Sababu za madini kutoroshwa hizi hapa

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 21. 01. 2019
  • Rais Magufuli aliposikia sababu za wafanyabiashara wanavyosafirisha madini "kiujanja" kutokana na msusuru wa malipo.
    Sikiliza mlolongo huo na namna Rais anavyosikiliza.

Komentáře • 36

  • @eliasthomas1547
    @eliasthomas1547 Před měsícem +4

    Mungu azidi kumpumzisha jpm.

  • @beatuskazimily457
    @beatuskazimily457 Před 5 lety +5

    Hongera xn umefunguka

  • @harunimfaume6280
    @harunimfaume6280 Před 5 lety +9

    huu jamaa yuko sahihii sana alio yaongea hajakosea kabisaa

  • @danielyfidelis7102
    @danielyfidelis7102 Před 5 lety +7

    huyu jamaa anajua njia nyingi

  • @akidasalim9798
    @akidasalim9798 Před 5 lety +5

    Mh hongera baba

  • @wilemakunga1016
    @wilemakunga1016 Před 2 lety +3

    Allah akulaze mahali pema peponi

  • @notburgamaskini7324
    @notburgamaskini7324 Před rokem +7

    Apumzishwe kwa amani Mungu amlipe kwa mema haya na mengi ya haki aliyotutendea

  • @fraviansweetberty8819
    @fraviansweetberty8819 Před 3 lety +4

    Mara ih atukusikii ata saut Jpm wetuuu dunian ama tunapta

  • @jerrywilhelm
    @jerrywilhelm Před 5 lety +5

    Nimekuelewa mwinji

  • @chumilahazard2713
    @chumilahazard2713 Před 5 lety +5

    nikwel kabisa muinjilist

  • @salumabdallah5529
    @salumabdallah5529 Před 5 lety +3

    saf sana

  • @mawazoaliselemani8909
    @mawazoaliselemani8909 Před 2 lety +1

    WATU wana uchungu na TAIFA

  • @yudamsafiri7427
    @yudamsafiri7427 Před 4 lety +3

    Bila chenga kabisa

  • @farajikilindila8907
    @farajikilindila8907 Před 2 lety

    Ni raisi mwenyewe msimamo Sana na mfuatiliaji hatu kwa hatu toka akiwa waziri wa ujenzi kwakwel atutopata raisi mwenyewe msimamo km huyu tena

  • @wilemakunga1016
    @wilemakunga1016 Před 2 lety +1

    Dah jpm tutakukumbuk

  • @OchoaHomeDecor_
    @OchoaHomeDecor_ Před 2 měsíci

    Dah Mzee Magu RIP 😢 🙏

  • @wycliffenyamweya.w
    @wycliffenyamweya.w Před 6 měsíci

    Ndugu mnenaji mwema tu Hadi kaongezwa muda size yake tu,heko🎉jamani naye rais aliyekuwa na maslahi ya nchi yake rohoni make apumzike Kwa amani🙏

  • @eliaslazaro2809
    @eliaslazaro2809 Před 2 lety

    Mwinjilist Solomon nyang'hwale nakuona mtumishi.

  • @mohamedyeslam5194
    @mohamedyeslam5194 Před měsícem

    Jamaa ako Sawa Kwa maelezo, magufui mchaguwe huyo jamaa

  • @kassimloav2402
    @kassimloav2402 Před 2 lety

    Hapa maguli anaitendea HAKI kiti Cha urahis wapigaji mabeberu wazawa wanashikina na wanje ya nchi hapa anapata ukweli

  • @abuumashua4971
    @abuumashua4971 Před rokem

    Nikweli asa ayo ndio usika tunamkumbuka sana aliekuwa rais wetu rais wawanynge rais mwenye ofu ya mungu wamemziki kwaaliokuwa anatufanyia watanzania amepambana namafisadi ametutia ujasiri watanzania wote eeeeh ulazwe pema peponi arp josefu pombe makufuli

  • @hamidmkwizu6379
    @hamidmkwizu6379 Před 2 lety

    Mungu aku

  • @kassimloav2402
    @kassimloav2402 Před 2 lety

    Uongoz Wa maguli hakuna kiongozi anayesema vijisent au helaya chai maliuma unasema hela ya chai vijisent ni aibu

  • @abdillahkinande1057
    @abdillahkinande1057 Před měsícem

    😅
    😊

  • @feisal6592
    @feisal6592 Před rokem

    Suluhisho ni machine tu

  • @emmanuelsanga34
    @emmanuelsanga34 Před 2 lety

    Wazalendo was kweli

  • @fidelislugusi5361
    @fidelislugusi5361 Před rokem

    R.i.p Jpm

  • @patrickmarwa5024
    @patrickmarwa5024 Před 4 měsíci

    Hili swala la dhahabu hata wabunge wa upinzani awaongei hili swala ni kupewa bahasha tu.

  • @nehemiazakeo2746
    @nehemiazakeo2746 Před 2 lety +2

    Huo ndo uongozi ulivyo kuwa bora na ilikuwa hivyo kipindi hicho. yani ukiwa kiongozi bora yani hata watumishi wako huwa waminifu na kusema ukweli na kuwa na ujasili katika kazi yake kwa sababu anachokuwa akikisema kinakuwa na ukweli ndaniyake nakutekelezeka kwa halaka hivyo selikali na wana nchi wake hufulahiya matunda ya utendaji wao kwa uaminifu muzuli na kuiamini selikali na raiya kuamini selikali yake: Sijui? hii leo je, hayo yanayo semwa na huyo mubunge yana tekelezwa au ndo imebakia kama histolia? kama hivi zamani vile?

  • @petromtakati2975
    @petromtakati2975 Před 2 lety +2

    King Solomon 💯💯💯💯

  • @CANAANTZ_TV
    @CANAANTZ_TV Před 2 měsíci

    Haleluyaaa
    Jipatie vitabu vya maombi ya kiroho bureee Kwa njia ya WhatsApp
    1=Maombi ya kuvunja nguvu za kichawi zinazoshambulia maisha yako
    2=Maombi ya vita vya kiroho
    Bonyeza picha kushoto mwa comment hii tutakutumia bureee Kwa njia ya WhatsApp
    2=

  • @mosesmzakwe7774
    @mosesmzakwe7774 Před rokem +1

    HIVI HUYUU JAMAAA ALIKUWA MWINJILISTI KWELI
    ALIKUWA AMEVAA KIVULI CHA UINJILISTI?
    HAKIKA ALIKUWA MTUMISHI MWEMA.

    • @davykisabo875
      @davykisabo875 Před měsícem

      Hahaha sahihi jamaa ni mwinjilisiti sahihi Mimi jirani ukitaka hata namba yake nikupe umsalimie

  • @kassimloav2402
    @kassimloav2402 Před 2 lety

    Hapa maguli anaitendea HAKI kiti Cha urahis wapigaji mabeberu wazawa wanashikina na wanje ya nchi hapa anapata ukweli

    • @amanifataki1714
      @amanifataki1714 Před 2 lety

      Magu tinao wengi ila wamebanwa na matajiri wa nchi hii ila tukimuomba mungu kwa pamoja hanaga roho mbaya.