Tunataka hii nchi iendeshwe kistaarabu na kwa haki- OMO

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 1. 06. 2024

Komentáře • 9

  • @omarmohammed5157
    @omarmohammed5157 Před měsícem +3

    Mimi nawashangaa sana Wazanzibar kuungana na watangnyika juharibu nchi yao kwa tamaaa za madaraka

  • @fadhilahaji7929
    @fadhilahaji7929 Před měsícem

    Ahsante OMO LLAH AKUPE UWEZO

  • @omarramadhan5111
    @omarramadhan5111 Před měsícem +1

    Zanzibar ilihijumiwa na Nyerere na kufika kumuuwa Mzee karume alipoona Mzee karume hautaki tena Muumgano WA dhuluma na Muumgano huu ulikuwa miaka Kumi tu

  • @labunaabouna6122
    @labunaabouna6122 Před měsícem +1

    Lkn zenjibar ya.leo ndio maisha yke.mgeni ndio Ana hadhi

  • @alialamoudi9729
    @alialamoudi9729 Před měsícem +2

    Zanzibari ni kubwa sana kuna arthi emefutwa mombasa NA somalia zanzibari sio nguja NA pemba tu

  • @shahiraismaily2433
    @shahiraismaily2433 Před měsícem

    OMO, umenifurahisha sana na mithali yako ya panzi analiwa na Huku anacheka

  • @user-cy1od5xr8x
    @user-cy1od5xr8x Před měsícem

    Lakni namuamini sana OMO huyu ni mzalendo wa kweli

  • @ALIKHAMIS-un4fv
    @ALIKHAMIS-un4fv Před měsícem

    Eti ulimi haujatahiriwa 😂😂hapa nimekuelewa kiongozi hajui hata kusema chakula 😂😂anasema chakura halafu anatuvimbia waxawa

  • @user-cy1od5xr8x
    @user-cy1od5xr8x Před měsícem

    Kwa wanafiki waliokuepo na watu wa bara waliopandikizwa ni kazi kubwa kuipata Haki ya waZanzibari