- 2 133
- 16 767 750
JamiiForums
Tanzania
Registrace 21. 03. 2009
JamiiForums is Tanzania’s most visited and trusted website and the most popular destination for Kiswahili speakers in East Africa and around the world that emphasizes the use of user-generated content for reporting critical issues.
Waziri Mchengerwa: Uchaguzi wa Serikali za Mtaa Bara ni Novemba 27, 2024
DODOMA: Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (TAMISEMI), Mohammed Mchengerwa amesema, kwa mujibu wa Kanuni za Uchaguzi wa Serikali za Mtaa, Msimamizi wa Uchaguzi atafanya uteuzi wa Watumishi wa Umma watakaoandikisha na kuandaa Orodha ya Wapiga Kura siku 52 kabla ya siku ya Uchaguzi
-
Akitolea ufafanuzi kuhusu kanuni hizo, amesema, uandikishaji na uandaaji wa Orodha ya Wapiga Kura utaanza siku ya 47 kabla ya siku ya uchaguzi na utafanyika kwa muda wa siku 10 kwa kutumia fomu iliyoainishwa katika Jedwali la Kwanza la Kanuni hizo katika majengo ya umma
Aidha, Kanuni zimeeleza kama hakuna jengo la umma, uandikishaji utafanyika kwenye sehemu ambayo Msimamizi Msaidizi wa Uchaguzi atakuwa amekubaliana na viongozi wa vyama vya siasa.
Soma jamii.app/UchaguziTangazo
#Kuelekea2025 #Democracy #Governance #JamiiForums
-
Akitolea ufafanuzi kuhusu kanuni hizo, amesema, uandikishaji na uandaaji wa Orodha ya Wapiga Kura utaanza siku ya 47 kabla ya siku ya uchaguzi na utafanyika kwa muda wa siku 10 kwa kutumia fomu iliyoainishwa katika Jedwali la Kwanza la Kanuni hizo katika majengo ya umma
Aidha, Kanuni zimeeleza kama hakuna jengo la umma, uandikishaji utafanyika kwenye sehemu ambayo Msimamizi Msaidizi wa Uchaguzi atakuwa amekubaliana na viongozi wa vyama vya siasa.
Soma jamii.app/UchaguziTangazo
#Kuelekea2025 #Democracy #Governance #JamiiForums
zhlédnutí: 43
Video
Waziri Mbarawa: Treni ya SGR itabeba mzigo wa tani 10,000 sawa na Lori 500
zhlédnutí 62Před měsícem
Waziri Mbarawa: Treni ya SGR itabeba mzigo wa tani 10,000 sawa na Lori 500
TPSF: Wafanyabiashara wanailalamikiaTRA kufunga akaunti na kuchukua fedha
zhlédnutí 65Před měsícem
TPSF: Wafanyabiashara wanailalamikiaTRA kufunga akaunti na kuchukua fedha
Mwabukusi: TLS ni Kiungo wa kuifanya Nchi yetu kukua Kiuchumi, Kisiasa na Demokrasia
zhlédnutí 87Před měsícem
SHERIA: Leo Julai 26, 2024 Mahakama Kuu ya Tanzania kanda ya Dar es Salaam imetolea hukumu kesi iliyofunguliwa na Wakili Boniface Mwabukusi dhidi ya Chama cha Mawakili Tanganyika (TLS) Baada ya kusikiliza hoja za pande zote mbili Mahakama imetengua maamuzi ya kamati ya rufani ya TLS, na kumrejesha Wakili Mwabukusi kugombea Urais wa TLS Hapo awali Wakili Mwabukusi aliondolewa kwenye mchakato huo...
Deo Sabokwigina: Mfumo wa Elimu hauwaandai Wahitimu Kujiajiri
zhlédnutí 19Před měsícem
Deo Sabokwigina: Mfumo wa Elimu hauwaandai Wahitimu Kujiajiri
Malembo Lucas: Tatizo linalokwamisha Vijana kuingia kwenye Kilimo na Ufahamu na Ufikiaji wa Masoko
zhlédnutí 16Před měsícem
Malembo Lucas: Tatizo linalokwamisha Vijana kuingia kwenye Kilimo na Ufahamu na Ufikiaji wa Masoko
Meneja wa usambazaji maji MORUWASA, Eng Thomas Ngulika asimamishwa kazi
zhlédnutí 90Před měsícem
Meneja wa usambazaji maji MORUWASA, Eng Thomas Ngulika asimamishwa kazi
Waziri Aweso: Wananchi kukosa Huduma ya maji ni uzembe wa MORUWASA
zhlédnutí 75Před měsícem
Waziri Aweso: Wananchi kukosa Huduma ya maji ni uzembe wa MORUWASA
Rais Samia: Machifu waambieni Wanasiasa Vyeo havipatikani kwa kuua watu
zhlédnutí 64Před měsícem
Rais Samia: Machifu waambieni Wanasiasa Vyeo havipatikani kwa kuua watu
Glory Benjamin: Matumizi ya Dawa za kupunguza uzito yanahitaji muongozo na Ushauri wa Kitaalamu
zhlédnutí 19Před měsícem
Glory Benjamin: Matumizi ya Dawa za kupunguza uzito yanahitaji muongozo na Ushauri wa Kitaalamu
Dr.Mashili: Dawa za Kupunguza uzito huongeza Mafuta Mwilini na kusababisha Magonjwa kama Kisukari
zhlédnutí 17Před měsícem
Dr.Mashili: Dawa za Kupunguza uzito huongeza Mafuta Mwilini na kusababisha Magonjwa kama Kisukari
IGP Wambura: Polisi haihusiki na utekaji watu
zhlédnutí 58Před měsícem
IGP Wambura: Polisi haihusiki na utekaji watu
Chalamila: Hatuwezi kuendesha Mkoa ukiwa na Migomo-migomo
zhlédnutí 43Před měsícem
Chalamila: Hatuwezi kuendesha Mkoa ukiwa na Migomo migomo
Wananchi wa Mburahati wamueleza Waziri Masauni "kuna viongozi wanawalinda waharifu waziwazi”
zhlédnutí 26Před měsícem
Wananchi wa Mburahati wamueleza Waziri Masauni "kuna viongozi wanawalinda waharifu waziwazi
Waziri Majaliwa: Mhandisi, Afisa Elimu, Mkurugenzi Wasimamishwe kazi na wafikishwe Mahakamani
zhlédnutí 30Před měsícem
Waziri Mkuu Kassim Majaliwa ambana Mhandisi wa Halmashauri ya Wilaya ya Kilolo kushindwa kusimamia matumizi ya Fedha ujenzi wa Bwalo shule ya Sekondari ya Wasichana Lugalo. Ashangazwa kutumika kwa fedha yote ya ujenzi wa Bwalo lakini mpaka sasa halijakamilika. Bwalo hilo lilipangiwa sh. milioni 774 na wamekwishatumia sh. milioni 341 hadi kufikia hatua ya linta ambayo ni sawa na asilimia 40 ya u...
Mhandisi, Afisa Elimu Sekondari, Mkurugenzi Wasimamishwa Kazi, watakiwa kufikishwa Mahakamani
zhlédnutí 43Před měsícem
Mhandisi, Afisa Elimu Sekondari, Mkurugenzi Wasimamishwa Kazi, watakiwa kufikishwa Mahakamani
Uchaguzi wa Serikali za Mitaa 2024 utafanyika katika Mitaa yote 564.
zhlédnutí 100Před měsícem
Uchaguzi wa Serikali za Mitaa 2024 utafanyika katika Mitaa yote 564.
Rais Samia: Nilimwondoa Kidata TRA sababu niliona mwisho Atadata
zhlédnutí 37Před 2 měsíci
Rais Samia: Nilimwondoa Kidata TRA sababu niliona mwisho Atadata
Waziri Aweso: Nimebaini DAWASA kuna Hujuma na Uzembe wa makusudi kwa baadhi ya Watendaji
zhlédnutí 34Před 2 měsíci
Waziri Aweso: Nimebaini DAWASA kuna Hujuma na Uzembe wa makusudi kwa baadhi ya Watendaji
Meneja wa DAWASA Kinyerezi asimamishwa Kazi kwa kushindwa kutekeleza Majukumu
zhlédnutí 22Před 2 měsíci
Meneja wa DAWASA Kinyerezi asimamishwa Kazi kwa kushindwa kutekeleza Majukumu
Kaimu Mtendaji Mkuu, Mkurugenzi wa Uzalishaji DAWASA wasimamishwa Kazi kwa Uzembe
zhlédnutí 136Před 2 měsíci
Kaimu Mtendaji Mkuu, Mkurugenzi wa Uzalishaji DAWASA wasimamishwa Kazi kwa Uzembe
Mpina kuwapeleka Mahakamani Waziri Bashe na Bodi ya Sukari kwa kutoa Vibali kinyume cha Sheria
zhlédnutí 86Před 2 měsíci
Mpina kuwapeleka Mahakamani Waziri Bashe na Bodi ya Sukari kwa kutoa Vibali kinyume cha Sheria
Mchungaji Msigwa ajiunga CCM na Kutambulishwa katika Mkutano wa NEC
zhlédnutí 54Před 2 měsíci
Mchungaji Msigwa ajiunga CCM na Kutambulishwa katika Mkutano wa NEC
Waziri Mkuu aagiza kila Taasisi ya Umma kutenga Fedha katika Bajeti ili kulipa Fidia za Ardhi
zhlédnutí 78Před 2 měsíci
Waziri Mkuu aagiza kila Taasisi ya Umma kutenga Fedha katika Bajeti ili kulipa Fidia za Ardhi
Nape: TCRA Ichunguze wanaodhalilisha Watu Waliowakopesha Mtandaoni
zhlédnutí 45Před 2 měsíci
Nape: TCRA Ichunguze wanaodhalilisha Watu Waliowakopesha Mtandaoni
Bunge Lamfungia Mpina Vikao 15 kwa kudharau Mamlaka ya Spika
zhlédnutí 11Před 2 měsíci
Bunge Lamfungia Mpina Vikao 15 kwa kudharau Mamlaka ya Spika
Serikali yasitisha Kamatakamata na Ukaguzi wa Risiti za EFD Kariakoo
zhlédnutí 42Před 2 měsíci
Serikali yasitisha Kamatakamata na Ukaguzi wa Risiti za EFD Kariakoo
Sakata la Mbunge Luhaga Mpina na Uamuzi wa Bunge Kumsimamisha Vikao 15
zhlédnutí 127Před 2 měsíci
Sakata la Mbunge Luhaga Mpina na Uamuzi wa Bunge Kumsimamisha Vikao 15
Waziri Mwigulu: Tukishusha 2% ya VAT tutapoteza Bilioni 600, Bajeti ya Serikali itaathirika
zhlédnutí 78Před 2 měsíci
Waziri Mwigulu: Tukishusha 2% ya VAT tutapoteza Bilioni 600, Bajeti ya Serikali itaathirika
Serikali yasitisha Kamata kamata na Ukaguzi wa Risiti za EFD Kariakoo
zhlédnutí 45Před 2 měsíci
Serikali yasitisha Kamata kamata na Ukaguzi wa Risiti za EFD Kariakoo
ila bongo 🙌
kuuuuuuu
kuuuuuuu
Masista wa Yesu haooo
Naomba kuuliza hivi majibu ya stories of change yatatolewa lini
Natamani mama aige mazuli ya uyu mwamba
Mnao angalia hii video 2024 gonga likes nyingi tujuane
2024
UJAMAA is a failed ideology and i know that and why But everytime i watch Papa am convinced again 😅 true politician Rest easy President 😢
Jaman haya maisha
wanaondoka wazuri,Wanabaki waizi wa Mali ya umma,mbn kikwete ndio rais wa nne?SI angetangulia kwenda mbinguni jinsi alivyotangulia kuwa rais.
Waziri aache kuhukumu watu wasio husika wakat makosa anayajua fika kua anawaonea
Eti you belong to!!!! Phrase ya yanga hiyo !
Ruhusuni Starlink acheni ubabaishaji, tunataka Internet yenye kasi!
Leo ni 2024 July,kiko wapi?? Usiue wala kudhurumu,mshahara wa dhambi ni mauti
2024 God did
Nakupenda sana magufuli ❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤
Mwisho ni kifo
Amejibu mbona yeye ndo mtendaji mkuu wa serikali yeye ndo msimamizi mkuu wa serikali yeye ndo mtoaji mkuu wa pesa kwaiyo aliamua asitoe atoi akiamua kesho sitaki muende kazini amuendi kwaiyo aitakiwi raisi kupigwa na kuulizwa kwanini atoi ela za safali na kwanini anatowa hela kwa wagonjwa anatimiza wajibu wake kutokana na tulivyo mwamini.
Ahhhh msigwaaaa
This woman is brilliant ❤
kwaiyo ss Watt wetu wario enda basi arudishe musitusumburie wtt wetu kira siku amupitishi kinacho takiwa
Ni rahisi kufahamu bei za bidhaa nchi za nje
2024
Aliapy
Asanteee
Mmmmmh
Labda viongozi wamejifunza kitu kutoka kwenye AIBU hii
Kwani huyu mzee bado ni Professor wa chuo gani?
Kwani hii ndo kamati ambayo Mh. Tundu Lissu alizungumzia bungeni? Kama alisema kamati ya Prof. Mruma na Prof. Osoro sijui ni professerial...?
Bunge ni lakishamba sana saiv
Ifike pahala hoja zijibiwe kwa hoja.
Yaone yanavyojichekesha shenz kabisa
Serikari ya hovyo sijawahi kushuhudia
Ona lilivyopauka
Hi takataka wangebakinayo huko mbeya tu ! Utumbo usiokamuliwa huwa unaliwa kwaradha mbili tofauti.
Thanks mheshmiwa pinda
MAJUTO YA NINI WAKATI TRA NDIO WAPUMBAVU
Nimesikiliza maswali yote na maswali yote yatajibiwa na kujibiwa bila ubaguzi kwa swali lolote Mungu ndiye Mlinzi.☝🏻☝🏻🤲🤲☝🏻☝🏻
Fanya kazi bas dhibiti wizi
Hongera sana majukumu mema
Shida sio deni! Mmekuwa wabinafsi sana na wezi msio na aibu! Km mwenye mbwa anawaruhusu mle urefu wa kamba zenu! Hapa pana usalama wa pesa zetu kweli! Na jinsi watu wasivyokuzingatia hawataki hata kuangalia upuuzi wako
Maguful alimfukuza kinana...leo hii kinana makamu mwenyekiti...
Serikal wanajua internet zetu mbovu badala wairuhusu wanaikata
Hao askari wa usalaama traffik na matochi kwakweli kwao umekua mradi mkubwa sana lakini hao wote kesho kwa mungu wote wata kwenda motoni.
Hapa ndo upinzani Kuna shida
Allhamdulillah
Je ilikusaidia nini ?
Hivi mtu anashangiliwa kwa kila anachokiongea !
Kabla hujataka kuheshimiwa anza na unyenyekevu