzania baada ya magufuli maana anaakili utazani kameshushwa kutoka mbinguni kakweli mpaka huruma mungu akujalie dogo
Kwa elimu gan??msenge kwel ww
Magufuri rais wa dunia100%
kwani magu ana memor card kichwani au
safi makonda Kiongozi upaswi kuw muoga
makonda nakukubali sana tena nakuombea ugombee na ubunge hapahapa mjini ikiwezekana kwa mnyika unachapa kazo kwelikweli hongera sana mzee anakukubali hasa kwa uchapaji wako wa kazi na kazi uko safi najua hawakosi wanafiki ila90%tunakukubali
huyu ndie Rais wakweli
makonda natamani xana uje angalau uwe wazir mkuu uwanyoshe hawa wanaoonea wananch na ninafikir kwa kaz unayo ifanya niyatofaut xana tena ww makonda nakupenda ufaa kabisa kuwa rais
Duh Kama salio lako lakuunga
Unaumbuka,
Mbona imekuwa hotuba
Magufuli ni mwamba wa taifa ili hakika inauma sana tunapiganiwa sana ila hatumpi ushirikiano jpm no like you
Sm 5 ziwe zinapita bajaji
SAFI MWANANGU MAKONDA MTEGEMEE SANA MUNGU MAANA KWA KAZI HII LAZIMA UPIGWE VITA,UNAWASHINDA HATA HAO WANAOKUITA BASHITE,UKO JUU SANA HAPA KAZI TUUU.
sawa makonda
we noma makonda
KIONGOZI MKWELI NA MUWAZI NDIYE MLETA MAENDELEO.
ndio ndio hapana haipo
Killo s Kidabu makonda nakupa BG ap kaza but I mwane2
100%
busara yahitajika
Hizi drama nyinginee bwanaaa, poaa, hahahaaaa
ok
No offense but this is just too much PR.
Mkuu wa mkoa Genius zaidi kutokea Tanzania nilie wai kumshuhudia mpka sasa
makonda kweli wewe ni Mkuu wa mkoa wengine me bado sijaona kama huyu RC wa kwetu yupoyupo tu
wa wapi?
KILA ENZI NA KITABU CHAKE
mmmh.. kwakweli utakula keki pamoja nae...
maana.. upo vzur kuliko wakuu wa mikoa wote
Elisamehe Temu sana
Wazushi watakukubali kimoyo moyo mh makonda
Stiv Barnaba haaahaaa
tumekuerwa
👟kaza unatisha
Nakupenda sanaah makonda
Chapa kazi makonda
uko pw xna
Yatumbue majipu hukohuko
Xaf xana bro makonda a.k.a mkuu
Making ni jembe atafika mbali sana japo sehem chache anajichanganya ila ndo kupata uzoefuu
JPM hivi umemeza flash maana sio kwa kumbukumbu hizo mzee baba!!!!
huyo ndo magu
huyu jamaa Ni mpambanaji
watakukubali tu mh wanaosema unajipendekeza watadoda piga kazi kk
jamila lugome uongozi ujitathimini upya serkali inawajali kweli watu wake au inajali chama chake tawala (ilamjue iposiku mtahukumiwa Na Mungu) kwautwana wenu
Xxx
ok
nipigie kazi makonda ila mwanza mbona kimya
kiongozi wa kweli