Velikost videa: 1280 X 720853 X 480640 X 360
Zobrazit ovladače přehrávání
Automatické přehrávání
Přehrát
Mimi nawashangaa sana Wazanzibar kuungana na watangnyika juharibu nchi yao kwa tamaaa za madaraka
Ahsante OMO LLAH AKUPE UWEZO
Zanzibar ilihijumiwa na Nyerere na kufika kumuuwa Mzee karume alipoona Mzee karume hautaki tena Muumgano WA dhuluma na Muumgano huu ulikuwa miaka Kumi tu
Lkn zenjibar ya.leo ndio maisha yke.mgeni ndio Ana hadhi
Zanzibari ni kubwa sana kuna arthi emefutwa mombasa NA somalia zanzibari sio nguja NA pemba tu
OMO, umenifurahisha sana na mithali yako ya panzi analiwa na Huku anacheka
Lakni namuamini sana OMO huyu ni mzalendo wa kweli
Eti ulimi haujatahiriwa 😂😂hapa nimekuelewa kiongozi hajui hata kusema chakula 😂😂anasema chakura halafu anatuvimbia waxawa
Kwa wanafiki waliokuepo na watu wa bara waliopandikizwa ni kazi kubwa kuipata Haki ya waZanzibari
Mimi nawashangaa sana Wazanzibar kuungana na watangnyika juharibu nchi yao kwa tamaaa za madaraka
Ahsante OMO LLAH AKUPE UWEZO
Zanzibar ilihijumiwa na Nyerere na kufika kumuuwa Mzee karume alipoona Mzee karume hautaki tena Muumgano WA dhuluma na Muumgano huu ulikuwa miaka Kumi tu
Lkn zenjibar ya.leo ndio maisha yke.mgeni ndio Ana hadhi
Zanzibari ni kubwa sana kuna arthi emefutwa mombasa NA somalia zanzibari sio nguja NA pemba tu
OMO, umenifurahisha sana na mithali yako ya panzi analiwa na Huku anacheka
Lakni namuamini sana OMO huyu ni mzalendo wa kweli
Eti ulimi haujatahiriwa 😂😂hapa nimekuelewa kiongozi hajui hata kusema chakula 😂😂anasema chakura halafu anatuvimbia waxawa
Kwa wanafiki waliokuepo na watu wa bara waliopandikizwa ni kazi kubwa kuipata Haki ya waZanzibari