JamiiForums
JamiiForums
  • 2 133
  • 16 767 750
Waziri Mchengerwa: Uchaguzi wa Serikali za Mtaa Bara ni Novemba 27, 2024
DODOMA: Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (TAMISEMI), Mohammed Mchengerwa amesema, kwa mujibu wa Kanuni za Uchaguzi wa Serikali za Mtaa, Msimamizi wa Uchaguzi atafanya uteuzi wa Watumishi wa Umma watakaoandikisha na kuandaa Orodha ya Wapiga Kura siku 52 kabla ya siku ya Uchaguzi
-
Akitolea ufafanuzi kuhusu kanuni hizo, amesema, uandikishaji na uandaaji wa Orodha ya Wapiga Kura utaanza siku ya 47 kabla ya siku ya uchaguzi na utafanyika kwa muda wa siku 10 kwa kutumia fomu iliyoainishwa katika Jedwali la Kwanza la Kanuni hizo katika majengo ya umma
Aidha, Kanuni zimeeleza kama hakuna jengo la umma, uandikishaji utafanyika kwenye sehemu ambayo Msimamizi Msaidizi wa Uchaguzi atakuwa amekubaliana na viongozi wa vyama vya siasa.
Soma jamii.app/UchaguziTangazo
#Kuelekea2025 #Democracy #Governance #JamiiForums
zhlédnutí: 43

Video

Waziri Mbarawa: Treni ya SGR itabeba mzigo wa tani 10,000 sawa na Lori 500
zhlédnutí 62Před měsícem
Waziri Mbarawa: Treni ya SGR itabeba mzigo wa tani 10,000 sawa na Lori 500
TPSF: Wafanyabiashara wanailalamikiaTRA kufunga akaunti na kuchukua fedha
zhlédnutí 65Před měsícem
TPSF: Wafanyabiashara wanailalamikiaTRA kufunga akaunti na kuchukua fedha
Mwabukusi: TLS ni Kiungo wa kuifanya Nchi yetu kukua Kiuchumi, Kisiasa na Demokrasia
zhlédnutí 87Před měsícem
SHERIA: Leo Julai 26, 2024 Mahakama Kuu ya Tanzania kanda ya Dar es Salaam imetolea hukumu kesi iliyofunguliwa na Wakili Boniface Mwabukusi dhidi ya Chama cha Mawakili Tanganyika (TLS) Baada ya kusikiliza hoja za pande zote mbili Mahakama imetengua maamuzi ya kamati ya rufani ya TLS, na kumrejesha Wakili Mwabukusi kugombea Urais wa TLS Hapo awali Wakili Mwabukusi aliondolewa kwenye mchakato huo...
Deo Sabokwigina: Mfumo wa Elimu hauwaandai Wahitimu Kujiajiri
zhlédnutí 19Před měsícem
Deo Sabokwigina: Mfumo wa Elimu hauwaandai Wahitimu Kujiajiri
Malembo Lucas: Tatizo linalokwamisha Vijana kuingia kwenye Kilimo na Ufahamu na Ufikiaji wa Masoko
zhlédnutí 16Před měsícem
Malembo Lucas: Tatizo linalokwamisha Vijana kuingia kwenye Kilimo na Ufahamu na Ufikiaji wa Masoko
Meneja wa usambazaji maji MORUWASA, Eng Thomas Ngulika asimamishwa kazi
zhlédnutí 90Před měsícem
Meneja wa usambazaji maji MORUWASA, Eng Thomas Ngulika asimamishwa kazi
Waziri Aweso: Wananchi kukosa Huduma ya maji ni uzembe wa MORUWASA
zhlédnutí 75Před měsícem
Waziri Aweso: Wananchi kukosa Huduma ya maji ni uzembe wa MORUWASA
Rais Samia: Machifu waambieni Wanasiasa Vyeo havipatikani kwa kuua watu
zhlédnutí 64Před měsícem
Rais Samia: Machifu waambieni Wanasiasa Vyeo havipatikani kwa kuua watu
Glory Benjamin: Matumizi ya Dawa za kupunguza uzito yanahitaji muongozo na Ushauri wa Kitaalamu
zhlédnutí 19Před měsícem
Glory Benjamin: Matumizi ya Dawa za kupunguza uzito yanahitaji muongozo na Ushauri wa Kitaalamu
Dr.Mashili: Dawa za Kupunguza uzito huongeza Mafuta Mwilini na kusababisha Magonjwa kama Kisukari
zhlédnutí 17Před měsícem
Dr.Mashili: Dawa za Kupunguza uzito huongeza Mafuta Mwilini na kusababisha Magonjwa kama Kisukari
IGP Wambura: Polisi haihusiki na utekaji watu
zhlédnutí 58Před měsícem
IGP Wambura: Polisi haihusiki na utekaji watu
Chalamila: Hatuwezi kuendesha Mkoa ukiwa na Migomo-migomo
zhlédnutí 43Před měsícem
Chalamila: Hatuwezi kuendesha Mkoa ukiwa na Migomo migomo
Wananchi wa Mburahati wamueleza Waziri Masauni "kuna viongozi wanawalinda waharifu waziwazi”
zhlédnutí 26Před měsícem
Wananchi wa Mburahati wamueleza Waziri Masauni "kuna viongozi wanawalinda waharifu waziwazi
Waziri Majaliwa: Mhandisi, Afisa Elimu, Mkurugenzi Wasimamishwe kazi na wafikishwe Mahakamani
zhlédnutí 30Před měsícem
Waziri Mkuu Kassim Majaliwa ambana Mhandisi wa Halmashauri ya Wilaya ya Kilolo kushindwa kusimamia matumizi ya Fedha ujenzi wa Bwalo shule ya Sekondari ya Wasichana Lugalo. Ashangazwa kutumika kwa fedha yote ya ujenzi wa Bwalo lakini mpaka sasa halijakamilika. Bwalo hilo lilipangiwa sh. milioni 774 na wamekwishatumia sh. milioni 341 hadi kufikia hatua ya linta ambayo ni sawa na asilimia 40 ya u...
Mhandisi, Afisa Elimu Sekondari, Mkurugenzi Wasimamishwa Kazi, watakiwa kufikishwa Mahakamani
zhlédnutí 43Před měsícem
Mhandisi, Afisa Elimu Sekondari, Mkurugenzi Wasimamishwa Kazi, watakiwa kufikishwa Mahakamani
Uchaguzi wa Serikali za Mitaa 2024 utafanyika katika Mitaa yote 564.
zhlédnutí 100Před měsícem
Uchaguzi wa Serikali za Mitaa 2024 utafanyika katika Mitaa yote 564.
Rais Samia: Nilimwondoa Kidata TRA sababu niliona mwisho Atadata
zhlédnutí 37Před 2 měsíci
Rais Samia: Nilimwondoa Kidata TRA sababu niliona mwisho Atadata
Waziri Aweso: Nimebaini DAWASA kuna Hujuma na Uzembe wa makusudi kwa baadhi ya Watendaji
zhlédnutí 34Před 2 měsíci
Waziri Aweso: Nimebaini DAWASA kuna Hujuma na Uzembe wa makusudi kwa baadhi ya Watendaji
Meneja wa DAWASA Kinyerezi asimamishwa Kazi kwa kushindwa kutekeleza Majukumu
zhlédnutí 22Před 2 měsíci
Meneja wa DAWASA Kinyerezi asimamishwa Kazi kwa kushindwa kutekeleza Majukumu
Kaimu Mtendaji Mkuu, Mkurugenzi wa Uzalishaji DAWASA wasimamishwa Kazi kwa Uzembe
zhlédnutí 136Před 2 měsíci
Kaimu Mtendaji Mkuu, Mkurugenzi wa Uzalishaji DAWASA wasimamishwa Kazi kwa Uzembe
Mpina kuwapeleka Mahakamani Waziri Bashe na Bodi ya Sukari kwa kutoa Vibali kinyume cha Sheria
zhlédnutí 86Před 2 měsíci
Mpina kuwapeleka Mahakamani Waziri Bashe na Bodi ya Sukari kwa kutoa Vibali kinyume cha Sheria
Mchungaji Msigwa ajiunga CCM na Kutambulishwa katika Mkutano wa NEC
zhlédnutí 54Před 2 měsíci
Mchungaji Msigwa ajiunga CCM na Kutambulishwa katika Mkutano wa NEC
Waziri Mkuu aagiza kila Taasisi ya Umma kutenga Fedha katika Bajeti ili kulipa Fidia za Ardhi
zhlédnutí 78Před 2 měsíci
Waziri Mkuu aagiza kila Taasisi ya Umma kutenga Fedha katika Bajeti ili kulipa Fidia za Ardhi
Nape: TCRA Ichunguze wanaodhalilisha Watu Waliowakopesha Mtandaoni
zhlédnutí 45Před 2 měsíci
Nape: TCRA Ichunguze wanaodhalilisha Watu Waliowakopesha Mtandaoni
Bunge Lamfungia Mpina Vikao 15 kwa kudharau Mamlaka ya Spika
zhlédnutí 11Před 2 měsíci
Bunge Lamfungia Mpina Vikao 15 kwa kudharau Mamlaka ya Spika
Serikali yasitisha Kamatakamata na Ukaguzi wa Risiti za EFD Kariakoo
zhlédnutí 42Před 2 měsíci
Serikali yasitisha Kamatakamata na Ukaguzi wa Risiti za EFD Kariakoo
Sakata la Mbunge Luhaga Mpina na Uamuzi wa Bunge Kumsimamisha Vikao 15
zhlédnutí 127Před 2 měsíci
Sakata la Mbunge Luhaga Mpina na Uamuzi wa Bunge Kumsimamisha Vikao 15
Waziri Mwigulu: Tukishusha 2% ya VAT tutapoteza Bilioni 600, Bajeti ya Serikali itaathirika
zhlédnutí 78Před 2 měsíci
Waziri Mwigulu: Tukishusha 2% ya VAT tutapoteza Bilioni 600, Bajeti ya Serikali itaathirika
Serikali yasitisha Kamata kamata na Ukaguzi wa Risiti za EFD Kariakoo
zhlédnutí 45Před 2 měsíci
Serikali yasitisha Kamata kamata na Ukaguzi wa Risiti za EFD Kariakoo

Komentáře

  • @GreezyMaker
    @GreezyMaker Před 7 dny

    ila bongo 🙌

  • @NassoroAmade
    @NassoroAmade Před 10 dny

    kuuuuuuu

  • @NassoroAmade
    @NassoroAmade Před 10 dny

    kuuuuuuu

  • @user-oc8kw7xr8m
    @user-oc8kw7xr8m Před 17 dny

    Masista wa Yesu haooo

  • @braggadachu1723
    @braggadachu1723 Před 17 dny

    Naomba kuuliza hivi majibu ya stories of change yatatolewa lini

  • @DadiMageni
    @DadiMageni Před 17 dny

    Natamani mama aige mazuli ya uyu mwamba

  • @inhbworldwide-unitedkingdo6038

    Mnao angalia hii video 2024 gonga likes nyingi tujuane

  • @vkingcurry
    @vkingcurry Před 18 dny

    UJAMAA is a failed ideology and i know that and why But everytime i watch Papa am convinced again 😅 true politician Rest easy President 😢

  • @sandalakabalo5442
    @sandalakabalo5442 Před 21 dnem

    Jaman haya maisha

  • @Jeremiahlukumay
    @Jeremiahlukumay Před měsícem

    wanaondoka wazuri,Wanabaki waizi wa Mali ya umma,mbn kikwete ndio rais wa nne?SI angetangulia kwenda mbinguni jinsi alivyotangulia kuwa rais.

  • @virginiabenito3966
    @virginiabenito3966 Před měsícem

    Waziri aache kuhukumu watu wasio husika wakat makosa anayajua fika kua anawaonea

  • @romanamassawe814
    @romanamassawe814 Před měsícem

    Eti you belong to!!!! Phrase ya yanga hiyo !

  • @medardsotta5211
    @medardsotta5211 Před měsícem

    Ruhusuni Starlink acheni ubabaishaji, tunataka Internet yenye kasi!

  • @fredrickmathias6478
    @fredrickmathias6478 Před měsícem

    Leo ni 2024 July,kiko wapi?? Usiue wala kudhurumu,mshahara wa dhambi ni mauti

  • @fredrickmathias6478
    @fredrickmathias6478 Před měsícem

    2024 God did

  • @IsiraeliMolly
    @IsiraeliMolly Před měsícem

    Nakupenda sana magufuli ❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤

  • @yveslukulirwa7455
    @yveslukulirwa7455 Před měsícem

    Mwisho ni kifo

  • @josephdimosopantaleomadegh7599

    Amejibu mbona yeye ndo mtendaji mkuu wa serikali yeye ndo msimamizi mkuu wa serikali yeye ndo mtoaji mkuu wa pesa kwaiyo aliamua asitoe atoi akiamua kesho sitaki muende kazini amuendi kwaiyo aitakiwi raisi kupigwa na kuulizwa kwanini atoi ela za safali na kwanini anatowa hela kwa wagonjwa anatimiza wajibu wake kutokana na tulivyo mwamini.

  • @PhilipoMwita-b2x
    @PhilipoMwita-b2x Před měsícem

    Ahhhh msigwaaaa

  • @communicativegirls4433
    @communicativegirls4433 Před měsícem

    This woman is brilliant ❤

  • @mozanmozan1609
    @mozanmozan1609 Před měsícem

    kwaiyo ss Watt wetu wario enda basi arudishe musitusumburie wtt wetu kira siku amupitishi kinacho takiwa

  • @user-xb5td1jl3u
    @user-xb5td1jl3u Před měsícem

    Ni rahisi kufahamu bei za bidhaa nchi za nje

  • @hamadsaburi3569
    @hamadsaburi3569 Před měsícem

    2024

  • @Joseph-lu4yj
    @Joseph-lu4yj Před 2 měsíci

    Aliapy

  • @user-oc8kw7xr8m
    @user-oc8kw7xr8m Před 2 měsíci

    Asanteee

  • @deogratiaskatinda9232
    @deogratiaskatinda9232 Před 2 měsíci

    Mmmmmh

  • @respeacemgawe7387
    @respeacemgawe7387 Před 2 měsíci

    Labda viongozi wamejifunza kitu kutoka kwenye AIBU hii

  • @respeacemgawe7387
    @respeacemgawe7387 Před 2 měsíci

    Kwani huyu mzee bado ni Professor wa chuo gani?

  • @respeacemgawe7387
    @respeacemgawe7387 Před 2 měsíci

    Kwani hii ndo kamati ambayo Mh. Tundu Lissu alizungumzia bungeni? Kama alisema kamati ya Prof. Mruma na Prof. Osoro sijui ni professerial...?

  • @officialbabaivan
    @officialbabaivan Před 2 měsíci

    Bunge ni lakishamba sana saiv

  • @kalamuyangu1
    @kalamuyangu1 Před 2 měsíci

    Ifike pahala hoja zijibiwe kwa hoja.

  • @hamadrashid5140
    @hamadrashid5140 Před 2 měsíci

    Yaone yanavyojichekesha shenz kabisa

  • @AbubakaryOmary-qw5dk
    @AbubakaryOmary-qw5dk Před 2 měsíci

    Serikari ya hovyo sijawahi kushuhudia

  • @user-ge2ll3gf2x
    @user-ge2ll3gf2x Před 2 měsíci

    Ona lilivyopauka

  • @user-ge2ll3gf2x
    @user-ge2ll3gf2x Před 2 měsíci

    Hi takataka wangebakinayo huko mbeya tu ! Utumbo usiokamuliwa huwa unaliwa kwaradha mbili tofauti.

  • @lightnessalex7084
    @lightnessalex7084 Před 2 měsíci

    Thanks mheshmiwa pinda

  • @travellahmsafirihiphop5325
    @travellahmsafirihiphop5325 Před 2 měsíci

    MAJUTO YA NINI WAKATI TRA NDIO WAPUMBAVU

  • @JUBRANBULAYHl-yb4ke
    @JUBRANBULAYHl-yb4ke Před 2 měsíci

    Nimesikiliza maswali yote na maswali yote yatajibiwa na kujibiwa bila ubaguzi kwa swali lolote Mungu ndiye Mlinzi.☝🏻☝🏻🤲🤲☝🏻☝🏻

  • @StephenKitura
    @StephenKitura Před 2 měsíci

    Fanya kazi bas dhibiti wizi

  • @IssaMbaga
    @IssaMbaga Před 2 měsíci

    Hongera sana majukumu mema

  • @mozejcs9160
    @mozejcs9160 Před 2 měsíci

    Shida sio deni! Mmekuwa wabinafsi sana na wezi msio na aibu! Km mwenye mbwa anawaruhusu mle urefu wa kamba zenu! Hapa pana usalama wa pesa zetu kweli! Na jinsi watu wasivyokuzingatia hawataki hata kuangalia upuuzi wako

  • @ibrahimomari2458
    @ibrahimomari2458 Před 2 měsíci

    Maguful alimfukuza kinana...leo hii kinana makamu mwenyekiti...

  • @davideditz2049
    @davideditz2049 Před 2 měsíci

    Serikal wanajua internet zetu mbovu badala wairuhusu wanaikata

  • @aminbhulji1677
    @aminbhulji1677 Před 3 měsíci

    Hao askari wa usalaama traffik na matochi kwakweli kwao umekua mradi mkubwa sana lakini hao wote kesho kwa mungu wote wata kwenda motoni.

  • @daniellyimo378
    @daniellyimo378 Před 3 měsíci

    Hapa ndo upinzani Kuna shida

  • @musangassa7543
    @musangassa7543 Před 3 měsíci

    Allhamdulillah

  • @romanamassawe814
    @romanamassawe814 Před 3 měsíci

    Je ilikusaidia nini ?

  • @romanamassawe814
    @romanamassawe814 Před 3 měsíci

    Hivi mtu anashangiliwa kwa kila anachokiongea !

  • @georgekamosi9501
    @georgekamosi9501 Před 3 měsíci

    Kabla hujataka kuheshimiwa anza na unyenyekevu