Kauli 10 Tata za Magufuli Lazima Uzikumbuke Kabla Ya Uchaguzi 2020
Vložit
- čas přidán 13. 02. 2018
- Bonyeza "SUBSCRIBE" Pata Habari mbalimbali zinazotokea nje na ndani ya nchi yetu ya Tanzania, michezo, uchumi, siasa pamoja na habari kemkem.
Subscribe: / @topstoriestz - Sport
Sikusema ccm oye yalikiepo majiz sana kuliko ata ya chadema , gonga like uliyeskia iyoo.
Magufuli alikuwa Wa kipekee rip Mungu mtunze tunamuombea hakika tutakukumbuka daima msiba huu hauna kikomo
Kila mtu atahukumiwa sawasawa na matendo take… RIP Mwalimu Nyerere.
Mungu tupe macho tuone tunakoelekea mungu ikumbuke Tanzania nahaya yanayoendelea
hongera mh magu. kama unamkubali magu acha yako lakes
Unamkubali wew mm simkubali hata 2015 sikumpa yangu
@@benjaminmtambo4868 Hata usipomkubali lkn ni Raisi wako t kwa vile ni mtanzania.
Kwani ulipoacha kumkubali ulimpunguzia nini?? Wala sishangai,hata watoto huwa wanamkataa baba yao japo wanahudumiwa na baba Huyo.Yawezekana mwenzetu ulisha wahi kumkataa baba yako ndo maana unauzoefu wakuwakataa wanao kuongoza.
Kweli
@@benjaminmtambo4868 hhhhh
Innalillah waina ilahi rajeeon.
Go well son of the soil, son of Africa. Africa is proud of you.. We may not come from the same country, but we shared your vision. A great Leader you were, a proud African. I am not Tanzanian, but your love for the Africa continent spread all over Africa and beyond, You gave us hope, you gave the young politicians the reasons to join the political field. Your Leadership style, touched a lot of Africans. You believed in your people, you decided to die in the eyes of your own people. May GOD receive you well and May HE forgive your short comings. RIP John. We will forever remember you.
Ameen Thuma Ameen 🙏🏾
Thnk you our neighbor. Amen!!!
MUNGU TUPE KAMA MAGU
Wewe ni kiongozi wangu bora wa muda wote😭😭😭😭😭😭
Unamaanisha Mwalimu Nyerere sio ?.
Namlia président wa Africa
Tunakukumbuka mzee wetu Mungu alikutumia utuonyeshe njia hapo kwa sasa hali si hali
safi sana mkuu wa ichi hizo kauli nimezipenda sana
Mbona sioni utta
Wewe mwenyewe mwizi sana. Hauko wazi kwenye swala la pesa. Fedha unazokamata kwa watu unawaita Mafisadi wakati wanachangia pato la Taifa ziko wapi?. Fedha za maduka ya fedha ziko ngapi na ziko wapi?. Huyu MSU - KUMA mwizi sana.
@@teddykanondo5753 Acha ujinga. Au na wewe umeshatumbuliwa ndo sababu ya kulialia? Ni shetani tu ndo anaweza kupiga kazi za kiongozi huyu.
@@teddykanondo5753 wempumbavu
Ukweli umekuua mapema! Mungu atahukumu kwa haki.
Chuma kama chuma!! Twenzetu mzee wetu!! Watanzania tunakupenda sana!!
Sasa hatunae 😥😭😭💔
Kweli kabisa Nyerere tutamkumbuka..
Jembe letu, nitapigia Kura ccm kwa mara ya kwanza ajili yako tu , you are true loyal
Habari
R.I.P rais wetu,jembe letu.Tutakukumbuka daima.
Uwaminifu ni mzigo mzito mno na wewe unaweza kuibeba mungu akusaidie na akupushe na waharibifu Ahsante Ahsante sana magufuli
Chuki mchukikieni roho take mwachieni .
Jembe liko kazin wezi tupa kule
Safi sana maguful
Naamini kama kuna watu waliopelekea kifo chako na walihusika, naamini Mungu atashughulika nao hakika.Pumzika kwa Amani Baba, Mungu akupe pumziko la milele, Amina.
JPM uko vizuri sana tena sana, isipokuwa tu sisi watu hatupendi kuambiwa ukweli, lakini msema kweli ni mpenzi wa Mungu, endelea kuchapa kazi.
Dah mungu akulaze sehemu pazuli
Tutakukumbuka daima Magufuli wetu
We ni zaid y baba...asnte umetufundisha maisha
First history President in Tanzania
Am proud of our President Jpm👍🏼👏🏼👏🏼
Hallow! Huyo ndiye Rais 2020 wala simwoni mwingine wa kushindananaye
@@jonasmaganga7394 k
HAYATI Magufuri urinjuwaukweri mwizinimwizitu
@@jacksonemma495 rudi daraani kanza ukasome hata kuandika
@@khalidballeth5957 we mwenyew pia
RIP dady we loss our legend. Mbele yako nyuma yetu.
Kimsingi huwa ni
"NYUMA YAKO, MBELE YETU"
Ikimaanisha ametangulia, hivyo nyuma yake inakua ipo mbele yetu tunaofuata
Mwendazake
Zitatokea sehem yoyote ambayo Iko wazi 😂😂😂😂😂🙏🙏🙏
Now we know how worth he was,we will always remember you champion!
You mean Nyerere?? You’re correct 👍
RAHA ya milele Umpe ee Bwana na mwanga WA milele Umwangazie Apumzike Kwa Amani.. AMINA
Tutazidi kukumbuka maneno yako baba kamwe hatutakusahau daima
The greatest leader of our time. I love you to the moon and back. RIP ndugu JPM
RIP my President John pombe Joseph Magufuri Mungu akulaze pema
Mungu akulaze mahali pena peponi amen
Huwezi kunijibu mm ivo niambie pesa za lod zipo wap km umeupenda huu gonga like tue pa1
Pesa kuwa ngumu ndio uchumi kukuwa maana zikiwa za kumwaga ndio chanzo cha mfumuko wa bizaa kupanda bei au mnataka ziwe nyingi ukienda kununua mkate ubebe hela kwenye toroli
Aisee! JPM was a project to forecast CCM prosperity na tumepita vizuri na tutasonga mbele vyema zaidi.
Teacher roboti
Teacher roboti
Mabo
We will still remember ue our hero 😭
Tutamsahau punde tu Sasa tunawaza mambo mengine hayo yamepita muda wake ..!
Mzee wetu mpendwa Mungu ailaze mahali pema peponi roho yako amini 😴🙂🤗😄
Tunaumia Sana kukuona ukitoa kauri nzito zaidi
Your the hero and also your the champion daddy rest in peace
Mbona mnasema kauli tata ilhali mzee anaongea mambo muhimu sana, yaani ananyoosha mambo.
Ili upate shauku ya kuangalia maana watanzania vichwa vigumu ni wagumu sana kuelewa hivyo usipotumia lugha tata kama hiz wanazo tumia waandish kutushawish hawaelewi
Maisha yalikuwa yanatupatia FURAHA kwa wa tanzania wote.....keki za Taifa (vivutio) vya nchi vilitunufaisha wote bila kujali udini,ukabila wala rangi.....Hakika sisi wa tanzania tulipendelewa na Mungu wetu......Blessed land is Tanzania
Wapi hiyo unasifu ujinga toka lini ulikula keki ya taifa wewe au unajitoa ufahamu..!
@@hassanmfaume4522 wejamaa unaonekana ulikua mwizi kwamtu anaye jitambua hawezi kumchukia magufur hata ck 1,,,kwatuna mwelewa kazializo zifanya tutaendelea kumkubali kilaiitwapo leo pendasana. Magufuriwangu kokote uliko Nakumbuka ulivo ingiatu madarakani 2017 Nilipata Nafasi yakwenda south Sudan juba,,,heshima tuloipatakule kupitia ww, J p m,, sintokuja kukusahau m aishani mwangu,,
Mungu akujalie mzee wetu sidhani Kama 2tapata mwingine Kama ww mungu akilinde
Mungu akulaze palipo na wema JPM 🙏 💔💔😭😭
Rais anafanya kazi nzuri. wanaomchukia ni wale waliozoea posho kubwa bungeni kabana matumizi ili pesa zisaidie watanzania wote mnamchukia. watanzania wengi tunampeda piga kazi rais wetu tuko pamoja mti wenye matunda ndio hutupiwa mawe.
Magu yuko vzr ila yupo kwenye chama Cha mfumo sio mzuri tunataka atupe katiba mpya na tume huru isiwe ya chama kimoja itatuletea shida mbeleni
❤❤❤ MUNGU tumeondokewa wananchiii hata hatujui pakushika💯😭😭😭😭🙏🙏🙏
Mwenyezi mungu amuweke mahalo pema peponi magufuli watu na pia atutengenezee mtu anaefanana na magufuli aje atusaidie!
2020 & still watching jpm oyeeeeee!
The true and pure black man
Magufuli wetu jamaniiiiiiii bado nalia Mimi kila ninapokukumbuka. Magufuli jamaniiiiiiii nilikupenda kuliko hata Baba yangu. Nakupenda leo, Nakupenda kesho Nakupenda daima. Pumzika kwa Amani Shujaaa wetu. Maaaana wewe ni Baba wa Taifa langu, Taifa la waTanzania
😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭💔💔
Taifa linakulilia na kukumbuka sana kwa mazuri na mema Uliyo yafanya Akika Oto saurika daima Tunakuombea
There will never be anyone like him
Salute 🇹🇿
Gfhryrue
😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭baba ulijua kunifurahisha baba ulitufuta machozii dady oooh..
Nampenda raisi wangu,tailinda nchi yangu,chapa kazi raisi wangu makufuli mtetezi wa wanyonge,hapa kazi tu
Mungu akulaze mahali pema peponi tutakukumbuka daima hata wale wanafiki wako wanaumbuka sasa hivi
Rest in peace sir true african son
UCHUMI KUA MZURI SIO KUJAZA MAHELA CHUMBANI NIPAMOJA NA HELA KUA NGUMU....KITU KIZURI HAKIPATIKANI OVYOHOVYO
Yap
Yes
Mungu akuwe mahalo pema
We will remember you.. a hero of sporadic of what you did without an extenal force as a flag... We will see you again
Pumzika kwa amani east Africa tume poteza kiongozi bora sana tungelikuwa na uwezo wa kukuamusha tunge fanya hivyo ina uma sana siotu kwa watanzania 🇰🇪hata sisi kwetu wakenya
Inauma hadi leo 🇰🇪, the wound is still fresh.
...
Give you @@Wakio231.
Mungu akuweke mahali pema pepon🙏🙏
Kifo chako,ni utata mtupu.Mungu atafanya kazi yake,Watanzania bado tunakulia
Mungu tuone tena tumpate kama huyu AMEN
Tumpate kama nani?? Naomba ushindwe.. We huoni nchi ilivyotulia sasa.? Asante sana Mama yangu kwa kubadilisha upepo… 💪
@@noelbryson7840we nae mchawii tu!!
Hapo kwenye madawa aisee big up sana Rais wetu
Tunakukumbuka Sana mungu akutangulie mahalo pema peponi
wanyooshe rais wetu tunakukubali sana
Kauli nzuri zitazomfanya apite tenah
Morgan Smile Nyoni wa2 wanataka vitendo sio kauli
Masikini.saivi.ni marehemu
JPM was sent down by God to lead Tz and you were a patriot of your country Tanzania we will never forget JPM defending the rights of the poor
And taken to ' h' by God
Tuta kuishia baba yetu rais wetu maguful r i p
yalikuwa majizi sana
Daaah... Ulikuw zawadi kwa taifa letu... Upumzike baba etu kipenzi cha wanyonge... tutakukumbuka daima JPM umeacha alama isiyofutika ktk taifa letu... 😭😭😭
Mungu ni mwema
Keep it up my president
God gives you more strength and cares you most #Hon.Magufuli and keep on the rightfully lead of your nation be blessed too
Rest in peace 😭😭😭😭 miss u daddy
Kazi kazi nyoosha tumekuchagua wenyewe
God bless
Mungu akubariki
Mzee magari na makontena.
Mwenyezimungu akulaze mahalapema peponi tutakumbuka daima
Hapa hamna kauli tata ila maagizo ya kazi!!!!
Na wamekoma sana ,
We miss you J.P.M ..endelea kupinzika kwa Amani.
Namkubali sana pumzika kwa amani baba tutakukumbuka daima
Kazi ya mungu haina makosa tunalia Baba kukukosa
Mungu apnzikekwa amani
Khakika had hapa umesha Acha alama! #JPM no 1
Nakukubali sana Raisi wangu
Michango ilikuwa ni kwa faida ya walim
Saf rais wangu
Hiyo namba 5 ipo vizuri
Tumeshamkumbuka sana
Tutakukumbka sana mzee wetu
Pumzika kwa Amani baba
Nakukumbuka sana
Waandalie vizazi vyetu mahala salama Uncle Magu asiyependa shauli zake
miss u my presedent
r.i.p
Nyie Mpondeni tu! Lakini akiondoka tutamkumbuka huyu mzee! Eti kauli tata!
Na ndiyo utaratibu wa watanzania
Onhoo
Tayari tupo gizani,tunamkumbuka raisi wetu
Uliongeaa kwelii isee tushamkumbukaa sana apumzike salamaa champion
Leo watamkubuka sana
Kauli namba 10 yakishujaa sana
Endelea kuwa nasisi hata Kama umelala Najuwa Mungu wetu yupo.hutotuacha ichi yetu inakupenda ,kulala màuti Roho IPO itutembee majizi na maonevuu uyakabe yafe
Nampenda bure uyu baba love you forever mh jpm
THIS MAN IS SO USEFUL NOT ONLY TO TZ AND AFRICA AS A WHOLE BUT TO ALL POOR NATIONS.
Alipo my presedent nami nipo...nakukupenda sana babaangu uko sahihi kwa kula unalosema..
@@angelhaki2364 Alipo na wewe upo? unamaanisha nini?
Kazi nzuri sana Mh
Mungu is the greatest leader in Africa . Amen
He will be missed and remembered for his good work to Tanzania Nation.💪💪💪💪😢😢💔🇹🇿
You mean the late father of nation our grandpa Mwalimu Nyerere???
@@noelbryson7840 tururreu
@@noelbryson7840 gshdurnfkfy
Gdjffhfudikhgty
Zhgjfufk
Great man RIP
Ewe mungu mjalie uyu baba alale mahali Salam tutakukumbuka sana
Hizi sio kauli tata ni kauli ya kiongozi mwenyekujitambua
Rest in paradise mzee wangu
Kuingia paradise siyo rahisi kama tunavyofikiria ..
@@noelbryson7840 basi utaingia ww
Nabii hufika kwa wakati muafaka. Ahsante Mungu
We miss you daadiii
My champion
Tutakukumbukaa
Tanzania ya viwanda ifikapo 2025 safi sana rais
Siwez nikazifaham mweshimiwa rais Labda mpaka aje muweka hazina """" sikia huwez ukanijbu mim hivyo!!! hahahahahahahahaaaaaaaaaa shkamoo presieant